• Rasmi Yanga wamemtambulisha kiungo mkabaji wa Mlandege,Abdulnassir Mohammed Abdallah,maarufu Kama “Casemiro” kwa mkataba wa miaka mitatu.

    Yanga wameshinda vita ya kumnasa kiungo huyo mbele ya Azam Fc,JKT na Singida.

    #SportsElite
    🚨 Rasmi Yanga wamemtambulisha kiungo mkabaji wa Mlandege,Abdulnassir Mohammed Abdallah,maarufu Kama “Casemiro” kwa mkataba wa miaka mitatu. Yanga wameshinda vita ya kumnasa kiungo huyo mbele ya Azam Fc,JKT na Singida. #SportsElite
    Haha
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·131 Views
  • Umrah Package: My Journey from Houston to the Holy Cities Booking an umrah package was the best decision I made this year. Living in Houston, I was surrounded by endless options, but choosing the right one felt overwhelming. I knew I wanted something spiritual, smooth, and sacred without stressing over logistics. This blog is a reflection of that journey, and I hope it guides others from Houston seeking a similar path. vist :https://blogg-booster.com/best-umrah-packages-from-usa-for-dallas-pilgrims/
    Why Houston Is a Great Starting Point for Umrah
    Houston is a vibrant city with a large Muslim community. That makes it easy to find packages that cater to every need.
    From visa assistance to direct flights, everything is well-organized here. Many Houston-based agencies offer packages departing from major airports, which reduces travel hassles. I personally appreciated the direct access to seasoned travel consultants who understood my expectations.
    What Makes a Good Umrah Package?
    Not all packages are created equal. I realized this the hard way.
    A good umrah package should cover more than flights and hotels. It should be a comprehensive experience spiritually enriching and logistically seamless. My focus was on finding a plan that included:
    Visa processing
    Roundtrip airfare
    Hotel accommodation near Haram
    Ground transportation
    Daily guidance or group leaders
    It took some comparing, but I found the best one with transparent services.
    Exploring August Umrah Packages: Ideal for Families
    August Umrah Packages are incredibly popular, especially for families.
    This is often a time when school breaks or work flexibility allow families to travel together. I noticed many agencies offer tailored plans during this month. Some even include group pricing and children-friendly facilities. The summer break also means fewer crowds in some weeks, making it peaceful for personal worship.
    One of the best things I enjoyed was seeing families doing tawaf together, united in faith.
    Budgeting Your Umrah Trip from Houston
    Let’s talk money because it's important.
    My umrah package included everything from flights to accommodations, and the total cost was surprisingly affordable. I didn’t opt for luxury, but I didn’t compromise on cleanliness or proximity to the Haram either.
    Booking early helped me get better rates. A few friends who waited until the last minute paid significantly more. I’d recommend comparing three to four packages before making a decision.
    Choosing Between Group and Solo Umrah Packages
    Both options have their perks.
    Group packages from Houston often include guided tours, fixed itineraries, and companionship. For first-timers, this brings a sense of security. On the other hand, I preferred solo travel. Having the flexibility to schedule my day around my energy and spiritual focus felt empowering. It wasn’t lonely; it was liberating.
    If you're a confident traveler, solo might be your calling.
    My Experience Booking with Hajj Umrah 4U US
    I booked my umrah package through Hajj Umrah 4U US, and the entire process was smooth.
    From the initial inquiry to the post-arrival support, their professionalism stood out. They handled the documentation efficiently, guided me on packing essentials, and even checked in after I returned. That extra layer of care made a big difference.
    No unnecessary delays, no hidden costs just genuine service.
    Best Travel Tips for Umrah from Houston
    Always carry a small power bank and extra Ihram
    Learn basic Arabic phrases to navigate easily
    Choose a hotel within walking distance to the Haram
    Carry your own prayer mat
    Hydrate often, especially during August Umrah Packages
    These small steps made my trip easier and more focused.
    What I Gained Beyond the Rituals
    Performing Umrah wasn’t just about the rituals.
    It was about the transformation I felt inside. Walking through Masjid al-Haram at dawn, seeing the Kaaba for the first time it moved me beyond words. The silence between prayers, the kindness of strangers, the spiritual clarity these moments left a lasting mark.
    The convenience of the umrah package allowed me to focus on these experiences rather than logistics.
    Houston Umrah Options Are Expanding
    Every year, more travel agencies in Houston join the market.
    That means better services, competitive pricing, and more package types. Whether you want a basic plan or something VIP, there’s an option for you. Some even offer female-led groups or youth-oriented plans.
    I’m already planning to go again next year, insha’Allah.
    Final Thoughts: Make It Your Journey
    Your spiritual journey is yours to shape.
    While August Umrah Packages offer great value, it’s not just about deals it's about preparation, intention, and presence. Find a package that supports your spiritual goals, not just your schedule.
    If you're in Houston, you're in the right place to begin.
    Frequently Asked Questions
    1. How early should I book my Umrah package from Houston?
    I recommend booking at least 2–3 months in advance, especially if you're aiming for August Umrah Packages.
    2. Can I customize my Umrah package?
    Yes, many agencies allow customization whether it’s flight class, hotel level, or trip duration.
    3. What documents are required for an Umrah visa from the US?
    You’ll need a valid passport, passport-sized photos, a vaccination certificate, and a confirmed return ticket.
    Umrah Package: My Journey from Houston to the Holy Cities Booking an umrah package was the best decision I made this year. Living in Houston, I was surrounded by endless options, but choosing the right one felt overwhelming. I knew I wanted something spiritual, smooth, and sacred without stressing over logistics. This blog is a reflection of that journey, and I hope it guides others from Houston seeking a similar path. vist :https://blogg-booster.com/best-umrah-packages-from-usa-for-dallas-pilgrims/ Why Houston Is a Great Starting Point for Umrah Houston is a vibrant city with a large Muslim community. That makes it easy to find packages that cater to every need. From visa assistance to direct flights, everything is well-organized here. Many Houston-based agencies offer packages departing from major airports, which reduces travel hassles. I personally appreciated the direct access to seasoned travel consultants who understood my expectations. What Makes a Good Umrah Package? Not all packages are created equal. I realized this the hard way. A good umrah package should cover more than flights and hotels. It should be a comprehensive experience spiritually enriching and logistically seamless. My focus was on finding a plan that included: Visa processing Roundtrip airfare Hotel accommodation near Haram Ground transportation Daily guidance or group leaders It took some comparing, but I found the best one with transparent services. Exploring August Umrah Packages: Ideal for Families August Umrah Packages are incredibly popular, especially for families. This is often a time when school breaks or work flexibility allow families to travel together. I noticed many agencies offer tailored plans during this month. Some even include group pricing and children-friendly facilities. The summer break also means fewer crowds in some weeks, making it peaceful for personal worship. One of the best things I enjoyed was seeing families doing tawaf together, united in faith. Budgeting Your Umrah Trip from Houston Let’s talk money because it's important. My umrah package included everything from flights to accommodations, and the total cost was surprisingly affordable. I didn’t opt for luxury, but I didn’t compromise on cleanliness or proximity to the Haram either. Booking early helped me get better rates. A few friends who waited until the last minute paid significantly more. I’d recommend comparing three to four packages before making a decision. Choosing Between Group and Solo Umrah Packages Both options have their perks. Group packages from Houston often include guided tours, fixed itineraries, and companionship. For first-timers, this brings a sense of security. On the other hand, I preferred solo travel. Having the flexibility to schedule my day around my energy and spiritual focus felt empowering. It wasn’t lonely; it was liberating. If you're a confident traveler, solo might be your calling. My Experience Booking with Hajj Umrah 4U US I booked my umrah package through Hajj Umrah 4U US, and the entire process was smooth. From the initial inquiry to the post-arrival support, their professionalism stood out. They handled the documentation efficiently, guided me on packing essentials, and even checked in after I returned. That extra layer of care made a big difference. No unnecessary delays, no hidden costs just genuine service. Best Travel Tips for Umrah from Houston Always carry a small power bank and extra Ihram Learn basic Arabic phrases to navigate easily Choose a hotel within walking distance to the Haram Carry your own prayer mat Hydrate often, especially during August Umrah Packages These small steps made my trip easier and more focused. What I Gained Beyond the Rituals Performing Umrah wasn’t just about the rituals. It was about the transformation I felt inside. Walking through Masjid al-Haram at dawn, seeing the Kaaba for the first time it moved me beyond words. The silence between prayers, the kindness of strangers, the spiritual clarity these moments left a lasting mark. The convenience of the umrah package allowed me to focus on these experiences rather than logistics. Houston Umrah Options Are Expanding Every year, more travel agencies in Houston join the market. That means better services, competitive pricing, and more package types. Whether you want a basic plan or something VIP, there’s an option for you. Some even offer female-led groups or youth-oriented plans. I’m already planning to go again next year, insha’Allah. Final Thoughts: Make It Your Journey Your spiritual journey is yours to shape. While August Umrah Packages offer great value, it’s not just about deals it's about preparation, intention, and presence. Find a package that supports your spiritual goals, not just your schedule. If you're in Houston, you're in the right place to begin. Frequently Asked Questions 1. How early should I book my Umrah package from Houston? I recommend booking at least 2–3 months in advance, especially if you're aiming for August Umrah Packages. 2. Can I customize my Umrah package? Yes, many agencies allow customization whether it’s flight class, hotel level, or trip duration. 3. What documents are required for an Umrah visa from the US? You’ll need a valid passport, passport-sized photos, a vaccination certificate, and a confirmed return ticket.
    0 Reacties ·0 aandelen ·1K Views
  • NIVESHE IDD

    Alhamdulillah
    Jana tumetoa sadaka z iftar kwa wajane n walemavu

    ndugu Nawaomba
    Pia tuna watoto 10 yatima wanafunga Wallah tuwakumbuke TUVESHE HAWA WATOTO WETU 10
    KILA MTOTO NI 60,000 INAMTOSHA
    60,000×10=600,000

