• Rais wa Nchi ya Iran , Ayatollah Ali Khamenei, amesema kuwa vitisho vya Nchi ya Marekani dhidi ya Taifa lake havisaidii lolote na havitaleta matokeo yoyote kama Rais Donald Tramp anavyofikiria. Kiongozi huyo amesema hayo baada ya Rais Trump kuonya uwezekano wa hatua za kijeshi kuchukuliwa dhidi ya Iran.

    "Wamarekani wanapaswa kuelewa kwamba vitisho havitafanikiwa wanapokabiliana na Iran. Wao (Marekani) na wengine wanapaswa kufahamu kuwa wakifanya lolote baya dhidi ya taifa la Iran, watajibiwa kwa nguvu kubwa." alisema Rais Khemenei

    Mnamo Machi 7, Rais Trump alisema kuwa alimwandikia barua Rais Khamenei, akimtaka kuanzisha mazungumzo kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran, huku akionya kuwa kuna uwezekano wa kuchukua hatua za kijeshi iwapo Iran itakataa. Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, alisema Alhamisi wiki hii kuwa barua hiyo ilikuwa zaidi ya tishio, ingawa pia ilionesha uwezekano wa mazungumzo.

    "Tunachunguza kwa kina maudhui ya barua hiyo, na tutajibu rasmi katika siku chache zijazo” alisema Waziri huyo

    Kulingana na ripoti ya tovuti ya habari ya Marekani, Axios, ikimnukuu Afisa wa Serikali ya Trump na vyanzo vingine vikisema, barua hiyo inaweka muda wa miezi miwili wa kufikia makubaliano mapya ya nyuklia. Hata hivyo, haijabainishwa ni lini muda huo utaanza au kuisha. Kwa muda mrefu, Rais Khamenei amepuuza wito wa Rais Trump wa mazungumzo ya moja kwa moja, akisema kuwa Rais huyo wa Marekani anajaribu kudanganya ulimwengu kwa kuonesha kuwa Marekani iko tayari kwa mazungumzo huku Iran ikionekana kutotaka kushiriki.

    Ikumbukwe kwamba Trump ambaye alianza muhula wake wa pili Januari 2025, amerudisha sera yake ya shinikizo la juu dhidi ya Iran. Wakati wa kipindi chake cha kwanza, Trump aliiondoa Marekani kwenye makubaliano ya kihistoria ya nyuklia ya 2015 kati ya Iran na mataifa yenye nguvu ulimwenguni na akairejeshea Tehran vikwazo vikubwa vya kiuchumi.

    Rais wa Nchi ya Iran 🇮🇷, Ayatollah Ali Khamenei, amesema kuwa vitisho vya Nchi ya Marekani 🇺🇸 dhidi ya Taifa lake havisaidii lolote na havitaleta matokeo yoyote kama Rais Donald Tramp anavyofikiria. Kiongozi huyo amesema hayo baada ya Rais Trump kuonya uwezekano wa hatua za kijeshi kuchukuliwa dhidi ya Iran. "Wamarekani wanapaswa kuelewa kwamba vitisho havitafanikiwa wanapokabiliana na Iran. Wao (Marekani) na wengine wanapaswa kufahamu kuwa wakifanya lolote baya dhidi ya taifa la Iran, watajibiwa kwa nguvu kubwa." alisema Rais Khemenei Mnamo Machi 7, Rais Trump alisema kuwa alimwandikia barua Rais Khamenei, akimtaka kuanzisha mazungumzo kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran, huku akionya kuwa kuna uwezekano wa kuchukua hatua za kijeshi iwapo Iran itakataa. Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, alisema Alhamisi wiki hii kuwa barua hiyo ilikuwa zaidi ya tishio, ingawa pia ilionesha uwezekano wa mazungumzo. "Tunachunguza kwa kina maudhui ya barua hiyo, na tutajibu rasmi katika siku chache zijazo” alisema Waziri huyo Kulingana na ripoti ya tovuti ya habari ya Marekani, Axios, ikimnukuu Afisa wa Serikali ya Trump na vyanzo vingine vikisema, barua hiyo inaweka muda wa miezi miwili wa kufikia makubaliano mapya ya nyuklia. Hata hivyo, haijabainishwa ni lini muda huo utaanza au kuisha. Kwa muda mrefu, Rais Khamenei amepuuza wito wa Rais Trump wa mazungumzo ya moja kwa moja, akisema kuwa Rais huyo wa Marekani anajaribu kudanganya ulimwengu kwa kuonesha kuwa Marekani iko tayari kwa mazungumzo huku Iran ikionekana kutotaka kushiriki. Ikumbukwe kwamba Trump ambaye alianza muhula wake wa pili Januari 2025, amerudisha sera yake ya shinikizo la juu dhidi ya Iran. Wakati wa kipindi chake cha kwanza, Trump aliiondoa Marekani kwenye makubaliano ya kihistoria ya nyuklia ya 2015 kati ya Iran na mataifa yenye nguvu ulimwenguni na akairejeshea Tehran vikwazo vikubwa vya kiuchumi.
    0 Comments ·0 Shares ·122 Views
  • Kutoka kwa Mchambuzi wetu Jemedari Said.

    HAKUNA ALAMA 3 ZA MEZANI, YANGA YAAMBIWA INAWEZA KUSHUSHWA DARAJA (47:18)

    Bodi ya Ligi Kuu imeijibu klabu ya Yanga barua yake ambayo ilikuwa pamoja na mambo mengine inataka ipewe alama 3 na mabao 3 kwenye mchezo ulioahirishwa wa tarehe 8 Machi,2025. Katika barua ya tarehe 16 Machi,2025 yenye Kumb.Na TPLB/CEO/2024/625, Bodi inasema mechi ILIAHIRISHWA kwa kufuata kanuni na wala sio kwa sababu Simba SC WALIGOMEA kama ambavyo Yanga walisema.

    Katika barua hiyo ya Bodi yenye kurasa 3 na vipengele 12, Bodi imewaambia Yanga mchezo uliahirishwa rasmi saa 8 mchana baada ya hapo hakukuwa na taratibu zozote kuhusu mchezo huo ambazo ziliendelea, na kwamba maafisa wote wa mchezo ambao walikuwa wakifanya shughuli za mechi Benjamin Mkapa waliondoka isipokuwa wale wa usalama pekee.

    Hakukuwa na taratibu zozote za mchezo zilizoendelea kama zinavyoelezwa kwenye kanuni 17 ambazo zilifanywa ili kuipatia timu iliyopo kiwanjani alama 3 na mabao 3 kikanuni, ikiwemo kukagua timu hiyo, inasomeka sehemu ya barua hiyo ya majibu kwa Yanga SC.

    Klabu yako inapaswa kuelewa kwamba kanuni za ligi Kuu namba 17:45 haisemi popote kwamba klabu mgeni (visiting team) inapaswa kuwasiliana na wadau wengine ili kutimiza takwa la kikanuni la wao kwenda kufanya mazoezi kwenye uwanja utakaochezwa mechi. Imesomeka barua hii ya Bodi.

    Bodi aidha imesema waliita kikao cha dharura cha Kamati ya uendeshaji na usimamizi wa Ligi baada ya kupokea ripoti tofauti tofauti Zenue mfululizo wa matukio uliojenga msingi wa mgogoro uliotokea tarehe 7 Machi,2025 pale Benjamin Mkapa wakati Simba wakitaka kufanya mazoezi.

    Kutokana na umuhimu na unyeti wa taarifa zilizopokelewa, zingine zilitishia usalama, vitisho, tuhuma za rushwa, ambazo zinachukuliwa kwa umuhimu na upekee kwenye soka, Kamati iliona umuhimu wa kuhairisha mechi, ili kuepuka changamoto za kiusalama kabla hazijatokea, kabla au baada ya mechi, ili kujipa muda na pengine kuhusisha vyombo vya kitaifa vya uchunguzi, imesema barua hii ya Bodi kwenda Yanga.

    Kamati iliona matokeo hasi ya kuahirishwa mechi ni madogo kuliko matokeo hasi ambayo yangetokea kwa mechi hiyo kuchezwa.Aidha kwa kupeleka timu kiwanjani Yanga wamekiuka kanuni 47:18.

    Kutoka kwa Mchambuzi wetu Jemedari Said. HAKUNA ALAMA 3 ZA MEZANI, YANGA YAAMBIWA INAWEZA KUSHUSHWA DARAJA (47:18) Bodi ya Ligi Kuu imeijibu klabu ya Yanga barua yake ambayo ilikuwa pamoja na mambo mengine inataka ipewe alama 3 na mabao 3 kwenye mchezo ulioahirishwa wa tarehe 8 Machi,2025. Katika barua ya tarehe 16 Machi,2025 yenye Kumb.Na TPLB/CEO/2024/625, Bodi inasema mechi ILIAHIRISHWA kwa kufuata kanuni na wala sio kwa sababu Simba SC WALIGOMEA kama ambavyo Yanga walisema. Katika barua hiyo ya Bodi yenye kurasa 3 na vipengele 12, Bodi imewaambia Yanga mchezo uliahirishwa rasmi saa 8 mchana baada ya hapo hakukuwa na taratibu zozote kuhusu mchezo huo ambazo ziliendelea, na kwamba maafisa wote wa mchezo ambao walikuwa wakifanya shughuli za mechi Benjamin Mkapa waliondoka isipokuwa wale wa usalama pekee. Hakukuwa na taratibu zozote za mchezo zilizoendelea kama zinavyoelezwa kwenye kanuni 17 ambazo zilifanywa ili kuipatia timu iliyopo kiwanjani alama 3 na mabao 3 kikanuni, ikiwemo kukagua timu hiyo, inasomeka sehemu ya barua hiyo ya majibu kwa Yanga SC. Klabu yako inapaswa kuelewa kwamba kanuni za ligi Kuu namba 17:45 haisemi popote kwamba klabu mgeni (visiting team) inapaswa kuwasiliana na wadau wengine ili kutimiza takwa la kikanuni la wao kwenda kufanya mazoezi kwenye uwanja utakaochezwa mechi. Imesomeka barua hii ya Bodi. Bodi aidha imesema waliita kikao cha dharura cha Kamati ya uendeshaji na usimamizi wa Ligi baada ya kupokea ripoti tofauti tofauti Zenue mfululizo wa matukio uliojenga msingi wa mgogoro uliotokea tarehe 7 Machi,2025 pale Benjamin Mkapa wakati Simba wakitaka kufanya mazoezi. Kutokana na umuhimu na unyeti wa taarifa zilizopokelewa, zingine zilitishia usalama, vitisho, tuhuma za rushwa, ambazo zinachukuliwa kwa umuhimu na upekee kwenye soka, Kamati iliona umuhimu wa kuhairisha mechi, ili kuepuka changamoto za kiusalama kabla hazijatokea, kabla au baada ya mechi, ili kujipa muda na pengine kuhusisha vyombo vya kitaifa vya uchunguzi, imesema barua hii ya Bodi kwenda Yanga. Kamati iliona matokeo hasi ya kuahirishwa mechi ni madogo kuliko matokeo hasi ambayo yangetokea kwa mechi hiyo kuchezwa.Aidha kwa kupeleka timu kiwanjani Yanga wamekiuka kanuni 47:18.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·200 Views
  • Steve Nyerere agusia sakata la Nicole

    "Mstafuuu,.....Nani mkamilifu katika hii Ardhi Ya Mwenyezi Mungu,..

