Rezultatele cautarii
Vedeti tot
Socialpop Socialpop Socialpop
Home
Grupuri
Pagini
Marketplace
Arata mai mult
Grupuri Pagini Marketplace Events Blogs Funding Offers Jobs Courses Forums Movies
Conecteaza-te
Conecteaza-te Inscrie-te
Theme Switcher
Night Mode
Director
Utilizatori
Postari
Pagini
Grupuri
Events
  • Asubisye Lwinga @Comfort666 a adăugat un videoclip in General
    2025-02-06 07:08:36 ·
    Chukua hiyooo
    Chukua hiyooo 🙄🙄🙄
    Love
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·472 Views ·0
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Asubisye Lwinga @Comfort666 a adăugat un videoclip in General
    2025-02-06 07:09:49 ·
    Jamaa azingatiwee
    Jamaa azingatiwee 😂😂😂😂
    Love
    Wow
    2
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·525 Views ·0
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Raymond Stephen @Proxy a adăugat o fotografie
    2025-02-06 07:45:45 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·220 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Paul Swai @paulswai a adăugat o fotografie
    2025-02-06 07:48:50 ·
    Tunaingia mawindoni

    #paulswai
    Tunaingia mawindoni #paulswai
    Like
    Love
    4
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·902 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Raymond Stephen @Proxy a adăugat o fotografie
    2025-02-06 10:12:42 ·
    Love
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·219 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Paul Swai @paulswai a adăugat o fotografie
    2025-02-06 12:58:07 ·
    KIKOSI KITAKACHO ANZA KWENYE MCHEZO WA LEO DHIDI YA FOUNTAIN GATE.

    #paulswai
    KIKOSI KITAKACHO ANZA KWENYE MCHEZO WA LEO DHIDI YA FOUNTAIN GATE. #paulswai
    Like
    4
    · 2 Commentarii ·0 Distribuiri ·1K Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Godianus Bagumya @Talentedplanet a adăugat o fotografie
    2025-02-06 14:10:52 ·
    Love
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·225 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Paul Swai @paulswai a adăugat un fișier
    2025-02-06 14:48:36 ·
    Goaaaaaal..! Ateba

    Fountain Gate 0️⃣ 1️⃣ Simba Sc

    Chasambi

    #paulswai
    Goaaaaaal..! Ateba ⚽ Fountain Gate 0️⃣ 🆚 1️⃣ Simba Sc 🎯 Chasambi #paulswai
    Like
    Love
    4
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·1K Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 a adăugat o fotografie
    2025-02-06 15:33:17 ·
    Mapigano yamezuka tena kati ya Kundi la Waasi wa M23 na Vikosi vya Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo kusini mwa Mkoa wa Kivu, licha ya tangazo la Waasi hao la kusitisha mapigano kwa sababu za kibinadamu.

    Ripoti kutoka eneo la Nyabibwe, Kalehe, zinasema kuwa mapigano yaliendelea mapema leo baada ya kundi la Waasi hao kushambulia maeneo yanayodhibitiwa na Serikali. Ikumbukwe kwamba siku ya Jumatatu, Waasi walitangaza kusitisha mapigano na kusema kuwa hawakuwa na nia ya kuchukua maeneo yoyote baada ya kuteka Mji wa Goma.

    Hata hivyo, mamlaka ya Nchi ya DR Congo inasema shambulio hilo linakiuka makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyotolewa na Waasi siku mbili (3) zilizopita. Baada ya kuushikilia Mji wa Goma, Waasi wa M23 walikusudia kuteka Mji wa Bukavu ambao ni Mji Mkuu wa Mkoa wa Sud-Kivu, lakini walikumbana na upinzani mkali kutoka kwa Vikosi vya Serikali ya DR Congo na Burundi , ambao walirejesha Vijiji kadhaa vilivyokuwa vimetekwa na Waasi hao.

    Serikali ya DR Congo imeanzisha juhudi za kusajili Raia kujiunga na Vikosi vya Jeshi ili kuimarisha ulinzi wa Mji wa Bukavu na maeneo mengine yaliyo hatarini katika Jimboni Kivu Kusini.

    Mapigano yamezuka tena kati ya Kundi la Waasi wa M23 na Vikosi vya Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo 🇨🇩 kusini mwa Mkoa wa Kivu, licha ya tangazo la Waasi hao la kusitisha mapigano kwa sababu za kibinadamu. Ripoti kutoka eneo la Nyabibwe, Kalehe, zinasema kuwa mapigano yaliendelea mapema leo baada ya kundi la Waasi hao kushambulia maeneo yanayodhibitiwa na Serikali. Ikumbukwe kwamba siku ya Jumatatu, Waasi walitangaza kusitisha mapigano na kusema kuwa hawakuwa na nia ya kuchukua maeneo yoyote baada ya kuteka Mji wa Goma. Hata hivyo, mamlaka ya Nchi ya DR Congo inasema shambulio hilo linakiuka makubaliano ya kusitisha mapigano yaliyotolewa na Waasi siku mbili (3) zilizopita. Baada ya kuushikilia Mji wa Goma, Waasi wa M23 walikusudia kuteka Mji wa Bukavu ambao ni Mji Mkuu wa Mkoa wa Sud-Kivu, lakini walikumbana na upinzani mkali kutoka kwa Vikosi vya Serikali ya DR Congo na Burundi 🇧🇮, ambao walirejesha Vijiji kadhaa vilivyokuwa vimetekwa na Waasi hao. Serikali ya DR Congo imeanzisha juhudi za kusajili Raia kujiunga na Vikosi vya Jeshi ili kuimarisha ulinzi wa Mji wa Bukavu na maeneo mengine yaliyo hatarini katika Jimboni Kivu Kusini.
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·826 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Dalton Owago @Owago updated the profile picture
    2025-02-06 16:00:37 ·
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·378 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Afiseaza (22611-22620 de 32458)
  • «
  • Anterior
  • 2260
  • 2261
  • 2262
  • 2263
  • 2264
  • Următor
  • »
Upgrade to Pro
Alege planul care ți se potrivește
Upgrade
© 2025 Socialpop
Romaian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
About Termeni Confidențialitate Contacteaza-ne Director Developers