    Tumebakisha siku 15 tu kufikia idd naomba tuwaguse kwa kidogo na kikubwa

    0655987549
    TIGOPESA
    MOZA MOHAMED

    SADAKA ni ibada
    Alhamdulillah 🤲 Jana tumetoa sadaka z iftar kwa wajane n walemavu ndugu Nawaomba Pia tuna watoto 10 yatima wanafunga Wallah ❤️ tuwakumbuke TUVESHE HAWA WATOTO WETU 10 KILA MTOTO NI 60,000 INAMTOSHA 60,000×10=600,000 Tumebakisha siku 15 tu kufikia idd naomba tuwaguse kwa kidogo na kikubwa 0655987549 TIGOPESA MOZA MOHAMED SADAKA ni ibada
    Tsh0 Raised of Tsh600000
    0%
    Like
    Love
    2
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·905 Views ·0 Donations
  • MAJINA 99 YA MWENYEZI MUNGU
    "99 Names of Allah"
    MAJINA 99 YA MWENYEZI MUNGU "99 Names of Allah"
    0 Reacties ·0 aandelen ·472 Views
  • Alhamdulillah MASHALLAH

    napokea iftari kwa AJILI ya ndugu ndugu zetu mayatima wajane mafakir


    Tunaomba swadaka ya kufturisha ndugu waislam wenzetu katika funga hii
    Swadaka ni tiba swadaka ni ibada kubwa zaidi
    ibada

    SUKARI KG 100
    TAMBI
    MCHELE KG 200
    NGANO KG 100

    CHANGIA SADAKA KIDOGO KWA PALE ULIPO BARIKIWA ALLAH ATAKULIPA

    0655987549
    TIGOPESA
    MOZA MOHAMED

    SWADAKA NDIO IBADA KUBWA ZAIDI
    Alhamdulillah MASHALLAH 🤲 napokea iftari kwa AJILI ya ndugu ndugu zetu mayatima wajane mafakir Tunaomba swadaka ya kufturisha ndugu waislam wenzetu katika funga hii Swadaka ni tiba swadaka ni ibada kubwa zaidi ibada SUKARI KG 100 TAMBI MCHELE KG 200 NGANO KG 100 CHANGIA SADAKA KIDOGO KWA PALE ULIPO BARIKIWA ALLAH ATAKULIPA 0655987549 TIGOPESA MOZA MOHAMED SWADAKA NDIO IBADA KUBWA ZAIDI
    Love
    2
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·832 Views
  • Staki kuoa wallah
    Staki kuoa wallah 🚶🚶
    Haha
    1
    · 3 Reacties ·0 aandelen ·574 Views

  • Alhamdulillah mashallah tumeiona Tena

    Leo ime siku ya KUTOA sadaka tulishe watoto wetu kwa kidogo tulicho barikiwa kwenye maisha yetU

    Watoto wanauhitaji WA UNGA NA MCHELE

    MCHELE KG 100 =200,000/TZSH
    UNGA KG 50 = 55000/tzsh

    0655987549
    Mixx but Yas/call
    Moza MohamedIjumaa nyongine Leo nzuri
    Alhamdulillah mashallah tumeiona Tena

    Leo ime siku ya KUTOA sadaka tulishe watoto wetu kwa kidogo tulicho barikiwa kwenye maisha yetU

    Watoto wanauhitaji WA UNGA NA MCHELE

    MCHELE KG 100 =200,000/TZSH
    UNGA KG 50 = 55000/tzsh

    0655987549
    Mixx but Yas/call
    Moza Mohamed
    Alhamdulillah mashallah tumeiona Tena Leo ime siku ya KUTOA sadaka tulishe watoto wetu kwa kidogo tulicho barikiwa kwenye maisha yetU Watoto wanauhitaji WA UNGA NA MCHELE MCHELE KG 100 =200,000/TZSH UNGA KG 50 = 55000/tzsh 0655987549 Mixx but Yas/call Moza MohamedIjumaa nyongine Leo nzuri Alhamdulillah mashallah tumeiona Tena Leo ime siku ya KUTOA sadaka tulishe watoto wetu kwa kidogo tulicho barikiwa kwenye maisha yetU Watoto wanauhitaji WA UNGA NA MCHELE MCHELE KG 100 =200,000/TZSH UNGA KG 50 = 55000/tzsh 0655987549 Mixx but Yas/call Moza Mohamed
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·920 Views
  • Dullah na Abdallah
    Dullah na Abdallah 😂
    Haha
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·535 Views
  • KWANINI WAARABU HUWA HAWATEKI RAIA WA KUTOKA URUSI!????

    Mkwara wa kibabe: Majasusi wa KGB walivyowafanya magaidi wa Hezbollah waliowateka diplomats wao wanne.

    Picha za video za hivi karibuni zilizokuwa zikionesha jinsi wanahabari wa kimarekani bwana James Foley pamoja na Steven sotloff wakikatwa vichwa na magaidi wa ISIS inanikumbusha stori ambayo ilitokea nchini Lebanon mnamo mwaka 1985.

    Mnamo mwezi wa tisa, tarehe 30, mwaka 1985, kundi la watu wenye silaha lilifanikiwa kuwateka nyara wanadiplomasia wanne wa Urusi pamoja na wafanyakazi wa ubalozi wa Urusi nchini Lebanon (Arkady Katkov, Valery Myrikov, Oleg Spirin pamoja na Nikolai Svirsky) katika mji mkuu wa Beirut.

    Wakati wa tukio zima la utekaji nyara huo nje kabisa ya majengo ya ubalozi huo, bwana Katkov alijeruhiwa sehemu ya mguu wake wa kushoto.

    Watekaji nyara hao walijiita ni "Jeshi la Khaled Al-Walid" pamoja na "Islamic Liberation Organization" (ILO). Kulingana na taarifa za idara ya ujasusi wa nje ya Urusi, kanali Yuri Perfilyev, ambaye kwa wakatu huo ndiye aliyekuwa shushushu mkazi (resident spy ama station chief) wa KGB nchini Lebanon, tukio zima la utekaji nyara lilipangwa na kuratibiwa kwa umakini mkubwa na jasusi katili sana wa magaidi wa Hezbollah bwana Imad Mugniyeh kama kujibu mapigo ya wanamgambo wanaoungwa mkono na serikali ya Syria katika mji wa Tripoli uliopo humo nchini Lebanon. Baada ya kuchukua mateka, magaidi hao wa kishiha wakaitaka kwa nguvu zote serikali ya Urusi kuilazimisha Syria kuacha mara moja kufanya mashambulizi ya kijeshi katika mji wa Tripoli na kuufunga haraka sana ubalozi wake uliopo mjini Beirut.

    Ili kudhihirisha ya kwamba hawakuwa na masihara katika kutaka matakwa yao kutekelezwa, ndani ya siku mbili tu, gaidi mkuu Mugniyeh akamuua bila huruma mwanadiplomasia wa Urusi aliyekuwa amejeruhiwa bwana Katkov kwa kummiminia risasi za kutosha kwa SMG na kisha kuutupa mwili wake kwenye dampo la takataka hapo hapo jijini Beirut.

    KGB station chief bwana Perfilyev kisha akaamua kukutana na bwana mkubwa Ayatollah Muhammad Fadlallah, kiongozi wa kidini wa washiha waishio nchini Lebanon kisha akamwambia;

    "Taifa kubwa kamwe haliwezi kusubiri milele. Tutaacha kusubiri na kutazama na kuamua kuchukua hatua kali zitakazokuwa na madhara yasiyotabirika (mkwara huu......)

    Baada ya kuona ayatollah Fadlallah bado tupo kimya, KGB station chief akazungumza kwa ukali sana safari hii akimwambia;

    " Hatuzungumzii tu kuhusu watu wa Beirut. Ninazungumza kuhusu miji ya Tehran na Qom ambao ni mji mtakatifu wa washiha pamoja na makazi ya Ayatollah Khomeini, ambayo haipo mbali na mpaka wa Urusi.

    Qom ipo karibu sana na Russia na makosa yanaweza kujitokeza na kombora linarusha kwa bahati mbaya. Makosa ya kiufundi yanaweza kutokea kwa bahati mbaya sana na tunaomba Mungu aepushie mbali janga hili"

    Ayatollah Fadlallah ambaye alionekana anatetemeka sana kutokana na mkwara ule wa boss wa KGB akajibu baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu akisema "ninafikiri mambo yote yataenda sawa sawia"

    Baadaye mshauri wa karibu wa Ayatollah Fadlallah bwana Hassan akamwambia KGB boss ya kwamba hakuna mtu aliyewahi kuongea na kiongozi wetu mkuu wa dini kwa ukali wa namna hiyo.

    Kutumia mbinu ya kutishia kushambulia moja kati ya miji kitakatifu sana ya watu wa dhehebu la shiha ilikuwa ni moja tu kati ya mikakati lukuki ya Urusi katika kutaka kuwakomboa diplomats wake, ila baada ya ukimya kuzidi kushika kasi KGB wakaamua kutoa somo la milele kwa magaidi wote wa kiarabu pale mashariki ya kati. Wanaume wa KGB walifanya ushenzi huu mpaka leo wanaogopwa sana na waarabu;

    KGB walimteka mtu waliyejua fika alikuwa ni ndugu wa karibu saaaaana na kiongozi mashuhuri wa Hezbollah. Walimkata vipandevipande vya nyama, kisha wakaweza nyama zile kwenye mfuko na kisha kuvituma kwa viongozi wa juu wa Hezbollah.

    Siku iliyofuata KGB wakakamata ndugu mwingine wa karibu sana wa kiongozi wa Hezbollah, wakamfumua ubongo wake kwa risasi, wakaweka kwenye kiroba, kisha wakapeleka mwili wake kwa viongozi wa magaidi hao.

    Kama hio haitoshi kuonesha ya kwamba wapo serious sana na kazi zao, wababe wa KGB wakawaambia viongozi wa Hezbollah ya kwamba tunajua walipo ndugu zenu wengine wa karibu kabisa na kwamba wategemee vifurushi zaidi vya maiti ndani ya mifuko ya viroba kama wanadiplomasia hao watatu hawataachiwa huru mara moja.

    Baada ya kuonea sasa wamegusa pabaya pasipogusika, viongozi wa Hezbollah wakachukua gari mpya na za kisasa sana aina ya BMW zinazokimbia kwa kasi kubwa sana, wakawabeba wanadiplomasia wale waliobaki hai, kisha kiwapeleka katika ubalozi wa Urusi mjini Beirut.

    Tangia siku hiyo, hakuna mwanadiplomasia wala raia wa Urusi aliyewahi kutekwa nchini Lebanon.

    Hivi ndivyo KGB ilivyokuwa ilifanya kazi. Walikuwa hawaongei mara mbili mbili.

