• ...Mshambuliaji wa Zambia Andrew Phiri (24) amekamilisha uhamisho wake kujiunga na klabu ya *Singida Black Stars* kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea *FC Muza*.

    #SportsElite
    ✍️...Mshambuliaji wa Zambia Andrew Phiri (24) amekamilisha uhamisho wake kujiunga na klabu ya *Singida Black Stars* kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea *FC Muza*. #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·4 Vue
  • RASMI

    Fainali ya Saudi Arabia super cup itakuwa ni kati ya Al Nasr dhidi ya Al Ahli.

    Al Nasr alifanikiwa kumuondoa Al ittihad kwenye mchezo wa nusu fainali huku Al Ahli akimuondoa Al Qadsiah hii Leo.

    #SportsElite
    RASMI ✍️ Fainali ya Saudi Arabia super cup itakuwa ni kati ya Al Nasr dhidi ya Al Ahli. Al Nasr alifanikiwa kumuondoa Al ittihad kwenye mchezo wa nusu fainali huku Al Ahli akimuondoa Al Qadsiah hii Leo. #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·8 Vue
  • Life is a game, just play to win
    Life is a game, just play to win ▶️
    0 Commentaires ·0 Parts ·9 Vue
  • USAJILI MPYA: SINGIDA YAMSIGN KIUNGO IDRISS DIOMANDÉ 🇨🇮

    Singida Black Stars imethibitisha kumsajili kiungo Idriss Diomandé kutoka Zoman FC ya Ivory Coast kwa mkataba wa miaka mitatu.

    Diomandé tayari amejiunga na kikosi cha timu hiyo na ameanza maandalizi ya msimu mpya wa 2025/26 akiwa sehemu ya mipango ya kocha kwa msimu ujao.

    #SportsElite
    🔁 USAJILI MPYA: SINGIDA YAMSIGN KIUNGO IDRISS DIOMANDÉ 🇨🇮 Singida Black Stars 🇹🇿 imethibitisha kumsajili kiungo Idriss Diomandé kutoka Zoman FC ya Ivory Coast kwa mkataba wa miaka mitatu. Diomandé tayari amejiunga na kikosi cha timu hiyo na ameanza maandalizi ya msimu mpya wa 2025/26 akiwa sehemu ya mipango ya kocha kwa msimu ujao.✅ #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·5 Vue
  • 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Villarreal imefikia makubaliano na Renato Veiga kutoka Chelsea

    Tayari Renato amekubali kujiunga Villarreal kwa ada ya €29.5M pamoja na bonasi kwa ujumla... ⭐️

    #SportsElite
    🚨 𝐇𝐄𝐑𝐄 𝐖𝐄 𝐆𝐎! Villarreal imefikia makubaliano na Renato Veiga kutoka Chelsea 💛🧨 Tayari Renato amekubali kujiunga Villarreal kwa ada ya €29.5M pamoja na bonasi kwa ujumla... ⭐️🇵🇹 #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·6 Vue
  • Get up no body cares, Until you win
    Get up no body cares, Until you win 💪
    0 Commentaires ·0 Parts ·6 Vue
  • Mchezo wa kirafiki kati ya Simba Sc dhidi ya Al-Zulfi SFC ya nchini Saudia umemalizika kwa Simba kuibuka na ushindi wa goli 1️⃣ kwa 0️⃣.

    Goli la Simba limefungwa mapema kipindi cha kwanza na kiungo Jean Ahoua kwa faulo ya moja kwa moja.

    #SportsElite
    🚨🚨Mchezo wa kirafiki kati ya Simba Sc dhidi ya Al-Zulfi SFC ya nchini Saudia umemalizika kwa Simba kuibuka na ushindi wa goli 1️⃣ kwa 0️⃣. Goli la Simba limefungwa mapema kipindi cha kwanza na kiungo Jean Ahoua kwa faulo ya moja kwa moja. #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·5 Vue
  • UPADATE: Jonathan Sowah ataikosa mechi ya ngao ya jamii dhidi ya Yanga kutokana na kadi nyekundu aliyopewa kwenye mechi ya fainali ya FA akiwa na Singida.

    Ukipewa kadi nyekundu kwenye mechi ya FA unatakiwa kutumikia adhabu kwenye mechi za ligi kuu,FA na Ngao ya jamii.

    #SportsElite
    🚨🚨UPADATE: Jonathan Sowah ataikosa mechi ya ngao ya jamii dhidi ya Yanga kutokana na kadi nyekundu aliyopewa kwenye mechi ya fainali ya FA akiwa na Singida. Ukipewa kadi nyekundu kwenye mechi ya FA unatakiwa kutumikia adhabu kwenye mechi za ligi kuu,FA na Ngao ya jamii. #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·5 Vue
  • Nusu fainali CHAN.

    The #TotalEnergiesCHAN2024 Quarter-finals are locked in!

    Purchase your tickets here shorturl.at/h8NMe
    Nusu fainali CHAN. 🤩 The #TotalEnergiesCHAN2024 Quarter-finals are locked in! 🔒 Purchase your tickets here 👉 shorturl.at/h8NMe
    0 Commentaires ·0 Parts ·7 Vue
  • Hiki Hapa Kikosi Bora Cha Wiki Cha La Liga Kwa Mujibu Wa Sofascore

    #SportsElite
    🚨 Hiki Hapa Kikosi Bora Cha Wiki Cha La Liga Kwa Mujibu Wa Sofascore #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·5 Vue