• Chelsea kwa sasa wanania ya dhati kumsajili Xavi Simons kutoka RB Leipzig. Mazungumzo yameanza kati ya Klabu na mchezaji ili kufikia makubaliano ya Kibinafsi hakuna mazungumzo ya Vilabu kwa Vilabu.

    Arsenal bado wanavutiwa nae ila Chelsea ndio pekee wamefanya jitihada za kumtafuta. Bayern Munich wamejitoa kwenye kinyang'anyiro ila Xavi Simons tayari amewafahamisha Leipzig anataka kuondoka.

    #SportsElite
    🚨 Chelsea kwa sasa wanania ya dhati kumsajili Xavi Simons kutoka RB Leipzig. Mazungumzo yameanza kati ya Klabu na mchezaji ili kufikia makubaliano ya Kibinafsi hakuna mazungumzo ya Vilabu kwa Vilabu. Arsenal bado wanavutiwa nae ila Chelsea ndio pekee wamefanya jitihada za kumtafuta. Bayern Munich wamejitoa kwenye kinyang'anyiro ila Xavi Simons tayari amewafahamisha Leipzig anataka kuondoka. #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·44 Vue
  • Mchezaji Xavi Simons anahitaji kuondoka katika Club ya RB Leipzig huku timu ya Chelsea na Arsenal zikihusishwa kumuwania mchezaji huyo

    #SportsElite
    Mchezaji Xavi Simons anahitaji kuondoka katika Club ya RB Leipzig huku timu ya Chelsea na Arsenal zikihusishwa kumuwania mchezaji huyo #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·32 Vue
  • Real Madrid inaendelea kumtupia jicho kiungo wa ukabaji wa Arsenal William Saliba kwaajili ya kumsajiri

    #SportsElite
    Real Madrid inaendelea kumtupia jicho kiungo wa ukabaji wa Arsenal William Saliba kwaajili ya kumsajiri #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·31 Vue
  • USAJILI MPAKA HIVI KWA VILABU ENGLAND

    MANCHESTER UNITED
    Matheus Cunha
    Diego Leon
    Bryan MBEUMO
    Emi Martinez Dibu

    Liverpool -
    Wirtz
    Frimpong
    Mamardashvilli
    Hugo Etikite
    Isak

    Manchester City
    Reijnders
    Cherki
    Ait Nouri

    Chelsea:
    Gittens
    Joao Pedro
    Delap

    Arsenal -
    Zubimendi
    Madeueke
    Norgaard
    Kepa
    Gyokeres

    Tottenham Hotspur Spurs
    Gibbs White
    Kudus

    Newcastle United-
    Elanga
    Ekitike

    #SportsElite
    USAJILI MPAKA HIVI KWA VILABU ENGLAND 🔴MANCHESTER UNITED 🇧🇷 Matheus Cunha 🇵🇾 Diego Leon 🇨🇲Bryan MBEUMO ⏳Emi Martinez Dibu 🔴Liverpool - ✅ Wirtz ✅ Frimpong ✅ Mamardashvilli ✅Hugo Etikite ⏳ Isak 🔵Manchester City ✅ Reijnders ✅ Cherki ✅ Ait Nouri 🔵Chelsea: ✅ Gittens ✅ Joao Pedro ✅ Delap 🔴Arsenal - ✅ Zubimendi ✅ Madeueke ✅ Norgaard ✅ Kepa ⏳ Gyokeres ⚪Tottenham Hotspur Spurs ✅ Gibbs White ✅ Kudus ⚪Newcastle United- ✅ Elanga ⏳ Ekitike #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·68 Vue
  • Wachezaji wa Kiingereza Walio Wahi Kuvaa Jezi ya FC Barcelona!

    1️⃣ Gary Lineker – Mshambuliaji wa nguvu, aliichezea Barça kati ya 1986 hadi 1989, akifunga zaidi ya magoli 40!

    2️⃣ Marcus McGuane – Alisajiliwa kutoka Arsenal mwaka 2018, akawa Mwingereza wa kwanza baada ya miaka 29 kuonekana kwenye kikosi cha wakubwa!

    3️⃣ Louie Barry – Alijiunga na La Masia mwaka 2019 akiwa na miaka 16. Alikuwa Mwingereza wa kwanza La Masia lakini hakufika kikosi cha kwanza.

    4️⃣ Marcus Rashford – (2025) Sasa ni rasmi! Ametua Barcelona kwa mkopo kutoka Man Utd.

