• Like
    Love
    3
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·527 Visualizações
  • #turkishdrama
    #turkishdrama
    Like
    1
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·720 Visualizações
  • Good Afternoon guys
    Good Afternoon guys 😬😬
    Like
    Haha
    2
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·482 Visualizações
  • Abbott family chanzo chao kikuu cha uchumi wao ni wanamiliki ranch.

    Kwenye hiyo ranch yao kuna bonge moja la shimo linatokea katika mazingira ya kutatanisha. Wakati huo ndani ya familia ambayo inaongozwa na mwamba anaitwa Royal Abbott kuna vitu havijaa sawa.

    Wakati huo huo pia as family inabidi waungane pamoja kupambania ranch yao ambayo kuna familia nyingine yenye nguvu inataka kuwachomoa. Kwahiyo humu ni umafia, familia, siasa za kutosha..!

    Mzigo una seasons 02 complete. Join nasi kupitia Telegram group

    https://t.me/Filamu2024
    Abbott family chanzo chao kikuu cha uchumi wao ni wanamiliki ranch. Kwenye hiyo ranch yao kuna bonge moja la shimo linatokea katika mazingira ya kutatanisha. Wakati huo ndani ya familia ambayo inaongozwa na mwamba anaitwa Royal Abbott kuna vitu havijaa sawa. Wakati huo huo pia as family inabidi waungane pamoja kupambania ranch yao ambayo kuna familia nyingine yenye nguvu inataka kuwachomoa. Kwahiyo humu ni umafia, familia, siasa za kutosha..! Mzigo una seasons 02 complete. Join nasi kupitia Telegram group 👇 https://t.me/Filamu2024
    Like
    Haha
    2
    · 2 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1KB Visualizações
  • Charly hapo nyuma alikuwa ni safecracker, hakuna kufuli ambalo lilikuwa linamsumbua yani chap chap ashamaliza kazi na alikuwa anafanya kazi ya ujambazi. Lakini kwa sasa anaishi maisha ya kawaida, ana mke pamoja na mtoto.

    Akiwa anaendelea na maisha yake, gang yake ya kitambo inamtafuta awasaidie kazi. Mwanzo alizingua lakini wakaanza kumpa vitisho akaamua kukubali na ambacho aliwaomba ni hataki malipo yoyote bali aachwe kabisa yeye na familia yake.

    Sasa hiyo kazi ndio msala ulipoanzia hapo , ukitazama utajua mambo yalivyoenda kunuka huko. Mzigo huu hapa!
    Charly hapo nyuma alikuwa ni safecracker, hakuna kufuli ambalo lilikuwa linamsumbua yani chap chap ashamaliza kazi na alikuwa anafanya kazi ya ujambazi. Lakini kwa sasa anaishi maisha ya kawaida, ana mke pamoja na mtoto. Akiwa anaendelea na maisha yake, gang yake ya kitambo inamtafuta awasaidie kazi. Mwanzo alizingua lakini wakaanza kumpa vitisho akaamua kukubali na ambacho aliwaomba ni hataki malipo yoyote bali aachwe kabisa yeye na familia yake. Sasa hiyo kazi ndio msala ulipoanzia hapo 😊, ukitazama utajua mambo yalivyoenda kunuka huko. Mzigo huu hapa!
    Like
    Yay
    2
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·632 Visualizações
  • Binadamu hawatumii tena nyama ile fresh ambayo unachinja mwenyewe au either unashuhudia ukichinjiwa.

    Ukitaka nyama kulikuwa na makampuni ambayo yanazalisha nyama kisayansi zaidi

    BF ndio kampuni kubwa zaidi Duniani kwenye biashara hiyo ya nyama. CEO wake ni bidada anaitwa Yun, anaanza kupata matukio ya hapa na pale kama mashambulio, kutishiwa maisha etc.

    Anaamua kumuajiri Bodyguard, ndio huyo mwana hapo . Mzigo una episodes 10 tu.
    Binadamu hawatumii tena nyama ile fresh ambayo unachinja mwenyewe au either unashuhudia ukichinjiwa. Ukitaka nyama kulikuwa na makampuni ambayo yanazalisha nyama kisayansi zaidi 😶 BF ndio kampuni kubwa zaidi Duniani kwenye biashara hiyo ya nyama. CEO wake ni bidada anaitwa Yun, anaanza kupata matukio ya hapa na pale kama mashambulio, kutishiwa maisha etc. Anaamua kumuajiri Bodyguard, ndio huyo mwana hapo 😊. Mzigo una episodes 10 tu.
    Like
    Love
    4
    · 3 Comentários ·1 Compartilhamentos ·810 Visualizações
  • Haha
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·620 Visualizações

  • vile Azam watakapo fanywa champion league

    vile Azam watakapo fanywa champion league 🤣🤣🤣
    Like
    Love
    Wow
    3
    · 1 Comentários ·1 Compartilhamentos ·139 Visualizações ·54
  • Love
    Haha
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·619 Visualizações
  • A House girl asked her madam to increase her salary. The madam ask her to give 3 reasons why she need her salary to be increased.

    HOUSE GIRL: I can cook better than you.

    MADAM: Who told you that?

    HOUSE GIRL: Your husband told me.

    MADAM: Okay, second reason....!

    HOUSE GIRL: I can iron better than you.

    MADAM: Who told you that?

    HOUSE GIRL: Your husband told me.

    MADAM: Okay, last reason.

    HOUSE GIRL: I am also better than you in bēd

    (Madam got furious, grāb a stīck to smāsh her head)

    MADAM: Did my husband say that?

    HOUSE GIRL: NO, the driver told me I'm better than you in bēd.

    MADAM: Shhhh! Lower your voice please! I will increase it

    #memoryofjosephcharles
    A House girl asked her madam to increase her salary. The madam ask her to give 3 reasons why she need her salary to be increased. HOUSE GIRL: I can cook better than you. MADAM: Who told you that? HOUSE GIRL: Your husband told me. MADAM: Okay, second reason....! HOUSE GIRL: I can iron better than you. MADAM: Who told you that? HOUSE GIRL: Your husband told me. MADAM: Okay, last reason. HOUSE GIRL: I am also better than you in bēd (Madam got furious, grāb a stīck to smāsh her head) MADAM: Did my husband say that? HOUSE GIRL: NO, the driver told me I'm better than you in bēd. MADAM: Shhhh! Lower your voice please! I will increase it 🥰🙏🙏 #memoryofjosephcharles
    Love
    Like
    Haha
    Wow
    6
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·124 Visualizações