• This Battle is Not Yours)
    Exodus 14:13-15
    Moses said to the Israelites, "Do not be afraid! Stand firm! Today you will see how the Lord will save you. The Egyptians you see today, you will never see again. The Lord will fight for you; you need only to be still."

    When the Israelites reached the Red Sea, they thought they had come to the end. Looking back, they saw Pharaoh's army approaching and began to complain, wondering if there were no graves in Egypt that they should die there. They completely lost hope and forgot about the great deeds God had done by rescuing them from Pharaoh.

    God, through Moses, told the Israelites that they would no longer see the Egyptians and that they would witness the salvation of the Lord. The Lord will fight for you; you need to be still.

    And indeed, the Lord fought for them and separated them from the Egyptians, and they remained silent.

    The Lord says, Our battles are not against flesh and blood, but against rulers and authorities of darkness. The problem is not with God; it is with us thinking we have the power to fight the battle without Him, which is not true at all.

    What you first see when facing difficulties is your hope. A child of God must learn to return to God's feet for strength to win the battle.

    Life is a battle, and the world is the battlefield. To succeed, you must choose a side. In this world, there are two main networks fighting: God and Satan. Your connection will determine what package you join.

    An Example of Others God Fought For
    2 Chronicles 20:15-17
    When Jehoshaphat saw the approaching army that was larger than his own, he turned to God, praying for three days. During his prayers, the Lord revealed to him, Do not be afraid or discouraged because of this vast army, for the battle is not yours, but God's.

    Jehoshaphat remembered God's promises to Solomon, which assured him of where to find refuge.

    Where do you turn when troubles arise? To mediums or to the God of your forefathers?

    Once you are saved, learn to submit to God so that He becomes your friend. You won't see battles; they will see the God of your fathers.

    If you are suffering right now, I am here to tell you to rise up and pray to see the salvation of the Lord. If your marriage is troubled, rise and pray to see the salvation of the Lord because that marriage is not yours; He is the one who established it.

    The Lord will fight for you in your finances, and you will be still.

    For the Lord to fight for you, the scriptures say, Know the Lord well, and good things will follow you.

    Paul says we should wear the armor of faith and the Word to defeat the evil one. Remind God of His Word this morning so that He can fight for you.

    Revelation 12:11
    They overcame him by the blood of the Lamb and by the word of their testimony; they did not love their lives so much as to shrink from death.

    Through the blood of Jesus, we must win battles. Today, let us use the blood of Jesus as a powerful tool for overcoming and winning battles.

    Thank you very much. If you ask how you can win battles, I want to tell you it is simple: What you need to do is CONFESS JESUS WITH YOUR MOUTH AND BELIEVE (YOU WILL BE SAVED). You will have the same rights to be fought for with Him.

    If you are not saved and want to submit to the God who fights for Israel, who fought for Judah under Jehoshaphat, you can follow this prayer:

    LORD JESUS, I COME TO YOU AS A SINNER. PLEASE FORGIVE MY SINS AND REMOVE MY NAME FROM THE BOOK OF DEATH AND WRITE MY NAME IN THE BOOK OF LIFE FROM NOW AND FOREVER.

    If you follow this with faith, the Lord Jesus will be yours and will start fighting for you, to the point that you will be amazed.

    Thank you. If you have been saved and want to continue learning and receiving spiritual help, you can contact me at 0622625340.

    My name is Sylvester Mwakabende from (Build New Eden).
    Have a blessed Sunday as we pray and seek the Lord's
    This Battle is Not Yours) Exodus 14:13-15 Moses said to the Israelites, "Do not be afraid! Stand firm! Today you will see how the Lord will save you. The Egyptians you see today, you will never see again. The Lord will fight for you; you need only to be still." When the Israelites reached the Red Sea, they thought they had come to the end. Looking back, they saw Pharaoh's army approaching and began to complain, wondering if there were no graves in Egypt that they should die there. They completely lost hope and forgot about the great deeds God had done by rescuing them from Pharaoh. God, through Moses, told the Israelites that they would no longer see the Egyptians and that they would witness the salvation of the Lord. The Lord will fight for you; you need to be still. And indeed, the Lord fought for them and separated them from the Egyptians, and they remained silent. The Lord says, Our battles are not against flesh and blood, but against rulers and authorities of darkness. The problem is not with God; it is with us thinking we have the power to fight the battle without Him, which is not true at all. What you first see when facing difficulties is your hope. A child of God must learn to return to God's feet for strength to win the battle. Life is a battle, and the world is the battlefield. To succeed, you must choose a side. In this world, there are two main networks fighting: God and Satan. Your connection will determine what package you join. An Example of Others God Fought For 2 Chronicles 20:15-17 When Jehoshaphat saw the approaching army that was larger than his own, he turned to God, praying for three days. During his prayers, the Lord revealed to him, Do not be afraid or discouraged because of this vast army, for the battle is not yours, but God's. Jehoshaphat remembered God's promises to Solomon, which assured him of where to find refuge. Where do you turn when troubles arise? To mediums or to the God of your forefathers? Once you are saved, learn to submit to God so that He becomes your friend. You won't see battles; they will see the God of your fathers. If you are suffering right now, I am here to tell you to rise up and pray to see the salvation of the Lord. If your marriage is troubled, rise and pray to see the salvation of the Lord because that marriage is not yours; He is the one who established it. The Lord will fight for you in your finances, and you will be still. For the Lord to fight for you, the scriptures say, Know the Lord well, and good things will follow you. Paul says we should wear the armor of faith and the Word to defeat the evil one. Remind God of His Word this morning so that He can fight for you. Revelation 12:11 They overcame him by the blood of the Lamb and by the word of their testimony; they did not love their lives so much as to shrink from death. Through the blood of Jesus, we must win battles. Today, let us use the blood of Jesus as a powerful tool for overcoming and winning battles. Thank you very much. If you ask how you can win battles, I want to tell you it is simple: What you need to do is CONFESS JESUS WITH YOUR MOUTH AND BELIEVE (YOU WILL BE SAVED). You will have the same rights to be fought for with Him. If you are not saved and want to submit to the God who fights for Israel, who fought for Judah under Jehoshaphat, you can follow this prayer: LORD JESUS, I COME TO YOU AS A SINNER. PLEASE FORGIVE MY SINS AND REMOVE MY NAME FROM THE BOOK OF DEATH AND WRITE MY NAME IN THE BOOK OF LIFE FROM NOW AND FOREVER. If you follow this with faith, the Lord Jesus will be yours and will start fighting for you, to the point that you will be amazed. Thank you. If you have been saved and want to continue learning and receiving spiritual help, you can contact me at 0622625340. My name is Sylvester Mwakabende from (Build New Eden). Have a blessed Sunday as we pray and seek the Lord's
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·437 Views
  • Happy Sunday everyone! Lots of kisses.
    Happy Sunday everyone! Lots of kisses.
    0 Comments ·0 Shares ·592 Views
  • GLOOMY SUNDAY : WIMBO WA HUZUNI ULIOPELEKEA WATU ZAIDI YA 100 KUJIUA

    ❇ Gloomy Sunday (Jumapili ya Huzuni) ni wimbo uliotungwa na Rezso Seress (Rudi Spitzer), msanii kutoka nchini Hungary mwaka 1933. Reszo alitunga maneno ya wimbo huo na kupiga mwenyewe ala ya huzuni ya wimbo huo, baada ya kuachwa na mpenzi wake.