    #SportsElite
    🇬🇧🟦 Wachezaji wa Kiingereza Walio Wahi Kuvaa Jezi ya FC Barcelona! 🏟️🔥 1️⃣ Gary Lineker – Mshambuliaji wa nguvu, aliichezea Barça kati ya 1986 hadi 1989, akifunga zaidi ya magoli 40! ⚽ 2️⃣ Marcus McGuane – Alisajiliwa kutoka Arsenal mwaka 2018, akawa Mwingereza wa kwanza baada ya miaka 29 kuonekana kwenye kikosi cha wakubwa! 🔁 3️⃣ Louie Barry – Alijiunga na La Masia mwaka 2019 akiwa na miaka 16. Alikuwa Mwingereza wa kwanza La Masia lakini hakufika kikosi cha kwanza. 🧠 4️⃣ Marcus Rashford – (2025) Sasa ni rasmi! Ametua Barcelona kwa mkopo kutoka Man Utd. #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·69 Vue
  • Club ya Chelsea na Arsenal wapo kwenye vita kubwa ya kumuwania kumsajiri mchezaji wa RB Leipzig Xavi Simons

    #SportsElite
    Club ya Chelsea na Arsenal wapo kwenye vita kubwa ya kumuwania kumsajiri mchezaji wa RB Leipzig Xavi Simons #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·51 Vue
  • 𝗗𝗘𝗔𝗟 𝗗𝗢𝗡𝗘: Arsenal imekamilisha uhamisho wa Noni Madueke kutoka Chelsea kwa ada ya £50M. Mkataba hadi 2030.

    (Source: Arsenal)

    #SportsElite
    📝 𝗗𝗘𝗔𝗟 𝗗𝗢𝗡𝗘: Arsenal imekamilisha uhamisho wa Noni Madueke kutoka Chelsea kwa ada ya £50M. Mkataba hadi 2030. (Source: Arsenal) #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·88 Vue
  • Inataarifiwa kuwa Jakub Kiwior ataondoka Arsenal dirisha hili.
    🚨💣 Inataarifiwa kuwa Jakub Kiwior ataondoka Arsenal dirisha hili. 💯🔐
    0 Commentaires ·0 Parts ·111 Vue
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Arsenal iko kwenye majadiliano na Valencia ili kuinasa saini ya beki wa Kati Cristhian Mosquera, tayari mazungumzo na mchezaji yamekamilika..

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Arsenal iko kwenye majadiliano na Valencia ili kuinasa saini ya beki wa Kati Cristhian Mosquera, tayari mazungumzo na mchezaji yamekamilika.. #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·133 Vue
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Viktor Gyokeres ameuambia uongozi wa Sporting CP nia yake ya kwenda Arsenal, tayari Vilabu vyote viwili viko kwenye majadiliano na dili €80M.

    Gyokeres amekuwa chaguo la Arsenal tangu September mwaka Jana..

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Viktor Gyokeres ameuambia uongozi wa Sporting CP nia yake ya kwenda Arsenal, tayari Vilabu vyote viwili viko kwenye majadiliano na dili €80M. 🔴⚪🇸🇪⌛ Gyokeres amekuwa chaguo la Arsenal tangu September mwaka Jana.. #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·96 Vue
  • Kocha wa Fenerbahçe José Mourinho yuko mawindoni kumsaka Leandro Trossard, na Arsenal imefungua milango kwa Trossard (30)..

    (Source: Fotospor)

    #SportsElite
    🚨 Kocha wa Fenerbahçe José Mourinho yuko mawindoni kumsaka Leandro Trossard, na Arsenal imefungua milango kwa Trossard (30).. (Source: Fotospor) #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·108 Vue
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Nicolas Jackson ananafasi ya kuondoka Chelsea kwenye dirisha hili la uhamisho 👋🏾

    Baada ya Noni Madueke kwenda Arsenal…ndio yatafuata kama ikipatikana ofa kwa timu itakayo muhitaji..

    AC Milan imeulizia uhamisho huo wa Jackson.. Ijapo kuwa Chelsea imetoa gharama za uhamisho huo lakini AC kwao ni kiasi kikubwa.. .

    #SportsElite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Nicolas Jackson ananafasi ya kuondoka Chelsea kwenye dirisha hili la uhamisho 👀👋🏾 Baada ya Noni Madueke kwenda Arsenal…ndio yatafuata kama ikipatikana ofa kwa timu itakayo muhitaji.. AC Milan imeulizia uhamisho huo wa Jackson.. Ijapo kuwa Chelsea imetoa gharama za uhamisho huo lakini AC kwao ni kiasi kikubwa.. . 🇬🇧 #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·125 Vue
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Eberechi Eze Anatarajia kujiunga Arsenal, baada ya mchezaji kukubali kusaini mkataba hadi 2029 na chaguo la nyongeza hadi 2030.

