• Stress-Free Airport Travel for Seniors

    Make every journey comfortable with our Senior Citizen Travel Support.
    We provide wheelchair assistance, meet & assist service, baggage help, and priority airport support for a smooth travel experience.

    Book Senior Travel Assistance Today!
    www.jodogoairportassist.com
    +1(325) 225 5550

    #SeniorTravelSupport #AirportAssist #WheelchairAssistance #SeniorFriendlyTravel
    #AirportAssistance #LHR #DXB #AUH #LAX #ICN #DFW #ORD #DEL #MIA #Jeddah #RUH #EWR #JFK #MobilitySupport #TravelWithCare #HassleFreeTravel #AirportSupport #JodogoAirportAssist
    ✈️ Stress-Free Airport Travel for Seniors Make every journey comfortable with our Senior Citizen Travel Support. We provide wheelchair assistance, meet & assist service, baggage help, and priority airport support for a smooth travel experience. Book Senior Travel Assistance Today! 🌐 www.jodogoairportassist.com 📞 +1(325) 225 5550 #SeniorTravelSupport #AirportAssist #WheelchairAssistance #SeniorFriendlyTravel #AirportAssistance #LHR #DXB #AUH #LAX #ICN #DFW #ORD #DEL #MIA #Jeddah #RUH #EWR #JFK #MobilitySupport #TravelWithCare #HassleFreeTravel #AirportSupport #JodogoAirportAssist ✈️
    0 التعليقات 0 المشاركات 34 مشاهدة
  • INUKA WEWE!!
    luka 8:51-56
    Kisa cha mtoto wa mkuu wa sinagogi ambaye alikuja kumuomba Yesu akamponye mtoto wake lakini kabla hata hajaenda walimletea taarifa kuwa binti yake amefariki tayari.

    Yesu kabla ajaenda kwake anamwambia mambo mawili makubwa *usiwe na hofu* na *Amini tu* mtoto wako ataponywa.

    Kumbuka huyu mtoto amekufa anawakuta wanalia anawambia msilie wao wanamcheka na sababu ya kumcheka ni wanauhakika kuwa amekufa tayari.

    Lakini Yesu anamshika anamwita yule mtoto anainuka.

    Nini ninacho jiuliza kwanini Yesu asemi fufuka anamwita kwa kumuamsha pia alifanya hivyo kwa Lazaro aliye kaa kaburini siku nne.

    Najifunza nini
    Kufa ni usingizi wa milele lakini ikitokea nguvu kubwa kuliko maiti inaweza kuamshwa kwa kuitwa na ikasikia.

    Kuna sehemu watu walio kufa au vitu vinavyo kufa huwa vinahifadhiwa sauti yako ikifanikiwa kupenya mpaka kwenye eneo hilo kitu kinarudi hai tena.

    Kumbe mahusiano,ndoa ,kazi , biashara iliyokufa inahitaji mtu aiite kwa sauti na mamlaka ili irudi kuwa hai tena.

    Hakuna kinacho kufa harafu hakiwezi kurudi kwa kuwa kinakuwa kimelala na kchochote kilicho lala kinaweza kuamshwa tena

    Tunakubaliana sote kila kazi yangu ambayo katika ulimwengu wa damu na nyama ikaonekana imekufa naiamsha tena kwa kuiita kwa sautu kuu INUKA ,INUKA ,INUKA KATIKA JINA LA YESU.

    Nakuombea nawe pia kila mahusiano,ndoa ,iliyo kuwa imekufa nayaamsha tena amka katika jina la YESU KRISTO MWANA WA MUNGU ALIYE HAI.

    SEMA NAMI AMKA ,AMKA,MKA EWE BIASHARA,EWE NDOA ,EWE KIBALI,EWE HUDUMA,EWE KARAMA ,EWE NDOA ,EWE MCHUMBA ULIYE LALA YESU ANAKUITA ANASEMA AMKA ,AMKA ,AMKA KATIKA JINA NA UWEZA WA DAMU YAKE KRISTO YESU WA NAZARETH.

    Namuona mtu mmoja anakwenda kunyanyuka na kuinuka tena kutoka katika usingizi mzito aliyo kuwa amelala ,2026 utanyanyuka tena na kufufuka tena kwa mbio mpya ,unakwenda kuwa na njaa ya mafanikio kwa ukubwa kiwango ambacho mbingu itashindwa kujizuia kukuahibisha mema na matunda yake kwa jina la Yesu.

