• Balozi wa Afrika Kusini Nchini Marekani , Ebrahim Rasool ambaye ametimuliwa na Nchi ya Marekani kutokana na kukosoa sera za Donald Trump, amerejea Afrika Kusini kwa ufakhari mkubwa na kupokewa kwa shangwe na mamia ya Wananchi waliofurika kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Cape Town Nchini Afrika Kusini.

    Balozi huyo na mkewe, Rosieda, waliwasili jana katika Uwanda wa Ndege wa Kimataifa wa Cape Town baada ya kusafari kutoka Nchini Marekani kupitia Qatar na wamekaribishwa vyema na kwa shangwe na mamia ya Wafuasi wao. Mapema mwezi huu, Balozi Rasool alitangazwa na Serikali ya Marekani kuwa ni Mtu asiyetakiwa kuweko Nchini humo baada ya kukosoa sera za Donald Trump, hatua ambayo inaonesha wazi jinsi madai ya uhuru wa kusema yasivyothaminiwa Nchini Marekani licha ya majigambo makubwa ya Nchi Marekani ya kupigania haki za Binadamu na demokrasia.

    Akiwahutubia mamia ya Mashabiki wake kwenye Uwanja wa Ndege wa Cape Town, Balozi Rasool amesema kwamba ingawa ametakiwa kuondoka huko Marekani lakini jambo hilo limeshindwa kufikia lengo lake kwani Viongozi wa Marekani wanadhani wamemdhalilisha wakati yeye anaona fakhari kwa maneno aliyotoa na Wananchi wa Afrika Kusini nao wanajivunia msimamo huo ndio maana wamejitokea kwa mamia kumpokea kishujaa.

    "Unaporejea nyumbani na kupokewa kwa shangwe na umati kama huu wa watu, mtu unaona fakhari na unajivunia msimamo wako." alisema Rasool.

    Alipoulizwa iwapo diplomasia imeshindwa, amesema ukweli kwamba matamshi yake yamemfanya Trump na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio kuwa makini na hatua ya Serikali ya Marekani ya kumtangaza kuwa ni Mtu asiyetakiwa nchini humo ni ushahidi kwamba ujumbe wake umefika ngazi za juu kabisa za serikali ya Marekani.

    Balozi wa Afrika Kusini 🇿🇦 Nchini Marekani 🇺🇸, Ebrahim Rasool ambaye ametimuliwa na Nchi ya Marekani kutokana na kukosoa sera za Donald Trump, amerejea Afrika Kusini kwa ufakhari mkubwa na kupokewa kwa shangwe na mamia ya Wananchi waliofurika kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Cape Town Nchini Afrika Kusini. Balozi huyo na mkewe, Rosieda, waliwasili jana katika Uwanda wa Ndege wa Kimataifa wa Cape Town baada ya kusafari kutoka Nchini Marekani kupitia Qatar na wamekaribishwa vyema na kwa shangwe na mamia ya Wafuasi wao. Mapema mwezi huu, Balozi Rasool alitangazwa na Serikali ya Marekani kuwa ni Mtu asiyetakiwa kuweko Nchini humo baada ya kukosoa sera za Donald Trump, hatua ambayo inaonesha wazi jinsi madai ya uhuru wa kusema yasivyothaminiwa Nchini Marekani licha ya majigambo makubwa ya Nchi Marekani ya kupigania haki za Binadamu na demokrasia. Akiwahutubia mamia ya Mashabiki wake kwenye Uwanja wa Ndege wa Cape Town, Balozi Rasool amesema kwamba ingawa ametakiwa kuondoka huko Marekani lakini jambo hilo limeshindwa kufikia lengo lake kwani Viongozi wa Marekani wanadhani wamemdhalilisha wakati yeye anaona fakhari kwa maneno aliyotoa na Wananchi wa Afrika Kusini nao wanajivunia msimamo huo ndio maana wamejitokea kwa mamia kumpokea kishujaa. "Unaporejea nyumbani na kupokewa kwa shangwe na umati kama huu wa watu, mtu unaona fakhari na unajivunia msimamo wako." alisema Rasool. Alipoulizwa iwapo diplomasia imeshindwa, amesema ukweli kwamba matamshi yake yamemfanya Trump na Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio kuwa makini na hatua ya Serikali ya Marekani ya kumtangaza kuwa ni Mtu asiyetakiwa nchini humo ni ushahidi kwamba ujumbe wake umefika ngazi za juu kabisa za serikali ya Marekani.
    Love
    Like
    3
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·178 مشاهدة
  • Rais wa Nchi Burkina Faso , Kapteni IbrahimTraoré (37) amekataa ongezeko lolote kwenye mshahara wake anaoupata kama kapteni, akisisitiza kuwa anajitolea kwa ajili ya Wananchi wa Nchi hiyo.

    Rais huyo kijana zaidi Duniani, ambaye alichukua madaraka kupitia mapinduzi ya kijeshi, alitangaza kuwa makadirio ya utajiri wake wote ni Shilingi milioni 340 za Kitanzania na ataendelea kupokea mshahara wake uleule wa kawaida kama kapteni wa Jeshi.

    Uamuzi huo wa kukataa ongezeko la mshahara ni tofauti kubwa na hatua za baadhi ya watangulizi wake, ambapo anaonyesha taswira ya Uongozi mpya kabisa katika Nchi ya Burkina Faso.

