• ⒿⒶⓂⒶⒶ ⒶⓁⒾⓂⓅⒺⓃⒹⒶ ⒷⒾⓃⓉⒾ ⓌⒶ ⓀⒾⓁⓄⓀⓄⓁⒺ ⒿⒾⓃⓈⒾ ⓎⒶ ⓀⓊⓂⓌⒾⓃⒼⒾⒶ ⒾⓀⒶⓌⒶ ⓃⒼⓊⓂⓊ ⒶⓀⒶⒶⓂⓊⒶ ⒶⓈⓄⓂⒺ ⓋⒾⒻⓊⓃⒼⓊ ⓋⒾⓃⒼⒾ ⓋⓎⒶ ⒷⒾⒷⓁⒾⒶ ⒾⓁⒾ ⒶⓂⓀⒶⓂⒶⓉⒺ ⓀⒾⓇⒶⒽⒾⓈⒾ ⓂⒶⓏⓊⓃⒼⓊⓂⓏⓄ ⓎⒶⓄ ⓎⒶⓁⒾⓀⓊⓌⒶ ⒽⒾⓋⒾ
    Mwanaume: sister mambo
    Sister: mambo kwa yesu
    Mwanume: Sister samahani . . . unampenzi?
    Sister: hapana sihitaji mpenzi!
    Mwanaume: mwanzo 2:18 mungu akasema sio
    vema mwanaume akabaki peke yake nitamfanyia
    msaidizi.
    Sister: Lakini Mimi sikupendi . . . .. . nampenda yesu!
    Mwanaume :1yohana 4:20 MTU akisema
    anampenda mungu naye humchukia ndugu yake ni
    mwongo kwamaana asiyempenda ndugu yake
    amwonaye atampendaje mungu asiyemwona?
    Sister: Nitaaminije kwamba maneno yako uongeayo
    ni kweli
    Mwanaume: mathayo 12:34-36mtu mwema katka
    akiba njema ya moyo wake hutoa mema na MTU
    mbaya katika akiba mbaya hutoa mabaya
    Ila mimi Kinywa changu huongea maneno
    yaliyoujaza moyo wangu
    Sister:: nitaaminije hayo uongeayo ni kweli?
    Mwanaume:: Marko 13:41 mbingu na nchi zitapita
    lakini maneno yangu hayatapita kamwe
    Sister:: mbona wako wako wanawake wengi sana
    kwanini umeniambia Mimi tu??
    Mwanaume:: mithali 31:29 binti za watu wengi
    wamefanya mema lakini wewe umewapita wote!
    Sister:: ni nini kilichokufanya unipende mimi na si
    wengne nimekuvutia nini ?
    Mwanaume ::wimbo bora 4:7 uu mzuri sana ndani
    yako Hamna hila
    Sister::: ni kweli? Mimi sio mzur wa kupendwa na
    wewe !!
    Mwanaume::::mithali 31:30 upendeleo hudanganya
    na uzur ni ubatili Bali mwanamke amchae bwana
    ndiye atakaye sifiwa
    Sister ::: ni nini kitatokea nikikubali na kusema ndio!
    Mwanaume ::: mwanzo 2:4 mwanaume atawaacha
    wazazi baba na mama ataambatana na mkewe na
    hao wawili hawatakuwa wawili tens Bali mwili
    mmoja.
    Sister ::imekuwaje unajua sana maandiko utafikir
    mchungaji
    Mwanaume :: Joshua 1:8 kitabu hiki cha torati
    kisiondoke kinywani mwenu Bali yatafakali maneno
    yangu mchana na usiku ndipo utakapo zifanikisha
    njia zako
    Sister :: yaah!! Nakuona unampenda sana mungu
    Mwanaume:: zabur 34:8 onjeni mwone kuwa bwana
    ni mwema heri MTU yule anayemtumainia
    Sister. ::mmmh bas nipe muda nifiki
    ⒿⒶⓂⒶⒶ ⒶⓁⒾⓂⓅⒺⓃⒹⒶ ⒷⒾⓃⓉⒾ ⓌⒶ ⓀⒾⓁⓄⓀⓄⓁⒺ ⒿⒾⓃⓈⒾ ⓎⒶ ⓀⓊⓂⓌⒾⓃⒼⒾⒶ ⒾⓀⒶⓌⒶ ⓃⒼⓊⓂⓊ ⒶⓀⒶⒶⓂⓊⒶ ⒶⓈⓄⓂⒺ ⓋⒾⒻⓊⓃⒼⓊ ⓋⒾⓃⒼⒾ ⓋⓎⒶ ⒷⒾⒷⓁⒾⒶ ⒾⓁⒾ ⒶⓂⓀⒶⓂⒶⓉⒺ ⓀⒾⓇⒶⒽⒾⓈⒾ ⓂⒶⓏⓊⓃⒼⓊⓂⓏⓄ ⓎⒶⓄ ⓎⒶⓁⒾⓀⓊⓌⒶ ⒽⒾⓋⒾ Mwanaume: sister mambo Sister: mambo kwa yesu Mwanume: Sister samahani . . . unampenzi? Sister: hapana sihitaji mpenzi! Mwanaume: mwanzo 2:18 mungu akasema sio vema mwanaume akabaki peke yake nitamfanyia msaidizi. Sister: Lakini Mimi sikupendi . . . .. . nampenda yesu! Mwanaume :1yohana 4:20 MTU akisema anampenda mungu naye humchukia ndugu yake ni mwongo kwamaana asiyempenda ndugu yake amwonaye atampendaje mungu asiyemwona? Sister: Nitaaminije kwamba maneno yako uongeayo ni kweli Mwanaume: mathayo 12:34-36mtu mwema katka akiba njema ya moyo wake hutoa mema na MTU mbaya katika akiba mbaya hutoa mabaya Ila mimi Kinywa changu huongea maneno yaliyoujaza moyo wangu Sister:: nitaaminije hayo uongeayo ni kweli? Mwanaume:: Marko 13:41 mbingu na nchi zitapita lakini maneno yangu hayatapita kamwe Sister:: mbona wako wako wanawake wengi sana kwanini umeniambia Mimi tu?? Mwanaume:: mithali 31:29 binti za watu wengi wamefanya mema lakini wewe umewapita wote! Sister:: ni nini kilichokufanya unipende mimi na si wengne nimekuvutia nini ? Mwanaume ::wimbo bora 4:7 uu mzuri sana ndani yako Hamna hila Sister::: ni kweli? Mimi sio mzur wa kupendwa na wewe !! Mwanaume::::mithali 31:30 upendeleo hudanganya na uzur ni ubatili Bali mwanamke amchae bwana ndiye atakaye sifiwa Sister ::: ni nini kitatokea nikikubali na kusema ndio! Mwanaume ::: mwanzo 2:4 mwanaume atawaacha wazazi baba na mama ataambatana na mkewe na hao wawili hawatakuwa wawili tens Bali mwili mmoja. Sister ::imekuwaje unajua sana maandiko utafikir mchungaji Mwanaume :: Joshua 1:8 kitabu hiki cha torati kisiondoke kinywani mwenu Bali yatafakali maneno yangu mchana na usiku ndipo utakapo zifanikisha njia zako Sister :: yaah!! Nakuona unampenda sana mungu Mwanaume:: zabur 34:8 onjeni mwone kuwa bwana ni mwema heri MTU yule anayemtumainia Sister. ::mmmh bas nipe muda nifiki
    Like
    Love
    3
    · 0 Comments ·0 Shares ·498 Views
  • Uzuri huvutia wanaume, ila busara pekee ndio itakufanya udumu katika mahusiano. Ushawishi unaweza ukadaka utulivu wa mwanaume ila akili yako kubwa inaweza ikafanikiwa kumshawishi.

    Malalamiko, ubishi na kelele vinamuudhi kila mwanaume, ila utulivu na unyenyekevu unamfanya mwanaume awe mpole kwako.

    Ubaya wowote wa mwanaume hutokea kwa sababu fulani na uwezo wa kukabiliana na huo ubaya upo katika busara za mwanamke wake.

    Kutambua maumivu ya mwanamke ni rahisi, kwa sababu hawezi kukaa nayo moyoni ni wazi atamueleza yule anaemuamini. Ila wanaume maumivu yao ni ya ndani kwa ndani na kuweza kuyang'amua inahitaji mwanamke aliye na busara ya kiungu.

    Mwisho wa siku maneno yatokayo kinywani mwako ndio ya msingi zaidi kuliko uzuri wako. Hivyo basi wekeza katika maneno yaliyo jaa busara na hekima.

    Mtii mwanaume na mpe heshima yake nae atakufanya uwe msaidizi wa kila kitu anachokifanya. Jifunze kutengeneza 'mood' ya mwanaume wako na utafanikiwa kuushinda moyo wake.

    Mwanaume yupo tayari akushirikishe mambo yake yote kama ataona 'maturity' kubwa uliyonayo. Ni vema kama mawazo yako ni ya kawaida (mediocrity) ukajiongeza na kuleta mawazo yenye tija ili aweze kukuamini.

    Wanawake wapo kila mahala tena ni wengi kuliko wanaume ila Malikia wa nguvu ni wachache mno. Jitengeneze kuwa malikia wa nguvu, ili mfalme wa nguvu aje katika maisha yako.

    Mwanamke atajenga nyumba yake kwa kinywa chake kilichojaa maneno ya busara.

    Busara yangu: For a man wins nothing better than a good wife, and then again nothing deadlier than a bad one!!

    Je wewe ni malikia wa nguvu?
    Uzuri huvutia wanaume, ila busara pekee ndio itakufanya udumu katika mahusiano. Ushawishi unaweza ukadaka utulivu wa mwanaume ila akili yako kubwa inaweza ikafanikiwa kumshawishi. Malalamiko, ubishi na kelele vinamuudhi kila mwanaume, ila utulivu na unyenyekevu unamfanya mwanaume awe mpole kwako. Ubaya wowote wa mwanaume hutokea kwa sababu fulani na uwezo wa kukabiliana na huo ubaya upo katika busara za mwanamke wake. Kutambua maumivu ya mwanamke ni rahisi, kwa sababu hawezi kukaa nayo moyoni ni wazi atamueleza yule anaemuamini. Ila wanaume maumivu yao ni ya ndani kwa ndani na kuweza kuyang'amua inahitaji mwanamke aliye na busara ya kiungu. Mwisho wa siku maneno yatokayo kinywani mwako ndio ya msingi zaidi kuliko uzuri wako. Hivyo basi wekeza katika maneno yaliyo jaa busara na hekima. Mtii mwanaume na mpe heshima yake nae atakufanya uwe msaidizi wa kila kitu anachokifanya. Jifunze kutengeneza 'mood' ya mwanaume wako na utafanikiwa kuushinda moyo wake. Mwanaume yupo tayari akushirikishe mambo yake yote kama ataona 'maturity' kubwa uliyonayo. Ni vema kama mawazo yako ni ya kawaida (mediocrity) ukajiongeza na kuleta mawazo yenye tija ili aweze kukuamini. Wanawake wapo kila mahala tena ni wengi kuliko wanaume ila Malikia wa nguvu ni wachache mno. Jitengeneze kuwa malikia wa nguvu, ili mfalme wa nguvu aje katika maisha yako. Mwanamke atajenga nyumba yake kwa kinywa chake kilichojaa maneno ya busara. Busara yangu: For a man wins nothing better than a good wife, and then again nothing deadlier than a bad one!! Je wewe ni malikia wa nguvu?
    0 Comments ·0 Shares ·675 Views
  • Am back again mwandamizi mfuwadhi wa tungo #salaries
    Michoro black combain kwa miluzi hii its not rap #siries
    ben wa michoro na tungo za kiimani Fanya moyo mnyofu taamka #kinywani
    Hichi kidonge cha mpenda rap kwenye map utusue #hewani
    Hip hop sio maji beba peleka bafuni lazma uumize kichwa kama umeng'atwa #kunguni
    Mwenda wa zimu aliechanganyikiwa kwa virusi vya #hip hop
    Natema ngumu kwenye beat napachika #mnofu
    Wananiita teacher ingawa me lecture wa #chuo
    All Mcz nawapa rhymes kwa mgao ili mnipe #cheo
    Ata Siku nikifa tungo zangu mtatumia kama #kombeo
    Paroko damu yangu ulimwengu umejaa #majungu
    Mcz na marapa bifu za kijinga tuzitupe kwenye #uvungu
    Vina kalandika pamoja toka ujana mpaka tuna #pinda
    Am back again mwandamizi mfuwadhi wa tungo #salaries Michoro black combain kwa miluzi hii its not rap #siries ben wa michoro na tungo za kiimani Fanya moyo mnyofu taamka #kinywani Hichi kidonge cha mpenda rap kwenye map utusue #hewani Hip hop sio maji beba peleka bafuni lazma uumize kichwa kama umeng'atwa #kunguni Mwenda wa zimu aliechanganyikiwa kwa virusi vya #hip hop Natema ngumu kwenye beat napachika #mnofu Wananiita teacher ingawa me lecture wa #chuo All Mcz nawapa rhymes kwa mgao ili mnipe #cheo Ata Siku nikifa tungo zangu mtatumia kama #kombeo Paroko damu yangu ulimwengu umejaa #majungu Mcz na marapa bifu za kijinga tuzitupe kwenye #uvungu Vina kalandika pamoja toka ujana mpaka tuna #pinda
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·2K Views