    Nimetumwa nikwambie kuwa.

    Warumi 8:11
    [11]Lakini, ikiwa Roho yake yeye aliyemfufua Yesu katika wafu anakaa ndani yenu, yeye aliyemfufua Kristo Yesu katika wafu ataihuisha na miili yenu iliyo katika hali ya kufa, kwa Roho wake anayekaa ndani yenu.

    Sema lazima nitafufuka tena kwa sababu roho yule yule aliye mfufua Kristi ndiye atakaye uisha karama na huduma yangu iliyo katika hali ya kufa.

    Sylvester Mwakabende (0622625340)
    #2026_sisi_ndiyo_wale_tunao_piganiwa_na_Bwaan
    INUKA WEWE!! luka 8:51-56 Kisa cha mtoto wa mkuu wa sinagogi ambaye alikuja kumuomba Yesu akamponye mtoto wake lakini kabla hata hajaenda walimletea taarifa kuwa binti yake amefariki tayari. Yesu kabla ajaenda kwake anamwambia mambo mawili makubwa *usiwe na hofu* na *Amini tu* mtoto wako ataponywa. Kumbuka huyu mtoto amekufa anawakuta wanalia anawambia msilie wao wanamcheka na sababu ya kumcheka ni wanauhakika kuwa amekufa tayari. Lakini Yesu anamshika anamwita yule mtoto anainuka. Nini ninacho jiuliza kwanini Yesu asemi fufuka anamwita kwa kumuamsha pia alifanya hivyo kwa Lazaro aliye kaa kaburini siku nne. Najifunza nini ⏩ Kufa ni usingizi wa milele lakini ikitokea nguvu kubwa kuliko maiti inaweza kuamshwa kwa kuitwa na ikasikia. ⏩Kuna sehemu watu walio kufa au vitu vinavyo kufa huwa vinahifadhiwa sauti yako ikifanikiwa kupenya mpaka kwenye eneo hilo kitu kinarudi hai tena. Kumbe mahusiano,ndoa ,kazi , biashara iliyokufa inahitaji mtu aiite kwa sauti na mamlaka ili irudi kuwa hai tena. ⏩Hakuna kinacho kufa harafu hakiwezi kurudi kwa kuwa kinakuwa kimelala na kchochote kilicho lala kinaweza kuamshwa tena Tunakubaliana sote kila kazi yangu ambayo katika ulimwengu wa damu na nyama ikaonekana imekufa naiamsha tena kwa kuiita kwa sautu kuu INUKA ,INUKA ,INUKA KATIKA JINA LA YESU. Nakuombea nawe pia kila mahusiano,ndoa ,iliyo kuwa imekufa nayaamsha tena amka katika jina la YESU KRISTO MWANA WA MUNGU ALIYE HAI. SEMA NAMI AMKA ,AMKA,MKA EWE BIASHARA,EWE NDOA ,EWE KIBALI,EWE HUDUMA,EWE KARAMA ,EWE NDOA ,EWE MCHUMBA ULIYE LALA YESU ANAKUITA ANASEMA AMKA ,AMKA ,AMKA KATIKA JINA NA UWEZA WA DAMU YAKE KRISTO YESU WA NAZARETH. Namuona mtu mmoja anakwenda kunyanyuka na kuinuka tena kutoka katika usingizi mzito aliyo kuwa amelala ,2026 utanyanyuka tena na kufufuka tena kwa mbio mpya ,unakwenda kuwa na njaa ya mafanikio kwa ukubwa kiwango ambacho mbingu itashindwa kujizuia kukuahibisha mema na matunda yake kwa jina la Yesu. Nimetumwa nikwambie kuwa. Warumi 8:11 [11]Lakini, ikiwa Roho yake yeye aliyemfufua Yesu katika wafu anakaa ndani yenu, yeye aliyemfufua Kristo Yesu katika wafu ataihuisha na miili yenu iliyo katika hali ya kufa, kwa Roho wake anayekaa ndani yenu. Sema lazima nitafufuka tena kwa sababu roho yule yule aliye mfufua Kristi ndiye atakaye uisha karama na huduma yangu iliyo katika hali ya kufa. Sylvester Mwakabende (0622625340) #2026_sisi_ndiyo_wale_tunao_piganiwa_na_Bwaan
    0 التعليقات 0 المشاركات 917 مشاهدة
  • 🎙 " Tumezoea kuwaona wakiongoza msimamo lakini mwisho wa siku wanakosa Ubingwa ila huu ni mwaka wao Sikuwahi kuwa na Uhakika na kitu lakini msimu huu nauhakika ni mwaka Wao".

