• Nchi ya Kenya yakemea vitendo vya kuwapeleka Vijana wake kwenye vita Nchini Ukraine.

    Serikali ya Kenya imekemea vikali vitendo vya baadhi ya Mawakala wanaodanganya Vijana kwa ahadi za ajira, kisha kuwapeleka moja kwa moja kwenye vita vinavyoendelea nchini Ukraine.

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya, Musalia Mudavadi, amesema: “Tunatarajia kufanya ziara rasmi mjini Moscow kwa mazungumzo na Serikali ya Urusi, lengo likiwa kusitisha kabisa matumizi ya raia wa Kenya katika mapambano haya.”

    Mudavadi alibainisha kuwa tayari Wakenya kadhaa wamefariki dunia, huku wengine wakijeruhiwa vibaya baada ya kudanganywa kuingia mikataba ya kijeshi. Amesema: “Hatukubali upotevu wa maisha ya raia wetu. Hatua za kudumu lazima zichukuliwe.”

    Serikali ya Kenya imelaumu Mawakala wa ajira wanaoshawishi vijana kwa ahadi za mishahara mikubwa, kisha kuwapeleka mstari wa mbele vitani. Ripoti ya hivi karibuni ya shirika la habari la Ufaransa, Agence France-Presse, imethibitisha kuwepo kwa mtandao wa udanganyifu unaowaingiza vijana wasiokuwa na historia ya kijeshi kusaini mikataba na Jeshi la Urusi, kisha kupelekwa haraka kwenye Uwanja wa mapambano.

    Mudavadi amesisitiza kuwa Kenya itafuatilia pia suala la kuachiliwa kwa Wakenya waliokamatwa kama wafungwa wa kivita nchini Ukraine. Amesema hatua hizi ni muhimu ili kulinda maisha ya Raia wake.

    Toa maoni yako
    #Habari
    #Russia #Ukraine #MusaliaMudavadi #Moscow #BreakingNews #WorldNews #VitaUkraine #KenyaAbroad #HumanRights #AfricaNews
    Nchi ya Kenya yakemea vitendo vya kuwapeleka Vijana wake kwenye vita Nchini Ukraine. Serikali ya Kenya imekemea vikali vitendo vya baadhi ya Mawakala wanaodanganya Vijana kwa ahadi za ajira, kisha kuwapeleka moja kwa moja kwenye vita vinavyoendelea nchini Ukraine. Waziri wa Mambo ya Nje wa Kenya, Musalia Mudavadi, amesema: “Tunatarajia kufanya ziara rasmi mjini Moscow kwa mazungumzo na Serikali ya Urusi, lengo likiwa kusitisha kabisa matumizi ya raia wa Kenya katika mapambano haya.” Mudavadi alibainisha kuwa tayari Wakenya kadhaa wamefariki dunia, huku wengine wakijeruhiwa vibaya baada ya kudanganywa kuingia mikataba ya kijeshi. Amesema: “Hatukubali upotevu wa maisha ya raia wetu. Hatua za kudumu lazima zichukuliwe.” Serikali ya Kenya imelaumu Mawakala wa ajira wanaoshawishi vijana kwa ahadi za mishahara mikubwa, kisha kuwapeleka mstari wa mbele vitani. Ripoti ya hivi karibuni ya shirika la habari la Ufaransa, Agence France-Presse, imethibitisha kuwepo kwa mtandao wa udanganyifu unaowaingiza vijana wasiokuwa na historia ya kijeshi kusaini mikataba na Jeshi la Urusi, kisha kupelekwa haraka kwenye Uwanja wa mapambano. Mudavadi amesisitiza kuwa Kenya itafuatilia pia suala la kuachiliwa kwa Wakenya waliokamatwa kama wafungwa wa kivita nchini Ukraine. Amesema hatua hizi ni muhimu ili kulinda maisha ya Raia wake. Toa maoni yako #Habari #Russia #Ukraine #MusaliaMudavadi #Moscow #BreakingNews #WorldNews #VitaUkraine #KenyaAbroad #HumanRights #AfricaNews
    0 Commentaires 2 Parts 62 Vue
  • лазерный маркер
    https://www.russianlaser.com/laser-marking-machine/

