0 Comentários
·0 Compartilhamentos
·125 Visualizações
-
Child Birth Prediction in Kundli
Visit: https://bejandaruwalla.com/pages/child-birth-issues
Giving birth to a child and bringing a new life into the world is the dream of every married couple. It has been seen that not every couple is lucky enough to enjoy the feeling of becoming parents. They face difficulty in conceiving and face many problems during pregnancy. Problems such as the inability to decide the right time to conceive, difficulty in conceiving, the inability of the child to develop properly during pregnancy, etc. Believe it or not, Childbirth astrology Prediction by Date of birth answers every pregnancy-related problem. Childbirth issues may occur due to the misalignment of stars and planets in your birth chart.
Child Birth Prediction in Kundli Visit: https://bejandaruwalla.com/pages/child-birth-issues Giving birth to a child and bringing a new life into the world is the dream of every married couple. It has been seen that not every couple is lucky enough to enjoy the feeling of becoming parents. They face difficulty in conceiving and face many problems during pregnancy. Problems such as the inability to decide the right time to conceive, difficulty in conceiving, the inability of the child to develop properly during pregnancy, etc. Believe it or not, Childbirth astrology Prediction by Date of birth answers every pregnancy-related problem. Childbirth issues may occur due to the misalignment of stars and planets in your birth chart.0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·534 Visualizações -
USAJILI
#CONFIRMED;Timu ya Wananchi Yanga leo imempokea mchezaji wao kambini Avic Town Frank Assinki.
Frank Assinki muda wowote kuanzia sasa atatambulishwa kama mchezaji wao mpya waliomsajili kutoka Singida Big Stars kwa mkopo wa mwaka mmoja.
#SportsEliteUSAJILI 🚨#CONFIRMED;Timu ya Wananchi Yanga leo imempokea mchezaji wao kambini Avic Town Frank Assinki. Frank Assinki muda wowote kuanzia sasa atatambulishwa kama mchezaji wao mpya waliomsajili kutoka Singida Big Stars kwa mkopo wa mwaka mmoja. #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·349 Visualizações -
USAJILI MPYA: SINGIDA YAMSIGN KIUNGO IDRISS DIOMANDÉ 🇨🇮
Singida Black Stars imethibitisha kumsajili kiungo Idriss Diomandé kutoka Zoman FC ya Ivory Coast kwa mkataba wa miaka mitatu.
Diomandé tayari amejiunga na kikosi cha timu hiyo na ameanza maandalizi ya msimu mpya wa 2025/26 akiwa sehemu ya mipango ya kocha kwa msimu ujao.
#SportsElite🔁 USAJILI MPYA: SINGIDA YAMSIGN KIUNGO IDRISS DIOMANDÉ 🇨🇮 Singida Black Stars 🇹🇿 imethibitisha kumsajili kiungo Idriss Diomandé kutoka Zoman FC ya Ivory Coast kwa mkataba wa miaka mitatu. Diomandé tayari amejiunga na kikosi cha timu hiyo na ameanza maandalizi ya msimu mpya wa 2025/26 akiwa sehemu ya mipango ya kocha kwa msimu ujao.✅ #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·270 Visualizações -
...Mshambuliaji wa Zambia Andrew Phiri (24) amekamilisha uhamisho wake kujiunga na klabu ya *Singida Black Stars* kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea *FC Muza*.
#SportsElite✍️...Mshambuliaji wa Zambia Andrew Phiri (24) amekamilisha uhamisho wake kujiunga na klabu ya *Singida Black Stars* kwa mkataba wa miaka mitatu akitokea *FC Muza*. #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·257 Visualizações -
Klabu ya Yanga imekamlisha usajili wa Mchezaji Edmund John kutoka Singida Black Stars
Edmund John ni miongoni mwa wachezaji wa Yanga ambao wamewasili Rwanda kwaajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Rayon Sports siku ya Ijumaa
Edmund raia wa Tanzania anajiunga na Yanga kwa mkataba wa miaka miwili.
#SportsElite🚨🚨Klabu ya Yanga imekamlisha usajili wa Mchezaji Edmund John kutoka Singida Black Stars Edmund John ni miongoni mwa wachezaji wa Yanga ambao wamewasili Rwanda kwaajili ya mchezo wa kirafiki dhidi ya Rayon Sports siku ya Ijumaa Edmund raia wa Tanzania anajiunga na Yanga kwa mkataba wa miaka miwili. #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·539 Visualizações -
Klabu ya Singida Black Stars imekamilisha usajili wa mshambuliaji raia wa Congo DR Malanga Horso Mwaku (21).
Tayari ameshawaaga FC Lupopo , Mkataba wa miaka 3 umesainiwa tayari .
Muda wowote kuanzia sasa kuwasili Tanzania ili kujiunga na waajiri wake hao wapya .
#SportsElite🚨🚨Klabu ya Singida Black Stars imekamilisha usajili wa mshambuliaji raia wa Congo DR Malanga Horso Mwaku (21). Tayari ameshawaaga FC Lupopo , Mkataba wa miaka 3 umesainiwa tayari . Muda wowote kuanzia sasa kuwasili Tanzania ili kujiunga na waajiri wake hao wapya . #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·500 Visualizações -
𝐑𝐀𝐒𝐌𝐈: Klabu ya Yanga Sc imethibitisha kumsajili beki wa kulia Israel Patrick Mwenda kwa mkataba wa miaka mitatu utakaombakisha klabuni hapo mpaka Juni 2028 akitokea Singida Black Stars.
Mwenda (25) raia wa Tanzania ambaye alicheza Yanga Sc kwa mkopo msimu uliopita ameamua kuendelea kuwatumikia Wananchi mpaka 2028.
#SportsElite📝 𝐑𝐀𝐒𝐌𝐈: Klabu ya Yanga Sc imethibitisha kumsajili beki wa kulia Israel Patrick Mwenda kwa mkataba wa miaka mitatu utakaombakisha klabuni hapo mpaka Juni 2028 akitokea Singida Black Stars. Mwenda (25) raia wa Tanzania ambaye alicheza Yanga Sc kwa mkopo msimu uliopita ameamua kuendelea kuwatumikia Wananchi mpaka 2028. #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·575 Visualizações -
Original Banksy art is a rare collector’s treasure, valued for its authenticity, cultural impact, and lasting investment potential in the world of contemporary and street art.
https://starsigned.wordpress.com/2025/07/04/why-original-banksy-art-is-the-ultimate-collectors-treasure/
Original Banksy art is a rare collector’s treasure, valued for its authenticity, cultural impact, and lasting investment potential in the world of contemporary and street art. https://starsigned.wordpress.com/2025/07/04/why-original-banksy-art-is-the-ultimate-collectors-treasure/0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·435 Visualizações -
Explore rare Manchester United signed memorabilia, from legendary autographs to modern stars, capturing historic moments and the legacy of one of football’s greatest clubs.
https://www.bipluxuryapts.com/rare-and-valuable-manchester-united-signed-memorabilia-you-should-know-about
Explore rare Manchester United signed memorabilia, from legendary autographs to modern stars, capturing historic moments and the legacy of one of football’s greatest clubs. https://www.bipluxuryapts.com/rare-and-valuable-manchester-united-signed-memorabilia-you-should-know-about0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·458 Visualizações -
UPDATE
Mchezo wa ufunguzi wa mashindano ya CHAN 2024 utakuwa ni kati ya timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' dhidi ya Burkina Faso , mchezo utachezwa Agosti 2 pale Benjamin Mkapa.