    Rais wa Nchi Burkina Faso 🇧🇫, Kapteni IbrahimTraoré (37) amekataa ongezeko lolote kwenye mshahara wake anaoupata kama kapteni, akisisitiza kuwa anajitolea kwa ajili ya Wananchi wa Nchi hiyo. Rais huyo kijana zaidi Duniani, ambaye alichukua madaraka kupitia mapinduzi ya kijeshi, alitangaza kuwa makadirio ya utajiri wake wote ni Shilingi milioni 340 za Kitanzania na ataendelea kupokea mshahara wake uleule wa kawaida kama kapteni wa Jeshi. Uamuzi huo wa kukataa ongezeko la mshahara ni tofauti kubwa na hatua za baadhi ya watangulizi wake, ambapo anaonyesha taswira ya Uongozi mpya kabisa katika Nchi ya Burkina Faso.
    Like
    2
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·182 مشاهدة
  • Zungu, Mtangazaji na Mchambuzi

    CPA Amos Makala kiongozi wa juu wa CCM amesema kuwa Chadema wana mpango wa kununua virusi via Ebola na Mpox ili kuzuia uchaguzi!!

    Maswali yangu kufuatia kauli ya CPA Amos Makala

    1. Hizi taarifa Makala amezipata wapi ?

    2. Idara ya usalama wa taifa (TISS) inataarifa za mpango huu ?, kama hakuna taarifa turejee kwenye swali la kwanza! Kama kuna taarifa hadi sasa ni hatua gani zimechukuliwa?

    3. Makala anatuambia kwa lugha nyingine baadhi ya viongozi wa Chadema wana mpango wa uhaini na kuhujumu uchumi wa nchi je kwanini vyombo vipo kimya kwa watu wenye tuhuma nzito kama hizi ?

    4. Je Makala amepima madhara ya kauli aliyoitoa hadharani ambayo huenda inazua taharuki na hofu kwa wananchi wa Tanzania na kwa wageni amabao wana mpango wa kuitembelea Tanzania kwa siku za usoni ?

    5. Ni hatua gani za kujibu ambazo Chadema wamezichukua hadi sasa ?

    6. Je ni kauli ya maksudi tu ili kuhamisha upepo na mjadala wa chadema ambao utashika kasi kwenye mikutano yao ya hadhara inayoanza hivi punde, kuhusu mpango wao wa no reform no election ?

    7. Je Makala anaweza kuthibitishaje kauli yake kwa Umma ?

    8.Je Chadema watanunulia wapi hivyo virusi, na kumbe vinauzwaga, Makala anaweza kuthibitisha ?

    Zungu, Mtangazaji na Mchambuzi CPA Amos Makala kiongozi wa juu wa CCM amesema kuwa Chadema wana mpango wa kununua virusi via Ebola na Mpox ili kuzuia uchaguzi!! Maswali yangu kufuatia kauli ya CPA Amos Makala 👇👇👇👇 1. Hizi taarifa Makala amezipata wapi ? 2. Idara ya usalama wa taifa (TISS) inataarifa za mpango huu ?, kama hakuna taarifa turejee kwenye swali la kwanza! Kama kuna taarifa hadi sasa ni hatua gani zimechukuliwa? 3. Makala anatuambia kwa lugha nyingine baadhi ya viongozi wa Chadema wana mpango wa uhaini na kuhujumu uchumi wa nchi je kwanini vyombo vipo kimya kwa watu wenye tuhuma nzito kama hizi ? 4. Je Makala amepima madhara ya kauli aliyoitoa hadharani ambayo huenda inazua taharuki na hofu kwa wananchi wa Tanzania na kwa wageni amabao wana mpango wa kuitembelea Tanzania kwa siku za usoni ? 5. Ni hatua gani za kujibu ambazo Chadema wamezichukua hadi sasa ? 6. Je ni kauli ya maksudi tu ili kuhamisha upepo na mjadala wa chadema ambao utashika kasi kwenye mikutano yao ya hadhara inayoanza hivi punde, kuhusu mpango wao wa no reform no election ? 7. Je Makala anaweza kuthibitishaje kauli yake kwa Umma ? 8.Je Chadema watanunulia wapi hivyo virusi, na kumbe vinauzwaga, Makala anaweza kuthibitisha ?
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·207 مشاهدة
  • Jeshi la Polisi katika Kaunti ya Uasin Gishu Nchini Kenya wameanzisha uchunguzi baada ya Mwanamume mmoja kuanzisha kituo kidogo cha Polisi kinyume cha sheria na bila idhini ya mamlaka Nchini humo. Ripoti zinasema kuwa Mwanaume huyo wa Kijiji cha Asis alijipa jukumu la kufungua kituo hicho na kupaka rangi rasmi za Jeshi la Polisi

    Mamlaka bado hazijabaini sababu za Mshukiwa kuanzisha kituo hicho na amekamatwa kwa uchunguzi zaidi huku Wananchi wa eneo hilo wakishindwa kubaini kuwa kituo hicho kilikuwa "feki" badala yake waliendelea kupatiwa huduma wakidhani kuwa Jeshi la Polisi limesogezea huduma hiyo karibu ili kulinda usalama wa eneo hilo.

    Jeshi la Polisi katika Kaunti ya Uasin Gishu Nchini Kenya 🇰🇪 wameanzisha uchunguzi baada ya Mwanamume mmoja kuanzisha kituo kidogo cha Polisi kinyume cha sheria na bila idhini ya mamlaka Nchini humo. Ripoti zinasema kuwa Mwanaume huyo wa Kijiji cha Asis alijipa jukumu la kufungua kituo hicho na kupaka rangi rasmi za Jeshi la Polisi Mamlaka bado hazijabaini sababu za Mshukiwa kuanzisha kituo hicho na amekamatwa kwa uchunguzi zaidi huku Wananchi wa eneo hilo wakishindwa kubaini kuwa kituo hicho kilikuwa "feki" badala yake waliendelea kupatiwa huduma wakidhani kuwa Jeshi la Polisi limesogezea huduma hiyo karibu ili kulinda usalama wa eneo hilo.
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·272 مشاهدة
  • Katika hatua mpya ya mzozo unaoendelea Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo , kundi la Waasi wa M23 likishirikiana na Muungano wa Mto Congo (AFC) limetangaza kuwa Wanajeshi wa zamani wa Jeshi la DR Congo (FARDC) waliokamatwa au kujisalimisha wamehitimu mafunzo ya kiitikadi na mbinu za kijeshi.

    Katika taarifa ya Kundi la M23 kwenye mtandao wao wa X leo Februari 18, picha zilionyesha Wanajeshi hao wakiwa na sare na silaha rasmi za wanamgambo hao. Ujumbe uliambatana na chapisho hilo ulieleza:

    "Wanajeshi wa zamani wa FARDC, waliokamatwa au kujisalimisha, wamemaliza mafunzo ya kiitikadi na mbinu huko Rumangabo Mjini Goma chini ya AFC/M23. Sasa wakiwa na vifaa kamili na wanaolipwa, wametumwa Lubero, ambako wanashiriki kikamilifu muungano wa serikali."

    Wakati huo huo, Uganda imetangaza kuwa vikosi vyake vya kijeshi vimeanza kuelekea Bunia, DRC, ikiwa ni siku chache baada ya Jeshi la Uganda kutoa muda wa saa 24 kwa Askari waliopo eneo hilo kujisalimisha.

    Taarifa nyingine kuwa, hapo jana Kundi la Waasi hao wa M23 wamefanikiwa kuteka eneo la Kamanyola na sasa hivi wanajipanga kuelekea Uvira, Fizi kisha Mkoa wa Tanganyika (Kalemie) kabla ya kwenda Mjini Lubumbashi. Kwa mujibu wa Wananchi wa Kamanyala wanasema kuwa Kundi la Wapiganaji wa Wazalendo ambao wanapigana kwa upande wa Serikali waliibwa Silaha zao kisha wakakimbia na kuwaachia M23 kuichukua Kamanyola.

    Katika hatua mpya ya mzozo unaoendelea Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩, kundi la Waasi wa M23 likishirikiana na Muungano wa Mto Congo (AFC) limetangaza kuwa Wanajeshi wa zamani wa Jeshi la DR Congo (FARDC) waliokamatwa au kujisalimisha wamehitimu mafunzo ya kiitikadi na mbinu za kijeshi. Katika taarifa ya Kundi la M23 kwenye mtandao wao wa X leo Februari 18, picha zilionyesha Wanajeshi hao wakiwa na sare na silaha rasmi za wanamgambo hao. Ujumbe uliambatana na chapisho hilo ulieleza: "Wanajeshi wa zamani wa FARDC, waliokamatwa au kujisalimisha, wamemaliza mafunzo ya kiitikadi na mbinu huko Rumangabo Mjini Goma chini ya AFC/M23. Sasa wakiwa na vifaa kamili na wanaolipwa, wametumwa Lubero, ambako wanashiriki kikamilifu muungano wa serikali." Wakati huo huo, Uganda imetangaza kuwa vikosi vyake vya kijeshi vimeanza kuelekea Bunia, DRC, ikiwa ni siku chache baada ya Jeshi la Uganda kutoa muda wa saa 24 kwa Askari waliopo eneo hilo kujisalimisha. Taarifa nyingine kuwa, hapo jana Kundi la Waasi hao wa M23 wamefanikiwa kuteka eneo la Kamanyola na sasa hivi wanajipanga kuelekea Uvira, Fizi kisha Mkoa wa Tanganyika (Kalemie) kabla ya kwenda Mjini Lubumbashi. Kwa mujibu wa Wananchi wa Kamanyala wanasema kuwa Kundi la Wapiganaji wa Wazalendo ambao wanapigana kwa upande wa Serikali waliibwa Silaha zao kisha wakakimbia na kuwaachia M23 kuichukua Kamanyola.
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·504 مشاهدة
  • wananchi Kwa mara nyingne Tena
    🔥🤟🤟🤟wananchi Kwa mara nyingne Tena
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·296 مشاهدة
  • Wananchi kuzisaka point tatu ijumaa hii zid ka kmc hatok mtu
    Venue; kmc complex
    Time:10:15 jion
    Wananchi kuzisaka point tatu ijumaa hii zid ka kmc hatok mtu Venue; kmc complex Time:10:15 jion
    Like
    2
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·284 مشاهدة
  • Habari iliyobamba kwa sasa kwenye vyombo vya habari ni ndoa ya Stephane Aziz Ki na Hamisa Mobetto, ingawa wapo waliofika mbali na kudai ni kiki tu kwa ajili ya matangazo ya bidhaa fulani na wanatumika tu.