    Лазерный маркер предназначен для нанесения четкой и долговечной маркировки на различные материалы. Он используется для серийных номеров, логотипов, штрихкодов и технической информации. Технология обеспечивает высокую скорость работы и стабильное качество без расходных материалов. Лазерный маркер востребован в электронике, машиностроении и производстве комплектующих.
    #лазернаямаркировка #маркировкапродукции
    лазерный маркер https://www.russianlaser.com/laser-marking-machine/ Лазерный маркер предназначен для нанесения четкой и долговечной маркировки на различные материалы. Он используется для серийных номеров, логотипов, штрихкодов и технической информации. Технология обеспечивает высокую скорость работы и стабильное качество без расходных материалов. Лазерный маркер востребован в электронике, машиностроении и производстве комплектующих. #лазернаямаркировка #маркировкапродукции
    0 Commentaires 0 Parts 309 Vue
  • Study MBBS at Northern State Medical University

    Looking to pursue MBBS abroad? Northern State Medical University (NSMU) in Russia is WHO & NMC approved, offers English-medium courses, modern facilities, and practical clinical training.

    Why wait? With Erinadus, get expert guidance for admissions, documentation, and visa support, making your journey smooth and stress-free.

    Start your medical career with confidence today!

    Call: +91 8586024453
    Email: [email protected]
    Website: https://erinadus.com

    #NorthernStateMedicalUniversity #MBBSinRussia #StudyMBBSAbroad #NMCApproved #WHORecognized #Erinadus
    Study MBBS at Northern State Medical University 🩺🌍 Looking to pursue MBBS abroad? 🤔 Northern State Medical University (NSMU) in Russia is WHO & NMC approved, offers English-medium courses, modern facilities, and practical clinical training. 🏥📚 Why wait? With Erinadus, get expert guidance for admissions, documentation, and visa support, making your journey smooth and stress-free. ✨ Start your medical career with confidence today! 📞 Call: +91 8586024453 📧 Email: [email protected] 🌐 Website: https://erinadus.com #NorthernStateMedicalUniversity #MBBSinRussia #StudyMBBSAbroad #NMCApproved #WHORecognized #Erinadus
    0 Commentaires 0 Parts 931 Vue
  • MBBS at Far Eastern Medical University?

    Looking for an affordable and globally recognized MBBS abroad option? Have you considered Far Eastern Medical University (FEMU), Russia?

    Why choose FEMU? It offers NMC & WHO recognized MBBS programs, English-medium education, and strong clinical exposure through affiliated hospitals.

    Worried about studying in Russia? With safe hostels, low living costs, and a supportive international environment, FEMU makes your journey comfortable.

    Need help with admissions or visas? Erinadus provides complete guidance from start to finish.

    Call: +91 8586024453
    Email: [email protected]
    Website: https://erinadus.com

    Start your medical journey with confidence today.

    #FarEasternMedicalUniversity #MBBSinRussia #StudyMBBSAbroad #Erinadus #FutureDoctors
    🌍 MBBS at Far Eastern Medical University? 🩺 Looking for an affordable and globally recognized MBBS abroad option? 🤔 Have you considered Far Eastern Medical University (FEMU), Russia? Why choose FEMU? It offers NMC & WHO recognized MBBS programs, English-medium education, and strong clinical exposure through affiliated hospitals. 🏥📚 Worried about studying in Russia? With safe hostels, low living costs, and a supportive international environment, FEMU makes your journey comfortable. 🌍✨ Need help with admissions or visas? Erinadus provides complete guidance from start to finish. 🤝 📞 Call: +91 8586024453 📧 Email: [email protected] 🌐 Website: https://erinadus.com Start your medical journey with confidence today. #FarEasternMedicalUniversity #MBBSinRussia #StudyMBBSAbroad #Erinadus #FutureDoctors
    0 Commentaires 0 Parts 906 Vue
  • Study MBBS at Bashkir State Medical University

    Planning to study MBBS abroad at a globally recognized university? Have you considered Bashkir State Medical University (BSMU), Russia?