    " Arsenal wamekuwa tofauti na misimu ya nyuma wanajiamini sanaa wanacheza kitimu na kubwa zaidi wameweza kuyaziba mapungufu yao yaliyokuwa yakiwasumbua misimu ya nyuma"

    " Imani yangu huu ndio wakati wa Arsenal kuchukua Ubingwa".

    Gary Neville
    ✍️🎙 " Tumezoea kuwaona wakiongoza msimamo lakini mwisho wa siku wanakosa Ubingwa ila huu ni mwaka wao Sikuwahi kuwa na Uhakika na kitu lakini msimu huu nauhakika ni mwaka Wao". " Arsenal wamekuwa tofauti na misimu ya nyuma wanajiamini sanaa wanacheza kitimu na kubwa zaidi wameweza kuyaziba mapungufu yao yaliyokuwa yakiwasumbua misimu ya nyuma" " Imani yangu huu ndio wakati wa Arsenal kuchukua Ubingwa". 🇵🇹 Gary Neville
    Like
    1
    0 التعليقات 0 المشاركات 582 مشاهدة

  • Alhamdulillah mashallah tumeiona Tena

    Leo ime siku ya KUTOA sadaka tulishe watoto wetu kwa kidogo tulicho barikiwa kwenye maisha yetU

    Watoto wanauhitaji WA UNGA NA MCHELE

    MCHELE KG 100 =200,000/TZSH
    UNGA KG 50 = 55000/tzsh

    0655987549
    Mixx but Yas/call
    Moza MohamedIjumaa nyongine Leo nzuri
    Alhamdulillah mashallah tumeiona Tena

    Leo ime siku ya KUTOA sadaka tulishe watoto wetu kwa kidogo tulicho barikiwa kwenye maisha yetU

    Watoto wanauhitaji WA UNGA NA MCHELE

    MCHELE KG 100 =200,000/TZSH
    UNGA KG 50 = 55000/tzsh

    0655987549
    Mixx but Yas/call
    Moza Mohamed
    Alhamdulillah mashallah tumeiona Tena Leo ime siku ya KUTOA sadaka tulishe watoto wetu kwa kidogo tulicho barikiwa kwenye maisha yetU Watoto wanauhitaji WA UNGA NA MCHELE MCHELE KG 100 =200,000/TZSH UNGA KG 50 = 55000/tzsh 0655987549 Mixx but Yas/call Moza MohamedIjumaa nyongine Leo nzuri Alhamdulillah mashallah tumeiona Tena Leo ime siku ya KUTOA sadaka tulishe watoto wetu kwa kidogo tulicho barikiwa kwenye maisha yetU Watoto wanauhitaji WA UNGA NA MCHELE MCHELE KG 100 =200,000/TZSH UNGA KG 50 = 55000/tzsh 0655987549 Mixx but Yas/call Moza Mohamed
    Like
    1
    0 التعليقات 0 المشاركات 1كيلو بايت مشاهدة
  • Usichanganye hivi vitu viwili, ni tofauti sana. Mapenzi na upendo, hivi ni vitu tofauti. Mapenzi Yana utumwa lakini upendo una uhuru, mapenzi yana visasi lakini upendo una msamaha, mapenzi yanamiliki lakini upendo una utu, mapenzi yana mwisho lakini upendo ni wa milele.

    Mahusiano ya mwanaume na mwanamke ni mapenzi siyo upendo. Huu ni muungano wa kimaslahi, utake usitake ni maslahi. Kila upande una maslahi yake na siyo upendo. Angalia wanavyohesabiana waliyofanyiana aidha mema au mabaya siku wanapoachana. Upendo huwa hauhesabu na hauna kumbukumbu kabisa.

    Mtu akikuambia nilikupenda sana, wala usijione na hatia, huyo muongo mkubwa. Neno analotakiwa kusema ni "nilikuwa na hisia kali za mapenzi kwako". Huwezi kumpiga mtu unayempenda, wala huwezi kutamani apatwe na mabaya sababu amekuacha. Mtu unayempenda utamtakia mema hata kama kukuacha kwake kulikuumiza. Siku zote utamuunga mkono kwa lolote linalompa furaha na amani hata kama ni kukuacha.