    Baada ya vuta nkuvute ya stori hii hatimaye mama yake Hamisa, Shufaa Rutanga amefunga na anathibitisha kuwepo kwa ndoa hiyo na kuhusu posa ya Aziz Ki, amesema hakuna posa yoyote iliyofika kwake kutoka kwa nyota huyo wa kimataifa wa Burkina Faso ingawa amepokea nyingi kutoka kwa wanaume tofauti wanaotaka kumuoa mwanaye.

    “Sasa ngoja nikuambie ukweli, maana nilikuwa nashindwa kutoa majibu sahihi kutokana na baadhi ya ya vitu kuhusu ndoa hii vilikuwa havijakamilika, sasa vimekamilika na ndoa ipo. Kiukweli namshukuru Mungu maombi yangu kwa mwanagu yameitika, nilikuwa kila kukicha naomba apate mtu sahihi watakayependana ili aolewe, kuwa kwenye ndoa ni heshima kubwa sana" - Mama Mobetto

    Mama Hamisa anasema hekaheka za ndoa hiyo zitaanza Jumamosi Februari 15 na ndiyo siku mahari itatolewa na sherehe itafanyika Februari 19, The Superdome, Masaki, jijini Dar es Salaam.

    “Kutoka moyoni nimewapa baraka zote mkwe wangu AziZ Ki na mwanagu Hamisa na upendo mwingi sana kwake Aziz Ki kwa kupenda watoto wa Hamisa. Hiki ndiyo sababu kuu iliyonifanya nimpende zaidi Aziz Ki, maana kwa hali ya sasa hivi upate mwanamume atakayekubali kuoa mwanamke mwenye watoto ni wachache sana ila Aziz Ki ameonyesha upendo wa dhati kwa mwanangu Hamisa, kapenda boga na maua yake.” - Mama Mobetto

    Wakati huohuo mmoja wa viongozi wa Yanga, amethibitisha ni kweli wawili hao watafunga ndoa Ijumaa na kwasasa Aziz yupo kwenye maandalizi ya Ndoa ingawa atakuwepo kwenye mchezo wa Ijumaa.
    (Mwananchi)

    Habari iliyobamba kwa sasa kwenye vyombo vya habari ni ndoa ya Stephane Aziz Ki na Hamisa Mobetto, ingawa wapo waliofika mbali na kudai ni kiki tu kwa ajili ya matangazo ya bidhaa fulani na wanatumika tu. Baada ya vuta nkuvute ya stori hii hatimaye mama yake Hamisa, Shufaa Rutanga amefunga na anathibitisha kuwepo kwa ndoa hiyo na kuhusu posa ya Aziz Ki, amesema hakuna posa yoyote iliyofika kwake kutoka kwa nyota huyo wa kimataifa wa Burkina Faso ingawa amepokea nyingi kutoka kwa wanaume tofauti wanaotaka kumuoa mwanaye. “Sasa ngoja nikuambie ukweli, maana nilikuwa nashindwa kutoa majibu sahihi kutokana na baadhi ya ya vitu kuhusu ndoa hii vilikuwa havijakamilika, sasa vimekamilika na ndoa ipo. Kiukweli namshukuru Mungu maombi yangu kwa mwanagu yameitika, nilikuwa kila kukicha naomba apate mtu sahihi watakayependana ili aolewe, kuwa kwenye ndoa ni heshima kubwa sana" - Mama Mobetto Mama Hamisa anasema hekaheka za ndoa hiyo zitaanza Jumamosi Februari 15 na ndiyo siku mahari itatolewa na sherehe itafanyika Februari 19, The Superdome, Masaki, jijini Dar es Salaam. “Kutoka moyoni nimewapa baraka zote mkwe wangu AziZ Ki na mwanagu Hamisa na upendo mwingi sana kwake Aziz Ki kwa kupenda watoto wa Hamisa. Hiki ndiyo sababu kuu iliyonifanya nimpende zaidi Aziz Ki, maana kwa hali ya sasa hivi upate mwanamume atakayekubali kuoa mwanamke mwenye watoto ni wachache sana ila Aziz Ki ameonyesha upendo wa dhati kwa mwanangu Hamisa, kapenda boga na maua yake.” - Mama Mobetto Wakati huohuo mmoja wa viongozi wa Yanga, amethibitisha ni kweli wawili hao watafunga ndoa Ijumaa na kwasasa Aziz yupo kwenye maandalizi ya Ndoa ingawa atakuwepo kwenye mchezo wa Ijumaa. (Mwananchi)
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·675 مشاهدة
  • Kwa mujibu wa wa kiongozi mkuu wa Korea Kaskazini Kim Jong Un , migogoro inayochochewa na Marekani katika sehemu mbalimbali za dunia, "inazidi kuongeza hatari ya kuzuka kwa vita vya dunia vipya vyenye athari kubwa sio tu kwa amani na usalama wa kimataifa bali pia nyanja nyingine zote za shughuli za binadamu."

    Pia Kim alitoa maoni kwamba mwaka 2025, mzozo wa Ukraine utasalia kuwa moja ya "mhimili mkuu wa hali ya wasiwasi ya kimataifa," nyingine ikiwa hali katika Ukanda wa Gaza na Syria "ambayo imekuwa uwanja wa migogoro ya kijiografia na makabiliano ya kimataifa mwaka jana."

