• Knee pain is a common condition affecting millions of people worldwide, often caused by arthritis, injuries, or degenerative joint diseases. Traditional treatments, such as cortisone injections or knee replacement surgery, offer temporary relief or require invasive procedures. However, stem cell therapy has emerged as a promising regenerative treatment that may provide long-term relief and help the body heal naturally.

    https://regencares.com/arthritis-and-pain-management/
    Knee pain is a common condition affecting millions of people worldwide, often caused by arthritis, injuries, or degenerative joint diseases. Traditional treatments, such as cortisone injections or knee replacement surgery, offer temporary relief or require invasive procedures. However, stem cell therapy has emerged as a promising regenerative treatment that may provide long-term relief and help the body heal naturally. https://regencares.com/arthritis-and-pain-management/
    Arthritis and Pain Management Clinic in Kansas City — Regencare
    regencares.com
    If you are in Overland Park, Kansas, and are looking for effective pain management options, contact Kansas Regencare today. Let us help you!
    0 Comments ·0 Shares ·16 Views
  • Lionel Messi katika maisha yake yote ya soka. 🫡

    🏟 Michezo - 1123
    ⚽️ Mabao - 882
    Asisst - 391
    🐐 🇦🇷 🚨 Lionel Messi katika maisha yake yote ya soka. 🔥 🫡 🏟 Michezo - 1123 ⚽️ Mabao - 882 🎯 Asisst - 391
    0 Comments ·0 Shares ·126 Views
  • Usajili: Bakambu kuwindwa Brazil… kwenye nyayo za Bolasie

    Mshambuliaji wa kimataifa wa DR Congo, Cédric Bakambu, amewekwa kwenye rada za klabu ya Brazil Atlético-MG.

    Kwa mujibu wa taarifa za Bolavip la Brazil, Bakambu ni miongoni mwa wachezaji wanaolengwa na mabingwa hao wa soka kwa ajili ya kuimarisha kikosi chao kuelekea msimu ujao.
    Kocha mpya wa Atlético-MG, Jorge Sampaoli, raia wa Argentina, amempa Bakambu kipaumbele katika usajili. Wawili hawa wana historia ya kufanya kazi pamoja wakiwa Olympique de Marseille nchini Ufaransa na wanaheshimiana sana.

    Takwimu za Bakambu akiwa Real Betis

    Bakambu alijiunga na Real Betis mwaka 2024 akitokea Galatasaray kwa ada ya euro milioni 5.
    Amecheza jumla ya michezo 52 kwenye mashindano yote, akifunga mabao 12 na kutoa asisti 4.
    Kwa sasa ana mkataba na Real Betis hadi mwaka 2026, huku thamani yake sokoni ikikadiriwa kuwa euro milioni 1.5.
    Usajili: Bakambu kuwindwa Brazil… kwenye nyayo za Bolasie Mshambuliaji wa kimataifa wa DR Congo, Cédric Bakambu, amewekwa kwenye rada za klabu ya Brazil Atlético-MG. Kwa mujibu wa taarifa za Bolavip la Brazil, Bakambu ni miongoni mwa wachezaji wanaolengwa na mabingwa hao wa soka kwa ajili ya kuimarisha kikosi chao kuelekea msimu ujao. Kocha mpya wa Atlético-MG, Jorge Sampaoli, raia wa Argentina, amempa Bakambu kipaumbele katika usajili. Wawili hawa wana historia ya kufanya kazi pamoja wakiwa Olympique de Marseille nchini Ufaransa na wanaheshimiana sana. Takwimu za Bakambu akiwa Real Betis Bakambu alijiunga na Real Betis mwaka 2024 akitokea Galatasaray kwa ada ya euro milioni 5. Amecheza jumla ya michezo 52 kwenye mashindano yote, akifunga mabao 12 na kutoa asisti 4. Kwa sasa ana mkataba na Real Betis hadi mwaka 2026, huku thamani yake sokoni ikikadiriwa kuwa euro milioni 1.5.
    0 Comments ·0 Shares ·230 Views
  • Manchester United Yavunja Rekodi ya Mapato ya £666.5m, Licha ya Kukosa Ligi ya Mabingwa Ulaya

    Manchester United imetangaza mapato ya rekodi ya £666.5 milioni kwa mwaka wa fedha 2025, licha ya kutoshiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (#UCL). Hata hivyo, klabu hiyo imerekodi hasara ya uendeshaji ya £18.4 milioni, ikilinganishwa na hasara kubwa zaidi ya £69.3 milioni mwaka 2024.