    ❇Inaelezwa kwamba kitendo cha kuachwa na mwanamke aliyekuwa akimpenda sana, kilimfanya apatwe na huzuni kali na msongo wa mawazo, na katika kipindi hicho ndipo alipopata wazo la kutunga mashairi na baadaye kuutengeneza wimbo huo.

    ❇Kwa sababu aliuimba akiwa na huzuni kali, wimbo nao ulijawa na hisia kali, za mtu anayelalamika kuvunjwa moyo na mpenzi wake, akifananisha kitendo cha kuachwa kuwa sawa na kufiwa na mpenzi aliyekuwa anampenda.idk_1.png

    ❇Awali ulionekana kuwa wimbo wa kawaida wa huzuni, lakini matukio ya watu kuyakatisha maisha yao baada ya kuusikiliza mara nyingi wimbo huo kwa kuurudiarudia yalianza kuripotiwa, wengine wakiacha kabisa ujumbe kwamba wamejiua baada ya kusikiliza wimbo huo
    ❇Miaka miwili baadaye, serikali ya Hungary iliupiga marufuku wimbo huo, hata hivyo tayari ulikuwa umesambaa sana, kiasi kwamba watu bado waliendelea kuusikiliza, hasa pale inapotokea mtu ameachwa au ameumizwa na ampendaye.

    ❇Sifa za wimbo huo zilianza kusambaa duniani kote na mwaka 1936, wanamuziki wa Marekani na Uingereza waliutafsiri wimbo huo kwa lugha ya Kiingereza, kutoka lugha ya awali ya Ki-hungary, bado tatizo lilelile likawa linaendelea hata kwa matoleo yaliyotafsiriwa, watu wakawa wanaendelea kujiua baada ya kuusikiliza.

    ❇Mwanzoni mwa miaka ya 1940, toleo la Kiingereza la wimbo huo lilipigwa marufuku nchini Uingereza baada ya idadi ya waliokuwa wakijiua kuzidi kuongezeka lakini Marekani na sehemu nyingine duniani wimbo huo uliendelea kupigwa

    ❇Miaka michache baada ya wimbo huo kumpatia mafanikio makubwa na kuwa gumzo dunia nzima, Seress aliamua kumtafuta mwanamke aliyemuacha na kusababisha atunge wimbo huo, lengo lake likiwa ni kujaribu kumbembeleza ili warudiane kwani kama ni pesa, tayari alikuwa nazo baada ya wimbo huo kuwa maarufu dunia nzima.

    ❇Hata hivyo, katika hali ya kustaajabisha, inaelezwa kwamba Seress alipofika mahali alipokuwa akiishi mwanamke huyo, alikuta watu wamejaa, baadaye ikabainika kwamba mwanamke huyo amekunywa sumu na kujiua na kwenye chumba alichojiulia, ilibainika kwamba alikuwa akisikiliza wimbo huo na pia aliacha ujumbe wenye maneno mawili, kama sababu za kujiua kwake; Gloomy Sunday.

    Inaelezwa kwamba Seress alibaki na hatia kubwa ndani ya moyo wake, akiamini kwamba yeye ndiyo chanzo cha kifo cha mwanamke huyo na mwaka 1968, naye aliamua kuyakatisha maisha yake kwa kujirusha ghorofani kupitia dirisha la chumba alichokuwa akiishi, nchini Budapest.

    ❇Seress aliacha ujumbe kwamba ameamua kuyakatisha maisha yake baada ya kuona wimbo alioutunga, umekuwa sababu za watu wengi kujiua hivyo anahisi hatia kubwa ndan ya moto wake, akawaomba radhi ndugu na marafiki wa wote waliojiua kwa sababu ya kusikiliza wimbo huo.

    Kutokana watu kutoshare na kulike post hata kucoment mood ya kupost inapungu
    Bonyeza share kisha share hata kwenye makundi (magroup)
    GLOOMY SUNDAY : WIMBO WA HUZUNI ULIOPELEKEA WATU ZAIDI YA 100 KUJIUA ❇ Gloomy Sunday (Jumapili ya Huzuni) ni wimbo uliotungwa na Rezso Seress (Rudi Spitzer), msanii kutoka nchini Hungary mwaka 1933. Reszo alitunga maneno ya wimbo huo na kupiga mwenyewe ala ya huzuni ya wimbo huo, baada ya kuachwa na mpenzi wake. ❇Inaelezwa kwamba kitendo cha kuachwa na mwanamke aliyekuwa akimpenda sana, kilimfanya apatwe na huzuni kali na msongo wa mawazo, na katika kipindi hicho ndipo alipopata wazo la kutunga mashairi na baadaye kuutengeneza wimbo huo. ❇Kwa sababu aliuimba akiwa na huzuni kali, wimbo nao ulijawa na hisia kali, za mtu anayelalamika kuvunjwa moyo na mpenzi wake, akifananisha kitendo cha kuachwa kuwa sawa na kufiwa na mpenzi aliyekuwa anampenda.idk_1.png ❇Awali ulionekana kuwa wimbo wa kawaida wa huzuni, lakini matukio ya watu kuyakatisha maisha yao baada ya kuusikiliza mara nyingi wimbo huo kwa kuurudiarudia yalianza kuripotiwa, wengine wakiacha kabisa ujumbe kwamba wamejiua baada ya kusikiliza wimbo huo ❇Miaka miwili baadaye, serikali ya Hungary iliupiga marufuku wimbo huo, hata hivyo tayari ulikuwa umesambaa sana, kiasi kwamba watu bado waliendelea kuusikiliza, hasa pale inapotokea mtu ameachwa au ameumizwa na ampendaye. ❇Sifa za wimbo huo zilianza kusambaa duniani kote na mwaka 1936, wanamuziki wa Marekani na Uingereza waliutafsiri wimbo huo kwa lugha ya Kiingereza, kutoka lugha ya awali ya Ki-hungary, bado tatizo lilelile likawa linaendelea hata kwa matoleo yaliyotafsiriwa, watu wakawa wanaendelea kujiua baada ya kuusikiliza. ❇Mwanzoni mwa miaka ya 1940, toleo la Kiingereza la wimbo huo lilipigwa marufuku nchini Uingereza baada ya idadi ya waliokuwa wakijiua kuzidi kuongezeka lakini Marekani na sehemu nyingine duniani wimbo huo uliendelea kupigwa ❇Miaka michache baada ya wimbo huo kumpatia mafanikio makubwa na kuwa gumzo dunia nzima, Seress aliamua kumtafuta mwanamke aliyemuacha na kusababisha atunge wimbo huo, lengo lake likiwa ni kujaribu kumbembeleza ili warudiane kwani kama ni pesa, tayari alikuwa nazo baada ya wimbo huo kuwa maarufu dunia nzima. ❇Hata hivyo, katika hali ya kustaajabisha, inaelezwa kwamba Seress alipofika mahali alipokuwa akiishi mwanamke huyo, alikuta watu wamejaa, baadaye ikabainika kwamba mwanamke huyo amekunywa sumu na kujiua na kwenye chumba alichojiulia, ilibainika kwamba alikuwa akisikiliza wimbo huo na pia aliacha ujumbe wenye maneno mawili, kama sababu za kujiua kwake; Gloomy Sunday. Inaelezwa kwamba Seress alibaki na hatia kubwa ndani ya moyo wake, akiamini kwamba yeye ndiyo chanzo cha kifo cha mwanamke huyo na mwaka 1968, naye aliamua kuyakatisha maisha yake kwa kujirusha ghorofani kupitia dirisha la chumba alichokuwa akiishi, nchini Budapest. ❇Seress aliacha ujumbe kwamba ameamua kuyakatisha maisha yake baada ya kuona wimbo alioutunga, umekuwa sababu za watu wengi kujiua hivyo anahisi hatia kubwa ndan ya moto wake, akawaomba radhi ndugu na marafiki wa wote waliojiua kwa sababu ya kusikiliza wimbo huo. Kutokana watu kutoshare na kulike post hata kucoment mood ya kupost inapungu Bonyeza share kisha share hata kwenye makundi (magroup)
    0 Comments ·0 Shares ·901 Views
  • NANI MWAMBA KATI YA SIMBA NA YANGA ?


