• Serikali ya Kenya yachukua hatua kali dhidi ya tuhuma za Raia wa Urusi kusambaza video za faragha.

    Serikali ya Kenya imeibuka hadharani na kulaani vikali tuhuma zinazomhusu raia mmoja wa Urusi anayeshukiwa kurekodi na kusambaza video zenye maudhui ya faragha zikihusisha Wanawake wa Kenya bila ridhaa yao.

    Kupitia taarifa rasmi iliyotolewa Jijini Nairobi, mamlaka za Kenya zimeeleza kuwa tukio hilo ni la kusikitisha na haliwezi kuvumiliwa katika jamii inayoheshimu utu na haki za binadamu.

    Katika tamko hilo, serikali imeeleza kuwa tukio hilo ni “kubwa na lisilokubalika”, ikisisitiza kuwa hatua zote muhimu zitachukuliwa ili ukweli ujulikane na haki itendeke. Aidha, imewahakikishia waathirika wanaodaiwa kuwa watapatiwa msaada stahiki wa kisheria na kisaikolojia.

    Vilevile, mamlaka hizo zimeweka bayana kuwa Wahusika wote watakaobainika kuhusika na kitendo hicho watawajibishwa kwa mujibu wa sheria. Serikali imeongeza kuwa haitasita kuchukua hatua kali dhidi ya yeyote anayekiuka faragha na heshima ya wananchi.

    Kashfa hiyo imezua hasira kubwa katika mitandao ya kijamii na miongoni mwa Wananchi, huku wengi wakitaka sheria kali zaidi zichukuliwe dhidi ya wanaosambaza maudhui ya faragha bila idhini. Tukio hili limeibua tena mjadala mpana kuhusu ulinzi wa maisha binafsi na mapambano dhidi ya usambazaji wa maudhui ya faragha bila ridhaa nchini Kenya.

    Mamlaka husika zimebainisha kuwa uchunguzi rasmi unaendelea, na matokeo yake yatatangazwa pindi yatakapokamilika.

    Toa maoni yako
    #Habari
    Serikali ya Kenya yachukua hatua kali dhidi ya tuhuma za Raia wa Urusi kusambaza video za faragha. Serikali ya Kenya imeibuka hadharani na kulaani vikali tuhuma zinazomhusu raia mmoja wa Urusi anayeshukiwa kurekodi na kusambaza video zenye maudhui ya faragha zikihusisha Wanawake wa Kenya bila ridhaa yao. Kupitia taarifa rasmi iliyotolewa Jijini Nairobi, mamlaka za Kenya zimeeleza kuwa tukio hilo ni la kusikitisha na haliwezi kuvumiliwa katika jamii inayoheshimu utu na haki za binadamu. Katika tamko hilo, serikali imeeleza kuwa tukio hilo ni “kubwa na lisilokubalika”, ikisisitiza kuwa hatua zote muhimu zitachukuliwa ili ukweli ujulikane na haki itendeke. Aidha, imewahakikishia waathirika wanaodaiwa kuwa watapatiwa msaada stahiki wa kisheria na kisaikolojia. Vilevile, mamlaka hizo zimeweka bayana kuwa Wahusika wote watakaobainika kuhusika na kitendo hicho watawajibishwa kwa mujibu wa sheria. Serikali imeongeza kuwa haitasita kuchukua hatua kali dhidi ya yeyote anayekiuka faragha na heshima ya wananchi. Kashfa hiyo imezua hasira kubwa katika mitandao ya kijamii na miongoni mwa Wananchi, huku wengi wakitaka sheria kali zaidi zichukuliwe dhidi ya wanaosambaza maudhui ya faragha bila idhini. Tukio hili limeibua tena mjadala mpana kuhusu ulinzi wa maisha binafsi na mapambano dhidi ya usambazaji wa maudhui ya faragha bila ridhaa nchini Kenya. Mamlaka husika zimebainisha kuwa uchunguzi rasmi unaendelea, na matokeo yake yatatangazwa pindi yatakapokamilika. Toa maoni yako #Habari
    0 Comments 0 Shares 29 Views
  • Burkina Faso yaleta sheria mpya kwa Kampuni kubwa.

    Burkina Faso imezindua kanuni mpya yenye nguvu lakini rahisi: Kampuni kubwa zinazofanya kazi Nchini Nchini humo, sasa zinatakiwa kujenga ofisi zao kuu (headquarters) Nchini Burkina Faso.

    Msemaji wa Serikali alisema, "Tunataka kuhakikisha kuwa kampuni zinazofanya biashara nchini mwetu zinashirikiana kikamilifu na uchumi wetu na kutoa ajira kwa Wananchi wa Burkina Faso."

    Kanuni hii inakusudia kuongeza uwekezaji wa ndani, kuimarisha uchumi wa nchi, na kuhakikisha kuwa faida za kampuni kubwa hazitapotea nje ya mipaka ya taifa.

    Wataalamu wa uchumi wanasema kwamba hatua hii inaweza kuwa na matokeo chanya kwa soko la ndani, lakini pia inaweza kupelekea changamoto kwa kampuni zinazokuwa na makao makuu nje ya nchi.

    Hali bado inaendelea kubadilika huku Kampuni zitapoanza kuzingatia mipango yao ya uhamishaji wa ofisi kuu ili kukidhi kanuni mpya.

    "Hii ni fursa kwa Burkina Faso kuimarisha uchumi wake na kuhakikisha kwamba Kampuni kubwa zinachangia moja kwa moja maendeleo ya taifa," alisema Mtoa maoni wa biashara.

    Nchi nyingi barani Afrika zinapitia mabadiliko ya sera ili kuvutia uwekezaji wa ndani, na Burkina Faso inaonekana kuwa moja ya nchi zinazochukua hatua kali katika kuhakikisha kampuni kubwa zinashirikiana na uchumi wa ndani.

    Toa maoni yako
    #Habari
    Burkina Faso yaleta sheria mpya kwa Kampuni kubwa. Burkina Faso imezindua kanuni mpya yenye nguvu lakini rahisi: Kampuni kubwa zinazofanya kazi Nchini Nchini humo, sasa zinatakiwa kujenga ofisi zao kuu (headquarters) Nchini Burkina Faso. Msemaji wa Serikali alisema, "Tunataka kuhakikisha kuwa kampuni zinazofanya biashara nchini mwetu zinashirikiana kikamilifu na uchumi wetu na kutoa ajira kwa Wananchi wa Burkina Faso." Kanuni hii inakusudia kuongeza uwekezaji wa ndani, kuimarisha uchumi wa nchi, na kuhakikisha kuwa faida za kampuni kubwa hazitapotea nje ya mipaka ya taifa. Wataalamu wa uchumi wanasema kwamba hatua hii inaweza kuwa na matokeo chanya kwa soko la ndani, lakini pia inaweza kupelekea changamoto kwa kampuni zinazokuwa na makao makuu nje ya nchi. Hali bado inaendelea kubadilika huku Kampuni zitapoanza kuzingatia mipango yao ya uhamishaji wa ofisi kuu ili kukidhi kanuni mpya. "Hii ni fursa kwa Burkina Faso kuimarisha uchumi wake na kuhakikisha kwamba Kampuni kubwa zinachangia moja kwa moja maendeleo ya taifa," alisema Mtoa maoni wa biashara. Nchi nyingi barani Afrika zinapitia mabadiliko ya sera ili kuvutia uwekezaji wa ndani, na Burkina Faso inaonekana kuwa moja ya nchi zinazochukua hatua kali katika kuhakikisha kampuni kubwa zinashirikiana na uchumi wa ndani. Toa maoni yako #Habari
    0 Comments 0 Shares 26 Views
  • Nyota wa Soka Kaslin Soza atangaza kusilimu

    Mchezaji wa soka kutoka Brazil, Kaslin Soza, ametangaza rasmi kuwa amesilimu na kuanza maisha mapya ya imani ya Kiislamu.

    Kaslin, ambaye aliwahi kuitumikia klabu ya Wanawake ya Real Madrid Femenino nchini Hispania na kwa sasa anakipiga katika klabu ya Saudia ya Al-Nassr Women, alitoa taarifa hiyo kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii.

    Katika ujumbe wake, Kaslin aliandika kwa hisia na msisitizo akisema: “Nimechagua kuingia katika dini ya Uislamu kwa hiari yangu mwenyewe, nikiwa na amani moyoni na imani thabiti juu ya uamuzi huu.”