    Napokea sms Simu swala la Nicole Toka juzi kulia na kushoto lakini nikasema Mungu nitangulie nami nione Mwanga kwenye hili,....Ni Ukweli Usio pingika dada kapuyanga Sana Tena sana Ana Makosa Na Ana Kosa la kujibu, lakini nani mkamilifu,....

    Nicole Ana makosa na kibaya zaidi ni kwenda kuchangisha Watu wenye kujipambania kuitafuta kesho yao, Na kibaya zaidi walikuamini kutokana na bland yake wakiamini kuna matokeo sahihi kupitia Nicole,....

    Nicole ni mtu mzima na mwenye akili timamu Alikuwa Anafanya kitu anacho kijua na kujua matokeo na mwisho wa Matokeo lakini tukienda mbali zaidi limesha tokea naye ni Binadamu,..Sipo hapa kumtetea Mwalifu lakini naandika hapa kujaribu kuona haki ya walio fanyiwa ujinga huu wanaipataje,...Je Nicole kukaaa ndani haki ya wadai Itapatikana Maana siku ya Mwisho Nicole Anatakiwa kuwarudishia FEDHA zao wote walio guswa na yeye Anarudishaje Atajua yeye lakini Akiwa nje kwa dhamana na masharti yenye tija basi Anaweza kumaliza jambo hili.,.

    Lakini Ifike mahara hii michezo ya Magroup Inayogusa FEDHA naomba sana kuwe na Utaratibu wa kumsajiri kijumbe kitambulisho chake na wanachama anao wachangisha waridhie kwa maandishi kuwa wamekubaliana kuanzisha group la kusaidia hii itasaidia sana,.lakini sio mtu anatoka tu huko anaanzisha group mara michango sio sawa.,,.

    Niombe sasa Ni wakati wa kusimama na Nicole Tusiangalie kafanya nini Tuangalie Dhamana yake na jinsi ya kumsaidia,....Haijalishi kala mzigo na nani lakini bado ni mwenzetu,....Anapitia kipindi kibaya sana Ambacho Anahitaji faraja,....

    Tusimame kumuombea Dhamana Tunajua na kutambua sheria na kuheshimu sheria kwenye Taifa letu,......

    Niombe Si muda wa kuliangalia kosa ni Muda wa kulitibu kosa Nani mkamilifu hapa Duniani,..Mimi Binafsi kama STEVEN MENGELE (NYERERE) NIPO TAYARI KUMSAIDIA NICOLE ,..KUTOKA NDANI KWA KUFATA TARATIBU ZOTE,..NA AKIPATA DHAMANA BASI ATAMBUE KULIPA KILA JASHO LA MCHANGAJI KURUDISHIWA NA MAISHA KUENDELEA,....HAKUNA MWANADAMU AMBAYE MKAMILIFU HAPA DUNIANI,...." - Steve Nyerere, Mwigizaji wa filamu Tanzania.

    Steve Nyerere agusia sakata la Nicole "Mstafuuu,.....Nani mkamilifu katika hii Ardhi Ya Mwenyezi Mungu,.. Napokea sms Simu swala la Nicole Toka juzi kulia na kushoto lakini nikasema Mungu nitangulie nami nione Mwanga kwenye hili,....Ni Ukweli Usio pingika dada kapuyanga Sana Tena sana Ana Makosa Na Ana Kosa la kujibu, lakini nani mkamilifu,.... Nicole Ana makosa na kibaya zaidi ni kwenda kuchangisha Watu wenye kujipambania kuitafuta kesho yao, Na kibaya zaidi walikuamini kutokana na bland yake wakiamini kuna matokeo sahihi kupitia Nicole,.... Nicole ni mtu mzima na mwenye akili timamu Alikuwa Anafanya kitu anacho kijua na kujua matokeo na mwisho wa Matokeo lakini tukienda mbali zaidi limesha tokea naye ni Binadamu,..Sipo hapa kumtetea Mwalifu lakini naandika hapa kujaribu kuona haki ya walio fanyiwa ujinga huu wanaipataje,...Je Nicole kukaaa ndani haki ya wadai Itapatikana Maana siku ya Mwisho Nicole Anatakiwa kuwarudishia FEDHA zao wote walio guswa na yeye Anarudishaje Atajua yeye lakini Akiwa nje kwa dhamana na masharti yenye tija basi Anaweza kumaliza jambo hili.,. Lakini Ifike mahara hii michezo ya Magroup Inayogusa FEDHA naomba sana kuwe na Utaratibu wa kumsajiri kijumbe kitambulisho chake na wanachama anao wachangisha waridhie kwa maandishi kuwa wamekubaliana kuanzisha group la kusaidia hii itasaidia sana,.lakini sio mtu anatoka tu huko anaanzisha group mara michango sio sawa.,,. Niombe sasa Ni wakati wa kusimama na Nicole Tusiangalie kafanya nini Tuangalie Dhamana yake na jinsi ya kumsaidia,....Haijalishi kala mzigo na nani lakini bado ni mwenzetu,....Anapitia kipindi kibaya sana Ambacho Anahitaji faraja,.... Tusimame kumuombea Dhamana Tunajua na kutambua sheria na kuheshimu sheria kwenye Taifa letu,...... Niombe Si muda wa kuliangalia kosa ni Muda wa kulitibu kosa Nani mkamilifu hapa Duniani,..Mimi Binafsi kama STEVEN MENGELE (NYERERE) NIPO TAYARI KUMSAIDIA NICOLE ,..KUTOKA NDANI KWA KUFATA TARATIBU ZOTE,..NA AKIPATA DHAMANA BASI ATAMBUE KULIPA KILA JASHO LA MCHANGAJI KURUDISHIWA NA MAISHA KUENDELEA,....HAKUNA MWANADAMU AMBAYE MKAMILIFU HAPA DUNIANI,...." - Steve Nyerere, Mwigizaji wa filamu Tanzania.
    0 Comments ·0 Shares ·189 Views
  • Afande Sele, Msanii wa muziki Hip-hop Tanzania

    "Tutusa" limeamua kugawa rasilimali muhimu za nchi yake masikini sana kwa Marekani,kusudi Marekani walihakikishie ulinzi wa cheo chake cha urais tu,

    Kuna wakati fulani pale bungeni Dodoma,Mbunge wa Misungwi mdogo wangu Mnyeti,aliwahi kutania kwa kusema vijana wa Congo kama Mayele,badala ya kubaki kwao kulinda nchi yao,kinyume chake wao wanakimbilia nje ya nchi kutetema na kukata mauno

    Baada ya Mnyeti kutania utani huo wa kweli,chakushangaza wabongo lala kama kawaida yetu,tukaacha kujadili hoja yake,badala yake tukaanza kumshambulia mtoa hoja kwasababu za ugonjwa wetu sugu wa usimba na Yanga,

    Ona sasa matokeo yake ndio haya,,nchi yao inauzwa kwa malipo ya kulinda madaraka ya Rais wao ambae hata hivyo hakushinda kihalalii na wakati huo wacongoman wanaendelea kuuza mauno duniani na sio kupaaza sauti zao au kuandamana kupinga ujambazi huo kwa kumshinikiza Rais wao akae kwenye meza ya mazungumzo na ndugu zao wa M23 ili kumaliza mzozo kama Dunia yote inavyomshaurj

    Kinachosikitisha zaidi nj ukweli kwamba Marekani siku zote huwa wanasema hawana rafiki wala Adui wa kudumu,bali wao wanamaslahi ya kudumu,hivyo sio ajabu Marekani wakatumia ufala huo wa Tutusa kuvuna madini kutoka upande wa serekali na upande wa waasi kwa kugawa silaha pande zote kusudi waendelee kupigana na wao Marekani wapate nafasi nzuri ya kuchukua madini ya kila upande kwa Raha zao

    Bila Marekani.

    Each one Teach one
    I Change Nation
    Sina Hatia

    Afande Sele, Msanii wa muziki Hip-hop Tanzania ✍️ "Tutusa" limeamua kugawa rasilimali muhimu za nchi yake masikini sana kwa Marekani,kusudi Marekani walihakikishie ulinzi wa cheo chake cha urais tu,😞 Kuna wakati fulani pale bungeni Dodoma,Mbunge wa Misungwi mdogo wangu Mnyeti,aliwahi kutania kwa kusema vijana wa Congo kama Mayele,badala ya kubaki kwao kulinda nchi yao,kinyume chake wao wanakimbilia nje ya nchi kutetema na kukata mauno🤣 Baada ya Mnyeti kutania utani huo wa kweli,chakushangaza wabongo lala kama kawaida yetu,tukaacha kujadili hoja yake,badala yake tukaanza kumshambulia mtoa hoja kwasababu za ugonjwa wetu sugu wa usimba na Yanga,⚽ Ona sasa matokeo yake ndio haya,,nchi yao inauzwa kwa malipo ya kulinda madaraka ya Rais wao ambae hata hivyo hakushinda kihalalii na wakati huo wacongoman wanaendelea kuuza mauno duniani na sio kupaaza sauti zao au kuandamana kupinga ujambazi huo kwa kumshinikiza Rais wao akae kwenye meza ya mazungumzo na ndugu zao wa M23 ili kumaliza mzozo kama Dunia yote inavyomshaurj💪 Kinachosikitisha zaidi nj ukweli kwamba Marekani siku zote huwa wanasema hawana rafiki wala Adui wa kudumu,bali wao wanamaslahi ya kudumu,hivyo sio ajabu Marekani wakatumia ufala huo wa Tutusa kuvuna madini kutoka upande wa serekali na upande wa waasi kwa kugawa silaha pande zote kusudi waendelee kupigana na wao Marekani wapate nafasi nzuri ya kuchukua madini ya kila upande kwa Raha zao 😜 Bila Marekani.🌚 Each one Teach one🔨 I Change Nation🌎 Sina Hatia⚖️
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·305 Views
  • KWANINI WANAWAKE WAZURI HUOLEWA NA WANAUME WASIO SAHIHI.

    1) KUKATA TAMAA

    "Umri unaenda, bora tu niwe na mume"
    "Yeyote atakayekuja, nitaolewa, nitajikakamua, bora tu niingie kwenye ndoa"

    Kutoka kwenye ndoa, wanaingia kwenye madhara, na baada ya muda tunaanza kusikia hadithi zinazogusa koo za Kasongo mbona Wewooo, Mobali na Ngai. Mbona Wewoooo.

