Sumary ya kile tulicho jifunza .
Somo jinsi ya kusikia sauti ya MUNGU 2026.
Lengo la MUNGU kumuumba mwanadamu ni mwanadamu asikie fresh kutoka kwa MUNGU.
Mwanadamu akuandaliwa ili kuteseka au kuangaika aishi vipi ila kwa makosa ya Adamu wa kwanza ndiyo mwanadamu akajitenga na wanadamu.
Kumbe sasa sauti ya MUNGU imeandaliwa moja kwa moja kwa ajiri ya wanadamu.
#Mithali 8:4
Ukikosea kusikia umekosea kuamua hatma yako
Mwanadamu aliye fanikiwa kumsikia Mungu ndo mwanadamu aliye fanikiwa katika maisha.
Sauti ya Mungu inabeba maonyo ,maelekezo,inafundisha .
Kila ambaye mekuwa domant kwenye maisha ni mtu ambaye bado ajamsikia Mungu
Kila unacho kiomba kimebebwa katika sauti ya Mungu,kushindwa kumsikia Mungu maombi yanapoteza maana.
Akuna aliye wahi msikia Mungu na akabaki kuwa wakawaida.
Wanaofundishwa na Bwana peke yake ndio wanapiga hatua.
#Torati 4:35-36
Kila anaye ishi kwa mafanikio duniani ananguvu inayo msimamosha either kutoka kwa Mungu au shetani.
https://chat.whatsapp.com/LAB9tcfvKq887DB9IDHvzf
#2026_sisi_ndio_wale _tunapiganiwa_na_Bwana.
Somo jinsi ya kusikia sauti ya MUNGU 2026.
Lengo la MUNGU kumuumba mwanadamu ni mwanadamu asikie fresh kutoka kwa MUNGU.
Mwanadamu akuandaliwa ili kuteseka au kuangaika aishi vipi ila kwa makosa ya Adamu wa kwanza ndiyo mwanadamu akajitenga na wanadamu.
Kumbe sasa sauti ya MUNGU imeandaliwa moja kwa moja kwa ajiri ya wanadamu.
#Mithali 8:4
Ukikosea kusikia umekosea kuamua hatma yako
Mwanadamu aliye fanikiwa kumsikia Mungu ndo mwanadamu aliye fanikiwa katika maisha.
Sauti ya Mungu inabeba maonyo ,maelekezo,inafundisha .
Kila ambaye mekuwa domant kwenye maisha ni mtu ambaye bado ajamsikia Mungu
Kila unacho kiomba kimebebwa katika sauti ya Mungu,kushindwa kumsikia Mungu maombi yanapoteza maana.
Akuna aliye wahi msikia Mungu na akabaki kuwa wakawaida.
Wanaofundishwa na Bwana peke yake ndio wanapiga hatua.
#Torati 4:35-36
Kila anaye ishi kwa mafanikio duniani ananguvu inayo msimamosha either kutoka kwa Mungu au shetani.
https://chat.whatsapp.com/LAB9tcfvKq887DB9IDHvzf
#2026_sisi_ndio_wale _tunapiganiwa_na_Bwana.
Sumary ya kile tulicho jifunza .
Somo jinsi ya kusikia sauti ya MUNGU 2026.
⏩Lengo la MUNGU kumuumba mwanadamu ni mwanadamu asikie fresh kutoka kwa MUNGU.
⏩Mwanadamu akuandaliwa ili kuteseka au kuangaika aishi vipi ila kwa makosa ya Adamu wa kwanza ndiyo mwanadamu akajitenga na wanadamu.
⏩Kumbe sasa sauti ya MUNGU imeandaliwa moja kwa moja kwa ajiri ya wanadamu.
#Mithali 8:4
⏩Ukikosea kusikia umekosea kuamua hatma yako
⏩Mwanadamu aliye fanikiwa kumsikia Mungu ndo mwanadamu aliye fanikiwa katika maisha.
⏩Sauti ya Mungu inabeba maonyo ,maelekezo,inafundisha .
⏩Kila ambaye mekuwa domant kwenye maisha ni mtu ambaye bado ajamsikia Mungu
⏩Kila unacho kiomba kimebebwa katika sauti ya Mungu,kushindwa kumsikia Mungu maombi yanapoteza maana.
⏩Akuna aliye wahi msikia Mungu na akabaki kuwa wakawaida.
Wanaofundishwa na Bwana peke yake ndio wanapiga hatua.
#Torati 4:35-36
Kila anaye ishi kwa mafanikio duniani ananguvu inayo msimamosha either kutoka kwa Mungu au shetani.
https://chat.whatsapp.com/LAB9tcfvKq887DB9IDHvzf
#2026_sisi_ndio_wale _tunapiganiwa_na_Bwana.
0 Yorumlar
0 hisse senetleri
134 Views