Socialpop Socialpop
Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
  • Γίνε Μέλος
    Σύνδεση
    Εγγραφή
    Αναζήτηση
    Night Mode

Κατάλογος

Share your ideas, Make money with Social Pop, enjoy on our lager village

  • Χρήστες
  • Δημοσιεύσεις
  • Σελίδες
  • Ομάδες
  • Events
  • Blogs
  • Marketplace
  • Χρηματοδότηση
  • Προσφορές
  • Εργασίες
  • Courses
  • Forum
  • Ταινίες
  • David Atto
    2024-08-21 18:18:37 -
    .𝐄𝐱𝐥𝐮𝐬𝐢𝐯𝐞 𝐈𝐧𝐭𝐞𝐫𝐯𝐢𝐞𝐰

    “Bado kikosi chetu hakijakamilika kuwa tishio Afrika, tunafikiria kuongeza wachezaji wawili ambao walikuwa target yetu kwenye dirisha hili kubwa lakini biashara zao hazikukamilika.

    “Dirisha dogo tutarudi kuangalia kama tutaweza kukamilisha sajili zao, wakishafika ndio mtapata majibu maana ya timu kukamilika,” Eng Hersi Said

    #timuyawananchi
    #daimambelenyumamwiko
    .𝐄𝐱𝐥𝐮𝐬𝐢𝐯𝐞 𝐈𝐧𝐭𝐞𝐫𝐯𝐢𝐞𝐰🔰 “Bado kikosi chetu hakijakamilika kuwa tishio Afrika, tunafikiria kuongeza wachezaji wawili ambao walikuwa target yetu kwenye dirisha hili kubwa lakini biashara zao hazikukamilika. “Dirisha dogo tutarudi kuangalia kama tutaweza kukamilisha sajili zao, wakishafika ndio mtapata majibu maana ya timu kukamilika,” Eng Hersi Said #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Love
    Like
    9
    2 Σχόλια 0 Μοιράστηκε 499 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Atto
    2024-08-21 18:19:19 -
    .𝐄𝐱𝐥𝐮𝐬𝐢𝐯𝐞 𝐈𝐧𝐭𝐞𝐫𝐯𝐢𝐞𝐰

    “Kabla ya kusaini mkataba mpya, Kocha wetu Miguel Gamondi alipata ofa nyingi sana kutoka Klabu nyingine kubwa Afrika na aliahidiwa hela nyingi lakini alichagua kubaki Yanga kwa sababu ya ubora wa timu tuliyoitengeneza. Hii timu yetu inaweza kumpa heshima kubwa zaidi Afrika,” Eng Hersi Said

    #timuyawananchi
    #daimambelenyumamwiko
    .𝐄𝐱𝐥𝐮𝐬𝐢𝐯𝐞 𝐈𝐧𝐭𝐞𝐫𝐯𝐢𝐞𝐰🔰 “Kabla ya kusaini mkataba mpya, Kocha wetu Miguel Gamondi alipata ofa nyingi sana kutoka Klabu nyingine kubwa Afrika na aliahidiwa hela nyingi lakini alichagua kubaki Yanga kwa sababu ya ubora wa timu tuliyoitengeneza. Hii timu yetu inaweza kumpa heshima kubwa zaidi Afrika,” Eng Hersi Said #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Like
    Love
    11
    2 Σχόλια 0 Μοιράστηκε 599 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • David Atto
    2024-08-21 19:15:48 -
    . Rick Ross Anasema🇺🇲: “Familia yangu haijaniomba chochote kwa miaka mingi. Mama yangu ni milionea. Dada yangu pia ni milionea. Nilifanya uwekezaji kwao uliowapa nguvu. Kuwezesha wanaokuzunguka, kuwezesha familia yako ndio ufunguo mkubwa wa wewe kubaki tajiri. Ikiwa wewe ni tajiri na kila mtu aliye karibu nawe ni maskini, itachukua muda kidogo tu kabla ya wewe kuwa maskini!

    Kuboresha wanaokuzunguka ni jambo kubwa
    .🚨 Rick Ross Anasema🇺🇲🗣️: “Familia yangu haijaniomba chochote kwa miaka mingi. Mama yangu ni milionea. Dada yangu pia ni milionea. Nilifanya uwekezaji kwao uliowapa nguvu. Kuwezesha wanaokuzunguka, kuwezesha familia yako ndio ufunguo mkubwa wa wewe kubaki tajiri. Ikiwa wewe ni tajiri na kila mtu aliye karibu nawe ni maskini, itachukua muda kidogo tu kabla ya wewe kuwa maskini! Kuboresha wanaokuzunguka ni jambo kubwa 👌
    Love
    Like
    11
    1 Σχόλια 0 Μοιράστηκε 263 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Paul Swai
    2024-08-21 19:36:06 -
    Mashine ya kazi Leonel Ateba Kuanza kazi rasmi Msimbazi..!! Mshambuliaji mpya wa Simba, Leonel Ateba sasa ruska kuitumikia klabu yetu katika michezo ya Ligi Kuu baada ya kukamilika kwa vibali vya kazi pamoja na ITC yake kuwasili.