    Nyota huyo wa kandanda alieleza kuwa safari yake ya kiroho haikuwa ya ghafla, bali ni matokeo ya tafakari ya muda mrefu na kujifunza kwa kina kuhusu mafundisho ya dini hiyo.

    “Huu ni mwanzo wa ukurasa mpya katika maisha yangu, safari ya kujitambua zaidi na kumkaribia Mwenyezi Mungu,” aliongeza katika ujumbe wake.

    Hatua hiyo imeibua mjadala mpana mtandaoni, huku mashabiki wake na wadau wa soka wakitoa pongezi na salamu za heri kwa uamuzi wake. Wapo waliomsifu kwa ujasiri wa kusimama hadharani na kutangaza mabadiliko hayo ya kiimani.

    Kaslin Soza amekuwa miongoni mwa Wachezaji wa Brazil waliopata nafasi ya kucheza katika Ligi kubwa barani Ulaya kabla ya kuhamia Mashariki ya Kati, ambako soka la Wanawake linaendelea kukua kwa kasi.

    Kwa sasa, macho ya mashabiki wake yapo si tu kwenye kiwango chake Uwanjani, bali pia katika safari yake mpya ya maisha nje ya Uwanja.

    Toa maoni yako
    #Sports
    #Habari
    🇧🇷 Nyota wa Soka Kaslin Soza atangaza kusilimu Mchezaji wa soka kutoka Brazil, Kaslin Soza, ametangaza rasmi kuwa amesilimu na kuanza maisha mapya ya imani ya Kiislamu. Kaslin, ambaye aliwahi kuitumikia klabu ya Wanawake ya Real Madrid Femenino nchini Hispania na kwa sasa anakipiga katika klabu ya Saudia ya Al-Nassr Women, alitoa taarifa hiyo kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii. Katika ujumbe wake, Kaslin aliandika kwa hisia na msisitizo akisema: “Nimechagua kuingia katika dini ya Uislamu kwa hiari yangu mwenyewe, nikiwa na amani moyoni na imani thabiti juu ya uamuzi huu.” Nyota huyo wa kandanda alieleza kuwa safari yake ya kiroho haikuwa ya ghafla, bali ni matokeo ya tafakari ya muda mrefu na kujifunza kwa kina kuhusu mafundisho ya dini hiyo. “Huu ni mwanzo wa ukurasa mpya katika maisha yangu, safari ya kujitambua zaidi na kumkaribia Mwenyezi Mungu,” aliongeza katika ujumbe wake. Hatua hiyo imeibua mjadala mpana mtandaoni, huku mashabiki wake na wadau wa soka wakitoa pongezi na salamu za heri kwa uamuzi wake. Wapo waliomsifu kwa ujasiri wa kusimama hadharani na kutangaza mabadiliko hayo ya kiimani. Kaslin Soza amekuwa miongoni mwa Wachezaji wa Brazil waliopata nafasi ya kucheza katika Ligi kubwa barani Ulaya kabla ya kuhamia Mashariki ya Kati, ambako soka la Wanawake linaendelea kukua kwa kasi. Kwa sasa, macho ya mashabiki wake yapo si tu kwenye kiwango chake Uwanjani, bali pia katika safari yake mpya ya maisha nje ya Uwanja. Toa maoni yako #Sports #Habari
    0 Comments 0 Shares 65 Views
  • "Trump anatakiwa kuelewa kwamba atakapoingia vitani, tutahakikisha tunampa somo ambalo matokeo yake atakayoyapata, hatothubutu tena kujigamba wala kuyatisha mataifa mengine duniani”

    - Jenerali Abdolrahim Mousavi, Mnadhimu Mkuu wa Majeshi ya Iran.

    Toa maoni yako
    #Habari
    "Trump anatakiwa kuelewa kwamba atakapoingia vitani, tutahakikisha tunampa somo ambalo matokeo yake atakayoyapata, hatothubutu tena kujigamba wala kuyatisha mataifa mengine duniani” - Jenerali Abdolrahim Mousavi, Mnadhimu Mkuu wa Majeshi ya Iran. Toa maoni yako #Habari
    0 Comments 0 Shares 55 Views
  • Ligi kuu ya Japani yabadilisha sheria ya matokeo ya sare.

    Kwa kusherehekea miaka 100 tangu ianzishwe, Uongozi wa Ligi Kuu ya Japani umeamua kufuta sare katika mashindano yake. Hivyo basi, "mechi zote ambazo awali zingeisha kwa sare sasa zitapitiwa penati ili kuamua mshindi" yaani lazima mshindi apatikane.

    Kulingana na sheria mpya, "timu inayoshinda kipindi cha penati itapata pointi 2, huku timu iliyopoteza ikipata pointi 1".

    Mabadiliko haya yametolewa ili kuongeza ushindani na kutoa matokeo yenye msisimko zaidi kwa mashabiki, huku Ligi Kuu hiyo ya Japani ikisherehekea historia yake ya karne moja.

    Toa maoni yako
    #Sports
    #Habari
    Ligi kuu ya Japani yabadilisha sheria ya matokeo ya sare. Kwa kusherehekea miaka 100 tangu ianzishwe, Uongozi wa Ligi Kuu ya Japani umeamua kufuta sare katika mashindano yake. Hivyo basi, "mechi zote ambazo awali zingeisha kwa sare sasa zitapitiwa penati ili kuamua mshindi" yaani lazima mshindi apatikane. Kulingana na sheria mpya, "timu inayoshinda kipindi cha penati itapata pointi 2, huku timu iliyopoteza ikipata pointi 1". Mabadiliko haya yametolewa ili kuongeza ushindani na kutoa matokeo yenye msisimko zaidi kwa mashabiki, huku Ligi Kuu hiyo ya Japani ikisherehekea historia yake ya karne moja. Toa maoni yako #Sports #Habari
    0 Comments 1 Shares 110 Views
  • Trump afikiria kutuma Meli ya pili ya kubeba Ndege Mashariki ya Kati wakati mazungumzo na Iran yakirejea.

    Rais wa Marekani Donald Trump amesema anafikiria kuongeza uwepo wa kijeshi wa Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati kwa kutuma Meli ya pili ya kivita ya kubeba ndege, licha ya juhudi zinazoendelea za kidiplomasia kati ya Washington na Tehran.

    Akizungumza na vyombo vya habari vya Channel 12 na Axios, Trump alithibitisha kuwa wazo hilo liko mezani, akisema kuwa “anafikiria kutuma Meli ya pili ya kubeba ndege Mashariki ya Kati.” Kauli hiyo inakuja wakati Marekani na Iran zikijiandaa kuanza tena mazungumzo yanayolenga kuepusha mzozo mpya wa kijeshi au wa kisiasa katika ukanda huo wenye mvutano wa muda mrefu.

    Kwa mujibu wa taarifa za kijeshi, Manowari za kivita zinazotajwa kuweza kupelekwa ni USS George Washington iliyoko barani Asia na USS George HW Bush iliyoko katika Pwani ya mashariki ya Marekani. Aidha, Pentagon inaweza pia kupeleka Meli ya kivita ya USS Gerald R. Ford kutoka eneo la Karibiani kwenda Mashariki ya Kati, iwapo uamuzi huo utapitishwa rasmi.

    Katika mahojiano na vyombo vya habari vya Israeli, Trump alionya kuwa hatua kali zinaweza kuchukuliwa endapo mazungumzo hayatatoa matokeo. Alisema Marekani italazimika kufanya “jambo gumu sana” ikiwa makubaliano hayatafikiwa na Iran.

    Hatua hiyo inayozingatiwa na Washington inakuja wakati Oman ikiendelea kuwa msuluhishi muhimu katika juhudi za kupunguza mvutano kati ya pande hizo mbili. Wiki iliyopita, Oman iliwezesha mazungumzo kati ya Iran na Marekani, hatua ambayo imeelezwa na Tehran kuwa ya kutia matumaini.

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran alisema mazungumzo hayo “yameiruhusu Tehran kupima uzito wa Washington na kuonyesha makubaliano ya kutosha kwa diplomasia kuendelea.” Kauli hiyo inaashiria kuwa licha ya maandalizi ya kijeshi, milango ya mazungumzo bado iko wazi.

    Kwa sasa, macho ya jumuiya ya kimataifa yanaelekezwa katika mwenendo wa mazungumzo hayo na maamuzi ya kijeshi yatakayochukuliwa na Marekani, hatua ambazo zinaweza kuathiri kwa kiasi kikubwa utulivu wa Mashariki ya Kati.

