• Charly hapo nyuma alikuwa ni safecracker, hakuna kufuli ambalo lilikuwa linamsumbua yani chap chap ashamaliza kazi na alikuwa anafanya kazi ya ujambazi. Lakini kwa sasa anaishi maisha ya kawaida, ana mke pamoja na mtoto.

    Akiwa anaendelea na maisha yake, gang yake ya kitambo inamtafuta awasaidie kazi. Mwanzo alizingua lakini wakaanza kumpa vitisho akaamua kukubali na ambacho aliwaomba ni hataki malipo yoyote bali aachwe kabisa yeye na familia yake.

    Sasa hiyo kazi ndio msala ulipoanzia hapo , ukitazama utajua mambo yalivyoenda kunuka huko. Mzigo huu hapa!
    Charly hapo nyuma alikuwa ni safecracker, hakuna kufuli ambalo lilikuwa linamsumbua yani chap chap ashamaliza kazi na alikuwa anafanya kazi ya ujambazi. Lakini kwa sasa anaishi maisha ya kawaida, ana mke pamoja na mtoto. Akiwa anaendelea na maisha yake, gang yake ya kitambo inamtafuta awasaidie kazi. Mwanzo alizingua lakini wakaanza kumpa vitisho akaamua kukubali na ambacho aliwaomba ni hataki malipo yoyote bali aachwe kabisa yeye na familia yake. Sasa hiyo kazi ndio msala ulipoanzia hapo 😊, ukitazama utajua mambo yalivyoenda kunuka huko. Mzigo huu hapa!
    Like
    Yay
    2
    · 1 Kommentare ·0 Anteile ·582 Ansichten
  • Binadamu hawatumii tena nyama ile fresh ambayo unachinja mwenyewe au either unashuhudia ukichinjiwa.

    Ukitaka nyama kulikuwa na makampuni ambayo yanazalisha nyama kisayansi zaidi

    BF ndio kampuni kubwa zaidi Duniani kwenye biashara hiyo ya nyama. CEO wake ni bidada anaitwa Yun, anaanza kupata matukio ya hapa na pale kama mashambulio, kutishiwa maisha etc.

    Anaamua kumuajiri Bodyguard, ndio huyo mwana hapo . Mzigo una episodes 10 tu.
    Binadamu hawatumii tena nyama ile fresh ambayo unachinja mwenyewe au either unashuhudia ukichinjiwa. Ukitaka nyama kulikuwa na makampuni ambayo yanazalisha nyama kisayansi zaidi 😶 BF ndio kampuni kubwa zaidi Duniani kwenye biashara hiyo ya nyama. CEO wake ni bidada anaitwa Yun, anaanza kupata matukio ya hapa na pale kama mashambulio, kutishiwa maisha etc. Anaamua kumuajiri Bodyguard, ndio huyo mwana hapo 😊. Mzigo una episodes 10 tu.
    Like
    Love
    4
    · 3 Kommentare ·1 Anteile ·731 Ansichten
  • Haha
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·517 Ansichten

  • vile Azam watakapo fanywa champion league

    vile Azam watakapo fanywa champion league 🤣🤣🤣
    Like
    Love
    Wow
    3
    · 1 Kommentare ·1 Anteile ·134 Ansichten ·54
  • Love
    Haha
    2
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·509 Ansichten
  • A House girl asked her madam to increase her salary. The madam ask her to give 3 reasons why she need her salary to be increased.

    HOUSE GIRL: I can cook better than you.

    MADAM: Who told you that?

    HOUSE GIRL: Your husband told me.

    MADAM: Okay, second reason....!

    HOUSE GIRL: I can iron better than you.

    MADAM: Who told you that?

    HOUSE GIRL: Your husband told me.

    MADAM: Okay, last reason.

    HOUSE GIRL: I am also better than you in bēd

    (Madam got furious, grāb a stīck to smāsh her head)

    MADAM: Did my husband say that?

    HOUSE GIRL: NO, the driver told me I'm better than you in bēd.

    MADAM: Shhhh! Lower your voice please! I will increase it

    #memoryofjosephcharles
    A House girl asked her madam to increase her salary. The madam ask her to give 3 reasons why she need her salary to be increased. HOUSE GIRL: I can cook better than you. MADAM: Who told you that? HOUSE GIRL: Your husband told me. MADAM: Okay, second reason....! HOUSE GIRL: I can iron better than you. MADAM: Who told you that? HOUSE GIRL: Your husband told me. MADAM: Okay, last reason. HOUSE GIRL: I am also better than you in bēd (Madam got furious, grāb a stīck to smāsh her head) MADAM: Did my husband say that? HOUSE GIRL: NO, the driver told me I'm better than you in bēd. MADAM: Shhhh! Lower your voice please! I will increase it 🥰🙏🙏 #memoryofjosephcharles
    Love
    Like
    Haha
    Wow
    6
    · 1 Kommentare ·0 Anteile ·113 Ansichten
  • Usikubali siku moja mbaya ikuaminishe kuwa maisha yako yote ni mabaya
    Usikubali siku moja mbaya ikuaminishe kuwa maisha yako yote ni mabaya🤔
    Love
    1
    · 0 Kommentare ·0 Anteile ·483 Ansichten
  • #exhuma
    #exhuma
    Like
    2
    · 2 Kommentare ·0 Anteile ·707 Ansichten
  • love social pop
    love social pop
    0 Kommentare ·0 Anteile ·215 Ansichten
  • Kwa mara ya mwisho Simba kushiriki moja kwa moja kombe la Shirikisho ilikuwa msimu wa 2017/2018 na iliondolewa hatua za mwazo na Al Masri ya Misri kwa sheria ya bao la ugenini baada ya kulazimishwa sare ya mabao 2-2 Uwanja wa Mkapa na kutoa suluhu (0-0) ugenini. . Msimu wa 2021/2022 Simba ilishiriki Kombe la Shirikisho lakini hapo haikuwa moja kwa moja bali ilidondokea huko baada ya kutolewa Ligi ya mabingwa katika hatua ya pili ya mtoano na Jwaneng Galaxy ya Botswana kwa sheria ya bao la ugenini na ‘Mnyama’ alishinda 2-0 ugenini lakini bila kuamini akachapwa 3-1 Uwanja wa Mkapa na matokeo ya jumla kuwa 3-3.
    📊 Kwa mara ya mwisho Simba kushiriki moja kwa moja kombe la Shirikisho ilikuwa msimu wa 2017/2018 na iliondolewa hatua za mwazo na Al Masri ya Misri kwa sheria ya bao la ugenini baada ya kulazimishwa sare ya mabao 2-2 Uwanja wa Mkapa na kutoa suluhu (0-0) ugenini. . Msimu wa 2021/2022 Simba ilishiriki Kombe la Shirikisho lakini hapo haikuwa moja kwa moja bali ilidondokea huko baada ya kutolewa Ligi ya mabingwa katika hatua ya pili ya mtoano na Jwaneng Galaxy ya Botswana kwa sheria ya bao la ugenini na ‘Mnyama’ alishinda 2-0 ugenini lakini bila kuamini akachapwa 3-1 Uwanja wa Mkapa na matokeo ya jumla kuwa 3-3.
    Like
    Love
    4
    · 1 Kommentare ·0 Anteile ·92 Ansichten