    Pale Kukata Tamaa kunapoingia ndani, Ufunuo hutoka nje.

    ---

    2) MUONEKANO/FANTASIA

    Unadhani maisha halisi ni kama Instagram na Pinterest au Tiktok?

    Pale Binti anapotaka kuolewa na Mwanaume kwa sababu tu ni mzuri kwa sura na anavaa vizuri (ili wapige picha za couple za kuwasha mitandao) bila kuchunguza tabia zake zaidi ya muonekano.

    "Mwanaume nitakayemuoa lazima afanane na crush wangu wa Kikorea"

    Lee Min-ho.

    Sasa umeolewa na Lee Min-ho wako, Furaha na Amani ya moyo zimekimbia.

    Sasa uko ofisini kwa washauri wa ndoa ukilia.

    Dada yangu,

    Niachie basi.

    Uliolewa na Mwanaume mzuri kwa sura bila tabia njema ili utupake pilipili mitandaoni.

    Sasa huyo Mwanaume mzuri anakupaka pilipili nje ya mtandao.

    Ukatupaka pilipili Singles na walio kwenye ndoa mtandaoni, ukarudi nyumbani ukapakwa pilipili wewe binafsi.

    Dhibiti pilipili yako, nasi tutaendelea kudhibiti zetu.

    Huwa nasema utajikoroboa sana sura iwe kama tui la nazi Ila wapi, Chubua akili sio ngozi au Sura. Sura hata mbuzi au kitimoto anayo

    ---

    3) KWA AJILI YA PESA NA UMAARUFU

    Wanapokuacha baada ya miaka mingi, wewe na mashabiki wako mnasema "Wanaume wote ni wabaya".

    Kumbuka: Maamuzi daima yana matokeo.

    ---

    4) KWA AJILI YA KUPENDEKEZA FAMILIA

    Ili tu Mama na Baba wafurahi, wengi wanaingia kwenye mahusiano na ndoa zisizo na maisha, ili kulipa bili za familia (bili ambazo hukuzitengeneza, umaskini ambao si kosa lako) unataka kuolewa na mwanaume mbaya waziwazi.

    Dada yangu, usiogope Mama asikasirike, atajitahidi kuvumilia huzuni kidogo.

    Ukifa kesho, hiyo familia unayooa ili uwasaidie itasonga mbele.

    ---

    Dada yangu,

    Kwa ajili ya kesho yako,

    OLEWA KWA AJILI YA AMANI YAKO.
    OLEWA VIZURI.

    Nimehitimisha hoja yangu.

    Arnold Kisanga || +255719545472
    Kilimanjaro, Tanzania.
    KWANINI WANAWAKE WAZURI HUOLEWA NA WANAUME WASIO SAHIHI.

    1) KUKATA TAMAA

    "Umri unaenda, bora tu niwe na mume"
    "Yeyote atakayekuja, nitaolewa, nitajikakamua, bora tu niingie kwenye ndoa"

    Kutoka kwenye ndoa, wanaingia kwenye madhara, na baada ya muda tunaanza kusikia hadithi zinazogusa koo za Kasongo mbona Wewooo, Mobali na Ngai. Mbona Wewoooo.

    Pale Kukata Tamaa kunapoingia ndani, Ufunuo hutoka nje.

    ---

    2) MUONEKANO/FANTASIA

    Unadhani maisha halisi ni kama Instagram na Pinterest au Tiktok?

    Pale Binti anapotaka kuolewa na Mwanaume kwa sababu tu ni mzuri kwa sura na anavaa vizuri (ili wapige picha za couple za kuwasha mitandao) bila kuchunguza tabia zake zaidi ya muonekano.

    "Mwanaume nitakayemuoa lazima afanane na crush wangu wa Kikorea"

    Lee Min-ho.

    Sasa umeolewa na Lee Min-ho wako, Furaha na Amani ya moyo zimekimbia.

    Sasa uko ofisini kwa washauri wa ndoa ukilia.

    Dada yangu,

    Niachie basi.

    Uliolewa na Mwanaume mzuri kwa sura bila tabia njema ili utupake pilipili mitandaoni.

    Sasa huyo Mwanaume mzuri anakupaka pilipili nje ya mtandao.

    Ukatupaka pilipili Singles na walio kwenye ndoa mtandaoni, ukarudi nyumbani ukapakwa pilipili wewe binafsi.

    Dhibiti pilipili yako, nasi tutaendelea kudhibiti zetu.

    Huwa nasema utajikoroboa sana sura iwe kama tui la nazi Ila wapi, Chubua akili sio ngozi au Sura. Sura hata mbuzi au kitimoto anayo

    ---

    3) KWA AJILI YA PESA NA UMAARUFU

    Wanapokuacha baada ya miaka mingi, wewe na mashabiki wako mnasema "Wanaume wote ni wabaya".

    Kumbuka: Maamuzi daima yana matokeo.

    ---

    4) KWA AJILI YA KUPENDEKEZA FAMILIA

    Ili tu Mama na Baba wafurahi, wengi wanaingia kwenye mahusiano na ndoa zisizo na maisha, ili kulipa bili za familia (bili ambazo hukuzitengeneza, umaskini ambao si kosa lako) unataka kuolewa na mwanaume mbaya waziwazi.

    Dada yangu, usiogope Mama asikasirike, atajitahidi kuvumilia huzuni kidogo.

    Ukifa kesho, hiyo familia unayooa ili uwasaidie itasonga mbele.

    ---

    Dada yangu,

    Kwa ajili ya kesho yako,

    OLEWA KWA AJILI YA AMANI YAKO.
    OLEWA VIZURI.

    Nimehitimisha hoja yangu.

    Credit
    Arnold Kisanga
    KWANINI WANAWAKE WAZURI HUOLEWA NA WANAUME WASIO SAHIHI. 1) KUKATA TAMAA "Umri unaenda, bora tu niwe na mume" "Yeyote atakayekuja, nitaolewa, nitajikakamua, bora tu niingie kwenye ndoa" Kutoka kwenye ndoa, wanaingia kwenye madhara, na baada ya muda tunaanza kusikia hadithi zinazogusa koo za Kasongo mbona Wewooo, Mobali na Ngai. Mbona Wewoooo. Pale Kukata Tamaa kunapoingia ndani, Ufunuo hutoka nje. --- 2) MUONEKANO/FANTASIA Unadhani maisha halisi ni kama Instagram na Pinterest au Tiktok? Pale Binti anapotaka kuolewa na Mwanaume kwa sababu tu ni mzuri kwa sura na anavaa vizuri (ili wapige picha za couple za kuwasha mitandao) bila kuchunguza tabia zake zaidi ya muonekano. "Mwanaume nitakayemuoa lazima afanane na crush wangu wa Kikorea" Lee Min-ho. Sasa umeolewa na Lee Min-ho wako, Furaha na Amani ya moyo zimekimbia. Sasa uko ofisini kwa washauri wa ndoa ukilia. Dada yangu, Niachie basi. Uliolewa na Mwanaume mzuri kwa sura bila tabia njema ili utupake pilipili mitandaoni. Sasa huyo Mwanaume mzuri anakupaka pilipili nje ya mtandao. Ukatupaka pilipili Singles na walio kwenye ndoa mtandaoni, ukarudi nyumbani ukapakwa pilipili wewe binafsi. Dhibiti pilipili yako, nasi tutaendelea kudhibiti zetu. Huwa nasema utajikoroboa sana sura iwe kama tui la nazi Ila wapi, Chubua akili sio ngozi au Sura. Sura hata mbuzi au kitimoto anayo --- 3) KWA AJILI YA PESA NA UMAARUFU Wanapokuacha baada ya miaka mingi, wewe na mashabiki wako mnasema "Wanaume wote ni wabaya". Kumbuka: Maamuzi daima yana matokeo. --- 4) KWA AJILI YA KUPENDEKEZA FAMILIA Ili tu Mama na Baba wafurahi, wengi wanaingia kwenye mahusiano na ndoa zisizo na maisha, ili kulipa bili za familia (bili ambazo hukuzitengeneza, umaskini ambao si kosa lako) unataka kuolewa na mwanaume mbaya waziwazi. Dada yangu, usiogope Mama asikasirike, atajitahidi kuvumilia huzuni kidogo. Ukifa kesho, hiyo familia unayooa ili uwasaidie itasonga mbele. --- Dada yangu, Kwa ajili ya kesho yako, OLEWA KWA AJILI YA AMANI YAKO. OLEWA VIZURI. Nimehitimisha hoja yangu. Arnold Kisanga || +255719545472 Kilimanjaro, Tanzania. KWANINI WANAWAKE WAZURI HUOLEWA NA WANAUME WASIO SAHIHI. 1) KUKATA TAMAA "Umri unaenda, bora tu niwe na mume" "Yeyote atakayekuja, nitaolewa, nitajikakamua, bora tu niingie kwenye ndoa" Kutoka kwenye ndoa, wanaingia kwenye madhara, na baada ya muda tunaanza kusikia hadithi zinazogusa koo za Kasongo mbona Wewooo, Mobali na Ngai. Mbona Wewoooo. Pale Kukata Tamaa kunapoingia ndani, Ufunuo hutoka nje. --- 2) MUONEKANO/FANTASIA Unadhani maisha halisi ni kama Instagram na Pinterest au Tiktok? Pale Binti anapotaka kuolewa na Mwanaume kwa sababu tu ni mzuri kwa sura na anavaa vizuri (ili wapige picha za couple za kuwasha mitandao) bila kuchunguza tabia zake zaidi ya muonekano. "Mwanaume nitakayemuoa lazima afanane na crush wangu wa Kikorea" Lee Min-ho. Sasa umeolewa na Lee Min-ho wako, Furaha na Amani ya moyo zimekimbia. Sasa uko ofisini kwa washauri wa ndoa ukilia. Dada yangu, Niachie basi. Uliolewa na Mwanaume mzuri kwa sura bila tabia njema ili utupake pilipili mitandaoni. Sasa huyo Mwanaume mzuri anakupaka pilipili nje ya mtandao. Ukatupaka pilipili Singles na walio kwenye ndoa mtandaoni, ukarudi nyumbani ukapakwa pilipili wewe binafsi. Dhibiti pilipili yako, nasi tutaendelea kudhibiti zetu. Huwa nasema utajikoroboa sana sura iwe kama tui la nazi Ila wapi, Chubua akili sio ngozi au Sura. Sura hata mbuzi au kitimoto anayo --- 3) KWA AJILI YA PESA NA UMAARUFU Wanapokuacha baada ya miaka mingi, wewe na mashabiki wako mnasema "Wanaume wote ni wabaya". Kumbuka: Maamuzi daima yana matokeo. --- 4) KWA AJILI YA KUPENDEKEZA FAMILIA Ili tu Mama na Baba wafurahi, wengi wanaingia kwenye mahusiano na ndoa zisizo na maisha, ili kulipa bili za familia (bili ambazo hukuzitengeneza, umaskini ambao si kosa lako) unataka kuolewa na mwanaume mbaya waziwazi. Dada yangu, usiogope Mama asikasirike, atajitahidi kuvumilia huzuni kidogo. Ukifa kesho, hiyo familia unayooa ili uwasaidie itasonga mbele. --- Dada yangu, Kwa ajili ya kesho yako, OLEWA KWA AJILI YA AMANI YAKO. OLEWA VIZURI. Nimehitimisha hoja yangu. Credit Arnold Kisanga
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·349 Views
  • #SportsElite
    #Matokeo ya mchezo wa Ligi ya @championshiptz ya @nbc_tanzania

    #SportsElite🇹🇿 #Matokeo ya mchezo wa Ligi ya @championshiptz ya @nbc_tanzania
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·358 Views
  • Privaldinho

    CEO wa Getafe si anachambua. Sasa na mimi nianze kuchambua.

    Nimetazama vikosi vya Singida mechi 4 za nyuma

    Makipa
    Vs Kagera - Metacha
    Vs JKT - Amas
    Vs KMC - Masalanga
    Vs Yanga - Masalanga
    Ndani ya mechi nne makipa watatu

    Beki ya kushoto Imoro amecheza mechi 2 kati ya 5, vs Makolo, Mechi za Kagera na KMC akacheza Malonga. Vs JKT akacheza Imoro, vs Yanga akacheza Gadiel. Mechi 5 mabeki wa kushoto 3.

    Mechi ya JKT mabeki wa kati alikuwa Assink na Kennedy (Tra bi ta hakuwepo), jana ameanzia benchi. Mechi ya KMC alianza Tra bita na Kennedy. Tra bi ta alitolewa dkk 46 akaingia Assink beki mpya ambaye ameanza jana.

    Mechi ya Kagera Kennedy hakucheza wakaanza Tra bita na Manyama, vs makolo Kennedy na tra bi na vs Ken Gold, Kennedy na Manyama. Maana yake, kuna Manyama, Tra, Kennedy na ongezeko la beki mpya Assink kutoka Ghana aliyecheza jana. Kiufupi hakuna mwenye uhakika wa namba eneo hilo.

    Viungo wa kati
    Vs Yanga (Damaro, Nashon, Gego) Chukwu akabadilishiwa majukumu)
    Vs JKT (Chukwu, Nashon, Arthur)
    Vs KMC (Damaro, Athur, Tchakei)
    Vs Kagera (Damaro, Chukwu, Athur)
    vs Kolo (Damaro, Gego, Keyekeh)
    Vs Ken Gold (Damaro, Gego, Keyekeh)

    Yanga vs Singida wameanza na viungo wakabaji kiasilia 3. Damaro aliyecheza mechi 5/6, Gego aliyeanza mechi 3/3 na kutokea sub mechi 2.

    NB: Eneo la ushambuliaji, Tchakae hajacheza vs JKT na Yanga. Jana wamelalamika hajacheza ila hawajajiuliza kwanini hakucheza vs JKt

    Vs Yanga - Pokou Rupia Adebayor (Sowah Sub)
    Vs JKT - Lyanga, Sowah, Pokou (Rupia top scorer out)
    Vs KMC - Sowah, Rupia, Pokou (timu ikakosa balance, nyuma yao yupo Tchake (luxury player) wakapoteza mechi.) Hii ni kwa wale mnafirikia Sowah na Rupia kuanza pamoja away. KMC waliongoza umiliki wa mchezo. Kidogo kipindi cha pili Singida walibadilika baada ya sub ya Rupia, Pokou na Tchakei, akaingia Gego na Tchukwu

    Vs Kagera -Sowah, Rupia, Tchakei (matokeo 2-2, kwa mara nyingine wanakuwa vulnerable kudefend. Mbaya zaidi wakiwa nyumbani.

    Vs Kolo - Tchakei, Rupia Athur
    Vs Ken Gold - Tchakei, Rupia, Adebayor
    Vs Prisons - Lyanga, Rupia Tchakei

    Ni wachache sana wenye uhakika wa namba. Agenda ya kikosi kubadilika sio habari mpya kwao labda kama wewe ni mgeni wa JIJI

    Privaldinho ✍️ CEO wa Getafe si anachambua. Sasa na mimi nianze kuchambua. Nimetazama vikosi vya Singida mechi 4 za nyuma Makipa Vs Kagera - Metacha Vs JKT - Amas Vs KMC - Masalanga Vs Yanga - Masalanga Ndani ya mechi nne makipa watatu Beki ya kushoto Imoro amecheza mechi 2 kati ya 5, vs Makolo, Mechi za Kagera na KMC akacheza Malonga. Vs JKT akacheza Imoro, vs Yanga akacheza Gadiel. Mechi 5 mabeki wa kushoto 3. Mechi ya JKT mabeki wa kati alikuwa Assink na Kennedy (Tra bi ta hakuwepo), jana ameanzia benchi. Mechi ya KMC alianza Tra bita na Kennedy. Tra bi ta alitolewa dkk 46 akaingia Assink beki mpya ambaye ameanza jana. Mechi ya Kagera Kennedy hakucheza wakaanza Tra bita na Manyama, vs makolo Kennedy na tra bi na vs Ken Gold, Kennedy na Manyama. Maana yake, kuna Manyama, Tra, Kennedy na ongezeko la beki mpya Assink kutoka Ghana aliyecheza jana. Kiufupi hakuna mwenye uhakika wa namba eneo hilo. Viungo wa kati Vs Yanga (Damaro, Nashon, Gego) Chukwu akabadilishiwa majukumu) Vs JKT (Chukwu, Nashon, Arthur) Vs KMC (Damaro, Athur, Tchakei) Vs Kagera (Damaro, Chukwu, Athur) vs Kolo (Damaro, Gego, Keyekeh) Vs Ken Gold (Damaro, Gego, Keyekeh) Yanga vs Singida wameanza na viungo wakabaji kiasilia 3. Damaro aliyecheza mechi 5/6, Gego aliyeanza mechi 3/3 na kutokea sub mechi 2. NB: Eneo la ushambuliaji, Tchakae hajacheza vs JKT na Yanga. Jana wamelalamika hajacheza ila hawajajiuliza kwanini hakucheza vs JKt Vs Yanga - Pokou Rupia Adebayor (Sowah Sub) Vs JKT - Lyanga, Sowah, Pokou (Rupia top scorer out) Vs KMC - Sowah, Rupia, Pokou (timu ikakosa balance, nyuma yao yupo Tchake (luxury player) wakapoteza mechi.) Hii ni kwa wale mnafirikia Sowah na Rupia kuanza pamoja away. KMC waliongoza umiliki wa mchezo. Kidogo kipindi cha pili Singida walibadilika baada ya sub ya Rupia, Pokou na Tchakei, akaingia Gego na Tchukwu Vs Kagera -Sowah, Rupia, Tchakei (matokeo 2-2, kwa mara nyingine wanakuwa vulnerable kudefend. Mbaya zaidi wakiwa nyumbani. Vs Kolo - Tchakei, Rupia Athur Vs Ken Gold - Tchakei, Rupia, Adebayor Vs Prisons - Lyanga, Rupia Tchakei Ni wachache sana wenye uhakika wa namba. Agenda ya kikosi kubadilika sio habari mpya kwao labda kama wewe ni mgeni wa JIJI
    0 Comments ·0 Shares ·580 Views
  • “Ukiwa Mwandishi wa Habari una vitu viwili muhimu vya kuchunga navyo ni Ulimi wako na Mikono yako, unapaswa kufahamu unaongea nini ama unaandika kitu gani, nyuma ya mauaji ya Kimbari yalikuwa ni matamshi ya Watangazaji pia ambao walieneza chuki, kwasasa kuna kazi mbili za hatari nazo ni Ualimu na Waandishi wa Habari, hawa wanaweza kutengeneza taifa la Wajinga ama Waelevu.

    Nataka kusema nini? Nataka kusema juu ya kelele na shutuma za Yanga na Singida bado hakuna aliyetupa picha kamili zaidi ni kuwa Mashabiki wanalalamika kwa hisia, Waandishi tunalalamika kwa hisia ila hakuna anayekuja mbele kutoa usahihi, inaitwa Proving beyond reasonable doubt! Nimeona Wadau wanasema TFF haifanyi chochote, lakini wewe umewapa tip gani? Taasisi haifanyi maamuzi kwa hisia, the corporate world works differently from streets.

    Bado kizazi chetu cha Uandishi kuna kitu kinamiss ni INVESTIGATIVE JOURNALISM, binafsi nakiri wazi TUMEFELI sana eneo hili, yaani sote tunalaumu Singida kufanya rotation tunaita kupanga matokeo, tangu lini duniani kubadili kikosi chako ni kupanga matokeo? Ikitokea Coastal kabadili kikosi, ikitokea Simba kabadili ama AZAM? Yani timu inalaumiwa kwa kutumia Wachezaji wake?

    Tunaweza kuwa na hoja ila mpaka sasa hazina mashiko zaidi tunaonekana tunalalama ila tukipelekwa Mahakamani hakuna ambaye atathibitisha chochote, kama kufungwa ni kupanga matokeo mara ya mwisho Simba kumfunga Yanga ndani ya dakika 90 ni lini? Kama kufungwa ni kupanga matokeo lini Singida kamfunga Simba? Kama kufungwa ni kupanga lini Namungo kamfunga Simba lini?

    Sisi WAANDISHI tuna homework tunapaswa kufanya, tutaharibu fikra za Watanzania! Wenzetu Ulaya walipoibua kashfa ya Casciopoli pale Italia walikuja na data, hata UEFA Heated Balls Scandal watu walikuwa na data! Yanga wakisema waende kisheria nani anaweza kuja na hoja za kueleweka? Kama hakuna taarifa sahihi, mifano hai basi tunaongelea hisia, TFF atareact endapo atajitokea Mtu akaattack matter not the subject" - Farhan JR, Mchambuzi.