    Usichanganye upendo na mapenzi ni vitu tofauti. Upendo ni nishati ya asili inayoishi ndani ya mtu lakini mapenzi ni hisia inayotokana na mvuto wa kimahaba.
    Usichanganye hivi vitu viwili, ni tofauti sana. Mapenzi na upendo, hivi ni vitu tofauti. Mapenzi Yana utumwa lakini upendo una uhuru, mapenzi yana visasi lakini upendo una msamaha, mapenzi yanamiliki lakini upendo una utu, mapenzi yana mwisho lakini upendo ni wa milele. Mahusiano ya mwanaume na mwanamke ni mapenzi siyo upendo. Huu ni muungano wa kimaslahi, utake usitake ni maslahi. Kila upande una maslahi yake na siyo upendo. Angalia wanavyohesabiana waliyofanyiana aidha mema au mabaya siku wanapoachana. Upendo huwa hauhesabu na hauna kumbukumbu kabisa. Mtu akikuambia nilikupenda sana, wala usijione na hatia, huyo muongo mkubwa. Neno analotakiwa kusema ni "nilikuwa na hisia kali za mapenzi kwako". Huwezi kumpiga mtu unayempenda, wala huwezi kutamani apatwe na mabaya sababu amekuacha. Mtu unayempenda utamtakia mema hata kama kukuacha kwake kulikuumiza. Siku zote utamuunga mkono kwa lolote linalompa furaha na amani hata kama ni kukuacha. Usichanganye upendo na mapenzi ni vitu tofauti. Upendo ni nishati ya asili inayoishi ndani ya mtu lakini mapenzi ni hisia inayotokana na mvuto wa kimahaba.
    Like
    1
    0 التعليقات 0 المشاركات 999 مشاهدة
  • Jinsi Ya Kushare Free Internet Through Vpn Kwenda Kwenye PC Yako Ama Computer


    Nimeona Kunauhitaji Wa Kujifunza Jinsi Ya Kushare Internet Kwenda Kwenye Computer Ama Laptop Yako Ukiwa Unatumia Free Internet Vpn Tutaenda Kutumia Application Inayoitwa EVERY PROXY

    Hatua Ya Kwanza Ya Kufanya Ni Kudownload Hii Application Link Naiweka Hapa 👇🏽

    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.gorillasoftware.everyproxy

    Baada Ya Kudownload Utaifungua Ndani Yake Utakuta Option Mbili Yan Http Na Socks4 Kwa Hapa Sisi Tutaitumia Option One Yani Http Utabonyeza Botton Ya Kuwasha Http Option Then Utakutana Na Vitu Kama Host Na Port
    Baada Ya Hapo Utaifungua Laptop Ama Computer Yako Kwa Wanaotumia Window 10 Watafuata Hatua Zifuatazo:

    Utabonyeza Menu Option ( Start Button)Then Search Proxy Settings Utaifungua Kisha Utascrow Chini Kabisa Utakutana Na Sehemu Wameandika Use a Proxy Server Utaiwasha Kisha Utakutana Na Sehemu Mbili Za Kujaza Yan Address Na Port Hapa Kwenye Address Utaandika Host Ambayo Utapewa Kule Kwenye Application Yako Ya Every Proxy Na Port Pia Umegewa Utaiandika Kisha Utasave
    Hakikisha Umeconnect Hotspot Yan Kutoka Kwenye Simu Yako Kwenda Kwenye Computer Baada Ya Hapo Itakuwa Umemaliza Unaweza Kushare Free Internet

    Nafikili Kila Kitu Kinajieleza Hapo Sitaraji Kama Kuna Mtu Atakuja Inbox Kuuliza Tena👍🏾