    ****MWISHO****
    KWANINI WAARABU HUWA HAWATEKI RAIA WA KUTOKA URUSI!???? Mkwara wa kibabe: Majasusi wa KGB walivyowafanya magaidi wa Hezbollah waliowateka diplomats wao wanne. Picha za video za hivi karibuni zilizokuwa zikionesha jinsi wanahabari wa kimarekani bwana James Foley pamoja na Steven sotloff wakikatwa vichwa na magaidi wa ISIS inanikumbusha stori ambayo ilitokea nchini Lebanon mnamo mwaka 1985. Mnamo mwezi wa tisa, tarehe 30, mwaka 1985, kundi la watu wenye silaha lilifanikiwa kuwateka nyara wanadiplomasia wanne wa Urusi pamoja na wafanyakazi wa ubalozi wa Urusi nchini Lebanon (Arkady Katkov, Valery Myrikov, Oleg Spirin pamoja na Nikolai Svirsky) katika mji mkuu wa Beirut. Wakati wa tukio zima la utekaji nyara huo nje kabisa ya majengo ya ubalozi huo, bwana Katkov alijeruhiwa sehemu ya mguu wake wa kushoto. Watekaji nyara hao walijiita ni "Jeshi la Khaled Al-Walid" pamoja na "Islamic Liberation Organization" (ILO). Kulingana na taarifa za idara ya ujasusi wa nje ya Urusi, kanali Yuri Perfilyev, ambaye kwa wakatu huo ndiye aliyekuwa shushushu mkazi (resident spy ama station chief) wa KGB nchini Lebanon, tukio zima la utekaji nyara lilipangwa na kuratibiwa kwa umakini mkubwa na jasusi katili sana wa magaidi wa Hezbollah bwana Imad Mugniyeh kama kujibu mapigo ya wanamgambo wanaoungwa mkono na serikali ya Syria katika mji wa Tripoli uliopo humo nchini Lebanon. Baada ya kuchukua mateka, magaidi hao wa kishiha wakaitaka kwa nguvu zote serikali ya Urusi kuilazimisha Syria kuacha mara moja kufanya mashambulizi ya kijeshi katika mji wa Tripoli na kuufunga haraka sana ubalozi wake uliopo mjini Beirut. Ili kudhihirisha ya kwamba hawakuwa na masihara katika kutaka matakwa yao kutekelezwa, ndani ya siku mbili tu, gaidi mkuu Mugniyeh akamuua bila huruma mwanadiplomasia wa Urusi aliyekuwa amejeruhiwa bwana Katkov kwa kummiminia risasi za kutosha kwa SMG na kisha kuutupa mwili wake kwenye dampo la takataka hapo hapo jijini Beirut. KGB station chief bwana Perfilyev kisha akaamua kukutana na bwana mkubwa Ayatollah Muhammad Fadlallah, kiongozi wa kidini wa washiha waishio nchini Lebanon kisha akamwambia; "Taifa kubwa kamwe haliwezi kusubiri milele. Tutaacha kusubiri na kutazama na kuamua kuchukua hatua kali zitakazokuwa na madhara yasiyotabirika (mkwara huu......) Baada ya kuona ayatollah Fadlallah bado tupo kimya, KGB station chief akazungumza kwa ukali sana safari hii akimwambia; " Hatuzungumzii tu kuhusu watu wa Beirut. Ninazungumza kuhusu miji ya Tehran na Qom ambao ni mji mtakatifu wa washiha pamoja na makazi ya Ayatollah Khomeini, ambayo haipo mbali na mpaka wa Urusi. Qom ipo karibu sana na Russia na makosa yanaweza kujitokeza na kombora linarusha kwa bahati mbaya. Makosa ya kiufundi yanaweza kutokea kwa bahati mbaya sana na tunaomba Mungu aepushie mbali janga hili" Ayatollah Fadlallah ambaye alionekana anatetemeka sana kutokana na mkwara ule wa boss wa KGB akajibu baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu akisema "ninafikiri mambo yote yataenda sawa sawia" Baadaye mshauri wa karibu wa Ayatollah Fadlallah bwana Hassan akamwambia KGB boss ya kwamba hakuna mtu aliyewahi kuongea na kiongozi wetu mkuu wa dini kwa ukali wa namna hiyo. Kutumia mbinu ya kutishia kushambulia moja kati ya miji kitakatifu sana ya watu wa dhehebu la shiha ilikuwa ni moja tu kati ya mikakati lukuki ya Urusi katika kutaka kuwakomboa diplomats wake, ila baada ya ukimya kuzidi kushika kasi KGB wakaamua kutoa somo la milele kwa magaidi wote wa kiarabu pale mashariki ya kati. Wanaume wa KGB walifanya ushenzi huu mpaka leo wanaogopwa sana na waarabu; KGB walimteka mtu waliyejua fika alikuwa ni ndugu wa karibu saaaaana na kiongozi mashuhuri wa Hezbollah. Walimkata vipandevipande vya nyama, kisha wakaweza nyama zile kwenye mfuko na kisha kuvituma kwa viongozi wa juu wa Hezbollah. Siku iliyofuata KGB wakakamata ndugu mwingine wa karibu sana wa kiongozi wa Hezbollah, wakamfumua ubongo wake kwa risasi, wakaweka kwenye kiroba, kisha wakapeleka mwili wake kwa viongozi wa magaidi hao. Kama hio haitoshi kuonesha ya kwamba wapo serious sana na kazi zao, wababe wa KGB wakawaambia viongozi wa Hezbollah ya kwamba tunajua walipo ndugu zenu wengine wa karibu kabisa na kwamba wategemee vifurushi zaidi vya maiti ndani ya mifuko ya viroba kama wanadiplomasia hao watatu hawataachiwa huru mara moja. Baada ya kuonea sasa wamegusa pabaya pasipogusika, viongozi wa Hezbollah wakachukua gari mpya na za kisasa sana aina ya BMW zinazokimbia kwa kasi kubwa sana, wakawabeba wanadiplomasia wale waliobaki hai, kisha kiwapeleka katika ubalozi wa Urusi mjini Beirut. Tangia siku hiyo, hakuna mwanadiplomasia wala raia wa Urusi aliyewahi kutekwa nchini Lebanon. Hivi ndivyo KGB ilivyokuwa ilifanya kazi. Walikuwa hawaongei mara mbili mbili. ****MWISHO****
    0 Reacties ·0 aandelen ·1K Views
  • WATU 10 AMBAO WALIPOTEA NA HAWAJAWI ONEKANA
    #1
    Kupotea kwa mwanasiasa Ben Saanane takribani miaka miwili iliyopita pamoja na kupotea kwa mwanahabari Azory Agwanda mwaka mmoja uliopita,kuliwashtua Watanzania walio wengi na kuibua minong'ono juu ya mahali walipo watu hao. Mpaka leo hatujui walipo Ben Saanane pamoja na Azory Agwanda. Miaka ya nyuma, aliwahi kupotea mwanasiasa mahiri wa miaka hiyo hapa nchini Abdallah Kassim Hanga, ambaye mpaka leo hajulikani alipelekwa wapi licha ya kuwa mpaka kupotea kwake alikuwa kwenye mikono ya dola. Hayo ni machache.

    Leo tujionee watu maarufu ambao walipotea, hawajulikani walipo na hawakuwahi kuonekana tena hapa Duniani. Baadhi yao ni viongozi, wahalifu na watu wa kawaida tu.

    10.Jim Sullivan

    Huyu alikuwa ni mwanamuziki wa kimarekani. Mwaka 1969 alitoa albamu iliyoitwa U.F.O. Ndani ya albamu hiyo kulikuwa na vibao vyenye utata wa majina, kama vile Aliens, I"never die na vinginevyo vingi. Alitoweka mwaka 1975 na mpaka leo hajulikani ni wapi alipo.

    9.Bison Dele

    Alikuwa ni mchezaji wa mpira wakikapu katika ligi ya NBA na alichezea vilabu kadhaa vikiwemo Detroit Pistons, Chicago bulls nk. Alitoweka mwaka 2002 wakati akiwa na mchumba wake kwenye boti yao huko Tahiti katika bahari ya Pacific. Vyanzo mbalimbali vinadai kuwa Bison Dele alikuwa na kaka yake siku ya safari katika boti, pia aligombana na kaka yake hivyo walipigana wakiwa katika boti na kupelekea kuuliwa na bastola yeye pamoja na mchumba wake. Boti yao ilikuja kupatikana ikiwa haina mtu yoyote ndani yake.

    8.Frank Morris

    Huyu alikuwa ni mfungwa aliyekuwa anatumikia kifungo cha miaka 10 katika gereza la Alcatraz huko nchini Marekani. Alipelekwa katika gereza Alcatraz baada ya kutoroka gereza la Louisiana. Hivyo baada ya kukamatwa alipelekwa kwenye gereza lenye ulinzi mkali na lililopo kisiwani Alcatraz, gereza hilo limezungukwa ma maji yenye kina kirefu na eneo lenye samaki wengi aina ya papa.

    Mwanaume huyu na mapacha wawili walifanikiwa kutoroka mwaka 1962 na mpaka leo hajulikani alipo licha ya msako mkali wa FBI. Kuna wanaoamini huenda Frank aliuwawa na papa ndani ya bahari lakini hakuna aliyethibitisha. Mpaka leo jalada la kesi yake bado lipo wazi.

    7. Mapacha John and Clarence Anglin

    Hawa ni mapacha ambao kwa pamoja waliungana na Jambazi Frank Morris kutoroka katika jela yenye ulinzi mkali na iliyozungukwa na maji ya Alcatraz. Walitoroka mwaka 1962 na mpaka leo hawajwahi kuonekana tena. Inasemekana baada ya kutoroka walikimbilia nchini Brazil ambapo wamekuwa wakiishi na kwasiliana na familia zao kwa siri lakini hakuna aliyewahi kuthibitisha madai hayo. Sasa ni zaidi ya miaka 56 toka watoroke jela hawajawahi kuonekana tena na jalada lao lipo wazi bado halijafungwa.

    6.Oscar Zeta Acosta

    Alikuwa ni mwanasiasa, mwanafasihi na mwanasheria nguli kutoka nchini Marekani ambapo alikuwa ni mkosoaji mkubwa sana wa biashara ya madawa ya kulevya. Alipotea mwaka 1974 alipokuwa anaelekea Mexico. Inaaminika Acosta aliuwawa na wafanya biashara wa madawa ya kulevya na kuna wanaoamini Acosta aliuwawa kwasababu za kisiasa lakini mpaka leo hakuwahi kupatikana tena.

    5.Amelia Earhart

    Alikuwa ni rubani mahiri wa ndege huko Marekani. Pia alikuwa ni mwalimu, mwanamitindo na Mhariri wa majarida mbalimbali. Alikuwa mwanamke wa kwanza kurusha ndege peke yake na kuzunguka bahari ya Pacific.

    Alitoweka na ndege yake mwaka 1937 akiwa angani na mpaka leo hajulikani alipo. Japo kuna wanaoamini kuwa alipewa kazi ya ujasusi na utawala wa Rais wa kipindi hiko Marekani ndugu Franklin D. Roosevelt ya kwenda kuichunguza Japan. Pia wapo wanaoamini kuwa aliamua kujibadilisha kimwili na jina na kuishi maisha yake nje ya awali. Mpaka leo hajawahi kupatikana tena.

    4.Camilo Cienfuegos

    Ni mwanamapinduzi wa Cuba aliyeshiriki kikamilifu Mapinduzi ya Nchi hiyo akiwa sambamba na akina Fidel castro, Che Guevara na wengineo. Ndege aliyopanda akitokea Camaguey alikotoka kumkamata mwanamapinduzi mwenzake aliyeasi Huber Matos, ilipotea angani na haijaonekana tena mpaka leo hii. Wengi wanadai Camilo alifanyiwa faulo na wenzake hasa Fidel Castro ili kuizima nyota yake iliyokuwa inang'aa kwa kasi.

    3.Jimmy Hoffa

    Alikuwa ni kiongozi wa chama cha wafanyakazi nchini Marekani. Pia alikuwa anajihusisha na makundi ya kihalifu. Anajulikana kama kiongozi mtata, mpendwa rushwa na mwizi ambapo kuna wakati alihukumiwa kifungo cha miaka 13 jela kwa kosa la utakatishaji pesa. Aliachiwa kwa msamaha wa Rais wa kipindi hiko wa Marekani Richard Nixon.

    Mchana wa july 30 mwaka 1975 katika parking ya Mgahawa wa Red Fox, Jimmy hoffa alitoweka na hakuonekana tena mpaka leo. Haijulikani ni akina nani haswa walihusika katika kumteka, kuna wanaosema Serikali, kuna wanaosema Mafia. Licha ya msako mkali wa FBI kiongozi huyo hakuwahi kupatikana tena.

    2. Harlod Holt

    Alikuwa ni Waziri Mkuu wa 17 wa Australia mpaka kupotea kwake. Jioni ya 17 december mwaka 1967 wananchi wa Australia hawatoisahau katika kumbukumbu zao baada ya kupotea kwa Waziri Mkuu wao.

    Waziri Mkuu Holt alipotea alipokuwa anaogelea baharini huko Portsea, Victoria nchini Australia alipokuwa katika likizo ya mwisho wa mwaka.Licha ya msako mkali wa kwenye maji, mwili wa Waziri Mkuu Holt hakuwahi kuoekana tena. Minong'ono ilizuka kuwa Waziri mkuu huyo alitekwa na Submarine (nyambizi) ya China kwakuwa alikuwa ni jasusi wao lakini hakuna aliyethibitisha. Kuna wanaosema Harold Holt alifeki kifo chake ili aishi kwa uhuru mara baada ya kuchoshwa na maisha ya siasa ikiwa ni miaka miwili tu toka achaguliwe kuwa Waziri Mkuu. Mpaka leo mwili wake haukuwahi kupatikana tena.

    1.D.B Cooper

    D.B.Cooper ni jina linalotumika kumrejelea mwanaume mmoja wa makamo ambaye jioni ya November 24, mwaka 1971 alichukua kiasi cha Dola za Kimarekani 200,000 kama malipo mara baada ya kuiteka ndege huko portland nchini Marekani.

    Licha ya msako mkali wa zaidi ya miaka 45 uliofanywa na FBI kwa kushirikiana na idara nyingine za kiusalama nchini Marekani, bado D.B Cooper hafahamiki ni wapi alipo wala pesa alizopewa hazikuwahi kuingia kwenye mzunguko wala kupatikana. kuna wanaoamini kuwa D.B Cooper alitengenezwa na kusaidiwa na FBI wenyewe ili wajipatie pesa. Kuna wanaoamini Cooper alifariki mara baada ya kuruka toka kwenye ndege angani lakini mbona pesa hazijapatikana? D.B Cooper ameacha maswali mengi kuliko majibu na mpaka leo hajawahi kuonekana tena baada ya jioni ile ya mwaka 1971.

    MWISHO
    WATU 10 AMBAO WALIPOTEA NA HAWAJAWI ONEKANA #1 Kupotea kwa mwanasiasa Ben Saanane takribani miaka miwili iliyopita pamoja na kupotea kwa mwanahabari Azory Agwanda mwaka mmoja uliopita,kuliwashtua Watanzania walio wengi na kuibua minong'ono juu ya mahali walipo watu hao. Mpaka leo hatujui walipo Ben Saanane pamoja na Azory Agwanda. Miaka ya nyuma, aliwahi kupotea mwanasiasa mahiri wa miaka hiyo hapa nchini Abdallah Kassim Hanga, ambaye mpaka leo hajulikani alipelekwa wapi licha ya kuwa mpaka kupotea kwake alikuwa kwenye mikono ya dola. Hayo ni machache. Leo tujionee watu maarufu ambao walipotea, hawajulikani walipo na hawakuwahi kuonekana tena hapa Duniani. Baadhi yao ni viongozi, wahalifu na watu wa kawaida tu. 10.Jim Sullivan Huyu alikuwa ni mwanamuziki wa kimarekani. Mwaka 1969 alitoa albamu iliyoitwa U.F.O. Ndani ya albamu hiyo kulikuwa na vibao vyenye utata wa majina, kama vile Aliens, I"never die na vinginevyo vingi. Alitoweka mwaka 1975 na mpaka leo hajulikani ni wapi alipo. 9.Bison Dele Alikuwa ni mchezaji wa mpira wakikapu katika ligi ya NBA na alichezea vilabu kadhaa vikiwemo Detroit Pistons, Chicago bulls nk. Alitoweka mwaka 2002 wakati akiwa na mchumba wake kwenye boti yao huko Tahiti katika bahari ya Pacific. Vyanzo mbalimbali vinadai kuwa Bison Dele alikuwa na kaka yake siku ya safari katika boti, pia aligombana na kaka yake hivyo walipigana wakiwa katika boti na kupelekea kuuliwa na bastola yeye pamoja na mchumba wake. Boti yao ilikuja kupatikana ikiwa haina mtu yoyote ndani yake. 8.Frank Morris Huyu alikuwa ni mfungwa aliyekuwa anatumikia kifungo cha miaka 10 katika gereza la Alcatraz huko nchini Marekani. Alipelekwa katika gereza Alcatraz baada ya kutoroka gereza la Louisiana. Hivyo baada ya kukamatwa alipelekwa kwenye gereza lenye ulinzi mkali na lililopo kisiwani Alcatraz, gereza hilo limezungukwa ma maji yenye kina kirefu na eneo lenye samaki wengi aina ya papa. Mwanaume huyu na mapacha wawili walifanikiwa kutoroka mwaka 1962 na mpaka leo hajulikani alipo licha ya msako mkali wa FBI. Kuna wanaoamini huenda Frank aliuwawa na papa ndani ya bahari lakini hakuna aliyethibitisha. Mpaka leo jalada la kesi yake bado lipo wazi. 7. Mapacha John and Clarence Anglin Hawa ni mapacha ambao kwa pamoja waliungana na Jambazi Frank Morris kutoroka katika jela yenye ulinzi mkali na iliyozungukwa na maji ya Alcatraz. Walitoroka mwaka 1962 na mpaka leo hawajwahi kuonekana tena. Inasemekana baada ya kutoroka walikimbilia nchini Brazil ambapo wamekuwa wakiishi na kwasiliana na familia zao kwa siri lakini hakuna aliyewahi kuthibitisha madai hayo. Sasa ni zaidi ya miaka 56 toka watoroke jela hawajawahi kuonekana tena na jalada lao lipo wazi bado halijafungwa. 6.Oscar Zeta Acosta Alikuwa ni mwanasiasa, mwanafasihi na mwanasheria nguli kutoka nchini Marekani ambapo alikuwa ni mkosoaji mkubwa sana wa biashara ya madawa ya kulevya. Alipotea mwaka 1974 alipokuwa anaelekea Mexico. Inaaminika Acosta aliuwawa na wafanya biashara wa madawa ya kulevya na kuna wanaoamini Acosta aliuwawa kwasababu za kisiasa lakini mpaka leo hakuwahi kupatikana tena. 5.Amelia Earhart Alikuwa ni rubani mahiri wa ndege huko Marekani. Pia alikuwa ni mwalimu, mwanamitindo na Mhariri wa majarida mbalimbali. Alikuwa mwanamke wa kwanza kurusha ndege peke yake na kuzunguka bahari ya Pacific. Alitoweka na ndege yake mwaka 1937 akiwa angani na mpaka leo hajulikani alipo. Japo kuna wanaoamini kuwa alipewa kazi ya ujasusi na utawala wa Rais wa kipindi hiko Marekani ndugu Franklin D. Roosevelt ya kwenda kuichunguza Japan. Pia wapo wanaoamini kuwa aliamua kujibadilisha kimwili na jina na kuishi maisha yake nje ya awali. Mpaka leo hajawahi kupatikana tena. 4.Camilo Cienfuegos Ni mwanamapinduzi wa Cuba aliyeshiriki kikamilifu Mapinduzi ya Nchi hiyo akiwa sambamba na akina Fidel castro, Che Guevara na wengineo. Ndege aliyopanda akitokea Camaguey alikotoka kumkamata mwanamapinduzi mwenzake aliyeasi Huber Matos, ilipotea angani na haijaonekana tena mpaka leo hii. Wengi wanadai Camilo alifanyiwa faulo na wenzake hasa Fidel Castro ili kuizima nyota yake iliyokuwa inang'aa kwa kasi. 3.Jimmy Hoffa Alikuwa ni kiongozi wa chama cha wafanyakazi nchini Marekani. Pia alikuwa anajihusisha na makundi ya kihalifu. Anajulikana kama kiongozi mtata, mpendwa rushwa na mwizi ambapo kuna wakati alihukumiwa kifungo cha miaka 13 jela kwa kosa la utakatishaji pesa. Aliachiwa kwa msamaha wa Rais wa kipindi hiko wa Marekani Richard Nixon. Mchana wa july 30 mwaka 1975 katika parking ya Mgahawa wa Red Fox, Jimmy hoffa alitoweka na hakuonekana tena mpaka leo. Haijulikani ni akina nani haswa walihusika katika kumteka, kuna wanaosema Serikali, kuna wanaosema Mafia. Licha ya msako mkali wa FBI kiongozi huyo hakuwahi kupatikana tena. 2. Harlod Holt Alikuwa ni Waziri Mkuu wa 17 wa Australia mpaka kupotea kwake. Jioni ya 17 december mwaka 1967 wananchi wa Australia hawatoisahau katika kumbukumbu zao baada ya kupotea kwa Waziri Mkuu wao. Waziri Mkuu Holt alipotea alipokuwa anaogelea baharini huko Portsea, Victoria nchini Australia alipokuwa katika likizo ya mwisho wa mwaka.Licha ya msako mkali wa kwenye maji, mwili wa Waziri Mkuu Holt hakuwahi kuoekana tena. Minong'ono ilizuka kuwa Waziri mkuu huyo alitekwa na Submarine (nyambizi) ya China kwakuwa alikuwa ni jasusi wao lakini hakuna aliyethibitisha. Kuna wanaosema Harold Holt alifeki kifo chake ili aishi kwa uhuru mara baada ya kuchoshwa na maisha ya siasa ikiwa ni miaka miwili tu toka achaguliwe kuwa Waziri Mkuu. Mpaka leo mwili wake haukuwahi kupatikana tena. 1.D.B Cooper D.B.Cooper ni jina linalotumika kumrejelea mwanaume mmoja wa makamo ambaye jioni ya November 24, mwaka 1971 alichukua kiasi cha Dola za Kimarekani 200,000 kama malipo mara baada ya kuiteka ndege huko portland nchini Marekani. Licha ya msako mkali wa zaidi ya miaka 45 uliofanywa na FBI kwa kushirikiana na idara nyingine za kiusalama nchini Marekani, bado D.B Cooper hafahamiki ni wapi alipo wala pesa alizopewa hazikuwahi kuingia kwenye mzunguko wala kupatikana. kuna wanaoamini kuwa D.B Cooper alitengenezwa na kusaidiwa na FBI wenyewe ili wajipatie pesa. Kuna wanaoamini Cooper alifariki mara baada ya kuruka toka kwenye ndege angani lakini mbona pesa hazijapatikana? D.B Cooper ameacha maswali mengi kuliko majibu na mpaka leo hajawahi kuonekana tena baada ya jioni ile ya mwaka 1971. MWISHO
    Like
    2
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·1K Views
  • Cristiano Ronaldo: “Wakati wangu bora nikiwa na Al Nassr ni pindi tuliposhinda kombe langu la kwanza kwenye fainali dhidi ya Al Hilal.

    Nataka kushinda makombe mengi na Al Nassr, nataka kuwasaidia wachezaji wenzangu na Al Nassr kufanikiwa zaidi.

    Wazo la kuwa star wa kwanza kujiunga Ligi ya Saudi, ni heshima kubwa kwangu. Na natumai baada ya miaka 5-10 ligi itaendelea kukua. Sio ligi pekee na hata academies zilizopo Saudi Arabia na itaongeza kiwango cha ushindani. Hii ni ndoto yangu. Nataka kuisaidia ligi na nchi.

    Najua kwamba kila mtu anamwangalia Cristiano Ronaldo Kama mfano wa kuigwa. Sio uwanjani tu, mpaka nje ya uwanja pia. Najua hili, na kila mtu analijua hili, na Kama kuna mtu anasema tofauti basi anadanganya.

    Nina ndoto ya kushinda Asian Champions League na Al Nassr. Mwaka huu utakuwa ni mwaka mzuri kwa Al Nassr. Inshallah.”
    🔳Cristiano Ronaldo: “Wakati wangu bora nikiwa na Al Nassr ni pindi tuliposhinda kombe langu la kwanza kwenye fainali dhidi ya Al Hilal. Nataka kushinda makombe mengi na Al Nassr, nataka kuwasaidia wachezaji wenzangu na Al Nassr kufanikiwa zaidi. Wazo la kuwa star wa kwanza kujiunga Ligi ya Saudi, ni heshima kubwa kwangu. Na natumai baada ya miaka 5-10 ligi itaendelea kukua. Sio ligi pekee na hata academies zilizopo Saudi Arabia na itaongeza kiwango cha ushindani. Hii ni ndoto yangu. Nataka kuisaidia ligi na nchi. Najua kwamba kila mtu anamwangalia Cristiano Ronaldo Kama mfano wa kuigwa. Sio uwanjani tu, mpaka nje ya uwanja pia. Najua hili, na kila mtu analijua hili, na Kama kuna mtu anasema tofauti basi anadanganya. Nina ndoto ya kushinda Asian Champions League na Al Nassr. Mwaka huu utakuwa ni mwaka mzuri kwa Al Nassr. Inshallah.”
    0 Reacties ·0 aandelen ·349 Views
  • Tiba Ya Jadi

    Tsh10000
    Karibuni kwa matibabu mbal mbal ya kidunia insha allah nipo Dar, Kisemvule 0736366536 / 0784366536.
    Karibuni kwa matibabu mbal mbal ya kidunia insha allah nipo Dar, Kisemvule 0736366536 / 0784366536.
    In stock ·Nieuw
    Kisemvule, Dar es salaam
    Like
    Love
    3
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·1K Views
  • Karibu sana kwa huduma za kitiba kwa mawasiliano zaid 0736366536 / 0784366536 nipo dar kisemvule insha allah.
    Karibu sana kwa huduma za kitiba kwa mawasiliano zaid 0736366536 / 0784366536 nipo dar kisemvule insha allah.
    Like
    Love
    2
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·638 Views ·4
  • "Nimefika hapa Kariakoo kwa lengo la kusaidiana na waokoaji wengine, kiukweli sio kazi rahisi, ukifika hapa maumivu yake ni zaidi ya unayoyapata ukiwa unafatilia taarifa mtandaoni kwasababu unasikia sauti za watu wakilia kutaka msaada. Bado chini kuna watu ila changamoto ni kwamba ukuta wa jengo ni mgumu sana alafu mpana kwahiyo sio rahisi kuwafikia. Sio jambo la masaa matatu wala manne, linahitaji muda mrefu kuwafikia. Kesho Inshaallah nitarudi tena kuendelea na zoezi"- Hassan Mwakinyo, Bondia wa kimataifa wa Tanzania.
    "Nimefika hapa Kariakoo kwa lengo la kusaidiana na waokoaji wengine, kiukweli sio kazi rahisi, ukifika hapa maumivu yake ni zaidi ya unayoyapata ukiwa unafatilia taarifa mtandaoni kwasababu unasikia sauti za watu wakilia kutaka msaada. Bado chini kuna watu ila changamoto ni kwamba ukuta wa jengo ni mgumu sana alafu mpana kwahiyo sio rahisi kuwafikia. Sio jambo la masaa matatu wala manne, linahitaji muda mrefu kuwafikia. Kesho Inshaallah nitarudi tena kuendelea na zoezi"- Hassan Mwakinyo, Bondia wa kimataifa wa Tanzania.
    0 Reacties ·0 aandelen ·440 Views
  • This is tough!!

    Mungu atufanyie wepesi Inshallah
    This is tough!! Mungu atufanyie wepesi Inshallah🙏
    0 Reacties ·0 aandelen ·333 Views
  • Ni tetesi

    Inasemekana kuwa klabu ya Yanga SC imemsajili Beki wa klabu ya KMC, Abdallah Said Lanso kwa mkataba wa miaka miwili (2). Mchezaji anasubiriwa kujiunga na Mabingwa hao wa kihistoria kwenye dirisha dogo la usajili.

    Ni tetesi Inasemekana kuwa klabu ya Yanga SC imemsajili Beki wa klabu ya KMC, Abdallah Said Lanso kwa mkataba wa miaka miwili (2). Mchezaji anasubiriwa kujiunga na Mabingwa hao wa kihistoria kwenye dirisha dogo la usajili.
    0 Reacties ·0 aandelen ·391 Views
  • NANI MWAMBA KATI YA SIMBA NA YANGA ?


    A. REKODI ZA YANGA:

    1. Kama kuna timu imewahi kuinyanyasa SIMBA, basi ni YANGA. Hakuna timu imeifunga SIMBA mara nyingi toka ianzishwe 8.8.1936 kama YANGA.

    2. YANGA imetwaa ubingwa wa Ligi mara 30, SIMBA mara 22 ie Mama Samia ataondoka madarakani 2030 SIMBA ikiwa haijavunja rekodi hii hata ikishinda mfululizo!

    3. YANGA imeshinda mechi nyingi zaidi za ligi kuliko SIMBA.

    4. YANGA imefunga magoli mengi ya Ligi kuliko SIMBA. YANGA ndio imefungwa mabao machache zaidi mechi za watani.

    5. YANGA imeshinda mechi nyingi za watani kuliko SIMBA. Mechi 4 za mwisho, SIMBA kafa zote!

    6. YANGA ndio ilishinda pambano la kwanza la watani (Juni 7, 1965)

    7. YANGA imetoa mchezaji aliyefunga magoli mengi zaidi ya ligi kwa misimu mingi (Kitwana Manara).

    8. YANGA imetoa mchezaji aliyefunga magoli mengi zaidi kwa msimu mmoja (MOHAMMED HUSSEIN "MMACHINGA")

    9. YANGA imetoa Mchezaji Bora kuwahi kutokea nchini (SUNDAY MANARA "COMPUTER").

    10. YANGA ilitoa mchezaji wa _"Kombaini ya Afrika 1973"_ (MAULID DILUNGA)1973. Kamba za SIMBA kuwa nao walitoa mchezaji (OMAR MAHADHI ziliumbuliwa baada ya kubainika MAHADHI alijiunga SIMBA 1975. 1973 MAHADHI alikuwa African Sports!)

    11. YANGA ndio timu iliyoshinda pambano la Kihistoria na Bora kuliko yote ya watani (Nyamagana 10.8.1974: 2-1)

    12. YANGA ndio timu pekee iliyofika fainali kombe la 2 kwa ukubwa Afrika (CAF Confederation cup 2023). SIMBA ilifika fainali 1993 kwenye kombe lililokuwa la 3 kwa hadhi ie "Caf cup". Kombe hili lilikuwa nyuma ya Kombe la Klabu Bingwa na Kombe la Washindi). Kwenye fainali, YANGA ilikosa kombe kwa Kanuni ya goli la ugenini (2-2) ila SIMBA ilikandwa kiduwanzi 2-0.

    13. YANGA ndio timu pekee nchini iliyowahi kuingia "TOP 5" ya kinyang'anyiro cha timu bora Afrika (2023).

    14. YANGA ndio timu pekee iliyotwaa ubingwa nje ya nchi (1993 & 1999)

    15. YANGA ndio timu iliyoalikwa Ikulu na Marais wengi kuliko timu yeyote (Novemba 11, 1969 ilialikwa na Rais Nyerere, Februari 4, 1993 ilialikwa na Rais Mwinyi na Juni 4, 2023 ilialikwa na Rais Samia).

    16. YANGA ndiyo timu pekee nchini iliyowahi kualikwa kwenye sherehe za uhuru wa Taifa jingine (Malawi Julai 7, 2023).

    17. YANGA iliweka rekodi (2023) ya kuwa timu ya kwanza nchini kushinda mechi nyingi zaidi nje ya nchi michuano ya Afrika

    *NB:* Mashabiki maandazi wa SIMBA wanalialia eti YANGA inapata mafanikio kwaajili GSM anadhamini timu nyingi. Huu ni Upuuzi wa kiwango cha SGR! Kwani GSM alikuepo 1960s, 1970s, 1980s, nk ?

    B. REKODI MUJARAB ZA SIMBA:


    1. Bw. Ramadhani Ali, Mnazi kindakindaki wa SIMBA, aliweka rekodi ya watani baada ya kumkabidhi mkewe, Bi Mwajuma Sadiki Ali kwa mnazi wa Yanga, Bw. Juma Gobe, magomeni Juni 1, 1968 baada ya Yanga kuitandika SIMBA 5-0. Hao jamaa walikuwa wamepinga kabla ya mechi kuwa timu itakayofungwa, aliyefungwa atamgawa mkewe !.

    2. SIMBA ndiyo ilikuwa timu ya kwanza kuweka mpira kwapani mechi ya watani (Machi 3, 1969)

    3. Mnazi wa Simba wa Tabora aliandika rekodi ya kujiua kwa kujitumbukiza kwenye pipa la mafuta baada ya SIMBA kufungwa 2-1 Nyamagana 10.8.1974. Timu ya SIMBA ilionesha ubinadamu ilipoenda Tabora kuhani msiba. Abdallah Kibaden "King" ndiye aliyekabidhi ubani.

    4. Nicco Njohole wa SIMBA aliliaibisha Taifa baada ya kupigwa umeme 1979 Nchumbiji kwa kukojoa uwanjani!

    5. Mwaka 1987, Kiongozi 1 wa SIMBA alienda kwa Idd Pazi, kipa wa PILSNER wakakubaliana ampe Tshs 50,000 ili afungishe kwenye mechi ya kwanza. SIMBA ilikiwa inachungulia kaburi. Kiongozi huyo akampa Tshs 25,000/= tu, hakumalizia. SIMBA ikatandikwa 2-0.

    6. Kwenye mechi ya pili, PAZI aliitwa nyumbani kwa Mwenyekiti Yusuph Hazzali Ilala. Akamkuta na kapteni Malota Soma. Wakamsihi sana afungishe kwani ye ni "mwana" ila hawakumpa fedha. PAZI akamsimulia JAMHURI KIHWELU ambaye alikataa ujinga huo. Dakika ya 10 tu, Zicco wa Kilosa akafunga. Kabla ya HT, PAZI akaachia mpira uingie wavuni lakini JAMHURI akaenda kuuokolea kwenye chaki! Kipindi cha pili PAZI akaachia goli, SIMBA iliyopachikwa jina "Guluguja" kwa kufungwafungwa, ikaambulia sare !

    7. Mwaka 1987, SIMBA ilikuwa inashika mkia. Kwenye mechi ya mwisho dhidi ya Bingwa mtetezi Tukuyu stars, ilitakiwa kutoa sare 5-5 ili inusurike kushuka daraja. Na kweli ikala njama na Tukuyu stars zikatoka sare 5-5. FAT ikaishia tu kuzionya!

    8. SIMBA imenusurika kushuka daraja mara 3 mfululizo (1987, 1988 & 1989).

    9. Novemba 30, 1993, SIMBA ililazimika kutia kiberiti makontena 5 ya Khanga zilizoandikwa _"SIMBA BINGWA CAF 1993"_ baada ya kufilimbwa 2-0 na Stela Abidjan.

    10. Manazi wa SIMBA waliandika rekodi ya kung'oa viti Oktoba 1, 2016.

    11. SIMBA ililiaibisha Taifa kwa uchawi kwa kuwasha moto uwanjani mbungi dhidi ya Orlando Pirates Aprili 25, 2022 na Caf kuilima faini $ 10,000

    12. Manazi wa SIMBA waliweka rekodi ya kulipiga mawe basi lao toka Ntwara hadi Dsm kote lilikopita baada ya kuchalazwa 2-1 na Azam Mei 8, 2023 uwanja wa Nangwanda Sijaona.

    13. SIMBA ina tabia za Mbwa koko- Mbwa koko hubweka nyumbani tu. SIMBA haijawahi kutwaa kombe nje ya nchi. SIMBA hutia aibu sana mechi za kimataifa nje ya nchi, inategemea Bongo _"Kwa Mkapa Hatoki Mtu"_!

    14. Manazi wa SIMBA walifanya tukio la hovyo kuwahi kutokea katika Historia ya mpira wa miguu. Hassan Dalali aliwahi kusimulia kwa uchungu :

    _"Simba tulipofungwa na Azzam 2-1, mashabiki wetu walifanya tukio la hovyo kupita kiasi. Walienda Kariakoo wakanunua mapera wakala. Zikaja coaster 3 nyumbani kwangu. Wakaanza kupiga mawe nyumba yangu. Haraka nikaificha familia yangu. Wakaingia wakaanza kunya sebuleni na kwingine. Nikawauliza wamemaliza? Nikawaambia waende uani kuna jaba la maji wakajisafishe. Walinisikitisha sana kwani walienda hadi chumba maalum nikako swalia wakanya. Nilihuzunika sana. Siku ya pili nikaenda klabuni nikajiuzulu"
    NANI MWAMBA KATI YA SIMBA NA YANGA ? A. REKODI ZA YANGA: 1. Kama kuna timu imewahi kuinyanyasa SIMBA, basi ni YANGA. Hakuna timu imeifunga SIMBA mara nyingi toka ianzishwe 8.8.1936 kama YANGA. 2. YANGA imetwaa ubingwa wa Ligi mara 30, SIMBA mara 22 ie Mama Samia ataondoka madarakani 2030 SIMBA ikiwa haijavunja rekodi hii hata ikishinda mfululizo! 3. YANGA imeshinda mechi nyingi zaidi za ligi kuliko SIMBA. 4. YANGA imefunga magoli mengi ya Ligi kuliko SIMBA. YANGA ndio imefungwa mabao machache zaidi mechi za watani. 5. YANGA imeshinda mechi nyingi za watani kuliko SIMBA. Mechi 4 za mwisho, SIMBA kafa zote! 6. YANGA ndio ilishinda pambano la kwanza la watani (Juni 7, 1965) 7. YANGA imetoa mchezaji aliyefunga magoli mengi zaidi ya ligi kwa misimu mingi (Kitwana Manara). 8. YANGA imetoa mchezaji aliyefunga magoli mengi zaidi kwa msimu mmoja (MOHAMMED HUSSEIN "MMACHINGA") 9. YANGA imetoa Mchezaji Bora kuwahi kutokea nchini (SUNDAY MANARA "COMPUTER"). 10. YANGA ilitoa mchezaji wa _"Kombaini ya Afrika 1973"_ (MAULID DILUNGA)1973. Kamba za SIMBA kuwa nao walitoa mchezaji (OMAR MAHADHI ziliumbuliwa baada ya kubainika MAHADHI alijiunga SIMBA 1975. 1973 MAHADHI alikuwa African Sports!) 11. YANGA ndio timu iliyoshinda pambano la Kihistoria na Bora kuliko yote ya watani (Nyamagana 10.8.1974: 2-1) 12. YANGA ndio timu pekee iliyofika fainali kombe la 2 kwa ukubwa Afrika (CAF Confederation cup 2023). SIMBA ilifika fainali 1993 kwenye kombe lililokuwa la 3 kwa hadhi ie "Caf cup". Kombe hili lilikuwa nyuma ya Kombe la Klabu Bingwa na Kombe la Washindi). Kwenye fainali, YANGA ilikosa kombe kwa Kanuni ya goli la ugenini (2-2) ila SIMBA ilikandwa kiduwanzi 2-0. 13. YANGA ndio timu pekee nchini iliyowahi kuingia "TOP 5" ya kinyang'anyiro cha timu bora Afrika (2023). 14. YANGA ndio timu pekee iliyotwaa ubingwa nje ya nchi (1993 & 1999) 15. YANGA ndio timu iliyoalikwa Ikulu na Marais wengi kuliko timu yeyote (Novemba 11, 1969 ilialikwa na Rais Nyerere, Februari 4, 1993 ilialikwa na Rais Mwinyi na Juni 4, 2023 ilialikwa na Rais Samia). 16. YANGA ndiyo timu pekee nchini iliyowahi kualikwa kwenye sherehe za uhuru wa Taifa jingine (Malawi Julai 7, 2023). 17. YANGA iliweka rekodi (2023) ya kuwa timu ya kwanza nchini kushinda mechi nyingi zaidi nje ya nchi michuano ya Afrika *NB:* Mashabiki maandazi wa SIMBA wanalialia eti YANGA inapata mafanikio kwaajili GSM anadhamini timu nyingi. Huu ni Upuuzi wa kiwango cha SGR! Kwani GSM alikuepo 1960s, 1970s, 1980s, nk ? B. REKODI MUJARAB ZA SIMBA: 1. Bw. Ramadhani Ali, Mnazi kindakindaki wa SIMBA, aliweka rekodi ya watani baada ya kumkabidhi mkewe, Bi Mwajuma Sadiki Ali kwa mnazi wa Yanga, Bw. Juma Gobe, magomeni Juni 1, 1968 baada ya Yanga kuitandika SIMBA 5-0. Hao jamaa walikuwa wamepinga kabla ya mechi kuwa timu itakayofungwa, aliyefungwa atamgawa mkewe !. 2. SIMBA ndiyo ilikuwa timu ya kwanza kuweka mpira kwapani mechi ya watani (Machi 3, 1969) 3. Mnazi wa Simba wa Tabora aliandika rekodi ya kujiua kwa kujitumbukiza kwenye pipa la mafuta baada ya SIMBA kufungwa 2-1 Nyamagana 10.8.1974. Timu ya SIMBA ilionesha ubinadamu ilipoenda Tabora kuhani msiba. Abdallah Kibaden "King" ndiye aliyekabidhi ubani. 4. Nicco Njohole wa SIMBA aliliaibisha Taifa baada ya kupigwa umeme 1979 Nchumbiji kwa kukojoa uwanjani! 5. Mwaka 1987, Kiongozi 1 wa SIMBA alienda kwa Idd Pazi, kipa wa PILSNER wakakubaliana ampe Tshs 50,000 ili afungishe kwenye mechi ya kwanza. SIMBA ilikiwa inachungulia kaburi. Kiongozi huyo akampa Tshs 25,000/= tu, hakumalizia. SIMBA ikatandikwa 2-0. 6. Kwenye mechi ya pili, PAZI aliitwa nyumbani kwa Mwenyekiti Yusuph Hazzali Ilala. Akamkuta na kapteni Malota Soma. Wakamsihi sana afungishe kwani ye ni "mwana" ila hawakumpa fedha. PAZI akamsimulia JAMHURI KIHWELU ambaye alikataa ujinga huo. Dakika ya 10 tu, Zicco wa Kilosa akafunga. Kabla ya HT, PAZI akaachia mpira uingie wavuni lakini JAMHURI akaenda kuuokolea kwenye chaki! Kipindi cha pili PAZI akaachia goli, SIMBA iliyopachikwa jina "Guluguja" kwa kufungwafungwa, ikaambulia sare ! 7. Mwaka 1987, SIMBA ilikuwa inashika mkia. Kwenye mechi ya mwisho dhidi ya Bingwa mtetezi Tukuyu stars, ilitakiwa kutoa sare 5-5 ili inusurike kushuka daraja. Na kweli ikala njama na Tukuyu stars zikatoka sare 5-5. FAT ikaishia tu kuzionya! 8. SIMBA imenusurika kushuka daraja mara 3 mfululizo (1987, 1988 & 1989). 9. Novemba 30, 1993, SIMBA ililazimika kutia kiberiti makontena 5 ya Khanga zilizoandikwa _"SIMBA BINGWA CAF 1993"_ baada ya kufilimbwa 2-0 na Stela Abidjan. 10. Manazi wa SIMBA waliandika rekodi ya kung'oa viti Oktoba 1, 2016. 11. SIMBA ililiaibisha Taifa kwa uchawi kwa kuwasha moto uwanjani mbungi dhidi ya Orlando Pirates Aprili 25, 2022 na Caf kuilima faini $ 10,000 12. Manazi wa SIMBA waliweka rekodi ya kulipiga mawe basi lao toka Ntwara hadi Dsm kote lilikopita baada ya kuchalazwa 2-1 na Azam Mei 8, 2023 uwanja wa Nangwanda Sijaona. 13. SIMBA ina tabia za Mbwa koko- Mbwa koko hubweka nyumbani tu. SIMBA haijawahi kutwaa kombe nje ya nchi. SIMBA hutia aibu sana mechi za kimataifa nje ya nchi, inategemea Bongo _"Kwa Mkapa Hatoki Mtu"_! 14. Manazi wa SIMBA walifanya tukio la hovyo kuwahi kutokea katika Historia ya mpira wa miguu. Hassan Dalali aliwahi kusimulia kwa uchungu : _"Simba tulipofungwa na Azzam 2-1, mashabiki wetu walifanya tukio la hovyo kupita kiasi. Walienda Kariakoo wakanunua mapera wakala. Zikaja coaster 3 nyumbani kwangu. Wakaanza kupiga mawe nyumba yangu. Haraka nikaificha familia yangu. Wakaingia wakaanza kunya sebuleni na kwingine. Nikawauliza wamemaliza? Nikawaambia waende uani kuna jaba la maji wakajisafishe. Walinisikitisha sana kwani walienda hadi chumba maalum nikako swalia wakanya. Nilihuzunika sana. Siku ya pili nikaenda klabuni nikajiuzulu"
    Love
    Like
    Wow
    7
    · 3 Reacties ·0 aandelen ·2K Views
  • NANI MWAMBA KATI YA SIMBA NA YANGA ?


    A. REKODI ZA YANGA:

    1. Kama kuna timu imewahi kuinyanyasa SIMBA, basi ni YANGA. Hakuna timu imeifunga SIMBA mara nyingi toka ianzishwe 8.8.1936 kama YANGA.

    2. YANGA imetwaa ubingwa wa Ligi mara 30, SIMBA mara 22 ie Mama Samia ataondoka madarakani 2030 SIMBA ikiwa haijavunja rekodi hii hata ikishinda mfululizo!

    3. YANGA imeshinda mechi nyingi zaidi za ligi kuliko SIMBA.

    4. YANGA imefunga magoli mengi ya Ligi kuliko SIMBA. YANGA ndio imefungwa mabao machache zaidi mechi za watani.

    5. YANGA imeshinda mechi nyingi za watani kuliko SIMBA. Mechi 4 za mwisho, SIMBA kafa zote!

    6. YANGA ndio ilishinda pambano la kwanza la watani (Juni 7, 1965)

    7. YANGA imetoa mchezaji aliyefunga magoli mengi zaidi ya ligi kwa misimu mingi (Kitwana Manara).

    8. YANGA imetoa mchezaji aliyefunga magoli mengi zaidi kwa msimu mmoja (MOHAMMED HUSSEIN "MMACHINGA")

    9. YANGA imetoa Mchezaji Bora kuwahi kutokea nchini (SUNDAY MANARA "COMPUTER").

    10. YANGA ilitoa mchezaji wa _"Kombaini ya Afrika 1973"_ (MAULID DILUNGA)1973. Kamba za SIMBA kuwa nao walitoa mchezaji (OMAR MAHADHI ziliumbuliwa baada ya kubainika MAHADHI alijiunga SIMBA 1975. 1973 MAHADHI alikuwa African Sports!)

    11. YANGA ndio timu iliyoshinda pambano la Kihistoria na Bora kuliko yote ya watani (Nyamagana 10.8.1974: 2-1)

    12. YANGA ndio timu pekee iliyofika fainali kombe la 2 kwa ukubwa Afrika (CAF Confederation cup 2023). SIMBA ilifika fainali 1993 kwenye kombe lililokuwa la 3 kwa hadhi ie "Caf cup". Kombe hili lilikuwa nyuma ya Kombe la Klabu Bingwa na Kombe la Washindi). Kwenye fainali, YANGA ilikosa kombe kwa Kanuni ya goli la ugenini (2-2) ila SIMBA ilikandwa kiduwanzi 2-0.

    13. YANGA ndio timu pekee nchini iliyowahi kuingia "TOP 5" ya kinyang'anyiro cha timu bora Afrika (2023).

    14. YANGA ndio timu pekee iliyotwaa ubingwa nje ya nchi (1993 & 1999)

    15. YANGA ndio timu iliyoalikwa Ikulu na Marais wengi kuliko timu yeyote (Novemba 11, 1969 ilialikwa na Rais Nyerere, Februari 4, 1993 ilialikwa na Rais Mwinyi na Juni 4, 2023 ilialikwa na Rais Samia).

    16. YANGA ndiyo timu pekee nchini iliyowahi kualikwa kwenye sherehe za uhuru wa Taifa jingine (Malawi Julai 7, 2023).

    17. YANGA iliweka rekodi (2023) ya kuwa timu ya kwanza nchini kushinda mechi nyingi zaidi nje ya nchi michuano ya Afrika

    *NB:* Mashabiki maandazi wa SIMBA wanalialia eti YANGA inapata mafanikio kwaajili GSM anadhamini timu nyingi. Huu ni Upuuzi wa kiwango cha SGR! Kwani GSM alikuepo 1960s, 1970s, 1980s, nk ?

    B. REKODI MUJARAB ZA SIMBA:


    1. Bw. Ramadhani Ali, Mnazi kindakindaki wa SIMBA, aliweka rekodi ya watani baada ya kumkabidhi mkewe, Bi Mwajuma Sadiki Ali kwa mnazi wa Yanga, Bw. Juma Gobe, magomeni Juni 1, 1968 baada ya Yanga kuitandika SIMBA 5-0. Hao jamaa walikuwa wamepinga kabla ya mechi kuwa timu itakayofungwa, aliyefungwa atamgawa mkewe !.

    2. SIMBA ndiyo ilikuwa timu ya kwanza kuweka mpira kwapani mechi ya watani (Machi 3, 1969)

    3. Mnazi wa Simba wa Tabora aliandika rekodi ya kujiua kwa kujitumbukiza kwenye pipa la mafuta baada ya SIMBA kufungwa 2-1 Nyamagana 10.8.1974. Timu ya SIMBA ilionesha ubinadamu ilipoenda Tabora kuhani msiba. Abdallah Kibaden "King" ndiye aliyekabidhi ubani.

    4. Nicco Njohole wa SIMBA aliliaibisha Taifa baada ya kupigwa umeme 1979 Nchumbiji kwa kukojoa uwanjani!

    5. Mwaka 1987, Kiongozi 1 wa SIMBA alienda kwa Idd Pazi, kipa wa PILSNER wakakubaliana ampe Tshs 50,000 ili afungishe kwenye mechi ya kwanza. SIMBA ilikiwa inachungulia kaburi. Kiongozi huyo akampa Tshs 25,000/= tu, hakumalizia. SIMBA ikatandikwa 2-0.

    6. Kwenye mechi ya pili, PAZI aliitwa nyumbani kwa Mwenyekiti Yusuph Hazzali Ilala. Akamkuta na kapteni Malota Soma. Wakamsihi sana afungishe kwani ye ni "mwana" ila hawakumpa fedha. PAZI akamsimulia JAMHURI KIHWELU ambaye alikataa ujinga huo. Dakika ya 10 tu, Zicco wa Kilosa akafunga. Kabla ya HT, PAZI akaachia mpira uingie wavuni lakini JAMHURI akaenda kuuokolea kwenye chaki! Kipindi cha pili PAZI akaachia goli, SIMBA iliyopachikwa jina "Guluguja" kwa kufungwafungwa, ikaambulia sare !

    7. Mwaka 1987, SIMBA ilikuwa inashika mkia. Kwenye mechi ya mwisho dhidi ya Bingwa mtetezi Tukuyu stars, ilitakiwa kutoa sare 5-5 ili inusurike kushuka daraja. Na kweli ikala njama na Tukuyu stars zikatoka sare 5-5. FAT ikaishia tu kuzionya!

    8. SIMBA imenusurika kushuka daraja mara 3 mfululizo (1987, 1988 & 1989).

    9. Novemba 30, 1993, SIMBA ililazimika kutia kiberiti makontena 5 ya Khanga zilizoandikwa _"SIMBA BINGWA CAF 1993"_ baada ya kufilimbwa 2-0 na Stela Abidjan.

    10. Manazi wa SIMBA waliandika rekodi ya kung'oa viti Oktoba 1, 2016.

    11. SIMBA ililiaibisha Taifa kwa uchawi kwa kuwasha moto uwanjani mbungi dhidi ya Orlando Pirates Aprili 25, 2022 na Caf kuilima faini $ 10,000

    12. Manazi wa SIMBA waliweka rekodi ya kulipiga mawe basi lao toka Ntwara hadi Dsm kote lilikopita baada ya kuchalazwa 2-1 na Azam Mei 8, 2023 uwanja wa Nangwanda Sijaona.

    13. SIMBA ina tabia za Mbwa koko- Mbwa koko hubweka nyumbani tu. SIMBA haijawahi kutwaa kombe nje ya nchi. SIMBA hutia aibu sana mechi za kimataifa nje ya nchi, inategemea Bongo _"Kwa Mkapa Hatoki Mtu"_!

    14. Manazi wa SIMBA walifanya tukio la hovyo kuwahi kutokea katika Historia ya mpira wa miguu. Hassan Dalali aliwahi kusimulia kwa uchungu :

    _"Simba tulipofungwa na Azzam 2-1, mashabiki wetu walifanya tukio la hovyo kupita kiasi. Walienda Kariakoo wakanunua mapera wakala. Zikaja coaster 3 nyumbani kwangu. Wakaanza kupiga mawe nyumba yangu. Haraka nikaificha familia yangu. Wakaingia wakaanza kunya sebuleni na kwingine. Nikawauliza wamemaliza? Nikawaambia waende uani kuna jaba la maji wakajisafishe. Walinisikitisha sana kwani walienda hadi chumba maalum nikako swalia wakanya. Nilihuzunika sana. Siku ya pili nikaenda klabuni nikajiuzulu"
    NANI MWAMBA KATI YA SIMBA NA YANGA ? A. REKODI ZA YANGA: 1. Kama kuna timu imewahi kuinyanyasa SIMBA, basi ni YANGA. Hakuna timu imeifunga SIMBA mara nyingi toka ianzishwe 8.8.1936 kama YANGA. 2. YANGA imetwaa ubingwa wa Ligi mara 30, SIMBA mara 22 ie Mama Samia ataondoka madarakani 2030 SIMBA ikiwa haijavunja rekodi hii hata ikishinda mfululizo! 3. YANGA imeshinda mechi nyingi zaidi za ligi kuliko SIMBA. 4. YANGA imefunga magoli mengi ya Ligi kuliko SIMBA. YANGA ndio imefungwa mabao machache zaidi mechi za watani. 5. YANGA imeshinda mechi nyingi za watani kuliko SIMBA. Mechi 4 za mwisho, SIMBA kafa zote! 6. YANGA ndio ilishinda pambano la kwanza la watani (Juni 7, 1965) 7. YANGA imetoa mchezaji aliyefunga magoli mengi zaidi ya ligi kwa misimu mingi (Kitwana Manara). 8. YANGA imetoa mchezaji aliyefunga magoli mengi zaidi kwa msimu mmoja (MOHAMMED HUSSEIN "MMACHINGA") 9. YANGA imetoa Mchezaji Bora kuwahi kutokea nchini (SUNDAY MANARA "COMPUTER"). 10. YANGA ilitoa mchezaji wa _"Kombaini ya Afrika 1973"_ (MAULID DILUNGA)1973. Kamba za SIMBA kuwa nao walitoa mchezaji (OMAR MAHADHI ziliumbuliwa baada ya kubainika MAHADHI alijiunga SIMBA 1975. 1973 MAHADHI alikuwa African Sports!) 11. YANGA ndio timu iliyoshinda pambano la Kihistoria na Bora kuliko yote ya watani (Nyamagana 10.8.1974: 2-1) 12. YANGA ndio timu pekee iliyofika fainali kombe la 2 kwa ukubwa Afrika (CAF Confederation cup 2023). SIMBA ilifika fainali 1993 kwenye kombe lililokuwa la 3 kwa hadhi ie "Caf cup". Kombe hili lilikuwa nyuma ya Kombe la Klabu Bingwa na Kombe la Washindi). Kwenye fainali, YANGA ilikosa kombe kwa Kanuni ya goli la ugenini (2-2) ila SIMBA ilikandwa kiduwanzi 2-0. 13. YANGA ndio timu pekee nchini iliyowahi kuingia "TOP 5" ya kinyang'anyiro cha timu bora Afrika (2023). 14. YANGA ndio timu pekee iliyotwaa ubingwa nje ya nchi (1993 & 1999) 15. YANGA ndio timu iliyoalikwa Ikulu na Marais wengi kuliko timu yeyote (Novemba 11, 1969 ilialikwa na Rais Nyerere, Februari 4, 1993 ilialikwa na Rais Mwinyi na Juni 4, 2023 ilialikwa na Rais Samia). 16. YANGA ndiyo timu pekee nchini iliyowahi kualikwa kwenye sherehe za uhuru wa Taifa jingine (Malawi Julai 7, 2023). 17. YANGA iliweka rekodi (2023) ya kuwa timu ya kwanza nchini kushinda mechi nyingi zaidi nje ya nchi michuano ya Afrika *NB:* Mashabiki maandazi wa SIMBA wanalialia eti YANGA inapata mafanikio kwaajili GSM anadhamini timu nyingi. Huu ni Upuuzi wa kiwango cha SGR! Kwani GSM alikuepo 1960s, 1970s, 1980s, nk ? B. REKODI MUJARAB ZA SIMBA: 1. Bw. Ramadhani Ali, Mnazi kindakindaki wa SIMBA, aliweka rekodi ya watani baada ya kumkabidhi mkewe, Bi Mwajuma Sadiki Ali kwa mnazi wa Yanga, Bw. Juma Gobe, magomeni Juni 1, 1968 baada ya Yanga kuitandika SIMBA 5-0. Hao jamaa walikuwa wamepinga kabla ya mechi kuwa timu itakayofungwa, aliyefungwa atamgawa mkewe !. 2. SIMBA ndiyo ilikuwa timu ya kwanza kuweka mpira kwapani mechi ya watani (Machi 3, 1969) 3. Mnazi wa Simba wa Tabora aliandika rekodi ya kujiua kwa kujitumbukiza kwenye pipa la mafuta baada ya SIMBA kufungwa 2-1 Nyamagana 10.8.1974. Timu ya SIMBA ilionesha ubinadamu ilipoenda Tabora kuhani msiba. Abdallah Kibaden "King" ndiye aliyekabidhi ubani. 4. Nicco Njohole wa SIMBA aliliaibisha Taifa baada ya kupigwa umeme 1979 Nchumbiji kwa kukojoa uwanjani! 5. Mwaka 1987, Kiongozi 1 wa SIMBA alienda kwa Idd Pazi, kipa wa PILSNER wakakubaliana ampe Tshs 50,000 ili afungishe kwenye mechi ya kwanza. SIMBA ilikiwa inachungulia kaburi. Kiongozi huyo akampa Tshs 25,000/= tu, hakumalizia. SIMBA ikatandikwa 2-0. 6. Kwenye mechi ya pili, PAZI aliitwa nyumbani kwa Mwenyekiti Yusuph Hazzali Ilala. Akamkuta na kapteni Malota Soma. Wakamsihi sana afungishe kwani ye ni "mwana" ila hawakumpa fedha. PAZI akamsimulia JAMHURI KIHWELU ambaye alikataa ujinga huo. Dakika ya 10 tu, Zicco wa Kilosa akafunga. Kabla ya HT, PAZI akaachia mpira uingie wavuni lakini JAMHURI akaenda kuuokolea kwenye chaki! Kipindi cha pili PAZI akaachia goli, SIMBA iliyopachikwa jina "Guluguja" kwa kufungwafungwa, ikaambulia sare ! 7. Mwaka 1987, SIMBA ilikuwa inashika mkia. Kwenye mechi ya mwisho dhidi ya Bingwa mtetezi Tukuyu stars, ilitakiwa kutoa sare 5-5 ili inusurike kushuka daraja. Na kweli ikala njama na Tukuyu stars zikatoka sare 5-5. FAT ikaishia tu kuzionya! 8. SIMBA imenusurika kushuka daraja mara 3 mfululizo (1987, 1988 & 1989). 9. Novemba 30, 1993, SIMBA ililazimika kutia kiberiti makontena 5 ya Khanga zilizoandikwa _"SIMBA BINGWA CAF 1993"_ baada ya kufilimbwa 2-0 na Stela Abidjan. 10. Manazi wa SIMBA waliandika rekodi ya kung'oa viti Oktoba 1, 2016. 11. SIMBA ililiaibisha Taifa kwa uchawi kwa kuwasha moto uwanjani mbungi dhidi ya Orlando Pirates Aprili 25, 2022 na Caf kuilima faini $ 10,000 12. Manazi wa SIMBA waliweka rekodi ya kulipiga mawe basi lao toka Ntwara hadi Dsm kote lilikopita baada ya kuchalazwa 2-1 na Azam Mei 8, 2023 uwanja wa Nangwanda Sijaona. 13. SIMBA ina tabia za Mbwa koko- Mbwa koko hubweka nyumbani tu. SIMBA haijawahi kutwaa kombe nje ya nchi. SIMBA hutia aibu sana mechi za kimataifa nje ya nchi, inategemea Bongo _"Kwa Mkapa Hatoki Mtu"_! 14. Manazi wa SIMBA walifanya tukio la hovyo kuwahi kutokea katika Historia ya mpira wa miguu. Hassan Dalali aliwahi kusimulia kwa uchungu : _"Simba tulipofungwa na Azzam 2-1, mashabiki wetu walifanya tukio la hovyo kupita kiasi. Walienda Kariakoo wakanunua mapera wakala. Zikaja coaster 3 nyumbani kwangu. Wakaanza kupiga mawe nyumba yangu. Haraka nikaificha familia yangu. Wakaingia wakaanza kunya sebuleni na kwingine. Nikawauliza wamemaliza? Nikawaambia waende uani kuna jaba la maji wakajisafishe. Walinisikitisha sana kwani walienda hadi chumba maalum nikako swalia wakanya. Nilihuzunika sana. Siku ya pili nikaenda klabuni nikajiuzulu"
    Love
    Like
    Haha
    Wow
    Sad
    6
    · 2 Reacties ·0 aandelen ·2K Views
  • #trustallah
    #trustallah
    0 Reacties ·0 aandelen ·719 Views
  • #allahuakbar #allah
    #allahuakbar #allah
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·740 Views
Zoekresultaten