    Katika hatua nyingine Kim alisema Marekani na nchi za Magharibi zinaelezea mzozo wa Ukraine kwa kushindwa kuishinda Urusi kimkakati, kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un alisema, kama ilivyonukuliwa na Shirika la Habari la Korea (KCNA).

    Katika mkutano katika Wizara ya Ulinzi, kuadhimisha kumbukumbu ya miaka 77 ya Jeshi la Wananchi wa Korea, alidai kwamba Marekani imepofushwa na tamaa mbaya huku akiionyesha wasiwasi mkubwa juu ya tabia ya kutojali ya Marekani na kundi la Magharibi kwa makusudi kuendeleza vita vya muda mrefu kwa ndoto isiyoweza kutekelezwa ili kukabiliana na kurudi kwa kimkakati kwa Urusi," shirika la habari lilibainisha.

    Kim alidokeza kuwa Pyongyang imekuwa ikipinga kila mara "kitendo chochote cha kunyima haki ya kimataifa na kuvuruga amani na usalama duniani." Aliongeza kuwa nchi yake "itaunga mkono kila wakati na kuhimiza sababu ya haki ya jeshi la Urusi na watu kutetea uhuru wao, usalama na uadilifu wa eneo kwa kuzingatia ari ya mkataba juu ya ushirikiano wa kimkakati wa kina kati ya DPRK na Urusi."
    (Zungu)

    Kwa mujibu wa wa kiongozi mkuu wa Korea Kaskazini Kim Jong Un , migogoro inayochochewa na Marekani katika sehemu mbalimbali za dunia, "inazidi kuongeza hatari ya kuzuka kwa vita vya dunia vipya vyenye athari kubwa sio tu kwa amani na usalama wa kimataifa bali pia nyanja nyingine zote za shughuli za binadamu." Pia Kim alitoa maoni kwamba mwaka 2025, mzozo wa Ukraine utasalia kuwa moja ya "mhimili mkuu wa hali ya wasiwasi ya kimataifa," nyingine ikiwa hali katika Ukanda wa Gaza na Syria "ambayo imekuwa uwanja wa migogoro ya kijiografia na makabiliano ya kimataifa mwaka jana." Katika hatua nyingine Kim alisema Marekani na nchi za Magharibi zinaelezea mzozo wa Ukraine kwa kushindwa kuishinda Urusi kimkakati, kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong Un alisema, kama ilivyonukuliwa na Shirika la Habari la Korea (KCNA). Katika mkutano katika Wizara ya Ulinzi, kuadhimisha kumbukumbu ya miaka 77 ya Jeshi la Wananchi wa Korea, alidai kwamba Marekani imepofushwa na tamaa mbaya huku akiionyesha wasiwasi mkubwa juu ya tabia ya kutojali ya Marekani na kundi la Magharibi kwa makusudi kuendeleza vita vya muda mrefu kwa ndoto isiyoweza kutekelezwa ili kukabiliana na kurudi kwa kimkakati kwa Urusi," shirika la habari lilibainisha. Kim alidokeza kuwa Pyongyang imekuwa ikipinga kila mara "kitendo chochote cha kunyima haki ya kimataifa na kuvuruga amani na usalama duniani." Aliongeza kuwa nchi yake "itaunga mkono kila wakati na kuhimiza sababu ya haki ya jeshi la Urusi na watu kutetea uhuru wao, usalama na uadilifu wa eneo kwa kuzingatia ari ya mkataba juu ya ushirikiano wa kimkakati wa kina kati ya DPRK na Urusi." (Zungu)
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·775 مشاهدة
  • Kuhusu mkutano mkubwa wa Makundi ya Waasi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo uliofanyika Jijini Goma leo hii ambapo mambo mengi yamezungumzwa pamoja na kuwateua Viongozi wapya wa Mji huo baada ya kuutwaa.

    Mkutano huo umefanyika katika Uwanja mkubwa wa Stade De L'Unite uliopo Jijini hapo na kuhudhuriwa na Viongozi wakuu wa Makundi ya Waasi hao akiwemo Kiongozi Mkuu Corneille Nangaa ambaye ni Kiongozi Congo River Allience na Muungano wao, Bertrand Bisimwa ambaye ni Kiongozi Mkuu wa M23 na Luteni Kanali Willy Ngoma ambaye ni Msemaji wa M23.

    Mkutano huo uliohudhuriwa na maelfu ya Wananchi wa Goma huku wakiushangilia kwa nderemo na vifijo ambapo baadhi ya Watu nje na ndani ya DR Congo wameshangaza kwamba kumbe Wananchi wengi pia wanaunga mkono Waasi hao na wapo pamoja nao. Lugha ya Kiswahili ilitumika Viongozi hao na kutoa mipango yao ya kuichukua Nchi nzima kutoka kwa Serikali iliyopo madarakani inayoongozwa na Rais Felix Tshisekedi.

    Msemaji wa M23, Willy Ngoma akiwa Jukwaani aliwauliza Wananchi "mnataka tuishie hapa Goma tu? " Wananchi kwa shangwe kubwa wakajibu "hapana".