    Toa maoni yako
    #Habari
    Trump afikiria kutuma Meli ya pili ya kubeba Ndege Mashariki ya Kati wakati mazungumzo na Iran yakirejea. Rais wa Marekani Donald Trump amesema anafikiria kuongeza uwepo wa kijeshi wa Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati kwa kutuma Meli ya pili ya kivita ya kubeba ndege, licha ya juhudi zinazoendelea za kidiplomasia kati ya Washington na Tehran. Akizungumza na vyombo vya habari vya Channel 12 na Axios, Trump alithibitisha kuwa wazo hilo liko mezani, akisema kuwa “anafikiria kutuma Meli ya pili ya kubeba ndege Mashariki ya Kati.” Kauli hiyo inakuja wakati Marekani na Iran zikijiandaa kuanza tena mazungumzo yanayolenga kuepusha mzozo mpya wa kijeshi au wa kisiasa katika ukanda huo wenye mvutano wa muda mrefu. Kwa mujibu wa taarifa za kijeshi, Manowari za kivita zinazotajwa kuweza kupelekwa ni USS George Washington iliyoko barani Asia na USS George HW Bush iliyoko katika Pwani ya mashariki ya Marekani. Aidha, Pentagon inaweza pia kupeleka Meli ya kivita ya USS Gerald R. Ford kutoka eneo la Karibiani kwenda Mashariki ya Kati, iwapo uamuzi huo utapitishwa rasmi. Katika mahojiano na vyombo vya habari vya Israeli, Trump alionya kuwa hatua kali zinaweza kuchukuliwa endapo mazungumzo hayatatoa matokeo. Alisema Marekani italazimika kufanya “jambo gumu sana” ikiwa makubaliano hayatafikiwa na Iran. Hatua hiyo inayozingatiwa na Washington inakuja wakati Oman ikiendelea kuwa msuluhishi muhimu katika juhudi za kupunguza mvutano kati ya pande hizo mbili. Wiki iliyopita, Oman iliwezesha mazungumzo kati ya Iran na Marekani, hatua ambayo imeelezwa na Tehran kuwa ya kutia matumaini. Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran alisema mazungumzo hayo “yameiruhusu Tehran kupima uzito wa Washington na kuonyesha makubaliano ya kutosha kwa diplomasia kuendelea.” Kauli hiyo inaashiria kuwa licha ya maandalizi ya kijeshi, milango ya mazungumzo bado iko wazi. Kwa sasa, macho ya jumuiya ya kimataifa yanaelekezwa katika mwenendo wa mazungumzo hayo na maamuzi ya kijeshi yatakayochukuliwa na Marekani, hatua ambazo zinaweza kuathiri kwa kiasi kikubwa utulivu wa Mashariki ya Kati. Toa maoni yako #Habari
    0 Comments 0 Shares 105 Views
  • Saadi Gaddafi afunguka kuhusu mauaji ya Kaka yake.

    Saadi Gaddafi, Mtoto wa aliyekuwa Rais wa Libya Muammar Gaddafi, ametoa kauli yake kuhusu mauaji ya kaka yake huku akisisitiza umuhimu wa haki na uchunguzi wa kina. Saadi, ambaye pia ni Mwanajeshi, Mfanyabiashara na Mchezaji wa zamani wa soka, amesema: “…Hatuwezi kumtuhumu mtu yeyote kwa sasa, kuhusiana na mauaji ya kaka yangu…”

    Aidha, Saadi ameongeza kuwa familia ya Gaddafi inaendelea kusubiri ukweli kamili kubainika kabla ya kutoa lawama kwa upande wowote. Kauli yake hii imeibua hisia tofauti miongoni mwa wananchi na wafuasi wa familia hiyo, huku wengi wakisubiri kwa hamu matokeo ya uchunguzi wa kina.

    Saadi amesisitiza kuwa ni muhimu kuhakikisha haki inatendeka, na kwamba kutoa mashitaka bila ushahidi thabiti hakutasaidia katika kufanikisha mchakato wa kweli wa kisheria na kimaadili.

    Toa maoni yako
    Saadi Gaddafi afunguka kuhusu mauaji ya Kaka yake. Saadi Gaddafi, Mtoto wa aliyekuwa Rais wa Libya Muammar Gaddafi, ametoa kauli yake kuhusu mauaji ya kaka yake huku akisisitiza umuhimu wa haki na uchunguzi wa kina. Saadi, ambaye pia ni Mwanajeshi, Mfanyabiashara na Mchezaji wa zamani wa soka, amesema: “…Hatuwezi kumtuhumu mtu yeyote kwa sasa, kuhusiana na mauaji ya kaka yangu…” Aidha, Saadi ameongeza kuwa familia ya Gaddafi inaendelea kusubiri ukweli kamili kubainika kabla ya kutoa lawama kwa upande wowote. Kauli yake hii imeibua hisia tofauti miongoni mwa wananchi na wafuasi wa familia hiyo, huku wengi wakisubiri kwa hamu matokeo ya uchunguzi wa kina. Saadi amesisitiza kuwa ni muhimu kuhakikisha haki inatendeka, na kwamba kutoa mashitaka bila ushahidi thabiti hakutasaidia katika kufanikisha mchakato wa kweli wa kisheria na kimaadili. Toa maoni yako
    0 Comments 0 Shares 80 Views
  • Ukiona unafanya jambo usilo lipenda ni uhakika wa wazi kuwa kuna jambo bado ujalijua kuhusu zambi ,kwa lugha rahisi zambi imeikalia nafsi yako na kuiongoza.

    #Warumi 7:18-19
    [18]Kwa maana najua ya kuwa ndani yangu, yaani, ndani ya mwili wangu, halikai neno jema; kwa kuwa kutaka nataka, bali kutenda lililo jema sipati.

    [19]Kwa maana lile jema nilipendalo, silitendi; bali lile baya nisilolipenda ndilo nilitendalo.
    .
    Ndiyo sababu gheto unaenda kwa moyo wako wote ,nguo mnavua vizuri pamoja na ni wanakwaya mkimaliza kuzini unakuta mmoja anaanza kumlaumu mwenzake kuwa tamaa zako zimetuponza tumezini.

    Siyo kuwa tamaa zimewaponza ni kuwa either kuna jambo ujajua kuhusu zinaa ambalo ungelijua usinge thubutu kujitoa ufahamu kwenda getho la mtu na unaenda peke yako kabisa.

    #Chanzo ni nini ni kadiri unavyotaka kutumia akiri zako ndivyo unavyo fungua mlango wa shetani kukushanbulia kupitia ujinga wako.

    #Kumbe kama ungemuangalia Yusuph alicho fanya ungejua uzinzi hatuneni kwa lugha na kubakia hapo hapo tunakimbia mbali kabisa kwa kuwa usipo kimbia mwili wako utazidiwa na matokeo yako utaanguka.

    #Mwanzo 39:11-12
    [11]Ikawa, siku moja, akaingia nyumbani atende kazi yake, wala hapakuwa na mtu katika watu wa nyumbani humo ndani;

    [12]huyo mwanamke akamshika nguo zake, akisema, Lala nami. Yusufu akaiacha nguo yake mkononi mwake, akakimbia, akatoka nje.

    Hii ndiyo sababu biblia inasema pia ikimbieni zinaa

    1 Wakorintho 6:18
    [18]Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe.

    #Ukishindwa kukimbia shetani atakukamata .

    Lengo ni nini nimesema kila aliye shinda zambi au jambo furani kuna ufahamu anao ambao wewe una.

    Jitahidi kutafuta maarifa kuna aina ya zambi hazitoki kwa maombi peke yake bila kujua kanuni ya kushinda iyo zambi.

    Kitakacho tokea ni kuwa unaomba sana lakini ukitoka kuomba shetani anakuletea tena zambi ile ile na unaanguka tena

    #Shetani aogopi kipawa au karama uliyo nayo kuhusu kukushambulia ila anaogopa maarifa uliyo nayo kuhusu ilo jambo.Kadiri unavyo juuw siri nyingi juu ya jambo fulani ndivyo unavyo funga mlango wa mahambulizi ya shetani.

    Isaya amekuwa nabii lakini kila siku alikuwa nabii lakini pia ana midomo michafu mpaka siku alipo pata ufunuo ambao uliambatana na ukombozi ndio akaendelea kuwa mtu safi.

