• Privaldinho akijibu hoja pichani.

    "Biashara ya usemaji sio kama biashara ya matikitiki.

    Media ni kiungo muhimu sana kinachounganisha Idara ya Masoko na wanachama na mashibiki
    Idara ya Masoko na Wadau
    Idara ya masoko na jamii

    Usemaji ni zaidi ya tambo za mitandaoni mnazoona.

    Tumefanya activations nyingi sana ambazo msimamizi mkuu ni Ally Kamwe akishirikiana na @i_sammjr

    Ally Kamwe alianzisha match day treatment and agenda, Mfano Aziz Ki Day. Baadae wadau wakaweka fedha kwenye mechi za Bacca Day, Muda Day, Max Day na Pacome Day tulipaka bleech

    Tulipata wadau kama vile, ZIC, ZIPA PZB na CRDB. CRDB walisupport safari yetu ya kwenda Afrika Kusini Twenzetu kwa madiba ambapo Ally Kamwe aliongoza kampeni hiyo kupitia Azam TV.

    Ally Kamwe akaanzisha kampeni ya kupeleka mashabiki Rwanda na DR Congo ambazo zote ni ilikuwa media agenda, na klabu ilikusanya zaidi ya 100m.

    Tulipata dili za Visit Zanzibar ni moja ya dili kubwa sana ambapo klabu imeingiza zaidi ya milion 500. Dili hili limekuja kutokana na hamasa kubwa ya media ambayo imeongozwa na Ally Kamwe

    Supu Day ilidhaminiwa na Sportpesa na GSM klabu iliingiza zaidi ya milion 30. Kitabu, Documentary kote huku tumeingiza mamilion ya fedha.

    Tulikuwa na Public viewing hapa Jangwan tukiwa na GSM, Haier ambapo klabu iliingiza fedha kupitia hilo na yote hayo ilikuwa media agenda.

    Ukiachana na Hamasa ya media, kupitia idara ya media fedha nyingi zimeingia moja kwa moja chini ya usimamizi wa Msemaji wetu.

    Yanga SC inaingiza mamilion ya fedha kila mwezi kupitia Yanga APP ambapo hivi karibu tumekusanya zaidi ya milion 300 kupitia APP

    Yanga ndio klabu namba moja kwa views zaidi kupitia ukurasa wa Youtube barani AFRIKA ikiwa na views 221m. Huku YouTube kila mwezi Yanga inaingiza mamilion ya fedha.

    Media ya Yanga ndio imepush agenda kubwa ya usajili wa wanachama kwa klabu ambapo kwa mwaka tumekuwa na wastani Tsh 1 bilion kwenye zoezi ya usajili.

    Unaposema wasemaji unapaswa kumuondoa Ally Kamwe kwanza kisha ujadili hao wanaobakia.

    Hamasa ni hela. Tunaongelea Hamasa sio comedy. Kazi kubwa ambayo ameifanya Ally Kamwe imeiingizia Yanga mabilion ya hela. Tumeondoka kwenye Hamasa zaidi Makelele tukafanya biashara" - Privaldinho, Mkuu wa kitengo cha maudhui wa klabu ya Yanga SC.

    Privaldinho akijibu hoja pichani. "Biashara ya usemaji sio kama biashara ya matikitiki. Media ni kiungo muhimu sana kinachounganisha Idara ya Masoko na wanachama na mashibiki Idara ya Masoko na Wadau Idara ya masoko na jamii Usemaji ni zaidi ya tambo za mitandaoni mnazoona. Tumefanya activations nyingi sana ambazo msimamizi mkuu ni Ally Kamwe akishirikiana na @i_sammjr Ally Kamwe alianzisha match day treatment and agenda, Mfano Aziz Ki Day. Baadae wadau wakaweka fedha kwenye mechi za Bacca Day, Muda Day, Max Day na Pacome Day tulipaka bleech Tulipata wadau kama vile, ZIC, ZIPA PZB na CRDB. CRDB walisupport safari yetu ya kwenda Afrika Kusini Twenzetu kwa madiba ambapo Ally Kamwe aliongoza kampeni hiyo kupitia Azam TV. Ally Kamwe akaanzisha kampeni ya kupeleka mashabiki Rwanda na DR Congo ambazo zote ni ilikuwa media agenda, na klabu ilikusanya zaidi ya 100m. Tulipata dili za Visit Zanzibar ni moja ya dili kubwa sana ambapo klabu imeingiza zaidi ya milion 500. Dili hili limekuja kutokana na hamasa kubwa ya media ambayo imeongozwa na Ally Kamwe Supu Day ilidhaminiwa na Sportpesa na GSM klabu iliingiza zaidi ya milion 30. Kitabu, Documentary kote huku tumeingiza mamilion ya fedha. Tulikuwa na Public viewing hapa Jangwan tukiwa na GSM, Haier ambapo klabu iliingiza fedha kupitia hilo na yote hayo ilikuwa media agenda. Ukiachana na Hamasa ya media, kupitia idara ya media fedha nyingi zimeingia moja kwa moja chini ya usimamizi wa Msemaji wetu. Yanga SC inaingiza mamilion ya fedha kila mwezi kupitia Yanga APP ambapo hivi karibu tumekusanya zaidi ya milion 300 kupitia APP Yanga ndio klabu namba moja kwa views zaidi kupitia ukurasa wa Youtube barani AFRIKA ikiwa na views 221m. Huku YouTube kila mwezi Yanga inaingiza mamilion ya fedha. Media ya Yanga ndio imepush agenda kubwa ya usajili wa wanachama kwa klabu ambapo kwa mwaka tumekuwa na wastani Tsh 1 bilion kwenye zoezi ya usajili. Unaposema wasemaji unapaswa kumuondoa Ally Kamwe kwanza kisha ujadili hao wanaobakia. Hamasa ni hela. Tunaongelea Hamasa sio comedy. Kazi kubwa ambayo ameifanya Ally Kamwe imeiingizia Yanga mabilion ya hela. Tumeondoka kwenye Hamasa zaidi Makelele tukafanya biashara" - Privaldinho, Mkuu wa kitengo cha maudhui wa klabu ya Yanga SC.
    Like
    Love
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·537 Visualizações
  • ASANTE SANA KWA MAUMIVU

    Ningetamani kuwa nawe katika maisha yote, nyakati zote, lakini upepo wa maisha na tamaa zimetuweka mbali.

    Nilitamani kuiweka dunia yangu kifuani mwako, lakini huenda dunia ninayoishi mimi ni tofauti na dunia yako.

    Dunia ya ufukara ninayoishi mimi dhidi ya dunia yako ya pesa na starehe za gharama.

    Nilishindwa mimi na ufukara wangu, nimedondoka, nimekuacha uende.

    Nimeamini kuwa, ukiwa huna pesa, kitu pekee unachoweza kumiliki kwa mwanamke mrembo ni picha zake tu na sio moyo wake.

    Moyo wa mwanamke ni kama mluzi wa ng'ombe mnadani, kadri miluzi inavyoongezeka ndivyo anavyozidi kupanda bei.

    Nasikitika kuyajua haya leo, ni kweli inauma sana, nimekubali.

    Nimeelewa nguvu ya ukimya wako, nimeelewa kwanini umeondoka kwangu, bora umeondoka tu, ni ngumu kusubiri ahadi zangu zisizotimia.

    Hongera kwa kumpata mtu wa maisha yako, bado natafuta maisha yangu, nimekubali uende kipepeo wangu wa zamani, japo kumbukumbu zetu zinauma.

    Kwaheri, Mungu akuongoze huko ulikochagua.

    Nashusha karamu yangu chini, ngoja niache kuwaza upuuzi wa mapenzi.
    ASANTE SANA KWA MAUMIVU 💔 Ningetamani kuwa nawe katika maisha yote, nyakati zote, lakini upepo wa maisha na tamaa zimetuweka mbali. Nilitamani kuiweka dunia yangu kifuani mwako, lakini huenda dunia ninayoishi mimi ni tofauti na dunia yako. Dunia ya ufukara ninayoishi mimi dhidi ya dunia yako ya pesa na starehe za gharama. Nilishindwa mimi na ufukara wangu, nimedondoka, nimekuacha uende. Nimeamini kuwa, ukiwa huna pesa, kitu pekee unachoweza kumiliki kwa mwanamke mrembo ni picha zake tu na sio moyo wake. Moyo wa mwanamke ni kama mluzi wa ng'ombe mnadani, kadri miluzi inavyoongezeka ndivyo anavyozidi kupanda bei. Nasikitika kuyajua haya leo, ni kweli inauma sana, nimekubali. Nimeelewa nguvu ya ukimya wako, nimeelewa kwanini umeondoka kwangu, bora umeondoka tu, ni ngumu kusubiri ahadi zangu zisizotimia. Hongera kwa kumpata mtu wa maisha yako, bado natafuta maisha yangu, nimekubali uende kipepeo wangu wa zamani, japo kumbukumbu zetu zinauma. Kwaheri, Mungu akuongoze huko ulikochagua. Nashusha karamu yangu chini, ngoja niache kuwaza upuuzi wa mapenzi.
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·343 Visualizações
  • 3. "Pesa hazileti furaha, lakini furaha inahitaji pesa." - Nukuu hii inaonyesha uhusiano kati ya fedha na furaha
    3. "Pesa hazileti furaha, lakini furaha inahitaji pesa." - Nukuu hii inaonyesha uhusiano kati ya fedha na furaha
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·160 Visualizações
  • Utaratibu ni uleule, Pesa na huruma ni vitu viwili Tofauti Kabisa.
    Utaratibu ni uleule, Pesa na huruma ni vitu viwili Tofauti Kabisa.
    Like
    Love
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·120 Visualizações
  • KUWA KWENYE UHUSIANO NA MWANAUME MWENYE KAZI NGUMU

