-
ยท 0 Comments ยท0 Shares ยท150 Views1
-
OFFICIAL Beki Trent Alexander-Arnold na Dani Carvajal wote wamefanya mazoezi leo na Kikosi cha kwanza cha Real Madrid kwa ajili ya mchezo wa Kesho dhidi ya Juventus na El Clascoo..๐จOFFICIAL Beki Trent Alexander-Arnold na Dani Carvajal wote wamefanya mazoezi leo na Kikosi cha kwanza cha Real Madrid kwa ajili ya mchezo wa Kesho dhidi ya Juventus na El Clascoo..0 Comments ยท0 Shares ยท191 Views
-
ยท 0 Comments ยท0 Shares ยท189 Views1
-
๐๐ฅ๐๐๐๐๐ก๐: Juventus imefanya mazungumzo na Chelsea kumsajili Carney Chukwuemeka.
Blues wanahitaji uhamisho wa jumla na sio mkopo.
(Source: x/JacobsBen)
#SportsElite๐จ ๐๐ฅ๐๐๐๐๐ก๐: Juventus imefanya mazungumzo na Chelsea kumsajili Carney Chukwuemeka. Blues wanahitaji uhamisho wa jumla na sio mkopo. (Source: x/JacobsBen) #SportsElite0 Comments ยท0 Shares ยท460 Views -
๐๐ฅ๐๐๐๐๐ก๐: Jadon Sancho amekataa uhamisho wake kwenda Beลiktaล, na hayuko tayari kwenda kucheza ligi ya Uturkey.
Juventus na Dortmund bado wanamfukuzia mchezaji huyo.
(Source: @berger_pj)
#SportsElite๐จ ๐๐ฅ๐๐๐๐๐ก๐: Jadon Sancho amekataa uhamisho wake kwenda Beลiktaล, na hayuko tayari kwenda kucheza ligi ya Uturkey. Juventus na Dortmund bado wanamfukuzia mchezaji huyo. (Source: @berger_pj) #SportsElite0 Comments ยท0 Shares ยท333 Views -
0 Comments ยท0 Shares ยท436 Views
-
๐๐ฅ๐๐๐๐๐ก๐: Juventus imeitupilia mbali ofa ya €65m kwa Chelsea kumuhitaji Kenan Yฤฑldฤฑz.
(Source: Gazzetta dello Sport)
#SportsElite๐จ ๐๐ฅ๐๐๐๐๐ก๐: Juventus imeitupilia mbali ofa ya €65m kwa Chelsea kumuhitaji Kenan Yฤฑldฤฑz. (Source: Gazzetta dello Sport) #SportsElite0 Comments ยท0 Shares ยท357 Views -
RASMI
Klabu ya Juventus imemsajili beki wa kulia João Mário kutoka FC Porto kwa dau la €12 milioni.
Mchezaji huyo mwenye kipaji ameweka saini ya mkataba wa miaka mitano na Bianconeri hadi mwaka 2030.
#SportsEliteRASMIโ Klabu ya Juventus imemsajili beki wa kulia João Mário kutoka FC Porto kwa dau la €12 milioni. Mchezaji huyo mwenye kipaji ameweka saini ya mkataba wa miaka mitano na Bianconeri hadi mwaka 2030. ๐คโชโซ #SportsElite0 Comments ยท0 Shares ยท382 Views -
Jadon Sancho amekubali kujiunga na Juventus kwa mkataba wa miaka 4 hadi 2029 na chaguo la kuongeza mkataba mwingine, makubaliano baina ya Sancho na Juventus yamekamilika.
Juventus sasa wapo kwenye mazungumzo na Manchester united ili kukamilisha dili hilo haraka iwezekanavyo, Juventus wapo tayari kutoa €20M pamoja na nyongeza ili kumpata Sancho.