    “Tumekamilisha taratibu zote za vibali, Ateba sasa ruksa kucheza ligi, hata tukipangiwa mechi leo mshambuliaji huyo yupo tayari kucheza, ni mipango ya kocha Fadlu tu kumtumia,”

    amesema Ahmed. Mchezo ujao ni dhidi ya Fountain pale pale uwanjambo Kmc
    #paulswai
    Mashine ya kazi Leonel Ateba Kuanza kazi rasmi Msimbazi..!! Mshambuliaji mpya wa Simba, Leonel Ateba sasa ruska kuitumikia klabu yetu katika michezo ya Ligi Kuu baada ya kukamilika kwa vibali vya kazi pamoja na ITC yake kuwasili. “Tumekamilisha taratibu zote za vibali, Ateba sasa ruksa kucheza ligi, hata tukipangiwa mechi leo mshambuliaji huyo yupo tayari kucheza, ni mipango ya kocha Fadlu tu kumtumia,” amesema Ahmed. Mchezo ujao ni dhidi ya Fountain pale pale uwanjambo Kmc #paulswai
    Love
    Like
    Haha
    4
    1 Σχόλια 0 Μοιράστηκε 535 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Paul Swai
    πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-08-22 03:16:52 -
    Mashine ya kazi Leonel Ateba Kuanza kazi rasmi Msimbazi..!! Mshambuliaji mpya wa Simba, Leonel Ateba sasa ruska kuitumikia klabu yetu katika michezo ya Ligi Kuu baada ya kukamilika kwa vibali vya kazi pamoja na ITC yake kuwasili.

    “Tumekamilisha taratibu zote za vibali, Ateba sasa ruksa kucheza ligi, hata tukipangiwa mechi leo mshambuliaji huyo yupo tayari kucheza, ni mipango ya kocha Fadlu tu kumtumia,”

    amesema Ahmed. Mchezo ujao ni dhidi ya Fountain pale pale uwanjambo Kmc
    Mashine ya kazi Leonel Ateba Kuanza kazi rasmi Msimbazi..!! Mshambuliaji mpya wa Simba, Leonel Ateba sasa ruska kuitumikia klabu yetu katika michezo ya Ligi Kuu baada ya kukamilika kwa vibali vya kazi pamoja na ITC yake kuwasili. “Tumekamilisha taratibu zote za vibali, Ateba sasa ruksa kucheza ligi, hata tukipangiwa mechi leo mshambuliaji huyo yupo tayari kucheza, ni mipango ya kocha Fadlu tu kumtumia,” amesema Ahmed. Mchezo ujao ni dhidi ya Fountain pale pale uwanjambo Kmc
    Like
    Love
    4
    1 Σχόλια 0 Μοιράστηκε 606 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Baraka Lopoi
    2024-08-22 10:24:25 -
    Hodi tena
    Hodi tena
    Like
    1
    0 Σχόλια 0 Μοιράστηκε 775 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Baraka Lopoi
    2024-08-22 10:24:55 -
    Nliwamiss sana family ya #socialApp
    Nliwamiss sana family ya #socialApp
    Like
    2
    0 Σχόλια 0 Μοιράστηκε 1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Baraka Lopoi
    2024-08-22 10:25:37 -
    ♥️♥️♥️💖
    Like
    1
    0 Σχόλια 0 Μοιράστηκε 776 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Baraka Lopoi
    2024-08-22 10:58:10 -
    Wazee wenzangu nipen support bac hata kwa like na comment tufahamiane
    Wazee wenzangu nipen support bac hata kwa like na comment tufahamiane
    Like
    2
    0 Σχόλια 0 Μοιράστηκε 973 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Paulswai πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-08-22 14:59:06 -
    Like
    Love
    2
    1 Σχόλια 0 Μοιράστηκε 359 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Δείχνουμε (2671-2680 από 36637)
  • «
  • Προηγούμενο
  • 266
  • 267
  • 268
  • 269
  • 270
  • Επόμενο
  • »
© 2026 Socialpop Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος