• .DIRISHA LA USAJILI YANGA SC 2025 –2026 MABADILIKO MAKUBWA YAMEANZA KUFANYIKA MAPEMA!

    Muda wa kujipanga upya kwa mashindano makubwa – NBCPL & CAF!

    ---

    WALIOSAJILIWA (RASMI):

    1. Feisal Salum – Kiungo mnyumbulifu anarudi nyumbani kuongoza mashambulizi.

    2. Jonathan Sowah – Mshambuliaji hatari, amekuja kuvuruga mabeki!

    3. Arthur Bada – Kiungo chipukizi wa Kitanzania mwenye vision ya juu.

    4. Obasogie – Kipa mpya, ukuta mpya wa mabingwa.

    ---

    WALIOUZWA (CONFIRMED):

    Aziz Ki

    Djigui Diarra

    Clement Mzize

    Yanga wamefanya biashara kubwa kuwatoa mastaa hawa baada ya mchango wao mkubwa.

    ---

    HAWAMO KWENYE MPANGO:

    Kennedy Musonda

    Aboubakar Khomeiny

    Yao Kouassi

    Taarifa zinasema hawa jamaa hawapo tena kwenye ramani ya Yanga msimu ujao.

    ---

    WANAOWINDWA:

    Aishi Manula

    Pascal Msindo

    Kelvin Nashon

    Henock Inonga Baka

    Yanga wanataka kutengeneza mashine mpya ya ushindi.

    ---

    WANAOFANYIWA TATHMINI (Loan/Exit):

    Jonas Mkude

    Aziz Andambwile

    Sureboy

    Farid Musa

    Jonathan Ikangalombo

    Mwalimu anatazama uwezo wao kabla ya kufanya maamuzi ya mwisho.

    ---

    MABADILIKO YA KISHINDO – YANGA SC INAJIPANGA UPYA KIBINGWA!
    .DIRISHA LA USAJILI YANGA SC 2025 –2026 MABADILIKO MAKUBWA YAMEANZA KUFANYIKA MAPEMA! Muda wa kujipanga upya kwa mashindano makubwa – NBCPL & CAF! --- ✅ WALIOSAJILIWA (RASMI): 1. Feisal Salum – Kiungo mnyumbulifu anarudi nyumbani kuongoza mashambulizi. ✍️ 2. Jonathan Sowah – Mshambuliaji hatari, amekuja kuvuruga mabeki! ⚔️ 3. Arthur Bada – Kiungo chipukizi wa Kitanzania mwenye vision ya juu. 🔥 4. Obasogie – Kipa mpya, ukuta mpya wa mabingwa. 🧤 --- 🔁 WALIOUZWA (CONFIRMED): Aziz Ki Djigui Diarra Clement Mzize Yanga wamefanya biashara kubwa kuwatoa mastaa hawa baada ya mchango wao mkubwa. --- ⛔ HAWAMO KWENYE MPANGO: Kennedy Musonda Aboubakar Khomeiny Yao Kouassi Taarifa zinasema hawa jamaa hawapo tena kwenye ramani ya Yanga msimu ujao. --- 🎯 WANAOWINDWA: Aishi Manula Pascal Msindo Kelvin Nashon Henock Inonga Baka Yanga wanataka kutengeneza mashine mpya ya ushindi. --- 🕵️‍♂️ WANAOFANYIWA TATHMINI (Loan/Exit): Jonas Mkude Aziz Andambwile Sureboy Farid Musa Jonathan Ikangalombo Mwalimu anatazama uwezo wao kabla ya kufanya maamuzi ya mwisho. --- MABADILIKO YA KISHINDO – YANGA SC INAJIPANGA UPYA KIBINGWA!
    Like
    Love
    2
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·930 Views
  • Yanga walianza mchezo vizuri sana kwa kufanya kila kitu kwa usahihi pale wanapokuwa na mpira na wasipokuwa na mpira . Kivipi ?

    1: Wakati wanaanza build up wanakuwa na muundo mzuri wa 2-3-4-1 unawapa walinzi wao machaguo ya kupasia mipira (Job na Bakari wanakuwa nyuma then FBs wanakuwa mstari moja na Aucho , hapo Yanga wanapata msingi sahihi ya kufika kwenye eneo la mwisho kwa kupitia katikati na pembeni ya uwanja , rahisi kuishinda pressing ya Coastal ambayo hawakuwa na idadi nzuri ya wachezaji wakati wanaweka presha .

    2: Kwasababu Coastal Union hawakuweka presha vizuri kwenye mpira na positioning ya wachezaji wa Yanga ilikuwa nzuri , hapo ikawa rahisi kwa Yanga kufika eneo la mwisho baada ya hapo ni Yanga kuwa wafanisi mbele ya goli (unatumiaje nafasi kuimaliza game) .

    Maxi na Pacome waliuliza maswali magumu kwa walinzi wa Coastal walibadilishana nafasi kutokana na wapi mpira ulipo , nafasi zilikuwepo hasa kwenye zile “Half Spaces” na ndio maana pamoja na Coastal kuzuia wakiwa chini mda mwingi lakini Yanga waliwafungua kirahisi kwasababu wachezaji wao walikuwa mara nyingi wanachelewa kufika kwenye eneo la tukio .

    Nafikiri Coastal walijua kabisa hawawezi kupishana na Yanga kutokana na ubora wa mpinzani wake , wakaamua kuchagua vita yao ya kuzuia wakiwa chini na kuweka mtego wa kushambulia kwa kushtukiza . Lakini kuna nyakati wakivuka kwenye mstari wa kati wanachotegemea ni ubora wa mchezaji mmoja mmoja kufanya jambo kubwa .

    NOTE :

    1: Golikipa wa Coastal “FALESI” kafanya saves nyingi nzuri (kupunguza idadi ya magoli)

    2: Maxi na Pacome wamecheza game nzuri sana (Rotation ya nafasi , positioning zao zilikuwa sahihi )

    3: Lawi kacheza vizuri sana kwenye kiungo nimependa Energy ya Maabad

    4: Pacome goli la 8 kwenye NBCPL ( anakupa magoli na kufanya vitu vingine vitokee uwanjani kwa dribbling na Positioning yake )

    FT: Yanga 1-0 Coastal Union .
    (Kelvin Rabson).

    Yanga walianza mchezo vizuri sana kwa kufanya kila kitu kwa usahihi pale wanapokuwa na mpira na wasipokuwa na mpira . Kivipi ? 1: Wakati wanaanza build up wanakuwa na muundo mzuri wa 2-3-4-1 unawapa walinzi wao machaguo ya kupasia mipira (Job na Bakari wanakuwa nyuma then FBs wanakuwa mstari moja na Aucho , hapo Yanga wanapata msingi sahihi ya kufika kwenye eneo la mwisho kwa kupitia katikati na pembeni ya uwanja , rahisi kuishinda pressing ya Coastal ambayo hawakuwa na idadi nzuri ya wachezaji wakati wanaweka presha . 2: Kwasababu Coastal Union hawakuweka presha vizuri kwenye mpira na positioning ya wachezaji wa Yanga ilikuwa nzuri , hapo ikawa rahisi kwa Yanga kufika eneo la mwisho baada ya hapo ni Yanga kuwa wafanisi mbele ya goli (unatumiaje nafasi kuimaliza game) . ✍️ Maxi na Pacome waliuliza maswali magumu kwa walinzi wa Coastal walibadilishana nafasi kutokana na wapi mpira ulipo , nafasi zilikuwepo hasa kwenye zile “Half Spaces” na ndio maana pamoja na Coastal kuzuia wakiwa chini mda mwingi lakini Yanga waliwafungua kirahisi kwasababu wachezaji wao walikuwa mara nyingi wanachelewa kufika kwenye eneo la tukio . ✍️ Nafikiri Coastal walijua kabisa hawawezi kupishana na Yanga kutokana na ubora wa mpinzani wake , wakaamua kuchagua vita yao ya kuzuia wakiwa chini na kuweka mtego wa kushambulia kwa kushtukiza . Lakini kuna nyakati wakivuka kwenye mstari wa kati wanachotegemea ni ubora wa mchezaji mmoja mmoja kufanya jambo kubwa . NOTE : 1: Golikipa wa Coastal “FALESI” kafanya saves nyingi nzuri (kupunguza idadi ya magoli) 2: Maxi na Pacome wamecheza game nzuri sana (Rotation ya nafasi , positioning zao zilikuwa sahihi 🔥) 3: Lawi kacheza vizuri sana kwenye kiungo 👏 nimependa Energy ya Maabad ✅ 4: Pacome goli la 8 kwenye NBCPL ( anakupa magoli na kufanya vitu vingine vitokee uwanjani kwa dribbling na Positioning yake ) FT: Yanga 1-0 Coastal Union . (Kelvin Rabson).
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·961 Views
  • Tabora United imekamilisha usajili wa nahodha wa Mbarara City, Joseph Akandwanaho raia wa Uganda

    Akandwanaho amesaini mkataba wa miaka miwili ya kuitumikia klabu hiyo.

    #NBCPL
    Tabora United 🇹🇿 imekamilisha usajili wa nahodha wa Mbarara City, Joseph Akandwanaho raia wa Uganda 🇺🇬 ➡️ Akandwanaho amesaini mkataba wa miaka miwili ya kuitumikia klabu hiyo. #NBCPL
    Like
    1
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·500 Views

  • NBCPL PRIMIER LEAGUE ITAREJEA TENA MARCH 01

    SIMBA ITAKUWA TIMU YA KWANZA KUONGOZA LIGI KWA MDA MREFU HIVI

    MASHABIKI WANAORUHUSIWA KUWA NA FURAHA NI MASHABIKI WA SIMBA TU MPAKA MWEZI WA 3

    #paulswai
    NBCPL PRIMIER LEAGUE ITAREJEA TENA MARCH 01 SIMBA ITAKUWA TIMU YA KWANZA KUONGOZA LIGI KWA MDA MREFU HIVI MASHABIKI WANAORUHUSIWA KUWA NA FURAHA NI MASHABIKI WA SIMBA TU MPAKA MWEZI WA 3 #paulswai
    Like
    Love
    4
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·657 Views

  • SELEMANI MATOLA " PAMOJA NA UGUMU WAO TUMEJIPANGA KUCHUKUA ALAMA 3" NBCPL: SIMBA SC VS JKT TZ.

    #paulswai
    SELEMANI MATOLA " PAMOJA NA UGUMU WAO TUMEJIPANGA KUCHUKUA ALAMA 3" NBCPL: SIMBA SC VS JKT TZ. #paulswai
    Like
    Love
    2
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·540 Views ·25

  • ALLY SALIM "MAANDALIZI YOTE YA MCHEZO YAMEKAMILIKA" NBCPL: KAGERA SUGAR FC VS SIMBA SC.

    #paulswai
    ALLY SALIM "MAANDALIZI YOTE YA MCHEZO YAMEKAMILIKA" NBCPL: KAGERA SUGAR FC VS SIMBA SC. #paulswai
    Like
    2
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·698 Views
  • Ramovic kama kawaida yake na 4-2-3-1 , wakiwa na umiliki wa mpira wanaswitch na kuwa 2-3-2-3 (CBs wawili nyuma then Kibwana na Yao wanasogea juu mstari mmoja na Aucho huku Duke na Aziz Ki kama namba 10 wawili nyuma ya Pacome , Mzize na Dube walitengeneza uwiano mzuri eneo la mbele wakiwa na mpira kivipi ?

    Yanga kama dakika 30 za kwanza waliutembeza mpira kwa uharaka sana (Decision Making , runners walikuwa wengi eneo la mbele , walipata nafasi kubwa kwenye mpira (Pacome na Mzize) mda mwingi FBs wa Yanga walikuwa pembeni zaidi kwenye chaki….dhumuni ni kutafuta mapana ya uwanja na kuitanua block ya Mashujaa nafasi kwa wale namba 10 wawili + Pacome na Mzize ambao walikuwa wanaingia kwenye Half spaces zikaanza kufunguka .

    Mashujaa kwenye plan ya kuzuia wakiwa chini kwenye “Mid Block” then wakipora mpira haraka sana wanatengeneza mashambulizi kwa kushtukiza (Offesive Transition) na walinufaika na makosa ya safu ya ulinzi kutoka kwa Yanga (Goli la Ulomi “Defense line kusinzia , goli la pili makosa ya golikipa) .

    Mashujaa kuna nyakati kwenye kiungo walicheza vizuri sana , Pasi sahihi , movements lakini pia walitengeneza namba nzuri ya wachezaji (Overloads) ….. kulikuwa na nafasi kubwa kati ya kiungo cha Yanga na walinzi .

    Prince Dube anafunga “Hattrick” ya kwanza msimu huu NBCPL …. Ni mchezo wake bora sana tangia ajiunge na Yanga .

    Kibwana Shomari amecheza game bora sana , Duke akiwa na mali ni ngumu kuchukua …. Wale viungo wa Mashujaa wametoa game bora dhidi ya Yanga . Pacome

    FT : Yanga 3-2 Mashujaa

    Ramovic kama kawaida yake na 4-2-3-1 , wakiwa na umiliki wa mpira wanaswitch na kuwa 2-3-2-3 (CBs wawili nyuma then Kibwana na Yao wanasogea juu mstari mmoja na Aucho huku Duke na Aziz Ki kama namba 10 wawili nyuma ya Pacome , Mzize na Dube walitengeneza uwiano mzuri eneo la mbele wakiwa na mpira kivipi ? Yanga kama dakika 30 za kwanza waliutembeza mpira kwa uharaka sana (Decision Making , runners walikuwa wengi eneo la mbele , walipata nafasi kubwa kwenye mpira (Pacome na Mzize) mda mwingi FBs wa Yanga walikuwa pembeni zaidi kwenye chaki….dhumuni ni kutafuta mapana ya uwanja na kuitanua block ya Mashujaa nafasi kwa wale namba 10 wawili + Pacome na Mzize ambao walikuwa wanaingia kwenye Half spaces zikaanza kufunguka . Mashujaa kwenye plan ya kuzuia wakiwa chini kwenye “Mid Block” then wakipora mpira haraka sana wanatengeneza mashambulizi kwa kushtukiza (Offesive Transition) na walinufaika na makosa ya safu ya ulinzi kutoka kwa Yanga (Goli la Ulomi “Defense line kusinzia , goli la pili makosa ya golikipa) . Mashujaa kuna nyakati kwenye kiungo walicheza vizuri sana , Pasi sahihi , movements lakini pia walitengeneza namba nzuri ya wachezaji (Overloads) ….. kulikuwa na nafasi kubwa kati ya kiungo cha Yanga na walinzi . Prince Dube anafunga “Hattrick” ya kwanza msimu huu NBCPL …. Ni mchezo wake bora sana tangia ajiunge na Yanga . Kibwana Shomari 👏 amecheza game bora sana , Duke akiwa na mali ni ngumu kuchukua …. Wale viungo wa Mashujaa wametoa game bora dhidi ya Yanga . Pacome 👍 FT : Yanga 3-2 Mashujaa
    0 Reacties ·0 aandelen ·880 Views

  • AWESU AWESU " MCHEZO WA KESHO UTAKUA BORA" | NBCPL: SIMBA SC VS KEN GOLD FC.

    #paulswai
    AWESU AWESU " MCHEZO WA KESHO UTAKUA BORA" | NBCPL: SIMBA SC VS KEN GOLD FC. #paulswai
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·637 Views

  • FADLU DAVIS KOCHA MKUU WA SIMBA SC KUHUSU MAANDALIZI YA NBCPL DHIDI YA KENGOLD FC.

    #paulswai
    FADLU DAVIS KOCHA MKUU WA SIMBA SC KUHUSU MAANDALIZI YA NBCPL DHIDI YA KENGOLD FC. #paulswai
    0 Reacties ·0 aandelen ·603 Views
  • #Yangasc
    #Simbasc
    #TFF#NBCPL
    #CAFCL
    #Yangasc #Simbasc #TFF#NBCPL #CAFCL
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·1K Views
  • Matokeo NBCPL
    Matokeo NBCPL
    0 Reacties ·0 aandelen ·373 Views
  • Matokeo NBCPL
    Matokeo NBCPL
    0 Reacties ·0 aandelen ·376 Views
  • Matokeo/ NBCPL
    Matokeo/ NBCPL
    0 Reacties ·0 aandelen ·368 Views
  • ⬛️TAKWIMU ZA GAMONDI SIMBA SC ZINATISHA.

    □Yanga SC 0-0 Simba SC (Ngao 2023)
    □Simba SC 1-5 Yanga SC (NBCPL 2023/24)
    □Yanga SC 2-1 Simba SC (NBCPL 2023/24)
    □Yanga SC 1-0 Simba SC (Ngao 2024)
    □Simba SC 0-1 Yanga SC ((NBCPL 2024/25)

    ⬛️TATHMINI YA MICHEZO HIYO
    ...
    Kwenye michezo mitano dhidi ya Simba SC, MIGUEL GAMONDI...
    ◇Ameshinda 4
    ◇Amesare 1
    ◇Amepoteza 0
    ◇Magoli ya kufunga 9
    ◇Magoli ya kufungwa 2
    ◇Cleansheets 3
    ◇Ameweka rekodi ya kushinda michezo 4 mfululizo.
    🟩🟨⬛️TAKWIMU ZA GAMONDI 🆚 SIMBA SC ZINATISHA. □Yanga SC 🟢0-0🔴 Simba SC↔️ (Ngao 2023) □Simba SC 🔴1-5🟢 Yanga SC ✅ (NBCPL 2023/24) □Yanga SC 🟢2-1🔴 Simba SC ✅ (NBCPL 2023/24) □Yanga SC 🟢1-0🔴 Simba SC ✅ (Ngao 2024) □Simba SC 🔴0-1🟢 Yanga SC ✅ ((NBCPL 2024/25) 🟩🟨⬛️TATHMINI YA MICHEZO HIYO 🔥 🔰... Kwenye michezo mitano dhidi ya Simba SC🔴, MIGUEL GAMONDI... ◇Ameshinda 4 ◇Amesare 1 ◇Amepoteza 0 ◇Magoli ya kufunga 9 ◇Magoli ya kufungwa 2 ◇Cleansheets 3 ◇Ameweka rekodi ya kushinda michezo 4 mfululizo.
    Love
    Like
    9
    · 2 Reacties ·0 aandelen ·825 Views
  • AWESU AWESU AWAITA MASHABIKI KWENYE MCHEZO DHIDI YA KMC FC | NBCPL: SIMBA SC VS KMC FC.

    #paulswai
    AWESU AWESU AWAITA MASHABIKI KWENYE MCHEZO DHIDI YA KMC FC | NBCPL: SIMBA SC VS KMC FC. #paulswai
    Like
    Love
    Haha
    3
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·628 Views ·108
  • Mchezaji Bora wa mechi ya leo kati ya Simba Sc dhidi ya Namungo Fc.

    Shomari Kapombe

    NBCPL
    #paulswai
    Mchezaji Bora wa mechi ya leo kati ya Simba Sc dhidi ya Namungo Fc. ✅ Shomari Kapombe NBCPL 🇹🇿 #paulswai
    Like
    Angry
    2
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·404 Views
  • #NBCPL Valentino Mashaka Mashaka akaikamilisha ‘4G’.

    FT: Simba SC 4-0 Fountain Gate
    #paulswai
    #NBCPL Valentino Mashaka Mashaka akaikamilisha ‘4G’. FT: Simba SC 4-0 Fountain Gate #paulswai
    Like
    Love
    4
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·498 Views ·46
  • #NBCPL Jean Charles Ahoua na chuma cha tatu kwa Mnyama……

    Simba SC 3-0 Fountain Gate
    #NBCPL Jean Charles Ahoua na chuma cha tatu kwa Mnyama…… Simba SC 3-0 Fountain Gate
    Like
    2
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·498 Views ·29
  • #NBCPL Chuma ya pili imetoka kwa ‘straika refu kuliko goli’, akilitendea haki draft lililoanzishwa na Debora, na kupita kwa Balua, Ahoua kabla ya Shomary kutoa assist.

    Simba SC 2-0 Fountain Gate
    #paulswai
    #NBCPL Chuma ya pili imetoka kwa ‘straika refu kuliko goli’, akilitendea haki draft lililoanzishwa na Debora, na kupita kwa Balua, Ahoua kabla ya Shomary kutoa assist. Simba SC 2-0 Fountain Gate #paulswai
    Like
    Love
    2
    · 2 Reacties ·0 aandelen ·497 Views ·36
  • #NBCPL Goli la kwanza la Edwin Balua…..

    Simba SC 1-0 Fountain Gate
    #paulswai
    #NBCPL Goli la kwanza la Edwin Balua….. Simba SC 1-0 Fountain Gate #paulswai
    Like
    Love
    2
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·496 Views ·41
Zoekresultaten