    Kuwa na mwanamume mchapakazi si jambo la kukata tamaa.
    Ni kwa ajili ya mwanamke ambaye anaelewa kwamba upendo hauji kila wakati na waridi na mashairi -
    Wakati mwingine, huja na usiku wa manane, macho yenye uchovu, na mikono iliyochoshwa na jukumu.
    Hawezi kuwa na saa za kutumia simu kila wakati au jioni ndefu za kimapenzi zilizopangwa,
    Sio kwa sababu hajali ...
    Lakini kwa sababu yuko huko akijenga siku zijazo - kwa ajili yako.
    Kwa nyinyi wawili.
    Mwanaume mwenye bidii hawezi kujibu mara moja,
    Lakini ukimya wake mara nyingi huzungumza juu ya dhabihu.
    Ni katika zamu hizo ndefu, saa za ziada, mapumziko yaliyoruka -
    Hapo ndipo upendo wake unaishi.
    Na ndio, kutakuwa na siku ambazo nishati yake pekee itatumika kurudi nyumbani,
    Kumbusu usiku mwema, na kugonga kitandani
    Ili tu kuamka na kuifanya tena.
    Lakini kamwe usichanganye uchovu na kutojali.
    Kamwe usichanganye utulivu na umbali.
    Kwa sababu uaminifu wake hauvai suti kila wakati na kuzungumza kwa maua -
    Wakati mwingine huvaa buti zilizovaliwa, mashati yenye rangi, na macho ambayo ndoto ya kukupa kila kitu.
    Ikiwa una mwanaume mwenye bidii,
    Mthamini.
    Ongea lugha yake ya upendo - uvumilivu, imani, kutia moyo.
    Simama karibu naye, sio nyuma yake -
    Mshangilie, sio kumshinikiza -
    Muunge mkono, usimdharau.
    Kwa sababu nyuma ya kila familia yenye nguvu, salama, na yenye mafanikio
    Ni mtu aliyeinuka kabla ya jua
    Na ilifanya kazi hadi ilipowekwa -
    Sio kwa pesa tu,
    Lakini kwa maisha aliyokuahidi.
    Basi hapa ni kwa wanaume wanaobeba uzito wa dunia mabegani mwao,
    Na wanawake wenye uwezo wa kutembea nao kwa neema.
    Kufanya kazi kwa bidii ni lugha yake ya upendo.
    Na ikiwa unasikiliza kwa makini -
    Utasikia "nakupenda"
    Katika kila juhudi anazofanya.

    #WeweNdiweMaishaYangu # #UmejengwaKwaSadaka# #UpendoHalisi Huzungumza Kwa Utulivu #
    KUWA KWENYE UHUSIANO NA MWANAUME MWENYE KAZI NGUMU Kuwa na mwanamume mchapakazi si jambo la kukata tamaa. Ni kwa ajili ya mwanamke ambaye anaelewa kwamba upendo hauji kila wakati na waridi na mashairi - Wakati mwingine, huja na usiku wa manane, macho yenye uchovu, na mikono iliyochoshwa na jukumu. Hawezi kuwa na saa za kutumia simu kila wakati au jioni ndefu za kimapenzi zilizopangwa, Sio kwa sababu hajali ... Lakini kwa sababu yuko huko akijenga siku zijazo - kwa ajili yako. Kwa nyinyi wawili. Mwanaume mwenye bidii hawezi kujibu mara moja, Lakini ukimya wake mara nyingi huzungumza juu ya dhabihu. Ni katika zamu hizo ndefu, saa za ziada, mapumziko yaliyoruka - Hapo ndipo upendo wake unaishi. Na ndio, kutakuwa na siku ambazo nishati yake pekee itatumika kurudi nyumbani, Kumbusu usiku mwema, na kugonga kitandani Ili tu kuamka na kuifanya tena. Lakini kamwe usichanganye uchovu na kutojali. Kamwe usichanganye utulivu na umbali. Kwa sababu uaminifu wake hauvai suti kila wakati na kuzungumza kwa maua - Wakati mwingine huvaa buti zilizovaliwa, mashati yenye rangi, na macho ambayo ndoto ya kukupa kila kitu. Ikiwa una mwanaume mwenye bidii, Mthamini. Ongea lugha yake ya upendo - uvumilivu, imani, kutia moyo. Simama karibu naye, sio nyuma yake - Mshangilie, sio kumshinikiza - Muunge mkono, usimdharau. Kwa sababu nyuma ya kila familia yenye nguvu, salama, na yenye mafanikio Ni mtu aliyeinuka kabla ya jua Na ilifanya kazi hadi ilipowekwa - Sio kwa pesa tu, Lakini kwa maisha aliyokuahidi. Basi hapa ni kwa wanaume wanaobeba uzito wa dunia mabegani mwao, Na wanawake wenye uwezo wa kutembea nao kwa neema. Kufanya kazi kwa bidii ni lugha yake ya upendo. Na ikiwa unasikiliza kwa makini - Utasikia "nakupenda" Katika kila juhudi anazofanya. #WeweNdiweMaishaYangu # #UmejengwaKwaSadaka# #UpendoHalisi Huzungumza Kwa Utulivu #
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·572 Visualizações
  • As usually!!!
    PASAKA TULE NAO WATOTO WETU

    KIPINDI HICHI TUNAHITAJI VHAKULA NA VINJWAJI
    TATHIMINI NI 300,000 ITATOSHA
    MAHITAJI
    MCHELE KG 30
    NYANA KG 10
    VINYWAJI NA MATUNDA

    UNAWEZA NUNUA UKALETA MBEZI AU TUNAWEZA KUFUATA ULIPO
    MUNGU AWABARIKI NDUGU ZANGU

    0655987549
    TIGOPESA/CALL \EHATSAAP
    MOZA MOHAMED
    As usually!!! PASAKA TULE NAO WATOTO WETU KIPINDI HICHI TUNAHITAJI VHAKULA NA VINJWAJI TATHIMINI NI 300,000 ITATOSHA MAHITAJI MCHELE KG 30 NYANA KG 10 VINYWAJI NA MATUNDA UNAWEZA NUNUA UKALETA MBEZI AU TUNAWEZA KUFUATA ULIPO MUNGU AWABARIKI NDUGU ZANGU 0655987549 TIGOPESA/CALL \EHATSAAP MOZA MOHAMED
    Like
    Love
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·191 Visualizações
  • 𝘼 𝙎𝙩𝙤𝙧𝙮 𝙤𝙛 𝙇𝙤𝙫𝙚

    Siku ya harusi yangu, nilimbeba mke wangu mikononi mwangu. Tulipofika kwenye gorofa yetu ndogo, marafiki zangu waliniomba nimbebe ndani. Alikuwa mzito na mwenye haya wakati huo, na mimi nilikuwa bwana harusi mwenye furaha na mwenye nguvu.

    Hiyo ilikuwa miaka kumi iliyopita. Maisha yetu baada ya ndoa yalikuwa rahisi, kama glasi ya maji safi. Tulikuwa na mtoto, na nilifanya kazi kwa bidii ili kukuza biashara yangu. Kadiri nilivyozidi kupata pesa, mapenzi yetu yalififia taratibu. Mke wangu alikuwa mfanyakazi wa serikali, na tulikuwa tukiondoka nyumbani na kurudi wakati uleule kila siku. Mtoto wetu alisoma katika shule ya bweni. Kwa nje, maisha yetu yalionekana kuwa yenye furaha, lakini ndani kabisa, mabadiliko yalikuwa yakitokea.

    Kisha, nilikutana na Dew.

    Ilikuwa ni siku nzuri wakati Dew alinikumbatia kwa nyuma. Nilihisi kupendwa tena. Hata nilikuwa nimemnunulia nyumba. Dew aliwahi kuniambia, "Wewe ni aina ya wanaume wanaowaona wasichana." Maneno yake yalinikumbusha mke wangu. Muda mrefu uliopita, alikuwa amesema kitu kimoja: "Unapofanikiwa, wanawake wengi watavutiwa nawe." Nilihisi hatia, nikijua nilikuwa nikimsaliti, lakini sikuweza kujizuia.

    Nilimuuliza Dew kwenda kuchukua samani wakati nikienda ofisini. Hakufurahi kwa sababu niliahidi kwenda naye. Siku hiyo, wazo la talaka likawa wazi zaidi akilini mwangu. Lakini ilikuwa ngumu kumwambia mke wangu. Alikuwa mke mzuri, akiandaa chakula cha jioni kila wakati na kushiriki jioni tulivu pamoja nami. Hata hivyo, moyo wangu haukuwa naye tena.

    Siku moja, kwa utani, nilimuuliza mke wangu, "Ungefanya nini ikiwa tutaachana?" Hakujibu, kana kwamba ni jambo lisilowezekana kufikiria. Lakini ndani kabisa, nilikuwa nikijiandaa.

    Mke wangu aliponitembelea ofisini kwangu, Dew alikuwa ametoka tu. Watu walimtazama mke wangu kwa huruma. Huenda alikisia kitu lakini akatabasamu kwa upole, ingawa niliona uchungu machoni mwake.

    Umande uliendelea kunisisitiza tuachane. Hatimaye, nilikubali.

    Jioni hiyo, mke wangu alipokuwa akiandaa sahani ya mwisho wakati wa chakula cha jioni, nilimshika mkono na kusema, "Nina jambo la kukuambia." Alikaa kimya, tayari alihisi kuna kitu kibaya. Nikasema, "Nataka talaka." Hakuwa na hasira mwanzoni na akauliza, "Kwa nini?" Nilikwepa kumjibu jambo ambalo lilimkera sana. Alitupa vijiti vyake chini na kupiga kelele, "Wewe si mwanaume!" Alilia usiku huo. Nilijua alikuwa anashangaa mapenzi yetu yameenda wapi, lakini sikuweza kumpa jibu.

    Kwa hatia, niliandika makubaliano ya talaka kumpa nyumba yetu, gari, na sehemu ya kampuni yangu. Aliichana. Kumwona akilia kwa kweli kulinifanya nijisikie raha, kana kwamba ningeweza kusonga mbele.

    Usiku mmoja, nilikuja nyumbani na kumwona akiandika kitu. Asubuhi iliyofuata, alinipa masharti yake ya talaka. Hakutaka chochote kutoka kwangu, lakini alikuwa na ombi moja: kumpa mwezi mmoja kabla ya talaka, na wakati huo, kuishi maisha kwa kawaida iwezekanavyo. Alisema, "Mwana wetu atamaliza mapumziko yake ya kiangazi katika mwezi mmoja. Sitaki aone ndoa yetu ikisambaratika."

    Pia aliomba jambo moja zaidi: "Siku ya harusi yetu, ulinibeba hadi nyumbani kwetu. Tunapoachana, nichukue nje ya chumba cha kulala hadi mlangoni kila asubuhi." Nilikubali, nikidhani ni njia yake ya kuaga kwa utamu fulani.

    Nilipomwambia Dew, alicheka na kudhani ni ujinga. Mwitikio wake ulinisumbua, lakini sikusema chochote.

    Siku ya kwanza, kubeba mke wangu nilijisikia vibaya. Mwana wetu alipiga makofi kwa furaha, akifikiri ilikuwa ya kufurahisha. Kila siku, ikawa rahisi. Niliona mambo ambayo sikuwa nimeona kwa muda mrefu: jinsi alivyoegemea kifua changu, vikumbusho vyake vya upole kuhusu maisha, na kupungua kwa uzito kulikonitia wasiwasi. Alikuwa amekonda sana.

    Kufikia siku za mwisho, niligundua bado ninampenda. Kumbeba mikononi mwangu kila asubuhi kulinikumbusha siku zetu za mapema tukiwa pamoja. Ulaini wake, harufu yake, utunzaji wake wa utulivu kwangu ... niliona yote wazi sasa.

    Siku ya mwisho, nilipomnyanyua, alisema kwa upole, "Laiti ungenibeba hivi hadi tuzeeke." Machozi yalinijaa. Niliendesha gari moja kwa moja hadi kwa Dew na kumwambia, "Sitaachana na mke wangu." Alishtuka na kukasirika, lakini nilijua uamuzi wangu ulikuwa sahihi.

    Nilipokuwa njiani kurudi, nilimnunulia mke wangu maua yake ya kupenda na kuandika kwenye kadi: "Nitakuchukua kila asubuhi hadi tutakapozeeka."
    𝘼 𝙎𝙩𝙤𝙧𝙮 𝙤𝙛 𝙇𝙤𝙫𝙚 Siku ya harusi yangu, nilimbeba mke wangu mikononi mwangu. Tulipofika kwenye gorofa yetu ndogo, marafiki zangu waliniomba nimbebe ndani. Alikuwa mzito na mwenye haya wakati huo, na mimi nilikuwa bwana harusi mwenye furaha na mwenye nguvu. Hiyo ilikuwa miaka kumi iliyopita. Maisha yetu baada ya ndoa yalikuwa rahisi, kama glasi ya maji safi. Tulikuwa na mtoto, na nilifanya kazi kwa bidii ili kukuza biashara yangu. Kadiri nilivyozidi kupata pesa, mapenzi yetu yalififia taratibu. Mke wangu alikuwa mfanyakazi wa serikali, na tulikuwa tukiondoka nyumbani na kurudi wakati uleule kila siku. Mtoto wetu alisoma katika shule ya bweni. Kwa nje, maisha yetu yalionekana kuwa yenye furaha, lakini ndani kabisa, mabadiliko yalikuwa yakitokea. Kisha, nilikutana na Dew. Ilikuwa ni siku nzuri wakati Dew alinikumbatia kwa nyuma. Nilihisi kupendwa tena. Hata nilikuwa nimemnunulia nyumba. Dew aliwahi kuniambia, "Wewe ni aina ya wanaume wanaowaona wasichana." Maneno yake yalinikumbusha mke wangu. Muda mrefu uliopita, alikuwa amesema kitu kimoja: "Unapofanikiwa, wanawake wengi watavutiwa nawe." Nilihisi hatia, nikijua nilikuwa nikimsaliti, lakini sikuweza kujizuia. Nilimuuliza Dew kwenda kuchukua samani wakati nikienda ofisini. Hakufurahi kwa sababu niliahidi kwenda naye. Siku hiyo, wazo la talaka likawa wazi zaidi akilini mwangu. Lakini ilikuwa ngumu kumwambia mke wangu. Alikuwa mke mzuri, akiandaa chakula cha jioni kila wakati na kushiriki jioni tulivu pamoja nami. Hata hivyo, moyo wangu haukuwa naye tena. Siku moja, kwa utani, nilimuuliza mke wangu, "Ungefanya nini ikiwa tutaachana?" Hakujibu, kana kwamba ni jambo lisilowezekana kufikiria. Lakini ndani kabisa, nilikuwa nikijiandaa. Mke wangu aliponitembelea ofisini kwangu, Dew alikuwa ametoka tu. Watu walimtazama mke wangu kwa huruma. Huenda alikisia kitu lakini akatabasamu kwa upole, ingawa niliona uchungu machoni mwake. Umande uliendelea kunisisitiza tuachane. Hatimaye, nilikubali. Jioni hiyo, mke wangu alipokuwa akiandaa sahani ya mwisho wakati wa chakula cha jioni, nilimshika mkono na kusema, "Nina jambo la kukuambia." Alikaa kimya, tayari alihisi kuna kitu kibaya. Nikasema, "Nataka talaka." Hakuwa na hasira mwanzoni na akauliza, "Kwa nini?" Nilikwepa kumjibu jambo ambalo lilimkera sana. Alitupa vijiti vyake chini na kupiga kelele, "Wewe si mwanaume!" Alilia usiku huo. Nilijua alikuwa anashangaa mapenzi yetu yameenda wapi, lakini sikuweza kumpa jibu. Kwa hatia, niliandika makubaliano ya talaka kumpa nyumba yetu, gari, na sehemu ya kampuni yangu. Aliichana. Kumwona akilia kwa kweli kulinifanya nijisikie raha, kana kwamba ningeweza kusonga mbele. Usiku mmoja, nilikuja nyumbani na kumwona akiandika kitu. Asubuhi iliyofuata, alinipa masharti yake ya talaka. Hakutaka chochote kutoka kwangu, lakini alikuwa na ombi moja: kumpa mwezi mmoja kabla ya talaka, na wakati huo, kuishi maisha kwa kawaida iwezekanavyo. Alisema, "Mwana wetu atamaliza mapumziko yake ya kiangazi katika mwezi mmoja. Sitaki aone ndoa yetu ikisambaratika." Pia aliomba jambo moja zaidi: "Siku ya harusi yetu, ulinibeba hadi nyumbani kwetu. Tunapoachana, nichukue nje ya chumba cha kulala hadi mlangoni kila asubuhi." Nilikubali, nikidhani ni njia yake ya kuaga kwa utamu fulani. Nilipomwambia Dew, alicheka na kudhani ni ujinga. Mwitikio wake ulinisumbua, lakini sikusema chochote. Siku ya kwanza, kubeba mke wangu nilijisikia vibaya. Mwana wetu alipiga makofi kwa furaha, akifikiri ilikuwa ya kufurahisha. Kila siku, ikawa rahisi. Niliona mambo ambayo sikuwa nimeona kwa muda mrefu: jinsi alivyoegemea kifua changu, vikumbusho vyake vya upole kuhusu maisha, na kupungua kwa uzito kulikonitia wasiwasi. Alikuwa amekonda sana. Kufikia siku za mwisho, niligundua bado ninampenda. Kumbeba mikononi mwangu kila asubuhi kulinikumbusha siku zetu za mapema tukiwa pamoja. Ulaini wake, harufu yake, utunzaji wake wa utulivu kwangu ... niliona yote wazi sasa. Siku ya mwisho, nilipomnyanyua, alisema kwa upole, "Laiti ungenibeba hivi hadi tuzeeke." Machozi yalinijaa. Niliendesha gari moja kwa moja hadi kwa Dew na kumwambia, "Sitaachana na mke wangu." Alishtuka na kukasirika, lakini nilijua uamuzi wangu ulikuwa sahihi. Nilipokuwa njiani kurudi, nilimnunulia mke wangu maua yake ya kupenda na kuandika kwenye kadi: "Nitakuchukua kila asubuhi hadi tutakapozeeka."
    Like
    Love
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·630 Visualizações
  • *PART TWO* coming Soon..

    Loading........