#sportseliteUPDATE 🚨 🚨 Mchezo wa ufunguzi wa mashindano ya CHAN 2024 utakuwa ni kati ya timu ya taifa ya Tanzania 🇹🇿 'Taifa Stars' dhidi ya Burkina Faso 🇧🇫, mchezo utachezwa Agosti 2 pale Benjamin Mkapa. #sportselite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·525 Visualizações -
*...||TEAM ZILIZOFUZU KUCHEZA CAF CHAMPIONS LEAGUE 2025/26*
1. Al Ahly SC
2. RS Berkane
3. AS FAR
4. Pyramids FC
5. Esperance Tunis
6. US Monastir
7. Mamelodi Sundowns
8. Orlando Pirates
9. Simba SC
10. Young Africans Sports Club
11. Rahimo
12. FC Nouadhibou
13. Al Hilal Omdurman
14. Al Merriekh
15. Petro Luanda
16. Remo Stars
17. Vipers SC
18. Mangasport
19. Fassell
20. Lioli
21. Aigle Noir
22. Power Dynamos*...||TEAM ZILIZOFUZU KUCHEZA CAF CHAMPIONS LEAGUE 2025/26* 1. 🇪🇬 Al Ahly SC 2. 🇲🇦 RS Berkane 3. 🇲🇦 AS FAR 4. 🇪🇬 Pyramids FC 5. 🇹🇳 Esperance Tunis 6. 🇹🇳 US Monastir 7. 🇿🇦 Mamelodi Sundowns 8. 🇿🇦 Orlando Pirates 9. 🇹🇿 Simba SC 10. 🇹🇿 Young Africans Sports Club 11. 🇧🇫 Rahimo 12. 🇲🇷 FC Nouadhibou 13. 🇸🇩 Al Hilal Omdurman 14. 🇸🇩 Al Merriekh 15. 🇦🇴 Petro Luanda 16. 🇳🇬 Remo Stars 17. 🇺🇬 Vipers SC 18. 🇬🇦 Mangasport 19. 🇱🇷 Fassell 20. 🇱🇸 Lioli 21. 🇧🇮 Aigle Noir 22. 🇿🇲 Power Dynamos -
Mchezaji wa klabu ya Yanga SC na Askari, Ibrahim Bacca amepandishwa cheo kutoka kuwa Koplo hadi Sajenti. Mchezaji huyo amepandishwa cheo kutokana na kuonyesha kiwango bora katika klabu yake ya Yanga SC pamoja na timu ya taifa ya Tanzania (Taifa stars).
Mchezaji wa klabu ya Yanga SC na Askari, Ibrahim Bacca amepandishwa cheo kutoka kuwa Koplo hadi Sajenti. Mchezaji huyo amepandishwa cheo kutokana na kuonyesha kiwango bora katika klabu yake ya Yanga SC pamoja na timu ya taifa ya Tanzania (Taifa stars).0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·664 Visualizações -
Ni mwendo wa kuchambua kila kitu, hakuna cha kupoteza.
"UZINDUZI WA AIRTEL SDTADIUM,KAPETI LA SINGIDA BLACK STARS..Kudos @singidablackstarssc 👏🏻👏🏻👏🏻
Wakubwa wa Kariakoo mtapanga kwa watoto Mpaka Lini? Kila Mwaka kuna Michoro mipya ya Uwanja hasa Uchaguzi ukikaribia
Ukiwa na Kiwanja chako hata Ukituwekea Mabaunsa 10000 Kidogo unaweza Kueleweka.
Au Ukiwa na Kiwanja Chako Mwenyewe hakuna mtu atakuuliza eti mbona umekuja Kufanya Mazoezi bila Kutoa taarifa?
Ukiwa na Kiwanja chako unaweza Kuja hata na Ng’ombe Mazoezini ,mbuzi Kitu gani?
Note; Cha Muhimu zaidi Dimba hili linapatikana Pale MTIPA" - Wilson Orumo, Mchambuzi
Ni mwendo wa kuchambua kila kitu, hakuna cha kupoteza. "UZINDUZI WA AIRTEL SDTADIUM,KAPETI LA SINGIDA BLACK STARS..Kudos @singidablackstarssc 👏🏻👏🏻👏🏻 Wakubwa wa Kariakoo mtapanga kwa watoto Mpaka Lini? Kila Mwaka kuna Michoro mipya ya Uwanja hasa Uchaguzi ukikaribia 😅😅😅😅🙌 Ukiwa na Kiwanja chako hata Ukituwekea Mabaunsa 10000 Kidogo unaweza Kueleweka. Au Ukiwa na Kiwanja Chako Mwenyewe hakuna mtu atakuuliza eti mbona umekuja Kufanya Mazoezi bila Kutoa taarifa? Ukiwa na Kiwanja chako unaweza Kuja hata na Ng’ombe Mazoezini ,mbuzi Kitu gani? 😅 Note; Cha Muhimu zaidi Dimba hili linapatikana Pale MTIPA✅" - Wilson Orumo, Mchambuzi ✍️0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·634 Visualizações -
"Kongole sana Singida Black stars kwa hii project. Ni mchoro wa uwanja utakaozinduliwa Machi 24, 2025. Mafanikio ya miradi namna hii kwa kushirikiana na wadau yanaeeza kutoka somo kwa klabu nyingine juu ya nini cha kufanya katika kufanikisha ujenzi wake wakishirikiana na wabia wenye kuweza kunufaika na haki kama za jina la uwanja n.k. Je, itakuwa vipi? Ni suala la kusubiri uzinduzi wake rasmi: KONGOLE SANA SBS!!" - Ramadhani Mbwaduke, Mchambuzi akiwapokeza klabu ya Singida Black Stars kwa kuzindua mradi wao kujenga Uwanja.
"Kongole sana Singida Black stars kwa hii project. Ni mchoro wa uwanja utakaozinduliwa Machi 24, 2025. Mafanikio ya miradi namna hii kwa kushirikiana na wadau yanaeeza kutoka somo kwa klabu nyingine juu ya nini cha kufanya katika kufanikisha ujenzi wake wakishirikiana na wabia wenye kuweza kunufaika na haki kama za jina la uwanja n.k. Je, itakuwa vipi? Ni suala la kusubiri uzinduzi wake rasmi: KONGOLE SANA SBS!!" - Ramadhani Mbwaduke, Mchambuzi akiwapokeza klabu ya Singida Black Stars kwa kuzindua mradi wao kujenga Uwanja.0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·653 Visualizações -
"Kwa mijadala ambayo nimeitazama inaendelea baada ya mchezo wa Yanga na Singida Black Stars inaonyesha kuwa asilimia kubwa ya watu walikuwa na matokeo ya Singida kushinda kwenye mechi hiyo.
Kikawaida mwalimu anaweza kupanga kikosi kulingana na mahitaji ya mchezo husika na namna ambavyo amewasoma wapinzani na sio mchezaji bora anaweza kuanza kwenye mechi.
Kinachoendelea kwasasa ni kuzinyima uhuru hizi timu za madaraja ya chini kuamua wachezaji zitakazowatumia kwenye michezo yake dhidi ya Simba na Yanga.
Hii pia ni aina moja wapo ya kudumaza soka letu. Yanga kwenye ubora wao kila timu imepata ilichokitegemea, kila timu imevuna ilichokipanda.Ili timu isiwe imepanga matokeo lazima iifunge Yanga? Na ikifungwa tu basi imepanga matokeo?
Tuwape uhuru makocha wa kuamua nyota watakaocheza kwenye michezo husika kulingana na mbinu za wapinzani wao." - Lameck Shabahanga Mwandishi wa habari.
"Kwa mijadala ambayo nimeitazama inaendelea baada ya mchezo wa Yanga na Singida Black Stars inaonyesha kuwa asilimia kubwa ya watu walikuwa na matokeo ya Singida kushinda kwenye mechi hiyo. Kikawaida mwalimu anaweza kupanga kikosi kulingana na mahitaji ya mchezo husika na namna ambavyo amewasoma wapinzani na sio mchezaji bora anaweza kuanza kwenye mechi. Kinachoendelea kwasasa ni kuzinyima uhuru hizi timu za madaraja ya chini kuamua wachezaji zitakazowatumia kwenye michezo yake dhidi ya Simba na Yanga. Hii pia ni aina moja wapo ya kudumaza soka letu. Yanga kwenye ubora wao kila timu imepata ilichokitegemea, kila timu imevuna ilichokipanda.Ili timu isiwe imepanga matokeo lazima iifunge Yanga? Na ikifungwa tu basi imepanga matokeo? Tuwape uhuru makocha wa kuamua nyota watakaocheza kwenye michezo husika kulingana na mbinu za wapinzani wao." - Lameck Shabahanga Mwandishi wa habari.0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·847 Visualizações -
"Wakati tunazilaumu Simba Sports na Azam Football Club Kuukosa Ubingwa,tukumbuke pia Mazingira Yao Magumu ya Kushindana
Parameters za Simba Sports na Azam Fc Kuchukua Ubingwa zimebadilika Kabisa na ni tofauti Washindani wenzao Kwenye Ligi
Kuna hoja Lazy sana eti Mbona Simba Sports alicheza na Tabora United Dhaifu?
Kwenye Mechi zote 2 Tabora wana uwezo wa Ku justifie Kwanini walichezesha Vikosi vile na ukawaelewa vizuri tu.
Mechi ya Kwanza n issue ya Vibali,na mechi ya Pili Heritier Makambo alikuwa na Kadi 3 za njano. Yacouba Sogne alikuwa ni Majeruhi..
Kuna hoja Lazy nyingine Kwamba mbona Kikosi bora cha Singida Black Stars Kilifungwa 2-0 na KMC ambayo ilifungwa 6-1 na Yanga?
Kwanza Kwenye hiyo hoja hapo wote tumekubaliana Kwamba Singida Black Stars wamepanga Kikosi Dhaifu
Pili, Sisi hatusemi Singida Black Stars angepanga Kikosi bora lazima angeshinda dhidi ya Yanga au asingepoteza mechi
Mbona ile Mechi ya Kwanza Kule Amani Complex Zanzibar Singida Black Stars waliweka Full Mkoko na bado Yanga alishinda 1-0 bao la Paccome ?
Swali ni Sababu ipi ya Singida Black Stars Kubadilisha wachezaji 6 Kutoka Kwenye Kikosi Kilichomfunga Jkt Tanzania 1-0?
Mbaya zaidi Kuna wachezaji walichezeshwa Kabisa nje ya Maeneo ya ya asili na wachezaji wenye nafasi zao wakiwa bench
Singida black stars Dhaifu ilipigwa 2-0 Kipindi Cha Kwanza na Stars bora ilishinda 1-0 Kipindi cha Pili.
Ligi yetu tukufu inachezewa na watu ambao hawana nia njema na Mpira wetu na Kama tusipotwanga sasa hivi tutakuja Kuula Mbichi" - Wilson Orumo, Mchambuzi.
"Wakati tunazilaumu Simba Sports na Azam Football Club Kuukosa Ubingwa,tukumbuke pia Mazingira Yao Magumu ya Kushindana Parameters za Simba Sports na Azam Fc Kuchukua Ubingwa zimebadilika Kabisa na ni tofauti Washindani wenzao Kwenye Ligi Kuna hoja Lazy sana eti Mbona Simba Sports alicheza na Tabora United Dhaifu? Kwenye Mechi zote 2 Tabora wana uwezo wa Ku justifie Kwanini walichezesha Vikosi vile na ukawaelewa vizuri tu. Mechi ya Kwanza n issue ya Vibali,na mechi ya Pili Heritier Makambo alikuwa na Kadi 3 za njano. Yacouba Sogne alikuwa ni Majeruhi.. Kuna hoja Lazy nyingine Kwamba mbona Kikosi bora cha Singida Black Stars Kilifungwa 2-0 na KMC ambayo ilifungwa 6-1 na Yanga? Kwanza Kwenye hiyo hoja hapo wote tumekubaliana Kwamba Singida Black Stars wamepanga Kikosi Dhaifu Pili, Sisi hatusemi Singida Black Stars angepanga Kikosi bora lazima angeshinda dhidi ya Yanga au asingepoteza mechi Mbona ile Mechi ya Kwanza Kule Amani Complex Zanzibar Singida Black Stars waliweka Full Mkoko na bado Yanga alishinda 1-0 bao la Paccome ? Swali ni Sababu ipi ya Singida Black Stars Kubadilisha wachezaji 6 Kutoka Kwenye Kikosi Kilichomfunga Jkt Tanzania 1-0? Mbaya zaidi Kuna wachezaji walichezeshwa Kabisa nje ya Maeneo ya ya asili na wachezaji wenye nafasi zao wakiwa bench Singida black stars Dhaifu ilipigwa 2-0 Kipindi Cha Kwanza na Stars bora ilishinda 1-0 Kipindi cha Pili. Ligi yetu tukufu inachezewa na watu ambao hawana nia njema na Mpira wetu na Kama tusipotwanga sasa hivi tutakuja Kuula Mbichi" - Wilson Orumo, Mchambuzi.0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações -
KUTOKA SINGIDA BLACK STARS
HII NI KWENU WACHAMBUZI WOTE WENYE USHABIKI KULIKO UCHAMBUZI
Singida Black stars Sc ni Timu yenye utaratibu wake na mipango yake juu ya kuiongoza Timu yake kwa misingi yake
Timu yetu haipangiwi na wala hatupelekeshwi na maneno ya mitandaoni katika kuiendesha Timu Yetu, Tunaomba Mfahamu kuwa kila mchezaji Tuliyemsajili anatufaa na anafaa kuipambania Nembo ya Timu yetu
Katika kikosi chetu chenye jumla ya wachezaji 33 wote wakiwa wazima wa Afya na Fitness nzuri kocha wetu na Benchi letu la Ufundi lina uhuru wa Kumchagua Mchezaji yeyote akaanza katika kikosi cha kwanza katika mchezo wowote
Rejea michezo Yetu Mitatu ya nyuma kabla ya mchezo wa jana dhidi ya Yanga sc Tulicheza michezo 3 dhidi ya Kagera Sugar, KMC Fc, na JKT Tanzania
Katika mchezo wetu dhidi ya Kagera sugar tulianzisha wachezaji wengi wa kimataifa na Tulipata sare ya goli 2-2 mchezo uliofuata tukacheza dhidi ya KMC FC na wachezaji wengi wa kimataifa walianza pia tukafungwa goli 2 bila Benchi la ufundi kikafanya mabadiliko kadhaa kwenye mchezo uliofuata dhidi ya JKT Tanzania Na tukapata ushindi kwenye moja ya Viwanja ambavyo Timu zote za ligi kuu hakuna iliyopata ushindi
Baada ya Benchi la Ufundi kuridhika na vipaji vya wachezaji wetu wa ndani waliotupa Ushindi wa mchezo wa JKT Tanzania wakaridhishwa kwamba wachezaji wale wanafaa baadhi yao kuanza kwenye mchezo dhidi ya Yanga, kwa upande wa Timu yetu Tumefurahi Timu ilicheza vizuri kwa nidhamu ya hali ya juu na mchezo ukaisha kwa goal 2-1
Sasa baada ya mchezo ule wameibuka watu wanaojiita wachambuzi kwa vivuli vya ushabiki wao na roho zao mbaya na umaskini uliowajaa wanataka kutupangia Kikosi chetu kitu Ambacho kwetu hakikubaliki hata kidogo
Ni mfano uone mwanaume Ameoa wake 4 alafu wewe jirani yake unataka kumpangia kwamba Leo kalale kwa mwanamke huyu na utapikiwa na huyu hilo haliwezekani Abadani SISI HATUPANGIWI MAISHA NA VITAKATAKA KAMA NYINYI
KUTOKA SINGIDA BLACK STARS ✍️ HII NI KWENU WACHAMBUZI WOTE WENYE USHABIKI KULIKO UCHAMBUZI Singida Black stars Sc ni Timu yenye utaratibu wake na mipango yake juu ya kuiongoza Timu yake kwa misingi yake Timu yetu haipangiwi na wala hatupelekeshwi na maneno ya mitandaoni katika kuiendesha Timu Yetu, Tunaomba Mfahamu kuwa kila mchezaji Tuliyemsajili anatufaa na anafaa kuipambania Nembo ya Timu yetu Katika kikosi chetu chenye jumla ya wachezaji 33 wote wakiwa wazima wa Afya na Fitness nzuri kocha wetu na Benchi letu la Ufundi lina uhuru wa Kumchagua Mchezaji yeyote akaanza katika kikosi cha kwanza katika mchezo wowote Rejea michezo Yetu Mitatu ya nyuma kabla ya mchezo wa jana dhidi ya Yanga sc Tulicheza michezo 3 dhidi ya Kagera Sugar, KMC Fc, na JKT Tanzania Katika mchezo wetu dhidi ya Kagera sugar tulianzisha wachezaji wengi wa kimataifa na Tulipata sare ya goli 2-2 mchezo uliofuata tukacheza dhidi ya KMC FC na wachezaji wengi wa kimataifa walianza pia tukafungwa goli 2 bila Benchi la ufundi kikafanya mabadiliko kadhaa kwenye mchezo uliofuata dhidi ya JKT Tanzania Na tukapata ushindi kwenye moja ya Viwanja ambavyo Timu zote za ligi kuu hakuna iliyopata ushindi Baada ya Benchi la Ufundi kuridhika na vipaji vya wachezaji wetu wa ndani waliotupa Ushindi wa mchezo wa JKT Tanzania wakaridhishwa kwamba wachezaji wale wanafaa baadhi yao kuanza kwenye mchezo dhidi ya Yanga, kwa upande wa Timu yetu Tumefurahi Timu ilicheza vizuri kwa nidhamu ya hali ya juu na mchezo ukaisha kwa goal 2-1 Sasa baada ya mchezo ule wameibuka watu wanaojiita wachambuzi kwa vivuli vya ushabiki wao na roho zao mbaya na umaskini uliowajaa wanataka kutupangia Kikosi chetu kitu Ambacho kwetu hakikubaliki hata kidogo Ni mfano uone mwanaume Ameoa wake 4 alafu wewe jirani yake unataka kumpangia kwamba Leo kalale kwa mwanamke huyu na utapikiwa na huyu hilo haliwezekani Abadani SISI HATUPANGIWI MAISHA NA VITAKATAKA KAMA NYINYI0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações -
-
Movie Name: Flight Risk (2025)
Rating: 83
Quality: 480p | 720p | 1080p HD
Duration: 91 min.
Language: English, Deutsch
Subtitles: English, Deutsch
Credit Cast: Michelle Dockery Davis Entertainment
Stars: Michelle Dockery, Mark Wahlberg, Topher Grace, Leah Remini, Paul Ben-Victor, Maaz Ali
Genres: Action, Thriller, Crime
Download link https://leakedcinema.com/en/movie/1126166/FlightRiskMovie Name: Flight Risk (2025) Rating: 83 Quality: 480p | 720p | 1080p HD Duration: 91 min. Language: English, Deutsch Subtitles: English, Deutsch Credit Cast: Michelle Dockery Davis Entertainment Stars: Michelle Dockery, Mark Wahlberg, Topher Grace, Leah Remini, Paul Ben-Victor, Maaz Ali Genres: Action, Thriller, Crime Download link 👉 https://leakedcinema.com/en/movie/1126166/FlightRisk0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações
Páginas Impulsionadas