    Kuhusu mkutano mkubwa wa Makundi ya Waasi mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo 🇨🇩 uliofanyika Jijini Goma leo hii ambapo mambo mengi yamezungumzwa pamoja na kuwateua Viongozi wapya wa Mji huo baada ya kuutwaa. Mkutano huo umefanyika katika Uwanja mkubwa wa Stade De L'Unite uliopo Jijini hapo na kuhudhuriwa na Viongozi wakuu wa Makundi ya Waasi hao akiwemo Kiongozi Mkuu Corneille Nangaa ambaye ni Kiongozi Congo River Allience na Muungano wao, Bertrand Bisimwa ambaye ni Kiongozi Mkuu wa M23 na Luteni Kanali Willy Ngoma ambaye ni Msemaji wa M23. Mkutano huo uliohudhuriwa na maelfu ya Wananchi wa Goma huku wakiushangilia kwa nderemo na vifijo ambapo baadhi ya Watu nje na ndani ya DR Congo wameshangaza kwamba kumbe Wananchi wengi pia wanaunga mkono Waasi hao na wapo pamoja nao. Lugha ya Kiswahili ilitumika Viongozi hao na kutoa mipango yao ya kuichukua Nchi nzima kutoka kwa Serikali iliyopo madarakani inayoongozwa na Rais Felix Tshisekedi. Msemaji wa M23, Willy Ngoma akiwa Jukwaani aliwauliza Wananchi "mnataka tuishie hapa Goma tu? " Wananchi kwa shangwe kubwa wakajibu "hapana".
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·452 مشاهدة
  • Je, nini kinaweza kuwa suluhisho la kudumu kwa Kivu Kaskazini na DRC kwa ujumla?

    Mazungumzo ya kina na makundi ya waasi – Kupitia majadiliano yanayojumuisha waasi, serikali, na wadau wa kikanda ili kufikia makubaliano ya amani.

    Kushughulikia mizizi ya mgogoro – Mgogoro wa DRC unahusiana na rasilimali, ukabila, na siasa za kikanda. Ni lazima kuwe na suluhisho la kisera linalozingatia haya yote.

    Msaada wa kimataifa wenye ufanisi – Umoja wa Mataifa na jumuiya za kikanda kama AU na EAC wanapaswa kushirikiana kuhakikisha kuwa msaada wa kijeshi na diplomasia unakwenda sambamba.

    Marekebisho ya kijeshi na kiuchumi – Kuimarisha jeshi la DRC na kupunguza utegemezi wa wanajeshi wa kigeni, pamoja na kuweka mikakati ya maendeleo ili wananchi wa Kivu Kaskazini wapate ajira na fursa badala ya kushawishika kujiunga na makundi ya waasi.

    Kwa sasa, swali kubwa linabaki:

    Je, Tshisekedi atachagua vita au diplomasia?

    Na je, nini kingekuwa suluhisho la kudumu kwa mgogoro wa Kivu Kaskazini na DRC kwa ujumla?
    Je, nini kinaweza kuwa suluhisho la kudumu kwa Kivu Kaskazini na DRC kwa ujumla? Mazungumzo ya kina na makundi ya waasi – Kupitia majadiliano yanayojumuisha waasi, serikali, na wadau wa kikanda ili kufikia makubaliano ya amani. Kushughulikia mizizi ya mgogoro – Mgogoro wa DRC unahusiana na rasilimali, ukabila, na siasa za kikanda. Ni lazima kuwe na suluhisho la kisera linalozingatia haya yote. Msaada wa kimataifa wenye ufanisi – Umoja wa Mataifa na jumuiya za kikanda kama AU na EAC wanapaswa kushirikiana kuhakikisha kuwa msaada wa kijeshi na diplomasia unakwenda sambamba. Marekebisho ya kijeshi na kiuchumi – Kuimarisha jeshi la DRC na kupunguza utegemezi wa wanajeshi wa kigeni, pamoja na kuweka mikakati ya maendeleo ili wananchi wa Kivu Kaskazini wapate ajira na fursa badala ya kushawishika kujiunga na makundi ya waasi. Kwa sasa, swali kubwa linabaki: Je, Tshisekedi atachagua vita au diplomasia? Na je, nini kingekuwa suluhisho la kudumu kwa mgogoro wa Kivu Kaskazini na DRC kwa ujumla?
    Wow
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·357 مشاهدة
  • Huyu hapa kocha mpya wa Yanga alietambulishwa na hiyo ni profile yake mwananchi weka kama haupo kinyonge
    Huyu hapa kocha mpya wa Yanga alietambulishwa na hiyo ni profile yake💚💛 mwananchi weka ✅ kama haupo kinyonge
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·366 مشاهدة
  • TAARIFA KWA UMMA Mwananchi umeipokeaje je Uongozi wa Yanga wamefeli ua wapo sawa
    TAARIFA KWA UMMA Mwananchi umeipokeaje je Uongozi wa Yanga wamefeli ua wapo sawa💚💚💛💛
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·450 مشاهدة
  • Rais wa Marekani , Donald Trump ameendelea na msimamo wake na kuweka mkazo kuhusu kuifanya Nchi ya Canada kuwa jimbo la (51) la Nchi ya Marekani. Kupitia ukurasa wake wa mtandao X, Rais huyo amesema kuwa Nchi yake ya Marekani inatumia mabilioni ya fedha na punguzo za ushuru kuihudumia Canada hivyo hakuna haja Nchi hiyo kuendelea kuifaidi Marekani wakati ingeweza kuwa sehemu ya Marekani na kupata unafuu bila kuinyonya Nchi ya Marekani.