    *NAMNA YA KUTENGENEZA PESA KWA KUTUMIA SIMU YA MKONONI*

    𝗔𝗯𝗼𝘂𝘁 : [MONETISE]
    PART ONE
    https://duduumendez.blogspot.com/2024/11/namna-ya-kujiingizia-kipato-kwa-kutumia.html
    ━━━━━━━━━━━━━━━━━━━━━━
    ʜᴇʀᴇ OFFICIAL WEBSITE:-
    > ◉https://mendez-website.vercel.app/
    ━━━━━━━━━━━━━━━━━━━━━━
    ʜᴇʀᴇ comming soon
    > ◉ https://duduumendez.xyz
    ━━━━━━━━━━━━━━━━━━━━━━
    > Become member of DUDUU_MENDEZ COMMUNITY


    ┌─────────────────────┐
    ➤CREDIT:- 〔𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙〕√
    └─────────────────────┘
    https://duduumendez.blogspot.com
    😏 *PART TWO* 😏 coming Soon.. Loading........ *NAMNA YA KUTENGENEZA PESA KWA KUTUMIA SIMU YA MKONONI* 𝗔𝗯𝗼𝘂𝘁 : [MONETISE] ● ✅ PART ONE 👇👇 ●https://duduumendez.blogspot.com/2024/11/namna-ya-kujiingizia-kipato-kwa-kutumia.html ━━━━━━━━━━━━━━━━━━━━━━ ʜᴇʀᴇ OFFICIAL WEBSITE:- > ◉https://mendez-website.vercel.app/ ━━━━━━━━━━━━━━━━━━━━━━ ʜᴇʀᴇ comming soon > ◉ https://duduumendez.xyz ━━━━━━━━━━━━━━━━━━━━━━ > Become member of DUDUU_MENDEZ COMMUNITY ┌─────────────────────┐ ➤CREDIT:- 〔𝐃𝐔𝐃𝐔𝐔_𝐌𝐄𝐍𝐃𝐄𝐙〕√ └─────────────────────┘ 👉 https://duduumendez.blogspot.com
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·607 Visualizações
  • Furaha yetu sio pesa ✌ vado
    Furaha yetu sio pesa ✌ vado
    Love
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·374 Visualizações ·0
  • Raia wa Marekani wanazidi kuelekeza pesa zao kwenye kamari ya michezo (Betting) badala ya kufanya uwekezaji wa muda mrefu, jambo linalozua wasiwasi kuhusu hali ya kifedha Nchini humo. Utafiti wa hivi karibuni unaonyesha kuwa katika majimbo ambako kamari ya michezo imehalalishwa, kumekuwa na kupungua kwa akiba na uwekezaji katika mali thabiti kama vile hisa.

    Mwelekeo huu umeambatana na ongezeko la madeni ya kadi za mkopo, alama za chini za mkopo, na kuongezeka kwa kufilisika. Ingawa majimbo yamefaidika na mapato makubwa ya kodi kutoka kwa upanuzi huu wa kamari, athari zake pana za kiuchumi zinaonyesha mwenendo wa kusikitisha.

    Raia wa Marekani 🇺🇸 wanazidi kuelekeza pesa zao kwenye kamari ya michezo (Betting) badala ya kufanya uwekezaji wa muda mrefu, jambo linalozua wasiwasi kuhusu hali ya kifedha Nchini humo. Utafiti wa hivi karibuni unaonyesha kuwa katika majimbo ambako kamari ya michezo imehalalishwa, kumekuwa na kupungua kwa akiba na uwekezaji katika mali thabiti kama vile hisa. Mwelekeo huu umeambatana na ongezeko la madeni ya kadi za mkopo, alama za chini za mkopo, na kuongezeka kwa kufilisika. Ingawa majimbo yamefaidika na mapato makubwa ya kodi kutoka kwa upanuzi huu wa kamari, athari zake pana za kiuchumi zinaonyesha mwenendo wa kusikitisha.
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·441 Visualizações
  • https://ormatz.com/pages/login/index?invite=u81s2uxl
    Tengeneza pesa bila kiingilio chochote. Jaribu kujisajili utanishukuru badae
    https://ormatz.com/pages/login/index?invite=u81s2uxl Tengeneza pesa bila kiingilio chochote. Jaribu kujisajili utanishukuru badae
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·294 Visualizações
  • SIFA ZA WANAUME WENYE THAMANI KUBWA [ HIGH VALUE MEN ].

    Kama mwanaume wako ana sifa zifuatazo basi jua una mwanaume mwenye thamani kubwa sana, na mwanaume mwenye thamani kubwa maana yake ni mwanaume bora.

    1. Hazoeleki kiurahisi.
    Moja ya sifa za wanaume wenye thamani kubwa ni wao kutozoeleka kiurahisi, hadi kumzoea mtu wa aina hii ni lazima uwe na sababu maalumu.

    2. Wana roho nzuri ila wana maamuzi magumu sana.
    Siku zote watu wa aina hii huwa na roho nzuri sana, huwa na huruma lakini wapo vizuri kufanya maamuzi mazito pale inapobidi.

    3. Haishi maisha ya kuigiza.
    Siku zote huishi maisha yake halisi, haigizi maisha.

    4. Anajua vitu vingi.
    Watu wa aina hii huwa na uelewa wa vitu vingi sana, ni ngumu kumuuliza kitu fulani akawa hakijui kabisa.

    5. Anasimamia mipango yake bila kuyumbishwa.
    Akishaamua kufanya kitu huwa hayumbishwi tena, haijalishi anaambiwa na nani, kama anahisi ni muhimu kwake kukitekeleza basi atafanya kwa vyovyote vile.

    6. Haoni shida kuanza upya.
    Ni watu wepesi sana kuamua kuanza upya, kama ni mahusiano yakilegalega ni rahisi tu kuachana nayo na kuanza upya, kwenye chochote kile kama hakiende sawa huamua kuanza upya.

    7. Jasiri sana.
    Hawa huwa hawaogopi kitu, ni majasiri kwenye kila kitu, wanajiamini sana.

    8. Hawapendi mikopo.
    Huwa hawapendi mikopo na hawapendi watu wanaopenda mikopo pia.

    9. Hana cha kuongea na x wake.
    Kama hajazaa nae huwezi kumkuna ana muda na x wake, yakiisha yameisha kweli.

    10. Hawezi kuwa chawa.
    Huwezi kumkuta anatafuta ukaribu na mtu mwenye pesa au maarufu.

    11. Huwa hana cha kujadili na mwanamke msaliti.
    Huyu ni mtu ambaye ukimsaliti basi kwa asilimia kubwa hayo mahusiano yanavunjika.

    12. Hababaishwi na muonekano wa mwanamke au ufundi wake kitandani.
    Haijalishi wewe ni mrembo kiasi gani, haijalishi wewe ni fundi kitandani kwa kiasi gani, yeye ni mtu ambaye hababaishwi na vitu hivyo, kwa kifupi huwezi kumuendesha kwa uzuri wako.

    13. Haoni shida kuondoka.
    Iwe ni kazini wakimzingua ataacha hiyo kazi, iwe kwenye mahusiano ukimzingua ataondoka, kwa kifupi anapenda vitu vilivyonyooka, hataki longo longo.

    14. Hapendi mwanamke mwenye drama, mapicha picha mengi.
    Watu hawa huhitaji wanawake wanaojitambua na wasio na mambo mengi, yani hawataki mapicha picha kwenye mahusiano.

    15. Mwanamke ukikosea atakuwajibisha.
    Hawafumbii macho mambo, ukikosea atakuchana live kabisa bila kupepesa macho.

    16. Wanajiamini sana.
    Sababu ya kujiamini ni kwakuwa wanajua vitu vingi, wanajua kipi sahihi na kipi sio sahihi.

    17. Hawaoni shida kuwa wenyewe.
    Uwezo wao wa kuishi wenyewe bila kuhisi upweke ni mkubwa sana.

    18. Hapendi uonevu.
    Huweza kumsaidia hata mtu asiyemjua pale tu anapohisi mtu huyo anaonewa.

    19. Kwenye mahusiano sio watoaji sana ila atahakikisha anakupa mahitaji yako ya msingi.
    Huwa hawapendi kutoa toa hela bila mpangilio, na hii ni kutokana na mipango yao katika maisha, ila siku zote atajitahidi kukupa mahitaji yako muhimu.

    20. Huwa hawapo romantic.
    Hawa ni wanaume ambao wanalalamikiwa sana kwenye mahusiano, hawapo romantic ila ni wanaume bora sana, hasa kwenye kulea familia.

    21. Wana huruma sana.
    Muda pekee utakaojua wana huruma ni pale utakapokuwa na shida, kama ni mwanamke wake ni pale utakapokuwa unaumwa au unapitia jambo lolote gumu, hawa ni wanaume ambao wana uwezo wa kupika, kufua, kuogesha watoto, kulisha na kufanya kila kitu kuhakikisha wanakusaidia.

    22. Sio waongeaji sana.
    Moja ya sifa yao kuu ni ukimya, muda mwingi wanahitaji kuwa kimya wakifanya mambo yao, ukiwa mwanamke muongeaji sana muda mwingi atautumia kutabasamu unavyoongea na kukujibu kwa kifupi, na mara nyingi hunyamaza bila kujibu kama hiko ulichoongea atakiona hakina maana yoyote.

    23. Hana marafiki wengi.
    Tafiti zinaonyesha watu hawa huwa hawana marafiki wengi, wanachagua sana marafiki.

    24. Hupenda kukataza na kuonya mara nyingi.
    Kwa mwanamke ukiwa na mwanaume wa namna hii, jiandae kukutazwa na kupata maonyo kwa wingi, lakini jambo zuri kuhusu hilo huwa wanakukataza au kukuonya kwa jambo ambalo linaweza kukuletea shida. Mara nyingi ukifatilia vitu anavyokukutaza au kukuonya utagundua vitakuletea shida huko mbele.