    Isaya 6:5-7
    [5]Ndipo niliposema, Ole wangu! Kwa maana nimepotea; kwa sababu mimi ni mtu mwenye midomo michafu, nami ninakaa kati ya watu wenye midomo michafu; na macho yangu yamemwona Mfalme, BWANA wa majeshi.

    [6]Kisha mmoja wa maserafi wale akaruka akanikaribia; naye alikuwa na kaa la moto mkononi mwake, ambalo alikuwa amelitwaa kwa makoleo toka juu ya madhabahu;

    [7]akanigusa kinywa changu kwa kaa hilo, akaniambia, Tazama, hili limekugusa midomo yako, na uovu wako umeondolewa, na dhambi yako imefunikwa.

    Ukombozi wa Isaya ulitegemea sana na ufunuo alio pokea siku hiyi maana kila siku aliendelea kuwa nabii lakin kumbe kuna jambo liko nyuma ya pazia na ndicho kizuizi chake.

    MUNGU ALIYE MTOKEA ISAYA KATIKA ULE MWAKA WA KUFA KWA MFALME UZIA NDIO MUNGU AKAKUTOKEE NA WEWE NA MIMI PIA ILI ATUTIE UFUNUO WA KUJUA MAKOSA YETU NA UKOMBOZI WAKE UPITE MOJA KWA MOJA.

    Sylvester Mwakabende (0622625340)

    #2026_Sisi_ndio_wale_tunao_piganiwa_na_Bwana.
    Ukiona unafanya jambo usilo lipenda ni uhakika wa wazi kuwa kuna jambo bado ujalijua kuhusu zambi ,kwa lugha rahisi zambi imeikalia nafsi yako na kuiongoza. #Warumi 7:18-19 [18]Kwa maana najua ya kuwa ndani yangu, yaani, ndani ya mwili wangu, halikai neno jema; kwa kuwa kutaka nataka, bali kutenda lililo jema sipati. [19]Kwa maana lile jema nilipendalo, silitendi; bali lile baya nisilolipenda ndilo nilitendalo. . Ndiyo sababu gheto unaenda kwa moyo wako wote ,nguo mnavua vizuri pamoja na ni wanakwaya mkimaliza kuzini unakuta mmoja anaanza kumlaumu mwenzake kuwa tamaa zako zimetuponza tumezini. Siyo kuwa tamaa zimewaponza ni kuwa either kuna jambo ujajua kuhusu zinaa ambalo ungelijua usinge thubutu kujitoa ufahamu kwenda getho la mtu na unaenda peke yako kabisa. #Chanzo ni nini ni kadiri unavyotaka kutumia akiri zako ndivyo unavyo fungua mlango wa shetani kukushanbulia kupitia ujinga wako. #Kumbe kama ungemuangalia Yusuph alicho fanya ungejua uzinzi hatuneni kwa lugha na kubakia hapo hapo tunakimbia mbali kabisa kwa kuwa usipo kimbia mwili wako utazidiwa na matokeo yako utaanguka. #Mwanzo 39:11-12 [11]Ikawa, siku moja, akaingia nyumbani atende kazi yake, wala hapakuwa na mtu katika watu wa nyumbani humo ndani; [12]huyo mwanamke akamshika nguo zake, akisema, Lala nami. Yusufu akaiacha nguo yake mkononi mwake, akakimbia, akatoka nje. Hii ndiyo sababu biblia inasema pia ikimbieni zinaa 1 Wakorintho 6:18 [18]Ikimbieni zinaa. Kila dhambi aitendayo mwanadamu ni nje ya mwili wake; ila yeye afanyaye zinaa hutenda dhambi juu ya mwili wake mwenyewe. #Ukishindwa kukimbia shetani atakukamata . Lengo ni nini nimesema kila aliye shinda zambi au jambo furani kuna ufahamu anao ambao wewe una. Jitahidi kutafuta maarifa kuna aina ya zambi hazitoki kwa maombi peke yake bila kujua kanuni ya kushinda iyo zambi. Kitakacho tokea ni kuwa unaomba sana lakini ukitoka kuomba shetani anakuletea tena zambi ile ile na unaanguka tena #Shetani aogopi kipawa au karama uliyo nayo kuhusu kukushambulia ila anaogopa maarifa uliyo nayo kuhusu ilo jambo.Kadiri unavyo juuw siri nyingi juu ya jambo fulani ndivyo unavyo funga mlango wa mahambulizi ya shetani. Isaya amekuwa nabii lakini kila siku alikuwa nabii lakini pia ana midomo michafu mpaka siku alipo pata ufunuo ambao uliambatana na ukombozi ndio akaendelea kuwa mtu safi. Isaya 6:5-7 [5]Ndipo niliposema, Ole wangu! Kwa maana nimepotea; kwa sababu mimi ni mtu mwenye midomo michafu, nami ninakaa kati ya watu wenye midomo michafu; na macho yangu yamemwona Mfalme, BWANA wa majeshi. [6]Kisha mmoja wa maserafi wale akaruka akanikaribia; naye alikuwa na kaa la moto mkononi mwake, ambalo alikuwa amelitwaa kwa makoleo toka juu ya madhabahu; [7]akanigusa kinywa changu kwa kaa hilo, akaniambia, Tazama, hili limekugusa midomo yako, na uovu wako umeondolewa, na dhambi yako imefunikwa. Ukombozi wa Isaya ulitegemea sana na ufunuo alio pokea siku hiyi maana kila siku aliendelea kuwa nabii lakin kumbe kuna jambo liko nyuma ya pazia na ndicho kizuizi chake. MUNGU ALIYE MTOKEA ISAYA KATIKA ULE MWAKA WA KUFA KWA MFALME UZIA NDIO MUNGU AKAKUTOKEE NA WEWE NA MIMI PIA ILI ATUTIE UFUNUO WA KUJUA MAKOSA YETU NA UKOMBOZI WAKE UPITE MOJA KWA MOJA. Sylvester Mwakabende (0622625340) #2026_Sisi_ndio_wale_tunao_piganiwa_na_Bwana.
    0 Comments 0 Shares 1K Views
  • Klabu ya Al-Ahli Tripoli kutoka nchini Libya imetuma rasmi ofa ya Dola za Kimarekani 800,000 (sawa na takriban Shilingi bilioni 1.97 za Tanzania) kwa ajili ya kuvunja mkataba wa kiungo nyota wa Tanzania, Feisal Salum Abdallah (27).

    Kwa mujibu wa taarifa kutoka vyanzo vya kuaminika, Al-Ahli Tripoli imekuwa ikimfuatilia Feisal tangu mwezi Agosti 2025, baada ya kuvutiwa na kiwango chake cha juu katika Ligi Kuu ya NBC na timu ya taifa, Taifa Stars.

    Inadaiwa kuwa klabu hiyo ilituma barua ya kwanza rasmi ya maombi kwa klabu anayochezea Feisal mnamo tarehe 14 Septemba 2025, ikiwa ni hatua ya awali kuelekea mazungumzo ya kuhitimisha dili hilo.

    Endapo mchakato huo utakamilika, Feisal Salum ataungana na wachezaji kadhaa wa Afrika Mashariki waliowahi kucheza katika ligi ya Libya, ligi inayojulikana kwa malipo mazuri na ushindani mkubwa katika ukanda wa Afrika Kaskazini.

    Feisal, ambaye pia ni mchezaji muhimu wa Taifa Stars, ameendelea kuvutia vilabu kadhaa vya nje kutokana na ubora wake wa kiufundi, nidhamu, na uzoefu mkubwa katika soka la kimataifa.