    “Ukiwa Mwandishi wa Habari una vitu viwili muhimu vya kuchunga navyo ni Ulimi wako na Mikono yako, unapaswa kufahamu unaongea nini ama unaandika kitu gani, nyuma ya mauaji ya Kimbari yalikuwa ni matamshi ya Watangazaji pia ambao walieneza chuki, kwasasa kuna kazi mbili za hatari nazo ni Ualimu na Waandishi wa Habari, hawa wanaweza kutengeneza taifa la Wajinga ama Waelevu. Nataka kusema nini? Nataka kusema juu ya kelele na shutuma za Yanga na Singida bado hakuna aliyetupa picha kamili zaidi ni kuwa Mashabiki wanalalamika kwa hisia, Waandishi tunalalamika kwa hisia ila hakuna anayekuja mbele kutoa usahihi, inaitwa Proving beyond reasonable doubt! Nimeona Wadau wanasema TFF haifanyi chochote, lakini wewe umewapa tip gani? Taasisi haifanyi maamuzi kwa hisia, the corporate world works differently from streets. Bado kizazi chetu cha Uandishi kuna kitu kinamiss ni INVESTIGATIVE JOURNALISM, binafsi nakiri wazi TUMEFELI sana eneo hili, yaani sote tunalaumu Singida kufanya rotation tunaita kupanga matokeo, tangu lini duniani kubadili kikosi chako ni kupanga matokeo? Ikitokea Coastal kabadili kikosi, ikitokea Simba kabadili ama AZAM? Yani timu inalaumiwa kwa kutumia Wachezaji wake? Tunaweza kuwa na hoja ila mpaka sasa hazina mashiko zaidi tunaonekana tunalalama ila tukipelekwa Mahakamani hakuna ambaye atathibitisha chochote, kama kufungwa ni kupanga matokeo mara ya mwisho Simba kumfunga Yanga ndani ya dakika 90 ni lini? Kama kufungwa ni kupanga matokeo lini Singida kamfunga Simba? Kama kufungwa ni kupanga lini Namungo kamfunga Simba lini? Sisi WAANDISHI tuna homework tunapaswa kufanya, tutaharibu fikra za Watanzania! Wenzetu Ulaya walipoibua kashfa ya Casciopoli pale Italia walikuja na data, hata UEFA Heated Balls Scandal watu walikuwa na data! Yanga wakisema waende kisheria nani anaweza kuja na hoja za kueleweka? Kama hakuna taarifa sahihi, mifano hai basi tunaongelea hisia, TFF atareact endapo atajitokea Mtu akaattack matter not the subject" - Farhan JR, Mchambuzi.
    0 Comments ·0 Shares ·775 Views
  • Zakazakazi azidi kumshushia nondo Amri Kiemba.

    MUONGO!

    Amri Kiemba alicheza Simba kwa misimu mitano na nusu, kuanzia 2009/10 hadi Disemba 2014.

    Katika kipindi hicho, Azam FC na Simba zilikutana mara 10, Simba ikishinda mara tano na Azam FC mara tatu, na mara mbili sare...angalia picha ya pili.

    Katika hizo mara tano ambazo Simba ilishinda, mbili ni za msimu wa 2009/10.

    24/10/2009
    Simba 1-0 Azam FC

    14/3/2010
    Azam FC 0-2 Simba

    Huu ulikuwa msimu ambao Simba ilikuwa kwenye ubora mkubwa sana na ikamaliza ligi bila kupoteza hata mchezo mmoja.

    Walishinda mechi zote za mzunguko wa kwanza, wakaja kupata sare mbili tu mzunguko wa pili, dhidi ya Kagera Sugar na African Lyon.

    Kwa ubora huo, huwezi kuilamu Azam FC ilhali timu zote zilifungwa...kiungwana unawasifia Simba kwamba walikuwa kwenye ubora wa hali ya juu.

    Lakini baada ya msimu huo, Azam FC na Simba zililingana matokeo hadi Kiemba alipoondoka Simba kwenda Azam FC.

    Swali ni je, Kiemba anapata wapi uhalali wa kutilia shaka maandalizi yaliyoleta matokeo kama haya?

    Msimu wa 2013/14, Azam FC ikawa kwenye ubora mkubwa na kumaliza ligi bila kupoteza hata mchezo mmoja, ikiwemo kushinda nje ndani dhidi ya Simba ya Kiemba na maandalizi yao ya hali ya juu.

    28/10/2013
    Simba 1-2 Azam FC

    30/3/2014
    Azam FC 2-1 Simba

    Baada ya mechi hizi Kiemba akaenda Azam FC...na mechi yake ya kwanza ikaisha kwa sare ya 1-1.

    Ni vipi Kiemba hakuridhika na maandalizi ya Azam FC yaliyoleta sare lakini aliridhika na maandalizi ya Simba yaliyowafanya wafungwe nje ndani msimu mmoja tu nyuma yake?

    Msimu mmoja kabla Kiemba hajasajiliwa Simba, Azam FC ilishinda 2-0 na mashabiki wa Simba wakaenda kushusha kinyesi nyumbani kwa mwenyekiti wao Hassan Dalali.

    Ina maana maandalizi ya Azam FC yangekuwa hafifu yangewatoa kinyesi Simba kweli?

    Azam FC ilikuwa inaifunga Simba kabla yeye hajaenda, na ikaifunga akiwemo...kwa maandalizi yale yale...halafu anakuja hadharani leo, miaka zaidi ya 10 na kusema aliona maandalizi hafifu...sasa walikuwa wanashindaje kwa maandalizi hafifu?

    Ni mbaya sana kumuita mtu muongo...lakini Kiemba kwenye hili itoshe tu kusema kwamba WEWE NI MUONGO!

    Zakazakazi azidi kumshushia nondo Amri Kiemba. MUONGO! Amri Kiemba alicheza Simba kwa misimu mitano na nusu, kuanzia 2009/10 hadi Disemba 2014. Katika kipindi hicho, Azam FC na Simba zilikutana mara 10, Simba ikishinda mara tano na Azam FC mara tatu, na mara mbili sare...angalia picha ya pili. Katika hizo mara tano ambazo Simba ilishinda, mbili ni za msimu wa 2009/10. 24/10/2009 Simba 1-0 Azam FC 14/3/2010 Azam FC 0-2 Simba Huu ulikuwa msimu ambao Simba ilikuwa kwenye ubora mkubwa sana na ikamaliza ligi bila kupoteza hata mchezo mmoja. Walishinda mechi zote za mzunguko wa kwanza, wakaja kupata sare mbili tu mzunguko wa pili, dhidi ya Kagera Sugar na African Lyon. Kwa ubora huo, huwezi kuilamu Azam FC ilhali timu zote zilifungwa...kiungwana unawasifia Simba kwamba walikuwa kwenye ubora wa hali ya juu. Lakini baada ya msimu huo, Azam FC na Simba zililingana matokeo hadi Kiemba alipoondoka Simba kwenda Azam FC. Swali ni je, Kiemba anapata wapi uhalali wa kutilia shaka maandalizi yaliyoleta matokeo kama haya? Msimu wa 2013/14, Azam FC ikawa kwenye ubora mkubwa na kumaliza ligi bila kupoteza hata mchezo mmoja, ikiwemo kushinda nje ndani dhidi ya Simba ya Kiemba na maandalizi yao ya hali ya juu. 28/10/2013 Simba 1-2 Azam FC 30/3/2014 Azam FC 2-1 Simba Baada ya mechi hizi Kiemba akaenda Azam FC...na mechi yake ya kwanza ikaisha kwa sare ya 1-1. Ni vipi Kiemba hakuridhika na maandalizi ya Azam FC yaliyoleta sare lakini aliridhika na maandalizi ya Simba yaliyowafanya wafungwe nje ndani msimu mmoja tu nyuma yake? Msimu mmoja kabla Kiemba hajasajiliwa Simba, Azam FC ilishinda 2-0 na mashabiki wa Simba wakaenda kushusha kinyesi nyumbani kwa mwenyekiti wao Hassan Dalali. Ina maana maandalizi ya Azam FC yangekuwa hafifu yangewatoa kinyesi Simba kweli? Azam FC ilikuwa inaifunga Simba kabla yeye hajaenda, na ikaifunga akiwemo...kwa maandalizi yale yale...halafu anakuja hadharani leo, miaka zaidi ya 10 na kusema aliona maandalizi hafifu...sasa walikuwa wanashindaje kwa maandalizi hafifu? Ni mbaya sana kumuita mtu muongo...lakini Kiemba kwenye hili itoshe tu kusema kwamba WEWE NI MUONGO!
    0 Comments ·0 Shares ·453 Views
  • "Kwa mijadala ambayo nimeitazama inaendelea baada ya mchezo wa Yanga na Singida Black Stars inaonyesha kuwa asilimia kubwa ya watu walikuwa na matokeo ya Singida kushinda kwenye mechi hiyo.

    Kikawaida mwalimu anaweza kupanga kikosi kulingana na mahitaji ya mchezo husika na namna ambavyo amewasoma wapinzani na sio mchezaji bora anaweza kuanza kwenye mechi.

    Kinachoendelea kwasasa ni kuzinyima uhuru hizi timu za madaraja ya chini kuamua wachezaji zitakazowatumia kwenye michezo yake dhidi ya Simba na Yanga.

    Hii pia ni aina moja wapo ya kudumaza soka letu. Yanga kwenye ubora wao kila timu imepata ilichokitegemea, kila timu imevuna ilichokipanda.Ili timu isiwe imepanga matokeo lazima iifunge Yanga? Na ikifungwa tu basi imepanga matokeo?

    Tuwape uhuru makocha wa kuamua nyota watakaocheza kwenye michezo husika kulingana na mbinu za wapinzani wao." - Lameck Shabahanga Mwandishi wa habari.

    "Kwa mijadala ambayo nimeitazama inaendelea baada ya mchezo wa Yanga na Singida Black Stars inaonyesha kuwa asilimia kubwa ya watu walikuwa na matokeo ya Singida kushinda kwenye mechi hiyo. Kikawaida mwalimu anaweza kupanga kikosi kulingana na mahitaji ya mchezo husika na namna ambavyo amewasoma wapinzani na sio mchezaji bora anaweza kuanza kwenye mechi. Kinachoendelea kwasasa ni kuzinyima uhuru hizi timu za madaraja ya chini kuamua wachezaji zitakazowatumia kwenye michezo yake dhidi ya Simba na Yanga. Hii pia ni aina moja wapo ya kudumaza soka letu. Yanga kwenye ubora wao kila timu imepata ilichokitegemea, kila timu imevuna ilichokipanda.Ili timu isiwe imepanga matokeo lazima iifunge Yanga? Na ikifungwa tu basi imepanga matokeo? Tuwape uhuru makocha wa kuamua nyota watakaocheza kwenye michezo husika kulingana na mbinu za wapinzani wao." - Lameck Shabahanga Mwandishi wa habari.
    0 Comments ·0 Shares ·530 Views
  • Wapiganaji wa kundi la Waasi wa M23 na Askari wanaodhaniwa kuwa ni Rwanda wameendelea kusonga mbele katika maeneo ya mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo . Hayo ni kwa mujibu wa vyanzo vya eneo hilo pamoja na vya mashirika ya kibinadamu. Miji iliyotekwa ni Ihusi na Kalehe, iliyoko karibu kiliomita sitini (60) kutoka Mji wa Bukavu.