    25. Anajua vitu vingi kukuhusu kuliko unavyodhani.
    Uwezo wao wa kukutafiti ni mkubwa mno, anajua mambo mengi kukuhusu ila hawezi kukwambia, na siku akikwambia utashangaa alijua lini? Na alijuaje?
    SIFA ZA WANAUME WENYE THAMANI KUBWA [ HIGH VALUE MEN ]. Kama mwanaume wako ana sifa zifuatazo basi jua una mwanaume mwenye thamani kubwa sana, na mwanaume mwenye thamani kubwa maana yake ni mwanaume bora. 1. Hazoeleki kiurahisi. Moja ya sifa za wanaume wenye thamani kubwa ni wao kutozoeleka kiurahisi, hadi kumzoea mtu wa aina hii ni lazima uwe na sababu maalumu. 2. Wana roho nzuri ila wana maamuzi magumu sana. Siku zote watu wa aina hii huwa na roho nzuri sana, huwa na huruma lakini wapo vizuri kufanya maamuzi mazito pale inapobidi. 3. Haishi maisha ya kuigiza. Siku zote huishi maisha yake halisi, haigizi maisha. 4. Anajua vitu vingi. Watu wa aina hii huwa na uelewa wa vitu vingi sana, ni ngumu kumuuliza kitu fulani akawa hakijui kabisa. 5. Anasimamia mipango yake bila kuyumbishwa. Akishaamua kufanya kitu huwa hayumbishwi tena, haijalishi anaambiwa na nani, kama anahisi ni muhimu kwake kukitekeleza basi atafanya kwa vyovyote vile. 6. Haoni shida kuanza upya. Ni watu wepesi sana kuamua kuanza upya, kama ni mahusiano yakilegalega ni rahisi tu kuachana nayo na kuanza upya, kwenye chochote kile kama hakiende sawa huamua kuanza upya. 7. Jasiri sana. Hawa huwa hawaogopi kitu, ni majasiri kwenye kila kitu, wanajiamini sana. 8. Hawapendi mikopo. Huwa hawapendi mikopo na hawapendi watu wanaopenda mikopo pia. 9. Hana cha kuongea na x wake. Kama hajazaa nae huwezi kumkuna ana muda na x wake, yakiisha yameisha kweli. 10. Hawezi kuwa chawa. Huwezi kumkuta anatafuta ukaribu na mtu mwenye pesa au maarufu. 11. Huwa hana cha kujadili na mwanamke msaliti. Huyu ni mtu ambaye ukimsaliti basi kwa asilimia kubwa hayo mahusiano yanavunjika. 12. Hababaishwi na muonekano wa mwanamke au ufundi wake kitandani. Haijalishi wewe ni mrembo kiasi gani, haijalishi wewe ni fundi kitandani kwa kiasi gani, yeye ni mtu ambaye hababaishwi na vitu hivyo, kwa kifupi huwezi kumuendesha kwa uzuri wako. 13. Haoni shida kuondoka. Iwe ni kazini wakimzingua ataacha hiyo kazi, iwe kwenye mahusiano ukimzingua ataondoka, kwa kifupi anapenda vitu vilivyonyooka, hataki longo longo. 14. Hapendi mwanamke mwenye drama, mapicha picha mengi. Watu hawa huhitaji wanawake wanaojitambua na wasio na mambo mengi, yani hawataki mapicha picha kwenye mahusiano. 15. Mwanamke ukikosea atakuwajibisha. Hawafumbii macho mambo, ukikosea atakuchana live kabisa bila kupepesa macho. 16. Wanajiamini sana. Sababu ya kujiamini ni kwakuwa wanajua vitu vingi, wanajua kipi sahihi na kipi sio sahihi. 17. Hawaoni shida kuwa wenyewe. Uwezo wao wa kuishi wenyewe bila kuhisi upweke ni mkubwa sana. 18. Hapendi uonevu. Huweza kumsaidia hata mtu asiyemjua pale tu anapohisi mtu huyo anaonewa. 19. Kwenye mahusiano sio watoaji sana ila atahakikisha anakupa mahitaji yako ya msingi. Huwa hawapendi kutoa toa hela bila mpangilio, na hii ni kutokana na mipango yao katika maisha, ila siku zote atajitahidi kukupa mahitaji yako muhimu. 20. Huwa hawapo romantic. Hawa ni wanaume ambao wanalalamikiwa sana kwenye mahusiano, hawapo romantic ila ni wanaume bora sana, hasa kwenye kulea familia. 21. Wana huruma sana. Muda pekee utakaojua wana huruma ni pale utakapokuwa na shida, kama ni mwanamke wake ni pale utakapokuwa unaumwa au unapitia jambo lolote gumu, hawa ni wanaume ambao wana uwezo wa kupika, kufua, kuogesha watoto, kulisha na kufanya kila kitu kuhakikisha wanakusaidia. 22. Sio waongeaji sana. Moja ya sifa yao kuu ni ukimya, muda mwingi wanahitaji kuwa kimya wakifanya mambo yao, ukiwa mwanamke muongeaji sana muda mwingi atautumia kutabasamu unavyoongea na kukujibu kwa kifupi, na mara nyingi hunyamaza bila kujibu kama hiko ulichoongea atakiona hakina maana yoyote. 23. Hana marafiki wengi. Tafiti zinaonyesha watu hawa huwa hawana marafiki wengi, wanachagua sana marafiki. 24. Hupenda kukataza na kuonya mara nyingi. Kwa mwanamke ukiwa na mwanaume wa namna hii, jiandae kukutazwa na kupata maonyo kwa wingi, lakini jambo zuri kuhusu hilo huwa wanakukataza au kukuonya kwa jambo ambalo linaweza kukuletea shida. Mara nyingi ukifatilia vitu anavyokukutaza au kukuonya utagundua vitakuletea shida huko mbele. 25. Anajua vitu vingi kukuhusu kuliko unavyodhani. Uwezo wao wa kukutafiti ni mkubwa mno, anajua mambo mengi kukuhusu ila hawezi kukwambia, na siku akikwambia utashangaa alijua lini? Na alijuaje?
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·855 Visualizações
  • NIVESHE IDD

    Alhamdulillah
    Jana tumetoa sadaka z iftar kwa wajane n walemavu

    ndugu Nawaomba
    Pia tuna watoto 10 yatima wanafunga Wallah tuwakumbuke TUVESHE HAWA WATOTO WETU 10
    KILA MTOTO NI 60,000 INAMTOSHA
    60,000×10=600,000

    Tumebakisha siku 15 tu kufikia idd naomba tuwaguse kwa kidogo na kikubwa

    0655987549
    TIGOPESA
    MOZA MOHAMED

    SADAKA ni ibada
    Alhamdulillah 🤲 Jana tumetoa sadaka z iftar kwa wajane n walemavu ndugu Nawaomba Pia tuna watoto 10 yatima wanafunga Wallah ❤️ tuwakumbuke TUVESHE HAWA WATOTO WETU 10 KILA MTOTO NI 60,000 INAMTOSHA 60,000×10=600,000 Tumebakisha siku 15 tu kufikia idd naomba tuwaguse kwa kidogo na kikubwa 0655987549 TIGOPESA MOZA MOHAMED SADAKA ni ibada
    Tsh0 Raised of Tsh600000
    0%
    Like
    Love
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·543 Visualizações ·0 Donations
  • MTU ALIYE MTUMWA WA MALI HAWEZI KUWA MWAMINIFU

    Mtu aliye mtumwa wa mali hawezi kuwa mwaminifu inamaanisha kwamba mtu anayekitwaa sana na kutafuta utajiri mara nyingi hupoteza uadilifu wake. Hii ni kwa sababu zifuatazo:

    1. Utajiri Unakuwa Kipaumbele; Ikiwa kupata mali ndilo jambo la kwanza maishani mwa mtu, anaweza kuwa tayari kukiuka maadili ili kufanikisha malengo yake ya kifedha. Uaminifu unakuwa si muhimu kwake.

    2. Jaribu la Kudanganya; Mtu anayetamani sana utajiri anaweza kutumia udanganyifu, hila, au hata kuwadhulumu wengine ili kupata faida za kifedha. Ukweli wake unakuwa chini ya tamaa ya mali.

    3. Hofu ya Kupoteza; Mtu aliye mtumwa wa mali anaweza kuwa na hofu ya kupoteza alichonacho, hivyo atakuwa tayari kutumia mbinu zisizo za haki ili kulinda utajiri wake.

    4. Uozo wa Maadili; Kadiri mtu anavyoweka pesa mbele ya maadili, ndivyo anavyopoteza mwelekeo wa uaminifu wake. Vitendo vidogo vya udanganyifu huweza kuwa tabia ya kawaida.

    5. Ukosefu wa Kuridhika; Uaminifu wa kweli unahitaji mtu awe na moyo wa kuridhika. Mtu anayefungwa na tamaa ya mali mara nyingi hajatosheka na anaweza kuhalalisha udanganyifu ili kupata zaidi.

    Kwa ujumla, utajiri si jambo baya, lakini kuwa mtumwa wake kunaweza kumfanya mtu asiwe mwaminifu. Ni muhimu kuwa na mizani kati ya kutafuta mafanikio na kushikamana na maadili mema.
    MTU ALIYE MTUMWA WA MALI HAWEZI KUWA MWAMINIFU Mtu aliye mtumwa wa mali hawezi kuwa mwaminifu inamaanisha kwamba mtu anayekitwaa sana na kutafuta utajiri mara nyingi hupoteza uadilifu wake. Hii ni kwa sababu zifuatazo: 1. Utajiri Unakuwa Kipaumbele; Ikiwa kupata mali ndilo jambo la kwanza maishani mwa mtu, anaweza kuwa tayari kukiuka maadili ili kufanikisha malengo yake ya kifedha. Uaminifu unakuwa si muhimu kwake. 2. Jaribu la Kudanganya; Mtu anayetamani sana utajiri anaweza kutumia udanganyifu, hila, au hata kuwadhulumu wengine ili kupata faida za kifedha. Ukweli wake unakuwa chini ya tamaa ya mali. 3. Hofu ya Kupoteza; Mtu aliye mtumwa wa mali anaweza kuwa na hofu ya kupoteza alichonacho, hivyo atakuwa tayari kutumia mbinu zisizo za haki ili kulinda utajiri wake. 4. Uozo wa Maadili; Kadiri mtu anavyoweka pesa mbele ya maadili, ndivyo anavyopoteza mwelekeo wa uaminifu wake. Vitendo vidogo vya udanganyifu huweza kuwa tabia ya kawaida. 5. Ukosefu wa Kuridhika; Uaminifu wa kweli unahitaji mtu awe na moyo wa kuridhika. Mtu anayefungwa na tamaa ya mali mara nyingi hajatosheka na anaweza kuhalalisha udanganyifu ili kupata zaidi. Kwa ujumla, utajiri si jambo baya, lakini kuwa mtumwa wake kunaweza kumfanya mtu asiwe mwaminifu. Ni muhimu kuwa na mizani kati ya kutafuta mafanikio na kushikamana na maadili mema.
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·369 Visualizações
  • MAISHA YANAKUWA RAHISI USIPOKERWA NA MAONI YAO ...

    Tunaishi katika ulimwengu ambamo watu wanahangaikia zaidi jinsi mambo yanavyoonekana badala ya jinsi yalivyo kiukweli. Ulimwengu ambamo mazishi ni makubwa kuliko maisha utayokuwa ukiishi, ambapo ndoa husherehekewa zaidi ya upendo unaopaswa kudumishwa, ambapo uzuri wa nje unaabudiwa huku roho ikipuuzwa. Tunaishi katika kizazi ambacho kinathamini ufungashaji juu ya maudhui, lakini jambo la kusikitisha zaidi ni hili: wengi wamenaswa katika udanganyifu huu, wakijitahidi kila mara kukidhi matarajio ya ulimwengu ambao hautatosheka. Ikiwa unataka kuishi kweli na kupata amani, acha kuwa na wasiwasi juu ya maoni ya watu. Kwa sababu ukweli ni kwamba, hata ufanye nini, mtu atakuwa na la kusema kila wakati. Ukifanikiwa, watasema ulikuwa na bahati. Ukishindwa watasema ulikuwa mjinga. Ukikaa kimya watasema wewe ni dhaifu. Ukiongea watasema unaongea sana. Sasa unaona jinsi inavyochosha kuishi kwa maoni ya watu? Umewahi kuona kuwa mtu akiwa hai hakuna mwenye muda naye ila anapofariki watu hukimbilia kuandaa mazishi ya fujo? Watatumia mamilioni kwenye kasha lakini hawakuweza kumpa chakula alipokuwa na njaa. Wataandika heshima ndefu, lakini hawakuwahi kumwambia "Nakupenda" alipokuwa hai. Kwa nini? Kwa sababu tunaishi katika ulimwengu unaothamini utendakazi kuliko uwepo, mwonekano juu ya uhalisi, na tambiko juu ya ukweli.

    Hii ndio sababu haupaswi kuishi kwa makofi. Usife ukijidhihirisha kwa watu ambao watalia kwenye mazishi yako lakini haujawahi kukujali maishani. Watu wale wale wanaokusifia leo watakukosoa kesho. Midomo hiyo hiyo inayopiga kelele "Hosana!" baadaye atapiga kelele "Msulubishe!" . Hata Yesu, Mwana wa Mungu, hakuepuka asili ya watu wenye nyuso mbili. Wewe ni nani basi hata ufikirie kuwa utafanya hivyo? Katika jamii yetu ya leo, watu huwekeza zaidi kwenye harusi kuliko kwenye ndoa yenyewe. Wenzi wa ndoa wanaweza kutumia mamilioni ya pesa kwenye arusi ili kuuvutia umati, lakini baada ya miezi michache ndoa hiyo inavunjika. Kwa nini? Kwa sababu tunatanguliza sherehe kuliko msingi. Wengi hawaoi kwa ajili ya mapenzi tena; wanaoa kwa hadhi, kwa kujionyesha, na kwa maoni ya jamii. Lakini harusi nzuri si sawa na ndoa yenye furaha. Sherehe ya kupendeza haihakikishii nyumba yenye amani. Tunaishi katika nyakati ambapo uzuri ni sarafu, ambapo kuonekana kwa nje huamua hali ya kijamii. Lakini ni nini thamani ya uso mzuri na roho tupu? Je, ni thamani gani ya kuvutia kimwili wakati hakuna kina cha tabia? Katika ulimwengu wetu wa leo, watu hutumia pesa nyingi kutazama sura lakini wanasahau kulisha roho zao. Wanaongeza miili yao lakini wanapuuza tabia zao. Wanachuja picha zao lakini wanaacha mioyo yao bila kuchujwa.

    Usidanganywe. Uzuri hupotea, lakini tabia inabaki. Sura inaweza kuvutia watu kwako, lakini maadili yako pekee ndiyo yatawahifadhi. Watu wanaweza kustaajabia uso wako, lakini ni kina cha nafsi yako ambacho hakika kitaathiri maisha. Kwa hiyo, wekeza kwenye kile kinachodumu. Kuza akili yako. Imarisha imani yako. Jenga uadilifu wako. Acha kufukuza uthibitisho kutoka kwa watu ambao wenyewe wamevunjika na kuchanganyikiwa. Hukuumbwa ili ufanane na matarajio ya wanadamu; uliumbwa ili kutimiza kusudi la kimungu.

    Mikopo;
    @Fr. Albert Nwosu'
    MAISHA YANAKUWA RAHISI USIPOKERWA NA MAONI YAO ... Tunaishi katika ulimwengu ambamo watu wanahangaikia zaidi jinsi mambo yanavyoonekana badala ya jinsi yalivyo kiukweli. Ulimwengu ambamo mazishi ni makubwa kuliko maisha utayokuwa ukiishi, ambapo ndoa husherehekewa zaidi ya upendo unaopaswa kudumishwa, ambapo uzuri wa nje unaabudiwa huku roho ikipuuzwa. Tunaishi katika kizazi ambacho kinathamini ufungashaji juu ya maudhui, lakini jambo la kusikitisha zaidi ni hili: wengi wamenaswa katika udanganyifu huu, wakijitahidi kila mara kukidhi matarajio ya ulimwengu ambao hautatosheka. Ikiwa unataka kuishi kweli na kupata amani, acha kuwa na wasiwasi juu ya maoni ya watu. Kwa sababu ukweli ni kwamba, hata ufanye nini, mtu atakuwa na la kusema kila wakati. Ukifanikiwa, watasema ulikuwa na bahati. Ukishindwa watasema ulikuwa mjinga. Ukikaa kimya watasema wewe ni dhaifu. Ukiongea watasema unaongea sana. Sasa unaona jinsi inavyochosha kuishi kwa maoni ya watu? Umewahi kuona kuwa mtu akiwa hai hakuna mwenye muda naye ila anapofariki watu hukimbilia kuandaa mazishi ya fujo? Watatumia mamilioni kwenye kasha lakini hawakuweza kumpa chakula alipokuwa na njaa. Wataandika heshima ndefu, lakini hawakuwahi kumwambia "Nakupenda" alipokuwa hai. Kwa nini? Kwa sababu tunaishi katika ulimwengu unaothamini utendakazi kuliko uwepo, mwonekano juu ya uhalisi, na tambiko juu ya ukweli. Hii ndio sababu haupaswi kuishi kwa makofi. Usife ukijidhihirisha kwa watu ambao watalia kwenye mazishi yako lakini haujawahi kukujali maishani. Watu wale wale wanaokusifia leo watakukosoa kesho. Midomo hiyo hiyo inayopiga kelele "Hosana!" baadaye atapiga kelele "Msulubishe!" . Hata Yesu, Mwana wa Mungu, hakuepuka asili ya watu wenye nyuso mbili. Wewe ni nani basi hata ufikirie kuwa utafanya hivyo? Katika jamii yetu ya leo, watu huwekeza zaidi kwenye harusi kuliko kwenye ndoa yenyewe. Wenzi wa ndoa wanaweza kutumia mamilioni ya pesa kwenye arusi ili kuuvutia umati, lakini baada ya miezi michache ndoa hiyo inavunjika. Kwa nini? Kwa sababu tunatanguliza sherehe kuliko msingi. Wengi hawaoi kwa ajili ya mapenzi tena; wanaoa kwa hadhi, kwa kujionyesha, na kwa maoni ya jamii. Lakini harusi nzuri si sawa na ndoa yenye furaha. Sherehe ya kupendeza haihakikishii nyumba yenye amani. Tunaishi katika nyakati ambapo uzuri ni sarafu, ambapo kuonekana kwa nje huamua hali ya kijamii. Lakini ni nini thamani ya uso mzuri na roho tupu? Je, ni thamani gani ya kuvutia kimwili wakati hakuna kina cha tabia? Katika ulimwengu wetu wa leo, watu hutumia pesa nyingi kutazama sura lakini wanasahau kulisha roho zao. Wanaongeza miili yao lakini wanapuuza tabia zao. Wanachuja picha zao lakini wanaacha mioyo yao bila kuchujwa. Usidanganywe. Uzuri hupotea, lakini tabia inabaki. Sura inaweza kuvutia watu kwako, lakini maadili yako pekee ndiyo yatawahifadhi. Watu wanaweza kustaajabia uso wako, lakini ni kina cha nafsi yako ambacho hakika kitaathiri maisha. Kwa hiyo, wekeza kwenye kile kinachodumu. Kuza akili yako. Imarisha imani yako. Jenga uadilifu wako. Acha kufukuza uthibitisho kutoka kwa watu ambao wenyewe wamevunjika na kuchanganyikiwa. Hukuumbwa ili ufanane na matarajio ya wanadamu; uliumbwa ili kutimiza kusudi la kimungu. Mikopo; @Fr. Albert Nwosu'
    Love
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·926 Visualizações
  • * NAFASI YA AJABU!*