    Why do students choose BSMU? Is it because of its NMC & WHO approval, English-medium education, and strong clinical training? Wouldn’t you want a medical degree accepted worldwide?

    Worried about admissions or life in Russia? With NEET qualification, affordable fees, and safe hostels, BSMU makes MBBS simple and student-friendly. Why handle the process alone when expert guidance is available?

    At Erinadus, we support you from admission to visa and beyond. Ready to start your medical journey?

    Call: +91 8586024453
    Email: [email protected]
    Website: https://erinadus.com

    #BashkirStateMedicalUniversity #MBBSinRussia #StudyAbroad #Erinadus #FutureDoctors
    Study MBBS at Bashkir State Medical University Planning to study MBBS abroad at a globally recognized university? Have you considered Bashkir State Medical University (BSMU), Russia? 🩺🌍 Why do students choose BSMU? Is it because of its NMC & WHO approval, English-medium education, and strong clinical training? Wouldn’t you want a medical degree accepted worldwide? Worried about admissions or life in Russia? With NEET qualification, affordable fees, and safe hostels, BSMU makes MBBS simple and student-friendly. Why handle the process alone when expert guidance is available? At Erinadus, we support you from admission to visa and beyond. Ready to start your medical journey? 🚀🎓 📞 Call: +91 8586024453 📧 Email: [email protected] 🌐 Website: https://erinadus.com #BashkirStateMedicalUniversity #MBBSinRussia #StudyAbroad #Erinadus #FutureDoctors
    0 Commentaires 0 Parts 950 Vue
  • ручной лазерный сварочный аппарат
    https://www.russianlaser.com/handheld-laser-welder/

    Ручной лазерный сварочный аппарат сочетает простоту управления и высокую точность сварки. Такое оборудование удобно для выполнения сложных соединений, ремонта изделий и мелких производственных операций. Эргономичный дизайн облегчает длительную работу, а стабильный лазерный луч обеспечивает ровный и эстетичный шов. Аппарат используется в машиностроении, рекламе, изготовлении металлоконструкций и других областях, где важна аккуратность обработки.

    #ручнаясварка #лазернаятехнология #точнаясварка
    ручной лазерный сварочный аппарат https://www.russianlaser.com/handheld-laser-welder/ Ручной лазерный сварочный аппарат сочетает простоту управления и высокую точность сварки. Такое оборудование удобно для выполнения сложных соединений, ремонта изделий и мелких производственных операций. Эргономичный дизайн облегчает длительную работу, а стабильный лазерный луч обеспечивает ровный и эстетичный шов. Аппарат используется в машиностроении, рекламе, изготовлении металлоконструкций и других областях, где важна аккуратность обработки. #ручнаясварка #лазернаятехнология #точнаясварка
    0 Commentaires 0 Parts 239 Vue
  • китайская лазерная сварка

    https://www.russianlaser.com/welder/

    Китайская лазерная сварка привлекает внимание благодаря сочетанию технологичности, производительности и доступности. Она позволяет выполнять точное соединение металлических деталей с минимальным тепловым воздействием. Оборудование этого типа используется в машиностроении, ремонте, производстве изделий из металла и в мелких мастерских. Технология демонстрирует устойчивое качество и подходит для выполнения как простых, так и профессиональных сварочных работ.

    #китайскаясварка #лазернаясварка
    китайская лазерная сварка https://www.russianlaser.com/welder/ Китайская лазерная сварка привлекает внимание благодаря сочетанию технологичности, производительности и доступности. Она позволяет выполнять точное соединение металлических деталей с минимальным тепловым воздействием. Оборудование этого типа используется в машиностроении, ремонте, производстве изделий из металла и в мелких мастерских. Технология демонстрирует устойчивое качество и подходит для выполнения как простых, так и профессиональных сварочных работ. #китайскаясварка #лазернаясварка
    0 Commentaires 0 Parts 453 Vue
  • лазерный удалитель ржавчины
    https://www.russianlaser.com/laser-rust-remover/

