• Mathayo 18:10- 12
    [10]Angalieni msidharau mmojawapo wadogo hawa; kwa maana nawaambia ya kwamba malaika wao mbinguni siku zote huutazama uso wa Baba yangu aliye mbinguni.

    *[11][Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.*

    Hili ndilo kusudi kubwa la Yesu lilikuwa ni kuja kukomboa kile kilicho ibiwa au kupotea na si kuja kukihukumu kile kilicho potea.

    Yesu alikuja ili amrejeze mwanadamu katika nafasi yake ambayo aliipoteza pale bustanini eden baada ya dhambi kuingia.

    Maandiko yanasema *"wote walio mpokea aliwapa uwezo wa kuwa wana"* na ukisha pata nafasi ya kuwa mwana unaanza kuwa na kazi sawa kabisa na Kristo Yesu ya kuwarudisha wanadamu wengine kwenye nafasi zao na ndio maana ya wokovu halisi.

    Badala ya kumtenga mpendwa aliye tenda dhambi kama mpendwa ambae umefanyika kuwa mwana unapaswa umuombee na kumrudisha kwenye nafasi yake ya kawaida.

    Yesu anatolea mfano huu
    Mathayo 18:12
    [12]Mwaonaje? Mtu akiwa na kondoo mia, mmoja akampotea, je! Hawaachi wale tisa na tisini, akaenda milimani, na kumtafuta yule aliyepotea?

    Sasa lazima tujue kama mfugaji anaweza kufanya hivyo ndivyo ata sisi watu tulio okoka tunapaswa kuishi na kutafuta kondoo wote kuwarudisha zizini kwani iko thawabu kubwa katika kufanya hivyo.

    Mfanye masihi wa Bwana ajivunie wewe katika huduma kama tu ukiweza kutokuwa na moyo wa choyo ubinsfsi na usengenyaji tunweza lete wengi Sana kwa Yesu na jina la yesu likatukuzwa sana.
    .Mathayo 7:1-2
    [1]Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi.
    Judge not, that ye be not judged.
    [2]Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa. .

    Kumbe ukiona ndugu yako anaanguka dhambini na wewe unamuona mwite mkanye ili kuutunza na kuhuheshimsha mwili wa Kristo Yesu.

    Ukisimamisha wengine na wewe itasimamishwa pia siku utakapo zimia moyo ,ukiwaacha wengine nawe utachwa siku utakapo zimia moyo .

    Tujifunze kuonyana kwa kila saa tunapo ona hatuendi tunavyo paswa kwenda wokovu ni kuonyana na kuchukuliana.

    Nikisema kuchukuliana simaanishi uingie dhambini hapana ila yakupasa kuchukuliana na wenzako ili uwarudishe watu kwenye nafasi ambayo Kristo anahiitaji .

    Kama ukifanya hivyo lazima taji upate sawa sawa na neno lake.

    Ufunuo wa Yohana 2:7
    [7]Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.

    Kukaa kwenye bustani ya Mungu siyo tu kwenda mbinguni unaanza ustawi wa maisha hapa duniani kisha uzima wa milele .

    Natumai tumejifunza kitu Mungu akubaliki sana tuwe na siku njema na asubui njema .

