• Read more
    Tabora United 🇹🇿 imekamilisha usajili wa nahodha wa Mbarara City, Joseph Akandwanaho raia wa Uganda 🇺🇬 ➡️ Akandwanaho amesaini mkataba wa miaka miwili ya kuitumikia klabu hiyo. #NBCPL
    Like
    1
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·307 Views
  • Read more
    NBCPL PRIMIER LEAGUE ITAREJEA TENA MARCH 01 SIMBA ITAKUWA TIMU YA KWANZA KUONGOZA LIGI KWA MDA MREFU HIVI MASHABIKI WANAORUHUSIWA KUWA NA FURAHA NI MASHABIKI WA SIMBA TU MPAKA MWEZI WA 3 #paulswai
    Like
    Love
    4
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·501 Views

  • SELEMANI MATOLA " PAMOJA NA UGUMU WAO TUMEJIPANGA KUCHUKUA ALAMA 3" NBCPL: SIMBA SC VS JKT TZ.

    #paulswai
    SELEMANI MATOLA " PAMOJA NA UGUMU WAO TUMEJIPANGA KUCHUKUA ALAMA 3" NBCPL: SIMBA SC VS JKT TZ. #paulswai
    00:00
    00:00
    Like
    Love
    2
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·371 Views ·25

  • ALLY SALIM "MAANDALIZI YOTE YA MCHEZO YAMEKAMILIKA" NBCPL: KAGERA SUGAR FC VS SIMBA SC.

    #paulswai
    ALLY SALIM "MAANDALIZI YOTE YA MCHEZO YAMEKAMILIKA" NBCPL: KAGERA SUGAR FC VS SIMBA SC. #paulswai
    00:00
    00:00
    Like
    2
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·525 Views
  • Read more
    Ramovic kama kawaida yake na 4-2-3-1 , wakiwa na umiliki wa mpira wanaswitch na kuwa 2-3-2-3 (CBs wawili nyuma then Kibwana na Yao wanasogea juu mstari mmoja na Aucho huku Duke na Aziz Ki kama namba 10 wawili nyuma ya Pacome , Mzize na Dube walitengeneza uwiano mzuri eneo la mbele wakiwa na mpira kivipi ? Yanga kama dakika 30 za kwanza waliutembeza mpira kwa uharaka sana (Decision Making , runners walikuwa wengi eneo la mbele , walipata nafasi kubwa kwenye mpira (Pacome na Mzize) mda mwingi FBs wa Yanga walikuwa pembeni zaidi kwenye chaki….dhumuni ni kutafuta mapana ya uwanja na kuitanua block ya Mashujaa nafasi kwa wale namba 10 wawili + Pacome na Mzize ambao walikuwa wanaingia kwenye Half spaces zikaanza kufunguka . Mashujaa kwenye plan ya kuzuia wakiwa chini kwenye “Mid Block” then wakipora mpira haraka sana wanatengeneza mashambulizi kwa kushtukiza (Offesive Transition) na walinufaika na makosa ya safu ya ulinzi kutoka kwa Yanga (Goli la Ulomi “Defense line kusinzia , goli la pili makosa ya golikipa) . Mashujaa kuna nyakati kwenye kiungo walicheza vizuri sana , Pasi sahihi , movements lakini pia walitengeneza namba nzuri ya wachezaji (Overloads) ….. kulikuwa na nafasi kubwa kati ya kiungo cha Yanga na walinzi . Prince Dube anafunga “Hattrick” ya kwanza msimu huu NBCPL …. Ni mchezo wake bora sana tangia ajiunge na Yanga . Kibwana Shomari 👏 amecheza game bora sana , Duke akiwa na mali ni ngumu kuchukua …. Wale viungo wa Mashujaa wametoa game bora dhidi ya Yanga . Pacome 👍 FT : Yanga 3-2 Mashujaa
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·567 Views

  • AWESU AWESU " MCHEZO WA KESHO UTAKUA BORA" | NBCPL: SIMBA SC VS KEN GOLD FC.

    #paulswai
    AWESU AWESU " MCHEZO WA KESHO UTAKUA BORA" | NBCPL: SIMBA SC VS KEN GOLD FC. #paulswai
    00:00
    00:00
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·477 Views

  • FADLU DAVIS KOCHA MKUU WA SIMBA SC KUHUSU MAANDALIZI YA NBCPL DHIDI YA KENGOLD FC.

