• Marekani, Alitoa msaada wa miezi mitatu tu, kisha akaanza kulegeza kamba. Kwa sasa, Marekani imechoshwa na vita vya Ukraine.

    Wameona haina faida ya kuendelea kutoa silaha zisizoleta matokeo ya haraka.

    Uingereza, Ipo kama haipo. Iliahidi mengi, lakini imetulia kimya huku Waukraine wakiteketea kwenye moto wa kivita.

    Ulaya, Inajifanya ina wasiwasi, lakini ukweli ni kwamba kila nchi inajitazama yenyewe kwanza.

    Ukraine yuko peke yake.

    Na hapa ndipo tujiulize. Je, kweli Ukraine aliangamiza kila kitu?

    Inawezekana hana mabomu ya nyuklia tena, lakini ana akili, ana wataalamu, ana formula za kuyatengeneza.

    Na kama historia ni mwalimu, basi ni suala la muda tu kabla ya Ukraine kuamua kuchukua mkondo mpya.
    Vita vya Ukraine vimekuwa mzigo mzito kwa Urusi. Jeshi lake limepoteza askari wengi, uchumi wake umebanwa, na nguvu yake ya kijeshi imetetereka.
    Marekani, Alitoa msaada wa miezi mitatu tu, kisha akaanza kulegeza kamba. Kwa sasa, Marekani imechoshwa na vita vya Ukraine. Wameona haina faida ya kuendelea kutoa silaha zisizoleta matokeo ya haraka. Uingereza, Ipo kama haipo. Iliahidi mengi, lakini imetulia kimya huku Waukraine wakiteketea kwenye moto wa kivita. Ulaya, Inajifanya ina wasiwasi, lakini ukweli ni kwamba kila nchi inajitazama yenyewe kwanza. Ukraine yuko peke yake. Na hapa ndipo tujiulize. Je, kweli Ukraine aliangamiza kila kitu? Inawezekana hana mabomu ya nyuklia tena, lakini ana akili, ana wataalamu, ana formula za kuyatengeneza. Na kama historia ni mwalimu, basi ni suala la muda tu kabla ya Ukraine kuamua kuchukua mkondo mpya. Vita vya Ukraine vimekuwa mzigo mzito kwa Urusi. Jeshi lake limepoteza askari wengi, uchumi wake umebanwa, na nguvu yake ya kijeshi imetetereka.
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·1كيلو بايت مشاهدة
  • Putin sasa anazunguka huku na kule akitafuta suluhu ya amani, lakini Ukraine naye amegoma kusalimu amri.

    Katika ramani ya dunia, mababe wawili wamebaki, Marekani na China.

    Marekani bado inatawala masoko ya dunia, ina silaha za kisasa, na inafanya kila kitu kuhakikisha inabaki juu.

    China inakuja kwa kasi, ikitumia siasa za uchumi badala ya vita. Wanajua kuwa kushinda vita vya sasa, sio kwa mabomu tu bali kwa pesa na teknolojia.

    Urusi? Imebanwa. Vita na Ukraine imeichosha. Mipango ya kupanua mipaka imekufa. Na sasa dunia inajiuliza Putin anaweza kushindwa?

    Hii dunia ina kanuni moja kubwa, Usimwamini mtu. Na hata kama ukimwamini mtu, basi huyo mtu awe wewe mwenyewe.

    Ukraine alifanya kosa ambalo sasa linamgharimu. Aliamini ahadi za mataifa makubwa bila kuhakikisha ana kinga yake mwenyewe. Akasahau kuwa siasa za dunia haziongozwi na ahadi, bali na nguvu.

    Hili liwe somo kwa kila taifa linalotegemea misaada kutoka nje. Leo wanakupenda, kesho wakishapata wanachotaka, wanakusahau.

    Na dunia ilivyo sasa, muda wowote inaweza kulipuka. Mataifa yanapimana nguvu, migogoro inaongezeka, na tunakaribia kuona enzi mpya ya vita vya madaraka kati ya Marekani na China.