    Arsenal iko kwenye mazungumzo na Crystal Palace ili kukamilisha uhamisho huo.

    #Ads

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Eberechi Eze Anatarajia kujiunga Arsenal, baada ya mchezaji kukubali kusaini mkataba hadi 2029 na chaguo la nyongeza hadi 2030. ⚪🔴👀 Arsenal iko kwenye mazungumzo na Crystal Palace ili kukamilisha uhamisho huo. #Ads #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·154 Vue
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Christian Nørgaard amekamilisha usajili ndani ya Arsenal kwa ada yab £10m kutoka Brentford!

    #SportsElite
    🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Christian Nørgaard amekamilisha usajili ndani ya Arsenal kwa ada yab £10m kutoka Brentford! ❤️🤍🇩🇰 🥺🎶 #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·99 Vue
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Arsenal imekamilisha usajili wa kapteni na kiungo wa Brentford , Christian Nørgaard.

    Arsenal watalipa £10m na nyongeza ya £2m kama bonasi.

    Vipimo vya afya tayari vimekamilika na rasmi atatangazwa ndani ya hii wiki[Via - @David_Ornstein].

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Arsenal imekamilisha usajili wa kapteni na kiungo wa Brentford , Christian Nørgaard🇩🇰. Arsenal watalipa £10m na nyongeza ya £2m kama bonasi. Vipimo vya afya tayari vimekamilika na rasmi atatangazwa ndani ya hii wiki[Via - @David_Ornstein]. #SportsElite
    Like
    1
    · 0 Commentaires ·0 Parts ·183 Vue
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Arsenal imekamilisha uhamisho wa Martin Zubimendi kutoka Real Sociedad kwa dili la €65m

    Zubimendi, atavaa jezi 3️⃣6️⃣.
    🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Arsenal imekamilisha uhamisho wa Martin Zubimendi kutoka Real Sociedad kwa dili la €65m ❤️🤍 Zubimendi, atavaa jezi 3️⃣6️⃣. ✨
    0 Commentaires ·0 Parts ·108 Vue
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆:Dili la Benjamin Sesko Kati ya Arsenal na RB Leipzig liko kwenye hatihati ya kufa kutokana na Leipzig kuhitaji kiasi cha €100 million, na Arsenal hawako tayari kutoa kitita hicho....

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆:Dili la Benjamin Sesko Kati ya Arsenal na RB Leipzig liko kwenye hatihati ya kufa kutokana na Leipzig kuhitaji kiasi cha €100 million, na Arsenal hawako tayari kutoa kitita hicho.... #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·174 Vue
  • 𝐃𝐎𝐍𝐄 𝐀𝐍𝐃 𝐃𝐔𝐒𝐓𝐄𝐃: Viktor Gyokeres usajili wake kwenda Arsenal utakamilika, Huku Sporting CP itavuna kiasi cha €80M

    Viktor Gyokeres 26 Anatarajia kutia saini the Gunners kama mshambuliaji mpya chini ya kocha Mikel Arteta..
    🚨 𝐃𝐎𝐍𝐄 𝐀𝐍𝐃 𝐃𝐔𝐒𝐓𝐄𝐃: Viktor Gyokeres usajili wake kwenda Arsenal utakamilika, Huku Sporting CP itavuna kiasi cha €80M 🔴⚪🔐⌛ Viktor Gyokeres 26 Anatarajia kutia saini the Gunners kama mshambuliaji mpya chini ya kocha Mikel Arteta..
    0 Commentaires ·0 Parts ·144 Vue
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Noni Madueke amekubali kujiunga na Arsenal, kutokana na project nzuri

    Na majadiliano yatafuata baina ya Arsenal na Chelsea

    #SportsElite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Noni Madueke amekubali kujiunga na Arsenal, kutokana na project nzuri ❤️🤍 Na majadiliano yatafuata baina ya Arsenal na Chelsea #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·155 Vue
  • Al-Nassr iko tayari kulipa kiasi cha €85M kwa Arsenal kumsaini Gabriel Martinelli.

    (Source: The Athletic FC)

    #SportsElite
    🚨 Al-Nassr iko tayari kulipa kiasi cha €85M kwa Arsenal kumsaini Gabriel Martinelli. (Source: The Athletic FC) #SportsElite
    0 Commentaires ·0 Parts ·107 Vue
Plus de résultats