    Katika taarifa, Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeitisha mkutano wa dharura wa mataifa ya Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kutathmini hali hiyo na "kutathmini hali na matokeo ya kitendo hiki kipya cha uchokozi", ikitoa wito wa vikwazo.

    Rais wa Burundi , Evariste Ndayishimiye amesema yeyote atakayeishambulia Nchi yake naye atashambuliwa. Wakati huo huo, Viongozi wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Nchini DR Congo na ule wa Kanisa la Kristo la DR Congo umekutana na kundi la Waasi wa M23 Mjini Goma katika juhudi za hivi karibuni kabisa za kusaka amani na mazungumzo. Walikutana na kiongozi wa kisiasa wa kundi la M23 Corneille Nangaa.
    (DW Swahili)

    Wapiganaji wa kundi la Waasi wa M23 na Askari wanaodhaniwa kuwa ni Rwanda 🇷🇼 wameendelea kusonga mbele katika maeneo ya mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩. Hayo ni kwa mujibu wa vyanzo vya eneo hilo pamoja na vya mashirika ya kibinadamu. Miji iliyotekwa ni Ihusi na Kalehe, iliyoko karibu kiliomita sitini (60) kutoka Mji wa Bukavu. Katika taarifa, Serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imeitisha mkutano wa dharura wa mataifa ya Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) kutathmini hali hiyo na "kutathmini hali na matokeo ya kitendo hiki kipya cha uchokozi", ikitoa wito wa vikwazo. Rais wa Burundi 🇧🇮, Evariste Ndayishimiye amesema yeyote atakayeishambulia Nchi yake naye atashambuliwa. Wakati huo huo, Viongozi wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Nchini DR Congo na ule wa Kanisa la Kristo la DR Congo umekutana na kundi la Waasi wa M23 Mjini Goma katika juhudi za hivi karibuni kabisa za kusaka amani na mazungumzo. Walikutana na kiongozi wa kisiasa wa kundi la M23 Corneille Nangaa. (DW Swahili)
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·469 Views
  • Marekani, Alitoa msaada wa miezi mitatu tu, kisha akaanza kulegeza kamba. Kwa sasa, Marekani imechoshwa na vita vya Ukraine.

    Wameona haina faida ya kuendelea kutoa silaha zisizoleta matokeo ya haraka.

    Uingereza, Ipo kama haipo. Iliahidi mengi, lakini imetulia kimya huku Waukraine wakiteketea kwenye moto wa kivita.

    Ulaya, Inajifanya ina wasiwasi, lakini ukweli ni kwamba kila nchi inajitazama yenyewe kwanza.

    Ukraine yuko peke yake.

    Na hapa ndipo tujiulize. Je, kweli Ukraine aliangamiza kila kitu?

    Inawezekana hana mabomu ya nyuklia tena, lakini ana akili, ana wataalamu, ana formula za kuyatengeneza.

    Na kama historia ni mwalimu, basi ni suala la muda tu kabla ya Ukraine kuamua kuchukua mkondo mpya.
    Vita vya Ukraine vimekuwa mzigo mzito kwa Urusi. Jeshi lake limepoteza askari wengi, uchumi wake umebanwa, na nguvu yake ya kijeshi imetetereka.
    Marekani, Alitoa msaada wa miezi mitatu tu, kisha akaanza kulegeza kamba. Kwa sasa, Marekani imechoshwa na vita vya Ukraine. Wameona haina faida ya kuendelea kutoa silaha zisizoleta matokeo ya haraka. Uingereza, Ipo kama haipo. Iliahidi mengi, lakini imetulia kimya huku Waukraine wakiteketea kwenye moto wa kivita. Ulaya, Inajifanya ina wasiwasi, lakini ukweli ni kwamba kila nchi inajitazama yenyewe kwanza. Ukraine yuko peke yake. Na hapa ndipo tujiulize. Je, kweli Ukraine aliangamiza kila kitu? Inawezekana hana mabomu ya nyuklia tena, lakini ana akili, ana wataalamu, ana formula za kuyatengeneza. Na kama historia ni mwalimu, basi ni suala la muda tu kabla ya Ukraine kuamua kuchukua mkondo mpya. Vita vya Ukraine vimekuwa mzigo mzito kwa Urusi. Jeshi lake limepoteza askari wengi, uchumi wake umebanwa, na nguvu yake ya kijeshi imetetereka.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·555 Views
  • Uamuzi huo ulizua sintofahamu kubwa, kwani upinzani ulidai kuwa matokeo hayo yalikuwa na mizengwe.

    Wapo waliodai kuwa Nangaa alihusika moja kwa moja kuhakikisha Tshisekedi anashinda ili kumaliza utawala wa muda mrefu wa Joseph Kabila.

    Lakini wakati watu walidhani kuwa jukumu lake katika siasa za Congo limeishia hapo, mambo yalibadilika ghafla.

    Badala ya kustaafu kwenye siasa, Corneille Nangaa aliibuka na Action for Change (AFC), chama kipya cha kisiasa ambacho kilionekana kuja na ajenda tofauti.

    Alianza kujenga ushawishi mkubwa ndani na nje ya Congo, huku akijitokeza kama mpinzani wa utawala wa Tshisekedi aliyechangia kumuweka madarakani.

    Lakini hatua iliyotikisa Congo ni pale ilipogundulika kuwa Nangaa sasa alikuwa na uhusiano wa karibu na kundi la waasi la M23, ambalo linajulikana kwa mapigano yake dhidi ya serikali ya Congo.

    Kwa muda mrefu, kundi la M23 limekuwa likipambana na serikali, likidai haki kwa jamii ya Watutsi wa Congo.

    Lakini sasa, kulikuwa na mabadiliko makubwa M23, haikuwa tu kundi la waasi, bali lilionekana kama jeshi binafsi la Corneille Nangaa.

    Uamuzi huo ulizua sintofahamu kubwa, kwani upinzani ulidai kuwa matokeo hayo yalikuwa na mizengwe. Wapo waliodai kuwa Nangaa alihusika moja kwa moja kuhakikisha Tshisekedi anashinda ili kumaliza utawala wa muda mrefu wa Joseph Kabila. Lakini wakati watu walidhani kuwa jukumu lake katika siasa za Congo limeishia hapo, mambo yalibadilika ghafla. Badala ya kustaafu kwenye siasa, Corneille Nangaa aliibuka na Action for Change (AFC), chama kipya cha kisiasa ambacho kilionekana kuja na ajenda tofauti. Alianza kujenga ushawishi mkubwa ndani na nje ya Congo, huku akijitokeza kama mpinzani wa utawala wa Tshisekedi aliyechangia kumuweka madarakani. Lakini hatua iliyotikisa Congo ni pale ilipogundulika kuwa Nangaa sasa alikuwa na uhusiano wa karibu na kundi la waasi la M23, ambalo linajulikana kwa mapigano yake dhidi ya serikali ya Congo. Kwa muda mrefu, kundi la M23 limekuwa likipambana na serikali, likidai haki kwa jamii ya Watutsi wa Congo. Lakini sasa, kulikuwa na mabadiliko makubwa M23, haikuwa tu kundi la waasi, bali lilionekana kama jeshi binafsi la Corneille Nangaa.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·566 Views
  • 𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒

    "Kesho tutakabiliana na timu ambayo imepata wachezaji wapya wengi. Pia Kocha wao ana mtindo wake wa kucheza, na itakuwa mechi ngumu kwa sababu hatujui jinsi wanavyocheza na wachezaji wapya wote kwenye timu. Lakini huenda, kama tulivyokabiliana na wapinzani wa mwisho, watacheza kwa kujilinda zaidi. Hiyo inamaanisha tunapaswa kutafuta nafasi na mianya ili tuweze kupata matokeo" Sead Ramovic

    #timuyawananchi
    #daimambelenyumamwiko
    𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒💬 "Kesho tutakabiliana na timu ambayo imepata wachezaji wapya wengi. Pia Kocha wao ana mtindo wake wa kucheza, na itakuwa mechi ngumu kwa sababu hatujui jinsi wanavyocheza na wachezaji wapya wote kwenye timu. Lakini huenda, kama tulivyokabiliana na wapinzani wa mwisho, watacheza kwa kujilinda zaidi. Hiyo inamaanisha tunapaswa kutafuta nafasi na mianya ili tuweze kupata matokeo" Sead Ramovic #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·715 Views

  • "TUTAPAMBANA MPAKA TUPATE MATOKEO KESHO | "HATUTAPUMZIKA, | KOCHA FADLU AFUNGUKA TABORA.


    #paulswai
    "TUTAPAMBANA MPAKA TUPATE MATOKEO KESHO | "HATUTAPUMZIKA, | KOCHA FADLU AFUNGUKA TABORA. #paulswai
    Like
    Love
    4
    · 1 Comments ·0 Shares ·632 Views
  • MSAADA HAUTOKI KWA WALIO KARIBU NA WEWE; UNATOKA KWA WALE WANAOJALI...

    Watu hawakusaidii kwa sababu wako karibu nawe; wanasaidia kwa sababu wanajali sana. Baadhi ya watu ambao wako karibu sana na wewe, wana njia, uwezo na uwezo wa kukusaidia, lakini hujui. Baadhi ya watu hao ambao umewalalamikia maisha yako yote, kwa sababu unahisi kuwa nyie ni watu wa karibu sana, kwa kweli wanafurahi kuwa una shida hiyo. Shida tuliyo nayo ni kwamba hatujui kuwa baadhi ya marafiki zetu na marafiki wa karibu wanatupenda tukiwa tumevunjika na kuvunjika. Baadhi yao wanafurahia kutuona tunarudi na machozi hayo na tukiwa na maumivu mikononi mwetu, na ndiyo maana Mungu anapoanza kutubariki, wanakuwa na uchungu na huzuni. Ndiyo; ukaribu si sawa na kuwa na sehemu laini kwa mtu, lakini wengi wetu hatujui hili. Yesu alikuwa karibu na Yuda, lakini Yuda alimsaliti. Mtu ambaye atakusaidia anaweza asiwe karibu hivyo, lakini mara tu anapojali, anasumbuliwa na wasiwasi. Mara nyingi, wametumwa na Mungu na hawajali historia yako. Mtu huyo wa karibu anajua hadithi yako na mara nyingi, anarudia hadithi hiyo mwenyewe, ili kujiambia kuwa anaendelea vizuri pia. Ikiwa haupo chini, angefanyaje massage ego yake? Mara nyingi, msaada hauji kutoka kwa watu ambao umewajua kwa muda mrefu sana; kuna watu utakutana nao leo, na katika siku kumi zijazo, maisha yako yatahama kutoka mahali pa huzuni, hadi mahali pa furaha na sherehe.