    Kiasi cha £36.6 milioni kilitumiwa kama gharama maalum, ikiwemo kuondoka kwa aliyekuwa meneja Erik ten Hag pamoja na benchi lake la ufundi.

    United pia imeweka historia kwa kupata mapato ya juu zaidi ya siku za mechi, yaliyoongezeka kwa 17%, kutokana na mauzo makubwa ya tiketi na uanachama. Aidha, klabu ilipata mapato ya juu zaidi ya kibiashara, yaliyoongezeka kwa 10%, kutokana na ushirikiano mpya wa jezi kuu na kampuni ya teknolojia Snapdragon.

    Kwa mwaka wa fedha 2026, klabu hiyo imeweka makadirio ya mapato kati ya £640 milioni na £660 milioni, huku EBITDA iliyorekebishwa ikitarajiwa kuwa kati ya £180 milioni na £200 milioni.

    Afisa Mtendaji Mkuu, Omar Berrada, alisema kuwa klabu inaendelea na mikakati ya muda mrefu ndani na nje ya uwanja:

    > "Tunafurahishwa na wachezaji wapya tulioongeza kwenye vikosi vyetu vya wanaume na wanawake. Nje ya uwanja, tunapitia mabadiliko ya kiuongozi na kimuundo, na sasa tuna taasisi iliyo tayari kufanikisha malengo yetu. Kupunguza gharama kutatupa nafasi kubwa ya kuboresha matokeo ya kifedha, jambo litakalosaidia kipaumbele chetu kikuu — mafaanikio uwanjani."

    Manchester United sasa ina matumaini kwamba mafanikio ya kifedha yatasaidia kurejesha ubingwa na heshima uwanjani.

    #SportsElite
    ⚽ Manchester United Yavunja Rekodi ya Mapato ya £666.5m, Licha ya Kukosa Ligi ya Mabingwa Ulaya Manchester United imetangaza mapato ya rekodi ya £666.5 milioni kwa mwaka wa fedha 2025, licha ya kutoshiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (#UCL). Hata hivyo, klabu hiyo imerekodi hasara ya uendeshaji ya £18.4 milioni, ikilinganishwa na hasara kubwa zaidi ya £69.3 milioni mwaka 2024. Kiasi cha £36.6 milioni kilitumiwa kama gharama maalum, ikiwemo kuondoka kwa aliyekuwa meneja Erik ten Hag pamoja na benchi lake la ufundi. United pia imeweka historia kwa kupata mapato ya juu zaidi ya siku za mechi, yaliyoongezeka kwa 17%, kutokana na mauzo makubwa ya tiketi na uanachama. Aidha, klabu ilipata mapato ya juu zaidi ya kibiashara, yaliyoongezeka kwa 10%, kutokana na ushirikiano mpya wa jezi kuu na kampuni ya teknolojia Snapdragon. Kwa mwaka wa fedha 2026, klabu hiyo imeweka makadirio ya mapato kati ya £640 milioni na £660 milioni, huku EBITDA iliyorekebishwa ikitarajiwa kuwa kati ya £180 milioni na £200 milioni. Afisa Mtendaji Mkuu, Omar Berrada, alisema kuwa klabu inaendelea na mikakati ya muda mrefu ndani na nje ya uwanja: > "Tunafurahishwa na wachezaji wapya tulioongeza kwenye vikosi vyetu vya wanaume na wanawake. Nje ya uwanja, tunapitia mabadiliko ya kiuongozi na kimuundo, na sasa tuna taasisi iliyo tayari kufanikisha malengo yetu. Kupunguza gharama kutatupa nafasi kubwa ya kuboresha matokeo ya kifedha, jambo litakalosaidia kipaumbele chetu kikuu — mafaanikio uwanjani." 📌 Manchester United sasa ina matumaini kwamba mafanikio ya kifedha yatasaidia kurejesha ubingwa na heshima uwanjani. #SportsElite
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·393 Views
  • IMANI KUBWA.

    Imani ni uhakika wa jambo bayana ya lile lisilo onekana.

    #Waebrania 11:1
    [1]Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana.

    Imani kubwa ni imani ya kulitazama neno na kutokea kwenye neno kila jawabu lako unaliona hapo.

    Mfano uhalisia madaktari wanasema huwezi kupona kisukari lakini neno linasema alichukua magonjwa yetu ,madhaifu yetu hivyo basi lwa kupigwa kwake sisi tumepona.

    Imani kubwa ni kuvuka mstari wa wanayo onekana na kisha kutazama neno na kuliishi.

    Akida alikuwa mfano wa jambo hili.

    #Luka 7:7
    [7]kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona.

    Huyu akida akuhitaji kabisa hata Yesu aende eneo lile badala yake aliitaji alitume neno tu na yule mtumwa wake apone.

    Hii ndiyo imani kubwa ni wakati uhalisia unakataa lakini ndo kipindi ambacho unaona jibu hapo hapo.

    #Luka 7:7,9
    [7]kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona.

    [9]Yesu aliposikia hayo alimstaajabia, akaugeukia mkutano uliokuwa ukimfuata, akasema, Nawaambia, hata katika Israeli sijaona imani kubwa namna hii.

    Wanao pokea wote kwa ukubwa lazima wawe na imani kubwa sana na chanzo cha imani kubwa ni kusikia neno la Mungu na kuligeuza kuwa lako la maisha.

    Kwa sababu Mungu huwa ana asili ya kulituma neno lake lake kisha likabadilisha yote.

    #Zaburi 107:20
    [20]Hulituma neno lake, huwaponya,
    Huwatoa katika maangamizo yao.

    Ko kama huamini neno Mungu hawezi kulituma neno ni lazima ufike kipindi uamue kulituma neno ili kutokea kwenye neno libadilishe yote.

    Mfano mwingine .

    Petro alipo kiuhalisia petro alikuwa mtaalamu wa uvuvi na kiasi cha kuwa amekesha kabisa kutafuta samaki .

    Na kanuni ya uvuvi samaki wanapatikana usiku , Yesu ameenda muda ambao hualisia wa kawaida haukubali kuvua.

    Na anamwambia Petro shusha nyavu kilindini,
    Petro sababu ya imani kubwa alimwambia kwa neno lako nashusha nyavu.

    #Luka 5:5
    [5]Simoni akajibu akamwambia, Bwana mkubwa, tumefanya kazi ya kuchosha usiku kucha, tusipate kitu; lakini kwa neno lako nitazishusha nyavu.

    Na kutokea kushusha nyavu walipata samaki wengi kiasi cha nyavu kukatika.

    #Luka 5:6-7
    [6]Basi, walipofanya hivyo walipata samaki wengi mno, nyavu zao zikaanza kukatika;
    .
    [7]wakawapungia mikono washirika wao waliokuwa katika chombo cha pili, kuwasaidia; wakaja, wakavijaza vyombo vyote viwili, hata vikataka kuzama.

    Kumbe hata wewe upati majibu sababu utaki kujenga imani kubwa katika jambo unalo lifanya.

    Mfano moyoni mwako kila ukiwaza unasikia kuwa na real estate na uhalisia uoni lakini una kakiwanja mahali au unapo ishi kumbe imani kubwa ni kuanza hata na vyumba viwili ndo vitabadilisha maisha yako.

    Ni neno la uzima peke yake ndilo Lina badilishaga yote .

    Jifunze kutii kile unacho kiona kwenye neno na kutokea hapo maisha yako yote yatabadilika.

    Jitahidi sana kuomba kwa Mungu neno la uzima linabdailishaga yote.

    Imani inabadilisha yote kabisa na ukiamua kumfuata Yesu na ukalipenda neno maisha yako yatabadilika kabisa.

    Kuwa na imani kubwa harafu uone matokeo makubwa

    NAKUOMBEA MUNGU WANGU AKUPE NEEMA YA KUWA NA IMANI KUBWA KTIKA NENO LAKE NA KUTOKEA HAPO JANA YAKO IBADILIKE KABISA NA KUWA KESHO NJEMA KWA JINA LA YESU.

    Nikutakie asubui njema na siku njema .

    Naitwa sylvester Mwakabende
    Build new eden ministry
    0622625340

    #build new eden
    #restore men position
    IMANI KUBWA. Imani ni uhakika wa jambo bayana ya lile lisilo onekana. #Waebrania 11:1 [1]Basi imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo, ni bayana ya mambo yasiyoonekana. Imani kubwa ni imani ya kulitazama neno na kutokea kwenye neno kila jawabu lako unaliona hapo. Mfano uhalisia madaktari wanasema huwezi kupona kisukari lakini neno linasema alichukua magonjwa yetu ,madhaifu yetu hivyo basi lwa kupigwa kwake sisi tumepona. Imani kubwa ni kuvuka mstari wa wanayo onekana na kisha kutazama neno na kuliishi. Akida alikuwa mfano wa jambo hili. #Luka 7:7 [7]kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona. Huyu akida akuhitaji kabisa hata Yesu aende eneo lile badala yake aliitaji alitume neno tu na yule mtumwa wake apone. Hii ndiyo imani kubwa ni wakati uhalisia unakataa lakini ndo kipindi ambacho unaona jibu hapo hapo. #Luka 7:7,9 [7]kwa hiyo nilijiona sistahili mwenyewe kuja kwako; lakini, sema neno tu, na mtumwa wangu atapona. [9]Yesu aliposikia hayo alimstaajabia, akaugeukia mkutano uliokuwa ukimfuata, akasema, Nawaambia, hata katika Israeli sijaona imani kubwa namna hii. Wanao pokea wote kwa ukubwa lazima wawe na imani kubwa sana na chanzo cha imani kubwa ni kusikia neno la Mungu na kuligeuza kuwa lako la maisha. Kwa sababu Mungu huwa ana asili ya kulituma neno lake lake kisha likabadilisha yote. #Zaburi 107:20 [20]Hulituma neno lake, huwaponya, Huwatoa katika maangamizo yao. Ko kama huamini neno Mungu hawezi kulituma neno ni lazima ufike kipindi uamue kulituma neno ili kutokea kwenye neno libadilishe yote. Mfano mwingine . Petro alipo kiuhalisia petro alikuwa mtaalamu wa uvuvi na kiasi cha kuwa amekesha kabisa kutafuta samaki . Na kanuni ya uvuvi samaki wanapatikana usiku , Yesu ameenda muda ambao hualisia wa kawaida haukubali kuvua. Na anamwambia Petro shusha nyavu kilindini, Petro sababu ya imani kubwa alimwambia kwa neno lako nashusha nyavu. #Luka 5:5 [5]Simoni akajibu akamwambia, Bwana mkubwa, tumefanya kazi ya kuchosha usiku kucha, tusipate kitu; lakini kwa neno lako nitazishusha nyavu. Na kutokea kushusha nyavu walipata samaki wengi kiasi cha nyavu kukatika. #Luka 5:6-7 [6]Basi, walipofanya hivyo walipata samaki wengi mno, nyavu zao zikaanza kukatika; . [7]wakawapungia mikono washirika wao waliokuwa katika chombo cha pili, kuwasaidia; wakaja, wakavijaza vyombo vyote viwili, hata vikataka kuzama. Kumbe hata wewe upati majibu sababu utaki kujenga imani kubwa katika jambo unalo lifanya. Mfano moyoni mwako kila ukiwaza unasikia kuwa na real estate na uhalisia uoni lakini una kakiwanja mahali au unapo ishi kumbe imani kubwa ni kuanza hata na vyumba viwili ndo vitabadilisha maisha yako. Ni neno la uzima peke yake ndilo Lina badilishaga yote . Jifunze kutii kile unacho kiona kwenye neno na kutokea hapo maisha yako yote yatabadilika. Jitahidi sana kuomba kwa Mungu neno la uzima linabdailishaga yote. Imani inabadilisha yote kabisa na ukiamua kumfuata Yesu na ukalipenda neno maisha yako yatabadilika kabisa. Kuwa na imani kubwa harafu uone matokeo makubwa NAKUOMBEA MUNGU WANGU AKUPE NEEMA YA KUWA NA IMANI KUBWA KTIKA NENO LAKE NA KUTOKEA HAPO JANA YAKO IBADILIKE KABISA NA KUWA KESHO NJEMA KWA JINA LA YESU. Nikutakie asubui njema na siku njema . Naitwa sylvester Mwakabende Build new eden ministry 0622625340 #build new eden #restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·588 Views
  • Isak aanza mazoezi na wachezaji wenzake wa Liverpool

    Mshambuliaji wa Liverpool, Alexander Isak, ameanza rasmi mazoezi na kikosi cha Liverpool.

    Mchezaji huyo wa Kiswidi alikamilisha usajili wa rekodi ya Uingereza wa £125 milioni kutoka Newcastle katika siku ya mwisho ya dirisha la usajili, kisha akaungana na timu ya taifa ya Sweden kwa mechi za kimataifa za Septemba.

    Isak alicheza dakika 18 tu katika mechi mbili ambazo Sweden haikushinda dhidi ya Slovenia na Kosovo, lakini sasa ameonekana akifanya mazoezi na wachezaji wenzake wapya wa klabu ya Liverpool.

    Huenda Isak akacheza mechi yake ya kwanza kwa Liverpool dhidi ya Burnley siku ya jumapili hii.
    👀Isak aanza mazoezi na wachezaji wenzake wa Liverpool 👉Mshambuliaji wa Liverpool, Alexander Isak, ameanza rasmi mazoezi na kikosi cha Liverpool. 👉Mchezaji huyo wa Kiswidi alikamilisha usajili wa rekodi ya Uingereza wa £125 milioni kutoka Newcastle katika siku ya mwisho ya dirisha la usajili, kisha akaungana na timu ya taifa ya Sweden kwa mechi za kimataifa za Septemba. 👉Isak alicheza dakika 18 tu katika mechi mbili ambazo Sweden haikushinda dhidi ya Slovenia na Kosovo, lakini sasa ameonekana akifanya mazoezi na wachezaji wenzake wapya wa klabu ya Liverpool. 👉Huenda Isak akacheza mechi yake ya kwanza kwa Liverpool dhidi ya Burnley siku ya jumapili hii.
    0 Comments ·0 Shares ·287 Views
  • Slot: Kuna mfanano mkubwa kati ya Arsenal na Liverpool msimu huu

    Kocha wa Liverpool, Arne Slot, amesema:

    “Kuna mfanano mkubwa kati ya timu zote mbili. Mtindo wa uchezaji wa Arsenal haujabadilika sana licha ya usajili mpya.”

    “Labda tofauti ipo kwenye namba 9. (Gabriel Jesus) ni mshambuliaji wa kati halisi, lakini hakupata nafasi sana msimu uliopita. Yule walionaye sasa ni tofauti na Havertz au Trossard.”

    “Gyokeres ni mshambuliaji wa aina ya target man, kwa hiyo labda hapo ndipo kuna tofauti ndogo.”

    #SportsElite
    🔴 Slot: Kuna mfanano mkubwa kati ya Arsenal na Liverpool msimu huu 👉Kocha wa Liverpool, Arne Slot, amesema: 🗣️ “Kuna mfanano mkubwa kati ya timu zote mbili. Mtindo wa uchezaji wa Arsenal haujabadilika sana licha ya usajili mpya.” 🗣️ “Labda tofauti ipo kwenye namba 9. (Gabriel Jesus) ni mshambuliaji wa kati halisi, lakini hakupata nafasi sana msimu uliopita. Yule walionaye sasa ni tofauti na Havertz au Trossard.” 🗣️ “Gyokeres ni mshambuliaji wa aina ya target man, kwa hiyo labda hapo ndipo kuna tofauti ndogo.” #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·662 Views
  • 🆕️ Liverpool wamewasilisha ofa mpya kwa Newcastle United kwa ajili ya kumsajili Alexander Isak msimu huu wa kiangazi.

    Ofa hiyo mpya inazidi ile ya awali ya £120 milioni, na ina masharti bora zaidi ya malipo ikilinganishwa na pendekezo la awali.

    Mkataba kati ya Isak na Liverpool hadi Juni 2030 tayari umeafikiwa, na mchezaji huyo anashinikiza dili hilo, akifanya kila juhudi kuhakikisha anajiunga na Liverpool msimu huu.

    Liverpool wana uhakika kuwa ofa hii inaweza kuwa ya kuamua hatima ya usajili, huku Newcastle United wakitarajiwa kutoa majibu ndani ya siku chache zijazo.

    (Chanzo: Enock Kobina Essel)

    #SportsElite
    🚨🚨🆕️‼️ Liverpool wamewasilisha ofa mpya kwa Newcastle United kwa ajili ya kumsajili Alexander Isak msimu huu wa kiangazi. 💰 Ofa hiyo mpya inazidi ile ya awali ya £120 milioni, na ina masharti bora zaidi ya malipo ikilinganishwa na pendekezo la awali. 📝 Mkataba kati ya Isak na Liverpool hadi Juni 2030 tayari umeafikiwa, na mchezaji huyo anashinikiza dili hilo, akifanya kila juhudi kuhakikisha anajiunga na Liverpool msimu huu. 🔴 Liverpool wana uhakika kuwa ofa hii inaweza kuwa ya kuamua hatima ya usajili, huku Newcastle United wakitarajiwa kutoa majibu ndani ya siku chache zijazo. (Chanzo: Enock Kobina Essel) #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·331 Views
  • Cristiano Ronaldo ni Ni moja ya Magwiji wakubwa Sana kwenye soccer Duniani hio Haina hata ubishi wowote... Lakini kwenye hao magwiji lazima utampata Gwiji namba moja, .... Na kama unaakili timamu lazima ulitaje jina la #LIONEL_MESSI ndiye mchezaji Bora Zaidi Duniani,.... Na kwenye huo Ubora unapimwa na vitu alivyo fanikiwa kubeba kwenye soccer ,... Sasa bwana huyu Mchawi mfupi hakuna kitu alicho kiacha kwenye Dunia ya Soka Kwa taarifa yenu

    Any way huyo Alie kua na Ronaldo ni nani
    🌀Cristiano Ronaldo ni Ni moja ya Magwiji wakubwa Sana kwenye soccer Duniani hio Haina hata ubishi wowote...✊ Lakini kwenye hao magwiji lazima utampata Gwiji namba moja, .... Na kama unaakili timamu lazima ulitaje jina la #LIONEL_MESSI ndiye mchezaji Bora Zaidi Duniani,.... Na kwenye huo Ubora unapimwa na vitu alivyo fanikiwa kubeba kwenye soccer ,... Sasa bwana huyu Mchawi mfupi hakuna kitu alicho kiacha kwenye Dunia ya Soka Kwa taarifa yenu😀 Any way huyo Alie kua na Ronaldo ni nani ❔❓😀
    0 Comments ·0 Shares ·527 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Tottenham's new bid for Savinho is around €80 million (£69.2m).

    Manchester City will accept an offer of at least £70 million for the winger.
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Tottenham's new bid for Savinho is around €80 million (£69.2m). Manchester City will accept an offer of at least £70 million for the winger.
    0 Comments ·0 Shares ·177 Views
  • Wachezaji wenye magoli na Assist Nyingi Karne ya 21

    Lionel Messi – 1264
    Cristiano Ronaldo – 1196
    Robert Lewandowski – 841
    Luis Suarez – 836
    Zlatan Ibrahimovic – 726
    Karim Benzema – 689
    🚨🚨Wachezaji wenye magoli na Assist Nyingi Karne ya 21 🔥 🇦🇷 Lionel Messi – 1264 🇵🇹 Cristiano Ronaldo – 1196 🇵🇱 Robert Lewandowski – 841 🇺🇾 Luis Suarez – 836 🇸🇪 Zlatan Ibrahimovic – 726 🇫🇷 Karim Benzema – 689
    0 Comments ·0 Shares ·360 Views
  • Van Dijk Ampongeza Isak Wakati Liverpool Wakiendelea Kumsaka

    Beki wa Liverpool, Virgil van Dijk, amemtaja Alexander Isak kuwa miongoni mwa washambuliaji wagumu zaidi aliowahi kukutana nao kwenye Ligi Kuu ya England, akimtaja sambamba na majina makubwa kama Erling Haaland, Ollie Watkins na Harry Kane.

    Isak ambaye amefunga mabao manne katika mechi sita dhidi ya Liverpool, hivi karibuni alieleza kutoridhishwa kwake na hali yake ndani ya Newcastle United. Straika huyo wa Kiswidi amesema hataki tena kucheza katika Uwanja wa St. James’ Park, akidai uongozi wa klabu hiyo umemzuia kupitia upya mkataba wake.

    Liverpool tayari walitoa dau la pauni milioni 110 ambalo Newcastle walilikataa, wakisisitiza hawana mpango wa kumuuza nyota wao. Hata hivyo, Isak amesisitiza nia ya kuondoka, jambo linaloweza kuwa pigo kubwa kwa Newcastle ikizingatiwa mchango wake kwenye mafanikio ya hivi karibuni, ikiwemo kutwaa Carabao Cup na kuchaguliwa katika kikosi bora cha msimu wa EPL.

    Hali hiyo sasa imeweka sintofahamu kuhusu hatima ya mshambuliaji huyo, huku Liverpool wakionekana kutafuta kwa nguvu saini yake.

    🚨Van Dijk Ampongeza Isak Wakati Liverpool Wakiendelea Kumsaka Beki wa Liverpool, Virgil van Dijk, amemtaja Alexander Isak kuwa miongoni mwa washambuliaji wagumu zaidi aliowahi kukutana nao kwenye Ligi Kuu ya England, akimtaja sambamba na majina makubwa kama Erling Haaland, Ollie Watkins na Harry Kane. Isak ambaye amefunga mabao manne katika mechi sita dhidi ya Liverpool, hivi karibuni alieleza kutoridhishwa kwake na hali yake ndani ya Newcastle United. Straika huyo wa Kiswidi amesema hataki tena kucheza katika Uwanja wa St. James’ Park, akidai uongozi wa klabu hiyo umemzuia kupitia upya mkataba wake. Liverpool tayari walitoa dau la pauni milioni 110 ambalo Newcastle walilikataa, wakisisitiza hawana mpango wa kumuuza nyota wao. Hata hivyo, Isak amesisitiza nia ya kuondoka, jambo linaloweza kuwa pigo kubwa kwa Newcastle ikizingatiwa mchango wake kwenye mafanikio ya hivi karibuni, ikiwemo kutwaa Carabao Cup na kuchaguliwa katika kikosi bora cha msimu wa EPL. Hali hiyo sasa imeweka sintofahamu kuhusu hatima ya mshambuliaji huyo, huku Liverpool wakionekana kutafuta kwa nguvu saini yake.
    0 Comments ·0 Shares ·565 Views
  • BREAKING

    Brentford wamekataa ofa ya Newcastle £35million pamoja na nyongeza ya £5million kwa mshambuliaji wao Yoane Wissa raia wa DRC Congo.

    Licha ya Wissa kushinikiza kuondoka klabuni hapo lakini Brentford kwa upande wao wamekataa ofa hiyo nyingine ya Newcastle.

    Brentford pia hawajaweka wazi bei sahihi ambayo wanahitaji ili kumuachia mshambuliaji huyo.

    Mkataba uheshimiwe

    Source {David Ornstein}.

    #SportsElite
    🚨 BREAKING Brentford wamekataa ofa ya Newcastle £35million pamoja na nyongeza ya £5million kwa mshambuliaji wao Yoane Wissa raia wa DRC Congo. Licha ya Wissa kushinikiza kuondoka klabuni hapo lakini Brentford kwa upande wao wamekataa ofa hiyo nyingine ya Newcastle. Brentford pia hawajaweka wazi bei sahihi ambayo wanahitaji ili kumuachia mshambuliaji huyo. Mkataba uheshimiwe😅 Source {David Ornstein}. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·400 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Rico Lewis bado ataendelea kusalia Manchester City, pamoja kuwa Nottingham Forest ilionesha nia ya kumuhitaji lakini
    inaelezwa kuwa huwenda kaongeza kandarasi hadi 2030.

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Rico Lewis bado ataendelea kusalia Manchester City, pamoja kuwa Nottingham Forest ilionesha nia ya kumuhitaji lakini inaelezwa kuwa huwenda kaongeza kandarasi hadi 2030. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·171 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Manchester City imeitupilia mbali ofa ya 70 million euros kutoka Tottenham kumsajili Savinho.

    Mazungumzo bado yanaendelea muda sio mrefu ofa mpya inaweza kutolewa na klabu hiyo...


    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Manchester City imeitupilia mbali ofa ya 70 million euros kutoka Tottenham kumsajili Savinho. Mazungumzo bado yanaendelea muda sio mrefu ofa mpya inaweza kutolewa na klabu hiyo... #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·267 Views
  • Klabu ya Chelsea inayoshiriki ligi kuu nchini Uingereza ,imetoa Posho za wachezaji walizozipata baada ya kutwaa ubingwa wa kombe la dunia la vilabu kwa familia ya aliyekuwa mchezaji wa Liverpool marehemu Diogo Jota aliyefariki kwa ajali ya gari mwezi June mwaka huu.

    Chelsea wametoa kiasi cha dola milioni 15.5 ambazo ni zaidi ya bilioni 39 kwa pesa za Tanzania,jambo ambalo limewafurahisha mashabiki wengi wa soka ulimwenguni.

    #SportsElite
    🚨🚨Klabu ya Chelsea inayoshiriki ligi kuu nchini Uingereza ,imetoa Posho za wachezaji walizozipata baada ya kutwaa ubingwa wa kombe la dunia la vilabu kwa familia ya aliyekuwa mchezaji wa Liverpool marehemu Diogo Jota aliyefariki kwa ajali ya gari mwezi June mwaka huu. Chelsea wametoa kiasi cha dola milioni 15.5 ambazo ni zaidi ya bilioni 39 kwa pesa za Tanzania,jambo ambalo limewafurahisha mashabiki wengi wa soka ulimwenguni. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·698 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Manchester City bado wanavutiwa na Rodrygo kutoka Real Madrid, na mazungumzo yamefikia pazuri.

    City wako tayari kutoa ofa ya kimkataba hadi 2030, na Rodrygo kama anahitaji kuondoka Madrid basin City watalipa kiasi cha €100 million.

    photo credit Madridista

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Manchester City bado wanavutiwa na Rodrygo kutoka Real Madrid, na mazungumzo yamefikia pazuri. City wako tayari kutoa ofa ya kimkataba hadi 2030, na Rodrygo kama anahitaji kuondoka Madrid basin City watalipa kiasi cha €100 million. 📷 photo credit Madridista 🙏 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·243 Views
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Nottingham Forest imemrudisha mchezaji wake wa zamani kwenye Timu ya wa awake Chantelle Boye-Hlorkah kwa mkataba hadi Juni 2027.

    Amejiunga na klabu baada ya mkataba wake kutamatika London City Lionesses..

    #SportsElite
    🚨🇬🇭 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Nottingham Forest imemrudisha mchezaji wake wa zamani kwenye Timu ya wa awake Chantelle Boye-Hlorkah kwa mkataba hadi Juni 2027. Amejiunga na klabu baada ya mkataba wake kutamatika London City Lionesses.. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·254 Views
  • A space made just for them

    Welcome to our Ampang outlet, thoughtfully designed to support every child’s journey. With a sensory-friendly playground, climbing area and mock classrooms for both group and 1-on-1 sessions. We make space for different ways of learning for your child to thrive.

    Located in KL Trillion
    Visit Now:- https://abcautism.com.my/
    ✨A space made just for them✨ Welcome to our Ampang outlet, thoughtfully designed to support every child’s journey. With a sensory-friendly playground, climbing area and mock classrooms for both group and 1-on-1 sessions. We make space for different ways of learning for your child to thrive. 📍Located in KL Trillion 🌐 Visit Now:- https://abcautism.com.my/
    0 Comments ·0 Shares ·450 Views
  • Savinho Kutimkia Spurs *

    Tottenham wapo kwenye mazungumzo na Manchester City juu ya kutaka kumsajili Winga wa Brazil Savinho.

    Majadiliano yamefanyika kati ya klabu hizo mbili katika siku za hivi karibuni kuhusu uwezekano wa kumnunua mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 lakini itachukua ofa ya zaidi ya pauni milioni 50 kuwashawishi City kumuuza Staa huyo.

    #SportsElite
    🚨Savinho Kutimkia Spurs 🤝* Tottenham wapo kwenye mazungumzo na Manchester City juu ya kutaka kumsajili Winga wa Brazil Savinho. Majadiliano yamefanyika kati ya klabu hizo mbili katika siku za hivi karibuni kuhusu uwezekano wa kumnunua mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 21 lakini itachukua ofa ya zaidi ya pauni milioni 50 kuwashawishi City kumuuza Staa huyo. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·313 Views
More Results