    Kwa sasa, klabu anayochezea Feisal haijatoa tamko rasmi kuhusu ofa hiyo, huku mashabiki wakiendelea kusubiri matokeo ya mazungumzo kati ya pande hizo mbili.
    Klabu ya Al-Ahli Tripoli kutoka nchini Libya imetuma rasmi ofa ya Dola za Kimarekani 800,000 (sawa na takriban Shilingi bilioni 1.97 za Tanzania) kwa ajili ya kuvunja mkataba wa kiungo nyota wa Tanzania, Feisal Salum Abdallah (27). Kwa mujibu wa taarifa kutoka vyanzo vya kuaminika, Al-Ahli Tripoli imekuwa ikimfuatilia Feisal tangu mwezi Agosti 2025, baada ya kuvutiwa na kiwango chake cha juu katika Ligi Kuu ya NBC na timu ya taifa, Taifa Stars. Inadaiwa kuwa klabu hiyo ilituma barua ya kwanza rasmi ya maombi kwa klabu anayochezea Feisal mnamo tarehe 14 Septemba 2025, ikiwa ni hatua ya awali kuelekea mazungumzo ya kuhitimisha dili hilo. Endapo mchakato huo utakamilika, Feisal Salum ataungana na wachezaji kadhaa wa Afrika Mashariki waliowahi kucheza katika ligi ya Libya, ligi inayojulikana kwa malipo mazuri na ushindani mkubwa katika ukanda wa Afrika Kaskazini. Feisal, ambaye pia ni mchezaji muhimu wa Taifa Stars, ameendelea kuvutia vilabu kadhaa vya nje kutokana na ubora wake wa kiufundi, nidhamu, na uzoefu mkubwa katika soka la kimataifa. Kwa sasa, klabu anayochezea Feisal haijatoa tamko rasmi kuhusu ofa hiyo, huku mashabiki wakiendelea kusubiri matokeo ya mazungumzo kati ya pande hizo mbili.
    0 Comments 0 Shares 1K Views
  • "Nani alaumiwe? Anaweza kuwa Injinia Hersi Said mwenyewe. Yanga ilifika fainali za Shirikisho miaka ya karibuni. Yanga ilitolewa robo fainali. Yanga ilitolewa pia makundi. Hersi anajua ndoto za Wanayanga. Huwa wananyanyasika kwa mashabiki wa mtani zao kwa kutofanya vizuri katika michuano ya CAF. Ligi ya Mabingwa.
    .
    Wakati huu wakiwa wamesajili wachezaji wazuri huku akiendelea kumiliki wachezaji mafundi kama kina Pacome Zouzoua, Hersi akaitafutia Yanga kocha mwanafunzi.

    Ukitazama wasifu wa Folz, alikuwa amepita katika klabu kadhaa akiwa kama kocha msaidizi. Hersi na wenzake walikuwa wamecheza kamari kwa kumleta Folz. Hajawahi kuwa kocha mkuu wala kutwaa taji lolote muhimu katika maisha yake ya mpira.

    Unawezaje kutimiza ndoto zako ukiwa na kocha wa namna hii. Katika lugha ya mtaani ya Waingereza tunaweza kusema Hersi na wenzake walikuwa wamecheza kamari. ‘Gambling’. Haukuwa muda wa Yanga kucheza bahati nasibu.

    Ulikuwa muda wa wao kuwa na kocha ambaye ana uzoefu na anaweza kuishi katika falsafa zao. Matokeo yake Yanga wamejiweka katika hatari. Wameshafungwa ugenini na wageni wao wanaweza kuja na mbinu za ajabu. Injinia Hersi na wenzake ambao wanaongoza Yanga sasa hivi hawakufikiria kama wanaweza kuwa katika nafasi hii kwa sasa. Wakati wao wanaiwaza nusu fainali au fainali, tayari wapo hatarini kutofika hata makundi.

    - Edo Kumwembe, Mchambuzi.
    "Nani alaumiwe? Anaweza kuwa Injinia Hersi Said mwenyewe. Yanga ilifika fainali za Shirikisho miaka ya karibuni. Yanga ilitolewa robo fainali. Yanga ilitolewa pia makundi. Hersi anajua ndoto za Wanayanga. Huwa wananyanyasika kwa mashabiki wa mtani zao kwa kutofanya vizuri katika michuano ya CAF. Ligi ya Mabingwa. . Wakati huu wakiwa wamesajili wachezaji wazuri huku akiendelea kumiliki wachezaji mafundi kama kina Pacome Zouzoua, Hersi akaitafutia Yanga kocha mwanafunzi. 😀 Ukitazama wasifu wa Folz, alikuwa amepita katika klabu kadhaa akiwa kama kocha msaidizi. Hersi na wenzake walikuwa wamecheza kamari kwa kumleta Folz. Hajawahi kuwa kocha mkuu wala kutwaa taji lolote muhimu katika maisha yake ya mpira. Unawezaje kutimiza ndoto zako ukiwa na kocha wa namna hii. Katika lugha ya mtaani ya Waingereza tunaweza kusema Hersi na wenzake walikuwa wamecheza kamari. ‘Gambling’. Haukuwa muda wa Yanga kucheza bahati nasibu. Ulikuwa muda wa wao kuwa na kocha ambaye ana uzoefu na anaweza kuishi katika falsafa zao. Matokeo yake Yanga wamejiweka katika hatari. Wameshafungwa ugenini na wageni wao wanaweza kuja na mbinu za ajabu. Injinia Hersi na wenzake ambao wanaongoza Yanga sasa hivi hawakufikiria kama wanaweza kuwa katika nafasi hii kwa sasa. Wakati wao wanaiwaza nusu fainali au fainali, tayari wapo hatarini kutofika hata makundi. - Edo Kumwembe, Mchambuzi.
    0 Comments 0 Shares 1K Views
  • Iran yakataa mazungumzo na Trump, yakanusha madai ya uharibifu wa nyuklia.

    Katika kile kinachoonekana kuwa kuendelea kwa mvutano wa kidiplomasia kati ya Marekani na Iran, Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, ameibuka hadharani na kukataa pendekezo la Rais wa Marekani, Donald Trump, la kurejea kwenye meza ya mazungumzo.

    Akizungumza kupitia vyombo vya habari vya Serikali, Khamenei alisema wazi kuwa pendekezo la Trump halikuwa la kweli, bali ni jaribio la kulazimisha makubaliano kwa njia ya vitisho.

    "Trump anasema yeye ni Mtaalamu wa kufanikisha makubaliano, lakini kama makubaliano hayo yanaambatana na shinikizo na matokeo yake tayari yameamuliwa, basi hiyo siyo makubaliano bali ni kulazimisha na vitisho," - Ayatollah Ali Khamenei.

    Kauli hiyo ya Khamenei imekuja kufuatia hotuba ya Trump wiki iliyopita, ambapo aliwaambia Wabunge wa Israel kwamba Marekani ingependa kufanikisha makubaliano ya amani na Tehran, hasa baada ya kutangazwa kwa usitishaji mapigano kati ya Israel na Hamas huko Gaza. Katika hotuba hiyo, Trump pia alidai kuwa:

    "Marekani imeharibu kabisa maeneo ya nyuklia ya Iran."

    Lakini Khamenei alikanusha vikali kauli hiyo, akisema:

    "Rais wa Marekani anajivunia kusema kuwa wamebomoa na kuharibu sekta ya nyuklia ya Iran. Vizuri, endeleeni kuota!"

    Kauli hizi zinaashiria kuwa uhusiano kati ya Tehran na Washington bado uko katika hali ya sintofahamu, huku Iran ikionekana kuchukua msimamo mkali dhidi ya kile inachokiona kama mbinu za mabeberu.

    Kwa sasa, haijafahamika kama juhudi za kidiplomasia zitaendelea, hasa ikizingatiwa kuwa Iran bado inashikilia haki yake ya kuendesha mpango wake wa nyuklia kama nchi huru.

    Je, unadhani mvutano huu unaweza kuzua mgogoro mpya wa kimataifa?

    Toa maoni yako
    Iran yakataa mazungumzo na Trump, yakanusha madai ya uharibifu wa nyuklia. Katika kile kinachoonekana kuwa kuendelea kwa mvutano wa kidiplomasia kati ya Marekani na Iran, Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, ameibuka hadharani na kukataa pendekezo la Rais wa Marekani, Donald Trump, la kurejea kwenye meza ya mazungumzo. Akizungumza kupitia vyombo vya habari vya Serikali, Khamenei alisema wazi kuwa pendekezo la Trump halikuwa la kweli, bali ni jaribio la kulazimisha makubaliano kwa njia ya vitisho. "Trump anasema yeye ni Mtaalamu wa kufanikisha makubaliano, lakini kama makubaliano hayo yanaambatana na shinikizo na matokeo yake tayari yameamuliwa, basi hiyo siyo makubaliano bali ni kulazimisha na vitisho," - Ayatollah Ali Khamenei. Kauli hiyo ya Khamenei imekuja kufuatia hotuba ya Trump wiki iliyopita, ambapo aliwaambia Wabunge wa Israel kwamba Marekani ingependa kufanikisha makubaliano ya amani na Tehran, hasa baada ya kutangazwa kwa usitishaji mapigano kati ya Israel na Hamas huko Gaza. Katika hotuba hiyo, Trump pia alidai kuwa: "Marekani imeharibu kabisa maeneo ya nyuklia ya Iran." Lakini Khamenei alikanusha vikali kauli hiyo, akisema: "Rais wa Marekani anajivunia kusema kuwa wamebomoa na kuharibu sekta ya nyuklia ya Iran. Vizuri, endeleeni kuota!" Kauli hizi zinaashiria kuwa uhusiano kati ya Tehran na Washington bado uko katika hali ya sintofahamu, huku Iran ikionekana kuchukua msimamo mkali dhidi ya kile inachokiona kama mbinu za mabeberu. Kwa sasa, haijafahamika kama juhudi za kidiplomasia zitaendelea, hasa ikizingatiwa kuwa Iran bado inashikilia haki yake ya kuendesha mpango wake wa nyuklia kama nchi huru. Je, unadhani mvutano huu unaweza kuzua mgogoro mpya wa kimataifa? Toa maoni yako
    0 Comments 0 Shares 1K Views
  • Alexander Isak akizungumza baada ya mchezo:

    “Nadhani hatukuanza mchezo vizuri, lakini tulijaribu kurejea taratibu na kuingia kwenye mchezo. Tuliporejea kipindi cha pili, tulijitahidi kwa nguvu zote kutafuta matokeo. Mwishowe, ni jambo gumu kukubali kufungwa dakika za mwisho namna hiyo.”

    #SportsElite
    Alexander Isak akizungumza baada ya mchezo: “Nadhani hatukuanza mchezo vizuri, lakini tulijaribu kurejea taratibu na kuingia kwenye mchezo. Tuliporejea kipindi cha pili, tulijitahidi kwa nguvu zote kutafuta matokeo. Mwishowe, ni jambo gumu kukubali kufungwa dakika za mwisho namna hiyo.” #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 929 Views
  • Achraf Hakimi baada ya ushindi dhidi ya Barcelona:

    "Inawezekana tumeshinda usiku wa leo, lakini kilichonivutia zaidi hakikuwa matokeo, bali mchezaji mmoja anayeitwa Pedri. Sijawahi kuona mchezaji kama yeye hapo kabla… Anaweza kudhibiti kasi na mwelekeo wa mechi, alitufanya tuhangaike kwa kila mpira, kama vile alikuwa na rimoti ya kuendesha kila kitu uwanjani. Nilishtuka sana kocha wao, Flick, alipoamua kumtoa. Kwangu mimi, alikuwa mchezaji bora zaidi uwanjani kuliko wote, kutoka pande zote mbili. Ana akili ya miaka ishirini ya uzoefu ndani ya mwili wa kijana mdogo."

    "Hata Vitinha baada ya mechi aliniambia: Sijawahi kuona kitu kama hiki kabla, na hiyo ni kweli kabisa. Pedri hafanyi tu kazi ya kuunda nafasi, anakulazimisha kumkimbiza bila mafanikio. Sijui aliwezaje kushika nafasi ya 11 kwenye Ballon d’Or, lakini kwangu, kile anachokifanya uwanjani kinathibitisha kwamba atakuwa mmoja wa magwiji wa mpira wa miguu. Pedri ni akili na moyo halisi wa Barcelona. Na licha ya kushindwa kwao leo… hakuna anayeweza kupinga kwamba wao ni miongoni mwa wagombea wakuu wa ubingwa wa UEFA msimu huu.

    #SportsElite
    Achraf Hakimi baada ya ushindi dhidi ya Barcelona: 🗣️ "Inawezekana tumeshinda usiku wa leo, lakini kilichonivutia zaidi hakikuwa matokeo, bali mchezaji mmoja anayeitwa Pedri. Sijawahi kuona mchezaji kama yeye hapo kabla… Anaweza kudhibiti kasi na mwelekeo wa mechi, alitufanya tuhangaike kwa kila mpira, kama vile alikuwa na rimoti ya kuendesha kila kitu uwanjani. Nilishtuka sana kocha wao, Flick, alipoamua kumtoa. Kwangu mimi, alikuwa mchezaji bora zaidi uwanjani kuliko wote, kutoka pande zote mbili. Ana akili ya miaka ishirini ya uzoefu ndani ya mwili wa kijana mdogo."🤯❤️ 🗣️ "Hata Vitinha baada ya mechi aliniambia: Sijawahi kuona kitu kama hiki kabla, na hiyo ni kweli kabisa. Pedri hafanyi tu kazi ya kuunda nafasi, anakulazimisha kumkimbiza bila mafanikio. Sijui aliwezaje kushika nafasi ya 11 kwenye Ballon d’Or, lakini kwangu, kile anachokifanya uwanjani kinathibitisha kwamba atakuwa mmoja wa magwiji wa mpira wa miguu. Pedri ni akili na moyo halisi wa Barcelona. Na licha ya kushindwa kwao leo… hakuna anayeweza kupinga kwamba wao ni miongoni mwa wagombea wakuu wa ubingwa wa UEFA msimu huu. #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 1K Views
  • Manchester United Yavunja Rekodi ya Mapato ya £666.5m, Licha ya Kukosa Ligi ya Mabingwa Ulaya

    Manchester United imetangaza mapato ya rekodi ya £666.5 milioni kwa mwaka wa fedha 2025, licha ya kutoshiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (#UCL). Hata hivyo, klabu hiyo imerekodi hasara ya uendeshaji ya £18.4 milioni, ikilinganishwa na hasara kubwa zaidi ya £69.3 milioni mwaka 2024.

    Kiasi cha £36.6 milioni kilitumiwa kama gharama maalum, ikiwemo kuondoka kwa aliyekuwa meneja Erik ten Hag pamoja na benchi lake la ufundi.

    United pia imeweka historia kwa kupata mapato ya juu zaidi ya siku za mechi, yaliyoongezeka kwa 17%, kutokana na mauzo makubwa ya tiketi na uanachama. Aidha, klabu ilipata mapato ya juu zaidi ya kibiashara, yaliyoongezeka kwa 10%, kutokana na ushirikiano mpya wa jezi kuu na kampuni ya teknolojia Snapdragon.

    Kwa mwaka wa fedha 2026, klabu hiyo imeweka makadirio ya mapato kati ya £640 milioni na £660 milioni, huku EBITDA iliyorekebishwa ikitarajiwa kuwa kati ya £180 milioni na £200 milioni.

    Afisa Mtendaji Mkuu, Omar Berrada, alisema kuwa klabu inaendelea na mikakati ya muda mrefu ndani na nje ya uwanja:

    > "Tunafurahishwa na wachezaji wapya tulioongeza kwenye vikosi vyetu vya wanaume na wanawake. Nje ya uwanja, tunapitia mabadiliko ya kiuongozi na kimuundo, na sasa tuna taasisi iliyo tayari kufanikisha malengo yetu. Kupunguza gharama kutatupa nafasi kubwa ya kuboresha matokeo ya kifedha, jambo litakalosaidia kipaumbele chetu kikuu — mafaanikio uwanjani."

    Manchester United sasa ina matumaini kwamba mafanikio ya kifedha yatasaidia kurejesha ubingwa na heshima uwanjani.

    #SportsElite
    ⚽ Manchester United Yavunja Rekodi ya Mapato ya £666.5m, Licha ya Kukosa Ligi ya Mabingwa Ulaya Manchester United imetangaza mapato ya rekodi ya £666.5 milioni kwa mwaka wa fedha 2025, licha ya kutoshiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (#UCL). Hata hivyo, klabu hiyo imerekodi hasara ya uendeshaji ya £18.4 milioni, ikilinganishwa na hasara kubwa zaidi ya £69.3 milioni mwaka 2024. Kiasi cha £36.6 milioni kilitumiwa kama gharama maalum, ikiwemo kuondoka kwa aliyekuwa meneja Erik ten Hag pamoja na benchi lake la ufundi. United pia imeweka historia kwa kupata mapato ya juu zaidi ya siku za mechi, yaliyoongezeka kwa 17%, kutokana na mauzo makubwa ya tiketi na uanachama. Aidha, klabu ilipata mapato ya juu zaidi ya kibiashara, yaliyoongezeka kwa 10%, kutokana na ushirikiano mpya wa jezi kuu na kampuni ya teknolojia Snapdragon. Kwa mwaka wa fedha 2026, klabu hiyo imeweka makadirio ya mapato kati ya £640 milioni na £660 milioni, huku EBITDA iliyorekebishwa ikitarajiwa kuwa kati ya £180 milioni na £200 milioni. Afisa Mtendaji Mkuu, Omar Berrada, alisema kuwa klabu inaendelea na mikakati ya muda mrefu ndani na nje ya uwanja: > "Tunafurahishwa na wachezaji wapya tulioongeza kwenye vikosi vyetu vya wanaume na wanawake. Nje ya uwanja, tunapitia mabadiliko ya kiuongozi na kimuundo, na sasa tuna taasisi iliyo tayari kufanikisha malengo yetu. Kupunguza gharama kutatupa nafasi kubwa ya kuboresha matokeo ya kifedha, jambo litakalosaidia kipaumbele chetu kikuu — mafaanikio uwanjani." 📌 Manchester United sasa ina matumaini kwamba mafanikio ya kifedha yatasaidia kurejesha ubingwa na heshima uwanjani. #SportsElite
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 1K Views
  • IMANI KUBWA.