    #paulswai
    FADLU DAVIS KOCHA MKUU WA SIMBA SC KUHUSU MAANDALIZI YA NBCPL DHIDI YA KENGOLD FC. #paulswai
    00:00
    00:00
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·426 Views
  • #Yangasc
    #Simbasc
    #TFF#NBCPL
    #CAFCL
    #Yangasc #Simbasc #TFF#NBCPL #CAFCL
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·703 Views
  • Matokeo NBCPL
    Matokeo NBCPL
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·208 Views
  • Matokeo NBCPL
    Matokeo NBCPL
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·213 Views
  • Matokeo/ NBCPL
    Matokeo/ NBCPL
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·206 Views
  • Read more
    🟩🟨⬛️TAKWIMU ZA GAMONDI 🆚 SIMBA SC ZINATISHA. □Yanga SC 🟢0-0🔴 Simba SC↔️ (Ngao 2023) □Simba SC 🔴1-5🟢 Yanga SC ✅ (NBCPL 2023/24) □Yanga SC 🟢2-1🔴 Simba SC ✅ (NBCPL 2023/24) □Yanga SC 🟢1-0🔴 Simba SC ✅ (Ngao 2024) □Simba SC 🔴0-1🟢 Yanga SC ✅ ((NBCPL 2024/25) 🟩🟨⬛️TATHMINI YA MICHEZO HIYO 🔥 🔰... Kwenye michezo mitano dhidi ya Simba SC🔴, MIGUEL GAMONDI... ◇Ameshinda 4 ◇Amesare 1 ◇Amepoteza 0 ◇Magoli ya kufunga 9 ◇Magoli ya kufungwa 2 ◇Cleansheets 3 ◇Ameweka rekodi ya kushinda michezo 4 mfululizo.
    Love
    Like
    9
    · 2 Commentarii ·0 Distribuiri ·569 Views
  • AWESU AWESU AWAITA MASHABIKI KWENYE MCHEZO DHIDI YA KMC FC | NBCPL: SIMBA SC VS KMC FC.

    #paulswai
    AWESU AWESU AWAITA MASHABIKI KWENYE MCHEZO DHIDI YA KMC FC | NBCPL: SIMBA SC VS KMC FC. #paulswai
    00:00
    00:00
    Like
    Love
    Haha
    3
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·485 Views ·108
  • Read more
    Mchezaji Bora wa mechi ya leo kati ya Simba Sc dhidi ya Namungo Fc. ✅ Shomari Kapombe NBCPL 🇹🇿 #paulswai
    Like
    Angry
    2
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·246 Views
  • #NBCPL Valentino Mashaka Mashaka akaikamilisha ‘4G’.

    FT: Simba SC 4-0 Fountain Gate
    #paulswai
    #NBCPL Valentino Mashaka Mashaka akaikamilisha ‘4G’. FT: Simba SC 4-0 Fountain Gate #paulswai
    00:00
    00:00
    Like
    Love
    4
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·328 Views ·46
  • #NBCPL Jean Charles Ahoua na chuma cha tatu kwa Mnyama……

    Simba SC 3-0 Fountain Gate
    #NBCPL Jean Charles Ahoua na chuma cha tatu kwa Mnyama…… Simba SC 3-0 Fountain Gate
    00:00
    00:00
    Like
    2
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·332 Views ·29
  • Read more
    #NBCPL Chuma ya pili imetoka kwa ‘straika refu kuliko goli’, akilitendea haki draft lililoanzishwa na Debora, na kupita kwa Balua, Ahoua kabla ya Shomary kutoa assist. Simba SC 2-0 Fountain Gate #paulswai
    00:00
    00:00
    Like
    Love
    2
    · 2 Commentarii ·0 Distribuiri ·330 Views ·36
  • #NBCPL Goli la kwanza la Edwin Balua…..

    Simba SC 1-0 Fountain Gate
    #paulswai
    #NBCPL Goli la kwanza la Edwin Balua….. Simba SC 1-0 Fountain Gate #paulswai
    00:00
    00:00
    Like
    Love
    2
    · 1 Commentarii ·0 Distribuiri ·323 Views ·41
  • Read more
    🚨BREAKING. Rasmi Ligi kuu Tanzania NBCPL 🇹🇿 msimu ujao Itatumia VAR katika mashindano yote. Akisoma Bajeti ya Fedha 2024/25 Waziri Wa Fedha Dr. Mwigulu Lameck Nchemba amethibitisha ilo na kuomba kusiwepo na Kodi Kwa vifaa vya VAR. MSIMU UJAO TUTAONA MENGI 🇹🇿🚨
    Love
    Like
    3
    · 2 Commentarii ·0 Distribuiri ·661 Views