    Donald Trump amesema iwapo Nchi ya Canada itakataa mpango huo basi tozo na ushuru wa bidhaa kwa Taifa hilo utapanda mara dufu na kulingana mataifa mengine. Trump amesema iwapo Canada ikijiunga na Marekani hakutakuwa na tozo wala mazuio ya maelfu ya Raia wa Canada wanaoingia Marekani kufanya kazi.

    Ikumbukwe kwamba Nchi za Canada na Mexico ni kati ya mataifa yenye Raia wengi wanaofanya kazi za kujiingizia kipato Nchini Marekani ambao hawana vibali halali vya kazi na uhamiaji (Wahamiaji haramu). Tayari Donald Trump ameshaongea na Viongozi wakuu wa mataifa hayo na kuwapa muda wa siku thelathini (30) kuchukua hatua kwa mapendekezo yake ama utozaji wa tozo na ushuru wa asilimia (25) kwa bidhaa zao uanze mara moja.

    Viongozi wa Nchi hizo wamekiri kupokea maelekezo ya Trump na kuahidi kuchukua hatua ikiwemo kuzuia mipaka yao kuwa njia za Wahamiaji haramu. Waziri Mkuu wa Canada, Justin Tradeau amesema Canada kuwa sehemu ya Marekani haitawezekana licha ya kwamba huenda wakakutana rungu la kiuchumi kisha Wananchi wakaamua wenyewe kupitia uchunguzi (kura).

    Rais wa Marekani 🇺🇸, Donald Trump ameendelea na msimamo wake na kuweka mkazo kuhusu kuifanya Nchi ya Canada 🇨🇦 kuwa jimbo la (51) la Nchi ya Marekani. Kupitia ukurasa wake wa mtandao X, Rais huyo amesema kuwa Nchi yake ya Marekani inatumia mabilioni ya fedha na punguzo za ushuru kuihudumia Canada hivyo hakuna haja Nchi hiyo kuendelea kuifaidi Marekani wakati ingeweza kuwa sehemu ya Marekani na kupata unafuu bila kuinyonya Nchi ya Marekani. Donald Trump amesema iwapo Nchi ya Canada itakataa mpango huo basi tozo na ushuru wa bidhaa kwa Taifa hilo utapanda mara dufu na kulingana mataifa mengine. Trump amesema iwapo Canada ikijiunga na Marekani hakutakuwa na tozo wala mazuio ya maelfu ya Raia wa Canada wanaoingia Marekani kufanya kazi. Ikumbukwe kwamba Nchi za Canada na Mexico 🇲🇽 ni kati ya mataifa yenye Raia wengi wanaofanya kazi za kujiingizia kipato Nchini Marekani ambao hawana vibali halali vya kazi na uhamiaji (Wahamiaji haramu). Tayari Donald Trump ameshaongea na Viongozi wakuu wa mataifa hayo na kuwapa muda wa siku thelathini (30) kuchukua hatua kwa mapendekezo yake ama utozaji wa tozo na ushuru wa asilimia (25) kwa bidhaa zao uanze mara moja. Viongozi wa Nchi hizo wamekiri kupokea maelekezo ya Trump na kuahidi kuchukua hatua ikiwemo kuzuia mipaka yao kuwa njia za Wahamiaji haramu. Waziri Mkuu wa Canada, Justin Tradeau amesema Canada kuwa sehemu ya Marekani haitawezekana licha ya kwamba huenda wakakutana rungu la kiuchumi kisha Wananchi wakaamua wenyewe kupitia uchunguzi (kura).
    Love
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·497 مشاهدة
  • Ni tetesi

    Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga SC, S. Ramovic anatarajiwa kujiunga na klabu ya CR Belouizdad. Klabu hiyo ya Algeria ilituma ofa kwa Ramovic na kukubali kulipa fidia ya kuvunja mkataba na klabu ya Yanga SC huku klabu ya Yanga SC ikikubali kumuachia Ramovic na wamempa baraka zote.

    Inasemekana kuwa leo hii Ramovic amewaaga Wachezaji wake mazoezini alafu Mashabiki wa klabu ya Yanga SC (Wananchi) wanatarajiwa kuagwa kwenye mchezo wa Yanga SC dhidi ya klabu ya Kengold FC.

    @
    Ni tetesi Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga SC, S. Ramovic anatarajiwa kujiunga na klabu ya CR Belouizdad. Klabu hiyo ya Algeria ilituma ofa kwa Ramovic na kukubali kulipa fidia ya kuvunja mkataba na klabu ya Yanga SC huku klabu ya Yanga SC ikikubali kumuachia Ramovic na wamempa baraka zote. Inasemekana kuwa leo hii Ramovic amewaaga Wachezaji wake mazoezini alafu Mashabiki wa klabu ya Yanga SC (Wananchi) wanatarajiwa kuagwa kwenye mchezo wa Yanga SC dhidi ya klabu ya Kengold FC. @
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·390 مشاهدة
  • "Tutaboresha uwezo wetu kwenye mchezo huu unaofuata na michezo inayokuja, Ligi si rahisi timu nyingi zinazokuja kwenye huu mzunguko wa pili wanajilinda sana kutokufungwa kwa hiyo nyingi zinaona bora kupata sare kuliko kupoteza alama zote tatu, walimu wanaliona hilo na wanalifanyia kazi" Mshery