    Профессиональный лазерный удалитель ржавчины позволяет аккуратно убирать слои коррозии с металла, сохраняя его структуру. Лазер работает локально, обеспечивая высокую точность обработки и чистый результат. Он подходит для автомобильной сферы, промышленного производства и реставрации металлических изделий. Устройство помогает ускорить процессы очистки, повысить качество обработки и уменьшить затраты на обслуживание.
    #лазернаяочистка #удалениержавчины #оборудование #инновации
    лазерный удалитель ржавчины https://www.russianlaser.com/laser-rust-remover/ Профессиональный лазерный удалитель ржавчины позволяет аккуратно убирать слои коррозии с металла, сохраняя его структуру. Лазер работает локально, обеспечивая высокую точность обработки и чистый результат. Он подходит для автомобильной сферы, промышленного производства и реставрации металлических изделий. Устройство помогает ускорить процессы очистки, повысить качество обработки и уменьшить затраты на обслуживание. #лазернаяочистка #удалениержавчины #оборудование #инновации
    0 Commentaires 0 Parts 348 Vue
  • волоконный лазерный маркер
    https://www.russianlaser.com/fiber-laser-marking-machine/

    Волоконный лазерный маркер — это современное оборудование для точной, быстрой и долговечной маркировки металлических и неметаллических поверхностей. Благодаря использованию волоконного источника лазера, он отличается высокой эффективностью, низким энергопотреблением и минимальным обслуживанием. Идеален для серийного производства, где важна четкость и стабильность результатов.
    #волоконныйлазер #лазерныймаркер
    волоконный лазерный маркер https://www.russianlaser.com/fiber-laser-marking-machine/ Волоконный лазерный маркер — это современное оборудование для точной, быстрой и долговечной маркировки металлических и неметаллических поверхностей. Благодаря использованию волоконного источника лазера, он отличается высокой эффективностью, низким энергопотреблением и минимальным обслуживанием. Идеален для серийного производства, где важна четкость и стабильность результатов. #волоконныйлазер #лазерныймаркер
    0 Commentaires 0 Parts 588 Vue
  • лазерный сварочный аппарат
    https://www.russianlaser.com/welder/

    Лазерный сварочный аппарат — это современное решение для точной и прочной сварки различных металлов. Он обеспечивает высокую скорость работы, минимальную деформацию и отличное качество шва. Такое оборудование идеально подходит для промышленного и производственного применения, где важны надежность и эффективность.

    #лазернаясварка #лазерныйсварочныйаппарат
    лазерный сварочный аппарат https://www.russianlaser.com/welder/ Лазерный сварочный аппарат — это современное решение для точной и прочной сварки различных металлов. Он обеспечивает высокую скорость работы, минимальную деформацию и отличное качество шва. Такое оборудование идеально подходит для промышленного и производственного применения, где важны надежность и эффективность. #лазернаясварка #лазерныйсварочныйаппарат
    0 Commentaires 0 Parts 425 Vue
  • EXCL: Manchester imeanza kuulizia huduma ya kinda wa Borussia Dortmund Jobe Bellingham.

    #TheAthleticFC
    🚨 EXCL: Manchester imeanza kuulizia huduma ya kinda wa Borussia Dortmund Jobe Bellingham. #TheAthleticFC
    0 Commentaires 0 Parts 292 Vue
  • Borussia Dortmund wako karibu kumsajili kiungo Carney Chukwuemeka kwa usajili wa kudumu kutoka Chelsea na Beki Aaron Anselmino kwa mkopo.

    Source Pletti Goal

    #SportsElite
    🚨 Borussia Dortmund wako karibu kumsajili kiungo Carney Chukwuemeka kwa usajili wa kudumu kutoka Chelsea na Beki Aaron Anselmino kwa mkopo. 🟡 🇩🇪 Source Pletti Goal #SportsElite
    0 Commentaires 0 Parts 717 Vue
  • RASMI: Hivi ndiyo viwango vipya vya klabu bora barani Ulaya (UEFA) kwa sasa