    A. REKODI ZA YANGA:

    1. Kama kuna timu imewahi kuinyanyasa SIMBA, basi ni YANGA. Hakuna timu imeifunga SIMBA mara nyingi toka ianzishwe 8.8.1936 kama YANGA.

    2. YANGA imetwaa ubingwa wa Ligi mara 30, SIMBA mara 22 ie Mama Samia ataondoka madarakani 2030 SIMBA ikiwa haijavunja rekodi hii hata ikishinda mfululizo!

    3. YANGA imeshinda mechi nyingi zaidi za ligi kuliko SIMBA.

    4. YANGA imefunga magoli mengi ya Ligi kuliko SIMBA. YANGA ndio imefungwa mabao machache zaidi mechi za watani.

    5. YANGA imeshinda mechi nyingi za watani kuliko SIMBA. Mechi 4 za mwisho, SIMBA kafa zote!

    6. YANGA ndio ilishinda pambano la kwanza la watani (Juni 7, 1965)

    7. YANGA imetoa mchezaji aliyefunga magoli mengi zaidi ya ligi kwa misimu mingi (Kitwana Manara).

    8. YANGA imetoa mchezaji aliyefunga magoli mengi zaidi kwa msimu mmoja (MOHAMMED HUSSEIN "MMACHINGA")

    9. YANGA imetoa Mchezaji Bora kuwahi kutokea nchini (SUNDAY MANARA "COMPUTER").

    10. YANGA ilitoa mchezaji wa _"Kombaini ya Afrika 1973"_ (MAULID DILUNGA)1973. Kamba za SIMBA kuwa nao walitoa mchezaji (OMAR MAHADHI ziliumbuliwa baada ya kubainika MAHADHI alijiunga SIMBA 1975. 1973 MAHADHI alikuwa African Sports!)

    11. YANGA ndio timu iliyoshinda pambano la Kihistoria na Bora kuliko yote ya watani (Nyamagana 10.8.1974: 2-1)

    12. YANGA ndio timu pekee iliyofika fainali kombe la 2 kwa ukubwa Afrika (CAF Confederation cup 2023). SIMBA ilifika fainali 1993 kwenye kombe lililokuwa la 3 kwa hadhi ie "Caf cup". Kombe hili lilikuwa nyuma ya Kombe la Klabu Bingwa na Kombe la Washindi). Kwenye fainali, YANGA ilikosa kombe kwa Kanuni ya goli la ugenini (2-2) ila SIMBA ilikandwa kiduwanzi 2-0.

    13. YANGA ndio timu pekee nchini iliyowahi kuingia "TOP 5" ya kinyang'anyiro cha timu bora Afrika (2023).

    14. YANGA ndio timu pekee iliyotwaa ubingwa nje ya nchi (1993 & 1999)

    15. YANGA ndio timu iliyoalikwa Ikulu na Marais wengi kuliko timu yeyote (Novemba 11, 1969 ilialikwa na Rais Nyerere, Februari 4, 1993 ilialikwa na Rais Mwinyi na Juni 4, 2023 ilialikwa na Rais Samia).

    16. YANGA ndiyo timu pekee nchini iliyowahi kualikwa kwenye sherehe za uhuru wa Taifa jingine (Malawi Julai 7, 2023).

    17. YANGA iliweka rekodi (2023) ya kuwa timu ya kwanza nchini kushinda mechi nyingi zaidi nje ya nchi michuano ya Afrika

    *NB:* Mashabiki maandazi wa SIMBA wanalialia eti YANGA inapata mafanikio kwaajili GSM anadhamini timu nyingi. Huu ni Upuuzi wa kiwango cha SGR! Kwani GSM alikuepo 1960s, 1970s, 1980s, nk ?

    B. REKODI MUJARAB ZA SIMBA:


    1. Bw. Ramadhani Ali, Mnazi kindakindaki wa SIMBA, aliweka rekodi ya watani baada ya kumkabidhi mkewe, Bi Mwajuma Sadiki Ali kwa mnazi wa Yanga, Bw. Juma Gobe, magomeni Juni 1, 1968 baada ya Yanga kuitandika SIMBA 5-0. Hao jamaa walikuwa wamepinga kabla ya mechi kuwa timu itakayofungwa, aliyefungwa atamgawa mkewe !.

    2. SIMBA ndiyo ilikuwa timu ya kwanza kuweka mpira kwapani mechi ya watani (Machi 3, 1969)

    3. Mnazi wa Simba wa Tabora aliandika rekodi ya kujiua kwa kujitumbukiza kwenye pipa la mafuta baada ya SIMBA kufungwa 2-1 Nyamagana 10.8.1974. Timu ya SIMBA ilionesha ubinadamu ilipoenda Tabora kuhani msiba. Abdallah Kibaden "King" ndiye aliyekabidhi ubani.

    4. Nicco Njohole wa SIMBA aliliaibisha Taifa baada ya kupigwa umeme 1979 Nchumbiji kwa kukojoa uwanjani!

    5. Mwaka 1987, Kiongozi 1 wa SIMBA alienda kwa Idd Pazi, kipa wa PILSNER wakakubaliana ampe Tshs 50,000 ili afungishe kwenye mechi ya kwanza. SIMBA ilikiwa inachungulia kaburi. Kiongozi huyo akampa Tshs 25,000/= tu, hakumalizia. SIMBA ikatandikwa 2-0.

    6. Kwenye mechi ya pili, PAZI aliitwa nyumbani kwa Mwenyekiti Yusuph Hazzali Ilala. Akamkuta na kapteni Malota Soma. Wakamsihi sana afungishe kwani ye ni "mwana" ila hawakumpa fedha. PAZI akamsimulia JAMHURI KIHWELU ambaye alikataa ujinga huo. Dakika ya 10 tu, Zicco wa Kilosa akafunga. Kabla ya HT, PAZI akaachia mpira uingie wavuni lakini JAMHURI akaenda kuuokolea kwenye chaki! Kipindi cha pili PAZI akaachia goli, SIMBA iliyopachikwa jina "Guluguja" kwa kufungwafungwa, ikaambulia sare !

    7. Mwaka 1987, SIMBA ilikuwa inashika mkia. Kwenye mechi ya mwisho dhidi ya Bingwa mtetezi Tukuyu stars, ilitakiwa kutoa sare 5-5 ili inusurike kushuka daraja. Na kweli ikala njama na Tukuyu stars zikatoka sare 5-5. FAT ikaishia tu kuzionya!

    8. SIMBA imenusurika kushuka daraja mara 3 mfululizo (1987, 1988 & 1989).

    9. Novemba 30, 1993, SIMBA ililazimika kutia kiberiti makontena 5 ya Khanga zilizoandikwa _"SIMBA BINGWA CAF 1993"_ baada ya kufilimbwa 2-0 na Stela Abidjan.

    10. Manazi wa SIMBA waliandika rekodi ya kung'oa viti Oktoba 1, 2016.

    11. SIMBA ililiaibisha Taifa kwa uchawi kwa kuwasha moto uwanjani mbungi dhidi ya Orlando Pirates Aprili 25, 2022 na Caf kuilima faini $ 10,000

    12. Manazi wa SIMBA waliweka rekodi ya kulipiga mawe basi lao toka Ntwara hadi Dsm kote lilikopita baada ya kuchalazwa 2-1 na Azam Mei 8, 2023 uwanja wa Nangwanda Sijaona.

    13. SIMBA ina tabia za Mbwa koko- Mbwa koko hubweka nyumbani tu. SIMBA haijawahi kutwaa kombe nje ya nchi. SIMBA hutia aibu sana mechi za kimataifa nje ya nchi, inategemea Bongo _"Kwa Mkapa Hatoki Mtu"_!

    14. Manazi wa SIMBA walifanya tukio la hovyo kuwahi kutokea katika Historia ya mpira wa miguu. Hassan Dalali aliwahi kusimulia kwa uchungu :

    _"Simba tulipofungwa na Azzam 2-1, mashabiki wetu walifanya tukio la hovyo kupita kiasi. Walienda Kariakoo wakanunua mapera wakala. Zikaja coaster 3 nyumbani kwangu. Wakaanza kupiga mawe nyumba yangu. Haraka nikaificha familia yangu. Wakaingia wakaanza kunya sebuleni na kwingine. Nikawauliza wamemaliza? Nikawaambia waende uani kuna jaba la maji wakajisafishe. Walinisikitisha sana kwani walienda hadi chumba maalum nikako swalia wakanya. Nilihuzunika sana. Siku ya pili nikaenda klabuni nikajiuzulu"
    NANI MWAMBA KATI YA SIMBA NA YANGA ? A. REKODI ZA YANGA: 1. Kama kuna timu imewahi kuinyanyasa SIMBA, basi ni YANGA. Hakuna timu imeifunga SIMBA mara nyingi toka ianzishwe 8.8.1936 kama YANGA. 2. YANGA imetwaa ubingwa wa Ligi mara 30, SIMBA mara 22 ie Mama Samia ataondoka madarakani 2030 SIMBA ikiwa haijavunja rekodi hii hata ikishinda mfululizo! 3. YANGA imeshinda mechi nyingi zaidi za ligi kuliko SIMBA. 4. YANGA imefunga magoli mengi ya Ligi kuliko SIMBA. YANGA ndio imefungwa mabao machache zaidi mechi za watani. 5. YANGA imeshinda mechi nyingi za watani kuliko SIMBA. Mechi 4 za mwisho, SIMBA kafa zote! 6. YANGA ndio ilishinda pambano la kwanza la watani (Juni 7, 1965) 7. YANGA imetoa mchezaji aliyefunga magoli mengi zaidi ya ligi kwa misimu mingi (Kitwana Manara). 8. YANGA imetoa mchezaji aliyefunga magoli mengi zaidi kwa msimu mmoja (MOHAMMED HUSSEIN "MMACHINGA") 9. YANGA imetoa Mchezaji Bora kuwahi kutokea nchini (SUNDAY MANARA "COMPUTER"). 10. YANGA ilitoa mchezaji wa _"Kombaini ya Afrika 1973"_ (MAULID DILUNGA)1973. Kamba za SIMBA kuwa nao walitoa mchezaji (OMAR MAHADHI ziliumbuliwa baada ya kubainika MAHADHI alijiunga SIMBA 1975. 1973 MAHADHI alikuwa African Sports!) 11. YANGA ndio timu iliyoshinda pambano la Kihistoria na Bora kuliko yote ya watani (Nyamagana 10.8.1974: 2-1) 12. YANGA ndio timu pekee iliyofika fainali kombe la 2 kwa ukubwa Afrika (CAF Confederation cup 2023). SIMBA ilifika fainali 1993 kwenye kombe lililokuwa la 3 kwa hadhi ie "Caf cup". Kombe hili lilikuwa nyuma ya Kombe la Klabu Bingwa na Kombe la Washindi). Kwenye fainali, YANGA ilikosa kombe kwa Kanuni ya goli la ugenini (2-2) ila SIMBA ilikandwa kiduwanzi 2-0. 13. YANGA ndio timu pekee nchini iliyowahi kuingia "TOP 5" ya kinyang'anyiro cha timu bora Afrika (2023). 14. YANGA ndio timu pekee iliyotwaa ubingwa nje ya nchi (1993 & 1999) 15. YANGA ndio timu iliyoalikwa Ikulu na Marais wengi kuliko timu yeyote (Novemba 11, 1969 ilialikwa na Rais Nyerere, Februari 4, 1993 ilialikwa na Rais Mwinyi na Juni 4, 2023 ilialikwa na Rais Samia). 16. YANGA ndiyo timu pekee nchini iliyowahi kualikwa kwenye sherehe za uhuru wa Taifa jingine (Malawi Julai 7, 2023). 17. YANGA iliweka rekodi (2023) ya kuwa timu ya kwanza nchini kushinda mechi nyingi zaidi nje ya nchi michuano ya Afrika *NB:* Mashabiki maandazi wa SIMBA wanalialia eti YANGA inapata mafanikio kwaajili GSM anadhamini timu nyingi. Huu ni Upuuzi wa kiwango cha SGR! Kwani GSM alikuepo 1960s, 1970s, 1980s, nk ? B. REKODI MUJARAB ZA SIMBA: 1. Bw. Ramadhani Ali, Mnazi kindakindaki wa SIMBA, aliweka rekodi ya watani baada ya kumkabidhi mkewe, Bi Mwajuma Sadiki Ali kwa mnazi wa Yanga, Bw. Juma Gobe, magomeni Juni 1, 1968 baada ya Yanga kuitandika SIMBA 5-0. Hao jamaa walikuwa wamepinga kabla ya mechi kuwa timu itakayofungwa, aliyefungwa atamgawa mkewe !. 2. SIMBA ndiyo ilikuwa timu ya kwanza kuweka mpira kwapani mechi ya watani (Machi 3, 1969) 3. Mnazi wa Simba wa Tabora aliandika rekodi ya kujiua kwa kujitumbukiza kwenye pipa la mafuta baada ya SIMBA kufungwa 2-1 Nyamagana 10.8.1974. Timu ya SIMBA ilionesha ubinadamu ilipoenda Tabora kuhani msiba. Abdallah Kibaden "King" ndiye aliyekabidhi ubani. 4. Nicco Njohole wa SIMBA aliliaibisha Taifa baada ya kupigwa umeme 1979 Nchumbiji kwa kukojoa uwanjani! 5. Mwaka 1987, Kiongozi 1 wa SIMBA alienda kwa Idd Pazi, kipa wa PILSNER wakakubaliana ampe Tshs 50,000 ili afungishe kwenye mechi ya kwanza. SIMBA ilikiwa inachungulia kaburi. Kiongozi huyo akampa Tshs 25,000/= tu, hakumalizia. SIMBA ikatandikwa 2-0. 6. Kwenye mechi ya pili, PAZI aliitwa nyumbani kwa Mwenyekiti Yusuph Hazzali Ilala. Akamkuta na kapteni Malota Soma. Wakamsihi sana afungishe kwani ye ni "mwana" ila hawakumpa fedha. PAZI akamsimulia JAMHURI KIHWELU ambaye alikataa ujinga huo. Dakika ya 10 tu, Zicco wa Kilosa akafunga. Kabla ya HT, PAZI akaachia mpira uingie wavuni lakini JAMHURI akaenda kuuokolea kwenye chaki! Kipindi cha pili PAZI akaachia goli, SIMBA iliyopachikwa jina "Guluguja" kwa kufungwafungwa, ikaambulia sare ! 7. Mwaka 1987, SIMBA ilikuwa inashika mkia. Kwenye mechi ya mwisho dhidi ya Bingwa mtetezi Tukuyu stars, ilitakiwa kutoa sare 5-5 ili inusurike kushuka daraja. Na kweli ikala njama na Tukuyu stars zikatoka sare 5-5. FAT ikaishia tu kuzionya! 8. SIMBA imenusurika kushuka daraja mara 3 mfululizo (1987, 1988 & 1989). 9. Novemba 30, 1993, SIMBA ililazimika kutia kiberiti makontena 5 ya Khanga zilizoandikwa _"SIMBA BINGWA CAF 1993"_ baada ya kufilimbwa 2-0 na Stela Abidjan. 10. Manazi wa SIMBA waliandika rekodi ya kung'oa viti Oktoba 1, 2016. 11. SIMBA ililiaibisha Taifa kwa uchawi kwa kuwasha moto uwanjani mbungi dhidi ya Orlando Pirates Aprili 25, 2022 na Caf kuilima faini $ 10,000 12. Manazi wa SIMBA waliweka rekodi ya kulipiga mawe basi lao toka Ntwara hadi Dsm kote lilikopita baada ya kuchalazwa 2-1 na Azam Mei 8, 2023 uwanja wa Nangwanda Sijaona. 13. SIMBA ina tabia za Mbwa koko- Mbwa koko hubweka nyumbani tu. SIMBA haijawahi kutwaa kombe nje ya nchi. SIMBA hutia aibu sana mechi za kimataifa nje ya nchi, inategemea Bongo _"Kwa Mkapa Hatoki Mtu"_! 14. Manazi wa SIMBA walifanya tukio la hovyo kuwahi kutokea katika Historia ya mpira wa miguu. Hassan Dalali aliwahi kusimulia kwa uchungu : _"Simba tulipofungwa na Azzam 2-1, mashabiki wetu walifanya tukio la hovyo kupita kiasi. Walienda Kariakoo wakanunua mapera wakala. Zikaja coaster 3 nyumbani kwangu. Wakaanza kupiga mawe nyumba yangu. Haraka nikaificha familia yangu. Wakaingia wakaanza kunya sebuleni na kwingine. Nikawauliza wamemaliza? Nikawaambia waende uani kuna jaba la maji wakajisafishe. Walinisikitisha sana kwani walienda hadi chumba maalum nikako swalia wakanya. Nilihuzunika sana. Siku ya pili nikaenda klabuni nikajiuzulu"
    Love
    Like
    Wow
    7
    · 3 Comments ·0 Shares ·2K Views
  • NANI MWAMBA KATI YA SIMBA NA YANGA ?


    A. REKODI ZA YANGA:

    1. Kama kuna timu imewahi kuinyanyasa SIMBA, basi ni YANGA. Hakuna timu imeifunga SIMBA mara nyingi toka ianzishwe 8.8.1936 kama YANGA.

    2. YANGA imetwaa ubingwa wa Ligi mara 30, SIMBA mara 22 ie Mama Samia ataondoka madarakani 2030 SIMBA ikiwa haijavunja rekodi hii hata ikishinda mfululizo!

    3. YANGA imeshinda mechi nyingi zaidi za ligi kuliko SIMBA.

    4. YANGA imefunga magoli mengi ya Ligi kuliko SIMBA. YANGA ndio imefungwa mabao machache zaidi mechi za watani.

    5. YANGA imeshinda mechi nyingi za watani kuliko SIMBA. Mechi 4 za mwisho, SIMBA kafa zote!

    6. YANGA ndio ilishinda pambano la kwanza la watani (Juni 7, 1965)

    7. YANGA imetoa mchezaji aliyefunga magoli mengi zaidi ya ligi kwa misimu mingi (Kitwana Manara).

    8. YANGA imetoa mchezaji aliyefunga magoli mengi zaidi kwa msimu mmoja (MOHAMMED HUSSEIN "MMACHINGA")

    9. YANGA imetoa Mchezaji Bora kuwahi kutokea nchini (SUNDAY MANARA "COMPUTER").

    10. YANGA ilitoa mchezaji wa _"Kombaini ya Afrika 1973"_ (MAULID DILUNGA)1973. Kamba za SIMBA kuwa nao walitoa mchezaji (OMAR MAHADHI ziliumbuliwa baada ya kubainika MAHADHI alijiunga SIMBA 1975. 1973 MAHADHI alikuwa African Sports!)

