• Chelsea wameweka bei ya pauni milioni 100 kwa mshambuliaji wao Nicolas Jackson, wakitoa ujumbe wazi kwa vilabu vinavyomtaka kuwa hawako tayari kumuachia kirahisi.

    #SportsElite
    Chelsea wameweka bei ya pauni milioni 100 kwa mshambuliaji wao Nicolas Jackson, wakitoa ujumbe wazi kwa vilabu vinavyomtaka kuwa hawako tayari kumuachia kirahisi. #SportsElite
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·33 Views
  • Klabu ya Everton imemkaribisha rasmi mshambuliaji chipukizi Thierno Barry ambaye awali alikuwa Villarreal. Barry, anayewakilisha timu ya taifa ya vijana ya Ufaransa chini ya miaka 21, sasa atakuwa sehemu ya kikosi cha Everton kwa mkataba wa miaka minne. DDiili hilo linaripotiwa harimu takribani pauni milionii 27.5.

    #SportsElite
    Klabu ya Everton imemkaribisha rasmi mshambuliaji chipukizi Thierno Barry ambaye awali alikuwa Villarreal. Barry, anayewakilisha timu ya taifa ya vijana ya Ufaransa chini ya miaka 21, sasa atakuwa sehemu ya kikosi cha Everton kwa mkataba wa miaka minne. DDiili hilo linaripotiwa harimu takribani pauni milionii 27.5. 🔵 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·62 Views
  • | BREAKING

    Newcastle united wameingia kwenye mbio za kumuwania mshambuliaji wa Manchester city, Jack Grealish mwenye umri wa miaka 29.

    Manchester city wanahitaji kumuuza Grealish kwa dau la £40 million baada ya wao kumsajili Kwa £100 million mwaka 2021.

    Tofauti na Newcastle pia kuna West Ham na Totenham ambao wapo kwenye mbio za kumuwania Grealish.

    #SportsElite
    🚨 | BREAKING Newcastle united wameingia kwenye mbio za kumuwania mshambuliaji wa Manchester city, Jack Grealish mwenye umri wa miaka 29. Manchester city wanahitaji kumuuza Grealish kwa dau la £40 million baada ya wao kumsajili Kwa £100 million mwaka 2021. Tofauti na Newcastle pia kuna West Ham na Totenham ambao wapo kwenye mbio za kumuwania Grealish. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·85 Views
  • 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀👊🏼 Hii ni Yetu wote WANANCHI.

    HIi ni Kampeni Kubwa itakayobeba Safari yetu ya MAFANIKIO Msimu wa 2025/26.

    Kila shabiki wa @yangasc Duniani atatakiwa kununua 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 kwa Kulipa Ada ya Mwaka ya Uwanachama wa Klabu Yetu.

    MALENGO ni kupata MATOFALI MILIONI 1 kwa Wanayanga watakaolipia Ada zao kwa njia ya Kimtandao.

    Tukifanikisha hili, Tutakuwa tumefanikisha MAMBO MAKUBWA MAWILI Wanayanga wenzangu

    1: Tumepata HELA ya kufanya USAJILI MKUBWA utakaotupa Timu Bora zaidi ya ilivyokuwa Msimu huu.

    2: Tumepata Bajeti nzuri ya kuiwezesha @yangasc Yetu kushindana kikamilifu katika mashindano Yote [Ya ndani na Yale ya CAF].

    𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 Litauzwa Tsh 24,000

    Tuhakikishe kuanzia kesho Kila Mwanayanga awe Na 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 ili Tuijenge kwa Pamoja YANGA BINGWA MSIMU UJAO👊🏼

    Daima Mbele Nyuma Mwiko.
    𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀👊🏼 Hii ni Yetu wote WANANCHI. HIi ni Kampeni Kubwa itakayobeba Safari yetu ya MAFANIKIO Msimu wa 2025/26. Kila shabiki wa @yangasc Duniani atatakiwa kununua 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 kwa Kulipa Ada ya Mwaka ya Uwanachama wa Klabu Yetu. MALENGO ni kupata MATOFALI MILIONI 1 kwa Wanayanga watakaolipia Ada zao kwa njia ya Kimtandao. Tukifanikisha hili, Tutakuwa tumefanikisha MAMBO MAKUBWA MAWILI Wanayanga wenzangu 1: Tumepata HELA ya kufanya USAJILI MKUBWA utakaotupa Timu Bora zaidi ya ilivyokuwa Msimu huu. 2: Tumepata Bajeti nzuri ya kuiwezesha @yangasc Yetu kushindana kikamilifu katika mashindano Yote [Ya ndani na Yale ya CAF]. 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 Litauzwa Tsh 24,000 ✅ Tuhakikishe kuanzia kesho Kila Mwanayanga awe Na 𝐓𝐎𝐅𝐀𝐋𝐈 𝐋𝐀 𝐔𝐁𝐈𝐍𝐆𝐖𝐀 ili Tuijenge kwa Pamoja YANGA BINGWA MSIMU UJAO👊🏼 Daima Mbele Nyuma Mwiko🔰.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·129 Views
  • 𝐃𝐎𝐍𝐄 𝐀𝐍𝐃 𝐃𝐔𝐒𝐓𝐄𝐃: Anthony Elanga ameridhia kusaini Newcastle United akitokea Nottingham Forest kwa ada yab£55 million, na mkataba hadi 2030.

    #SportsElite
    🚨 𝐃𝐎𝐍𝐄 𝐀𝐍𝐃 𝐃𝐔𝐒𝐓𝐄𝐃: Anthony Elanga ameridhia kusaini Newcastle United akitokea Nottingham Forest kwa ada yab£55 million, na mkataba hadi 2030. ⚫⚪ #SportsElite
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·79 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Atalanta imetoa thamani ya Ademola Lookman €50 million.

    Atlético Madrid ndio inavutiwa na Mnigeria huyo...

    #SportsElite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Atalanta imetoa thamani ya Ademola Lookman €50 million. Atlético Madrid ndio inavutiwa na Mnigeria huyo... #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·60 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆:Dili la Benjamin Sesko Kati ya Arsenal na RB Leipzig liko kwenye hatihati ya kufa kutokana na Leipzig kuhitaji kiasi cha €100 million, na Arsenal hawako tayari kutoa kitita hicho....

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆:Dili la Benjamin Sesko Kati ya Arsenal na RB Leipzig liko kwenye hatihati ya kufa kutokana na Leipzig kuhitaji kiasi cha €100 million, na Arsenal hawako tayari kutoa kitita hicho.... #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·103 Views
  • La kihistoria! Lionel Andrés Messi Cuccittini sasa ndiye mfungaji bora na mtoa asisti wa muda wote katika klabu ya Inter Miami, akiwa na mabao 52 na pasi 29 za mabao!

    🏟 Mechi: 63
    ⚽️ Mabao: 52
    Pasi za mabao: 29

    Takwimu za Messi katika taaluma yake:

    Mechi: 1108
    ⚽️ Mabao: 868
    Pasi za mabao: 385
    Mchango wa goli kwa kila mechi: 1.13

    Bila shaka, ni mchezaji bora zaidi kuwahi kutokea.

    #SportsElite
    La kihistoria! 🤯 Lionel Andrés Messi Cuccittini sasa ndiye mfungaji bora na mtoa asisti wa muda wote katika klabu ya Inter Miami, akiwa na mabao 52 na pasi 29 za mabao! 🐐 🏟 Mechi: 63 ⚽️ Mabao: 52 🎯 Pasi za mabao: 29 Takwimu za Messi katika taaluma yake: ✅ Mechi: 1108 ⚽️ Mabao: 868 🅰️ Pasi za mabao: 385 🔥 Mchango wa goli kwa kila mechi: 1.13 Bila shaka, ni mchezaji bora zaidi kuwahi kutokea. 🐐 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·94 Views
  • Inter Miami yahatarisha kupoteza €300M endapo Messi ataondoka!

    Klabu ya Inter Miami inaweza kupata pigo kubwa kifedha ikiwa Lionel Messi ataondoka. Tangu ajiunge, wameingiza €265M kupitia tiketi za mechi na €29.7M kupitia Apple TV

    #SportsElite
    🚨 Inter Miami yahatarisha kupoteza €300M endapo Messi ataondoka! 😮📉 Klabu ya Inter Miami inaweza kupata pigo kubwa kifedha ikiwa Lionel Messi 🇦🇷 ataondoka. Tangu ajiunge, wameingiza €265M kupitia tiketi za mechi na €29.7M kupitia Apple TV 📺🔥 #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·87 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Newcastle United imetuma ofa ya £55 million ili kumsajiri Anthony Elanga kutoka Nottingham Forest, lakini Forest inafikiria kuongeza dau hilo

    Na ofa hiyo itakuwa hadi 2030.
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Newcastle United imetuma ofa ya £55 million ili kumsajiri Anthony Elanga kutoka Nottingham Forest, lakini Forest inafikiria kuongeza dau hilo Na ofa hiyo itakuwa hadi 2030.
    0 Comments ·0 Shares ·80 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Juventus bado inaendelea na majadiliano na Jadon Sancho, na imemuofa mkataba hadi 2029 na mshahara wa €5 million kwa mwaka pamoja na bonasi zingine, na nyongeza ya mkataba hadi 2030.

    #SportsElite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Juventus bado inaendelea na majadiliano na Jadon Sancho, na imemuofa mkataba hadi 2029 na mshahara wa €5 million kwa mwaka pamoja na bonasi zingine, na nyongeza ya mkataba hadi 2030. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·87 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Morten Hjulmand anawindwa na matajiri wa Juventus @MatteMoretto YouTube.

    Sporting CP itamuuza kiungo huyo kwa Euro million 80 .
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Morten Hjulmand anawindwa na matajiri wa Juventus @MatteMoretto YouTube. Sporting CP itamuuza kiungo huyo kwa Euro million 80 .
    0 Comments ·0 Shares ·68 Views
  • 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Dinamo Zagreb imekamilisha usajiri wa Sergi Domínguez kutoka FC Barcelona kwa ada €1.2 million.
    🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Dinamo Zagreb imekamilisha usajiri wa Sergi Domínguez kutoka FC Barcelona kwa ada €1.2 million.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·135 Views
  • 𝐃𝐎𝐍𝐄 𝐀𝐍𝐃 𝐒𝐄𝐀𝐋𝐄𝐃: Loum Tchaouna amejiunga na Burnley kutokea Lazio kwa uhamisho wa 15 million
    Vipimo vitafuata baada ya siku cha he mbele
    🚨𝐃𝐎𝐍𝐄 𝐀𝐍𝐃 𝐒𝐄𝐀𝐋𝐄𝐃: Loum Tchaouna amejiunga na Burnley kutokea Lazio kwa uhamisho wa 15 million Vipimo vitafuata baada ya siku cha he mbele🔐
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·140 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Noa Lang yuko mbioni kujiunga na Napoli kutoka PSV Eindhoven kwa dau la €28 million.

    Dili hilo mda sio mrefu linaweza kukamilika na Lang huwenda akavuna €2.5 kwa mwaka hadi 2030...

    #sportselite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Noa Lang yuko mbioni kujiunga na Napoli kutoka PSV Eindhoven kwa dau la €28 million. Dili hilo mda sio mrefu linaweza kukamilika na Lang huwenda akavuna €2.5 kwa mwaka hadi 2030... #sportselite
    0 Comments ·0 Shares ·70 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: AZ imeikubali ofa ya €14 million kutoka kwa Como 1907 kumuhitaji Jayden Addai...

    #sportselite
    🚨🇬🇭 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: AZ imeikubali ofa ya €14 million kutoka kwa Como 1907 kumuhitaji Jayden Addai... #sportselite
    0 Comments ·0 Shares ·96 Views
  • Two healthy kidneys are silent millionaires inside you.
    They clean your blood, balance your body, and expect nothing in return.
    Don’t wait to lose them to realize their value.
    Eat right, drink water, and protect your inner treasure.
    Good kidneys = quiet wealth.
    Diet is therapy
    😁Two healthy kidneys are silent millionaires inside you. They clean your blood, balance your body, and expect nothing in return. 😃Don’t wait to lose them to realize their value. 😆Eat right, drink water, and protect your inner treasure. Good kidneys = quiet wealth. Diet is therapy
    Like
    Love
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·283 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Liverpool inahitaji huduma ya Victor Osimhen,lakini Napoli inahitaji kiasi cha £64 ili kuipata saini ya Straika huyo

    Pamoja na hayo Liverpool imemuweka Federico Chiesa pamoja na Darwin Núñez kama njia ya kumpata Osimhen,lakini raisi wa Napoli wanahitaji nyongeza ya £17 million ili kukamilisha dili hilo....
    #sportselite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: 🇳🇬 Liverpool inahitaji huduma ya Victor Osimhen,lakini Napoli inahitaji kiasi cha £64 ili kuipata saini ya Straika huyo Pamoja na hayo Liverpool imemuweka Federico Chiesa pamoja na Darwin Núñez kama njia ya kumpata Osimhen,lakini raisi wa Napoli wanahitaji nyongeza ya £17 million ili kukamilisha dili hilo.... #sportselite
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·167 Views
  • Lionel Andress Messi amefikisha magoli 50 kati ya mechi 61 tangu ajiunge Inter Miami.

    #SportsElite
    Lionel Andress Messi amefikisha magoli 50 kati ya mechi 61 tangu ajiunge Inter Miami. 🇺🇸 #SportsElite
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·158 Views
  • Emi Martínez ameweka wazi kuwa anataka kujiunga na Manchester United na Aston Villa haijakataa kumuuza. Inaweza kuchukua takriban pauni milioni 40 kukamilisha dili hilo, lakini United bado haijafanya uamuzi wa mwisho wa kuchukua nafasi ya Onana. [Ben Jacobs]
    Emi Martínez ameweka wazi kuwa anataka kujiunga na Manchester United na Aston Villa haijakataa kumuuza. Inaweza kuchukua takriban pauni milioni 40 kukamilisha dili hilo, lakini United bado haijafanya uamuzi wa mwisho wa kuchukua nafasi ya Onana. [Ben Jacobs]
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·177 Views
More Results