    1️⃣ Real Madrid
    2️⃣ Bayern Munich
    3️⃣ Inter Milan
    4️⃣ Manchester City
    5️⃣ Liverpool
    6️⃣ Paris Saint-Germain
    7️⃣ Bayer Leverkusen
    8️⃣ Borussia Dortmund
    9️⃣ Barcelona
    AS Roma
    🚨 RASMI: Hivi ndiyo viwango vipya vya klabu bora barani Ulaya (UEFA) kwa sasa 1️⃣ Real Madrid 🇪🇸 2️⃣ Bayern Munich 🇩🇪 ⬆️ 3️⃣ Inter Milan 🇮🇹 ⬆️ 4️⃣ Manchester City 🏴⬇️ 5️⃣ Liverpool 🏴⬇️ 6️⃣ Paris Saint-Germain 🇫🇷 ⬇️ 7️⃣ Bayer Leverkusen 🇩🇪 ⬆️ 8️⃣ Borussia Dortmund 🇩🇪 ⬆️ 9️⃣ Barcelona 🇪🇸 ⬆️ 🔟 AS Roma 🇮🇹 ⬇️
    0 Commentaires 0 Parts 563 Vue
  • RASMI

    Franck Honorat amesaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia klabu yake ya Borussia Mönchengladbach hadi mwaka 2029!

    #SportsElite
    RASMI ✅ Franck Honorat amesaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia klabu yake ya Borussia Mönchengladbach hadi mwaka 2029! ✍️💚 #SportsElite
    0 Commentaires 0 Parts 103 Vue
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Chelsea imekamilisha usajiri wa Jamie Gittens (20) kutoka Borussia Dortmund! ⚡️

    Ada ya uhamisho £48.5m na nyongeza ya £3.5m,
    @EnochArthur.

    #SportsElite
    🚨🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Chelsea imekamilisha usajiri wa Jamie Gittens (20) kutoka Borussia Dortmund! ⚡️🔵 Ada ya uhamisho £48.5m na nyongeza ya £3.5m, @EnochArthur. #SportsElite
    0 Commentaires 0 Parts 282 Vue
  • Vilabu 5 vya Ujerumani viko kwenye vita vya kumsaka mchezaji wa Manchester City James McAtee:

    Borussia Dortmund
    Bayer Leverkusen
    Eintracht Frankfurt
    RB Leipzig
    Stuttgart

    (Source: The Times)

    #SportsElite
    🚨 Vilabu 5 vya Ujerumani viko kwenye vita vya kumsaka mchezaji wa Manchester City James McAtee: 🔸 Borussia Dortmund 🔸 Bayer Leverkusen 🔸 Eintracht Frankfurt 🔸 RB Leipzig 🔸 Stuttgart (Source: The Times) #SportsElite
    Like
    1
    0 Commentaires 0 Parts 299 Vue
  • Rais wa Marekani , Donald Trump ametoa siri kuwa Ofisi yake imepokea barua kutoka kwa Rais wa Ukraine , Volodymyr Zelensky, ikisema yuko tayari kwa mazungumzo na Russia na kusaini makubaliano ya madini adimu.

    “Ukraine iko tayari kukaa kwenye meza ya mazungumzo haraka iwezekanavyo ili kuleta amani ya kudumu. Hakuna anayetaka amani zaidi ya Waukraine,” Trump amesema katika hotuba yake bungeni usiku wa kuamkia leo huku akinukuu barua hiyo.

    “Mimi na timu yangu tuko tayari kufanya kazi chini ya uongozi thabiti wa Rais Trump ili kupata amani ya kudumu’,” Trump alinukuu maneno ya Zelenskyy.

    “Si hilo lingekuwa jambo zuri?” aliuliza. “Ni wakati wa kukomesha huu upuuzi. Ni wakati wa kusitisha mauaji. Ni wakati wa kumaliza vita hivi visivyo na maana. Ukitaka kumaliza vita, lazima uzungumze na pande zote mbili,” amesema Trump.

    Kauli hiyo ya Trump imekuja siku chache baada ya mvutano mkali kati yake na Zelenskyy katika Ofisi ya Oval iliyoko Ikulu ya White House, hali iliyosababisha Marekani kusitisha msaada muhimu wa kijeshi kwa Ukraine.