    11. YANGA ndio timu iliyoshinda pambano la Kihistoria na Bora kuliko yote ya watani (Nyamagana 10.8.1974: 2-1)

    12. YANGA ndio timu pekee iliyofika fainali kombe la 2 kwa ukubwa Afrika (CAF Confederation cup 2023). SIMBA ilifika fainali 1993 kwenye kombe lililokuwa la 3 kwa hadhi ie "Caf cup". Kombe hili lilikuwa nyuma ya Kombe la Klabu Bingwa na Kombe la Washindi). Kwenye fainali, YANGA ilikosa kombe kwa Kanuni ya goli la ugenini (2-2) ila SIMBA ilikandwa kiduwanzi 2-0.

    13. YANGA ndio timu pekee nchini iliyowahi kuingia "TOP 5" ya kinyang'anyiro cha timu bora Afrika (2023).

    14. YANGA ndio timu pekee iliyotwaa ubingwa nje ya nchi (1993 & 1999)

    15. YANGA ndio timu iliyoalikwa Ikulu na Marais wengi kuliko timu yeyote (Novemba 11, 1969 ilialikwa na Rais Nyerere, Februari 4, 1993 ilialikwa na Rais Mwinyi na Juni 4, 2023 ilialikwa na Rais Samia).

    16. YANGA ndiyo timu pekee nchini iliyowahi kualikwa kwenye sherehe za uhuru wa Taifa jingine (Malawi Julai 7, 2023).

    17. YANGA iliweka rekodi (2023) ya kuwa timu ya kwanza nchini kushinda mechi nyingi zaidi nje ya nchi michuano ya Afrika

    *NB:* Mashabiki maandazi wa SIMBA wanalialia eti YANGA inapata mafanikio kwaajili GSM anadhamini timu nyingi. Huu ni Upuuzi wa kiwango cha SGR! Kwani GSM alikuepo 1960s, 1970s, 1980s, nk ?

    B. REKODI MUJARAB ZA SIMBA:


    1. Bw. Ramadhani Ali, Mnazi kindakindaki wa SIMBA, aliweka rekodi ya watani baada ya kumkabidhi mkewe, Bi Mwajuma Sadiki Ali kwa mnazi wa Yanga, Bw. Juma Gobe, magomeni Juni 1, 1968 baada ya Yanga kuitandika SIMBA 5-0. Hao jamaa walikuwa wamepinga kabla ya mechi kuwa timu itakayofungwa, aliyefungwa atamgawa mkewe !.

    2. SIMBA ndiyo ilikuwa timu ya kwanza kuweka mpira kwapani mechi ya watani (Machi 3, 1969)

    3. Mnazi wa Simba wa Tabora aliandika rekodi ya kujiua kwa kujitumbukiza kwenye pipa la mafuta baada ya SIMBA kufungwa 2-1 Nyamagana 10.8.1974. Timu ya SIMBA ilionesha ubinadamu ilipoenda Tabora kuhani msiba. Abdallah Kibaden "King" ndiye aliyekabidhi ubani.

    4. Nicco Njohole wa SIMBA aliliaibisha Taifa baada ya kupigwa umeme 1979 Nchumbiji kwa kukojoa uwanjani!

    5. Mwaka 1987, Kiongozi 1 wa SIMBA alienda kwa Idd Pazi, kipa wa PILSNER wakakubaliana ampe Tshs 50,000 ili afungishe kwenye mechi ya kwanza. SIMBA ilikiwa inachungulia kaburi. Kiongozi huyo akampa Tshs 25,000/= tu, hakumalizia. SIMBA ikatandikwa 2-0.

    6. Kwenye mechi ya pili, PAZI aliitwa nyumbani kwa Mwenyekiti Yusuph Hazzali Ilala. Akamkuta na kapteni Malota Soma. Wakamsihi sana afungishe kwani ye ni "mwana" ila hawakumpa fedha. PAZI akamsimulia JAMHURI KIHWELU ambaye alikataa ujinga huo. Dakika ya 10 tu, Zicco wa Kilosa akafunga. Kabla ya HT, PAZI akaachia mpira uingie wavuni lakini JAMHURI akaenda kuuokolea kwenye chaki! Kipindi cha pili PAZI akaachia goli, SIMBA iliyopachikwa jina "Guluguja" kwa kufungwafungwa, ikaambulia sare !

    7. Mwaka 1987, SIMBA ilikuwa inashika mkia. Kwenye mechi ya mwisho dhidi ya Bingwa mtetezi Tukuyu stars, ilitakiwa kutoa sare 5-5 ili inusurike kushuka daraja. Na kweli ikala njama na Tukuyu stars zikatoka sare 5-5. FAT ikaishia tu kuzionya!

    8. SIMBA imenusurika kushuka daraja mara 3 mfululizo (1987, 1988 & 1989).

    9. Novemba 30, 1993, SIMBA ililazimika kutia kiberiti makontena 5 ya Khanga zilizoandikwa _"SIMBA BINGWA CAF 1993"_ baada ya kufilimbwa 2-0 na Stela Abidjan.

    10. Manazi wa SIMBA waliandika rekodi ya kung'oa viti Oktoba 1, 2016.

    11. SIMBA ililiaibisha Taifa kwa uchawi kwa kuwasha moto uwanjani mbungi dhidi ya Orlando Pirates Aprili 25, 2022 na Caf kuilima faini $ 10,000

    12. Manazi wa SIMBA waliweka rekodi ya kulipiga mawe basi lao toka Ntwara hadi Dsm kote lilikopita baada ya kuchalazwa 2-1 na Azam Mei 8, 2023 uwanja wa Nangwanda Sijaona.

    13. SIMBA ina tabia za Mbwa koko- Mbwa koko hubweka nyumbani tu. SIMBA haijawahi kutwaa kombe nje ya nchi. SIMBA hutia aibu sana mechi za kimataifa nje ya nchi, inategemea Bongo _"Kwa Mkapa Hatoki Mtu"_!

    14. Manazi wa SIMBA walifanya tukio la hovyo kuwahi kutokea katika Historia ya mpira wa miguu. Hassan Dalali aliwahi kusimulia kwa uchungu :

    _"Simba tulipofungwa na Azzam 2-1, mashabiki wetu walifanya tukio la hovyo kupita kiasi. Walienda Kariakoo wakanunua mapera wakala. Zikaja coaster 3 nyumbani kwangu. Wakaanza kupiga mawe nyumba yangu. Haraka nikaificha familia yangu. Wakaingia wakaanza kunya sebuleni na kwingine. Nikawauliza wamemaliza? Nikawaambia waende uani kuna jaba la maji wakajisafishe. Walinisikitisha sana kwani walienda hadi chumba maalum nikako swalia wakanya. Nilihuzunika sana. Siku ya pili nikaenda klabuni nikajiuzulu"
    NANI MWAMBA KATI YA SIMBA NA YANGA ? A. REKODI ZA YANGA: 1. Kama kuna timu imewahi kuinyanyasa SIMBA, basi ni YANGA. Hakuna timu imeifunga SIMBA mara nyingi toka ianzishwe 8.8.1936 kama YANGA. 2. YANGA imetwaa ubingwa wa Ligi mara 30, SIMBA mara 22 ie Mama Samia ataondoka madarakani 2030 SIMBA ikiwa haijavunja rekodi hii hata ikishinda mfululizo! 3. YANGA imeshinda mechi nyingi zaidi za ligi kuliko SIMBA. 4. YANGA imefunga magoli mengi ya Ligi kuliko SIMBA. YANGA ndio imefungwa mabao machache zaidi mechi za watani. 5. YANGA imeshinda mechi nyingi za watani kuliko SIMBA. Mechi 4 za mwisho, SIMBA kafa zote! 6. YANGA ndio ilishinda pambano la kwanza la watani (Juni 7, 1965) 7. YANGA imetoa mchezaji aliyefunga magoli mengi zaidi ya ligi kwa misimu mingi (Kitwana Manara). 8. YANGA imetoa mchezaji aliyefunga magoli mengi zaidi kwa msimu mmoja (MOHAMMED HUSSEIN "MMACHINGA") 9. YANGA imetoa Mchezaji Bora kuwahi kutokea nchini (SUNDAY MANARA "COMPUTER"). 10. YANGA ilitoa mchezaji wa _"Kombaini ya Afrika 1973"_ (MAULID DILUNGA)1973. Kamba za SIMBA kuwa nao walitoa mchezaji (OMAR MAHADHI ziliumbuliwa baada ya kubainika MAHADHI alijiunga SIMBA 1975. 1973 MAHADHI alikuwa African Sports!) 11. YANGA ndio timu iliyoshinda pambano la Kihistoria na Bora kuliko yote ya watani (Nyamagana 10.8.1974: 2-1) 12. YANGA ndio timu pekee iliyofika fainali kombe la 2 kwa ukubwa Afrika (CAF Confederation cup 2023). SIMBA ilifika fainali 1993 kwenye kombe lililokuwa la 3 kwa hadhi ie "Caf cup". Kombe hili lilikuwa nyuma ya Kombe la Klabu Bingwa na Kombe la Washindi). Kwenye fainali, YANGA ilikosa kombe kwa Kanuni ya goli la ugenini (2-2) ila SIMBA ilikandwa kiduwanzi 2-0. 13. YANGA ndio timu pekee nchini iliyowahi kuingia "TOP 5" ya kinyang'anyiro cha timu bora Afrika (2023). 14. YANGA ndio timu pekee iliyotwaa ubingwa nje ya nchi (1993 & 1999) 15. YANGA ndio timu iliyoalikwa Ikulu na Marais wengi kuliko timu yeyote (Novemba 11, 1969 ilialikwa na Rais Nyerere, Februari 4, 1993 ilialikwa na Rais Mwinyi na Juni 4, 2023 ilialikwa na Rais Samia). 16. YANGA ndiyo timu pekee nchini iliyowahi kualikwa kwenye sherehe za uhuru wa Taifa jingine (Malawi Julai 7, 2023). 17. YANGA iliweka rekodi (2023) ya kuwa timu ya kwanza nchini kushinda mechi nyingi zaidi nje ya nchi michuano ya Afrika *NB:* Mashabiki maandazi wa SIMBA wanalialia eti YANGA inapata mafanikio kwaajili GSM anadhamini timu nyingi. Huu ni Upuuzi wa kiwango cha SGR! Kwani GSM alikuepo 1960s, 1970s, 1980s, nk ? B. REKODI MUJARAB ZA SIMBA: 1. Bw. Ramadhani Ali, Mnazi kindakindaki wa SIMBA, aliweka rekodi ya watani baada ya kumkabidhi mkewe, Bi Mwajuma Sadiki Ali kwa mnazi wa Yanga, Bw. Juma Gobe, magomeni Juni 1, 1968 baada ya Yanga kuitandika SIMBA 5-0. Hao jamaa walikuwa wamepinga kabla ya mechi kuwa timu itakayofungwa, aliyefungwa atamgawa mkewe !. 2. SIMBA ndiyo ilikuwa timu ya kwanza kuweka mpira kwapani mechi ya watani (Machi 3, 1969) 3. Mnazi wa Simba wa Tabora aliandika rekodi ya kujiua kwa kujitumbukiza kwenye pipa la mafuta baada ya SIMBA kufungwa 2-1 Nyamagana 10.8.1974. Timu ya SIMBA ilionesha ubinadamu ilipoenda Tabora kuhani msiba. Abdallah Kibaden "King" ndiye aliyekabidhi ubani. 4. Nicco Njohole wa SIMBA aliliaibisha Taifa baada ya kupigwa umeme 1979 Nchumbiji kwa kukojoa uwanjani! 5. Mwaka 1987, Kiongozi 1 wa SIMBA alienda kwa Idd Pazi, kipa wa PILSNER wakakubaliana ampe Tshs 50,000 ili afungishe kwenye mechi ya kwanza. SIMBA ilikiwa inachungulia kaburi. Kiongozi huyo akampa Tshs 25,000/= tu, hakumalizia. SIMBA ikatandikwa 2-0. 6. Kwenye mechi ya pili, PAZI aliitwa nyumbani kwa Mwenyekiti Yusuph Hazzali Ilala. Akamkuta na kapteni Malota Soma. Wakamsihi sana afungishe kwani ye ni "mwana" ila hawakumpa fedha. PAZI akamsimulia JAMHURI KIHWELU ambaye alikataa ujinga huo. Dakika ya 10 tu, Zicco wa Kilosa akafunga. Kabla ya HT, PAZI akaachia mpira uingie wavuni lakini JAMHURI akaenda kuuokolea kwenye chaki! Kipindi cha pili PAZI akaachia goli, SIMBA iliyopachikwa jina "Guluguja" kwa kufungwafungwa, ikaambulia sare ! 7. Mwaka 1987, SIMBA ilikuwa inashika mkia. Kwenye mechi ya mwisho dhidi ya Bingwa mtetezi Tukuyu stars, ilitakiwa kutoa sare 5-5 ili inusurike kushuka daraja. Na kweli ikala njama na Tukuyu stars zikatoka sare 5-5. FAT ikaishia tu kuzionya! 8. SIMBA imenusurika kushuka daraja mara 3 mfululizo (1987, 1988 & 1989). 9. Novemba 30, 1993, SIMBA ililazimika kutia kiberiti makontena 5 ya Khanga zilizoandikwa _"SIMBA BINGWA CAF 1993"_ baada ya kufilimbwa 2-0 na Stela Abidjan. 10. Manazi wa SIMBA waliandika rekodi ya kung'oa viti Oktoba 1, 2016. 11. SIMBA ililiaibisha Taifa kwa uchawi kwa kuwasha moto uwanjani mbungi dhidi ya Orlando Pirates Aprili 25, 2022 na Caf kuilima faini $ 10,000 12. Manazi wa SIMBA waliweka rekodi ya kulipiga mawe basi lao toka Ntwara hadi Dsm kote lilikopita baada ya kuchalazwa 2-1 na Azam Mei 8, 2023 uwanja wa Nangwanda Sijaona. 13. SIMBA ina tabia za Mbwa koko- Mbwa koko hubweka nyumbani tu. SIMBA haijawahi kutwaa kombe nje ya nchi. SIMBA hutia aibu sana mechi za kimataifa nje ya nchi, inategemea Bongo _"Kwa Mkapa Hatoki Mtu"_! 14. Manazi wa SIMBA walifanya tukio la hovyo kuwahi kutokea katika Historia ya mpira wa miguu. Hassan Dalali aliwahi kusimulia kwa uchungu : _"Simba tulipofungwa na Azzam 2-1, mashabiki wetu walifanya tukio la hovyo kupita kiasi. Walienda Kariakoo wakanunua mapera wakala. Zikaja coaster 3 nyumbani kwangu. Wakaanza kupiga mawe nyumba yangu. Haraka nikaificha familia yangu. Wakaingia wakaanza kunya sebuleni na kwingine. Nikawauliza wamemaliza? Nikawaambia waende uani kuna jaba la maji wakajisafishe. Walinisikitisha sana kwani walienda hadi chumba maalum nikako swalia wakanya. Nilihuzunika sana. Siku ya pili nikaenda klabuni nikajiuzulu"
    Love
    Like
    Haha
    Wow
    Sad
    6
    · 2 Comments ·0 Shares ·2K Views
  • Happy Sunday
    Happy Sunday
    Love
    Like
    3
    · 0 Comments ·0 Shares ·610 Views
  • Sunday
    Sunday ✨
    Love
    3
    · 0 Comments ·0 Shares ·363 Views
  • .𝗝𝗔𝗡𝗚𝗪𝗔𝗡𝗜

    #EXCLUSIVE; Uongozi wa Yanga rasmi umembadirishia majukumu aliyekuwa msemaji wa Yanga "Haji Sunday Manara"na kuwa Mtendaji mkuu wa Kitengo hamasa ndani ya Yanga FANS ENGAGEMENTS ili kuisaidia Mabadiliko ndani ya Yanga kwenye zoezi la Usajili wa wanachama na mashabiki wa Yanga.

    #Hajimanara #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    .𝗝𝗔𝗡𝗚𝗪𝗔𝗡𝗜 🚨#EXCLUSIVE; Uongozi wa Yanga rasmi umembadirishia majukumu aliyekuwa msemaji wa Yanga "Haji Sunday Manara"na kuwa Mtendaji mkuu wa Kitengo hamasa ndani ya Yanga FANS ENGAGEMENTS ili kuisaidia Mabadiliko ndani ya Yanga kwenye zoezi la Usajili wa wanachama na mashabiki wa Yanga. #Hajimanara #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko 🟡🟢
    Love
    Like
    5
    · 2 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • Mungu hana upendeleo
    Happy sunday people of God
    Mungu hana upendeleo Happy sunday people of God
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·604 Views
  • Happy Sunday everyone
    #cktvtanzania
    Happy Sunday everyone #cktvtanzania
    Love
    1
    · 0 Comments ·1 Shares ·723 Views
  • - 🗣Haji Sunday Manara aliwahi kuzungumza juu ya Yanga Sc kumhitaji mchezaji Clauotus Chama Hawana ubavu Yanga wa kumsajili mchezaji Clauotus Chama" alisema

    - Aliyazungumza hayo pindi akiwa Afisa habari wa Simba,
    - 🗣Haji Sunday Manara aliwahi kuzungumza juu ya Yanga Sc kumhitaji mchezaji Clauotus Chama 😄 Hawana ubavu Yanga wa kumsajili mchezaji Clauotus Chama" alisema - Aliyazungumza hayo pindi akiwa Afisa habari wa Simba,
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·379 Views ·11
  • Jumapili utakula vitu vitamu ukiwa wapi






    #socialpop
    #socialpoptz
    #tanzaniasocialmedia
    #sunday
    #food
    #enjoying
    [Neemadish] Zuchu WCB Diamond Platnumz
    Jumapili utakula vitu vitamu ukiwa wapi 🚩🌍🛰️ 😎😎😎😎😎😎😎 #socialpop #socialpoptz #tanzaniasocialmedia #sunday #food #enjoying [Neemadish] [Zuchu] [Emanuel]
    Like
    Love
    Yay
    5
    · 1 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • SUNDAY MOOD
    SUNDAY MOOD 💨💨💨✅✅
    0 Comments ·0 Shares ·546 Views
  • I wish you a good Sunday

    #diamondplatnumz
    #wcb #Wasafi #Zuchu
    #KomasavaSongs #Socialpop
    I wish you a good Sunday 💋🥰🥂🙏 #diamondplatnumz #wcb #Wasafi #Zuchu #KomasavaSongs #Socialpop
    Like
    Love
    18
    · 7 Comments ·0 Shares ·2K Views
  • Happy Sunday Y'all
    @africanjesus47
    Happy Sunday Y'all 🙏🙏 @africanjesus47
    1 Comments ·0 Shares ·448 Views
  • Better Sunday to you
    Who will react to this
    Better Sunday to you Who will react to this
    Like
    Love
    4
    · 2 Comments ·0 Shares ·646 Views
  • The Bible’ Says “ Come as you are , not when u have it All together .

    Happy sunday to you all .

    Photo credits goes to the One & Only Van Tawa
    The Bible’ Says “ Come as you are , not when u have it All together 🕊️. Happy sunday to you all . Photo credits goes to the One & Only 🌹 [Tawa]
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·398 Views
  • All praise to the most high … Every moment , everyday ! Thankful 🙏🏿 .

    Dm me to get the same look . . SWIPE

    Happy Sunday to you’ll .
    All praise to the most high … Every moment , everyday ! Thankful 🙏🏿🕊️ . Dm me to get the same look . ✂️🪡🧶. SWIPE ⬅️🔥 Happy Sunday to you’ll 🥂.
    0 Comments ·0 Shares ·372 Views