    Jinsi Ya Kushare Free Internet Through Vpn Kwenda Kwenye PC Yako Ama Computer ➖➖➖➖➖➖➖ Nimeona Kunauhitaji Wa Kujifunza Jinsi Ya Kushare Internet Kwenda Kwenye Computer Ama Laptop Yako Ukiwa Unatumia Free Internet Vpn Tutaenda Kutumia Application Inayoitwa EVERY PROXY Hatua Ya Kwanza Ya Kufanya Ni Kudownload Hii Application Link Naiweka Hapa 👇🏽 https://play.google.com/store/apps/details?id=com.gorillasoftware.everyproxy Baada Ya Kudownload Utaifungua Ndani Yake Utakuta Option Mbili Yan Http Na Socks4 Kwa Hapa Sisi Tutaitumia Option One Yani Http Utabonyeza Botton Ya Kuwasha Http Option Then Utakutana Na Vitu Kama Host Na Port Baada Ya Hapo Utaifungua Laptop Ama Computer Yako Kwa Wanaotumia Window 10 Watafuata Hatua Zifuatazo: Utabonyeza Menu Option ( Start Button)Then Search Proxy Settings Utaifungua Kisha Utascrow Chini Kabisa Utakutana Na Sehemu Wameandika Use a Proxy Server Utaiwasha Kisha Utakutana Na Sehemu Mbili Za Kujaza Yan Address Na Port Hapa Kwenye Address Utaandika Host Ambayo Utapewa Kule Kwenye Application Yako Ya Every Proxy Na Port Pia Umegewa Utaiandika Kisha Utasave Hakikisha Umeconnect Hotspot Yan Kutoka Kwenye Simu Yako Kwenda Kwenye Computer Baada Ya Hapo Itakuwa Umemaliza Unaweza Kushare Free Internet Nafikili Kila Kitu Kinajieleza Hapo Sitaraji Kama Kuna Mtu Atakuja Inbox Kuuliza Tena👍🏾 ➖➖➖➖➖➖➖➖ 😇😇😇😇😇😇 ➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
    PLAY.GOOGLE.COM
    Every Proxy - Apps on Google Play
    Http, Https, Socks4 Proxy, Socks5 Proxy and PAC Server
    Like
    2
    0 التعليقات 0 المشاركات 2كيلو بايت مشاهدة
  • Jinsi Ya Kushare Free Internet Through Vpn Kwenda Kwenye PC Yako Ama Computer


    Nimeona Kunauhitaji Wa Kujifunza Jinsi Ya Kushare Internet Kwenda Kwenye Computer Ama Laptop Yako Ukiwa Unatumia Free Internet Vpn Tutaenda Kutumia Application Inayoitwa EVERY PROXY

    Hatua Ya Kwanza Ya Kufanya Ni Kudownload Hii Application Link Naiweka Hapa 👇🏽

    https://play.google.com/store/apps/details?id=com.gorillasoftware.everyproxy

    Baada Ya Kudownload Utaifungua Ndani Yake Utakuta Option Mbili Yan Http Na Socks4 Kwa Hapa Sisi Tutaitumia Option One Yani Http Utabonyeza Botton Ya Kuwasha Http Option Then Utakutana Na Vitu Kama Host Na Port
    Baada Ya Hapo Utaifungua Laptop Ama Computer Yako Kwa Wanaotumia Window 10 Watafuata Hatua Zifuatazo:

    Utabonyeza Menu Option ( Start Button)Then Search Proxy Settings Utaifungua Kisha Utascrow Chini Kabisa Utakutana Na Sehemu Wameandika Use a Proxy Server Utaiwasha Kisha Utakutana Na Sehemu Mbili Za Kujaza Yan Address Na Port Hapa Kwenye Address Utaandika Host Ambayo Utapewa Kule Kwenye Application Yako Ya Every Proxy Na Port Pia Umegewa Utaiandika Kisha Utasave
    Hakikisha Umeconnect Hotspot Yan Kutoka Kwenye Simu Yako Kwenda Kwenye Computer Baada Ya Hapo Itakuwa Umemaliza Unaweza Kushare Free Internet

    Nafikili Kila Kitu Kinajieleza Hapo Sitaraji Kama Kuna Mtu Atakuja Inbox Kuuliza Tena👍🏾