    Rais wa Marekani 🇺🇸, Donald Trump ametoa siri kuwa Ofisi yake imepokea barua kutoka kwa Rais wa Ukraine 🇺🇦, Volodymyr Zelensky, ikisema yuko tayari kwa mazungumzo na Russia 🇷🇺 na kusaini makubaliano ya madini adimu. “Ukraine iko tayari kukaa kwenye meza ya mazungumzo haraka iwezekanavyo ili kuleta amani ya kudumu. Hakuna anayetaka amani zaidi ya Waukraine,” Trump amesema katika hotuba yake bungeni usiku wa kuamkia leo huku akinukuu barua hiyo. “Mimi na timu yangu tuko tayari kufanya kazi chini ya uongozi thabiti wa Rais Trump ili kupata amani ya kudumu’,” Trump alinukuu maneno ya Zelenskyy. “Si hilo lingekuwa jambo zuri?” aliuliza. “Ni wakati wa kukomesha huu upuuzi. Ni wakati wa kusitisha mauaji. Ni wakati wa kumaliza vita hivi visivyo na maana. Ukitaka kumaliza vita, lazima uzungumze na pande zote mbili,” amesema Trump. Kauli hiyo ya Trump imekuja siku chache baada ya mvutano mkali kati yake na Zelenskyy katika Ofisi ya Oval iliyoko Ikulu ya White House, hali iliyosababisha Marekani kusitisha msaada muhimu wa kijeshi kwa Ukraine.
    Like
    1
    0 Commentaires 0 Parts 838 Vue
  • Mazungunzo kati ya Rais wa Marekani , Donald Trump na Rais wa Ukraine , Volorymyr Zelensky yameishia njiani baada ya kushindwa kuelewana kuhusu hatima ya vita ya Russia dhidi ya Ukraine. Ilianza kama utani wakati wa kikao hicho ambacho kimehudhuriwa na Makamu wa Rais wa Marekani JD Vance na Waandishi wa Habari.

    Kila upande ulianza kuelezea kile ambacho wamejadiliana kuhusiana na makubaliano yaliyokuwa yanatarajiwa kutiwa saini. Awali Trump alieleza kuwa makubaliano hayo ni pamoja na kusaini mkataba unaoiruhusu Marekani kuchimba madini adimu (rare minerals) katika ardhi ya Ukraine.

    Wakati mrejesho wa hatua iliyofikiwa kuhusu makubaliano hayo ya mkataba wa madini mambo yalikuwa sawa ila yakaanza kwenda mrama pale Trump alipohamisha mada na kuingia suala la kupata mwafaka wa mzozo kati ya Ukraine na Russia ya Vladimir Putin.

    Trump kwenye suala hilo alienda moja kwa moja na kumtaka Rais Zelensky, kuingia makubaliano na Russia ya kumaliza vita hivyo, la sivyo Marekani itajindoa katika mazungumzo hayo na haitoendelea kuifadhili tena wala kuipatia misaada Ukraine. Wawili hao walikatizana mara kwa mara wakati wa majibizano yao kwa namna isiyo ya kawaida ndani ya Marekani (White House).

