0 Σχόλια
0 Μοιράστηκε
172 Views
Κατάλογος
Share your ideas, Make money with Social Pop, enjoy on our lager village
-
Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
-
-
Argentina Nusu Final AMÉRICA
FT : ARGENTINAentina 1-1 ECUADOR
Lisandro Martinez 35'
-
Kevin 90+2'
PENALTI (4-2)
#CopaAmerica2024
#SportsviewsArgentina Nusu Final ♥️ AMÉRICA FT : ARGENTINAentina 1-1 ECUADOR ⚽ Lisandro Martinez 35' - ⚽ Kevin 90+2' PENALTI (4-2) #CopaAmerica2024 #Sportsviews1 Σχόλια 0 Μοιράστηκε 2χλμ. Views
4
-
Saver vs missed 🌎 #Sportsviews1 Σχόλια 0 Μοιράστηκε 1χλμ. Views
4
-
Hii ni Mashine ya Dhahabu.
Ina kipaji kikubwa na mtu wa kazi kwelikweli. Saa 8:00 mchana tutaitangaza kwenye Simba App. Pakua na lipia sasa. #WenyeNchi #NguvuMojaHii ni Mashine ya Dhahabu. Ina kipaji kikubwa na mtu wa kazi kwelikweli. Saa 8:00 mchana tutaitangaza kwenye Simba App. Pakua na lipia sasa. #WenyeNchi #NguvuMoja1 Σχόλια 0 Μοιράστηκε 92 Views1
-
-
-
Ni nani atakaevaa viatu vya Mwana FA?
Kumekua na utaratibu wa kupeana vijiti kwenye muziki wa kuimba Tanzania utaona tangu Dully Sykes mpaka kina Marioo kumepita vizazi vingi vya waimbaji ambao wanafanana na Dully kama sio mikogo basi hata "ubraza Men" upo wa kutosha "Mainstream".
Leo nimefikiria sana kuhusu huyu nguli wa Hip Hop Bongo Mh Hamisi Mwinjuma maarufu MwanaFA ambae kalamu yake imeviandikia vizazi vingi vya watanzania wanaopenda burudani lakini pia jumbe zake tofauti zimeinusuru jamii katika nyakati ambazo haswa zilihitajika.
FA alipoamua kuwasifu mabinti nani alipingana nae? alipoamua kukea kuhusu zinaa nani alipingana? Wimbo kama alikufa kwa ngoma wakati unatoka ulitufanya madogo tuliokua tunakua wakati ule kuogopa kabisa kukutana na Mabinti kichwa mchunga.
Leo hii najaribu kutazama nani kapokea tochi toka kwa FA? Nakosa jibu labda nikuachie ndugu yangu unisaidie katika hili.
Kwa upande wako ni rapa gani Bongo kapokea tochi toka kwa Mwana FA?
(CC : JR Junior)
Ni nani atakaevaa viatu vya Mwana FA? Kumekua na utaratibu wa kupeana vijiti kwenye muziki wa kuimba Tanzania utaona tangu Dully Sykes mpaka kina Marioo kumepita vizazi vingi vya waimbaji ambao wanafanana na Dully kama sio mikogo basi hata "ubraza Men" upo wa kutosha "Mainstream". Leo nimefikiria sana kuhusu huyu nguli wa Hip Hop Bongo Mh Hamisi Mwinjuma maarufu MwanaFA ambae kalamu yake imeviandikia vizazi vingi vya watanzania wanaopenda burudani lakini pia jumbe zake tofauti zimeinusuru jamii katika nyakati ambazo haswa zilihitajika. FA alipoamua kuwasifu mabinti nani alipingana nae? alipoamua kukea kuhusu zinaa nani alipingana? Wimbo kama alikufa kwa ngoma wakati unatoka ulitufanya madogo tuliokua tunakua wakati ule kuogopa kabisa kukutana na Mabinti kichwa mchunga. Leo hii najaribu kutazama nani kapokea tochi toka kwa FA? Nakosa jibu labda nikuachie ndugu yangu unisaidie katika hili. Kwa upande wako ni rapa gani Bongo kapokea tochi toka kwa Mwana FA? (CC : JR Junior)0 Σχόλια 0 Μοιράστηκε 872 Views -
-