    Imani ni uhakika wa jambo bayana ya lile lisilo onekana.

    #Waebrania 11:1
    [1]Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana.

    Imani kubwa ni imani ya kulitazama neno na kutokea kwenye neno kila jawabu lako unaliona hapo.

    Mfano uhalisia madaktari wanasema huwezi kupona kisukari lakini neno linasema alichukua magonjwa yetu ,madhaifu yetu hivyo basi lwa kupigwa kwake sisi tumepona.

    Imani kubwa ni kuvuka mstari wa wanayo onekana na kisha kutazama neno na kuliishi.

    Akida alikuwa mfano wa jambo hili.

    #Luka 7:7
    [7]kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona.

    Huyu akida akuhitaji kabisa hata Yesu aende eneo lile badala yake aliitaji alitume neno tu na yule mtumwa wake apone.

    Hii ndiyo imani kubwa ni wakati uhalisia unakataa lakini ndo kipindi ambacho unaona jibu hapo hapo.

    #Luka 7:7,9
    [7]kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona.

    [9]Yesu aliposikia hayo alimstaajabia, akaugeukia mkutano uliokuwa ukimfuata, akasema, Nawaambia, hata katika Israeli sijaona imani kubwa namna hii.

    Wanao pokea wote kwa ukubwa lazima wawe na imani kubwa sana na chanzo cha imani kubwa ni kusikia neno la Mungu na kuligeuza kuwa lako la maisha.

    Kwa sababu Mungu huwa ana asili ya kulituma neno lake lake kisha likabadilisha yote.

    #Zaburi 107:20
    [20]Hulituma neno lake, huwaponya,
    Huwatoa katika maangamizo yao.

    Ko kama huamini neno Mungu hawezi kulituma neno ni lazima ufike kipindi uamue kulituma neno ili kutokea kwenye neno libadilishe yote.

    Mfano mwingine .

    Petro alipo kiuhalisia petro alikuwa mtaalamu wa uvuvi na kiasi cha kuwa amekesha kabisa kutafuta samaki .

    Na kanuni ya uvuvi samaki wanapatikana usiku , Yesu ameenda muda ambao hualisia wa kawaida haukubali kuvua.

    Na anamwambia Petro shusha nyavu kilindini,
    Petro sababu ya imani kubwa alimwambia kwa neno lako nashusha nyavu.

    #Luka 5:5
    [5]Simoni akajibu akamwambia, Bwana mkubwa, tumefanya kazi ya kuchosha usiku kucha, tusipate kitu; lakini kwa neno lako nitazishusha nyavu.

    Na kutokea kushusha nyavu walipata samaki wengi kiasi cha nyavu kukatika.

    #Luka 5:6-7
    [6]Basi, walipofanya hivyo walipata samaki wengi mno, nyavu zao zikaanza kukatika;
    .
    [7]wakawapungia mikono washirika wao waliokuwa katika chombo cha pili, kuwasaidia; wakaja, wakavijaza vyombo vyote viwili, hata vikataka kuzama.

    Kumbe hata wewe upati majibu sababu utaki kujenga imani kubwa katika jambo unalo lifanya.

    Mfano moyoni mwako kila ukiwaza unasikia kuwa na real estate na uhalisia uoni lakini una kakiwanja mahali au unapo ishi kumbe imani kubwa ni kuanza hata na vyumba viwili ndo vitabadilisha maisha yako.

    Ni neno la uzima peke yake ndilo Lina badilishaga yote .

    Jifunze kutii kile unacho kiona kwenye neno na kutokea hapo maisha yako yote yatabadilika.

    Jitahidi sana kuomba kwa Mungu neno la uzima linabdailishaga yote.

    Imani inabadilisha yote kabisa na ukiamua kumfuata Yesu na ukalipenda neno maisha yako yatabadilika kabisa.

    Kuwa na imani kubwa harafu uone matokeo makubwa

    NAKUOMBEA MUNGU WANGU AKUPE NEEMA YA KUWA NA IMANI KUBWA KTIKA NENO LAKE NA KUTOKEA HAPO JANA YAKO IBADILIKE KABISA NA KUWA KESHO NJEMA KWA JINA LA YESU.

    Nikutakie asubui njema na siku njema .

    Naitwa sylvester Mwakabende
    Build new eden ministry
    0622625340

    #build new eden
    #restore men position
    IMANI KUBWA. Imani ni uhakika wa jambo bayana ya lile lisilo onekana. #Waebrania 11:1 [1]Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana. Imani kubwa ni imani ya kulitazama neno na kutokea kwenye neno kila jawabu lako unaliona hapo. Mfano uhalisia madaktari wanasema huwezi kupona kisukari lakini neno linasema alichukua magonjwa yetu ,madhaifu yetu hivyo basi lwa kupigwa kwake sisi tumepona. Imani kubwa ni kuvuka mstari wa wanayo onekana na kisha kutazama neno na kuliishi. Akida alikuwa mfano wa jambo hili. #Luka 7:7 [7]kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona. Huyu akida akuhitaji kabisa hata Yesu aende eneo lile badala yake aliitaji alitume neno tu na yule mtumwa wake apone. Hii ndiyo imani kubwa ni wakati uhalisia unakataa lakini ndo kipindi ambacho unaona jibu hapo hapo. #Luka 7:7,9 [7]kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona. [9]Yesu aliposikia hayo alimstaajabia, akaugeukia mkutano uliokuwa ukimfuata, akasema, Nawaambia, hata katika Israeli sijaona imani kubwa namna hii. Wanao pokea wote kwa ukubwa lazima wawe na imani kubwa sana na chanzo cha imani kubwa ni kusikia neno la Mungu na kuligeuza kuwa lako la maisha. Kwa sababu Mungu huwa ana asili ya kulituma neno lake lake kisha likabadilisha yote. #Zaburi 107:20 [20]Hulituma neno lake, huwaponya, Huwatoa katika maangamizo yao. Ko kama huamini neno Mungu hawezi kulituma neno ni lazima ufike kipindi uamue kulituma neno ili kutokea kwenye neno libadilishe yote. Mfano mwingine . Petro alipo kiuhalisia petro alikuwa mtaalamu wa uvuvi na kiasi cha kuwa amekesha kabisa kutafuta samaki . Na kanuni ya uvuvi samaki wanapatikana usiku , Yesu ameenda muda ambao hualisia wa kawaida haukubali kuvua. Na anamwambia Petro shusha nyavu kilindini, Petro sababu ya imani kubwa alimwambia kwa neno lako nashusha nyavu. #Luka 5:5 [5]Simoni akajibu akamwambia, Bwana mkubwa, tumefanya kazi ya kuchosha usiku kucha, tusipate kitu; lakini kwa neno lako nitazishusha nyavu. Na kutokea kushusha nyavu walipata samaki wengi kiasi cha nyavu kukatika. #Luka 5:6-7 [6]Basi, walipofanya hivyo walipata samaki wengi mno, nyavu zao zikaanza kukatika; . [7]wakawapungia mikono washirika wao waliokuwa katika chombo cha pili, kuwasaidia; wakaja, wakavijaza vyombo vyote viwili, hata vikataka kuzama. Kumbe hata wewe upati majibu sababu utaki kujenga imani kubwa katika jambo unalo lifanya. Mfano moyoni mwako kila ukiwaza unasikia kuwa na real estate na uhalisia uoni lakini una kakiwanja mahali au unapo ishi kumbe imani kubwa ni kuanza hata na vyumba viwili ndo vitabadilisha maisha yako. Ni neno la uzima peke yake ndilo Lina badilishaga yote . Jifunze kutii kile unacho kiona kwenye neno na kutokea hapo maisha yako yote yatabadilika. Jitahidi sana kuomba kwa Mungu neno la uzima linabdailishaga yote. Imani inabadilisha yote kabisa na ukiamua kumfuata Yesu na ukalipenda neno maisha yako yatabadilika kabisa. Kuwa na imani kubwa harafu uone matokeo makubwa NAKUOMBEA MUNGU WANGU AKUPE NEEMA YA KUWA NA IMANI KUBWA KTIKA NENO LAKE NA KUTOKEA HAPO JANA YAKO IBADILIKE KABISA NA KUWA KESHO NJEMA KWA JINA LA YESU. Nikutakie asubui njema na siku njema . Naitwa sylvester Mwakabende Build new eden ministry 0622625340 #build new eden #restore men position
    0 Comments 0 Shares 2K Views
  • Wokovu ni matokeo ya kinywa yaani kwa kinywa ndiyo mtu hupata wokovu.