    *TubePesa* - Jukwaa jipya kwa *YouTube*
    *Pata Pesa kwa Kutazama Video!*
    • Pata TSh20,625 bonasi ya kukaribishwa
    • Tazama video kila siku = Pata pesa kila siku
    • Malipo ya papo hapo
    *Jiunge SASA!*
    https://mpesawatch.site/ref/yaredsimonkayir?s=wa&ch=undefined
    Jukwaa rasmi la Youtube
    Salama & Inayoaminika
    *🔥 NAFASI YA AJABU!* *TubePesa* - Jukwaa jipya kwa *YouTube* 🎯 *Pata Pesa kwa Kutazama Video!* 🎥 • Pata TSh20,625 bonasi ya kukaribishwa • Tazama video kila siku = Pata pesa kila siku 💰 • Malipo ya papo hapo ⚡ *Jiunge SASA!* ⬇️ https://mpesawatch.site/ref/yaredsimonkayir?s=wa&ch=undefined ✅ Jukwaa rasmi la Youtube 🔒 Salama & Inayoaminika
    Love
    1
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·442 Visualizações
  • * NAFASI YA AJABU!*

    *TubePesa* - Jukwaa jipya kwa *YouTube*
    *Pata Pesa kwa Kutazama Video!*
    • Pata TSh20,625 bonasi ya kukaribishwa
    • Tazama video kila siku = Pata pesa kila siku
    • Malipo ya papo hapo
    *Jiunge SASA!*
    https://mpesawatch.site/ref/yaredsimonkayir?s=wa&ch=undefined
    Jukwaa rasmi la Youtube
    Salama & Inayoaminika
    *🔥 NAFASI YA AJABU!* *TubePesa* - Jukwaa jipya kwa *YouTube* 🎯 *Pata Pesa kwa Kutazama Video!* 🎥 • Pata TSh20,625 bonasi ya kukaribishwa • Tazama video kila siku = Pata pesa kila siku 💰 • Malipo ya papo hapo ⚡ *Jiunge SASA!* ⬇️ https://mpesawatch.site/ref/yaredsimonkayir?s=wa&ch=undefined ✅ Jukwaa rasmi la Youtube 🔒 Salama & Inayoaminika
    PayTube - Earn Money Online
    mpesawatch.site
    Join PayTube and start earning money today! Sign up now to access our market research network and earn up to $20 per day. Get a $8 sign-up bonus!
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·424 Visualizações
  • KWANINI WANAWAKE WAZURI HUOLEWA NA WANAUME WASIO SAHIHI.

    1) KUKATA TAMAA

    "Umri unaenda, bora tu niwe na mume"
    "Yeyote atakayekuja, nitaolewa, nitajikakamua, bora tu niingie kwenye ndoa"

    Kutoka kwenye ndoa, wanaingia kwenye madhara, na baada ya muda tunaanza kusikia hadithi zinazogusa koo za Kasongo mbona Wewooo, Mobali na Ngai. Mbona Wewoooo.

    Pale Kukata Tamaa kunapoingia ndani, Ufunuo hutoka nje.

    ---

    2) MUONEKANO/FANTASIA

    Unadhani maisha halisi ni kama Instagram na Pinterest au Tiktok?

    Pale Binti anapotaka kuolewa na Mwanaume kwa sababu tu ni mzuri kwa sura na anavaa vizuri (ili wapige picha za couple za kuwasha mitandao) bila kuchunguza tabia zake zaidi ya muonekano.

    "Mwanaume nitakayemuoa lazima afanane na crush wangu wa Kikorea"

    Lee Min-ho.

    Sasa umeolewa na Lee Min-ho wako, Furaha na Amani ya moyo zimekimbia.

    Sasa uko ofisini kwa washauri wa ndoa ukilia.

    Dada yangu,

    Niachie basi.

    Uliolewa na Mwanaume mzuri kwa sura bila tabia njema ili utupake pilipili mitandaoni.

    Sasa huyo Mwanaume mzuri anakupaka pilipili nje ya mtandao.

    Ukatupaka pilipili Singles na walio kwenye ndoa mtandaoni, ukarudi nyumbani ukapakwa pilipili wewe binafsi.

    Dhibiti pilipili yako, nasi tutaendelea kudhibiti zetu.

    Huwa nasema utajikoroboa sana sura iwe kama tui la nazi Ila wapi, Chubua akili sio ngozi au Sura. Sura hata mbuzi au kitimoto anayo

    ---

    3) KWA AJILI YA PESA NA UMAARUFU

    Wanapokuacha baada ya miaka mingi, wewe na mashabiki wako mnasema "Wanaume wote ni wabaya".

    Kumbuka: Maamuzi daima yana matokeo.

    ---

    4) KWA AJILI YA KUPENDEKEZA FAMILIA

    Ili tu Mama na Baba wafurahi, wengi wanaingia kwenye mahusiano na ndoa zisizo na maisha, ili kulipa bili za familia (bili ambazo hukuzitengeneza, umaskini ambao si kosa lako) unataka kuolewa na mwanaume mbaya waziwazi.

    Dada yangu, usiogope Mama asikasirike, atajitahidi kuvumilia huzuni kidogo.

    Ukifa kesho, hiyo familia unayooa ili uwasaidie itasonga mbele.

    ---

    Dada yangu,

    Kwa ajili ya kesho yako,

    OLEWA KWA AJILI YA AMANI YAKO.
    OLEWA VIZURI.

    Nimehitimisha hoja yangu.

    Arnold Kisanga || +255719545472
    Kilimanjaro, Tanzania.
    KWANINI WANAWAKE WAZURI HUOLEWA NA WANAUME WASIO SAHIHI.

    1) KUKATA TAMAA

    "Umri unaenda, bora tu niwe na mume"
    "Yeyote atakayekuja, nitaolewa, nitajikakamua, bora tu niingie kwenye ndoa"

    Kutoka kwenye ndoa, wanaingia kwenye madhara, na baada ya muda tunaanza kusikia hadithi zinazogusa koo za Kasongo mbona Wewooo, Mobali na Ngai. Mbona Wewoooo.

    Pale Kukata Tamaa kunapoingia ndani, Ufunuo hutoka nje.

    ---

    2) MUONEKANO/FANTASIA

    Unadhani maisha halisi ni kama Instagram na Pinterest au Tiktok?

    Pale Binti anapotaka kuolewa na Mwanaume kwa sababu tu ni mzuri kwa sura na anavaa vizuri (ili wapige picha za couple za kuwasha mitandao) bila kuchunguza tabia zake zaidi ya muonekano.

    "Mwanaume nitakayemuoa lazima afanane na crush wangu wa Kikorea"

    Lee Min-ho.

    Sasa umeolewa na Lee Min-ho wako, Furaha na Amani ya moyo zimekimbia.

    Sasa uko ofisini kwa washauri wa ndoa ukilia.

    Dada yangu,

    Niachie basi.

    Uliolewa na Mwanaume mzuri kwa sura bila tabia njema ili utupake pilipili mitandaoni.

    Sasa huyo Mwanaume mzuri anakupaka pilipili nje ya mtandao.

    Ukatupaka pilipili Singles na walio kwenye ndoa mtandaoni, ukarudi nyumbani ukapakwa pilipili wewe binafsi.

    Dhibiti pilipili yako, nasi tutaendelea kudhibiti zetu.

    Huwa nasema utajikoroboa sana sura iwe kama tui la nazi Ila wapi, Chubua akili sio ngozi au Sura. Sura hata mbuzi au kitimoto anayo

    ---

    3) KWA AJILI YA PESA NA UMAARUFU

    Wanapokuacha baada ya miaka mingi, wewe na mashabiki wako mnasema "Wanaume wote ni wabaya".

    Kumbuka: Maamuzi daima yana matokeo.

    ---

    4) KWA AJILI YA KUPENDEKEZA FAMILIA

    Ili tu Mama na Baba wafurahi, wengi wanaingia kwenye mahusiano na ndoa zisizo na maisha, ili kulipa bili za familia (bili ambazo hukuzitengeneza, umaskini ambao si kosa lako) unataka kuolewa na mwanaume mbaya waziwazi.

    Dada yangu, usiogope Mama asikasirike, atajitahidi kuvumilia huzuni kidogo.

    Ukifa kesho, hiyo familia unayooa ili uwasaidie itasonga mbele.

    ---

    Dada yangu,

    Kwa ajili ya kesho yako,

    OLEWA KWA AJILI YA AMANI YAKO.
    OLEWA VIZURI.

    Nimehitimisha hoja yangu.