    #timuyawananchi
    #daimambelenyumamwiko
    "Tutaboresha uwezo wetu kwenye mchezo huu unaofuata na michezo inayokuja, Ligi si rahisi timu nyingi zinazokuja kwenye huu mzunguko wa pili wanajilinda sana kutokufungwa kwa hiyo nyingi zinaona bora kupata sare kuliko kupoteza alama zote tatu, walimu wanaliona hilo na wanalifanyia kazi" Mshery #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    0 التعليقات ·0 المشاركات ·719 مشاهدة
  • 𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒

    "Maandalizi yetu kwa ujumla yapo vizuri,tumejiandaa vizuri kwenda kucheza mchezo wetu dhidi ya KenGold"

    "Wamesajili wachezaji wengi wazoefu ukilinganisha na mzunguko wa kwanza, na kwetu sisi hiki ni kitu kizuri maana mechi itakuwa nzuri sana maana wana wachezaji wazoefu na wachezaji wanaojua" Mshery

    #timuyawananchi
    #daimambelenyumamwiko
    𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒💬 "Maandalizi yetu kwa ujumla yapo vizuri,tumejiandaa vizuri kwenda kucheza mchezo wetu dhidi ya KenGold" "Wamesajili wachezaji wengi wazoefu ukilinganisha na mzunguko wa kwanza, na kwetu sisi hiki ni kitu kizuri maana mechi itakuwa nzuri sana maana wana wachezaji wazoefu na wachezaji wanaojua" Mshery #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·755 مشاهدة
  • 𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒

    "Jonathan ni mchezaji mzuri sana, jambo la kwanza tunalopaswa kufanya, bila shaka, ni kumfikisha kwenye kiwango cha utimamu wa mwili tunachotaka. Kwa sababu si tu kuhusu utimamu wa mwili, bali pia kuhakikisha kwamba hapati majeraha. Ikiwa hana utimamu wa kutosha na anahitaji kukimbia kwa kasi kwenye mechi, kuna uwezekano mkubwa wa kuumia, na hilo ndilo tunalotaka kuepuka.

    Lakini bila shaka yeye ni mchezaji mzuri na katika siku zijazo atatusaidia sana" Sead Ramovic

    #timuyawananchi
    #daimambelenyumamwiko
    𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒💬 "Jonathan ni mchezaji mzuri sana, jambo la kwanza tunalopaswa kufanya, bila shaka, ni kumfikisha kwenye kiwango cha utimamu wa mwili tunachotaka. Kwa sababu si tu kuhusu utimamu wa mwili, bali pia kuhakikisha kwamba hapati majeraha. Ikiwa hana utimamu wa kutosha na anahitaji kukimbia kwa kasi kwenye mechi, kuna uwezekano mkubwa wa kuumia, na hilo ndilo tunalotaka kuepuka. Lakini bila shaka yeye ni mchezaji mzuri na katika siku zijazo atatusaidia sana" Sead Ramovic #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·784 مشاهدة
  • 𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒

    "Nadhani tumeboresha mambo mengi tangu nilipokuja, na bila shaka tunahitaji kuwa makini zaidi katika safu ya ushambuliaji. Katika mechi za mwisho, tulifunga mabao mengi na tulipata nafasi nyingi mbele ya goli. Hii ni moja ya nguvu zetu, lakini tunapaswa kuwa na umakini zaidi katika kumalizia na kujaribu kufunga mabao zaidi, kwa sababu tunataka kuwa bora katika kila kitu tunachofanya" Sead Ramovic

    #timuyawananchi
    #daimambelenyumamwiko
    𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒💬 "Nadhani tumeboresha mambo mengi tangu nilipokuja, na bila shaka tunahitaji kuwa makini zaidi katika safu ya ushambuliaji. Katika mechi za mwisho, tulifunga mabao mengi na tulipata nafasi nyingi mbele ya goli. Hii ni moja ya nguvu zetu, lakini tunapaswa kuwa na umakini zaidi katika kumalizia na kujaribu kufunga mabao zaidi, kwa sababu tunataka kuwa bora katika kila kitu tunachofanya" Sead Ramovic #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·773 مشاهدة
  • 𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒

    "Tunahitaji kujaribu kucheza kati ya mistari. Tunapaswa kucheza katika nafasi ndogo nyuma ya safu ya ulinzi. Tunahitaji kuwasambaza ili tuweze kupata nafasi kati ya mistari. Kwa ujumla, itakuwa mechi ngumu tena, lakini kama ninavyosema kila wakati, sisi ni timu bora zaidi nchini Tanzania. Tumeshinda taji mara tatu, na tunataka kushinda tena" Sead Ramovic

    #timuyawananchi
    #daimambelenyumamwiko
    𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒💬 "Tunahitaji kujaribu kucheza kati ya mistari. Tunapaswa kucheza katika nafasi ndogo nyuma ya safu ya ulinzi. Tunahitaji kuwasambaza ili tuweze kupata nafasi kati ya mistari. Kwa ujumla, itakuwa mechi ngumu tena, lakini kama ninavyosema kila wakati, sisi ni timu bora zaidi nchini Tanzania. Tumeshinda taji mara tatu, na tunataka kushinda tena" Sead Ramovic #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko
    Like
    1
    · 0 التعليقات ·0 المشاركات ·788 مشاهدة
الصفحات المعززة