    Ukraine, Anajifunza kwa uchungu kuwa historia haimsahau mjinga.
    Putin sasa anazunguka huku na kule akitafuta suluhu ya amani, lakini Ukraine naye amegoma kusalimu amri. Katika ramani ya dunia, mababe wawili wamebaki, Marekani na China. Marekani bado inatawala masoko ya dunia, ina silaha za kisasa, na inafanya kila kitu kuhakikisha inabaki juu. China inakuja kwa kasi, ikitumia siasa za uchumi badala ya vita. Wanajua kuwa kushinda vita vya sasa, sio kwa mabomu tu bali kwa pesa na teknolojia. Urusi? Imebanwa. Vita na Ukraine imeichosha. Mipango ya kupanua mipaka imekufa. Na sasa dunia inajiuliza Putin anaweza kushindwa? Hii dunia ina kanuni moja kubwa, Usimwamini mtu. Na hata kama ukimwamini mtu, basi huyo mtu awe wewe mwenyewe. Ukraine alifanya kosa ambalo sasa linamgharimu. Aliamini ahadi za mataifa makubwa bila kuhakikisha ana kinga yake mwenyewe. Akasahau kuwa siasa za dunia haziongozwi na ahadi, bali na nguvu. Hili liwe somo kwa kila taifa linalotegemea misaada kutoka nje. Leo wanakupenda, kesho wakishapata wanachotaka, wanakusahau. Na dunia ilivyo sasa, muda wowote inaweza kulipuka. Mataifa yanapimana nguvu, migogoro inaongezeka, na tunakaribia kuona enzi mpya ya vita vya madaraka kati ya Marekani na China. Ukraine, Anajifunza kwa uchungu kuwa historia haimsahau mjinga.
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·1كيلو بايت مشاهدة
  • Kuhusu mkutano mkubwa wa Makundi ya Waasi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo uliofanyika Jijini Goma leo hii ambapo mambo mengi yamezungumzwa pamoja na kuwateua Viongozi wapya wa Mji huo baada ya kuutwaa.

    Mkutano huo umefanyika katika Uwanja mkubwa wa Stade De L'Unite uliopo Jijini hapo na kuhudhuriwa na Viongozi wakuu wa Makundi ya Waasi hao akiwemo Kiongozi Mkuu Corneille Nangaa ambaye ni Kiongozi Congo River Allience na Muungano wao, Bertrand Bisimwa ambaye ni Kiongozi Mkuu wa M23 na Luteni Kanali Willy Ngoma ambaye ni Msemaji wa M23.

    Mkutano huo uliohudhuriwa na maelfu ya Wananchi wa Goma huku wakiushangilia kwa nderemo na vifijo ambapo baadhi ya Watu nje na ndani ya DR Congo wameshangaza kwamba kumbe Wananchi wengi pia wanaunga mkono Waasi hao na wapo pamoja nao. Lugha ya Kiswahili ilitumika Viongozi hao na kutoa mipango yao ya kuichukua Nchi nzima kutoka kwa Serikali iliyopo madarakani inayoongozwa na Rais Felix Tshisekedi.

    Msemaji wa M23, Willy Ngoma akiwa Jukwaani aliwauliza Wananchi "mnataka tuishie hapa Goma tu? " Wananchi kwa shangwe kubwa wakajibu "hapana".

    Kuhusu mkutano mkubwa wa Makundi ya Waasi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩 uliofanyika Jijini Goma leo hii ambapo mambo mengi yamezungumzwa pamoja na kuwateua Viongozi wapya wa Mji huo baada ya kuutwaa. Mkutano huo umefanyika katika Uwanja mkubwa wa Stade De L'Unite uliopo Jijini hapo na kuhudhuriwa na Viongozi wakuu wa Makundi ya Waasi hao akiwemo Kiongozi Mkuu Corneille Nangaa ambaye ni Kiongozi Congo River Allience na Muungano wao, Bertrand Bisimwa ambaye ni Kiongozi Mkuu wa M23 na Luteni Kanali Willy Ngoma ambaye ni Msemaji wa M23. Mkutano huo uliohudhuriwa na maelfu ya Wananchi wa Goma huku wakiushangilia kwa nderemo na vifijo ambapo baadhi ya Watu nje na ndani ya DR Congo wameshangaza kwamba kumbe Wananchi wengi pia wanaunga mkono Waasi hao na wapo pamoja nao. Lugha ya Kiswahili ilitumika Viongozi hao na kutoa mipango yao ya kuichukua Nchi nzima kutoka kwa Serikali iliyopo madarakani inayoongozwa na Rais Felix Tshisekedi. Msemaji wa M23, Willy Ngoma akiwa Jukwaani aliwauliza Wananchi "mnataka tuishie hapa Goma tu? " Wananchi kwa shangwe kubwa wakajibu "hapana".
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·917 مشاهدة
  • Mmmh
    Mmmh 🙄😳
    Love
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·157 مشاهدة
  • @City Fan forever
    @City Fan forever
    Like
    Love
    2
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·439 مشاهدة
  • 0 التعليقات ·0 المشاركات ·338 مشاهدة
  • My or genuine thought is to wear those high heels
    My or genuine thought is to wear those high heels 👠
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·551 مشاهدة
  • 😔😔👈👈👈
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·298 مشاهدة
  • 0 التعليقات ·0 المشاركات ·381 مشاهدة
  • Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·302 مشاهدة