• VITU VINAVYO VUTA UTAJIRI SEHEMU YA PILI.

    #isaya 1:19
    Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi

    Kutokea kwenye andiko hili tunapata kanuni ya pili ambayo ikifuatwa inavuta utajiri .


    Kanuni hiyo ni UTII

    Maandiko yanasema ili mema ya nchi ya kufuate ni lazima *ukubali na kutiii*

    Utii ni kanuni katika ulimwengu wa roho ambayo mtu akiifuata lazima itampa matokeo tu.

    Kama unamcha Mungu na utaki kumtii Mungu bsi pia kanuni inakukataa .

    Uzuri wa kanuni hizi ni kuwa hata kama mtu asali lakini amezifuata zitampa matokeo tu ,serikari inapenda watu watii matajiri wanafanya biashara na kuwaaamini na kubebana na watu watii.

    Kuna kundi kubwa sana umaskini kwao siyo pepo bali ni kwa sababu wamekataa kutii tu na dunia ya mafanikio imewatapika kabisa.

    #Mungu alipo wavusha wana islaeri aliwapa kanuni ambazo kama wakifuata na kuzitii ndipo baraka zitatufuata na kama wakitoka nje laana zitawafuata.

    Kanuni ni lazima izingatiwe ikifuatwa inakupa baraka usipo ifuata inakupa laana .

    #Torati 28:1-14

    Kumbukumbu la Torati 28:1-2
    [1]Itakuwa utakaposikia sauti ya BWANA, Mungu wako, kwa bidii, kutunza kuyafanya maagizo yake yote nikuagizayo leo, ndipo BWANA, Mungu wako, atakapokutukuza juu ya mataifa yote ya duniani;

    [2]na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti ya BWANA, Mungu wako.

    Baraka zinawafuata watu watii peke yake nje ya hapo baraka haziwezi kukufuata na matokeo yake utapata laana .

    Abrahamu sababu ya kutiii alistawi sana ,aliambiwa atoke kwenye nchi aliyo zaliwa aende nje ya kwao na sababu alitii mpaka leo anaitwa baba wa mataifa na baba wa imani.

    #Mwanzo 12:1-2
    [1]BWANA akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha;

    [2]nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka;

    Napenda kuiutia moyo kuwa utiii ni kanuni na inapaswa kuwa tabia yako .

    Katika maisha ya kawaida mwanamke mwenye matokeo katika nyumba yake ni yule anaye kubali kuongozwana mume wake yaani anaye mtii mume wake .

    Ukishindwa kumtii mume wako umeshindwa kumtii Mungu uwezi pia kuvuta utajiri .

    Niwatakie jion njema na baraka tele .

    Kwa majina naitwa mwl sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry).

    Karibu katika group letu la watsap .
    Tuma neno Add kwa namba .0622625340

    #restore men position
    #build new eden
    VITU VINAVYO VUTA UTAJIRI SEHEMU YA PILI. #isaya 1:19 Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi Kutokea kwenye andiko hili tunapata kanuni ya pili ambayo ikifuatwa inavuta utajiri . ▪️Kanuni hiyo ni UTII Maandiko yanasema ili mema ya nchi ya kufuate ni lazima *ukubali na kutiii* Utii ni kanuni katika ulimwengu wa roho ambayo mtu akiifuata lazima itampa matokeo tu. Kama unamcha Mungu na utaki kumtii Mungu bsi pia kanuni inakukataa . Uzuri wa kanuni hizi ni kuwa hata kama mtu asali lakini amezifuata zitampa matokeo tu ,serikari inapenda watu watii matajiri wanafanya biashara na kuwaaamini na kubebana na watu watii. Kuna kundi kubwa sana umaskini kwao siyo pepo bali ni kwa sababu wamekataa kutii tu na dunia ya mafanikio imewatapika kabisa. #Mungu alipo wavusha wana islaeri aliwapa kanuni ambazo kama wakifuata na kuzitii ndipo baraka zitatufuata na kama wakitoka nje laana zitawafuata. Kanuni ni lazima izingatiwe ikifuatwa inakupa baraka usipo ifuata inakupa laana . #Torati 28:1-14 Kumbukumbu la Torati 28:1-2 [1]Itakuwa utakaposikia sauti ya BWANA, Mungu wako, kwa bidii, kutunza kuyafanya maagizo yake yote nikuagizayo leo, ndipo BWANA, Mungu wako, atakapokutukuza juu ya mataifa yote ya duniani; [2]na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti ya BWANA, Mungu wako. Baraka zinawafuata watu watii peke yake nje ya hapo baraka haziwezi kukufuata na matokeo yake utapata laana . Abrahamu sababu ya kutiii alistawi sana ,aliambiwa atoke kwenye nchi aliyo zaliwa aende nje ya kwao na sababu alitii mpaka leo anaitwa baba wa mataifa na baba wa imani. #Mwanzo 12:1-2 [1]BWANA akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha; [2]nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka; Napenda kuiutia moyo kuwa utiii ni kanuni na inapaswa kuwa tabia yako . Katika maisha ya kawaida mwanamke mwenye matokeo katika nyumba yake ni yule anaye kubali kuongozwana mume wake yaani anaye mtii mume wake . Ukishindwa kumtii mume wako umeshindwa kumtii Mungu uwezi pia kuvuta utajiri . Niwatakie jion njema na baraka tele . Kwa majina naitwa mwl sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry). Karibu katika group letu la watsap . Tuma neno Add kwa namba .0622625340 #restore men position #build new eden
    0 Комментарии ·0 Поделились ·197 Просмотры
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Beşiktaş imefikia makubaliano na AS Roma kumuhitaji Tammy Abraham.....

    Ada ya uhamisho €20m.

    (Source: @FabrizioRomano)

    #SportsElite
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Beşiktaş imefikia makubaliano na AS Roma kumuhitaji Tammy Abraham..... Ada ya uhamisho €20m. (Source: @FabrizioRomano) #SportsElite
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·75 Просмотры
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Leeds United iko mbioni kuinasa saini ya golikipa Sebastiaan Bornauw (26) kutoka Wolfsburg! Kwa Ada €6m
    reports @GrahamSmyth. ⚪️

    #SportsElite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: 🇧🇪 Leeds United iko mbioni kuinasa saini ya golikipa Sebastiaan Bornauw (26) kutoka Wolfsburg! Kwa Ada €6m reports @GrahamSmyth. ⚪️✨ #SportsElite
    Haha
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·63 Просмотры
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Golikipa wa Real Madrid Thibaut Courtois’ anatarajiwa kuongeza kandarasi ndani ya kiokosi hicho na Thibaut Courtois pia ameongeza kwa kusema "nahitaji kubaki Real Madrid ikiwezekana itakuwa furaha yangu kustaafu nikiwa humo

    #sportselite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Golikipa wa Real Madrid Thibaut Courtois’ anatarajiwa kuongeza kandarasi ndani ya kiokosi hicho na Thibaut Courtois pia ameongeza kwa kusema "nahitaji kubaki Real Madrid ikiwezekana itakuwa furaha yangu kustaafu nikiwa humo🤍✨ #sportselite
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·136 Просмотры
  • Nguvu inayo badilisha mtu .

    Warumi 12:2
    [2]*Wala msiifuatishe namna ya dunia hii;
    *bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu*

    Kama ukiwachukua watu wasili wanao waza sawa tunategemea matokeo yatakuwa sawa.

    Iko nguvu inaitwa neno la Mungu inayo weza badilisha mtu kama tu mtu akijua jinsi Mungu anavyo taka aenende .

    Kiwango chako cha kumjua Mungu katika neno lazima kiendane na matokeo kwani chochote apandacho mtu ndicho atakacho vuna.

    Wagalatia 6:7
    [7]Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna.


    faida za kulijua neno kama nguvu inayo badilisha mtu .

    1.INATUHAKIKISHIA KUFNIKIWA.

    Mungu amehakikisha kila anaye mjua sawa sawa na neno anampa nguvu ya kufanikiwa.

    Zaburi 1:1-2
    [1]Heri mtu yule asiyekwenda
    Katika shauri la wasio haki;
    Wala hakusimama katika njia ya wakosaji;
    Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.

    [2]Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo,
    Na sheria yake huitafakari mchana na usiku.

    Lazma uamue kuishi maisha yasiyo na mizaa kabisa na dhambi kwa kulifuata neno kama mwongozo wako hapo ndipo utampendeza Mungu na Mungu atajihakikishia kukuwazia mema na mafanikio.

    Isaya 55:8-9
    [8] *Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema BWANA.*
    .
    [9]Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.

    Mawazo ya mungu ni kuona ndoa yako inafanikiwa toka ujana wako mpaka uzee.

    Mawazo ya Mungu nikuona biashara yako inashine kuliko jana .

    Mawazo ya Mungu ni kukuona ukiishi maisha ya mafanikio na furaha siku zote za maisha yako .

    Yeremia 29:11
    [11] *Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.*

    Tatizo lako ni moja umeichukulia mzaa dhambi na kufanya mawazo ya Mungu kwako yasitimie .

    Acha dhambi acha mzaa na zinaa kutoka kusema hii ndo zambi yetu vijana anza kuichukia totally maisha yako yatabadilika totally na Mungu atakuhakikishia mafanikio siku zote.

    Mafanikio ni hakika na kweli kabisa kwa mtu anaye kaa na neno, mtu ambaye katika kila jambo anajibu na kulitazama neno linasema nini lazima apokee mafanikio makubwa zaidi.

    2.inatusaidia kutoka katika mawazo na fikra hasi

    Mtu hawezi kufanikiwa zaidi ya vile anavyo amini .

    Mtu awezi kupokea uponyaji zaidi ya vile anavyo hitaji.

    Kiwango cha mafanikio yako kinaamuliwa na kiwango cha imani yako .

    Marko 9:23
    [23]Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye.

    Ukiweza kuwekeza katika neno neno litakupa matokeo ya mwilini kwani neno litakusaidia kujua jinsi gani watu walio tembea na mungu walifanikiwa .

    Utaacha kuona haiwezekani kila jambo utaanza kuona inawezekana kila jambo kwani utajua yeye anasemaji.

    Wafilolipi 4:13
    *Naweza kuyafanya mambo yote katika yeye anitiaye nguvu*

    Ko ni neno litabadilisha msimamo wako juu ya mawazo hasi juu ya mafanikio .

    Kwa maana mtu hawezi kuwa zaidi ya anavyo jiona.

    Mithali 23:7
    [7] *Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo*.
    Akuambia, Haya, kula, kunywa;
    Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe.

    Neno pekee ndilo linaweza badilisha namna unavyo jiona na jinsi unavyo amini ili upokee mambo makubwa .

    Usidanganyikee mtu hawezi kupokea zaidi ya ufunuo alio upata katika neno husika .

    Nimatumaini yangu utaanza kuongeza imani katika neno ili upate nguvu ibadilishayo mtu .

    Take care, naitwa sylvester natokea kutoka (build new eden)

    Karubu tujifunze pamoja neno la Mungu .kupitia group la watsap

    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #restore men position
    #build new position
    Nguvu inayo badilisha mtu . Warumi 12:2 [2]*Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; *bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu* Kama ukiwachukua watu wasili wanao waza sawa tunategemea matokeo yatakuwa sawa. Iko nguvu inaitwa neno la Mungu inayo weza badilisha mtu kama tu mtu akijua jinsi Mungu anavyo taka aenende . Kiwango chako cha kumjua Mungu katika neno lazima kiendane na matokeo kwani chochote apandacho mtu ndicho atakacho vuna. Wagalatia 6:7 [7]Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna. faida za kulijua neno kama nguvu inayo badilisha mtu . 1.INATUHAKIKISHIA KUFNIKIWA. Mungu amehakikisha kila anaye mjua sawa sawa na neno anampa nguvu ya kufanikiwa. Zaburi 1:1-2 [1]Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wakosaji; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha. [2]Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo, Na sheria yake huitafakari mchana na usiku. Lazma uamue kuishi maisha yasiyo na mizaa kabisa na dhambi kwa kulifuata neno kama mwongozo wako hapo ndipo utampendeza Mungu na Mungu atajihakikishia kukuwazia mema na mafanikio. Isaya 55:8-9 [8] *Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema BWANA.* . [9]Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu. Mawazo ya mungu ni kuona ndoa yako inafanikiwa toka ujana wako mpaka uzee. Mawazo ya Mungu nikuona biashara yako inashine kuliko jana . Mawazo ya Mungu ni kukuona ukiishi maisha ya mafanikio na furaha siku zote za maisha yako . Yeremia 29:11 [11] *Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.* Tatizo lako ni moja umeichukulia mzaa dhambi na kufanya mawazo ya Mungu kwako yasitimie . Acha dhambi acha mzaa na zinaa kutoka kusema hii ndo zambi yetu vijana anza kuichukia totally maisha yako yatabadilika totally na Mungu atakuhakikishia mafanikio siku zote. Mafanikio ni hakika na kweli kabisa kwa mtu anaye kaa na neno, mtu ambaye katika kila jambo anajibu na kulitazama neno linasema nini lazima apokee mafanikio makubwa zaidi. 2.inatusaidia kutoka katika mawazo na fikra hasi Mtu hawezi kufanikiwa zaidi ya vile anavyo amini . Mtu awezi kupokea uponyaji zaidi ya vile anavyo hitaji. Kiwango cha mafanikio yako kinaamuliwa na kiwango cha imani yako . Marko 9:23 [23]Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye. Ukiweza kuwekeza katika neno neno litakupa matokeo ya mwilini kwani neno litakusaidia kujua jinsi gani watu walio tembea na mungu walifanikiwa . Utaacha kuona haiwezekani kila jambo utaanza kuona inawezekana kila jambo kwani utajua yeye anasemaji. Wafilolipi 4:13 *Naweza kuyafanya mambo yote katika yeye anitiaye nguvu* Ko ni neno litabadilisha msimamo wako juu ya mawazo hasi juu ya mafanikio . Kwa maana mtu hawezi kuwa zaidi ya anavyo jiona. Mithali 23:7 [7] *Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo*. Akuambia, Haya, kula, kunywa; Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe. Neno pekee ndilo linaweza badilisha namna unavyo jiona na jinsi unavyo amini ili upokee mambo makubwa . Usidanganyikee mtu hawezi kupokea zaidi ya ufunuo alio upata katika neno husika . Nimatumaini yangu utaanza kuongeza imani katika neno ili upate nguvu ibadilishayo mtu . Take care, naitwa sylvester natokea kutoka (build new eden) Karubu tujifunze pamoja neno la Mungu .kupitia group la watsap https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #restore men position #build new position
    Like
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·510 Просмотры
  • Transfer Updates

    AS Monaco wamekubaliana na Barcelona kumsajili Ansu Fati mwenye miaka 22.

    Mhispania huyo atajiunga na Monaco kwa mkopo hadi mwisho wa msimu, kisha Monaco watakuwa na chaguo la kumnunua kwa €14M au kumrudisha.

    Ansu anafuraha kwamba Barcelona wamejumuisha kipengele cha kurudisha ikiwa Monaco watamudu, kwani ndoto yake ni kurudi Barcelona. Sasa atasafiri kwa uchunguzi wa kimatibabu⚡️



    #sportselite
    🔥🔥Transfer Updates AS Monaco wamekubaliana na Barcelona kumsajili Ansu Fati mwenye miaka 22. Mhispania huyo atajiunga na Monaco kwa mkopo hadi mwisho wa msimu, kisha Monaco watakuwa na chaguo la kumnunua kwa €14M au kumrudisha. Ansu anafuraha kwamba Barcelona wamejumuisha kipengele cha kurudisha ikiwa Monaco watamudu, kwani ndoto yake ni kurudi Barcelona. Sasa atasafiri kwa uchunguzi wa kimatibabu⚡️📝 #sportselite
    Wow
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·272 Просмотры
  • Kurudi huku ni tofauti...

    Sifanyi hivyo ili kuthibitisha chochote. Sio kutafuta uthibitishaji. Sio kuangalia kuonekana.

    Hii ni kwa ajili yangu...

    Kwa kila wakati nilikaa kimya wakati nilipaswa kuzungumza. Kwa ajili ya amani niliyoiacha ili tu kuwaweka wengine vizuri. Kwa nyakati nilizobeba uzito ambao haukuwa wangu kushika.

    sina hasira. Nimemaliza...

    Nimemaliza kuomba msamaha kwa kuhitaji nafasi. Imefanya kuhatarisha ukweli wangu. Nimemaliza kutoa nguvu kwa chochote kinachonichosha.

    Kuanzia hapa na kuendelea… ikiwa inaleta furaha, usawaziko, au amani... nasema ndiyo. Kila kitu kingine… hapana asante.
    Msimu huu ni wa kibinafsi. Ni takatifu. Ni yangu.

    Kurudi huku ni tofauti... Sifanyi hivyo ili kuthibitisha chochote. Sio kutafuta uthibitishaji. Sio kuangalia kuonekana. Hii ni kwa ajili yangu... Kwa kila wakati nilikaa kimya wakati nilipaswa kuzungumza. Kwa ajili ya amani niliyoiacha ili tu kuwaweka wengine vizuri. Kwa nyakati nilizobeba uzito ambao haukuwa wangu kushika. sina hasira. Nimemaliza... Nimemaliza kuomba msamaha kwa kuhitaji nafasi. Imefanya kuhatarisha ukweli wangu. Nimemaliza kutoa nguvu kwa chochote kinachonichosha. Kuanzia hapa na kuendelea… ikiwa inaleta furaha, usawaziko, au amani... nasema ndiyo. Kila kitu kingine… hapana asante. Msimu huu ni wa kibinafsi. Ni takatifu. Ni yangu.
    Love
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·369 Просмотры
  • .Wafilipi 4:13
    [13]Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.

    Hii ni siri kwa mtu aliye okoka katika kila jambo unapaswa kumtazama Bwana kwani katika yote unaweza.

    Si mambo nusu Mambo yote bwana anawezq kukusaidia.

    Ili maneno haya yawe kwako lazima ujue siri hizi kuwa

    -Msaada wote ni katika Bwana.
    Zaburi 121:2
    Msaada wangu u katika BWANA, Aliyezifanya mbingu na nchi.

    -lazima ujue kumngojea Bwana na kumtazamia
    Mika 7:7
    Lakini mimi, nitamtazamia BWANA; nitamngojea Mungu wa wokovu wangu; Mungu wangu atanisikia.

    -Lazima ujue kuomba Bwana katika kila jambo .
    Yakobo 5:18
    Kisha akaomba tena inyeshe, na anga ikatoa mvua, na ardhi ikatoa mazao

    Elia alikuwa mwanadamu kama sisi lakini aliijua siri hii kuwa anayaweza mambo yote katika yeye amtiae nguvu na alisimamisha mvua na matokeo yalionekana.

    Lazima uwe mtu wa kupanda kwa machozi.

    Zaburi 126:5-6
    Wapandao kwa machozi Watavuna kwa kelele za furaha. Ingawa mtu anakwenda zake akilia, Azichukuapo mbegu za kupanda. Hakika atarudi kwa kelele za furaha, Aichukuapo miganda yake

    Ili uone matokeo lazima uwe mtu wa kupanda kwa mchozi .

    Abrahamu alimwamini Mungu kiasi cha kuwa tayari ata kutoa mwana wake ni kwasababu alijia siri hii ya kuwa katika yeye yote yanawezekana.

    -Tumaini lako liwe kwa bwana tu
    Ombolezo 3:25
    Ni huruma za BWANA kwamba hatuangamii, Kwa kuwa rehema zake hazikomi. Ni mpya kila siku asubuhi; Uaminifu wako ni mkuu. BWANA ndiye fungu langu, husema nafsi yangu, *Kwa hiyo nitamtumaini yeye. BWANA ni mwema kwa hao wamngojeao, Kwa hiyo nafsi imtafutayo.*

    Ukifika level hiyo utqkuwa na ujasiri ya kuliishi neno hili nayaweza maombo yote katika yeye anitiaye nguvu.

    Mfano ayubu alijua siri hii pia
    Ayubu 14:7
    “Kwa maana lipo tumaini kwa mti; kama ukikatwa utachipuka tena, nayo machipukizi yake mapya hayatakoma.

    Ko ukiliishi neno letu la leo uwezi ona vitu vigumu badala yake utafanya kwa kufuata maelekezo ya Bwana .

    Na nakuhakikishia kama ukifuata sawa sawa na neno lake basi matokeo lazima uyapate tu .

    *wokovu ni matokeo ya kuyaweza mambo yote ni wewe tu ulikuwa ujui siri hii.*

    Amina nikutakie jion njema ya baraka na neema .

    Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden).

    Ukitaka kujifunza neno karibu katika group la watsap pia .
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
    #Build new eden
    #Restoremenposition
    .Wafilipi 4:13 [13]Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu. Hii ni siri kwa mtu aliye okoka katika kila jambo unapaswa kumtazama Bwana kwani katika yote unaweza. Si mambo nusu Mambo yote bwana anawezq kukusaidia. Ili maneno haya yawe kwako lazima ujue siri hizi kuwa -Msaada wote ni katika Bwana. Zaburi 121:2 Msaada wangu u katika BWANA, Aliyezifanya mbingu na nchi. -lazima ujue kumngojea Bwana na kumtazamia Mika 7:7 Lakini mimi, nitamtazamia BWANA; nitamngojea Mungu wa wokovu wangu; Mungu wangu atanisikia. -Lazima ujue kuomba Bwana katika kila jambo . Yakobo 5:18 Kisha akaomba tena inyeshe, na anga ikatoa mvua, na ardhi ikatoa mazao Elia alikuwa mwanadamu kama sisi lakini aliijua siri hii kuwa anayaweza mambo yote katika yeye amtiae nguvu na alisimamisha mvua na matokeo yalionekana. Lazima uwe mtu wa kupanda kwa machozi. Zaburi 126:5-6 Wapandao kwa machozi Watavuna kwa kelele za furaha. Ingawa mtu anakwenda zake akilia, Azichukuapo mbegu za kupanda. Hakika atarudi kwa kelele za furaha, Aichukuapo miganda yake Ili uone matokeo lazima uwe mtu wa kupanda kwa mchozi . Abrahamu alimwamini Mungu kiasi cha kuwa tayari ata kutoa mwana wake ni kwasababu alijia siri hii ya kuwa katika yeye yote yanawezekana. -Tumaini lako liwe kwa bwana tu Ombolezo 3:25 Ni huruma za BWANA kwamba hatuangamii, Kwa kuwa rehema zake hazikomi. Ni mpya kila siku asubuhi; Uaminifu wako ni mkuu. BWANA ndiye fungu langu, husema nafsi yangu, *Kwa hiyo nitamtumaini yeye. BWANA ni mwema kwa hao wamngojeao, Kwa hiyo nafsi imtafutayo.* Ukifika level hiyo utqkuwa na ujasiri ya kuliishi neno hili nayaweza maombo yote katika yeye anitiaye nguvu. Mfano ayubu alijua siri hii pia Ayubu 14:7 “Kwa maana lipo tumaini kwa mti; kama ukikatwa utachipuka tena, nayo machipukizi yake mapya hayatakoma. Ko ukiliishi neno letu la leo uwezi ona vitu vigumu badala yake utafanya kwa kufuata maelekezo ya Bwana . Na nakuhakikishia kama ukifuata sawa sawa na neno lake basi matokeo lazima uyapate tu . *wokovu ni matokeo ya kuyaweza mambo yote ni wewe tu ulikuwa ujui siri hii.* Amina nikutakie jion njema ya baraka na neema . Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden). Ukitaka kujifunza neno karibu katika group la watsap pia . https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #Build new eden #Restoremenposition
    Sad
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·621 Просмотры
  • 1 Yohana 3:1-3
    [1]Tazameni, ni pendo la namna gani alilotupa Baba, kwamba tuitwe wana wa Mungu; na ndivyo tulivyo. Kwa sababu hii ulimwengu haututambui, kwa kuwa haukumtambua yeye.
    .
    [2]Wapenzi, sasa tu wana wa Mungu, wala haijadhihirika bado tutakavyokuwa; lakini twajua ya kuwa atakapodhihirishwa, tutafanana naye; kwa maana tutamwona kama alivyo.

    [3]Na kila mwenye matumaini haya katika yeye hujitakasa, kama yeye alivyo mtakatifu.

    Huu ni upendo wa Kristo kuwa mtu akimwamini anamfanya kuwa mwana na anakuwa sehemu ya urithi.

    Kwani kwa kawaida mwana ndiye anayerithi sehemu ya badaye.na Mungu anatufanya kuwa wana kwa kupitia Yesu Kristo.

    Na kama ukiwa mwana maana yake upaswi kuwa wakawaida ,wewe ni mbarikiwa na mrithi wa baraka zote alizopewa Abraham baba yetu katika imani.

    Yohana 1:12-13
    [12]Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake;

    [13]waliozaliwa, si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu.

    Naendelea kukuonyesha kuwa wewe ni mtoto wa Mungu toka siku ulipo okoka na kama ni hivyo ardhi lazima ikutii kama ilivyo mtii yakobo, biashara lazima ikutii kwani wewe ndiye kichwa siyo mkia.

    Changamoto kubwa watu wa Mungu imani zetu juu ya Mungu ndogo sana tunaamini sana katika maarifa yetu na jitihada zetu pekee.

    Yohana 20:17
    [17]Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.

    Lakini ukijua siri hii utajua kuwa toka ulipo fanyika kuwa mwana kuna uwezo uliupata wa kubarikiwa kupita hesabu ya kawaida.

    Natamani ujue siri hii kuwa toka ulipo okoka wewe so mtumwa tena bali wewe ni mmliki kwa kuwa umepata uwezo wa kuwa mwana.

    Yohana 16:4
    [4]Lakini nimewaambia hayo, ili makusudi saa ile itakapokuja myakumbuke ya kuwa mimi naliwaambia.

    Utakapo onyeshwa kwenye kioo maisha yako uliyo paswa kuishi baada ya kufanyika kuwa mwana na ukifananisha na maisha ya mateso uliyo yaishi kwa kukosa ufunuo .

    Nikutakie jumapili njema sana na Mungu kufunue ujue majukumu(haki) ya mwana kwa baba yake.

    Ok naitwa sylvester Mwakabende Kutoka (build new eden)

    #Restoremenposition
    #Buildneweden
    1 Yohana 3:1-3 [1]Tazameni, ni pendo la namna gani alilotupa Baba, kwamba tuitwe wana wa Mungu; na ndivyo tulivyo. Kwa sababu hii ulimwengu haututambui, kwa kuwa haukumtambua yeye. . [2]Wapenzi, sasa tu wana wa Mungu, wala haijadhihirika bado tutakavyokuwa; lakini twajua ya kuwa atakapodhihirishwa, tutafanana naye; kwa maana tutamwona kama alivyo. [3]Na kila mwenye matumaini haya katika yeye hujitakasa, kama yeye alivyo mtakatifu. Huu ni upendo wa Kristo kuwa mtu akimwamini anamfanya kuwa mwana na anakuwa sehemu ya urithi. Kwani kwa kawaida mwana ndiye anayerithi sehemu ya badaye.na Mungu anatufanya kuwa wana kwa kupitia Yesu Kristo. Na kama ukiwa mwana maana yake upaswi kuwa wakawaida ,wewe ni mbarikiwa na mrithi wa baraka zote alizopewa Abraham baba yetu katika imani. Yohana 1:12-13 [12]Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake; [13]waliozaliwa, si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu. Naendelea kukuonyesha kuwa wewe ni mtoto wa Mungu toka siku ulipo okoka na kama ni hivyo ardhi lazima ikutii kama ilivyo mtii yakobo, biashara lazima ikutii kwani wewe ndiye kichwa siyo mkia. Changamoto kubwa watu wa Mungu imani zetu juu ya Mungu ndogo sana tunaamini sana katika maarifa yetu na jitihada zetu pekee. Yohana 20:17 [17]Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu. Lakini ukijua siri hii utajua kuwa toka ulipo fanyika kuwa mwana kuna uwezo uliupata wa kubarikiwa kupita hesabu ya kawaida. Natamani ujue siri hii kuwa toka ulipo okoka wewe so mtumwa tena bali wewe ni mmliki kwa kuwa umepata uwezo wa kuwa mwana. Yohana 16:4 [4]Lakini nimewaambia hayo, ili makusudi saa ile itakapokuja myakumbuke ya kuwa mimi naliwaambia. Utakapo onyeshwa kwenye kioo maisha yako uliyo paswa kuishi baada ya kufanyika kuwa mwana na ukifananisha na maisha ya mateso uliyo yaishi kwa kukosa ufunuo . Nikutakie jumapili njema sana na Mungu kufunue ujue majukumu(haki) ya mwana kwa baba yake. Ok naitwa sylvester Mwakabende Kutoka (build new eden) #Restoremenposition #Buildneweden
    Yay
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·649 Просмотры
  • "Aziniye na mwanamke ana akiri kabisa "

    Sio tu ni dhambi bali ni kuwa unakosa akiri kabisa .

    Na ukikosa akiri kabisa na Mungu wetu ni Mungu wa maarifa lazima ujitenge naye .

    Ukitaka kujua muulize daudi baada ya kuzini na mke wa mtu na kumuiba kabisa nini kilitokea alibidi alie kuitafuta toba na kurudisha akiri yake.

    Ndio ni kweli wanakuita sukari wa walembo lakini unafuraha kwani uhalisia uko hivi .

    Kila mwanaume anaye zini akimaliza tu tendo anaanza kujuta kwanini kafanya hivyo.

    Nasema hivi Mungu akinipa uzima na kibali chake nitafundisha juu ya nguvu ya agano na katika hilo utakuja kuelewa maana halisi ya mwanamke kuwa na bikra .

    Ok wewe ndo sukari pasipo kujua kila mwanamke uliye lala naye kuna aina ya nguvu yako inaondoka na anakuachia mapepo kama ni mtu wa mapepo .

    Vijana sex ni tendo la agano linalo simamiwa na kiapo cha mbele ya watu na agano la kitanda ndio watu wanaita tendo la ndoa


    Sababu ya kuto kujua unawaiga wazungu ambao walio wengi wenzako wlisha iachaga imani siku nyingi .

    Sijui nataka kusema nini kila ulipo lala na huyo binti kuna ongezeko limetokea au umebaki na balaa na kuanza kusumbua watu wa Mungu.

    Na kuna tuvijana tuchurch boy mchana usiku getho tumevusha hili halikubaliki kabisa ..

    Ok ngoja nikuache my ndugu lakini sulemani na urijali wake wote anakuja kumaliza kwa kusema wote ni ubatili mtupu na kusema pia mkumbuke muumba wako siku za ujana wako "

    Najua sijakufuraisha ila usisahau jina langu pia naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    #restore men position
    Build new eden
    "Aziniye na mwanamke ana akiri kabisa " Sio tu ni dhambi bali ni kuwa unakosa akiri kabisa . Na ukikosa akiri kabisa na Mungu wetu ni Mungu wa maarifa lazima ujitenge naye . Ukitaka kujua muulize daudi baada ya kuzini na mke wa mtu na kumuiba kabisa nini kilitokea alibidi alie kuitafuta toba na kurudisha akiri yake. Ndio ni kweli wanakuita sukari wa walembo lakini unafuraha kwani uhalisia uko hivi . Kila mwanaume anaye zini akimaliza tu tendo anaanza kujuta kwanini kafanya hivyo. Nasema hivi Mungu akinipa uzima na kibali chake nitafundisha juu ya nguvu ya agano na katika hilo utakuja kuelewa maana halisi ya mwanamke kuwa na bikra . Ok wewe ndo sukari pasipo kujua kila mwanamke uliye lala naye kuna aina ya nguvu yako inaondoka na anakuachia mapepo kama ni mtu wa mapepo . Vijana sex ni tendo la agano linalo simamiwa na kiapo cha mbele ya watu na agano la kitanda ndio watu wanaita tendo la ndoa Sababu ya kuto kujua unawaiga wazungu ambao walio wengi wenzako wlisha iachaga imani siku nyingi . Sijui nataka kusema nini kila ulipo lala na huyo binti kuna ongezeko limetokea au umebaki na balaa na kuanza kusumbua watu wa Mungu. Na kuna tuvijana tuchurch boy mchana usiku getho tumevusha hili halikubaliki kabisa .. Ok ngoja nikuache my ndugu lakini sulemani na urijali wake wote anakuja kumaliza kwa kusema wote ni ubatili mtupu na kusema pia mkumbuke muumba wako siku za ujana wako " Najua sijakufuraisha ila usisahau jina langu pia naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) #restore men position Build new eden
    Wow
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·551 Просмотры
  • MAISHA NI MWALIMU MKUU...

    Kuna walimu wanaozungumza darasani, wahadhiri wanaofundisha kutoka kwenye jukwaa, na washauri wanaoongoza kwa maneno. Lakini kuna mwalimu anayewazidi wote, mwalimu ambaye hahitaji chaki, bodi, silabasi, wala uteuzi. Huyo mwalimu ni maisha. Maisha ni mwalimu mkuu kwa sababu hukufanya uishi somo. Haikupi habari tu; inakupa uzoefu. Sio nadharia za kunong'ona tu; inakukabidhi dhoruba. Na tofauti na mwalimu mtulivu ambaye anauliza ikiwa uko tayari, maisha wakati mwingine huanza mtihani bila onyo. Haisubiri urahisi wako; haiulizi maoni yako. Inaonyesha tu, mbichi, halisi, na bila kuchoka. Kwa mbali, maisha yanaonekana rahisi. Matatizo yanaonekana kutatuliwa. Maamuzi yanaonekana wazi. Unasikia hadithi ya mtu na unafikiri, "Kama ningekuwa wao, ningefanya hivi ... au vile." Kwa mbali, unatikisa kichwa kwa takwimu. Unanukuu nadharia. Unatoa mapendekezo. Wewe hata kutoa hukumu. Kwa sababu wakati huo, ni hadithi tu kwako. Ni hadithi tu kutoka kwa nchi nyingine, hadi maisha yatakapoleta ukweli kwenye mlango wako mwenyewe. Mpaka ugonjwa uwe wako. Mpaka hasara ni yako. Mpaka usaliti ni wako. Mpaka mtoto awe wako. Mpaka mapambano ni yako. Kisha kile ambacho hapo awali kilionekana kama takwimu kitatoka ndani ya nafsi yako. Kile ambacho mara moja kilisikika kama hadithi kitasikika kifuani mwako. Nini mara moja inaonekana nyeusi na nyeupe itageuka kuwa vivuli vya kijivu. Hapo ndipo maisha yanapoacha kuwa nadharia na kuwa ukweli. Hapo ndipo hukumu inapokauka, na unyenyekevu huanza kukua.

    Maisha yatakunyenyekea. Inajua kuwakunja wenye kiburi. Inajua jinsi ya kupunguza makali. Inajua jinsi ya kuwapiga magoti walio na nguvu zaidi, si kuwaangamiza, bali *kuwatengeneza upya, kuwajenga upya, kuwafundisha. tafadhali, mtangulize Mungu. Kwa sababu kuna njia pekee awezaye kukuongoza. Kuna usiku tu nuru yake inaweza kumulika. Kuna dhoruba tu mkono Wake unaweza bado. Bila Mungu, maisha yanaweza kukuvunja. Ukiwa na Mungu, maisha yanaweza kukuchubua, lakini usiwahi kuzika. Vile vile ulivyowahukumu wengine kwa uchaguzi wao, siku inaweza kuja wakati utajipata unatembea kwa viatu vyao. Na ghafla, mtazamo wako utabadilika. Ulimi wako utanyamaza. Moyo wako utakuwa laini. Na utaelewa, haikuwa rahisi kama inavyoonekana kutoka nje. Kwa hiyo uwe mwepesi wa kukosoa. Kuwa mwepesi wa kusikiliza. Kuwa mpole na wale wanaotambaa katika misimu ambayo hujawahi kujua. Kuwa mkarimu kwa watu wanaopitia dhoruba ambazo hujawahi kusafiri. Kwa sababu maisha yana njia ya kuleta mambo duara kamili. Leo wewe ni mtazamaji. Kesho unaweza kuzingatiwa. Leo wewe ni mshauri. Kesho unaweza kuwa unatafuta ushauri. Na itakapofika zamu yako, na ikafika, upate rehema uliyoizuia. Wacha maisha yakufanye uwe na busara, sio uchungu. Hebu ikufundishe neema, sio majivuno. Wacha izae ndani yako huruma, sio haki. Wacha iwe ndani ya roho yako huruma, na sio ubaya.

    Mwishowe, kumbuka kwamba maisha sio kuwa na majibu yote; ni juu ya kujifunza maswali sahihi. Na kwa kila jeraha, kila anguko, kila ushindi, na kila chozi, na uje kuona kwamba digrii kuu zaidi hazipatikani shuleni, hupatikana katika darasa la maisha. Kwa hivyo maisha yanapokuwa mwalimu, usipinga somo. Usifanye moyo wako kuwa mgumu. Acha ikunyooshe, ikutengeneze, ikuvunje, na ikujenge. Na zaidi ya yote, iruhusu ikurudishe kwa Mungu.
    MAISHA NI MWALIMU MKUU... Kuna walimu wanaozungumza darasani, wahadhiri wanaofundisha kutoka kwenye jukwaa, na washauri wanaoongoza kwa maneno. Lakini kuna mwalimu anayewazidi wote, mwalimu ambaye hahitaji chaki, bodi, silabasi, wala uteuzi. Huyo mwalimu ni maisha. Maisha ni mwalimu mkuu kwa sababu hukufanya uishi somo. Haikupi habari tu; inakupa uzoefu. Sio nadharia za kunong'ona tu; inakukabidhi dhoruba. Na tofauti na mwalimu mtulivu ambaye anauliza ikiwa uko tayari, maisha wakati mwingine huanza mtihani bila onyo. Haisubiri urahisi wako; haiulizi maoni yako. Inaonyesha tu, mbichi, halisi, na bila kuchoka. Kwa mbali, maisha yanaonekana rahisi. Matatizo yanaonekana kutatuliwa. Maamuzi yanaonekana wazi. Unasikia hadithi ya mtu na unafikiri, "Kama ningekuwa wao, ningefanya hivi ... au vile." Kwa mbali, unatikisa kichwa kwa takwimu. Unanukuu nadharia. Unatoa mapendekezo. Wewe hata kutoa hukumu. Kwa sababu wakati huo, ni hadithi tu kwako. Ni hadithi tu kutoka kwa nchi nyingine, hadi maisha yatakapoleta ukweli kwenye mlango wako mwenyewe. Mpaka ugonjwa uwe wako. Mpaka hasara ni yako. Mpaka usaliti ni wako. Mpaka mtoto awe wako. Mpaka mapambano ni yako. Kisha kile ambacho hapo awali kilionekana kama takwimu kitatoka ndani ya nafsi yako. Kile ambacho mara moja kilisikika kama hadithi kitasikika kifuani mwako. Nini mara moja inaonekana nyeusi na nyeupe itageuka kuwa vivuli vya kijivu. Hapo ndipo maisha yanapoacha kuwa nadharia na kuwa ukweli. Hapo ndipo hukumu inapokauka, na unyenyekevu huanza kukua. Maisha yatakunyenyekea. Inajua kuwakunja wenye kiburi. Inajua jinsi ya kupunguza makali. Inajua jinsi ya kuwapiga magoti walio na nguvu zaidi, si kuwaangamiza, bali *kuwatengeneza upya, kuwajenga upya, kuwafundisha. tafadhali, mtangulize Mungu. Kwa sababu kuna njia pekee awezaye kukuongoza. Kuna usiku tu nuru yake inaweza kumulika. Kuna dhoruba tu mkono Wake unaweza bado. Bila Mungu, maisha yanaweza kukuvunja. Ukiwa na Mungu, maisha yanaweza kukuchubua, lakini usiwahi kuzika. Vile vile ulivyowahukumu wengine kwa uchaguzi wao, siku inaweza kuja wakati utajipata unatembea kwa viatu vyao. Na ghafla, mtazamo wako utabadilika. Ulimi wako utanyamaza. Moyo wako utakuwa laini. Na utaelewa, haikuwa rahisi kama inavyoonekana kutoka nje. Kwa hiyo uwe mwepesi wa kukosoa. Kuwa mwepesi wa kusikiliza. Kuwa mpole na wale wanaotambaa katika misimu ambayo hujawahi kujua. Kuwa mkarimu kwa watu wanaopitia dhoruba ambazo hujawahi kusafiri. Kwa sababu maisha yana njia ya kuleta mambo duara kamili. Leo wewe ni mtazamaji. Kesho unaweza kuzingatiwa. Leo wewe ni mshauri. Kesho unaweza kuwa unatafuta ushauri. Na itakapofika zamu yako, na ikafika, upate rehema uliyoizuia. Wacha maisha yakufanye uwe na busara, sio uchungu. Hebu ikufundishe neema, sio majivuno. Wacha izae ndani yako huruma, sio haki. Wacha iwe ndani ya roho yako huruma, na sio ubaya. Mwishowe, kumbuka kwamba maisha sio kuwa na majibu yote; ni juu ya kujifunza maswali sahihi. Na kwa kila jeraha, kila anguko, kila ushindi, na kila chozi, na uje kuona kwamba digrii kuu zaidi hazipatikani shuleni, hupatikana katika darasa la maisha. Kwa hivyo maisha yanapokuwa mwalimu, usipinga somo. Usifanye moyo wako kuwa mgumu. Acha ikunyooshe, ikutengeneze, ikuvunje, na ikujenge. Na zaidi ya yote, iruhusu ikurudishe kwa Mungu.
    Love
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·632 Просмотры
  • MAOMBI YANAYO JIBIWA SEHEMU YAPILI.

    *Mungu huwa awezi kutenda kinyume na neno lake hii ndiyo sababu inatufanya tuombe kwa kumkumbusha ahadi zake.*

    Mungu aliapa kwa neno nafsi yake kumbariki Abraham na mpaka leo islaeri yote huesabika kuwa waendelewa sababu tu ya neno alilo mwapia ibrahimu.

    *Kwanini basi tunapaswa kuomba kwa kutumia neno.*

    1.Tunayajua mapenzi yake kupitia neno lake.

    Na huu ndio ujasiri tulio nao kwake, ya kuwa, tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia.

    *Kumbe ili usikike kirahisi lazima umkumbushe mapenzi yake kwako kupitia neno lake.*

    Mathayo 6:10. "Mapenzi yako yatimizwe hapa duniani kama huko mbinguni."

    *Hii ni sehemu ya sala aliyo wafundisha Yesu mwenyewe kuwa wakati wakuomba lazima uyaombe mapenzi ya Mungu yatimilike na hayawezi timilika bila neno lake.*

    Na mapenzi ya Mungu yanapatikana au yanasikika kupitia neno lake.

    2.Neno la mungu lina mamlaka .

    Yohana 1;3-5
    *Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika. 4 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu. 5 Nayo nuru yang'aa gizani, wala giza halikuiweza.*

    Neno ndo lenye mamlaka pasipo neno nuru haikuwapo.

    *Mungu mwenyewe katika uumbaji alianza kwanza na neno ndipo ikawa ,*,

    Kumbe neno ndilo utupa mamlaka ya kumkemea muovu na mamlaka .

    *Neno ndio funguo yenye mamlaka ya kupokea au kutokupokea kwani Mungu anapo sikiliza maombi anatazama neno lake linasema nini.*

    Ebrania 4:12-13
    Paulo katika mistali anaonyesha mamlaka na nguvu za neno la Mungu,1.liko hai 2.linanguvu kweli kweli .
    33.ni kali kama kupanga ukatao kuwili .

    *Ok ukisoma mstali kwa mstali ebrania 4;12-13 utoana ni kwa jinsi gani neno la Mungu lina nguvu kweli kweli.*

    Turudi msalabani tumkumbushe Mungu kupitia ahadi zake kupitia neno lake.

    Marko 16:17
    *Nazo ishara hizi zitafuatana na wanaoamini: Kwa Jina langu watatoa pepo wachafu; watasema kwa lugha mpya*

    *Ni neno lake ndilo linalo tuwezesha kupata mamlaka .si kitu kingine chochote.*

    Natamani leo tukiomba tuombe kwa kupitia neno lake ili Mungu Atujibu sawasawa na neno lake.

    Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden)
    #build new eden
    #restore men position
    MAOMBI YANAYO JIBIWA SEHEMU YAPILI. *Mungu huwa awezi kutenda kinyume na neno lake hii ndiyo sababu inatufanya tuombe kwa kumkumbusha ahadi zake.* Mungu aliapa kwa neno nafsi yake kumbariki Abraham na mpaka leo islaeri yote huesabika kuwa waendelewa sababu tu ya neno alilo mwapia ibrahimu. *Kwanini basi tunapaswa kuomba kwa kutumia neno.* 1.Tunayajua mapenzi yake kupitia neno lake. Na huu ndio ujasiri tulio nao kwake, ya kuwa, tukiomba kitu sawasawa na mapenzi yake, atusikia. *Kumbe ili usikike kirahisi lazima umkumbushe mapenzi yake kwako kupitia neno lake.* Mathayo 6:10. "Mapenzi yako yatimizwe hapa duniani kama huko mbinguni." *Hii ni sehemu ya sala aliyo wafundisha Yesu mwenyewe kuwa wakati wakuomba lazima uyaombe mapenzi ya Mungu yatimilike na hayawezi timilika bila neno lake.* Na mapenzi ya Mungu yanapatikana au yanasikika kupitia neno lake. 2.Neno la mungu lina mamlaka . Yohana 1;3-5 *Vyote vilifanyika kwa huyo; wala pasipo yeye hakikufanyika chochote kilichofanyika. 4 Ndani yake ndimo ulimokuwa uzima, nao ule uzima ulikuwa nuru ya watu. 5 Nayo nuru yang'aa gizani, wala giza halikuiweza.* Neno ndo lenye mamlaka pasipo neno nuru haikuwapo. *Mungu mwenyewe katika uumbaji alianza kwanza na neno ndipo ikawa ,*, Kumbe neno ndilo utupa mamlaka ya kumkemea muovu na mamlaka . *Neno ndio funguo yenye mamlaka ya kupokea au kutokupokea kwani Mungu anapo sikiliza maombi anatazama neno lake linasema nini.* Ebrania 4:12-13 Paulo katika mistali anaonyesha mamlaka na nguvu za neno la Mungu,1.liko hai 2.linanguvu kweli kweli . 33.ni kali kama kupanga ukatao kuwili . *Ok ukisoma mstali kwa mstali ebrania 4;12-13 utoana ni kwa jinsi gani neno la Mungu lina nguvu kweli kweli.* Turudi msalabani tumkumbushe Mungu kupitia ahadi zake kupitia neno lake. Marko 16:17 *Nazo ishara hizi zitafuatana na wanaoamini: Kwa Jina langu watatoa pepo wachafu; watasema kwa lugha mpya* *Ni neno lake ndilo linalo tuwezesha kupata mamlaka .si kitu kingine chochote.* Natamani leo tukiomba tuombe kwa kupitia neno lake ili Mungu Atujibu sawasawa na neno lake. Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden) #build new eden #restore men position
    Love
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·793 Просмотры
  • 3.Virtue (MKE MWEMA)

    Mke mwema ni gharama kumjua lakini mfalme suleiman alitusaidia kutupa quality za mke mwema .
    mithali 31:10 Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana kima chake chapita kima cha marijani. Moyo wa mumewe humwamini, Wala hatakosa kupata mapato

    Mke mwema lazima awe multitasking.

    Mke mwema ni yule ambaye anauliza kuhusu maono yako kabla ya kujua utajiri wako .kiufupi ababaishwi na ela yako anaangaika kujua maono yko ili ajue kama anaweza kukusaidia kuyatimiza au raha.

    Unapaswa kutafuta mke ambaye ni mwalimu wa wanao ,mama wa watoto wako, na msaidizi wako .

    Mke mwema anaweza pia akawa anafanya kazi na mume wake kapata economic crisis na familia ikaenda bila majirani kuona tofauti yeyote yaani mtoto anataka ela ya kiatu na yeye ndo anatoa lakini anampa mume wake ili awape watato ilo watoto waone baba bado ndo kichwa cha nyuma.

    *Mke mwema khatu awezi wachukia ndugu za mume wake badala yake uwapenda na kiwakumbatia.*

    Ok naitwa sylvester Mwakabende (kutoka Build new eden)

    Kwa mafundisho zaidi unaweza save namba yangu 0622625340

    #build new eden
    Restoremenposition
    3.Virtue (MKE MWEMA) Mke mwema ni gharama kumjua lakini mfalme suleiman alitusaidia kutupa quality za mke mwema . mithali 31:10 Mke mwema, ni nani awezaye kumwona? Maana kima chake chapita kima cha marijani. Moyo wa mumewe humwamini, Wala hatakosa kupata mapato Mke mwema lazima awe multitasking. Mke mwema ni yule ambaye anauliza kuhusu maono yako kabla ya kujua utajiri wako .kiufupi ababaishwi na ela yako anaangaika kujua maono yko ili ajue kama anaweza kukusaidia kuyatimiza au raha. Unapaswa kutafuta mke ambaye ni mwalimu wa wanao ,mama wa watoto wako, na msaidizi wako . Mke mwema anaweza pia akawa anafanya kazi na mume wake kapata economic crisis na familia ikaenda bila majirani kuona tofauti yeyote yaani mtoto anataka ela ya kiatu na yeye ndo anatoa lakini anampa mume wake ili awape watato ilo watoto waone baba bado ndo kichwa cha nyuma. *Mke mwema khatu awezi wachukia ndugu za mume wake badala yake uwapenda na kiwakumbatia.* Ok naitwa sylvester Mwakabende (kutoka Build new eden) Kwa mafundisho zaidi unaweza save namba yangu 0622625340 #build new eden Restoremenposition
    Love
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·854 Просмотры
  • NINAWEKA KIPAUMBELE AMANI YANGU—NA INAHISI KAMA KUJA NYUMBANI

    Siombi tena msamaha kwa kujichagua.

    Kwa muda mrefu zaidi, niliwamwagia wengine huku nikikimbia nikiwa mtupu. Nilitabasamu nikiwa nimechoka. Nilisema "sijambo" wakati roho yangu ilikuwa inauma. Niliendelea kujitokeza—kwa kila mtu isipokuwa mimi mwenyewe. Lakini sivyo tena.

    Sasa, ninachagua kile kinachofanya moyo wangu kuwa mwepesi.
    Ninachagua aina ya amani ambayo haihitaji kuelezewa.
    Aina ya upendo ambayo hauhitaji mimi kuomba tahadhari.
    Aina ya nishati ambayo inaniacha nimejaa, sio kuvunjika.

    Ninatanguliza kile kinachojisikia vizuri kwa roho yangu -
    Asubuhi tulivu. Maneno ya upole. Watu salama.
    Aina ya mazungumzo ambayo hulisha roho yangu, sio kuitenganisha.

    Ninapenda furaha rahisi:
    Kikombe cha joto cha chai. Sauti ya mvua. Kitabu kinachonielewa.
    Hisia ya kuwa peke yangu lakini sio upweke.
    Utambuzi kwamba sio kila ukimya unahitaji kujazwa.

    Ninajifunza kuwa amani ya kweli haipigi kelele.
    Inanong'ona, "Uko salama sasa."
    Ni wakati unapoacha kujaribu kujithibitisha.
    Ni uhuru wa kuwepo, jinsi ulivyo—bila hukumu, bila utendaji, bila uzito.

    Sifukuzi tena mapenzi ambayo yananichanganya.
    Sio kung'ang'ania tena watu wanaokuja tu wakati wanahitaji.
    Sio kuvumilia tena hali zinazonichosha.

    Kwa sababu hatimaye nimekumbuka mimi ni nani.
    Na kwamba kukumbuka? Huo ndio mwanzo wa kila kitu.

    Kwa hivyo hapa ndio msimu huu wa laini.
    Enzi hii ya uponyaji.
    Toleo hili langu ambalo huchagua amani badala ya shinikizo, uwepo juu ya utendakazi, na upendo—upendo wa kweli—ambalo huhisi kama nyumbani.

    Na unajua nini?
    Kwa mara moja, siishi tu ...
    Ninaipenda.
    NINAWEKA KIPAUMBELE AMANI YANGU—NA INAHISI KAMA KUJA NYUMBANI Siombi tena msamaha kwa kujichagua. Kwa muda mrefu zaidi, niliwamwagia wengine huku nikikimbia nikiwa mtupu. Nilitabasamu nikiwa nimechoka. Nilisema "sijambo" wakati roho yangu ilikuwa inauma. Niliendelea kujitokeza—kwa kila mtu isipokuwa mimi mwenyewe. Lakini sivyo tena. Sasa, ninachagua kile kinachofanya moyo wangu kuwa mwepesi. Ninachagua aina ya amani ambayo haihitaji kuelezewa. Aina ya upendo ambayo hauhitaji mimi kuomba tahadhari. Aina ya nishati ambayo inaniacha nimejaa, sio kuvunjika. Ninatanguliza kile kinachojisikia vizuri kwa roho yangu - Asubuhi tulivu. Maneno ya upole. Watu salama. Aina ya mazungumzo ambayo hulisha roho yangu, sio kuitenganisha. Ninapenda furaha rahisi: Kikombe cha joto cha chai. Sauti ya mvua. Kitabu kinachonielewa. Hisia ya kuwa peke yangu lakini sio upweke. Utambuzi kwamba sio kila ukimya unahitaji kujazwa. Ninajifunza kuwa amani ya kweli haipigi kelele. Inanong'ona, "Uko salama sasa." Ni wakati unapoacha kujaribu kujithibitisha. Ni uhuru wa kuwepo, jinsi ulivyo—bila hukumu, bila utendaji, bila uzito. Sifukuzi tena mapenzi ambayo yananichanganya. Sio kung'ang'ania tena watu wanaokuja tu wakati wanahitaji. Sio kuvumilia tena hali zinazonichosha. Kwa sababu hatimaye nimekumbuka mimi ni nani. Na kwamba kukumbuka? Huo ndio mwanzo wa kila kitu. Kwa hivyo hapa ndio msimu huu wa laini. Enzi hii ya uponyaji. Toleo hili langu ambalo huchagua amani badala ya shinikizo, uwepo juu ya utendakazi, na upendo—upendo wa kweli—ambalo huhisi kama nyumbani. Na unajua nini? Kwa mara moja, siishi tu ... Ninaipenda.
    Love
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·773 Просмотры
  • Usijali kuhusu kile watu wanasema, fanya kile kinachokufanya uwe na furaha
    Usijali kuhusu kile watu wanasema, fanya kile kinachokufanya uwe na furaha
    0 Комментарии ·0 Поделились ·308 Просмотры
  • 3. "Pesa hazileti furaha, lakini furaha inahitaji pesa." - Nukuu hii inaonyesha uhusiano kati ya fedha na furaha
    3. "Pesa hazileti furaha, lakini furaha inahitaji pesa." - Nukuu hii inaonyesha uhusiano kati ya fedha na furaha
    0 Комментарии ·0 Поделились ·442 Просмотры
  • Unaweza Kuwa Baba bora na Bado Ukapoteza Familia Yako
    Kwa sababu katika ulimwengu wa sasa, juhudi haimaanishi chochote ikiwa wewe ni mwanaume.
    Unaamka mapema.
    Nenda kazini.
    Unalipa kodi.
    Ubaki mwaminifu.
    Unaiombea familia.
    Bado-
    unawapoteza.
    Sio kwa sababu umeshindwa.
    Lakini kwa sababu ubaba wa kisasa umejengwa kama mtego.
    Unafanya kila kitu sawa ...
    na bado kuishia vibaya.
    Anaondoka. Watoto wanafuata. Nyumba inakuwa kumbukumbu.
    Unaendelea kulipa bili.
    Anaendelea kubadilisha simulizi.
    Na ikiwa unathubutu kupaza sauti yako?
    Wewe ni "sumu."
    Wewe "huna msimamo."
    Wewe ndiye "sababu aliondoka."
    Umelipia mpiga filimbi-
    lakini bado anaamuru wimbo.
    Ulifuata sheria. Lakini hilo ndilo tatizo.
    Kwa sababu ukifuata sheria, wewe si kiongozi.
    Ikiwa wewe ni mwaminifu, unakuwa rahisi.
    Uliambiwa umlinde.
    Kwa hivyo ulifanya.
    Uliambiwa utoe.
    Kwa hivyo ulifanya.
    Uliambiwa ukae mwaminifu.
    Kwa hivyo ulifanya.
    Na sasa?
    Umeachana.
    Una huzuni.
    Unaweza kutupwa.
    Mahakama inasema, "Wewe si baba."
    Lakini uharibifu tayari umefanywa.
    Moyo wako? Imevunjwa.
    Jina lako? Iliyotiwa rangi.
    Mkoba wako? Bado kuwajibika.
    Wanaiita “kwa manufaa ya mtoto.”
    Mtoto hatakuruhusu umuone... tangu 2019.
    Wakati huo huo, anatabasamu kwa ukimya.
    Kwa sababu tayari alishinda.
    Uongo huo ulifanya kazi.
    Mfumo ulimsaidia.
    Na jamii ikamshangilia.
    Wewe?
    Uko kwenye mtaala wako wa nne.
    Na hakuna mtu aliyepiga makofi ulivyo nusurika.
    Tuzungumze ukweli.80% ya talaka huanzishwa na wanawake.
    Uchunguzi wa DNA 1 kati ya 3 hurejea kuwa hasi.
    Maelfu ya wanaume wako korokoroni—si kwa uhalifu—
    lakini kwa kutoweza kuendelea na malipo yaliyoidhinishwa na mahakama...
    kwa watoto ambao hata si wao.
    Acha hiyo marinate.
    Unapoteza familia yako ... na bado wanakulaumu.
    "Labda alimuonya."
    "Alichagua uzuri, sio akili."
    "Hakujitambua vya kutosha."
    Kweli?
    Kwa hivyo wakati watu wa Mungu-
    Mchungaji Chris Oyakhilome, Benny Hinn,Kenneth Copeland—
    kuishia kutengana au kuachwa...
    hawakumsikia Mungu? Hawakuwa na kasi ya kutosha?
    Hawakuwa na macho ya kiroho?
    Au labda…
    labda tu…
    walioa wanawake ambao walikuwa wataalamu wa kuficha asili yao halisi.
    Hadi siku moja -
    waliamka, na kubadili.
    Hakuna onyo.
    Hakuna majuto.
    "Nimebadilika tu."
    Wanawake wa kisasa hawakuacha kwa kudanganya.
    Wanaondoka kwa sababu rekodi yako ya matukio imekwisha.
    Hujawa mtu wa njozi haraka vya kutosha.
    Hukuweza kumudu kifurushi cha maisha laini kwa ratiba.
    Kwa hiyo "hupunguza hasara zao" na kupiga risasi mitaani.
    Ulikuwa mzuri.
    Lakini ulikuwa hautoshi.
    Sio tajiri wa kutosha.
    Sio furaha ya kutosha.
    Haielekezi vya kutosha.
    Na sasa watoto wamekwenda.
    Nyumba ni kimya.
    Moyo wako umechoka.
    Na yote unayosikia ni:
    "Wanaume wa kweli hupigania familia zao."
    Kana kwamba haujatoa damu ukijaribu.
    Niseme wazi.

    Unaweza kuwa baba bora -
    na bado kupoteza.
    Sio kwa sababu haukupenda vya kutosha.
    Lakini kwa sababu upendo haujalishi tena.
    Sio kama wewe ni mwanaume.
    Wacha wapiganaji na wataalam wafurike maoni.
    Wacha wanawake waseme "sio sote."
    Waache wakanushaji waje wakibembea.

    Lakini wanaume halisi wanajua.
    Wameishi.
    Wamemwaga damu.
    Wamezika ndoto.
    Usiseme chochote.
    Andika tu "Kupitia" na uendelee.

    #ubaba
    #uanaume
    #maumivu kimya
    #utapeli wa ubaba
    #mahakama ya familia
    Unaweza Kuwa Baba bora na Bado Ukapoteza Familia Yako Kwa sababu katika ulimwengu wa sasa, juhudi haimaanishi chochote ikiwa wewe ni mwanaume. Unaamka mapema. Nenda kazini. Unalipa kodi. Ubaki mwaminifu. Unaiombea familia. Bado- unawapoteza. Sio kwa sababu umeshindwa. Lakini kwa sababu ubaba wa kisasa umejengwa kama mtego. Unafanya kila kitu sawa ... na bado kuishia vibaya. Anaondoka. Watoto wanafuata. Nyumba inakuwa kumbukumbu. Unaendelea kulipa bili. Anaendelea kubadilisha simulizi. Na ikiwa unathubutu kupaza sauti yako? Wewe ni "sumu." Wewe "huna msimamo." Wewe ndiye "sababu aliondoka." Umelipia mpiga filimbi- lakini bado anaamuru wimbo. Ulifuata sheria. Lakini hilo ndilo tatizo. Kwa sababu ukifuata sheria, wewe si kiongozi. Ikiwa wewe ni mwaminifu, unakuwa rahisi. Uliambiwa umlinde. Kwa hivyo ulifanya. Uliambiwa utoe. Kwa hivyo ulifanya. Uliambiwa ukae mwaminifu. Kwa hivyo ulifanya. Na sasa? Umeachana. Una huzuni. Unaweza kutupwa. Mahakama inasema, "Wewe si baba." Lakini uharibifu tayari umefanywa. Moyo wako? Imevunjwa. Jina lako? Iliyotiwa rangi. Mkoba wako? Bado kuwajibika. Wanaiita “kwa manufaa ya mtoto.” Mtoto hatakuruhusu umuone... tangu 2019. Wakati huo huo, anatabasamu kwa ukimya. Kwa sababu tayari alishinda. Uongo huo ulifanya kazi. Mfumo ulimsaidia. Na jamii ikamshangilia. Wewe? Uko kwenye mtaala wako wa nne. Na hakuna mtu aliyepiga makofi ulivyo nusurika. Tuzungumze ukweli.80% ya talaka huanzishwa na wanawake. Uchunguzi wa DNA 1 kati ya 3 hurejea kuwa hasi. Maelfu ya wanaume wako korokoroni—si kwa uhalifu— lakini kwa kutoweza kuendelea na malipo yaliyoidhinishwa na mahakama... kwa watoto ambao hata si wao. Acha hiyo marinate. Unapoteza familia yako ... na bado wanakulaumu. "Labda alimuonya." "Alichagua uzuri, sio akili." "Hakujitambua vya kutosha." Kweli? Kwa hivyo wakati watu wa Mungu- Mchungaji Chris Oyakhilome, Benny Hinn,Kenneth Copeland— kuishia kutengana au kuachwa... hawakumsikia Mungu? Hawakuwa na kasi ya kutosha? Hawakuwa na macho ya kiroho? Au labda… labda tu… walioa wanawake ambao walikuwa wataalamu wa kuficha asili yao halisi. Hadi siku moja - waliamka, na kubadili. Hakuna onyo. Hakuna majuto. "Nimebadilika tu." Wanawake wa kisasa hawakuacha kwa kudanganya. Wanaondoka kwa sababu rekodi yako ya matukio imekwisha. Hujawa mtu wa njozi haraka vya kutosha. Hukuweza kumudu kifurushi cha maisha laini kwa ratiba. Kwa hiyo "hupunguza hasara zao" na kupiga risasi mitaani. Ulikuwa mzuri. Lakini ulikuwa hautoshi. Sio tajiri wa kutosha. Sio furaha ya kutosha. Haielekezi vya kutosha. Na sasa watoto wamekwenda. Nyumba ni kimya. Moyo wako umechoka. Na yote unayosikia ni: "Wanaume wa kweli hupigania familia zao." Kana kwamba haujatoa damu ukijaribu. Niseme wazi. Unaweza kuwa baba bora - na bado kupoteza. Sio kwa sababu haukupenda vya kutosha. Lakini kwa sababu upendo haujalishi tena. Sio kama wewe ni mwanaume. Wacha wapiganaji na wataalam wafurike maoni. Wacha wanawake waseme "sio sote." Waache wakanushaji waje wakibembea. Lakini wanaume halisi wanajua. Wameishi. Wamemwaga damu. Wamezika ndoto. Usiseme chochote. Andika tu "Kupitia" na uendelee. #ubaba #uanaume #maumivu kimya #utapeli wa ubaba #mahakama ya familia
    Like
    Love
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·1Кб Просмотры
  • 𝘼 𝙎𝙩𝙤𝙧𝙮 𝙤𝙛 𝙇𝙤𝙫𝙚

    Siku ya harusi yangu, nilimbeba mke wangu mikononi mwangu. Tulipofika kwenye gorofa yetu ndogo, marafiki zangu waliniomba nimbebe ndani. Alikuwa mzito na mwenye haya wakati huo, na mimi nilikuwa bwana harusi mwenye furaha na mwenye nguvu.

    Hiyo ilikuwa miaka kumi iliyopita. Maisha yetu baada ya ndoa yalikuwa rahisi, kama glasi ya maji safi. Tulikuwa na mtoto, na nilifanya kazi kwa bidii ili kukuza biashara yangu. Kadiri nilivyozidi kupata pesa, mapenzi yetu yalififia taratibu. Mke wangu alikuwa mfanyakazi wa serikali, na tulikuwa tukiondoka nyumbani na kurudi wakati uleule kila siku. Mtoto wetu alisoma katika shule ya bweni. Kwa nje, maisha yetu yalionekana kuwa yenye furaha, lakini ndani kabisa, mabadiliko yalikuwa yakitokea.

    Kisha, nilikutana na Dew.

    Ilikuwa ni siku nzuri wakati Dew alinikumbatia kwa nyuma. Nilihisi kupendwa tena. Hata nilikuwa nimemnunulia nyumba. Dew aliwahi kuniambia, "Wewe ni aina ya wanaume wanaowaona wasichana." Maneno yake yalinikumbusha mke wangu. Muda mrefu uliopita, alikuwa amesema kitu kimoja: "Unapofanikiwa, wanawake wengi watavutiwa nawe." Nilihisi hatia, nikijua nilikuwa nikimsaliti, lakini sikuweza kujizuia.

    Nilimuuliza Dew kwenda kuchukua samani wakati nikienda ofisini. Hakufurahi kwa sababu niliahidi kwenda naye. Siku hiyo, wazo la talaka likawa wazi zaidi akilini mwangu. Lakini ilikuwa ngumu kumwambia mke wangu. Alikuwa mke mzuri, akiandaa chakula cha jioni kila wakati na kushiriki jioni tulivu pamoja nami. Hata hivyo, moyo wangu haukuwa naye tena.

    Siku moja, kwa utani, nilimuuliza mke wangu, "Ungefanya nini ikiwa tutaachana?" Hakujibu, kana kwamba ni jambo lisilowezekana kufikiria. Lakini ndani kabisa, nilikuwa nikijiandaa.

    Mke wangu aliponitembelea ofisini kwangu, Dew alikuwa ametoka tu. Watu walimtazama mke wangu kwa huruma. Huenda alikisia kitu lakini akatabasamu kwa upole, ingawa niliona uchungu machoni mwake.

    Umande uliendelea kunisisitiza tuachane. Hatimaye, nilikubali.

    Jioni hiyo, mke wangu alipokuwa akiandaa sahani ya mwisho wakati wa chakula cha jioni, nilimshika mkono na kusema, "Nina jambo la kukuambia." Alikaa kimya, tayari alihisi kuna kitu kibaya. Nikasema, "Nataka talaka." Hakuwa na hasira mwanzoni na akauliza, "Kwa nini?" Nilikwepa kumjibu jambo ambalo lilimkera sana. Alitupa vijiti vyake chini na kupiga kelele, "Wewe si mwanaume!" Alilia usiku huo. Nilijua alikuwa anashangaa mapenzi yetu yameenda wapi, lakini sikuweza kumpa jibu.

    Kwa hatia, niliandika makubaliano ya talaka kumpa nyumba yetu, gari, na sehemu ya kampuni yangu. Aliichana. Kumwona akilia kwa kweli kulinifanya nijisikie raha, kana kwamba ningeweza kusonga mbele.

    Usiku mmoja, nilikuja nyumbani na kumwona akiandika kitu. Asubuhi iliyofuata, alinipa masharti yake ya talaka. Hakutaka chochote kutoka kwangu, lakini alikuwa na ombi moja: kumpa mwezi mmoja kabla ya talaka, na wakati huo, kuishi maisha kwa kawaida iwezekanavyo. Alisema, "Mwana wetu atamaliza mapumziko yake ya kiangazi katika mwezi mmoja. Sitaki aone ndoa yetu ikisambaratika."

    Pia aliomba jambo moja zaidi: "Siku ya harusi yetu, ulinibeba hadi nyumbani kwetu. Tunapoachana, nichukue nje ya chumba cha kulala hadi mlangoni kila asubuhi." Nilikubali, nikidhani ni njia yake ya kuaga kwa utamu fulani.

    Nilipomwambia Dew, alicheka na kudhani ni ujinga. Mwitikio wake ulinisumbua, lakini sikusema chochote.

    Siku ya kwanza, kubeba mke wangu nilijisikia vibaya. Mwana wetu alipiga makofi kwa furaha, akifikiri ilikuwa ya kufurahisha. Kila siku, ikawa rahisi. Niliona mambo ambayo sikuwa nimeona kwa muda mrefu: jinsi alivyoegemea kifua changu, vikumbusho vyake vya upole kuhusu maisha, na kupungua kwa uzito kulikonitia wasiwasi. Alikuwa amekonda sana.

    Kufikia siku za mwisho, niligundua bado ninampenda. Kumbeba mikononi mwangu kila asubuhi kulinikumbusha siku zetu za mapema tukiwa pamoja. Ulaini wake, harufu yake, utunzaji wake wa utulivu kwangu ... niliona yote wazi sasa.

    Siku ya mwisho, nilipomnyanyua, alisema kwa upole, "Laiti ungenibeba hivi hadi tuzeeke." Machozi yalinijaa. Niliendesha gari moja kwa moja hadi kwa Dew na kumwambia, "Sitaachana na mke wangu." Alishtuka na kukasirika, lakini nilijua uamuzi wangu ulikuwa sahihi.

    Nilipokuwa njiani kurudi, nilimnunulia mke wangu maua yake ya kupenda na kuandika kwenye kadi: "Nitakuchukua kila asubuhi hadi tutakapozeeka."
    𝘼 𝙎𝙩𝙤𝙧𝙮 𝙤𝙛 𝙇𝙤𝙫𝙚 Siku ya harusi yangu, nilimbeba mke wangu mikononi mwangu. Tulipofika kwenye gorofa yetu ndogo, marafiki zangu waliniomba nimbebe ndani. Alikuwa mzito na mwenye haya wakati huo, na mimi nilikuwa bwana harusi mwenye furaha na mwenye nguvu. Hiyo ilikuwa miaka kumi iliyopita. Maisha yetu baada ya ndoa yalikuwa rahisi, kama glasi ya maji safi. Tulikuwa na mtoto, na nilifanya kazi kwa bidii ili kukuza biashara yangu. Kadiri nilivyozidi kupata pesa, mapenzi yetu yalififia taratibu. Mke wangu alikuwa mfanyakazi wa serikali, na tulikuwa tukiondoka nyumbani na kurudi wakati uleule kila siku. Mtoto wetu alisoma katika shule ya bweni. Kwa nje, maisha yetu yalionekana kuwa yenye furaha, lakini ndani kabisa, mabadiliko yalikuwa yakitokea. Kisha, nilikutana na Dew. Ilikuwa ni siku nzuri wakati Dew alinikumbatia kwa nyuma. Nilihisi kupendwa tena. Hata nilikuwa nimemnunulia nyumba. Dew aliwahi kuniambia, "Wewe ni aina ya wanaume wanaowaona wasichana." Maneno yake yalinikumbusha mke wangu. Muda mrefu uliopita, alikuwa amesema kitu kimoja: "Unapofanikiwa, wanawake wengi watavutiwa nawe." Nilihisi hatia, nikijua nilikuwa nikimsaliti, lakini sikuweza kujizuia. Nilimuuliza Dew kwenda kuchukua samani wakati nikienda ofisini. Hakufurahi kwa sababu niliahidi kwenda naye. Siku hiyo, wazo la talaka likawa wazi zaidi akilini mwangu. Lakini ilikuwa ngumu kumwambia mke wangu. Alikuwa mke mzuri, akiandaa chakula cha jioni kila wakati na kushiriki jioni tulivu pamoja nami. Hata hivyo, moyo wangu haukuwa naye tena. Siku moja, kwa utani, nilimuuliza mke wangu, "Ungefanya nini ikiwa tutaachana?" Hakujibu, kana kwamba ni jambo lisilowezekana kufikiria. Lakini ndani kabisa, nilikuwa nikijiandaa. Mke wangu aliponitembelea ofisini kwangu, Dew alikuwa ametoka tu. Watu walimtazama mke wangu kwa huruma. Huenda alikisia kitu lakini akatabasamu kwa upole, ingawa niliona uchungu machoni mwake. Umande uliendelea kunisisitiza tuachane. Hatimaye, nilikubali. Jioni hiyo, mke wangu alipokuwa akiandaa sahani ya mwisho wakati wa chakula cha jioni, nilimshika mkono na kusema, "Nina jambo la kukuambia." Alikaa kimya, tayari alihisi kuna kitu kibaya. Nikasema, "Nataka talaka." Hakuwa na hasira mwanzoni na akauliza, "Kwa nini?" Nilikwepa kumjibu jambo ambalo lilimkera sana. Alitupa vijiti vyake chini na kupiga kelele, "Wewe si mwanaume!" Alilia usiku huo. Nilijua alikuwa anashangaa mapenzi yetu yameenda wapi, lakini sikuweza kumpa jibu. Kwa hatia, niliandika makubaliano ya talaka kumpa nyumba yetu, gari, na sehemu ya kampuni yangu. Aliichana. Kumwona akilia kwa kweli kulinifanya nijisikie raha, kana kwamba ningeweza kusonga mbele. Usiku mmoja, nilikuja nyumbani na kumwona akiandika kitu. Asubuhi iliyofuata, alinipa masharti yake ya talaka. Hakutaka chochote kutoka kwangu, lakini alikuwa na ombi moja: kumpa mwezi mmoja kabla ya talaka, na wakati huo, kuishi maisha kwa kawaida iwezekanavyo. Alisema, "Mwana wetu atamaliza mapumziko yake ya kiangazi katika mwezi mmoja. Sitaki aone ndoa yetu ikisambaratika." Pia aliomba jambo moja zaidi: "Siku ya harusi yetu, ulinibeba hadi nyumbani kwetu. Tunapoachana, nichukue nje ya chumba cha kulala hadi mlangoni kila asubuhi." Nilikubali, nikidhani ni njia yake ya kuaga kwa utamu fulani. Nilipomwambia Dew, alicheka na kudhani ni ujinga. Mwitikio wake ulinisumbua, lakini sikusema chochote. Siku ya kwanza, kubeba mke wangu nilijisikia vibaya. Mwana wetu alipiga makofi kwa furaha, akifikiri ilikuwa ya kufurahisha. Kila siku, ikawa rahisi. Niliona mambo ambayo sikuwa nimeona kwa muda mrefu: jinsi alivyoegemea kifua changu, vikumbusho vyake vya upole kuhusu maisha, na kupungua kwa uzito kulikonitia wasiwasi. Alikuwa amekonda sana. Kufikia siku za mwisho, niligundua bado ninampenda. Kumbeba mikononi mwangu kila asubuhi kulinikumbusha siku zetu za mapema tukiwa pamoja. Ulaini wake, harufu yake, utunzaji wake wa utulivu kwangu ... niliona yote wazi sasa. Siku ya mwisho, nilipomnyanyua, alisema kwa upole, "Laiti ungenibeba hivi hadi tuzeeke." Machozi yalinijaa. Niliendesha gari moja kwa moja hadi kwa Dew na kumwambia, "Sitaachana na mke wangu." Alishtuka na kukasirika, lakini nilijua uamuzi wangu ulikuwa sahihi. Nilipokuwa njiani kurudi, nilimnunulia mke wangu maua yake ya kupenda na kuandika kwenye kadi: "Nitakuchukua kila asubuhi hadi tutakapozeeka."
    Like
    Love
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·918 Просмотры
  • Wakati mwingine, ninashangaa ikiwa unatambua jinsi ninavyokupenda, ikiwa unaelewa ni kiasi gani ninajali. Huenda usielewe kikamilifu maana ya kupendwa nami, na huenda nisipate kamwe maneno ya kueleza kujitolea kwangu.

    Tangu nilipokutana na wewe, maisha yangu yalibadilika kwa njia ambazo sikuwahi kufikiria. Uwepo wako unazijaza siku zangu na mwanga na usiku wangu kwa amani. Daima jua kwamba kila wakati unapotabasamu, unalia, kila chembe ya furaha unayohisi, na kila hisia unayopata, ninaihisi pia kwa sababu wewe ni moyo wangu, na kukutazama ni kuona roho yangu.

    Kuna wakati maneno hunishinda, ninachoweza kufanya ni kutazama macho yako na kutumaini unaweza kuona undani wa upendo wangu. Nataka ujue kwamba furaha yako ni furaha yangu, na maumivu yako ni maumivu yangu. Mioyo yetu inapiga kama kitu kimoja, iliyounganishwa katika dansi ya zamani kama wakati.

    Katika ulimwengu huu mkubwa, wewe ni nanga yangu, mara kwa mara, na nyumbani. Kila wakati tunaposhiriki ni hazina ninayothamini sana. Upendo wangu kwako hauna kikomo, hauna wakati, na hauteteleki. Ni upendo unaopita maneno, upendo ambao unaweza kuhisiwa tu katika nyakati tulivu tunazoshiriki.

    Jua kwamba mimi ni wako sasa na hata milele na kwamba upendo wangu kwako hautapungua kamwe. Wewe ni kila kitu changu, moyo wangu, roho yangu, mpenzi wangu.
    Wakati mwingine, ninashangaa ikiwa unatambua jinsi ninavyokupenda, ikiwa unaelewa ni kiasi gani ninajali. Huenda usielewe kikamilifu maana ya kupendwa nami, na huenda nisipate kamwe maneno ya kueleza kujitolea kwangu. Tangu nilipokutana na wewe, maisha yangu yalibadilika kwa njia ambazo sikuwahi kufikiria. Uwepo wako unazijaza siku zangu na mwanga na usiku wangu kwa amani. Daima jua kwamba kila wakati unapotabasamu, unalia, kila chembe ya furaha unayohisi, na kila hisia unayopata, ninaihisi pia kwa sababu wewe ni moyo wangu, na kukutazama ni kuona roho yangu. Kuna wakati maneno hunishinda, ninachoweza kufanya ni kutazama macho yako na kutumaini unaweza kuona undani wa upendo wangu. Nataka ujue kwamba furaha yako ni furaha yangu, na maumivu yako ni maumivu yangu. Mioyo yetu inapiga kama kitu kimoja, iliyounganishwa katika dansi ya zamani kama wakati. Katika ulimwengu huu mkubwa, wewe ni nanga yangu, mara kwa mara, na nyumbani. Kila wakati tunaposhiriki ni hazina ninayothamini sana. Upendo wangu kwako hauna kikomo, hauna wakati, na hauteteleki. Ni upendo unaopita maneno, upendo ambao unaweza kuhisiwa tu katika nyakati tulivu tunazoshiriki. Jua kwamba mimi ni wako sasa na hata milele na kwamba upendo wangu kwako hautapungua kamwe. Wewe ni kila kitu changu, moyo wangu, roho yangu, mpenzi wangu. ♥️💘
    Love
    1
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·897 Просмотры
  • Furaha yetu sio pesa ✌ vado
    Furaha yetu sio pesa ✌ vado
    Love
    2
    · 0 Комментарии ·0 Поделились ·584 Просмотры ·0
Расширенные страницы