    Wokovu huo unaongozwa na imani ,kumbuka mtu anaruhusiwa kukiri kile tu anacho kiamini.

    #warumi 10:8-10.

    Kumbe pamoja na wokovu kuwa wa thamani lakini ili uingie kwa mtu kwa njia ya imani na ukiri.

    Kumbe hata kama ungeamini lakini ujakili bado unakuwa uko katika njia panda.

    Kinywa ndicho kinacho kupa mamlaka ya kumshinda shetani na kukupa ujasiri wa kushinda .

    # 2 Corinth 4:4

    Kumbe kama moyo wako ujaamini injiri huwezi kupokea kwa ukubwa unao takiwa.

    Lazima uiamini injiri au neno la Mungu ligeuke kuwa maisha na ndipo utakuwa na ujasiri wa kukiri vyema na kuushinda ulimi wako kujinenea vibay.

    #mathayo 28:18

    Yesu ndiye mamlaka na alisema tumfuate na ukimfuata yeye lazima unakiwa na mamlaka.

    Nikutakie jion njema
    Kama unapenda kujifunza tuma neno add kwa namba 0622625340.

    Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry)

    #restore men position
    #build new eden
    Wokovu ni matokeo ya kinywa yaani kwa kinywa ndiyo mtu hupata wokovu. Wokovu huo unaongozwa na imani ,kumbuka mtu anaruhusiwa kukiri kile tu anacho kiamini. #warumi 10:8-10. Kumbe pamoja na wokovu kuwa wa thamani lakini ili uingie kwa mtu kwa njia ya imani na ukiri. Kumbe hata kama ungeamini lakini ujakili bado unakuwa uko katika njia panda. Kinywa ndicho kinacho kupa mamlaka ya kumshinda shetani na kukupa ujasiri wa kushinda . # 2 Corinth 4:4 Kumbe kama moyo wako ujaamini injiri huwezi kupokea kwa ukubwa unao takiwa. Lazima uiamini injiri au neno la Mungu ligeuke kuwa maisha na ndipo utakuwa na ujasiri wa kukiri vyema na kuushinda ulimi wako kujinenea vibay. #mathayo 28:18 Yesu ndiye mamlaka na alisema tumfuate na ukimfuata yeye lazima unakiwa na mamlaka. Nikutakie jion njema Kama unapenda kujifunza tuma neno add kwa namba 0622625340. Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry) #restore men position #build new eden
    0 Comments 0 Shares 2K Views
  • MATOKEO YA PREMIER LEAGUE

    CRYSTAL PALACE 1-1 NOTTINGHAM FOREST
    ⚽️ 37" Sarr ⚽️ 57" Hudson Odoi

    EVERTON FC 2-0 BRIGHTON
    ⚽️ 23" Ndiaye ❎️ 77" Welback (p)
    ⚽️ 53" Garner
    🚨🚨MATOKEO YA PREMIER LEAGUE 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿 CRYSTAL PALACE 1-1 NOTTINGHAM FOREST ⚽️ 37" Sarr ⚽️ 57" Hudson Odoi EVERTON FC 2-0 BRIGHTON ⚽️ 23" Ndiaye ❎️ 77" Welback (p) ⚽️ 53" Garner
    0 Comments 0 Shares 382 Views
  • Matokeo ya michezo ya kufuzu CONFERENCE LEAGUE
    🚨🚨Matokeo ya michezo ya kufuzu CONFERENCE LEAGUE
    0 Comments 0 Shares 317 Views
  • Sema kwenye deal la Isak ni gumu sana na bei ni ghali Sana, ndio maana hakuna timu inaweza ingilia hapo kati zaidi ya Liverpool wenyewe...

    Sema Hawa Newcastle Wana nguvu ya pesa ndio maana hawababaishwi na mtu... Ila nguvu ya demand kwa mchezaji kutaka kwenda kucheza Liverpool Pekee ndio kutabadilisha matokeo... Na Newcastle kukubali deal li kamamilike

    #SportsElite
    Sema kwenye deal la Isak ni gumu sana na bei ni ghali Sana, ndio maana hakuna timu inaweza ingilia hapo kati zaidi ya Liverpool wenyewe... Sema Hawa Newcastle Wana nguvu ya pesa ndio maana hawababaishwi na mtu... Ila nguvu ya demand kwa mchezaji kutaka kwenda kucheza Liverpool Pekee ndio kutabadilisha matokeo... Na Newcastle kukubali deal li kamamilike #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 651 Views
  • Arteta Afunguka Kuhusu Uhamisho wa Merino na Zubimendi!

    Mikel Arteta amefunguka kuhusu mipango kabambe ya uhamisho iliyoiwezesha Arsenal kuwanasa Martin Zubimendi na Mikel Merino kwa misimu miwili mfululizo kutoka Real Sociedad!

    Akizungumza na gunnerblog, Arteta alifafanua jinsi ilivyokuwa muhimu kwa wachezaji wenyewe kutamani kujiunga na Arsenal, akisema, "Ilikuwa mpango uliopangwa vizuri sana. Na wachezaji wote wawili walikuwa na shauku kubwa ya kuja, jambo ambalo ni muhimu sana."

    Meneja huyo wa Arsenal alisisitiza ushirikiano mzuri na klabu ya Real Sociedad, akieleza, "Tulikuwa na klabu ya Real Sociedad iliyoelewa hali na wamekuwa bora. Tulifanya tulichotaka, na wachezaji walifanya tulichotaka, na nadhani Real Sociedad, mwishowe, walifurahishwa na matokeo."

    Maneno haya yanathibitisha jinsi Arsenal inavyojenga kikosi chake kwa umakini na mikakati ya uhamisho inayozingatia mahitaji ya klabu na matakwa ya wachezaji. Ni wazi kwamba Arteta na timu yake wanafanya kazi nzuri kuhakikisha wanapata wachezaji wanaofaa kuimarisha kikosi na kuendelea kupigania mafanikio!

    #SportsElite
    Arteta Afunguka Kuhusu Uhamisho wa Merino na Zubimendi! 🔴⚪ Mikel Arteta amefunguka kuhusu mipango kabambe ya uhamisho iliyoiwezesha Arsenal kuwanasa Martin Zubimendi na Mikel Merino kwa misimu miwili mfululizo kutoka Real Sociedad! Akizungumza na gunnerblog, Arteta alifafanua jinsi ilivyokuwa muhimu kwa wachezaji wenyewe kutamani kujiunga na Arsenal, akisema, "Ilikuwa mpango uliopangwa vizuri sana. Na wachezaji wote wawili walikuwa na shauku kubwa ya kuja, jambo ambalo ni muhimu sana." Meneja huyo wa Arsenal alisisitiza ushirikiano mzuri na klabu ya Real Sociedad, akieleza, "Tulikuwa na klabu ya Real Sociedad iliyoelewa hali na wamekuwa bora. Tulifanya tulichotaka, na wachezaji walifanya tulichotaka, na nadhani Real Sociedad, mwishowe, walifurahishwa na matokeo." Maneno haya yanathibitisha jinsi Arsenal inavyojenga kikosi chake kwa umakini na mikakati ya uhamisho inayozingatia mahitaji ya klabu na matakwa ya wachezaji. Ni wazi kwamba Arteta na timu yake wanafanya kazi nzuri kuhakikisha wanapata wachezaji wanaofaa kuimarisha kikosi na kuendelea kupigania mafanikio! #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 761 Views
More Results