• 0 Reacties 0 aandelen 172 Views
  • 0 Reacties 0 aandelen 94 Views
  • Argentina Nusu Final AMÉRICA

    FT : ARGENTINAentina 1-1 ECUADOR

    Lisandro Martinez 35'
    -

    Kevin 90+2'

    PENALTI (4-2)
    #CopaAmerica2024
    #Sportsviews
    Argentina Nusu Final ♥️ AMÉRICA FT : ARGENTINAentina 1-1 ECUADOR ⚽ Lisandro Martinez 35' - ⚽ Kevin 90+2' PENALTI (4-2) #CopaAmerica2024 #Sportsviews
    Like
    Love
    4
    1 Reacties 0 aandelen 2K Views
  • Saver vs missed

    #Sportsviews
    Saver vs missed 🌎 #Sportsviews
    Like
    Love
    4
    1 Reacties 0 aandelen 1K Views
  • Hii ni Mashine ya Dhahabu.

    Ina kipaji kikubwa na mtu wa kazi kwelikweli. Saa 8:00 mchana tutaitangaza kwenye Simba App. Pakua na lipia sasa. #WenyeNchi #NguvuMoja
    Hii ni Mashine ya Dhahabu. Ina kipaji kikubwa na mtu wa kazi kwelikweli. Saa 8:00 mchana tutaitangaza kwenye Simba App. Pakua na lipia sasa. #WenyeNchi #NguvuMoja
    Like
    1
    1 Reacties 0 aandelen 92 Views
  • Love
    1
    0 Reacties 0 aandelen 72 Views
  • Like
    Love
    Sad
    5
    1 Reacties 0 aandelen 773 Views
  • Ni nani atakaevaa viatu vya Mwana FA?

    Kumekua na utaratibu wa kupeana vijiti kwenye muziki wa kuimba Tanzania utaona tangu Dully Sykes mpaka kina Marioo kumepita vizazi vingi vya waimbaji ambao wanafanana na Dully kama sio mikogo basi hata "ubraza Men" upo wa kutosha "Mainstream".

    Leo nimefikiria sana kuhusu huyu nguli wa Hip Hop Bongo Mh Hamisi Mwinjuma maarufu MwanaFA ambae kalamu yake imeviandikia vizazi vingi vya watanzania wanaopenda burudani lakini pia jumbe zake tofauti zimeinusuru jamii katika nyakati ambazo haswa zilihitajika.

    FA alipoamua kuwasifu mabinti nani alipingana nae? alipoamua kukea kuhusu zinaa nani alipingana? Wimbo kama alikufa kwa ngoma wakati unatoka ulitufanya madogo tuliokua tunakua wakati ule kuogopa kabisa kukutana na Mabinti kichwa mchunga.

    Leo hii najaribu kutazama nani kapokea tochi toka kwa FA? Nakosa jibu labda nikuachie ndugu yangu unisaidie katika hili.

    Kwa upande wako ni rapa gani Bongo kapokea tochi toka kwa Mwana FA?
    (CC : JR Junior)
    Ni nani atakaevaa viatu vya Mwana FA? Kumekua na utaratibu wa kupeana vijiti kwenye muziki wa kuimba Tanzania utaona tangu Dully Sykes mpaka kina Marioo kumepita vizazi vingi vya waimbaji ambao wanafanana na Dully kama sio mikogo basi hata "ubraza Men" upo wa kutosha "Mainstream". Leo nimefikiria sana kuhusu huyu nguli wa Hip Hop Bongo Mh Hamisi Mwinjuma maarufu MwanaFA ambae kalamu yake imeviandikia vizazi vingi vya watanzania wanaopenda burudani lakini pia jumbe zake tofauti zimeinusuru jamii katika nyakati ambazo haswa zilihitajika. FA alipoamua kuwasifu mabinti nani alipingana nae? alipoamua kukea kuhusu zinaa nani alipingana? Wimbo kama alikufa kwa ngoma wakati unatoka ulitufanya madogo tuliokua tunakua wakati ule kuogopa kabisa kukutana na Mabinti kichwa mchunga. Leo hii najaribu kutazama nani kapokea tochi toka kwa FA? Nakosa jibu labda nikuachie ndugu yangu unisaidie katika hili. Kwa upande wako ni rapa gani Bongo kapokea tochi toka kwa Mwana FA? (CC : JR Junior)
    0 Reacties 0 aandelen 872 Views
  • 0 Reacties 0 aandelen 175 Views 32
  • 0 Reacties 0 aandelen 72 Views