    Mazungunzo kati ya Rais wa Marekani 🇺🇸, Donald Trump na Rais wa Ukraine 🇺🇦, Volorymyr Zelensky yameishia njiani baada ya kushindwa kuelewana kuhusu hatima ya vita ya Russia 🇷🇺 dhidi ya Ukraine. Ilianza kama utani wakati wa kikao hicho ambacho kimehudhuriwa na Makamu wa Rais wa Marekani JD Vance na Waandishi wa Habari. Kila upande ulianza kuelezea kile ambacho wamejadiliana kuhusiana na makubaliano yaliyokuwa yanatarajiwa kutiwa saini. Awali Trump alieleza kuwa makubaliano hayo ni pamoja na kusaini mkataba unaoiruhusu Marekani kuchimba madini adimu (rare minerals) katika ardhi ya Ukraine. Wakati mrejesho wa hatua iliyofikiwa kuhusu makubaliano hayo ya mkataba wa madini mambo yalikuwa sawa ila yakaanza kwenda mrama pale Trump alipohamisha mada na kuingia suala la kupata mwafaka wa mzozo kati ya Ukraine na Russia ya Vladimir Putin. Trump kwenye suala hilo alienda moja kwa moja na kumtaka Rais Zelensky, kuingia makubaliano na Russia ya kumaliza vita hivyo, la sivyo Marekani itajindoa katika mazungumzo hayo na haitoendelea kuifadhili tena wala kuipatia misaada Ukraine. Wawili hao walikatizana mara kwa mara wakati wa majibizano yao kwa namna isiyo ya kawaida ndani ya Marekani (White House).
    Like
    1
    0 Commentaires 0 Parts 1KB Vue
  • Rais wa Urusi , Vladimir Putin amewaalika Rais China , Xi Jinping na Rais wa Marekani , Donald Trump kuhudhuria sherehe maarufu za Ushindi wa Urusi katika vita kuu ya pili ya Dunia (Russia’s Victory Parade) zitakazofanyika tarehe 9 Mwezi May Jijini Moscow Nchini Urusi. Mwaliko huu unatokana na ombi la Rais Donald Trump la tarehe 11 Feb 2025 alipoomba kuzuru Moscow kwa lengo la kumaliza mgogoro wa Ukraine, Kikao kilichotokana na ombi hili kilifanywa kwa njia ya simu ambapo pamoja na mambo mengine, Trump alimhakikishia Putin kwamba Marekani itaacha ufadhili wa kijeshi kwa Ukraine na pia Ukraine itaachia sehemu ya ardhi yake iliyotwaliwa kama dhamana ya usalama wake dhidi ya Moscow.

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Washington katika taarifa yake ilikazia na kusisitiza kile alichokizungumza Trump na Moscow na kwamba Marekani inakusudia kumaliza tofauti zao kidunia. Utawala wa Trump umekuwa na juhudi kubwa kumaliza mizozo mikubwa duniani ambayo Ikulu hiyo ilikuwa ikifadhili na kuanzisha uchokozi kwa muda mrefu, Ukiachiliambali mgogoro wa Ukraine, pia Washington inashughulika kumaliza mgogoro wa Mashariki ya Kati huko Gaza ambapo mamia ya watu wameuawa kwa ufadhili wa Marekani hiyohiyo.

    Rais wa Urusi 🇷🇺, Vladimir Putin amewaalika Rais China 🇨🇳, Xi Jinping na Rais wa Marekani 🇺🇸, Donald Trump kuhudhuria sherehe maarufu za Ushindi wa Urusi katika vita kuu ya pili ya Dunia (Russia’s Victory Parade) zitakazofanyika tarehe 9 Mwezi May Jijini Moscow Nchini Urusi. Mwaliko huu unatokana na ombi la Rais Donald Trump la tarehe 11 Feb 2025 alipoomba kuzuru Moscow kwa lengo la kumaliza mgogoro wa Ukraine, Kikao kilichotokana na ombi hili kilifanywa kwa njia ya simu ambapo pamoja na mambo mengine, Trump alimhakikishia Putin kwamba Marekani itaacha ufadhili wa kijeshi kwa Ukraine na pia Ukraine itaachia sehemu ya ardhi yake iliyotwaliwa kama dhamana ya usalama wake dhidi ya Moscow. Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Washington katika taarifa yake ilikazia na kusisitiza kile alichokizungumza Trump na Moscow na kwamba Marekani inakusudia kumaliza tofauti zao kidunia. Utawala wa Trump umekuwa na juhudi kubwa kumaliza mizozo mikubwa duniani ambayo Ikulu hiyo ilikuwa ikifadhili na kuanzisha uchokozi kwa muda mrefu, Ukiachiliambali mgogoro wa Ukraine, pia Washington inashughulika kumaliza mgogoro wa Mashariki ya Kati huko Gaza ambapo mamia ya watu wameuawa kwa ufadhili wa Marekani hiyohiyo.
    Like
    1
    0 Commentaires 0 Parts 1KB Vue