#SportsEliteJadon Sancho amekubali kujiunga na Juventus kwa mkataba wa miaka 4 hadi 2029 na chaguo la kuongeza mkataba mwingine, makubaliano baina ya Sancho na Juventus yamekamilika. Juventus sasa wapo kwenye mazungumzo na Manchester united ili kukamilisha dili hilo haraka iwezekanavyo, Juventus wapo tayari kutoa €20M pamoja na nyongeza ili kumpata Sancho. #SportsElite0 Comments ยท0 Shares ยท304 Views -
๐๐ฅ๐๐๐๐๐ก๐:Timu ya Juventus wamekubaliana na timu ya Manchester united kumsajiri mchezaji wao kwa kiwango cha £5M na kwa ujumla timu ya Juventus imekubali kumsaini mchezaji huyo kwa £5M kwa miaka minne๐๐ฅ๐๐๐๐๐ก๐:Timu ya Juventus wamekubaliana na timu ya Manchester united kumsajiri mchezaji wao kwa kiwango cha £5M na kwa ujumla timu ya Juventus imekubali kumsaini mchezaji huyo kwa £5M kwa miaka minne0 Comments ยท0 Shares ยท335 Views
-
Mchezaji Marcus Rashford ameendelea kubaki na msimamo wake wa kutaka kujiunga na Club ya Barcelona katika msimu huu wa kiangazii Richa ya kuwa timu ya Juventus, bayern Munich, Chelsea na Liverpool kuonekana zinamwitajii lakn ameendelea kusimamia msimamo wake wa kwenda club ya Barcelona
#SportsEliteMchezaji Marcus Rashford ameendelea kubaki na msimamo wake wa kutaka kujiunga na Club ya Barcelona katika msimu huu wa kiangazii Richa ya kuwa timu ya Juventus, bayern Munich, Chelsea na Liverpool kuonekana zinamwitajii lakn ameendelea kusimamia msimamo wake wa kwenda club ya Barcelona #SportsElite0 Comments ยท0 Shares ยท504 Views -
๐ฆ๐ง๐๐ ๐ฃ๐๐ & ๐ฆ๐๐๐๐๐!
๐๐ฟ๐ฎ๐ป๐ฐ๐ถ๐๐ฐ๐ผ ๐๐ผ๐ป๐ฐ๐ฒ๐ถ๐ฐฬง๐ฎฬ imefahamika tayari amekamilisha uhamisho kwenda ๐๐๐๐ฒ๐ป๐๐๐ kwa ada €๐ฏ๐ฌ๐ !
Mchezaji huyo(21)Winga kinda rasmi atawatumikia Juventus akitokea FC Porto kwa msimu 2025/26.
[@Record_Portugal | @OddAlerts]
#Conceicao #Juventus #DoneDeal #LOCOTV
#SportsElite๐ฃ ๐ฆ๐ง๐๐ ๐ฃ๐๐ & ๐ฆ๐๐๐๐๐! ๐๐ฟ๐ฎ๐ป๐ฐ๐ถ๐๐ฐ๐ผ ๐๐ผ๐ป๐ฐ๐ฒ๐ถ๐ฐฬง๐ฎฬ imefahamika tayari amekamilisha uhamisho kwenda ๐๐๐๐ฒ๐ป๐๐๐ kwa ada €๐ฏ๐ฌ๐ ! ๐ดโช๐ต๐น Mchezaji huyo(21)Winga kinda rasmi atawatumikia Juventus akitokea FC Porto kwa msimu 2025/26. โ ๐ [@Record_Portugal | @OddAlerts] #Conceicao #Juventus #DoneDeal #LOCOTV #SportsElite0 Comments ยท0 Shares ยท684 Views -
West Ham United iko kwenye mchakato wa kuhakikisha wanampata kiungo wa Juventus Douglas Luiz from .
