• .𝐄𝐱𝐥𝐮𝐬𝐢𝐯𝐞 𝐈𝐧𝐭𝐞𝐫𝐯𝐢𝐞𝐰

    “Bado kikosi chetu hakijakamilika kuwa tishio Afrika, tunafikiria kuongeza wachezaji wawili ambao walikuwa target yetu kwenye dirisha hili kubwa lakini biashara zao hazikukamilika.

    “Dirisha dogo tutarudi kuangalia kama tutaweza kukamilisha sajili zao, wakishafika ndio mtapata majibu maana ya timu kukamilika,” Eng Hersi Said

    #timuyawananchi
    #daimambelenyumamwiko
    .𝐄𝐱𝐥𝐮𝐬𝐢𝐯𝐞 𝐈𝐧𝐭𝐞𝐫𝐯𝐢𝐞𝐰🔰 “Bado kikosi chetu hakijakamilika kuwa tishio Afrika, tunafikiria kuongeza wachezaji wawili ambao walikuwa target yetu kwenye dirisha hili kubwa lakini biashara zao hazikukamilika. “Dirisha dogo tutarudi kuangalia kama tutaweza kukamilisha sajili zao, wakishafika ndio mtapata majibu maana ya timu kukamilika,” Eng Hersi Said #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Love
    Like
    9
    2 Commentaires 0 Parts 499 Vue
  • .𝐄𝐱𝐥𝐮𝐬𝐢𝐯𝐞 𝐈𝐧𝐭𝐞𝐫𝐯𝐢𝐞𝐰

    “Kabla ya kusaini mkataba mpya, Kocha wetu Miguel Gamondi alipata ofa nyingi sana kutoka Klabu nyingine kubwa Afrika na aliahidiwa hela nyingi lakini alichagua kubaki Yanga kwa sababu ya ubora wa timu tuliyoitengeneza. Hii timu yetu inaweza kumpa heshima kubwa zaidi Afrika,” Eng Hersi Said

    #timuyawananchi
    #daimambelenyumamwiko
    .𝐄𝐱𝐥𝐮𝐬𝐢𝐯𝐞 𝐈𝐧𝐭𝐞𝐫𝐯𝐢𝐞𝐰🔰 “Kabla ya kusaini mkataba mpya, Kocha wetu Miguel Gamondi alipata ofa nyingi sana kutoka Klabu nyingine kubwa Afrika na aliahidiwa hela nyingi lakini alichagua kubaki Yanga kwa sababu ya ubora wa timu tuliyoitengeneza. Hii timu yetu inaweza kumpa heshima kubwa zaidi Afrika,” Eng Hersi Said #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Like
    Love
    11
    2 Commentaires 0 Parts 599 Vue
  • . Rick Ross Anasema🇺🇲: “Familia yangu haijaniomba chochote kwa miaka mingi. Mama yangu ni milionea. Dada yangu pia ni milionea. Nilifanya uwekezaji kwao uliowapa nguvu. Kuwezesha wanaokuzunguka, kuwezesha familia yako ndio ufunguo mkubwa wa wewe kubaki tajiri. Ikiwa wewe ni tajiri na kila mtu aliye karibu nawe ni maskini, itachukua muda kidogo tu kabla ya wewe kuwa maskini!

    Kuboresha wanaokuzunguka ni jambo kubwa
    .🚨 Rick Ross Anasema🇺🇲🗣️: “Familia yangu haijaniomba chochote kwa miaka mingi. Mama yangu ni milionea. Dada yangu pia ni milionea. Nilifanya uwekezaji kwao uliowapa nguvu. Kuwezesha wanaokuzunguka, kuwezesha familia yako ndio ufunguo mkubwa wa wewe kubaki tajiri. Ikiwa wewe ni tajiri na kila mtu aliye karibu nawe ni maskini, itachukua muda kidogo tu kabla ya wewe kuwa maskini! Kuboresha wanaokuzunguka ni jambo kubwa 👌
    Love
    Like
    11
    1 Commentaires 0 Parts 263 Vue
  • Mashine ya kazi Leonel Ateba Kuanza kazi rasmi Msimbazi..!! Mshambuliaji mpya wa Simba, Leonel Ateba sasa ruska kuitumikia klabu yetu katika michezo ya Ligi Kuu baada ya kukamilika kwa vibali vya kazi pamoja na ITC yake kuwasili.

    “Tumekamilisha taratibu zote za vibali, Ateba sasa ruksa kucheza ligi, hata tukipangiwa mechi leo mshambuliaji huyo yupo tayari kucheza, ni mipango ya kocha Fadlu tu kumtumia,”

    amesema Ahmed. Mchezo ujao ni dhidi ya Fountain pale pale uwanjambo Kmc
    #paulswai
    Mashine ya kazi Leonel Ateba Kuanza kazi rasmi Msimbazi..!! Mshambuliaji mpya wa Simba, Leonel Ateba sasa ruska kuitumikia klabu yetu katika michezo ya Ligi Kuu baada ya kukamilika kwa vibali vya kazi pamoja na ITC yake kuwasili. “Tumekamilisha taratibu zote za vibali, Ateba sasa ruksa kucheza ligi, hata tukipangiwa mechi leo mshambuliaji huyo yupo tayari kucheza, ni mipango ya kocha Fadlu tu kumtumia,” amesema Ahmed. Mchezo ujao ni dhidi ya Fountain pale pale uwanjambo Kmc #paulswai
    Love
    Like
    Haha
    4
    1 Commentaires 0 Parts 535 Vue
  • Mashine ya kazi Leonel Ateba Kuanza kazi rasmi Msimbazi..!! Mshambuliaji mpya wa Simba, Leonel Ateba sasa ruska kuitumikia klabu yetu katika michezo ya Ligi Kuu baada ya kukamilika kwa vibali vya kazi pamoja na ITC yake kuwasili.

    “Tumekamilisha taratibu zote za vibali, Ateba sasa ruksa kucheza ligi, hata tukipangiwa mechi leo mshambuliaji huyo yupo tayari kucheza, ni mipango ya kocha Fadlu tu kumtumia,”

    amesema Ahmed. Mchezo ujao ni dhidi ya Fountain pale pale uwanjambo Kmc
    Mashine ya kazi Leonel Ateba Kuanza kazi rasmi Msimbazi..!! Mshambuliaji mpya wa Simba, Leonel Ateba sasa ruska kuitumikia klabu yetu katika michezo ya Ligi Kuu baada ya kukamilika kwa vibali vya kazi pamoja na ITC yake kuwasili. “Tumekamilisha taratibu zote za vibali, Ateba sasa ruksa kucheza ligi, hata tukipangiwa mechi leo mshambuliaji huyo yupo tayari kucheza, ni mipango ya kocha Fadlu tu kumtumia,” amesema Ahmed. Mchezo ujao ni dhidi ya Fountain pale pale uwanjambo Kmc
    Like
    Love
    4
    1 Commentaires 0 Parts 606 Vue
  • Hodi tena
    Hodi tena
    Like
    1
    0 Commentaires 0 Parts 775 Vue
  • Nliwamiss sana family ya #socialApp
    Nliwamiss sana family ya #socialApp
    Like
    2
    0 Commentaires 0 Parts 1KB Vue
  • ♥️♥️♥️💖
    Like
    1
    0 Commentaires 0 Parts 776 Vue
  • Wazee wenzangu nipen support bac hata kwa like na comment tufahamiane
    Wazee wenzangu nipen support bac hata kwa like na comment tufahamiane
    Like
    2
    0 Commentaires 0 Parts 973 Vue
  • Like
    Love
    2
    1 Commentaires 0 Parts 359 Vue