Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Κατάλογος
Χρήστες
Δημοσιεύσεις
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-02-07 21:12:41 ·
    Marekani, Alitoa msaada wa miezi mitatu tu, kisha akaanza kulegeza kamba. Kwa sasa, Marekani imechoshwa na vita vya Ukraine.

    Wameona haina faida ya kuendelea kutoa silaha zisizoleta matokeo ya haraka.

    Uingereza, Ipo kama haipo. Iliahidi mengi, lakini imetulia kimya huku Waukraine wakiteketea kwenye moto wa kivita.

    Ulaya, Inajifanya ina wasiwasi, lakini ukweli ni kwamba kila nchi inajitazama yenyewe kwanza.

    Ukraine yuko peke yake.

    Na hapa ndipo tujiulize. Je, kweli Ukraine aliangamiza kila kitu?

    Inawezekana hana mabomu ya nyuklia tena, lakini ana akili, ana wataalamu, ana formula za kuyatengeneza.

    Na kama historia ni mwalimu, basi ni suala la muda tu kabla ya Ukraine kuamua kuchukua mkondo mpya.
    Vita vya Ukraine vimekuwa mzigo mzito kwa Urusi. Jeshi lake limepoteza askari wengi, uchumi wake umebanwa, na nguvu yake ya kijeshi imetetereka.
    Marekani, Alitoa msaada wa miezi mitatu tu, kisha akaanza kulegeza kamba. Kwa sasa, Marekani imechoshwa na vita vya Ukraine. Wameona haina faida ya kuendelea kutoa silaha zisizoleta matokeo ya haraka. Uingereza, Ipo kama haipo. Iliahidi mengi, lakini imetulia kimya huku Waukraine wakiteketea kwenye moto wa kivita. Ulaya, Inajifanya ina wasiwasi, lakini ukweli ni kwamba kila nchi inajitazama yenyewe kwanza. Ukraine yuko peke yake. Na hapa ndipo tujiulize. Je, kweli Ukraine aliangamiza kila kitu? Inawezekana hana mabomu ya nyuklia tena, lakini ana akili, ana wataalamu, ana formula za kuyatengeneza. Na kama historia ni mwalimu, basi ni suala la muda tu kabla ya Ukraine kuamua kuchukua mkondo mpya. Vita vya Ukraine vimekuwa mzigo mzito kwa Urusi. Jeshi lake limepoteza askari wengi, uchumi wake umebanwa, na nguvu yake ya kijeshi imetetereka.
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • NELIUD COSIAH @nelly2020 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-02-07 21:15:23 ·
    Putin sasa anazunguka huku na kule akitafuta suluhu ya amani, lakini Ukraine naye amegoma kusalimu amri.

    Katika ramani ya dunia, mababe wawili wamebaki, Marekani na China.

    Marekani bado inatawala masoko ya dunia, ina silaha za kisasa, na inafanya kila kitu kuhakikisha inabaki juu.

    China inakuja kwa kasi, ikitumia siasa za uchumi badala ya vita. Wanajua kuwa kushinda vita vya sasa, sio kwa mabomu tu bali kwa pesa na teknolojia.

    Urusi? Imebanwa. Vita na Ukraine imeichosha. Mipango ya kupanua mipaka imekufa. Na sasa dunia inajiuliza Putin anaweza kushindwa?

    Hii dunia ina kanuni moja kubwa, Usimwamini mtu. Na hata kama ukimwamini mtu, basi huyo mtu awe wewe mwenyewe.

    Ukraine alifanya kosa ambalo sasa linamgharimu. Aliamini ahadi za mataifa makubwa bila kuhakikisha ana kinga yake mwenyewe. Akasahau kuwa siasa za dunia haziongozwi na ahadi, bali na nguvu.

    Hili liwe somo kwa kila taifa linalotegemea misaada kutoka nje. Leo wanakupenda, kesho wakishapata wanachotaka, wanakusahau.

    Na dunia ilivyo sasa, muda wowote inaweza kulipuka. Mataifa yanapimana nguvu, migogoro inaongezeka, na tunakaribia kuona enzi mpya ya vita vya madaraka kati ya Marekani na China.

    Ukraine, Anajifunza kwa uchungu kuwa historia haimsahau mjinga.
    Putin sasa anazunguka huku na kule akitafuta suluhu ya amani, lakini Ukraine naye amegoma kusalimu amri. Katika ramani ya dunia, mababe wawili wamebaki, Marekani na China. Marekani bado inatawala masoko ya dunia, ina silaha za kisasa, na inafanya kila kitu kuhakikisha inabaki juu. China inakuja kwa kasi, ikitumia siasa za uchumi badala ya vita. Wanajua kuwa kushinda vita vya sasa, sio kwa mabomu tu bali kwa pesa na teknolojia. Urusi? Imebanwa. Vita na Ukraine imeichosha. Mipango ya kupanua mipaka imekufa. Na sasa dunia inajiuliza Putin anaweza kushindwa? Hii dunia ina kanuni moja kubwa, Usimwamini mtu. Na hata kama ukimwamini mtu, basi huyo mtu awe wewe mwenyewe. Ukraine alifanya kosa ambalo sasa linamgharimu. Aliamini ahadi za mataifa makubwa bila kuhakikisha ana kinga yake mwenyewe. Akasahau kuwa siasa za dunia haziongozwi na ahadi, bali na nguvu. Hili liwe somo kwa kila taifa linalotegemea misaada kutoka nje. Leo wanakupenda, kesho wakishapata wanachotaka, wanakusahau. Na dunia ilivyo sasa, muda wowote inaweza kulipuka. Mataifa yanapimana nguvu, migogoro inaongezeka, na tunakaribia kuona enzi mpya ya vita vya madaraka kati ya Marekani na China. Ukraine, Anajifunza kwa uchungu kuwa historia haimsahau mjinga.
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-02-07 22:09:59 ·
    Kuhusu mkutano mkubwa wa Makundi ya Waasi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo uliofanyika Jijini Goma leo hii ambapo mambo mengi yamezungumzwa pamoja na kuwateua Viongozi wapya wa Mji huo baada ya kuutwaa.

    Mkutano huo umefanyika katika Uwanja mkubwa wa Stade De L'Unite uliopo Jijini hapo na kuhudhuriwa na Viongozi wakuu wa Makundi ya Waasi hao akiwemo Kiongozi Mkuu Corneille Nangaa ambaye ni Kiongozi Congo River Allience na Muungano wao, Bertrand Bisimwa ambaye ni Kiongozi Mkuu wa M23 na Luteni Kanali Willy Ngoma ambaye ni Msemaji wa M23.

    Mkutano huo uliohudhuriwa na maelfu ya Wananchi wa Goma huku wakiushangilia kwa nderemo na vifijo ambapo baadhi ya Watu nje na ndani ya DR Congo wameshangaza kwamba kumbe Wananchi wengi pia wanaunga mkono Waasi hao na wapo pamoja nao. Lugha ya Kiswahili ilitumika Viongozi hao na kutoa mipango yao ya kuichukua Nchi nzima kutoka kwa Serikali iliyopo madarakani inayoongozwa na Rais Felix Tshisekedi.

    Msemaji wa M23, Willy Ngoma akiwa Jukwaani aliwauliza Wananchi "mnataka tuishie hapa Goma tu? " Wananchi kwa shangwe kubwa wakajibu "hapana".

    Kuhusu mkutano mkubwa wa Makundi ya Waasi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩 uliofanyika Jijini Goma leo hii ambapo mambo mengi yamezungumzwa pamoja na kuwateua Viongozi wapya wa Mji huo baada ya kuutwaa. Mkutano huo umefanyika katika Uwanja mkubwa wa Stade De L'Unite uliopo Jijini hapo na kuhudhuriwa na Viongozi wakuu wa Makundi ya Waasi hao akiwemo Kiongozi Mkuu Corneille Nangaa ambaye ni Kiongozi Congo River Allience na Muungano wao, Bertrand Bisimwa ambaye ni Kiongozi Mkuu wa M23 na Luteni Kanali Willy Ngoma ambaye ni Msemaji wa M23. Mkutano huo uliohudhuriwa na maelfu ya Wananchi wa Goma huku wakiushangilia kwa nderemo na vifijo ambapo baadhi ya Watu nje na ndani ya DR Congo wameshangaza kwamba kumbe Wananchi wengi pia wanaunga mkono Waasi hao na wapo pamoja nao. Lugha ya Kiswahili ilitumika Viongozi hao na kutoa mipango yao ya kuichukua Nchi nzima kutoka kwa Serikali iliyopo madarakani inayoongozwa na Rais Felix Tshisekedi. Msemaji wa M23, Willy Ngoma akiwa Jukwaani aliwauliza Wananchi "mnataka tuishie hapa Goma tu? " Wananchi kwa shangwe kubwa wakajibu "hapana".
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·917 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Dullah Tz98 @DullahX98 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-02-07 22:11:32 ·
    Mmmh
    Mmmh 🙄😳
    Love
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·157 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Ludege LTZ @Ludege_Tz πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-02-07 23:10:16 ·
    @City Fan forever
    @City Fan forever
    Like
    Love
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·439 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Mudi Hashimu @Sindano ενημερώθηκε η φωτογραφία προφίλ
    2025-02-08 02:58:03 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·338 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Alexis Williamson @Pulse πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-02-08 04:37:23 ·
    My or genuine thought is to wear those high heels
    My or genuine thought is to wear those high heels 👠
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·551 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • King Kapeta @Ema
    2025-02-08 12:32:26 ·
    😔😔👈👈👈
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·298 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Elina Dalna @elinaED ενημερώθηκε η φωτογραφία προφίλ
    2025-02-08 12:56:50 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·381 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Mohammed Ngupili @Ngupili_75 ενημερώθηκε η φωτογραφία προφίλ
    2025-02-08 13:03:28 ·
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·302 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Δείχνουμε (22711-22720 από 32467)
  • «
  • Προηγούμενο
  • 2270
  • 2271
  • 2272
  • 2273
  • 2274
  • Επόμενο
  • »
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers