• THEIA SAYARI NDOGO ILIYOGONGANA NA DUNIANI.

    ✍🏾Mapande ya sayari inayoitwa Theia ambayo iligongana na Dunia na kusababisha kuundwa kwa Mwezi yamepatikana na Wataalmu Nchini Marekani.Kwa kufafanua zaidi ni wazi kwamba kuna siri nzito Katika Uumbaji,Kweli Mungu ni fundi waungwana,Kwanza Fahamu ya kwamba Asilimia 70% ya Historia ya uuumbaji Haijulikana kisawa Sawa maana Maisha ya Binadamu hayana Umri mrefu sanaa kuzidi Umri wa Dunia maana Umri wa Dunia ni miaka Billion 4.7 na Dunia inatadhamiwa Kuishi miaka Billion 7 Ijayo kabla Haijafa na kusambalatika kama kama Cheche za Mkaa.Theia ni jina la kigiriki lenye maana ya kwamba Mungu wa kike ambapo kulingana na simulizi na imani za wagiri ni kwamba Theia ni moja wa Mungu wa kike waliokuwa wanaishi uko Mwezini.Theia ni moja wa Watoto 7 mama wa Miungu ya uko mwezini yaani Mather of All Goddes uko mwezini hivyo ambaye alifahamika kama Selene huyo Goddess mkuu wa uko mwezini.

    ✍🏾SaSa Hapo mwanzo kulikuwa na Sayari inayofahamika kama Theia ambayo ilikuwa na ukubwa Sawa sawaa na Mars uko ambako NASA wametuma Perseverance Rovers kwenda Kuangalia kama Kulikuwa na maisha Hapo Kale yaani Miaka Billion 3 Iliyopita.Sasa Kuna nadharia kama 4 zinazoelezeaa kutokea Kwa mwezi,Kuna ambao Wanadai ya kwamba Theia ilikuwa iko nje ya Mfumo wa Jua mpaka inakuja kugongana na Dunia Hata Hivyo nadharia hii BADO haijathibika wanasayansi BADO wanafanya Tafiti Mbali Mbali kuliweka Hili sawaa.

    Hata Maji Yaliyopo hapa Duniani Hususani Maji ya kwenye Bahari yalitokea Baada ya Theia Kuparamia na Kuigonga Duniani Ndio Ikasababisha Uwepo wa Bahari kubwa ambazo tunaziona leo hii.Kuna nadharia ya kwanza ambayo Inadai ya kwamba kulikuwa na Moja ya Sayari kubwa Sana, Ambapo Sayari hiyo kulingana na Sababu ambazo hazijawekwa wazi ni kwamba Sayari hiyo kubwa ilikuja Kupasuka pasuka Kwa Kishindo na Kusababisha mgawanyiko ambapo Katika mgawanyiko huo ndio ukapelekea kuwepo Kwa Mwezi Ambapo Mwezi huo ulikuja Kunaswa na Nguvu ya mvutano wa Jua ndio ukabaki ulipo leo lakini Huwenda lisingekuwa Jua Mwezi ungekuwa Umeenda Mbali Sana kuliko ilivyo leo,Wabongo wanasema ya kwamba Mungu ni Fundi kweli (Tunakubaliana ya kwamba Sayari Zote ni Viumbe kama ilivyo Kwa viumbe wengine).

    ✍🏾 kamaa hiyo haitoshi kuna Nadharia ya pili ambayo inaelezea ya kwamba Mwezi uliundwa Wakati mmoja na Wakati Dunia () inaundwa hii Ina maana ya kwamba Dunia na Mwezi viliundwa wakati mmoja Kipindi ambacho Photo planetary Disk Accreted.Kwa kuthibitisha hilo Wakati wa Apollo Project Taasisi kubwa ya Marekani yaani NATIONAL AERONAUTICS AND SPACE ADMINISTRATION (NASA) walipata baadhi ya Ushahidi wa miamba uko mwezini walipoenda uko Mwaka 1969 mpaka mwaka 1972 walikutana na miamba yenye kufanana na ya hapa Duniani na hivyo kuja na Hoja ya kwamba Huenda Dunia na Mwezi viliundwa Wakati mmoja.Kuna baadhi ya chambuzi zinadai ya kwamba Theia ilikuwa ni Earth Trojan yaani Sayari ndogo ambayo ilikuwa ipo Katika mfumo wa kulizunguka JUA yenye Ukubwa wa Km 6,102 sawaa na Mile 3792.Na kulingana na utafiti na Ushahidi wa mwaka 2019 UNAONYESHA ya kwamba Theia ni Sayari ambayo Hakuwa Katika Mfumo wetu wa Jua ILA ni Sayari ambayo Imetoka nje ya Mfumo wa Jua (Solar system Mfumo huu ambao uliatengenezwa miaka 4.6 iliyopita).

    ✍🏾Takribani miaka bilioni 4.5 iliyopita sayari ndogo inayoitwa Theia iligongana na Dunia tukio lililosababisha sayari hiyo kupasuka na baadhi ya mapande yake kuruka kwenye Space na kuundia Mwezi na mapande mengine yalifukiwa chini Duniani ambapo katika utafiti wa hivi karibuni uliofanywa na wanasayansi kutoka chuo cha Arizona Nchini Marekani wamefanikiwa kuyapata baadhi ya mawe yaliyosalia wakati sayari hiyo ilipogongana na Dunia.ndii maana naungana na Mtaalamu wangu kutoka Marekani alimaarufu kama Bari Katika masuala ya uchambuzi ya kwamba Sayari Huwa zinajizalisha zenyewe ama kuzaliana Zenyewe maana Kwamba Sayari Moja inaweza ikasababisha KUZALIWA KWA Sayari zingine ndio maana Hata baadhi mawe makubwa yaliyoko Angani yenye ukubwa Sawa na Jimbo la Alaska ama Australia ni matokeo ama masalia ya Sayari zilizokufa ama zilizowahi kuwepo miaka Mabilioni iliyopita.

    Maana tufahamu ya kwamba Sayari Huwa zinazaliwa na pia Baada ya miaka Billion 4 mpaka 7 Sayari Huwa zinakufa ndio maana Mtaalamu Bari anazichukuliaa Sayari kama ni VIUMBE Vinavyoishi kama ilivyo Kwa viumbe viumbe Vinginevyo.hivyo Miamba iliyoko mwezini na hapa Duniani Ina Uhusiano Mkubwa na kuonyesha ya kwamba Mwezi na Dunia Zote zimeumbwa wakati Mmoja ama ni matokeo ya Sayari ndogo ya THEIA yenye kutaka kufanana na MARS Kwa ukubwa ilipogngana na Dunia na Kusababisha Kutokea Kwa Mwezi.
    THEIA SAYARI NDOGO ILIYOGONGANA NA DUNIANI. ✍🏾Mapande ya sayari inayoitwa Theia ambayo iligongana na Dunia na kusababisha kuundwa kwa Mwezi yamepatikana na Wataalmu Nchini Marekani.Kwa kufafanua zaidi ni wazi kwamba kuna siri nzito Katika Uumbaji,Kweli Mungu ni fundi waungwana,Kwanza Fahamu ya kwamba Asilimia 70% ya Historia ya uuumbaji Haijulikana kisawa Sawa maana Maisha ya Binadamu hayana Umri mrefu sanaa kuzidi Umri wa Dunia maana Umri wa Dunia ni miaka Billion 4.7 na Dunia inatadhamiwa Kuishi miaka Billion 7 Ijayo kabla Haijafa na kusambalatika kama kama Cheche za Mkaa🤓🤓.Theia ni jina la kigiriki lenye maana ya kwamba Mungu wa kike ambapo kulingana na simulizi na imani za wagiri ni kwamba Theia ni moja wa Mungu wa kike waliokuwa wanaishi uko Mwezini.Theia ni moja wa Watoto 7 mama wa Miungu ya uko mwezini yaani Mather of All Goddes uko mwezini hivyo ambaye alifahamika kama Selene huyo Goddess mkuu wa uko mwezini. ✍🏾SaSa Hapo mwanzo kulikuwa na Sayari inayofahamika kama Theia ambayo ilikuwa na ukubwa Sawa sawaa na Mars uko ambako NASA wametuma Perseverance Rovers kwenda Kuangalia kama Kulikuwa na maisha Hapo Kale yaani Miaka Billion 3 Iliyopita.Sasa Kuna nadharia kama 4 zinazoelezeaa kutokea Kwa mwezi,Kuna ambao Wanadai ya kwamba Theia ilikuwa iko nje ya Mfumo wa Jua mpaka inakuja kugongana na Dunia Hata Hivyo nadharia hii BADO haijathibika wanasayansi BADO wanafanya Tafiti Mbali Mbali kuliweka Hili sawaa. Hata Maji Yaliyopo hapa Duniani Hususani Maji ya kwenye Bahari yalitokea Baada ya Theia Kuparamia na Kuigonga Duniani Ndio Ikasababisha Uwepo wa Bahari kubwa ambazo tunaziona leo hii.Kuna nadharia ya kwanza ambayo Inadai ya kwamba kulikuwa na Moja ya Sayari kubwa Sana, Ambapo Sayari hiyo kulingana na Sababu ambazo hazijawekwa wazi ni kwamba Sayari hiyo kubwa ilikuja Kupasuka pasuka Kwa Kishindo na Kusababisha mgawanyiko ambapo Katika mgawanyiko huo ndio ukapelekea kuwepo Kwa Mwezi Ambapo Mwezi huo ulikuja Kunaswa na Nguvu ya mvutano wa Jua ndio ukabaki ulipo leo lakini Huwenda lisingekuwa Jua Mwezi ungekuwa Umeenda Mbali Sana kuliko ilivyo leo,Wabongo wanasema ya kwamba Mungu ni Fundi kweli (Tunakubaliana ya kwamba Sayari Zote ni Viumbe kama ilivyo Kwa viumbe wengine). ✍🏾 kamaa hiyo haitoshi kuna Nadharia ya pili ambayo inaelezea ya kwamba Mwezi uliundwa Wakati mmoja na Wakati Dunia (🌎) inaundwa hii Ina maana ya kwamba Dunia na Mwezi viliundwa wakati mmoja Kipindi ambacho Photo planetary Disk Accreted.Kwa kuthibitisha hilo Wakati wa Apollo Project Taasisi kubwa ya Marekani yaani NATIONAL AERONAUTICS AND SPACE 🌌 ADMINISTRATION (NASA) walipata baadhi ya Ushahidi wa miamba uko mwezini walipoenda uko Mwaka 1969 mpaka mwaka 1972 walikutana na miamba yenye kufanana na ya hapa Duniani na hivyo kuja na Hoja ya kwamba Huenda Dunia na Mwezi viliundwa Wakati mmoja.Kuna baadhi ya chambuzi zinadai ya kwamba Theia ilikuwa ni Earth Trojan yaani Sayari ndogo ambayo ilikuwa ipo Katika mfumo wa kulizunguka JUA yenye Ukubwa wa Km 6,102 sawaa na Mile 3792.Na kulingana na utafiti na Ushahidi wa mwaka 2019 UNAONYESHA ya kwamba Theia ni Sayari ambayo Hakuwa Katika Mfumo wetu wa Jua ILA ni Sayari ambayo Imetoka nje ya Mfumo wa Jua (Solar system Mfumo huu ambao uliatengenezwa miaka 4.6 iliyopita). ✍🏾Takribani miaka bilioni 4.5 iliyopita sayari ndogo inayoitwa Theia iligongana na Dunia tukio lililosababisha sayari hiyo kupasuka na baadhi ya mapande yake kuruka kwenye Space na kuundia Mwezi na mapande mengine yalifukiwa chini Duniani ambapo katika utafiti wa hivi karibuni uliofanywa na wanasayansi kutoka chuo cha Arizona Nchini Marekani wamefanikiwa kuyapata baadhi ya mawe yaliyosalia wakati sayari hiyo ilipogongana na Dunia.ndii maana naungana na Mtaalamu wangu kutoka Marekani alimaarufu kama Bari Katika masuala ya uchambuzi ya kwamba Sayari Huwa zinajizalisha zenyewe ama kuzaliana Zenyewe maana Kwamba Sayari Moja inaweza ikasababisha KUZALIWA KWA Sayari zingine ndio maana Hata baadhi mawe makubwa yaliyoko Angani yenye ukubwa Sawa na Jimbo la Alaska ama Australia ni matokeo ama masalia ya Sayari zilizokufa ama zilizowahi kuwepo miaka Mabilioni iliyopita. Maana tufahamu ya kwamba Sayari Huwa zinazaliwa na pia Baada ya miaka Billion 4 mpaka 7 Sayari Huwa zinakufa ndio maana Mtaalamu Bari anazichukuliaa Sayari kama ni VIUMBE Vinavyoishi kama ilivyo Kwa viumbe viumbe Vinginevyo.hivyo Miamba iliyoko mwezini na hapa Duniani Ina Uhusiano Mkubwa na kuonyesha ya kwamba Mwezi na Dunia Zote zimeumbwa wakati Mmoja ama ni matokeo ya Sayari ndogo ya THEIA yenye kutaka kufanana na MARS Kwa ukubwa ilipogngana na Dunia na Kusababisha Kutokea Kwa Mwezi.
    Like
    3
    · 1 Comments ·0 Shares ·776 Views
  • DUNIA NA MAAJABU YAKE
    (Muundo wa Dunia na Maajabu Yaliyomo)

    1. UMRI WA DUNIA

    HII Dunia yetu ina historia ndefu mno tangu ilipojiunda angani, miaka takribani bilioni 4.5 iliyopita.

    Tarakimu za umri huo wa miaka bilioni 4.5 ni 4,500,000,000, yaani miaka milioni elfu nne na mia tano iliyopita.

    Dunia ambayo kwa lugha ya Kiingereza inafahamika vyema kwa jina la 'Earth', pia hujulikana kama 'the World', ikimaanishwa ulimwengu.

    Aidha, Dunia ni sayari pekee kwenye himaya ya sayari zilizopo chini ya jua ambayo jina lake halitokani na majina ya "Miungu wa Dola" ya Kigiriki au ya Kirumi.

    Asili ya jina la 'earth' ni 'erde' lenye asili ya nchini Ujerumani, na maana yake ni udongo au ardhi.

    Mpaka kuweza kupata umri huo wa dunia wanasayansi walifanya kazi ya kutafiti na kisha kuwasilisha matokeo yao kwenye makongamano ya kisayansi duniani, ambapo matokeo hayo yalijadiliwa kwa kina na hatimaye kukubalika kama hivi.

    Kumbuka katika majadiliano hayo huwepo mivutano mikali miongoni mwa wanasayansi waalikwa, ambapo pia jopo la wanasayansi wanaowasilisha utafiti husika hujikuta wakitakiwa kujibu hoja mbalimbali za wanasayansi wenzao.

    Kuna wakati baadhi ya matokeo ya tafiti kadhaa hukataliwa, huku watafiti husika wakitakiwa kurejea upya tafiti zao.

    Wanasayansi hupata umri wa sayari kwa kupima umri wa miamba ya sayari husika, ambapo mwamba wenye umri mkubwa zaidi kuliko miamba yote ndiyo huchukuliwa kuwa umri wa sayari husika.

    Itakumbukwa kuwa Msahafu wa Biblia (Sura ya Mwanzo 1) husimulia jinsi Mwenyezi Mungu alivyoumba "mbingu na nchi na vyote vilivyomo kwa siku 6," lakini pia Msahafu huohuo kwenye aya zingine hueleza kuwa miaka elfu moja ya duniani yaweza kuwa sawa na siku moja kwenye ya Makazi ya Mwenyezi Mungu.

    Ni dhahiri kuwa binadamu tukiwa hatuna hoja sahihi kwa maelezo ya aina hiyo, ndipo tunaona ni vyema mambo ya Mwenyezi Mungu kumwachia Yeye Mwenyewe Mwenyezi Mungu.

    2. KUUMBIKA DUNIA, SAYARI, JUA, NYOTA

    Kimsingi, Dunia kama zilivyo sayari zingine zote ilijiunda kutokana na mabaki ya vitu vilivyotumika kuunda Jua.

    Jua ambalo ni nyota kama zilivyo nyota zote angani, lilijiunda lenyewe kwenye eneo la anga lijulikanalo kama 'Pillars of Creation' (nguzo za uumbaji) katika ukanda wa anga wenye upana ambao huonekana kutokuwa na mwisho.

    Ukanda huo ujulikanao kama 'Solar Nebula,' umegubikwa na mawingu ya vumbi la huko angani pamoja na aina mbalimbali za gesi na hewa, ikiwemo haidrojeni na heliumu.

    'Solar' ni jina la nishati itokanayo na joto la jua, na 'Nebula' kwa lugha ya Kilatini ni "wingu" au vumbi la gesi asilia mithili ya ukungu.

    Hivyo, 'Solar Nebula' ni ukanda katika anga ya mbali wenye mawingu yaliyosheheni nishati yenye joto, sawa na nishati ya joto la jua.

    Sasa basi, tunafahamu vyema kuwa jua hutoa mionzi hatari yenye joto kali mithili ya moto mkali, na ambayo ikiboreshwa kisayansi pia huweza kutoa nishati ya umeme.

    Hivyo, kwa muktadha huo, hebu ngoja sasa tuleta pamoja hewa za gesi, zikiwemo haidrojeni na heliumu, mawingu yenye nishati ya umeme wa jua, vumbi la angani na tufani itokanayo na mchafuko mbaya wa hali ya hewa huko anga za mbali.

    Na ili kuweza kupata matokeo yanayotakiwa, hebu pia tutambue uwepo wa nguvu kubwa ya asili katika kiwango kijulikanacho kwa jina la "Supernatural Power", ambayo ndiyo huwa kisababishi cha mambo yote.

    Kisayansi, "Supernatural Power" ni nguvu kubwa ya asili ambayo huendesha mifumo mbalimbali ya asili, ambapo duniani nguvu hiyo hujulikana kama Nguvu ya Mungu.

    Nguvu asili hiyo, yaani Supernatural Power, husababisha tufani ambayo huvurumisha kwa pamoja vitu vyote hivyo, (gesi, hewa, mawingu yenye nishati ya joto na vumbi la angani) ili kuunda tufani yenye umbo la duara.

    Duara hiyo ni kama ile itokanayo na kimbunga kikali duniani, na ambacho sasa tutaona kikifungamanisha pamoja vitu vyote hivyo katika mchafuko mkubwa wa hali mbaya ya hewa.

    Natumia maneno ya msisitizo kuelezea "ukubwa" wa mchafuko huo wa hali ya hewa katika eneo hilo la anga, kwani katika kuunda sayari au nyota nguvuasili kubwa hutumika.

    Aidha, tufani hiyo ya duara itakayoanza kidogo kidogo kama kimbunga kikali, itazidi kukua hadi kuwa na kipenyo cha takribani kilomita 10 hadi 200 au zaidi na kwendelea.

    Tufani hiyo ndiyo itavurumisha kwa pamoja gesi na hewa za naitrojeni na heliumu, mawingu ya nishati ya joto na vumbi la angani (kama kifanyavyo kimbunga kikali katika eneo tambarare la duniani).

    Pia, wakati mchafuko huo wa hali mbaya ya hewa ukiendelea, hebu ngoja sisi watazamaji tujibanze mahali fulani kwa mbali kushuhudia duara hiyo ya tufani ikijizungusha yenyewe bila kukoma kwa kipindi cha miaka mingi.

    Kitakachofuata ni kuanza kuona kiini cha moto kikianza kujiunda katikati ya duara hiyo ya tufani kali, huku pia nje ya duara hiyo vitu kibao vikivutwa kujiunga na mzunguko wa hiyo tufani ya duara.

    Vitu hivyo ni pamoja na vumbi zaidi la angani, na gesi zaidi zenye joto kali.

    Wakati huohuo kipenyo na mzingo wa duara hiyo vitazidi kuongezeka upana na ukubwa, mfano wa duara yenye umbo sawa na la mpira mkubwa wa miguu.

    Hivyo, baada ya miaka takribani milioni moja tutashangaa kuona lile vumbi likigeuka taratibu kuwa miamba ya moto ndani ya kiini cha tufani hiyo ya duara.

    Miamba hiyo ni kutokana na lile vumbi la angani ambalo hatimaye limeshikamana pamoja mithili ya zege, na hatimaye kuwa miamba ndani ya tufani ya duara.

    Sanjari na kuundika huko ndani ya kitovu cha hiyo tufani ya duara, pia kwelekea nje ya duara hiyo utaundika udongo ambao ardhi, mchanga na mawe.

    Kimsingi, vitu hivyo pia ni matokeo ya lile vumbi la angani ambalo lilikusanywa pamoja na kuvutwa na kasi ya mzunguko wa tufani.

    Hatua hiyo mpya inatokana na kuwepo mshikamano na mgandamizo wa zile chembechembe za lile vumbivumbi ndani ya tufani.

    Vurumai hiyo ya mzunguko wa hiyo tufani ya duara yenye vumbi, itazidi kukua hadi kuunda sumaku ya asili ndani ya kile kitovu cha duara ya tufani.

    Kutokana na duara hiyo ya tufani kuongezeka ukubwa, hatimaye sumaku iliyopo kwenye kitovu cha duara hiyo itaishiwa nguvu ya kwendelea kunasa vumbi zaidi kuja kwenye mzingo wa hiyo duara ya tufani.

    Kumbuka kuwa wakati huo hiyo duara pia itaunda kimo kutoka kwenye usawa wa ardhi yake kwenda ndani kwenye kitovu chake, na hivyo kuwa duara ya mviringo kama umbo mfano wa mpira mchezo wa miguu.

    Baada ya kupita maelfu ya miaka mingi, duara hiyo ambayo hapo awali ilianza kama umbo la tufani na kuzidi kukua huko angani, sasa itakuwa na joto kali kupita kiasi na kuanza kung'aa kama jua.

    Jua hilo, ndiyo nyota mojawapo ya zile ambazo huonekana usiku ziking'aa angani.

    Lakini pia wakati wa kujiunda nyota hiyo, kama tulivyoona hapo awali, baadhi ya mabaki yake yaliyokuwa yakitawanyika angani wakati ile tufani ya duara ikijizungusha, huweza kujikusanya pamoja na kuunda sayari ambazo huzunguka baadhi ya hizo nyota.

    Hivyo ndivyo zilivyojiunda sayari zote ambazo huelea kwa kulizunguka jua letu.

    Mathalani, sayari zote ambazo hulizunguka jua, ikiwemo dunia zilijiunda kutokana na mabaki ya vitu kama gesi, michanga na mawe ambavyo vilitawanyika angani wakati jua likijiunda (kama ambavyo imeelezwa hapo awali).

    3. KIINI CHA DUNIA

    Dunia yetu ambayo wastani wa nusu kipenyo cha umbo lake la duara ni kilomita 6,371, mzingo wake ni kilomita takribani 40,041.

    Kama zilivyo sayari zote katika himaya ya jua, dunia nayo ilijiunda wakati jua likijiunda lenyewe.

    Yaani kwamba sayari ni mabaki ya vitu vilivyotumika kuliunda jua.

    Kadhalika kama zilivyo sayari zingine zote, dunia nayo ina kiini chake ambacho kipo katikati ya ardhi yake.

    Kiini hicho kina nguvu kubwa ya sumaku ambayo, pamoja na mambo mengineyo, 'huvuta' umbo hilo la duara kutoka juu ya ardhi kwenda katikati ya kiini hicho.

    Muundo huo ndio hulifungamanisha pamoja umbo la duara la dunia, na hivyo kuzuia umbo hilo lisifumke kutoka ardhini na kusambaratika.

    Hiyo ni sawa na mpira wa miguu unavyoweza kupasuka na kusambaratika, kama utajazwa upepo kupita kiasi chake.

    Kiini hicho ambacho kipo katikati kabisa ya dunia, kinajulikanacho kwa jina la kisayansi la 'Inner Core.'

    Kiini hicho kina joto kali la sentigredi 6,230 ambacho ndio kiasi cha joto la jua.

    Kiini hicho kina umbo la duara lenye nusu kipenyo cha kilomita 1,250.

    Kama ingetokea kuchimba ardhi wima kwenda kwenye kiini hicho, mchimbaji angeanza kukutana na joto la kiini hicho kuanzia kimo cha umbali wa kilomita 5,150 kutoka usawa wa juu ya ardhi tunayotembea.

    Katika historia ya uchimbaji ardhi, kina kirefu kilichowahi kuchimbwa ardhini ni mita 12,345 (kilomita 12.345) huko Sakhalini, nchini Urusi, kwa ajili ya uvunaji wa mafuta ya petroli.

    Kiini cha dunia kinaundwa na madini mchanganyiko wa nikeli (nickle), chuma (iron) na dhahabu.

    Kwa mujibu wa utafiti, inakadiriwa kuwa kama dhahabu hiyo ingechimbwa na kuchomwa mpaka kuwa kimiminika sawa na uji na kisha kumwagwa chini, ingeweza kuifunika dunia yote kwa unene wa sentimeta 45.

    Kiini hicho muhimu kwa uhai wa sayari hii ya dunia kiligunduliwa mwaka 1936 na mtaalamu wa matetemeko ya ardhi wa nchini Denmark, mwanamama Dkt. Inge Lehmann.

    Dkt. Lehmann alihitimu shahada yake ya kwanza katika fani ya Hisabati mwaka 1910, ya Uzamili mwaka 1920 (zote kutoka Chuo Kikuu cha Copenhagen nchini mwake), na ile ya Uzamivu kutoka Chuo Kikuu cha Cambridge nchini Uingereza.

    Alifariki kwa uzee mwaka 1993 akiwa na umri wa miaka 104.

    4. MAJI DUNIANI

    Kupatikana maji kwenye dunia yetu, ni mojawapo ya miundo ambayo haipo katika sayari zingine ambazo tuna taarifa za kitafiti kuzuhusu.

    Maji ni muhimili muhimu kwa ajili ya uhai wa viumbe wote na mimea, ambavyo kwa pamoja havipo katika sayari zingine za himaya ya jua.

    Kwa mujibu wa tafiti nyingi ambazo zimefanyika kwa miongo mingi ya miaka kujaribu kubaini nini chanzo cha kuwepo maji duniani, hakuna hata utafiti mmoja ulioonesha kwa usahihi matokeo ya kuridhisha.

    Miongoni mwa tafiti hizo ni pamoja na ule wa mwaka 2005, ambapo Mkuu wa Idara ya Masomo ya Sayari na Mwezi katika Chuo Kikuu cha Arizona nchini Marekani, Profesa Michael Julian Drake, na mwenzake ambaye ni mtaalamu wa Vimondo, Dkt. Huberto Campins, wa Chuo Kikuu cha Central Florida, walitafiti nini chanzo cha kuwepo maji duniani.

    Katika mawasilisho yao kwenye kongamano la kisayansi la Chama cha Wanataaluma wa Maarifa ya Anga za Juu (IAU), watafiti hao walikanusha madai ya uwezekano wa dunia hapo kale kugongwa na kimondo kikubwa na kusababisha maji kulipuka kutoka ardhini.

    Wakiwasilisha matokeo ya utafiti wao kwenye mkutano wa kongamano hilo, magwiji hao wa masuala ya sayari walieleza kwenye waraka wao uitwao "Origin of water on the terrestial planets" (chanzo cha kuwepo maji kwenye sayari).

    Walidai kuwa maji yaliyopo duniani yaliumbika kwenye ardhi ya dunia tangu mwanzo, wakati ikijiunda angani.

    Ikumbukwe kuwa eneo la uso wa dunia likiwa ni jumla ya kilomita za mraba milioni 510, asilimia 70.8 ya eneo hilo imefunikwa na maji na asilimia 29.2 ni nchi kavu, ikiwemo milima, mabonde na ardhi tambarare.

    5. HEWA YA OKSIJENI

    Muundo mwingine muhimu katika sayari hii ya dunia ni hewa ambazo ni tawala, yaani Naitrojeni ambayo kwa usahihi imeenea kwa asilimia 78.08 ya hewa yote ya dunia, Oksijeni asilimia 20.95, 'Argon' asilimia 0.93, hewa ya Ukaa (Carbon dioxide) asilimia 0.039, na asilimia moja ni hewa mithili ya mvuke wa maji (water vapour).

    Hewa ya Oksijeni ambayo ni nguzo muhimu kwa ajili ya uhai wa viumbe wote na pia haipatikani kwenye sayari nyingine chini ya jua, inadhaniwa ilianza kupatikana duniani miaka takribani bilioni 2.5 iliyopita kufuatia "kukomaa kwa kiini cha dunia."

    Kwa mujibu wa matokeo ya tafiti mbalimbali na nadharia za kisayansi, inaoneshwa kuwa kukomaa kwa kiini hicho cha dunia hatimaye ndiko kulisababisha kuzuka duniani milipuko ya volikano ambayo pia ilisababisha kuzuka mabonde na milima.

    Inaoneshwa kuwa tayari wakati huo maji yaliishakuwepo duniani, na kuwezesha kuzuka chembechembe ndogo sana za kibakteria zijulikanazo kwa jina la kisayansi la 'cyanobacteria' au 'blue-green algae'.

    Kwa kutumia mwanga wa jua, maji na hewa ya ukaa, chembechembe hizo ziliweza kuzalisha hewa mbalimbali, ikiwemo 'Carbonhydrates' na Oksijeni.

    Kwa kuwa hizo chembechembe ndogo za kibakteria huishi baharini, ilikuwa rahisi kwa oksijeni kutokea baharini kupepea na kuenea katika anga ya dunia na kuzuiliwa hapo na nguvu asili ya uvutano ya dunia ili pia ibaki ikienea pote duniani.

    Mpaka wakati wa kuzuka duniani mimea na viumbe hai miaka takribani bilioni 3.5 iliyopita, tayari oksijeni ilikwa ni tele duniani; na hivyo kutumika kudumisha uhai wa viumbe hadi wakati huu.

    6. UKANDA WA 'OZONE'

    Muundo mwingie muhimu wa asili kwa dunia ni ukanda wa anga ujulikanao kwa jina la 'ozone' ambao umetanda kama 'mwavuli' kwenye anga ya dunia, na kuikinga isidhuriwe na mionzi hatari ya sumu kutoka kwenye Jua.

    Ukanda huo maarufu kama 'ozone layer' umetanda kuanzia usawa wa kilometa 15 kutoka ardhini kwenda juu angani mpaka ukomo wa kilomita takribani 50, ambapo huchuja asilimia kati ya 97 na 99 ya mionzi hatari kwenye miale ya joto la jua.

    Miongoni mwa matatizo yanayosababishwa na mionzi hiyo hatari kutoka kwenye jua, ni pamoja na magonjwa ya saratani ya ngozi kwa bianadamu.

    Pia juu ya ukanda wa tabaka la ozone kuna ukanda mwingine uitwao "atmosphere" ambao ni madhubuti kiasi kwamba vitu vinavyotoka anga za juu na kujaribu kuupenya ili kufika duniani, hukumbana na joto kali na kusambaratishwa kwa kuunguzwa.

    Si kwamba tabaka hilo lina joto, isipokuwa kasi ya "kuanguka" vitu hivyo kutoka juu angani kuja dunia husababisha msuguano na chembechembe za gesi katika eneo hilo na kuzalisha joto mithili ya ndimi za moto.

    Picha za video za vyombo vya 'Apollo' vikirejea duniani kutoka mwezini vikiwa na wanaanga ndani yake na kupenya tabaka hilo kwa kasi ya kilomita 39,000 kwa saa, huonekana kughubikwa na ndimi za moto wa rangi ya njano na bluu.

    Rangi hizo ni ishara ya ukali wa moto huo, lakini kutokana na waundaji wa vyombo hivyo kutumia mchanganyiko wa mabati na plastiki ngumu visivyopenywa na joto, Apollo huonekana kulichana tabaka hilo na kutokea upande wa pili ambao ni anga ya dunia.

    Hivyo basi, mfano huo mdogo unaonesha uimara wa tabaka hilo la 'ozone', ambalo kama ambavyo tumeona huchuja mionzi ya sumu kutoka kwenye mwanga wa jua ili kutolete madhara kwa viumbe duniani.

    Mwanga huo ukisafiri kutoka juani umbali wa kilomita milioni 150 kwa kasi ya kilomita 299,793, hutua duniani ndani ya dakika 8 na sekunde 19 ukiwa tayari umechujwa wakati ukipenya tabaka hilo.

    'Ozone' iligunduliwa mwaka 1913 na wanasayansi wawili wa nchini Ufaransa, Charlest Fabry na Henri Buisson, ambapo kipimo cha kasi ya mwanga kiligunduliwa na mwanasayansia wa anga za juu wa nchini Denmark, Ole Roemer, mwaka 1676.

    7. NGUVU ASILI YA UVUTANO

    Muundo mwingine wa dunia ni nguvu ya asili ya uvutano ya dunia, maarufu kama 'gravitation', ambayo huvuta vitu kuvirejesha chini duniani pale vinaporushwa kwenda juu au vile vinavyoanguka kutoka juu angani.

    Nguvu hiyo ina manufaa makubwa, kwani bila kuwepo duniani binadamu na viumbe wengine wangepeperuka kama karatasi kwenda juu wakati wakitembea juu ya ardhi ya hii.

    Kadhalika, nguvu hiyo husaidia kuvuta hewa ya oksijeni na kuiweka karibu na ardhi kwa ajili ya matumizi mbalimbali.

    Pia, nguvu hiyo husaidia kuiweka dunia, mwezi, jua na sayari zingine katika uwiano wa umbali usio na madhara kutoka kila moja.

    Nguvu hiyo ya asili ndiyo huliweka joto la jua duniani na kubaki kuwa katika kiwango kinachotakiwa, na hivyo kuwezesha viumbe kupata joto la wastani na pia katika kiwango mwanana.

    Nguvu hiyo huvuta mvua kuja duniani na kuwezesha maji ya bahari, maziwa na mito kutulia duniani.

    Mathalani, bila nguvu asili hiyo kuwepo duniani, maji 'yangemwagika' kutoka duniani kwa kutawanyika kama upepo na kupaa kwenda juu angani na kutoweka kabisa.

    Na ndio maana ukirusha maji kwenda juu, hurudi chini ardhini.

    Hebu angalia mfano huu kwamba wanaanga waliokwenda mwenzini walilazimika kuvaa mavazi yenye uzito wa kilo 80 hapa duniani, lakini mavazi hayo kule mwezini yakawa na uzito wa kilo 3.

    Mavazi hayo, yaani viatu, koti, suruali, na kofia nzito yenye miwani maalumu ya kukinga macho dhidi ya mionzi hatari ya jua, vyote kwa pamoja viliunganishwa na kuwa mfano wa sare za 'ovaroli' za mafundi wa magari.

    Mavazi hayo pia mgongoni yakiwa yameunganishwa kwa pamoja na mtungi wa hewa ya oksijeni kwa ajili ya kupumua, yalivaaliwa mahsusi muda mfupi baada ya chombo kutua mwezini.

    Hivyo, msomaji wangu tafakari nini kilisababisha mavazi kuwa mazito hapa duniani, lakini yawe mepesi kule mwezini?

    Jibu ni kwamba nguvu asili ya uvutano hapa duniani ni kubwa kuliko ya kule mwezini.

    Na ndipo tunaona umuhimu wa muundo huo wa nguvu asili ya uvutano, ambapo hapa duniani huvuta vitu kuja chini kwa kasi ya mita 9.81 kwa sekunde, lakini kwa kuwa nguvu ya mwezi ni hafifu, huvuta vitu kwa kasi ndogo ya mita 1.62 kwa sekunde.

    Ingawa nguvu hiyo ya asili iligunduliwa kuwepo duniani miaka mingi iliyopta, mwanafizikia bingwa wa Uingereza, Sir Isaac Newton (1642-1727), ndiye anatambulika kama mgunduzi wa hesabu hizo za nguvu asili hiyo.

    Anaeleza kuwa vitu vyote vyenye maumbo asili, ikiwemo jua, sayari, dunia, mwezi, na vimondo, kila kimoja kina nguvu hiyo katika viwango tofauti.

    Kanuni hiyo, kwa mujibu wa matokeo ya utafiti wake, hueleza kuwa nguvu hiyo ndiyo hufanya jua kuvuta sayari zake ili kulizunguka, huku pia kila sayari ikitumia nguvu 'binafsi' (na kwa uwiano maalumu) kujihami isivutwe hadi kwenda kuligonga jua au kugongana na sayari zingine au vimondo.

    Nguvuasili ya jua ni mita 274 kwa sekunde, ikiwa ni zaidi ya kiasi cha nguvuasili ya kila sayari.

    Muundo huo wa kila sayari kujihami kivyake katika mstari wa njia yake hufahamika kisayansi kama "sayari kuhami mazingira ya njia yake"; yaani kwamba 'a planet has to clear the neighbourhood around its orbit.'

    Newton akiwa amezaliwa 'mtoto-njiti' na baadaye kuibuka kuwa mwenye akili nyingi kiasi cha kukaribia kuwa sawa na mtu wa miujiza, hakuwahi kuoa kutokana na kinachoelezwa kuwa ni " kutokana na kutingwa na shughuli za kimasomo."

    Huoneshwa kuwa muda mwingi alikuwa maabara akifanya tafiti mbalimbali za kisayansi, au akiwa maktaba akijisomea, ama akiandika kitabu, au akifundisha wanafunzi wake.

    Alikuwa bingwa mwenye kipaji cha taaluma nyingi, ikiwemo Fizikia, Kemia, Hisabati, Maarifa ya Anga za Juu, Uchumi, Falsafa, na Theolojia ambayo ni taaluma ya masuala ya kiroho.

    Kwa mujibu wa historia, mwanasayansi huyo gwiji wa kuigwa alihitimu shahada zake zote mbili za sayansi, yaani 'Bachelor' na 'Masters', mwaka 1665 na 1668 katika Chuo Kikuu cha Cambridge, nchini Uingereza.

    Akiwa na umri wa miaka 84, mwanasayansi huyo anayedhaniwa na wengi kuwa bingwa wa hesabu za kisayansi kuliko wote duniani, alifariki mwaka 1727 akiwa usingizini.

    Ripoti ya uchunguzi wa mwili wake huonesha kuwa alikuwa na tatizo la figo, lakini pia alikutwa na kiasi kingi cha zebaki.

    Zebaki hiyo, yamkini, ni kutokana na kudumu mno kwenye maabara za Kemia na Fizikia, ambazo hutumia kemikali aina mbalimbali, zikiwemo hewa za gesi, katika kufanya majaribio ya kisayansi.
    DUNIA NA MAAJABU YAKE (Muundo wa Dunia na Maajabu Yaliyomo) 1. UMRI WA DUNIA HII Dunia yetu ina historia ndefu mno tangu ilipojiunda angani, miaka takribani bilioni 4.5 iliyopita. Tarakimu za umri huo wa miaka bilioni 4.5 ni 4,500,000,000, yaani miaka milioni elfu nne na mia tano iliyopita. Dunia ambayo kwa lugha ya Kiingereza inafahamika vyema kwa jina la 'Earth', pia hujulikana kama 'the World', ikimaanishwa ulimwengu. Aidha, Dunia ni sayari pekee kwenye himaya ya sayari zilizopo chini ya jua ambayo jina lake halitokani na majina ya "Miungu wa Dola" ya Kigiriki au ya Kirumi. Asili ya jina la 'earth' ni 'erde' lenye asili ya nchini Ujerumani, na maana yake ni udongo au ardhi. Mpaka kuweza kupata umri huo wa dunia wanasayansi walifanya kazi ya kutafiti na kisha kuwasilisha matokeo yao kwenye makongamano ya kisayansi duniani, ambapo matokeo hayo yalijadiliwa kwa kina na hatimaye kukubalika kama hivi. Kumbuka katika majadiliano hayo huwepo mivutano mikali miongoni mwa wanasayansi waalikwa, ambapo pia jopo la wanasayansi wanaowasilisha utafiti husika hujikuta wakitakiwa kujibu hoja mbalimbali za wanasayansi wenzao. Kuna wakati baadhi ya matokeo ya tafiti kadhaa hukataliwa, huku watafiti husika wakitakiwa kurejea upya tafiti zao. Wanasayansi hupata umri wa sayari kwa kupima umri wa miamba ya sayari husika, ambapo mwamba wenye umri mkubwa zaidi kuliko miamba yote ndiyo huchukuliwa kuwa umri wa sayari husika. Itakumbukwa kuwa Msahafu wa Biblia (Sura ya Mwanzo 1) husimulia jinsi Mwenyezi Mungu alivyoumba "mbingu na nchi na vyote vilivyomo kwa siku 6," lakini pia Msahafu huohuo kwenye aya zingine hueleza kuwa miaka elfu moja ya duniani yaweza kuwa sawa na siku moja kwenye ya Makazi ya Mwenyezi Mungu. Ni dhahiri kuwa binadamu tukiwa hatuna hoja sahihi kwa maelezo ya aina hiyo, ndipo tunaona ni vyema mambo ya Mwenyezi Mungu kumwachia Yeye Mwenyewe Mwenyezi Mungu. 2. KUUMBIKA DUNIA, SAYARI, JUA, NYOTA Kimsingi, Dunia kama zilivyo sayari zingine zote ilijiunda kutokana na mabaki ya vitu vilivyotumika kuunda Jua. Jua ambalo ni nyota kama zilivyo nyota zote angani, lilijiunda lenyewe kwenye eneo la anga lijulikanalo kama 'Pillars of Creation' (nguzo za uumbaji) katika ukanda wa anga wenye upana ambao huonekana kutokuwa na mwisho. Ukanda huo ujulikanao kama 'Solar Nebula,' umegubikwa na mawingu ya vumbi la huko angani pamoja na aina mbalimbali za gesi na hewa, ikiwemo haidrojeni na heliumu. 'Solar' ni jina la nishati itokanayo na joto la jua, na 'Nebula' kwa lugha ya Kilatini ni "wingu" au vumbi la gesi asilia mithili ya ukungu. Hivyo, 'Solar Nebula' ni ukanda katika anga ya mbali wenye mawingu yaliyosheheni nishati yenye joto, sawa na nishati ya joto la jua. Sasa basi, tunafahamu vyema kuwa jua hutoa mionzi hatari yenye joto kali mithili ya moto mkali, na ambayo ikiboreshwa kisayansi pia huweza kutoa nishati ya umeme. Hivyo, kwa muktadha huo, hebu ngoja sasa tuleta pamoja hewa za gesi, zikiwemo haidrojeni na heliumu, mawingu yenye nishati ya umeme wa jua, vumbi la angani na tufani itokanayo na mchafuko mbaya wa hali ya hewa huko anga za mbali. Na ili kuweza kupata matokeo yanayotakiwa, hebu pia tutambue uwepo wa nguvu kubwa ya asili katika kiwango kijulikanacho kwa jina la "Supernatural Power", ambayo ndiyo huwa kisababishi cha mambo yote. Kisayansi, "Supernatural Power" ni nguvu kubwa ya asili ambayo huendesha mifumo mbalimbali ya asili, ambapo duniani nguvu hiyo hujulikana kama Nguvu ya Mungu. Nguvu asili hiyo, yaani Supernatural Power, husababisha tufani ambayo huvurumisha kwa pamoja vitu vyote hivyo, (gesi, hewa, mawingu yenye nishati ya joto na vumbi la angani) ili kuunda tufani yenye umbo la duara. Duara hiyo ni kama ile itokanayo na kimbunga kikali duniani, na ambacho sasa tutaona kikifungamanisha pamoja vitu vyote hivyo katika mchafuko mkubwa wa hali mbaya ya hewa. Natumia maneno ya msisitizo kuelezea "ukubwa" wa mchafuko huo wa hali ya hewa katika eneo hilo la anga, kwani katika kuunda sayari au nyota nguvuasili kubwa hutumika. Aidha, tufani hiyo ya duara itakayoanza kidogo kidogo kama kimbunga kikali, itazidi kukua hadi kuwa na kipenyo cha takribani kilomita 10 hadi 200 au zaidi na kwendelea. Tufani hiyo ndiyo itavurumisha kwa pamoja gesi na hewa za naitrojeni na heliumu, mawingu ya nishati ya joto na vumbi la angani (kama kifanyavyo kimbunga kikali katika eneo tambarare la duniani). Pia, wakati mchafuko huo wa hali mbaya ya hewa ukiendelea, hebu ngoja sisi watazamaji tujibanze mahali fulani kwa mbali kushuhudia duara hiyo ya tufani ikijizungusha yenyewe bila kukoma kwa kipindi cha miaka mingi. Kitakachofuata ni kuanza kuona kiini cha moto kikianza kujiunda katikati ya duara hiyo ya tufani kali, huku pia nje ya duara hiyo vitu kibao vikivutwa kujiunga na mzunguko wa hiyo tufani ya duara. Vitu hivyo ni pamoja na vumbi zaidi la angani, na gesi zaidi zenye joto kali. Wakati huohuo kipenyo na mzingo wa duara hiyo vitazidi kuongezeka upana na ukubwa, mfano wa duara yenye umbo sawa na la mpira mkubwa wa miguu. Hivyo, baada ya miaka takribani milioni moja tutashangaa kuona lile vumbi likigeuka taratibu kuwa miamba ya moto ndani ya kiini cha tufani hiyo ya duara. Miamba hiyo ni kutokana na lile vumbi la angani ambalo hatimaye limeshikamana pamoja mithili ya zege, na hatimaye kuwa miamba ndani ya tufani ya duara. Sanjari na kuundika huko ndani ya kitovu cha hiyo tufani ya duara, pia kwelekea nje ya duara hiyo utaundika udongo ambao ardhi, mchanga na mawe. Kimsingi, vitu hivyo pia ni matokeo ya lile vumbi la angani ambalo lilikusanywa pamoja na kuvutwa na kasi ya mzunguko wa tufani. Hatua hiyo mpya inatokana na kuwepo mshikamano na mgandamizo wa zile chembechembe za lile vumbivumbi ndani ya tufani. Vurumai hiyo ya mzunguko wa hiyo tufani ya duara yenye vumbi, itazidi kukua hadi kuunda sumaku ya asili ndani ya kile kitovu cha duara ya tufani. Kutokana na duara hiyo ya tufani kuongezeka ukubwa, hatimaye sumaku iliyopo kwenye kitovu cha duara hiyo itaishiwa nguvu ya kwendelea kunasa vumbi zaidi kuja kwenye mzingo wa hiyo duara ya tufani. Kumbuka kuwa wakati huo hiyo duara pia itaunda kimo kutoka kwenye usawa wa ardhi yake kwenda ndani kwenye kitovu chake, na hivyo kuwa duara ya mviringo kama umbo mfano wa mpira mchezo wa miguu. Baada ya kupita maelfu ya miaka mingi, duara hiyo ambayo hapo awali ilianza kama umbo la tufani na kuzidi kukua huko angani, sasa itakuwa na joto kali kupita kiasi na kuanza kung'aa kama jua. Jua hilo, ndiyo nyota mojawapo ya zile ambazo huonekana usiku ziking'aa angani. Lakini pia wakati wa kujiunda nyota hiyo, kama tulivyoona hapo awali, baadhi ya mabaki yake yaliyokuwa yakitawanyika angani wakati ile tufani ya duara ikijizungusha, huweza kujikusanya pamoja na kuunda sayari ambazo huzunguka baadhi ya hizo nyota. Hivyo ndivyo zilivyojiunda sayari zote ambazo huelea kwa kulizunguka jua letu. Mathalani, sayari zote ambazo hulizunguka jua, ikiwemo dunia zilijiunda kutokana na mabaki ya vitu kama gesi, michanga na mawe ambavyo vilitawanyika angani wakati jua likijiunda (kama ambavyo imeelezwa hapo awali). 3. KIINI CHA DUNIA Dunia yetu ambayo wastani wa nusu kipenyo cha umbo lake la duara ni kilomita 6,371, mzingo wake ni kilomita takribani 40,041. Kama zilivyo sayari zote katika himaya ya jua, dunia nayo ilijiunda wakati jua likijiunda lenyewe. Yaani kwamba sayari ni mabaki ya vitu vilivyotumika kuliunda jua. Kadhalika kama zilivyo sayari zingine zote, dunia nayo ina kiini chake ambacho kipo katikati ya ardhi yake. Kiini hicho kina nguvu kubwa ya sumaku ambayo, pamoja na mambo mengineyo, 'huvuta' umbo hilo la duara kutoka juu ya ardhi kwenda katikati ya kiini hicho. Muundo huo ndio hulifungamanisha pamoja umbo la duara la dunia, na hivyo kuzuia umbo hilo lisifumke kutoka ardhini na kusambaratika. Hiyo ni sawa na mpira wa miguu unavyoweza kupasuka na kusambaratika, kama utajazwa upepo kupita kiasi chake. Kiini hicho ambacho kipo katikati kabisa ya dunia, kinajulikanacho kwa jina la kisayansi la 'Inner Core.' Kiini hicho kina joto kali la sentigredi 6,230 ambacho ndio kiasi cha joto la jua. Kiini hicho kina umbo la duara lenye nusu kipenyo cha kilomita 1,250. Kama ingetokea kuchimba ardhi wima kwenda kwenye kiini hicho, mchimbaji angeanza kukutana na joto la kiini hicho kuanzia kimo cha umbali wa kilomita 5,150 kutoka usawa wa juu ya ardhi tunayotembea. Katika historia ya uchimbaji ardhi, kina kirefu kilichowahi kuchimbwa ardhini ni mita 12,345 (kilomita 12.345) huko Sakhalini, nchini Urusi, kwa ajili ya uvunaji wa mafuta ya petroli. Kiini cha dunia kinaundwa na madini mchanganyiko wa nikeli (nickle), chuma (iron) na dhahabu. Kwa mujibu wa utafiti, inakadiriwa kuwa kama dhahabu hiyo ingechimbwa na kuchomwa mpaka kuwa kimiminika sawa na uji na kisha kumwagwa chini, ingeweza kuifunika dunia yote kwa unene wa sentimeta 45. Kiini hicho muhimu kwa uhai wa sayari hii ya dunia kiligunduliwa mwaka 1936 na mtaalamu wa matetemeko ya ardhi wa nchini Denmark, mwanamama Dkt. Inge Lehmann. Dkt. Lehmann alihitimu shahada yake ya kwanza katika fani ya Hisabati mwaka 1910, ya Uzamili mwaka 1920 (zote kutoka Chuo Kikuu cha Copenhagen nchini mwake), na ile ya Uzamivu kutoka Chuo Kikuu cha Cambridge nchini Uingereza. Alifariki kwa uzee mwaka 1993 akiwa na umri wa miaka 104. 4. MAJI DUNIANI Kupatikana maji kwenye dunia yetu, ni mojawapo ya miundo ambayo haipo katika sayari zingine ambazo tuna taarifa za kitafiti kuzuhusu. Maji ni muhimili muhimu kwa ajili ya uhai wa viumbe wote na mimea, ambavyo kwa pamoja havipo katika sayari zingine za himaya ya jua. Kwa mujibu wa tafiti nyingi ambazo zimefanyika kwa miongo mingi ya miaka kujaribu kubaini nini chanzo cha kuwepo maji duniani, hakuna hata utafiti mmoja ulioonesha kwa usahihi matokeo ya kuridhisha. Miongoni mwa tafiti hizo ni pamoja na ule wa mwaka 2005, ambapo Mkuu wa Idara ya Masomo ya Sayari na Mwezi katika Chuo Kikuu cha Arizona nchini Marekani, Profesa Michael Julian Drake, na mwenzake ambaye ni mtaalamu wa Vimondo, Dkt. Huberto Campins, wa Chuo Kikuu cha Central Florida, walitafiti nini chanzo cha kuwepo maji duniani. Katika mawasilisho yao kwenye kongamano la kisayansi la Chama cha Wanataaluma wa Maarifa ya Anga za Juu (IAU), watafiti hao walikanusha madai ya uwezekano wa dunia hapo kale kugongwa na kimondo kikubwa na kusababisha maji kulipuka kutoka ardhini. Wakiwasilisha matokeo ya utafiti wao kwenye mkutano wa kongamano hilo, magwiji hao wa masuala ya sayari walieleza kwenye waraka wao uitwao "Origin of water on the terrestial planets" (chanzo cha kuwepo maji kwenye sayari). Walidai kuwa maji yaliyopo duniani yaliumbika kwenye ardhi ya dunia tangu mwanzo, wakati ikijiunda angani. Ikumbukwe kuwa eneo la uso wa dunia likiwa ni jumla ya kilomita za mraba milioni 510, asilimia 70.8 ya eneo hilo imefunikwa na maji na asilimia 29.2 ni nchi kavu, ikiwemo milima, mabonde na ardhi tambarare. 5. HEWA YA OKSIJENI Muundo mwingine muhimu katika sayari hii ya dunia ni hewa ambazo ni tawala, yaani Naitrojeni ambayo kwa usahihi imeenea kwa asilimia 78.08 ya hewa yote ya dunia, Oksijeni asilimia 20.95, 'Argon' asilimia 0.93, hewa ya Ukaa (Carbon dioxide) asilimia 0.039, na asilimia moja ni hewa mithili ya mvuke wa maji (water vapour). Hewa ya Oksijeni ambayo ni nguzo muhimu kwa ajili ya uhai wa viumbe wote na pia haipatikani kwenye sayari nyingine chini ya jua, inadhaniwa ilianza kupatikana duniani miaka takribani bilioni 2.5 iliyopita kufuatia "kukomaa kwa kiini cha dunia." Kwa mujibu wa matokeo ya tafiti mbalimbali na nadharia za kisayansi, inaoneshwa kuwa kukomaa kwa kiini hicho cha dunia hatimaye ndiko kulisababisha kuzuka duniani milipuko ya volikano ambayo pia ilisababisha kuzuka mabonde na milima. Inaoneshwa kuwa tayari wakati huo maji yaliishakuwepo duniani, na kuwezesha kuzuka chembechembe ndogo sana za kibakteria zijulikanazo kwa jina la kisayansi la 'cyanobacteria' au 'blue-green algae'. Kwa kutumia mwanga wa jua, maji na hewa ya ukaa, chembechembe hizo ziliweza kuzalisha hewa mbalimbali, ikiwemo 'Carbonhydrates' na Oksijeni. Kwa kuwa hizo chembechembe ndogo za kibakteria huishi baharini, ilikuwa rahisi kwa oksijeni kutokea baharini kupepea na kuenea katika anga ya dunia na kuzuiliwa hapo na nguvu asili ya uvutano ya dunia ili pia ibaki ikienea pote duniani. Mpaka wakati wa kuzuka duniani mimea na viumbe hai miaka takribani bilioni 3.5 iliyopita, tayari oksijeni ilikwa ni tele duniani; na hivyo kutumika kudumisha uhai wa viumbe hadi wakati huu. 6. UKANDA WA 'OZONE' Muundo mwingie muhimu wa asili kwa dunia ni ukanda wa anga ujulikanao kwa jina la 'ozone' ambao umetanda kama 'mwavuli' kwenye anga ya dunia, na kuikinga isidhuriwe na mionzi hatari ya sumu kutoka kwenye Jua. Ukanda huo maarufu kama 'ozone layer' umetanda kuanzia usawa wa kilometa 15 kutoka ardhini kwenda juu angani mpaka ukomo wa kilomita takribani 50, ambapo huchuja asilimia kati ya 97 na 99 ya mionzi hatari kwenye miale ya joto la jua. Miongoni mwa matatizo yanayosababishwa na mionzi hiyo hatari kutoka kwenye jua, ni pamoja na magonjwa ya saratani ya ngozi kwa bianadamu. Pia juu ya ukanda wa tabaka la ozone kuna ukanda mwingine uitwao "atmosphere" ambao ni madhubuti kiasi kwamba vitu vinavyotoka anga za juu na kujaribu kuupenya ili kufika duniani, hukumbana na joto kali na kusambaratishwa kwa kuunguzwa. Si kwamba tabaka hilo lina joto, isipokuwa kasi ya "kuanguka" vitu hivyo kutoka juu angani kuja dunia husababisha msuguano na chembechembe za gesi katika eneo hilo na kuzalisha joto mithili ya ndimi za moto. Picha za video za vyombo vya 'Apollo' vikirejea duniani kutoka mwezini vikiwa na wanaanga ndani yake na kupenya tabaka hilo kwa kasi ya kilomita 39,000 kwa saa, huonekana kughubikwa na ndimi za moto wa rangi ya njano na bluu. Rangi hizo ni ishara ya ukali wa moto huo, lakini kutokana na waundaji wa vyombo hivyo kutumia mchanganyiko wa mabati na plastiki ngumu visivyopenywa na joto, Apollo huonekana kulichana tabaka hilo na kutokea upande wa pili ambao ni anga ya dunia. Hivyo basi, mfano huo mdogo unaonesha uimara wa tabaka hilo la 'ozone', ambalo kama ambavyo tumeona huchuja mionzi ya sumu kutoka kwenye mwanga wa jua ili kutolete madhara kwa viumbe duniani. Mwanga huo ukisafiri kutoka juani umbali wa kilomita milioni 150 kwa kasi ya kilomita 299,793, hutua duniani ndani ya dakika 8 na sekunde 19 ukiwa tayari umechujwa wakati ukipenya tabaka hilo. 'Ozone' iligunduliwa mwaka 1913 na wanasayansi wawili wa nchini Ufaransa, Charlest Fabry na Henri Buisson, ambapo kipimo cha kasi ya mwanga kiligunduliwa na mwanasayansia wa anga za juu wa nchini Denmark, Ole Roemer, mwaka 1676. 7. NGUVU ASILI YA UVUTANO Muundo mwingine wa dunia ni nguvu ya asili ya uvutano ya dunia, maarufu kama 'gravitation', ambayo huvuta vitu kuvirejesha chini duniani pale vinaporushwa kwenda juu au vile vinavyoanguka kutoka juu angani. Nguvu hiyo ina manufaa makubwa, kwani bila kuwepo duniani binadamu na viumbe wengine wangepeperuka kama karatasi kwenda juu wakati wakitembea juu ya ardhi ya hii. Kadhalika, nguvu hiyo husaidia kuvuta hewa ya oksijeni na kuiweka karibu na ardhi kwa ajili ya matumizi mbalimbali. Pia, nguvu hiyo husaidia kuiweka dunia, mwezi, jua na sayari zingine katika uwiano wa umbali usio na madhara kutoka kila moja. Nguvu hiyo ya asili ndiyo huliweka joto la jua duniani na kubaki kuwa katika kiwango kinachotakiwa, na hivyo kuwezesha viumbe kupata joto la wastani na pia katika kiwango mwanana. Nguvu hiyo huvuta mvua kuja duniani na kuwezesha maji ya bahari, maziwa na mito kutulia duniani. Mathalani, bila nguvu asili hiyo kuwepo duniani, maji 'yangemwagika' kutoka duniani kwa kutawanyika kama upepo na kupaa kwenda juu angani na kutoweka kabisa. Na ndio maana ukirusha maji kwenda juu, hurudi chini ardhini. Hebu angalia mfano huu kwamba wanaanga waliokwenda mwenzini walilazimika kuvaa mavazi yenye uzito wa kilo 80 hapa duniani, lakini mavazi hayo kule mwezini yakawa na uzito wa kilo 3. Mavazi hayo, yaani viatu, koti, suruali, na kofia nzito yenye miwani maalumu ya kukinga macho dhidi ya mionzi hatari ya jua, vyote kwa pamoja viliunganishwa na kuwa mfano wa sare za 'ovaroli' za mafundi wa magari. Mavazi hayo pia mgongoni yakiwa yameunganishwa kwa pamoja na mtungi wa hewa ya oksijeni kwa ajili ya kupumua, yalivaaliwa mahsusi muda mfupi baada ya chombo kutua mwezini. Hivyo, msomaji wangu tafakari nini kilisababisha mavazi kuwa mazito hapa duniani, lakini yawe mepesi kule mwezini? Jibu ni kwamba nguvu asili ya uvutano hapa duniani ni kubwa kuliko ya kule mwezini. Na ndipo tunaona umuhimu wa muundo huo wa nguvu asili ya uvutano, ambapo hapa duniani huvuta vitu kuja chini kwa kasi ya mita 9.81 kwa sekunde, lakini kwa kuwa nguvu ya mwezi ni hafifu, huvuta vitu kwa kasi ndogo ya mita 1.62 kwa sekunde. Ingawa nguvu hiyo ya asili iligunduliwa kuwepo duniani miaka mingi iliyopta, mwanafizikia bingwa wa Uingereza, Sir Isaac Newton (1642-1727), ndiye anatambulika kama mgunduzi wa hesabu hizo za nguvu asili hiyo. Anaeleza kuwa vitu vyote vyenye maumbo asili, ikiwemo jua, sayari, dunia, mwezi, na vimondo, kila kimoja kina nguvu hiyo katika viwango tofauti. Kanuni hiyo, kwa mujibu wa matokeo ya utafiti wake, hueleza kuwa nguvu hiyo ndiyo hufanya jua kuvuta sayari zake ili kulizunguka, huku pia kila sayari ikitumia nguvu 'binafsi' (na kwa uwiano maalumu) kujihami isivutwe hadi kwenda kuligonga jua au kugongana na sayari zingine au vimondo. Nguvuasili ya jua ni mita 274 kwa sekunde, ikiwa ni zaidi ya kiasi cha nguvuasili ya kila sayari. Muundo huo wa kila sayari kujihami kivyake katika mstari wa njia yake hufahamika kisayansi kama "sayari kuhami mazingira ya njia yake"; yaani kwamba 'a planet has to clear the neighbourhood around its orbit.' Newton akiwa amezaliwa 'mtoto-njiti' na baadaye kuibuka kuwa mwenye akili nyingi kiasi cha kukaribia kuwa sawa na mtu wa miujiza, hakuwahi kuoa kutokana na kinachoelezwa kuwa ni " kutokana na kutingwa na shughuli za kimasomo." Huoneshwa kuwa muda mwingi alikuwa maabara akifanya tafiti mbalimbali za kisayansi, au akiwa maktaba akijisomea, ama akiandika kitabu, au akifundisha wanafunzi wake. Alikuwa bingwa mwenye kipaji cha taaluma nyingi, ikiwemo Fizikia, Kemia, Hisabati, Maarifa ya Anga za Juu, Uchumi, Falsafa, na Theolojia ambayo ni taaluma ya masuala ya kiroho. Kwa mujibu wa historia, mwanasayansi huyo gwiji wa kuigwa alihitimu shahada zake zote mbili za sayansi, yaani 'Bachelor' na 'Masters', mwaka 1665 na 1668 katika Chuo Kikuu cha Cambridge, nchini Uingereza. Akiwa na umri wa miaka 84, mwanasayansi huyo anayedhaniwa na wengi kuwa bingwa wa hesabu za kisayansi kuliko wote duniani, alifariki mwaka 1727 akiwa usingizini. Ripoti ya uchunguzi wa mwili wake huonesha kuwa alikuwa na tatizo la figo, lakini pia alikutwa na kiasi kingi cha zebaki. Zebaki hiyo, yamkini, ni kutokana na kudumu mno kwenye maabara za Kemia na Fizikia, ambazo hutumia kemikali aina mbalimbali, zikiwemo hewa za gesi, katika kufanya majaribio ya kisayansi.
    0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • YAJUE MAENEO AMBAYO HURUHUSIWI KUFIKA KAMWE.

    Katika ulimwengu wa leo tunaoishi tunaweza kufanya vitu vingi vinavyotufurahisha ikiwemo kusafiri kwenda maeneo mbalimbali ulimwenguni kwa malengo mbalimbali mfano kibiashara,kiutalii na hata kwa lengo la kuburudika tu.lakini hayo yote yanaweza kufanyika isipokuwa kwa baadhi ya maeneo,yafuatayo ni maeneo manne (4) ambayo huruhusiwi kufika.

    #01.NORTH SENTINEL ISLAND (KISIWA CHA SENTINEL YA KASKAZINI)
    Kisiwa cha NORTH SENTINEL ni sehemu ya visiwa vya ANDAMAN na NICOBAR vilivyopo kwenye bay ya BENGAL kwenye bahari ya hindi kati ya MYANMAR na INDONESIA.Eneo hili ndipo mahali ambapo wakazi wake hawaruhusu mawasiliano kabisa na ulimwengu ulioendelea/mataifa mengine.
    Kuna visa kadhaa vya kuthibitisha 'marufuku' ya kuingia kisiwani huko kutoka kwa wakazi wake.
    -Mwezi DISEMBA mwaka 2004 tsunami ilipopiga kwenye bahari ya hindi waokoaji walihitaji kusaidia wahanga wa kisiwa hiko lakini haikuwa rahisi kutokana na upinzani waliokutana nao kutoka kwa wakazi wa kisiwa hicho,walijaribu kushusha vyakula wakiwa kwenye helikopta ya jeshi la maji la INDIA kilichotokea ni kwamba moja ya helikopta hizo ilishambuliwa na 'shujaa' mmoja wa kisiwa hiko aliepiga mkuki kwenye helikopta kuonesha kuwa watu hao hawakuhitaji msaada wala mawasiliano na mataifa jirani.
    Kimsingi INDIA ndio inayomiliki kisiwa hicho.
    -Kisa kingine ni cha mwaka 1896 cha mfungwa mmoja alietoroka kutoka kwenye gereza lililopo katika kisiwa cha ANDAMAN ambae alikimbilia kwenye kisiwa hiki,siku chache baadae mwili wake ulikutwa pembezoni mwa bahari ukiwa na alama za kupigwa na mishale na huku koo lake likiwa limekatwa.
    Sijui kama wakazi wa kisiwa hiki wanajua kama kuna nchi inaitwa TANZANIA,shughuli wanazofanya kuendesha maisha yao ni uwindaji,uvuvi pia wanakula matunda na asali.
    Huwezi kuamini kuwa maeneo haya hakuna SIMU wala INTANETI.

    #02.ROOM 39 (CHUMBA NAMBA 39)
    Kwa majina mengine huitwa BUREAU 39 au DIVISION 39 au OFFICE 39,jengo hili lipo nchini KOREA KASKAZINI na linakaliwa na tasisi ya siri ya chama cha KOREA KASKAZINI (KOREAN WORKERS' PARTY) lengo lake ni kuchangia uongezekaji wa fedha za kigeni nchini KOREA KASKAZINI,ROOM 39 inaaminika kuendesha shughuli zote zinazohusiana na uingizwaji wa fedha za kigeni nchini humo na mjini PYONGYANG ikiwa pamoja na mahoteli yaliyopo PYONGYANG na uchimbaji wa madini ya ZINC na DHAHABU. Taasisi ya ROOM 39 inaaminika kumiliki baadhi ya makampuni mafano ZOKWANG TRADING na benki ya TAESONG BANK.
    Tasisi hii iliundwa na KIM IL-SUNG miaka ya 1970,kwa mwaka tasisi hii ya siri inasadikika inaiingizia nchi ya KOREA KASKAZINI mapato ya kati ya milioni $500 (dola za kimarekani) mpaka billioni $1 (dola za kimarekani).
    Vyanzo kadhaa vya nchi za magharibi vinaeleza kuwa taasisi hii inaingiza fedha hizo kwa kuendesha shughuli za kihalifu,mfano ripoti moja ya WASHINGTON POST ilieleza ubadhilifu uliotokea katika sekta ya BIMA duniani na kudai kuwa ulifanywa na serikali ya KOREA KASKAZINI kwa kutumia taasisi yake ya KOREA NATIONAL INSURANCE CORP (KNIC).
    Jengo hili la ROOM 39 hakika huruhusiwi kuingia ndani yake,kutokana na sababu za kiusalama hivyo hutaweza kuwemo ndani yake.

    #03.AREA 51
    Hili ni eneo linalomilkiwa na JESHI LA ANGA LA MAREKANI lipo NEVADA.
    Taarifa nyingi na za uhakika kuhusu mambo yanayofanyika katika eneo hili ni 'highly classified' ila tu kuna nadharia kadhaa zinazoeleza mambo yanayofanyika katika eneo hili baadhi ya nadharia hizo ni;
    >Inaaminika kuwa AREA 51 ni mahali wanapofanya tafiti za teknolojia za viumbe wa sayari nyingine (ALLIEN) ambapo jeshi la anga la marekani limehifadhi masalia ya ndege za viumbe hao zilizopata ajali,na pia wanatengeneza ndege kutokana na teknolojia ya ALLIENS.
    >Inaaminika wanaendesha program/mpango wa kutengeneza silaha za kujilinda za awali yaani STRATEGIC DEFENSE INITIATIVE (SDI) na program za silaha nyingine.
    >Inaaminika kuwa ndani ya eneo hilo wanatengeneza teknolojia itakayoweza ku'control' hali ya hewa.
    >Inaaminika kuwa wanafanya program ya kutengeneza teknolojia ya TIME TRAVEL (uwezo wa kumwezesha mtu kurudi wakati uliopita au kwenda wakati ujao,mfano mtu atoke hivi sasa na asafiri kwenda miaka 50 ijayo) na TELEPORTATION (yaani mtu aweze kusafiri kutoka eneo moja hadi jingine pasina usafiri wowote ule na kwa haraka.nadharia hii imeelezwa kwenye filamu/movie/series ya TOMORROW PEOPLE kama ushawahi kuiona basi hivyo ndivyo watu wanavyo teleport).
    >Inaaminika kuwa pengine wanaendesha shughuli zitakazochangia kuwepo kwa serikali moja duniani (ONE WORLD GOVERMENT)
    Moja ya mambo yanayoweza kutumika kama ushahidi juu ya nadharia inayohusisha uwepo wa viumbe kutoka sayari nyingine yaani ALLIENS ndani ya AREA 51 ni baadhi ya watu waliowahi kukiri kuwa wafanyakazi wa AREA 51
    **Mmoja wao ni bwana BOB LAZAR ambae mwaka 1989 alisema kuwa alifanya kazi ndani ya AREA 51 SECTOR FOUR (S-4) ambapo eneo hili lipo chini ya ardhi,bwana BOB LAZAR alisema kuwa alipokuwa ndani ya SECTOR FOUR alifanya kazi na ndege ya anga la juu(spacecraft) ya ALLIENS ambayo inashikiliwa na serikali ya MAREKANI ndani ya AREA 51.
    **Documentary moja iitwayo DREAMLAND iliotoka mwaka 1996 ilioongozwa na BRUCE BURGESS ilijumuisha interview aliofanya na mzee wa umri wa miaka 71 ambae ni injinia (mechanical engeneer) aliekiri kuwa alishawahi kuwa muajiriwa aliefanya kazi ndani ya AREA 51 katika miaka ya 1950,alikiri kuwa alifanya kazi kwenye kitu chenye uwezo wa kupaaa angani kilicho mfano wa sahani kiitwacho "FLYING DISK SIMULATOR" alisema kitu hicho mfano wa sahani kubwa kilitokana na ndege ya anga za juu iliopoata ajali na kilitumika kuwafundishia marubani wa jeshi la MAREKANI,pia alikiri kuwa alifanya kazi na kiumbe kutoka sayari nyingine ambae aliitwa "J-ROD".
    **Mwaka 2004 DAN BURISCH alikiri kufanya kazi ndani ya AREA 51 pamoja na ALLIEN aliefahamika kwa jina la "J-ROD"
    Kuingia katika eneo hili kumezuiwa vikali, na wanajeshi wanaolinda eneo hilo wamepewa mamlaka ya kumfyatulia risasi yeyote atakaeingia ambae hana ruhusa ya kuwepo eneo hilo,Hivyo basi katika eneo hili hautaweza kufika labda uwe mfanyikazi wa humu.
    (KWA WALE WANAOCHEZA SANA VIDEO GAMES AU WALE WALIOWAHI KUCHEZA "GTA SAN ANDREAS" WANAJUA UKIFIKA SEHEMU MOJA INAYOITWA AREA 51 UNASHAMBULIWA KULIKO KAWAIDA)

    #04.ILHA DE QUEIMEDA/SNAKE ISLAND (KISIWA NA NYOKA)
    Kisiwa cha ILHA DE QUEIMEDA kipo umbali wa maili kadhaa kutoka katika pwani ya mji wa SAO PAOLO nchini BRAZIL.
    Kisiwa hiki ni makazi ya nyoka hatari zaidi duniani tena wenye sumu ilio kali kabisa,idadi ya kukadiria ya nyoka waliopo kisiwani humo ni takriban nyoka 4000,nyoka aina ya 'lancehead vipers' wapatikanao kisiwani humo wanakua kwa wastani wa urefu wa SENTIMITA 70 (70 CM) pia wanaweza kufikia hata urefu wa SENTIMITA 118 mpaka 120,vifo vingi vinavyotokea amerika ya kusini miongoni mwao husababishwa na nyoka hawa.
    > Chakula chao cha kawaida mara nyingi ni ndege na imeripotiwa kuwa huwa wanakula mijusi na kula hata nyoka wengine.
    > Nyoka wa aina hii akimng'ata/akimgonga binadamu mara moja basi binadamu anakuwa kwenye hatari ya kufa kwa aslimia 7 (7%) yaani anakuwa na uwezekano wa kufa kwa asilimia 7.
    Moja ya kisa kilichoripitiwa kutokea kisiwani huko ni cha mvuvi mmoja aliekuwa akivua samaki na mara boti yake ikapata tatizo la injini akaamua kuweka makazi kwa muda katika kisiwa hicho pasina kujua hatari iliopo ndani yake, baada ya boti kuonekana ndipo alipopatikana akiwa amekufa huku akiwa na alama za kung'atwa na nyoka.
    Kwa miaka 15 iliopita idadi ya nyoka kisiwani humo imepungua kwa asilimia 15 (15%) kutokana na magonjwa na kupungua kwa uoto ndani ya kisiwa,lakini hii leo bado maelfu ya nyoka bado ndio makazi yao ndani ya kisiwa.Serikali ya BRAZIL imezuia utembeleaji na shughuli za kitalii ndani ya kisiwa hicho isipokuwa kwa wanasayansi na wanajeshi wa majini wa BRAZIL.
    YAJUE MAENEO AMBAYO HURUHUSIWI KUFIKA KAMWE. Katika ulimwengu wa leo tunaoishi tunaweza kufanya vitu vingi vinavyotufurahisha ikiwemo kusafiri kwenda maeneo mbalimbali ulimwenguni kwa malengo mbalimbali mfano kibiashara,kiutalii na hata kwa lengo la kuburudika tu.lakini hayo yote yanaweza kufanyika isipokuwa kwa baadhi ya maeneo,yafuatayo ni maeneo manne (4) ambayo huruhusiwi kufika. #01.NORTH SENTINEL ISLAND (KISIWA CHA SENTINEL YA KASKAZINI) Kisiwa cha NORTH SENTINEL ni sehemu ya visiwa vya ANDAMAN na NICOBAR vilivyopo kwenye bay ya BENGAL kwenye bahari ya hindi kati ya MYANMAR na INDONESIA.Eneo hili ndipo mahali ambapo wakazi wake hawaruhusu mawasiliano kabisa na ulimwengu ulioendelea/mataifa mengine. Kuna visa kadhaa vya kuthibitisha 'marufuku' ya kuingia kisiwani huko kutoka kwa wakazi wake. -Mwezi DISEMBA mwaka 2004 tsunami ilipopiga kwenye bahari ya hindi waokoaji walihitaji kusaidia wahanga wa kisiwa hiko lakini haikuwa rahisi kutokana na upinzani waliokutana nao kutoka kwa wakazi wa kisiwa hicho,walijaribu kushusha vyakula wakiwa kwenye helikopta ya jeshi la maji la INDIA kilichotokea ni kwamba moja ya helikopta hizo ilishambuliwa na 'shujaa' mmoja wa kisiwa hiko aliepiga mkuki kwenye helikopta kuonesha kuwa watu hao hawakuhitaji msaada wala mawasiliano na mataifa jirani. Kimsingi INDIA ndio inayomiliki kisiwa hicho. -Kisa kingine ni cha mwaka 1896 cha mfungwa mmoja alietoroka kutoka kwenye gereza lililopo katika kisiwa cha ANDAMAN ambae alikimbilia kwenye kisiwa hiki,siku chache baadae mwili wake ulikutwa pembezoni mwa bahari ukiwa na alama za kupigwa na mishale na huku koo lake likiwa limekatwa. Sijui kama wakazi wa kisiwa hiki wanajua kama kuna nchi inaitwa TANZANIA,shughuli wanazofanya kuendesha maisha yao ni uwindaji,uvuvi pia wanakula matunda na asali. Huwezi kuamini kuwa maeneo haya hakuna SIMU wala INTANETI. #02.ROOM 39 (CHUMBA NAMBA 39) Kwa majina mengine huitwa BUREAU 39 au DIVISION 39 au OFFICE 39,jengo hili lipo nchini KOREA KASKAZINI na linakaliwa na tasisi ya siri ya chama cha KOREA KASKAZINI (KOREAN WORKERS' PARTY) lengo lake ni kuchangia uongezekaji wa fedha za kigeni nchini KOREA KASKAZINI,ROOM 39 inaaminika kuendesha shughuli zote zinazohusiana na uingizwaji wa fedha za kigeni nchini humo na mjini PYONGYANG ikiwa pamoja na mahoteli yaliyopo PYONGYANG na uchimbaji wa madini ya ZINC na DHAHABU. Taasisi ya ROOM 39 inaaminika kumiliki baadhi ya makampuni mafano ZOKWANG TRADING na benki ya TAESONG BANK. Tasisi hii iliundwa na KIM IL-SUNG miaka ya 1970,kwa mwaka tasisi hii ya siri inasadikika inaiingizia nchi ya KOREA KASKAZINI mapato ya kati ya milioni $500 (dola za kimarekani) mpaka billioni $1 (dola za kimarekani). Vyanzo kadhaa vya nchi za magharibi vinaeleza kuwa taasisi hii inaingiza fedha hizo kwa kuendesha shughuli za kihalifu,mfano ripoti moja ya WASHINGTON POST ilieleza ubadhilifu uliotokea katika sekta ya BIMA duniani na kudai kuwa ulifanywa na serikali ya KOREA KASKAZINI kwa kutumia taasisi yake ya KOREA NATIONAL INSURANCE CORP (KNIC). Jengo hili la ROOM 39 hakika huruhusiwi kuingia ndani yake,kutokana na sababu za kiusalama hivyo hutaweza kuwemo ndani yake. #03.AREA 51 Hili ni eneo linalomilkiwa na JESHI LA ANGA LA MAREKANI lipo NEVADA. Taarifa nyingi na za uhakika kuhusu mambo yanayofanyika katika eneo hili ni 'highly classified' ila tu kuna nadharia kadhaa zinazoeleza mambo yanayofanyika katika eneo hili baadhi ya nadharia hizo ni; >Inaaminika kuwa AREA 51 ni mahali wanapofanya tafiti za teknolojia za viumbe wa sayari nyingine (ALLIEN) ambapo jeshi la anga la marekani limehifadhi masalia ya ndege za viumbe hao zilizopata ajali,na pia wanatengeneza ndege kutokana na teknolojia ya ALLIENS. >Inaaminika wanaendesha program/mpango wa kutengeneza silaha za kujilinda za awali yaani STRATEGIC DEFENSE INITIATIVE (SDI) na program za silaha nyingine. >Inaaminika kuwa ndani ya eneo hilo wanatengeneza teknolojia itakayoweza ku'control' hali ya hewa. >Inaaminika kuwa wanafanya program ya kutengeneza teknolojia ya TIME TRAVEL (uwezo wa kumwezesha mtu kurudi wakati uliopita au kwenda wakati ujao,mfano mtu atoke hivi sasa na asafiri kwenda miaka 50 ijayo) na TELEPORTATION (yaani mtu aweze kusafiri kutoka eneo moja hadi jingine pasina usafiri wowote ule na kwa haraka.nadharia hii imeelezwa kwenye filamu/movie/series ya TOMORROW PEOPLE kama ushawahi kuiona basi hivyo ndivyo watu wanavyo teleport). >Inaaminika kuwa pengine wanaendesha shughuli zitakazochangia kuwepo kwa serikali moja duniani (ONE WORLD GOVERMENT) Moja ya mambo yanayoweza kutumika kama ushahidi juu ya nadharia inayohusisha uwepo wa viumbe kutoka sayari nyingine yaani ALLIENS ndani ya AREA 51 ni baadhi ya watu waliowahi kukiri kuwa wafanyakazi wa AREA 51 **Mmoja wao ni bwana BOB LAZAR ambae mwaka 1989 alisema kuwa alifanya kazi ndani ya AREA 51 SECTOR FOUR (S-4) ambapo eneo hili lipo chini ya ardhi,bwana BOB LAZAR alisema kuwa alipokuwa ndani ya SECTOR FOUR alifanya kazi na ndege ya anga la juu(spacecraft) ya ALLIENS ambayo inashikiliwa na serikali ya MAREKANI ndani ya AREA 51. **Documentary moja iitwayo DREAMLAND iliotoka mwaka 1996 ilioongozwa na BRUCE BURGESS ilijumuisha interview aliofanya na mzee wa umri wa miaka 71 ambae ni injinia (mechanical engeneer) aliekiri kuwa alishawahi kuwa muajiriwa aliefanya kazi ndani ya AREA 51 katika miaka ya 1950,alikiri kuwa alifanya kazi kwenye kitu chenye uwezo wa kupaaa angani kilicho mfano wa sahani kiitwacho "FLYING DISK SIMULATOR" alisema kitu hicho mfano wa sahani kubwa kilitokana na ndege ya anga za juu iliopoata ajali na kilitumika kuwafundishia marubani wa jeshi la MAREKANI,pia alikiri kuwa alifanya kazi na kiumbe kutoka sayari nyingine ambae aliitwa "J-ROD". **Mwaka 2004 DAN BURISCH alikiri kufanya kazi ndani ya AREA 51 pamoja na ALLIEN aliefahamika kwa jina la "J-ROD" Kuingia katika eneo hili kumezuiwa vikali, na wanajeshi wanaolinda eneo hilo wamepewa mamlaka ya kumfyatulia risasi yeyote atakaeingia ambae hana ruhusa ya kuwepo eneo hilo,Hivyo basi katika eneo hili hautaweza kufika labda uwe mfanyikazi wa humu. (KWA WALE WANAOCHEZA SANA VIDEO GAMES AU WALE WALIOWAHI KUCHEZA "GTA SAN ANDREAS" WANAJUA UKIFIKA SEHEMU MOJA INAYOITWA AREA 51 UNASHAMBULIWA KULIKO KAWAIDA) #04.ILHA DE QUEIMEDA/SNAKE ISLAND (KISIWA NA NYOKA) Kisiwa cha ILHA DE QUEIMEDA kipo umbali wa maili kadhaa kutoka katika pwani ya mji wa SAO PAOLO nchini BRAZIL. Kisiwa hiki ni makazi ya nyoka hatari zaidi duniani tena wenye sumu ilio kali kabisa,idadi ya kukadiria ya nyoka waliopo kisiwani humo ni takriban nyoka 4000,nyoka aina ya 'lancehead vipers' wapatikanao kisiwani humo wanakua kwa wastani wa urefu wa SENTIMITA 70 (70 CM) pia wanaweza kufikia hata urefu wa SENTIMITA 118 mpaka 120,vifo vingi vinavyotokea amerika ya kusini miongoni mwao husababishwa na nyoka hawa. > Chakula chao cha kawaida mara nyingi ni ndege na imeripotiwa kuwa huwa wanakula mijusi na kula hata nyoka wengine. > Nyoka wa aina hii akimng'ata/akimgonga binadamu mara moja basi binadamu anakuwa kwenye hatari ya kufa kwa aslimia 7 (7%) yaani anakuwa na uwezekano wa kufa kwa asilimia 7. Moja ya kisa kilichoripitiwa kutokea kisiwani huko ni cha mvuvi mmoja aliekuwa akivua samaki na mara boti yake ikapata tatizo la injini akaamua kuweka makazi kwa muda katika kisiwa hicho pasina kujua hatari iliopo ndani yake, baada ya boti kuonekana ndipo alipopatikana akiwa amekufa huku akiwa na alama za kung'atwa na nyoka. Kwa miaka 15 iliopita idadi ya nyoka kisiwani humo imepungua kwa asilimia 15 (15%) kutokana na magonjwa na kupungua kwa uoto ndani ya kisiwa,lakini hii leo bado maelfu ya nyoka bado ndio makazi yao ndani ya kisiwa.Serikali ya BRAZIL imezuia utembeleaji na shughuli za kitalii ndani ya kisiwa hicho isipokuwa kwa wanasayansi na wanajeshi wa majini wa BRAZIL.
    0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • Tarehe 25, Mei 2019, mawe haya mawili yanayoitwa 1999 KW4 yalipita karibu sana na Dunia yetu kitu ambacho kingeshtua watu wengu huku Duniani. Ila hakukuwa na hatari yoyote ambayo ingeweza letwa na mawe hayo kwa sababu yalipita umbali wa kilomita milioni 5, au sawa na mara 15 ya umbali kati ya mwezi na Dunia. Japokuwa taarifa hii isingekuwa njema kwa watu wengi ila wanasayansi walifurahia tukio hilo kwa sababu liliwapa mwanya wa kuweza kujifunza namna gani ya kuweza kukabiliana na mawe mengine makubwa ambayo yanaweza kuja kugongana na Dunia yetu huko mbeleni. Ukiachilia mbali jiwe hilo 1999 KW4, kuna jiwe lingine kubwa linaloitwa Didymos ambalo ni hatarishi na linakuja Duniani, ila NASA tayari wanampango wa kurusha chombo ambacho kitaenda kuligonga na kubadilisha uelekeo wake ifikapo mwezi Julai 2021. #teknolojia #sayansi #maisha #sayari #dunia #ulimwengu #andrewsoft
    Tarehe 25, Mei 2019, mawe haya mawili yanayoitwa 1999 KW4 yalipita karibu sana na Dunia yetu kitu ambacho kingeshtua watu wengu huku Duniani. Ila hakukuwa na hatari yoyote ambayo ingeweza letwa na mawe hayo kwa sababu yalipita umbali wa kilomita milioni 5, au sawa na mara 15 ya umbali kati ya mwezi na Dunia. Japokuwa taarifa hii isingekuwa njema kwa watu wengi ila wanasayansi walifurahia tukio hilo kwa sababu liliwapa mwanya wa kuweza kujifunza namna gani ya kuweza kukabiliana na mawe mengine makubwa ambayo yanaweza kuja kugongana na Dunia yetu huko mbeleni. Ukiachilia mbali jiwe hilo 1999 KW4, kuna jiwe lingine kubwa linaloitwa Didymos ambalo ni hatarishi na linakuja Duniani, ila NASA tayari wanampango wa kurusha chombo ambacho kitaenda kuligonga na kubadilisha uelekeo wake ifikapo mwezi Julai 2021. #teknolojia #sayansi #maisha #sayari #dunia #ulimwengu #andrewsoft
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·809 Views

  • MADA: KUWA AMBAYE MUNGU ANATAKA UWE, SIYO ANAYETAKA UWE...

    Ulimwengu daima utakuwa na sauti elfu zinazozungumza mara moja. Wengine watapiga kelele zaidi kuliko wengine, kila mmoja akijaribu kukuunda katika toleo ambalo linalingana na matarajio yao. Jamii itachora mistari na kujenga ua, ikikupa njia inayoonekana kuwa ya kawaida na salama, lakini salama haimaanishi sawa kila wakati. Utapewa mapendekezo, na utaonyeshwa barabara tofauti. Mtasikia sauti, na mtapewa dalili. Ninachotaka ujue ni kwamba kuna njia ambazo zinaonekana kuwa sawa, lakini mara nyingi zinakuongoza vibaya. Kwangu mimi, ukuaji wa kweli hauanzii katika faraja ya kuiga bali katika ujasiri wa kuamini sauti yako ya ndani; sauti ya Mungu. Wakati mwingine, sauti hii inaweza isikuambie unachotaka kusikia; bali inazungumza uzima katika maisha yako. Kuna moto unaowaka kipekee ndani yako, taa ambayo hakuna mtu mwingine anayeibeba, lakini unahitaji kumsikiliza mtu wako wa ndani ili uweze kuwa mwanaume/mwanamke. Kuiga kunaweza kuhisi kama kimbilio, lakini kunakuweka kwenye vivuli vya uzuri wa mtu mwingine. Ubinafsi wako ndio uwezo wako mkuu. Usiruhusu mtu yeyote akufanye ufanane naye; baadhi yao hata hawana furaha na wao wenyewe, lakini wanataka wewe kuwa kama wao. Jifunze kuwa mtu ambaye Mungu anataka uwe, si vile wao wanvyotaka uwe.

    Hakuna mtu mwingine kwenye sayari hii yote anayetazama maisha kupitia lenzi sawa na wewe. Makovu yako, ushindi wako, vita vyako vya kimya kimya, na ndoto zako zenye sauti kubwa ni vipande vya fumbo ambalo hakuna mtu mwingine anayeweza kulikamilisha. Ulimwengu unaweza kujaribu kukufanya unafaa, lakini kufaa kamwe haikuwa dhamira yako, Bali kusimama nje ya kufaa . Ninakutia moyo leo, "thubutu kuwa tofauti." Sisitiza uhalisi wako. Sema ukweli wako hata kama sauti yako inatetemeka. Tembea njia ambazo wengine huepuka. Ukuaji hutokea si wakati unalingana lakini wakati unapochanua, bila msamaha, katika ngozi yako mwenyewe. Njia ambayo watu husafiri kidogo inaweza kuhisi upweke wakati fulani, lakini ni kwenye barabara hii ambapo utakutana na utimilifu wa yule unayekusudiwa kuwa. Kuchanganya ndani ni kuishi, lakini kusimama nje ni kuishi. Kwa hiyo, kukua. Inuka zaidi ya kuiga na tegemea upekee wako. Ulimwengu unahitaji zawadi yako, toleo la kweli, lisilochujwa na lisiloweza kurudiwa. Tembea kwa ujasiri. Ongea bila woga. Na ukue kwenye nuru ambayo wewe tu unaweza kutupwa. Usiruhusu mtu yeyote akuinamishe na kuwa mtu mbaya, asiye na moyo, shetani,pepo, mwovu au asiye na maana; uwe yule ambaye Mungu alikuita uwe. Ikiwa watu hawapendi hivyo, wanaweza kuwa yeyote wapendavyo, lakini usiruhusu maoni yao matupu yakufanye uache njia ambayo Mungu amekutengenezea.

    Credit:
    Fr. Albert Nwosu
    MADA: KUWA AMBAYE MUNGU ANATAKA UWE, SIYO ANAYETAKA UWE... Ulimwengu daima utakuwa na sauti elfu zinazozungumza mara moja. Wengine watapiga kelele zaidi kuliko wengine, kila mmoja akijaribu kukuunda katika toleo ambalo linalingana na matarajio yao. Jamii itachora mistari na kujenga ua, ikikupa njia inayoonekana kuwa ya kawaida na salama, lakini salama haimaanishi sawa kila wakati. Utapewa mapendekezo, na utaonyeshwa barabara tofauti. Mtasikia sauti, na mtapewa dalili. Ninachotaka ujue ni kwamba kuna njia ambazo zinaonekana kuwa sawa, lakini mara nyingi zinakuongoza vibaya. Kwangu mimi, ukuaji wa kweli hauanzii katika faraja ya kuiga bali katika ujasiri wa kuamini sauti yako ya ndani; sauti ya Mungu. Wakati mwingine, sauti hii inaweza isikuambie unachotaka kusikia; bali inazungumza uzima katika maisha yako. Kuna moto unaowaka kipekee ndani yako, taa ambayo hakuna mtu mwingine anayeibeba, lakini unahitaji kumsikiliza mtu wako wa ndani ili uweze kuwa mwanaume/mwanamke. Kuiga kunaweza kuhisi kama kimbilio, lakini kunakuweka kwenye vivuli vya uzuri wa mtu mwingine. Ubinafsi wako ndio uwezo wako mkuu. Usiruhusu mtu yeyote akufanye ufanane naye; baadhi yao hata hawana furaha na wao wenyewe, lakini wanataka wewe kuwa kama wao. Jifunze kuwa mtu ambaye Mungu anataka uwe, si vile wao wanvyotaka uwe. Hakuna mtu mwingine kwenye sayari hii yote anayetazama maisha kupitia lenzi sawa na wewe. Makovu yako, ushindi wako, vita vyako vya kimya kimya, na ndoto zako zenye sauti kubwa ni vipande vya fumbo ambalo hakuna mtu mwingine anayeweza kulikamilisha. Ulimwengu unaweza kujaribu kukufanya unafaa, lakini kufaa kamwe haikuwa dhamira yako, Bali kusimama nje ya kufaa . Ninakutia moyo leo, "thubutu kuwa tofauti." Sisitiza uhalisi wako. Sema ukweli wako hata kama sauti yako inatetemeka. Tembea njia ambazo wengine huepuka. Ukuaji hutokea si wakati unalingana lakini wakati unapochanua, bila msamaha, katika ngozi yako mwenyewe. Njia ambayo watu husafiri kidogo inaweza kuhisi upweke wakati fulani, lakini ni kwenye barabara hii ambapo utakutana na utimilifu wa yule unayekusudiwa kuwa. Kuchanganya ndani ni kuishi, lakini kusimama nje ni kuishi. Kwa hiyo, kukua. Inuka zaidi ya kuiga na tegemea upekee wako. Ulimwengu unahitaji zawadi yako, toleo la kweli, lisilochujwa na lisiloweza kurudiwa. Tembea kwa ujasiri. Ongea bila woga. Na ukue kwenye nuru ambayo wewe tu unaweza kutupwa. Usiruhusu mtu yeyote akuinamishe na kuwa mtu mbaya, asiye na moyo, shetani,pepo, mwovu au asiye na maana; uwe yule ambaye Mungu alikuita uwe. Ikiwa watu hawapendi hivyo, wanaweza kuwa yeyote wapendavyo, lakini usiruhusu maoni yao matupu yakufanye uache njia ambayo Mungu amekutengenezea. Credit: Fr. Albert Nwosu
    Like
    Love
    2
    · 1 Comments ·0 Shares ·366 Views
  • SOMA HII.. Tajiri namba Moja Elon musk haja na smartphone kiboko haiitaji umeme unatumia internet wakati wote.

    Kampuni ya Tesla inayomilikiwa na bilionea Elon Musk, imetoa taarifa kwamba simu yake ya Tesla Pi inatarajiwa kuanza kupatikana kote duniani mwishoni mwa mwaka huu, 2024.

    Simu hiyo inatajwa kuja kuleta mapinduzi makubwa katika sekta ya mawasiliano kwa simu za mkononi, ikiwa na sifa kibao ambazo hazipo kwenye simu nyingine, kubwa ikiwa inatumia nishati ya jua kujichaji.

    Inaelezwa kuwa huenda simu hiyo ikaja kuleta upinzani mkubwa kwa simu za iPhone ambazo zinasifika duniani kote kutokana na ubora wake.

    Sifa za kipekee za simu hizo, ya kwanza ni kwamba kama ilivyoelezwa, hakuna haja ya kuchaji betri kwa sababu inajichaji yenyewe kwa kutumia nishati ya jua.

    Huna haja ya kuchomeka ‘charger’ kwenye umeme, unachotakiwa ni kuwa tu sehemu yenye jua au yenye mwanga kisha simu inaendelea kujichaji yenyewe ‘automatically’.

    Sifa yake ya pili ni kwamba hakuna haja ya kujiunga na intaneti ya kawaida kwani simu hizo zinaunganishwa moja kwa moja na mtandao wa Starlink uliosambaa duniani kote unaotumia satelite ili kupata intaneti.

    Sifa nyingine kubwa ni kwamba simu hiyo ina uwezo wa kuunganisha dunia, mwezi na sayari ya Mars, kwamba kama upo duniani na mtu mwingine yupo mwezini, basi unampata vizuri kabisa hewani ukimpigia simu.

    Inaelezwa kuwa simu za Tesla zinakuja kuleta mapinduzi makubwa katika ulimwengu wa teknolojia na kubadilisha kabisa jinsi watu wanavyotumia simu za kisasa.
    SOMA HII.. Tajiri namba Moja Elon musk haja na smartphone kiboko haiitaji umeme unatumia internet wakati wote. Kampuni ya Tesla inayomilikiwa na bilionea Elon Musk, imetoa taarifa kwamba simu yake ya Tesla Pi inatarajiwa kuanza kupatikana kote duniani mwishoni mwa mwaka huu, 2024. Simu hiyo inatajwa kuja kuleta mapinduzi makubwa katika sekta ya mawasiliano kwa simu za mkononi, ikiwa na sifa kibao ambazo hazipo kwenye simu nyingine, kubwa ikiwa inatumia nishati ya jua kujichaji. Inaelezwa kuwa huenda simu hiyo ikaja kuleta upinzani mkubwa kwa simu za iPhone ambazo zinasifika duniani kote kutokana na ubora wake. Sifa za kipekee za simu hizo, ya kwanza ni kwamba kama ilivyoelezwa, hakuna haja ya kuchaji betri kwa sababu inajichaji yenyewe kwa kutumia nishati ya jua. Huna haja ya kuchomeka ‘charger’ kwenye umeme, unachotakiwa ni kuwa tu sehemu yenye jua au yenye mwanga kisha simu inaendelea kujichaji yenyewe ‘automatically’. Sifa yake ya pili ni kwamba hakuna haja ya kujiunga na intaneti ya kawaida kwani simu hizo zinaunganishwa moja kwa moja na mtandao wa Starlink uliosambaa duniani kote unaotumia satelite ili kupata intaneti. Sifa nyingine kubwa ni kwamba simu hiyo ina uwezo wa kuunganisha dunia, mwezi na sayari ya Mars, kwamba kama upo duniani na mtu mwingine yupo mwezini, basi unampata vizuri kabisa hewani ukimpigia simu. Inaelezwa kuwa simu za Tesla zinakuja kuleta mapinduzi makubwa katika ulimwengu wa teknolojia na kubadilisha kabisa jinsi watu wanavyotumia simu za kisasa.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·536 Views
  • "Haipendezwi na kile unachofanya kwa riziki.
    Nataka kujua unaumwa nini
    na ukithubutu kuota
    kukutana na shauku ya moyo wako.

    Hainivutii una umri gani.
    Nataka kujua ikiwa utahatarisha kuonekana kama mpumbavu
    kwa mapenzi
    kwa ndoto yako
    kwa adventure ya kuwa hai.

    Hainivutii sayari ni nini
    kuupasua mwezi wako...
    Nataka kujua kama umegusa
    katikati ya huzuni yako mwenyewe
    kama umefunguliwa
    kwa usaliti wa maisha
    au yamekunjamana na kufungwa
    kutokana na hofu ya maumivu zaidi.

    Nataka kujua
    kama unaweza kukaa na maumivu yangu au yako mwenyewe
    bila kusonga kuificha
    au kufifisha
    au kurekebisha.

    Nataka kujua
    kama unaweza kuwa na furaha
    yangu au yako.
    kama unaweza kucheza na nyika
    na acha furaha ikujaze
    kwa ncha za vidole na vidole vyako
    bila kututahadharisha
    kuwa makini
    kuwa wa kweli
    kukumbuka mapungufu
    ya kuwa binadamu.

    Hainivutii
    kama hadithi unaniambia
    ni kweli.
    Nataka kujua kama unaweza
    kumkatisha tamaa mwingine
    kuwa mwaminifu kwako mwenyewe.
    Ikiwa unaweza kubeba shitaka la usaliti
    wala usisaliti nafsi yako.
    Ikiwa unaweza kukosa imani
    na hivyo kuaminika.

    Nataka kujua kama unaweza kuona Uzuri
    hata kama sio nzuri
    kila siku. Na ikiwa unaweza kupata maisha yako mwenyewe
    kutoka kwa uwepo wake.

    Nataka kujua
    kama unaweza kuishi na kushindwa
    yako na yangu na bado simama kwenye ukingo wa ziwa na kupiga kelele kwa fedha ya mwezi kamili,
    “Ndiyo.”

    Hainipendezi kujua unapoishi au una pesa ngapi.
    Ninataka kujua ikiwa unaweza kuamka baada ya usiku wa huzuni na kukata tamaa, uchovu na kujeruhiwa kwa mfupa na kufanya kile kinachohitajika kufanywa.
    kulisha watoto.

    Hainivutii wewe unayemjua
    au ulikujaje kuwa hapa.
    Nataka kujua kama utasimama
    katikati ya moto
    pamoja nami
    na sio kurudi nyuma.

    Hainipendezi ni wapi au nini au umesoma na nani.
    Nataka kujua nini kinakutegemeza
    kutoka ndani
    wakati mengine yote yataanguka.

    Nataka kujua
    kama unaweza kuwa peke yako
    na wewe mwenyewe
    na kama kweli unapenda
    kampuni unayoweka
    katika dakika tupu.

    Oriah Mountain Dreamer - Mwaliko
    "Haipendezwi na kile unachofanya kwa riziki. Nataka kujua unaumwa nini na ukithubutu kuota kukutana na shauku ya moyo wako. Hainivutii una umri gani. Nataka kujua ikiwa utahatarisha kuonekana kama mpumbavu kwa mapenzi kwa ndoto yako kwa adventure ya kuwa hai. Hainivutii sayari ni nini kuupasua mwezi wako... Nataka kujua kama umegusa katikati ya huzuni yako mwenyewe kama umefunguliwa kwa usaliti wa maisha au yamekunjamana na kufungwa kutokana na hofu ya maumivu zaidi. Nataka kujua kama unaweza kukaa na maumivu yangu au yako mwenyewe bila kusonga kuificha au kufifisha au kurekebisha. Nataka kujua kama unaweza kuwa na furaha yangu au yako. kama unaweza kucheza na nyika na acha furaha ikujaze kwa ncha za vidole na vidole vyako bila kututahadharisha kuwa makini kuwa wa kweli kukumbuka mapungufu ya kuwa binadamu. Hainivutii kama hadithi unaniambia ni kweli. Nataka kujua kama unaweza kumkatisha tamaa mwingine kuwa mwaminifu kwako mwenyewe. Ikiwa unaweza kubeba shitaka la usaliti wala usisaliti nafsi yako. Ikiwa unaweza kukosa imani na hivyo kuaminika. Nataka kujua kama unaweza kuona Uzuri hata kama sio nzuri kila siku. Na ikiwa unaweza kupata maisha yako mwenyewe kutoka kwa uwepo wake. Nataka kujua kama unaweza kuishi na kushindwa yako na yangu na bado simama kwenye ukingo wa ziwa na kupiga kelele kwa fedha ya mwezi kamili, “Ndiyo.” Hainipendezi kujua unapoishi au una pesa ngapi. Ninataka kujua ikiwa unaweza kuamka baada ya usiku wa huzuni na kukata tamaa, uchovu na kujeruhiwa kwa mfupa na kufanya kile kinachohitajika kufanywa. kulisha watoto. Hainivutii wewe unayemjua au ulikujaje kuwa hapa. Nataka kujua kama utasimama katikati ya moto pamoja nami na sio kurudi nyuma. Hainipendezi ni wapi au nini au umesoma na nani. Nataka kujua nini kinakutegemeza kutoka ndani wakati mengine yote yataanguka. Nataka kujua kama unaweza kuwa peke yako na wewe mwenyewe na kama kweli unapenda kampuni unayoweka katika dakika tupu. Oriah Mountain Dreamer - Mwaliko
    Like
    Love
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·527 Views
  • Dear nipo safari ya mbali japo sijahana sayari

    Bado nausaka ugali ugali japo ni msoto mkali

    Nitarudi usijali nasaka usiku silali life bado kabali

    Kwamungu nasali vizuli naomba nipate mia nisije pata sifuli

    Mvumilivu hula matunda mazuri kua na amani epuka kibuli
    Dear nipo safari ya mbali japo sijahana sayari Bado nausaka ugali ugali japo ni msoto mkali Nitarudi usijali nasaka usiku silali life bado kabali Kwamungu nasali vizuli naomba nipate mia nisije pata sifuli Mvumilivu hula matunda mazuri kua na amani epuka kibuli
    0 Comments ·0 Shares ·344 Views
  • Dear nipo safari ya mbali japo sijahana sayari

    Bado nausaka ugali ugali japo ni msoto mkali

    Nitarudi usijali nasaka usiku silali life bado kabali

    Kwamungu nasali vizuli naomba nipate mia nisije pata sifuli

    Mvumilivu hula matunda mazuri kua na amani epuka kibuli
    Dear nipo safari ya mbali japo sijahana sayari Bado nausaka ugali ugali japo ni msoto mkali Nitarudi usijali nasaka usiku silali life bado kabali Kwamungu nasali vizuli naomba nipate mia nisije pata sifuli Mvumilivu hula matunda mazuri kua na amani epuka kibuli
    0 Comments ·0 Shares ·264 Views
  • Nipo safari ya mbali.. Japo sijaona sayari..
    Bado nausaka ugali.. Japo ni msoto mkali..
    Nitarudi usijali.. Nasaka usiku silali.. Life bado kabali..
    Kwamungu nasali vizuli.. Naomba nipate mia nisije pata sifuli..
    Mvumilivu hula matunda mazuri.. Kua na amani epuka kibuli..
    Vikwazo lumbesa vyote vitaisha.. Umaskini unatesa pesa inatakatisha..
    Najua life nitait gumu Kama kusolve taichii..
    Mshara wa uvivu huwa ni kupata umaskini..
    Mashara kuungua mapafu kazi ilikua kuvuta sigara..
    Mshara wa kinyozi ni kupiga watu vipara..
    Nipo safari ya mbali.. Japo sijaona sayari.. Bado nausaka ugali.. Japo ni msoto mkali.. Nitarudi usijali.. Nasaka usiku silali.. Life bado kabali.. Kwamungu nasali vizuli.. Naomba nipate mia nisije pata sifuli.. Mvumilivu hula matunda mazuri.. Kua na amani epuka kibuli.. Vikwazo lumbesa vyote vitaisha.. Umaskini unatesa pesa inatakatisha.. Najua life nitait gumu Kama kusolve taichii.. Mshara wa uvivu huwa ni kupata umaskini.. Mashara kuungua mapafu kazi ilikua kuvuta sigara.. Mshara wa kinyozi ni kupiga watu vipara..
    0 Comments ·0 Shares ·371 Views