    Omba kila wakati ili Mungu akuunganishe na msaidizi wako wa hatima, na wakati unaomba maombi hayo, hakikisha kwamba unakuwa msaidizi wa hatima ya mtu, haijalishi ni ndogo kiasi gani. Usiende kumsimulia mjomba wako aliye mahali na kumlaumu kwa masaibu yako yote. Usimnyeshee laana kwa sababu yeye ni tajiri na wewe ni maskini; nenda kahustle, na huyo mjomba wako atatafuta namba yako ya simu. Kumbuka kwamba ulimwengu haujali hadi weweushinde; Nenda na kashinde kwa magoti yako na kwa mikono yako nje ya mfuko wako. Usimlaumu mtu yeyote kwa sababu familia yako italala njaa; Sidhani walikulazimisha kuolewa na kuzaa. Kumbuka kwamba taratibu na mazoezi unayoweka wakati wa kufanya shughuli zako, yana majukumu sawa na mengi kuelekea matokeo ya shughuli zako . Wakati mwingine, msaada hautatoka kwa mjomba wako au rafiki yako. Ndio, baadhi yao ni "mpira," hata wakati "unaanguka," na wakati unawaita, huko wanakutazama kana kwamba hawajawahi kukutana nawe kabla; hii isikusumbue au kukuzuia. Endelea kufanya kazi; endelea kuomba; usikate tamaa. Usikate tamaa. Kuna mahali panaitwa kesho, na wewe na mimi hatujui italeta nini. Msaada utakuja, lakini usiruhusu kujihurumia kukuweka palepale. Nenda ukasumbuke!

    MSAADA HAUTOKI KWA WALIO KARIBU NA WEWE; UNATOKA KWA WALE WANAOJALI... Watu hawakusaidii kwa sababu wako karibu nawe; wanasaidia kwa sababu wanajali sana. Baadhi ya watu ambao wako karibu sana na wewe, wana njia, uwezo na uwezo wa kukusaidia, lakini hujui. Baadhi ya watu hao ambao umewalalamikia maisha yako yote, kwa sababu unahisi kuwa nyie ni watu wa karibu sana, kwa kweli wanafurahi kuwa una shida hiyo. Shida tuliyo nayo ni kwamba hatujui kuwa baadhi ya marafiki zetu na marafiki wa karibu wanatupenda tukiwa tumevunjika na kuvunjika. Baadhi yao wanafurahia kutuona tunarudi na machozi hayo na tukiwa na maumivu mikononi mwetu, na ndiyo maana Mungu anapoanza kutubariki, wanakuwa na uchungu na huzuni. Ndiyo; ukaribu si sawa na kuwa na sehemu laini kwa mtu, lakini wengi wetu hatujui hili. Yesu alikuwa karibu na Yuda, lakini Yuda alimsaliti. Mtu ambaye atakusaidia anaweza asiwe karibu hivyo, lakini mara tu anapojali, anasumbuliwa na wasiwasi. Mara nyingi, wametumwa na Mungu na hawajali historia yako. Mtu huyo wa karibu anajua hadithi yako na mara nyingi, anarudia hadithi hiyo mwenyewe, ili kujiambia kuwa anaendelea vizuri pia. Ikiwa haupo chini, angefanyaje massage ego yake? Mara nyingi, msaada hauji kutoka kwa watu ambao umewajua kwa muda mrefu sana; kuna watu utakutana nao leo, na katika siku kumi zijazo, maisha yako yatahama kutoka mahali pa huzuni, hadi mahali pa furaha na sherehe. Omba kila wakati ili Mungu akuunganishe na msaidizi wako wa hatima, na wakati unaomba maombi hayo, hakikisha kwamba unakuwa msaidizi wa hatima ya mtu, haijalishi ni ndogo kiasi gani. Usiende kumsimulia mjomba wako aliye mahali na kumlaumu kwa masaibu yako yote. Usimnyeshee laana kwa sababu yeye ni tajiri na wewe ni maskini; nenda kahustle, na huyo mjomba wako atatafuta namba yako ya simu. Kumbuka kwamba ulimwengu haujali hadi weweushinde; Nenda na kashinde kwa magoti yako na kwa mikono yako nje ya mfuko wako. Usimlaumu mtu yeyote kwa sababu familia yako italala njaa; Sidhani walikulazimisha kuolewa na kuzaa. Kumbuka kwamba taratibu na mazoezi unayoweka wakati wa kufanya shughuli zako, yana majukumu sawa na mengi kuelekea matokeo ya shughuli zako . Wakati mwingine, msaada hautatoka kwa mjomba wako au rafiki yako. Ndio, baadhi yao ni "mpira," hata wakati "unaanguka," na wakati unawaita, huko wanakutazama kana kwamba hawajawahi kukutana nawe kabla; hii isikusumbue au kukuzuia. Endelea kufanya kazi; endelea kuomba; usikate tamaa. Usikate tamaa. Kuna mahali panaitwa kesho, na wewe na mimi hatujui italeta nini. Msaada utakuja, lakini usiruhusu kujihurumia kukuweka palepale. Nenda ukasumbuke!
    Like
    Love
    2
    · 1 Comments ·0 Shares ·619 Views
  • “Maxi ni mchezaji wa maajabu, lakini bado hajawa sawa kucheza hapo kesho, Chama amerejea pia sina haraka nae kwa sababu tayari nina wachezaji 24 ambao wanaweza kutupatia matokeo, sina sababu ya kulazimisha wachezaji ambao bado hawapo fiti kucheza kesho. Tutaangalia mwenendo wa kila mchezaji kimwili na kiakili kabla ya kufanya maamuzi” Sead Ramovic, Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga SC.

    “Maxi ni mchezaji wa maajabu, lakini bado hajawa sawa kucheza hapo kesho, Chama amerejea pia sina haraka nae kwa sababu tayari nina wachezaji 24 ambao wanaweza kutupatia matokeo, sina sababu ya kulazimisha wachezaji ambao bado hawapo fiti kucheza kesho. Tutaangalia mwenendo wa kila mchezaji kimwili na kiakili kabla ya kufanya maamuzi” Sead Ramovic, Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga SC.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·418 Views
  • 𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒

    “Hatujawahi kwenda kucheza mchezo kwa ajili ya droo sisi lengo letu namba moja ni ushindi, sina haja ya kuongelea kuhusu matokeo mengine zaidi ya ushindi hapo kesho, nina wachezaji ambao wanaweza kubadilika kutokana na mbinu zangu au kutokana na mfumo wa wapinzani, sina mashaka na mbinu zangu kwenye kupata matokeo ya ushindi hapo kesho” Sead Ramovic

    #timuyawananchi
    #DaimaMbeleNyumaMwiko
    #neliudcosih
    𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒💬 “Hatujawahi kwenda kucheza mchezo kwa ajili ya droo sisi lengo letu namba moja ni ushindi, sina haja ya kuongelea kuhusu matokeo mengine zaidi ya ushindi hapo kesho, nina wachezaji ambao wanaweza kubadilika kutokana na mbinu zangu au kutokana na mfumo wa wapinzani, sina mashaka na mbinu zangu kwenye kupata matokeo ya ushindi hapo kesho” Sead Ramovic #timuyawananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko #neliudcosih
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·936 Views
  • 𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒

    “Maxi ni mchezaji wa maajabu, lakini bado hajawa sawa kucheza hapo kesho, Chama amerejea pia sina haraka nae kwa sababu tayari nina wachezaji 24 ambao wanaweza kutupatia matokeo, sina sababu ya kulazimisha wachezaji ambao bado hawapo fiti kucheza kesho. Tutaangalia mwenendo wa kila mchezaji kimwili na kiakili kabla ya kufanya maamuzi” Sead Ramovic.

    #timuyawananchi
    #DaimaMbeleNyumaMwiko
    #neliudcosih
    𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒💬 “Maxi ni mchezaji wa maajabu, lakini bado hajawa sawa kucheza hapo kesho, Chama amerejea pia sina haraka nae kwa sababu tayari nina wachezaji 24 ambao wanaweza kutupatia matokeo, sina sababu ya kulazimisha wachezaji ambao bado hawapo fiti kucheza kesho. Tutaangalia mwenendo wa kila mchezaji kimwili na kiakili kabla ya kufanya maamuzi” Sead Ramovic. #timuyawananchi #DaimaMbeleNyumaMwiko #neliudcosih
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·978 Views
  • THEIA SAYARI NDOGO ILIYOGONGANA NA DUNIANI.

    ✍🏾Mapande ya sayari inayoitwa Theia ambayo iligongana na Dunia na kusababisha kuundwa kwa Mwezi yamepatikana na Wataalmu Nchini Marekani.Kwa kufafanua zaidi ni wazi kwamba kuna siri nzito Katika Uumbaji,Kweli Mungu ni fundi waungwana,Kwanza Fahamu ya kwamba Asilimia 70% ya Historia ya uuumbaji Haijulikana kisawa Sawa maana Maisha ya Binadamu hayana Umri mrefu sanaa kuzidi Umri wa Dunia maana Umri wa Dunia ni miaka Billion 4.7 na Dunia inatadhamiwa Kuishi miaka Billion 7 Ijayo kabla Haijafa na kusambalatika kama kama Cheche za Mkaa.Theia ni jina la kigiriki lenye maana ya kwamba Mungu wa kike ambapo kulingana na simulizi na imani za wagiri ni kwamba Theia ni moja wa Mungu wa kike waliokuwa wanaishi uko Mwezini.Theia ni moja wa Watoto 7 mama wa Miungu ya uko mwezini yaani Mather of All Goddes uko mwezini hivyo ambaye alifahamika kama Selene huyo Goddess mkuu wa uko mwezini.

    ✍🏾SaSa Hapo mwanzo kulikuwa na Sayari inayofahamika kama Theia ambayo ilikuwa na ukubwa Sawa sawaa na Mars uko ambako NASA wametuma Perseverance Rovers kwenda Kuangalia kama Kulikuwa na maisha Hapo Kale yaani Miaka Billion 3 Iliyopita.Sasa Kuna nadharia kama 4 zinazoelezeaa kutokea Kwa mwezi,Kuna ambao Wanadai ya kwamba Theia ilikuwa iko nje ya Mfumo wa Jua mpaka inakuja kugongana na Dunia Hata Hivyo nadharia hii BADO haijathibika wanasayansi BADO wanafanya Tafiti Mbali Mbali kuliweka Hili sawaa.