(Source: Gazzetta dello Sport)
#SportsElite๐จ West Ham United iko kwenye mchakato wa kuhakikisha wanampata kiungo wa Juventus Douglas Luiz from . (Source: Gazzetta dello Sport) #SportsElite0 Comments ยท0 Shares ยท373 Views -
๐๐๐๐๐๐๐๐: Juventus imetuma ofa ya €15M kwa Manchester United juu ya uhamisho wa Jadon Sancho, ambae sasa kwenye kikosi cha kocha Ruben Amorim hayuko kwenye mpango wake. .๐จ๐ฃ ๐๐๐๐๐๐๐๐: Juventus imetuma ofa ya €15M kwa Manchester United juu ya uhamisho wa Jadon Sancho, ambae sasa kwenye kikosi cha kocha Ruben Amorim hayuko kwenye mpango wake. . โซโช0 Comments ยท0 Shares ยท386 Views
-
๐๐๐๐๐๐๐๐: Sporting CP imefikia makubaliano na Alberto Costa kwa mkataba hadi 2030 na Juventus atapokea €18 (pamoja na bonasi zote) ili kukamilisha dili hilo.
Juventus wanahitaji kiasi kikubwa zaidi ya ofa iliopo mezani, mazungumzo bado yanaendelea..
#SportsElite๐จ๐ฃ ๐๐๐๐๐๐๐๐: Sporting CP imefikia makubaliano na Alberto Costa kwa mkataba hadi 2030 na Juventus atapokea €18 (pamoja na bonasi zote) ili kukamilisha dili hilo. ๐ Juventus wanahitaji kiasi kikubwa zaidi ya ofa iliopo mezani, mazungumzo bado yanaendelea.. #SportsEliteยท 0 Comments ยท0 Shares ยท324 Views1
-
DEAL DONE: Jonathan David amekamilisha uhamisho kwenda Juventus kama mchezaji huru
(Source: @juventusfc)
#SportsElite๐ DEAL DONE: Jonathan David amekamilisha uhamisho kwenda Juventus kama mchezaji huru (Source: @juventusfc) #SportsElite0 Comments ยท0 Shares ยท337 Views -
Juventus imefikia makubaliano na Manchester United kumuachia Jadon Sancho kwa ada ya uhamisho €25M!
Kinachosubiriwa ni makubaliano ya mchezaji ili kutia saini..
(Source: SportMediaset)
๐จ๐ฃ Juventus imefikia makubaliano na Manchester United kumuachia Jadon Sancho kwa ada ya uhamisho €25M! โ ๐ด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ Kinachosubiriwa ni makubaliano ya mchezaji ili kutia saini.. โณ (Source: SportMediaset)0 Comments ยท0 Shares ยท391 Views -
Juventus iko kwenye mpango wa kusitisha mkataba wa Dušan Vlahoviฤ.
(Source: Tuttosport)
#SportsElite๐จ Juventus iko kwenye mpango wa kusitisha mkataba wa Dušan Vlahoviฤ. ๐คฏโ (Source: Tuttosport) #SportsElite0 Comments ยท0 Shares ยท407 Views -
๐๐๐๐๐๐๐๐: Juventus bado inaendelea na majadiliano na Jadon Sancho, na imemuofa mkataba hadi 2029 na mshahara wa €5 million kwa mwaka pamoja na bonasi zingine, na nyongeza ya mkataba hadi 2030.
#SportsElite๐จ ๐๐๐๐๐๐๐๐: Juventus bado inaendelea na majadiliano na Jadon Sancho, na imemuofa mkataba hadi 2029 na mshahara wa €5 million kwa mwaka pamoja na bonasi zingine, na nyongeza ya mkataba hadi 2030. #SportsElite0 Comments ยท0 Shares ยท361 Views -
Jadon Sancho amekubali kupunguza mshahara wake pamoja na marupurupu ili kujiunga na Juventus.
(Source: @Eurosport_IT)
#SportsElite๐จ Jadon Sancho amekubali kupunguza mshahara wake pamoja na marupurupu ili kujiunga na Juventus. (Source: @Eurosport_IT) #SportsElite0 Comments ยท0 Shares ยท318 Views
More Results