    Credit
    Arnold Kisanga
    KWANINI WANAWAKE WAZURI HUOLEWA NA WANAUME WASIO SAHIHI. 1) KUKATA TAMAA "Umri unaenda, bora tu niwe na mume" "Yeyote atakayekuja, nitaolewa, nitajikakamua, bora tu niingie kwenye ndoa" Kutoka kwenye ndoa, wanaingia kwenye madhara, na baada ya muda tunaanza kusikia hadithi zinazogusa koo za Kasongo mbona Wewooo, Mobali na Ngai. Mbona Wewoooo. Pale Kukata Tamaa kunapoingia ndani, Ufunuo hutoka nje. --- 2) MUONEKANO/FANTASIA Unadhani maisha halisi ni kama Instagram na Pinterest au Tiktok? Pale Binti anapotaka kuolewa na Mwanaume kwa sababu tu ni mzuri kwa sura na anavaa vizuri (ili wapige picha za couple za kuwasha mitandao) bila kuchunguza tabia zake zaidi ya muonekano. "Mwanaume nitakayemuoa lazima afanane na crush wangu wa Kikorea" Lee Min-ho. Sasa umeolewa na Lee Min-ho wako, Furaha na Amani ya moyo zimekimbia. Sasa uko ofisini kwa washauri wa ndoa ukilia. Dada yangu, Niachie basi. Uliolewa na Mwanaume mzuri kwa sura bila tabia njema ili utupake pilipili mitandaoni. Sasa huyo Mwanaume mzuri anakupaka pilipili nje ya mtandao. Ukatupaka pilipili Singles na walio kwenye ndoa mtandaoni, ukarudi nyumbani ukapakwa pilipili wewe binafsi. Dhibiti pilipili yako, nasi tutaendelea kudhibiti zetu. Huwa nasema utajikoroboa sana sura iwe kama tui la nazi Ila wapi, Chubua akili sio ngozi au Sura. Sura hata mbuzi au kitimoto anayo --- 3) KWA AJILI YA PESA NA UMAARUFU Wanapokuacha baada ya miaka mingi, wewe na mashabiki wako mnasema "Wanaume wote ni wabaya". Kumbuka: Maamuzi daima yana matokeo. --- 4) KWA AJILI YA KUPENDEKEZA FAMILIA Ili tu Mama na Baba wafurahi, wengi wanaingia kwenye mahusiano na ndoa zisizo na maisha, ili kulipa bili za familia (bili ambazo hukuzitengeneza, umaskini ambao si kosa lako) unataka kuolewa na mwanaume mbaya waziwazi. Dada yangu, usiogope Mama asikasirike, atajitahidi kuvumilia huzuni kidogo. Ukifa kesho, hiyo familia unayooa ili uwasaidie itasonga mbele. --- Dada yangu, Kwa ajili ya kesho yako, OLEWA KWA AJILI YA AMANI YAKO. OLEWA VIZURI. Nimehitimisha hoja yangu. Arnold Kisanga || +255719545472 Kilimanjaro, Tanzania. KWANINI WANAWAKE WAZURI HUOLEWA NA WANAUME WASIO SAHIHI. 1) KUKATA TAMAA "Umri unaenda, bora tu niwe na mume" "Yeyote atakayekuja, nitaolewa, nitajikakamua, bora tu niingie kwenye ndoa" Kutoka kwenye ndoa, wanaingia kwenye madhara, na baada ya muda tunaanza kusikia hadithi zinazogusa koo za Kasongo mbona Wewooo, Mobali na Ngai. Mbona Wewoooo. Pale Kukata Tamaa kunapoingia ndani, Ufunuo hutoka nje. --- 2) MUONEKANO/FANTASIA Unadhani maisha halisi ni kama Instagram na Pinterest au Tiktok? Pale Binti anapotaka kuolewa na Mwanaume kwa sababu tu ni mzuri kwa sura na anavaa vizuri (ili wapige picha za couple za kuwasha mitandao) bila kuchunguza tabia zake zaidi ya muonekano. "Mwanaume nitakayemuoa lazima afanane na crush wangu wa Kikorea" Lee Min-ho. Sasa umeolewa na Lee Min-ho wako, Furaha na Amani ya moyo zimekimbia. Sasa uko ofisini kwa washauri wa ndoa ukilia. Dada yangu, Niachie basi. Uliolewa na Mwanaume mzuri kwa sura bila tabia njema ili utupake pilipili mitandaoni. Sasa huyo Mwanaume mzuri anakupaka pilipili nje ya mtandao. Ukatupaka pilipili Singles na walio kwenye ndoa mtandaoni, ukarudi nyumbani ukapakwa pilipili wewe binafsi. Dhibiti pilipili yako, nasi tutaendelea kudhibiti zetu. Huwa nasema utajikoroboa sana sura iwe kama tui la nazi Ila wapi, Chubua akili sio ngozi au Sura. Sura hata mbuzi au kitimoto anayo --- 3) KWA AJILI YA PESA NA UMAARUFU Wanapokuacha baada ya miaka mingi, wewe na mashabiki wako mnasema "Wanaume wote ni wabaya". Kumbuka: Maamuzi daima yana matokeo. --- 4) KWA AJILI YA KUPENDEKEZA FAMILIA Ili tu Mama na Baba wafurahi, wengi wanaingia kwenye mahusiano na ndoa zisizo na maisha, ili kulipa bili za familia (bili ambazo hukuzitengeneza, umaskini ambao si kosa lako) unataka kuolewa na mwanaume mbaya waziwazi. Dada yangu, usiogope Mama asikasirike, atajitahidi kuvumilia huzuni kidogo. Ukifa kesho, hiyo familia unayooa ili uwasaidie itasonga mbele. --- Dada yangu, Kwa ajili ya kesho yako, OLEWA KWA AJILI YA AMANI YAKO. OLEWA VIZURI. Nimehitimisha hoja yangu. Credit Arnold Kisanga
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·967 Visualizações
  • Mpenzi wa zamani wa Israel Adesanya ambaye ni Msanii wa Sanaa za mapigano kutoka Nchini New Zealand mwenye asili ya Nigeria , Charlotte Powdrell amepigwa na butwaa kisha kulia machozi baada ya kumlipa "X" wake Israel dola laki tano (500.000) ambazo ni takribani Shilingi Bilioni 1.3 kwa kumpeleka Mahakamani baada ya kuachana kwao.

    Charlotte na lsreal hawakuwahi kuoana wala kuwa na Watoto, lakini walipoachana, Charlotte alimpeleka mahakamani akidai alistahili nusu ya mali ya Israel kwa sababu ya muda waliokaa kwenye uhusiano, akidai kwamba alistahili kuolewa naye. Makadirio ya utajiri wa Adesanya ulikadiriwa kuwa dola milioni 15 ambazo ni zaidi Shilingi Bilioni 39 .1 hivyo Charlotte alidai kwamba pesa hizo walipaswa kugawana baada ya kuachana.

    Mahakama baada ya kufuatilia na kuchunguza kesi hiyo kwa zaidi ya mwaka mmoja toka mwaka 2023, Mahakama hiyo hatimaye ilipitisha uamuzi kwamba apewe nusu ya utajiri wa lsreal Adesanya, lakini ikagundulika kuwa thamani ya Isreal Adesanya ni sifuri yaani hana chochote anachomiliki wala hajawahi kumiliki akaunti ya benki maisha yake yote.

    Na kwa kuwa Charlotte ana thamani ya dola milioni moja na tajiri zaidi kuliko aliyekuwa Mpenzi wake Adesanya, pesa zake mwenyewe zilipaswa kugawanywa kati yao kwa usawa na kumuacha Israeli na kiasi cha dola laki tano (500.000). Inaripotiwa kuwa pesa zote za Israel Adesanya ambazo ni zaidi dola milioni 15 zinasimamiwa na Mama yake Mzazi, Taiwo na amekuwa akisimamia fedha zake tangu mwanzo wa kazi yake.
    Mpenzi wa zamani wa Israel Adesanya ambaye ni Msanii wa Sanaa za mapigano kutoka Nchini New Zealand 🇳🇿 mwenye asili ya Nigeria 🇳🇬, Charlotte Powdrell amepigwa na butwaa kisha kulia machozi baada ya kumlipa "X" wake Israel dola laki tano (500.000) ambazo ni takribani Shilingi Bilioni 1.3 kwa kumpeleka Mahakamani baada ya kuachana kwao. Charlotte na lsreal hawakuwahi kuoana wala kuwa na Watoto, lakini walipoachana, Charlotte alimpeleka mahakamani akidai alistahili nusu ya mali ya Israel kwa sababu ya muda waliokaa kwenye uhusiano, akidai kwamba alistahili kuolewa naye. Makadirio ya utajiri wa Adesanya ulikadiriwa kuwa dola milioni 15 ambazo ni zaidi Shilingi Bilioni 39 .1 hivyo Charlotte alidai kwamba pesa hizo walipaswa kugawana baada ya kuachana. Mahakama baada ya kufuatilia na kuchunguza kesi hiyo kwa zaidi ya mwaka mmoja toka mwaka 2023, Mahakama hiyo hatimaye ilipitisha uamuzi kwamba apewe nusu ya utajiri wa lsreal Adesanya, lakini ikagundulika kuwa thamani ya Isreal Adesanya ni sifuri yaani hana chochote anachomiliki wala hajawahi kumiliki akaunti ya benki maisha yake yote. Na kwa kuwa Charlotte ana thamani ya dola milioni moja na tajiri zaidi kuliko aliyekuwa Mpenzi wake Adesanya, pesa zake mwenyewe zilipaswa kugawanywa kati yao kwa usawa na kumuacha Israeli na kiasi cha dola laki tano (500.000). Inaripotiwa kuwa pesa zote za Israel Adesanya ambazo ni zaidi dola milioni 15 zinasimamiwa na Mama yake Mzazi, Taiwo na amekuwa akisimamia fedha zake tangu mwanzo wa kazi yake.
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·479 Visualizações
  • Alhamdulillah MASHALLAH

    napokea iftari kwa AJILI ya ndugu ndugu zetu mayatima wajane mafakir


    Tunaomba swadaka ya kufturisha ndugu waislam wenzetu katika funga hii
    Swadaka ni tiba swadaka ni ibada kubwa zaidi
    ibada

    SUKARI KG 100
    TAMBI
    MCHELE KG 200
    NGANO KG 100

    CHANGIA SADAKA KIDOGO KWA PALE ULIPO BARIKIWA ALLAH ATAKULIPA

    0655987549
    TIGOPESA
    MOZA MOHAMED

    SWADAKA NDIO IBADA KUBWA ZAIDI
    Alhamdulillah MASHALLAH 🤲 napokea iftari kwa AJILI ya ndugu ndugu zetu mayatima wajane mafakir Tunaomba swadaka ya kufturisha ndugu waislam wenzetu katika funga hii Swadaka ni tiba swadaka ni ibada kubwa zaidi ibada SUKARI KG 100 TAMBI MCHELE KG 200 NGANO KG 100 CHANGIA SADAKA KIDOGO KWA PALE ULIPO BARIKIWA ALLAH ATAKULIPA 0655987549 TIGOPESA MOZA MOHAMED SWADAKA NDIO IBADA KUBWA ZAIDI
    Love
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·602 Visualizações
Páginas Impulsionadas