    Jinsi Ya Kushare Free Internet Through Vpn Kwenda Kwenye PC Yako Ama Computer ➖➖➖➖➖➖➖ Nimeona Kunauhitaji Wa Kujifunza Jinsi Ya Kushare Internet Kwenda Kwenye Computer Ama Laptop Yako Ukiwa Unatumia Free Internet Vpn Tutaenda Kutumia Application Inayoitwa EVERY PROXY Hatua Ya Kwanza Ya Kufanya Ni Kudownload Hii Application Link Naiweka Hapa 👇🏽 https://play.google.com/store/apps/details?id=com.gorillasoftware.everyproxy Baada Ya Kudownload Utaifungua Ndani Yake Utakuta Option Mbili Yan Http Na Socks4 Kwa Hapa Sisi Tutaitumia Option One Yani Http Utabonyeza Botton Ya Kuwasha Http Option Then Utakutana Na Vitu Kama Host Na Port Baada Ya Hapo Utaifungua Laptop Ama Computer Yako Kwa Wanaotumia Window 10 Watafuata Hatua Zifuatazo: Utabonyeza Menu Option ( Start Button)Then Search Proxy Settings Utaifungua Kisha Utascrow Chini Kabisa Utakutana Na Sehemu Wameandika Use a Proxy Server Utaiwasha Kisha Utakutana Na Sehemu Mbili Za Kujaza Yan Address Na Port Hapa Kwenye Address Utaandika Host Ambayo Utapewa Kule Kwenye Application Yako Ya Every Proxy Na Port Pia Umegewa Utaiandika Kisha Utasave Hakikisha Umeconnect Hotspot Yan Kutoka Kwenye Simu Yako Kwenda Kwenye Computer Baada Ya Hapo Itakuwa Umemaliza Unaweza Kushare Free Internet Nafikili Kila Kitu Kinajieleza Hapo Sitaraji Kama Kuna Mtu Atakuja Inbox Kuuliza Tena👍🏾 ➖➖➖➖➖➖➖➖ 😇😇😇😇😇😇 ➖➖➖➖➖➖➖➖➖➖
    PLAY.GOOGLE.COM
    Every Proxy - Apps on Google Play
    Http, Https, Socks4 Proxy, Socks5 Proxy and PAC Server
    Like
    2
    0 التعليقات 0 المشاركات 1كيلو بايت مشاهدة
  • #CHEKA_KIDOGO
    Mlevi mmoja alipita sehemu akakuta kundi la watu wakiwa wanabatizwa kwenye kisima kidogo cha maji akaona mchungaji anamzamisha mtu na kumtoa mlevi akahisi kuwa kunakitu wanakitafuta ikabidi apange mstari baada ya zamu yake kufika mchungaji akamzamisha kwa mara ya kwanza kisha akamuuliza umempokea yesu, mlevi akajibu bado akamzamisha tena ilipofika mara ya tatu yule mlevi ikabidi aulize kwamba hivi mnauhakika kama yesu alizama hapa au tuna sumbuana tu?
    #HAHAHAHAH POMBE MBAYA SANA AIMWACHI MTU SALAMA

    #nifuate
    #followme
    @highlight
    #CHEKA_KIDOGO Mlevi mmoja alipita sehemu akakuta kundi la watu wakiwa wanabatizwa kwenye kisima kidogo cha maji akaona mchungaji anamzamisha mtu na kumtoa mlevi akahisi kuwa kunakitu wanakitafuta ikabidi apange mstari baada ya zamu yake kufika mchungaji akamzamisha kwa mara ya kwanza kisha akamuuliza umempokea yesu, mlevi akajibu bado akamzamisha tena ilipofika mara ya tatu yule mlevi ikabidi aulize kwamba hivi mnauhakika kama yesu alizama hapa au tuna sumbuana tu? #HAHAHAHAH POMBE MBAYA SANA AIMWACHI MTU SALAMA #nifuate #followme @highlight
    Like
    Love
    3
    0 التعليقات 0 المشاركات 1كيلو بايت مشاهدة
  • Hello Ooh munguu nyieee

    Tumebakisha siku 7 tuu kwenda kula na yatima daaah tumepata MBUZI TU
    MUNGU WEWEEE

    Ndugu zangu anauhitaj wa mchele kg 30
    Mafuta lt 5

    Naomba ndugu zangu tuchangie mchele

    0655987549
    TIGOPESA
    MOZA MOHAMED

    Jamani jamani naomba mtushike mkono hii IDD na hawa watoto wetu waifurahieee
    Hello Ooh munguu 😰😰 nyieee Tumebakisha siku 7 tuu kwenda kula na yatima🤔 daaah tumepata MBUZI TU MUNGU WEWEEE 😢😢 Ndugu zangu anauhitaj wa mchele kg 30 Mafuta lt 5 Naomba ndugu zangu tuchangie mchele 0655987549 TIGOPESA MOZA MOHAMED Jamani jamani naomba mtushike mkono hii IDD na hawa watoto wetu waifurahieee
    Like
    Love
    3
    0 التعليقات 0 المشاركات 644 مشاهدة