    Hata Maji Yaliyopo hapa Duniani Hususani Maji ya kwenye Bahari yalitokea Baada ya Theia Kuparamia na Kuigonga Duniani Ndio Ikasababisha Uwepo wa Bahari kubwa ambazo tunaziona leo hii.Kuna nadharia ya kwanza ambayo Inadai ya kwamba kulikuwa na Moja ya Sayari kubwa Sana, Ambapo Sayari hiyo kulingana na Sababu ambazo hazijawekwa wazi ni kwamba Sayari hiyo kubwa ilikuja Kupasuka pasuka Kwa Kishindo na Kusababisha mgawanyiko ambapo Katika mgawanyiko huo ndio ukapelekea kuwepo Kwa Mwezi Ambapo Mwezi huo ulikuja Kunaswa na Nguvu ya mvutano wa Jua ndio ukabaki ulipo leo lakini Huwenda lisingekuwa Jua Mwezi ungekuwa Umeenda Mbali Sana kuliko ilivyo leo,Wabongo wanasema ya kwamba Mungu ni Fundi kweli (Tunakubaliana ya kwamba Sayari Zote ni Viumbe kama ilivyo Kwa viumbe wengine).

    ✍🏾 kamaa hiyo haitoshi kuna Nadharia ya pili ambayo inaelezea ya kwamba Mwezi uliundwa Wakati mmoja na Wakati Dunia () inaundwa hii Ina maana ya kwamba Dunia na Mwezi viliundwa wakati mmoja Kipindi ambacho Photo planetary Disk Accreted.Kwa kuthibitisha hilo Wakati wa Apollo Project Taasisi kubwa ya Marekani yaani NATIONAL AERONAUTICS AND SPACE ADMINISTRATION (NASA) walipata baadhi ya Ushahidi wa miamba uko mwezini walipoenda uko Mwaka 1969 mpaka mwaka 1972 walikutana na miamba yenye kufanana na ya hapa Duniani na hivyo kuja na Hoja ya kwamba Huenda Dunia na Mwezi viliundwa Wakati mmoja.Kuna baadhi ya chambuzi zinadai ya kwamba Theia ilikuwa ni Earth Trojan yaani Sayari ndogo ambayo ilikuwa ipo Katika mfumo wa kulizunguka JUA yenye Ukubwa wa Km 6,102 sawaa na Mile 3792.Na kulingana na utafiti na Ushahidi wa mwaka 2019 UNAONYESHA ya kwamba Theia ni Sayari ambayo Hakuwa Katika Mfumo wetu wa Jua ILA ni Sayari ambayo Imetoka nje ya Mfumo wa Jua (Solar system Mfumo huu ambao uliatengenezwa miaka 4.6 iliyopita).

    ✍🏾Takribani miaka bilioni 4.5 iliyopita sayari ndogo inayoitwa Theia iligongana na Dunia tukio lililosababisha sayari hiyo kupasuka na baadhi ya mapande yake kuruka kwenye Space na kuundia Mwezi na mapande mengine yalifukiwa chini Duniani ambapo katika utafiti wa hivi karibuni uliofanywa na wanasayansi kutoka chuo cha Arizona Nchini Marekani wamefanikiwa kuyapata baadhi ya mawe yaliyosalia wakati sayari hiyo ilipogongana na Dunia.ndii maana naungana na Mtaalamu wangu kutoka Marekani alimaarufu kama Bari Katika masuala ya uchambuzi ya kwamba Sayari Huwa zinajizalisha zenyewe ama kuzaliana Zenyewe maana Kwamba Sayari Moja inaweza ikasababisha KUZALIWA KWA Sayari zingine ndio maana Hata baadhi mawe makubwa yaliyoko Angani yenye ukubwa Sawa na Jimbo la Alaska ama Australia ni matokeo ama masalia ya Sayari zilizokufa ama zilizowahi kuwepo miaka Mabilioni iliyopita.

    Maana tufahamu ya kwamba Sayari Huwa zinazaliwa na pia Baada ya miaka Billion 4 mpaka 7 Sayari Huwa zinakufa ndio maana Mtaalamu Bari anazichukuliaa Sayari kama ni VIUMBE Vinavyoishi kama ilivyo Kwa viumbe viumbe Vinginevyo.hivyo Miamba iliyoko mwezini na hapa Duniani Ina Uhusiano Mkubwa na kuonyesha ya kwamba Mwezi na Dunia Zote zimeumbwa wakati Mmoja ama ni matokeo ya Sayari ndogo ya THEIA yenye kutaka kufanana na MARS Kwa ukubwa ilipogngana na Dunia na Kusababisha Kutokea Kwa Mwezi.
    THEIA SAYARI NDOGO ILIYOGONGANA NA DUNIANI. ✍🏾Mapande ya sayari inayoitwa Theia ambayo iligongana na Dunia na kusababisha kuundwa kwa Mwezi yamepatikana na Wataalmu Nchini Marekani.Kwa kufafanua zaidi ni wazi kwamba kuna siri nzito Katika Uumbaji,Kweli Mungu ni fundi waungwana,Kwanza Fahamu ya kwamba Asilimia 70% ya Historia ya uuumbaji Haijulikana kisawa Sawa maana Maisha ya Binadamu hayana Umri mrefu sanaa kuzidi Umri wa Dunia maana Umri wa Dunia ni miaka Billion 4.7 na Dunia inatadhamiwa Kuishi miaka Billion 7 Ijayo kabla Haijafa na kusambalatika kama kama Cheche za Mkaa🤓🤓.Theia ni jina la kigiriki lenye maana ya kwamba Mungu wa kike ambapo kulingana na simulizi na imani za wagiri ni kwamba Theia ni moja wa Mungu wa kike waliokuwa wanaishi uko Mwezini.Theia ni moja wa Watoto 7 mama wa Miungu ya uko mwezini yaani Mather of All Goddes uko mwezini hivyo ambaye alifahamika kama Selene huyo Goddess mkuu wa uko mwezini. ✍🏾SaSa Hapo mwanzo kulikuwa na Sayari inayofahamika kama Theia ambayo ilikuwa na ukubwa Sawa sawaa na Mars uko ambako NASA wametuma Perseverance Rovers kwenda Kuangalia kama Kulikuwa na maisha Hapo Kale yaani Miaka Billion 3 Iliyopita.Sasa Kuna nadharia kama 4 zinazoelezeaa kutokea Kwa mwezi,Kuna ambao Wanadai ya kwamba Theia ilikuwa iko nje ya Mfumo wa Jua mpaka inakuja kugongana na Dunia Hata Hivyo nadharia hii BADO haijathibika wanasayansi BADO wanafanya Tafiti Mbali Mbali kuliweka Hili sawaa. Hata Maji Yaliyopo hapa Duniani Hususani Maji ya kwenye Bahari yalitokea Baada ya Theia Kuparamia na Kuigonga Duniani Ndio Ikasababisha Uwepo wa Bahari kubwa ambazo tunaziona leo hii.Kuna nadharia ya kwanza ambayo Inadai ya kwamba kulikuwa na Moja ya Sayari kubwa Sana, Ambapo Sayari hiyo kulingana na Sababu ambazo hazijawekwa wazi ni kwamba Sayari hiyo kubwa ilikuja Kupasuka pasuka Kwa Kishindo na Kusababisha mgawanyiko ambapo Katika mgawanyiko huo ndio ukapelekea kuwepo Kwa Mwezi Ambapo Mwezi huo ulikuja Kunaswa na Nguvu ya mvutano wa Jua ndio ukabaki ulipo leo lakini Huwenda lisingekuwa Jua Mwezi ungekuwa Umeenda Mbali Sana kuliko ilivyo leo,Wabongo wanasema ya kwamba Mungu ni Fundi kweli (Tunakubaliana ya kwamba Sayari Zote ni Viumbe kama ilivyo Kwa viumbe wengine). ✍🏾 kamaa hiyo haitoshi kuna Nadharia ya pili ambayo inaelezea ya kwamba Mwezi uliundwa Wakati mmoja na Wakati Dunia (🌎) inaundwa hii Ina maana ya kwamba Dunia na Mwezi viliundwa wakati mmoja Kipindi ambacho Photo planetary Disk Accreted.Kwa kuthibitisha hilo Wakati wa Apollo Project Taasisi kubwa ya Marekani yaani NATIONAL AERONAUTICS AND SPACE 🌌 ADMINISTRATION (NASA) walipata baadhi ya Ushahidi wa miamba uko mwezini walipoenda uko Mwaka 1969 mpaka mwaka 1972 walikutana na miamba yenye kufanana na ya hapa Duniani na hivyo kuja na Hoja ya kwamba Huenda Dunia na Mwezi viliundwa Wakati mmoja.Kuna baadhi ya chambuzi zinadai ya kwamba Theia ilikuwa ni Earth Trojan yaani Sayari ndogo ambayo ilikuwa ipo Katika mfumo wa kulizunguka JUA yenye Ukubwa wa Km 6,102 sawaa na Mile 3792.Na kulingana na utafiti na Ushahidi wa mwaka 2019 UNAONYESHA ya kwamba Theia ni Sayari ambayo Hakuwa Katika Mfumo wetu wa Jua ILA ni Sayari ambayo Imetoka nje ya Mfumo wa Jua (Solar system Mfumo huu ambao uliatengenezwa miaka 4.6 iliyopita). ✍🏾Takribani miaka bilioni 4.5 iliyopita sayari ndogo inayoitwa Theia iligongana na Dunia tukio lililosababisha sayari hiyo kupasuka na baadhi ya mapande yake kuruka kwenye Space na kuundia Mwezi na mapande mengine yalifukiwa chini Duniani ambapo katika utafiti wa hivi karibuni uliofanywa na wanasayansi kutoka chuo cha Arizona Nchini Marekani wamefanikiwa kuyapata baadhi ya mawe yaliyosalia wakati sayari hiyo ilipogongana na Dunia.ndii maana naungana na Mtaalamu wangu kutoka Marekani alimaarufu kama Bari Katika masuala ya uchambuzi ya kwamba Sayari Huwa zinajizalisha zenyewe ama kuzaliana Zenyewe maana Kwamba Sayari Moja inaweza ikasababisha KUZALIWA KWA Sayari zingine ndio maana Hata baadhi mawe makubwa yaliyoko Angani yenye ukubwa Sawa na Jimbo la Alaska ama Australia ni matokeo ama masalia ya Sayari zilizokufa ama zilizowahi kuwepo miaka Mabilioni iliyopita. Maana tufahamu ya kwamba Sayari Huwa zinazaliwa na pia Baada ya miaka Billion 4 mpaka 7 Sayari Huwa zinakufa ndio maana Mtaalamu Bari anazichukuliaa Sayari kama ni VIUMBE Vinavyoishi kama ilivyo Kwa viumbe viumbe Vinginevyo.hivyo Miamba iliyoko mwezini na hapa Duniani Ina Uhusiano Mkubwa na kuonyesha ya kwamba Mwezi na Dunia Zote zimeumbwa wakati Mmoja ama ni matokeo ya Sayari ndogo ya THEIA yenye kutaka kufanana na MARS Kwa ukubwa ilipogngana na Dunia na Kusababisha Kutokea Kwa Mwezi.
    Like
    3
    · 1 Comments ·0 Shares ·971 Views
More Results