    Kwa mafundisho zaidi ya neno la Mungu karibu katika group
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #build new eden
    #restore men position
    Mathayo 18:10- 12 [10]Angalieni msidharau mmojawapo wadogo hawa; kwa maana nawaambia ya kwamba malaika wao mbinguni siku zote huutazama uso wa Baba yangu aliye mbinguni. *[11][Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.* Hili ndilo kusudi kubwa la Yesu lilikuwa ni kuja kukomboa kile kilicho ibiwa au kupotea na si kuja kukihukumu kile kilicho potea. Yesu alikuja ili amrejeze mwanadamu katika nafasi yake ambayo aliipoteza pale bustanini eden baada ya dhambi kuingia. Maandiko yanasema *"wote walio mpokea aliwapa uwezo wa kuwa wana"* na ukisha pata nafasi ya kuwa mwana unaanza kuwa na kazi sawa kabisa na Kristo Yesu ya kuwarudisha wanadamu wengine kwenye nafasi zao na ndio maana ya wokovu halisi. Badala ya kumtenga mpendwa aliye tenda dhambi kama mpendwa ambae umefanyika kuwa mwana unapaswa umuombee na kumrudisha kwenye nafasi yake ya kawaida. Yesu anatolea mfano huu Mathayo 18:12 [12]Mwaonaje? Mtu akiwa na kondoo mia, mmoja akampotea, je! Hawaachi wale tisa na tisini, akaenda milimani, na kumtafuta yule aliyepotea? Sasa lazima tujue kama mfugaji anaweza kufanya hivyo ndivyo ata sisi watu tulio okoka tunapaswa kuishi na kutafuta kondoo wote kuwarudisha zizini kwani iko thawabu kubwa katika kufanya hivyo. Mfanye masihi wa Bwana ajivunie wewe katika huduma kama tu ukiweza kutokuwa na moyo wa choyo ubinsfsi na usengenyaji tunweza lete wengi Sana kwa Yesu na jina la yesu likatukuzwa sana. .Mathayo 7:1-2 [1]Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi. Judge not, that ye be not judged. [2]Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa. . Kumbe ukiona ndugu yako anaanguka dhambini na wewe unamuona mwite mkanye ili kuutunza na kuhuheshimsha mwili wa Kristo Yesu. Ukisimamisha wengine na wewe itasimamishwa pia siku utakapo zimia moyo ,ukiwaacha wengine nawe utachwa siku utakapo zimia moyo . Tujifunze kuonyana kwa kila saa tunapo ona hatuendi tunavyo paswa kwenda wokovu ni kuonyana na kuchukuliana. Nikisema kuchukuliana simaanishi uingie dhambini hapana ila yakupasa kuchukuliana na wenzako ili uwarudishe watu kwenye nafasi ambayo Kristo anahiitaji . Kama ukifanya hivyo lazima taji upate sawa sawa na neno lake. Ufunuo wa Yohana 2:7 [7]Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu. Kukaa kwenye bustani ya Mungu siyo tu kwenda mbinguni unaanza ustawi wa maisha hapa duniani kisha uzima wa milele . Natumai tumejifunza kitu Mungu akubaliki sana tuwe na siku njema na asubui njema . Kwa mafundisho zaidi ya neno la Mungu karibu katika group https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #build new eden #restore men position
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·87 Visualizações
  • UAMSHO.
    Maana ni kurudi kwenye uzima.
    Ni mminiko wa nguvu na uwepo wa Mungu ndani ya mtu uletao kibali ,neema na baraka.

    Uamsho ni uziilisho wa roho mtakatifu ndani ya mtu na kuleta matokeo chanya.

    Kwa kawaida tunaamsha kitu kilicho lala ,ko lengo la somo hili ni kurejesha uzimani nafsi ya mtu mmoja mmoja .

    Uamsho ni jambo linalo anza na mtu kisha matokeo ya uamsho ndiyo yanayo tukuta sote.

    Mfano mfalme Yosiah alilisi ufalme baada ya baba yake kufa na baba yake alikuwa mfalme Ahazia ambaye akufanya mema machoni pa Bwana.

    2 Wafalme 22:13
    [13]Enendeni, mkamwulize BWANA kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu hawa, na kwa ajili ya Yuda yote, katika habari za maneno ya kitabu hiki kilichoonekana; kwa kuwa hasira ya BWANA ni kubwa aliyotukasirikia, kwa sababu baba zetu hawakuyaangalia maneno ya kitabu hiki, kufanya kama hayo yote tuliyoandikiwa.

    Baada ya kuuliza sasa sikiliza jawabu alilo pewa .

    [16]BWANA asema hivi, Tazama, mimi nitaleta uovu juu ya mahali hapa, na juu yao wakaao hapa, naam, maneno yote ya kitabu alichokisoma mfalme wa Yuda;

    [17]kwa sababu wameniacha mimi, wameifukizia uvumba miungu mingine, ili wapate kunikasirisha kwa kazi yote ya mikono yao; kwa hiyo hasira yangu itawaka juu ya mahali hapa, isizimike

    Kumbe kuna mambo unayapatia sababu tu walio kutangulia waliyafanya ndio maana tunahitqji uamsho.

    muda wa uamsho ndani ya nyumba ya baba yake na taifa lote ulifika .

    Kilicho fanya yuda uqmsho uje ni baada ya kusikia habari za kitabu cha torati ambalo leo hii ndio neno la Mungu.

    2wafalme 22:18-20.

    Ukisoma hapo utaona alivho kifanya baada ya kusikia habari za kitabu aliamua kukusanya wafalme wa yuda wote kwa ajiri ya kuwaambia .

    Na alipo wakusanya kwa kuwa uamsho ni wa mtu akafanya agano lake na Mungu.

    Yeye aliazimia mambo kazaa moja

    1.nikumfuata Bwana
    2.kuyashika maagizo yote.
    3.kuzifuata shuhuda zake .
    4.kuzifuata na kutii amri zake .
    5.navyote hivi atavifanya kwa moyo wote na kwa roho yake yote.

    Baada ya mfalme Yosiah kufanya agano na Mungu wake matokeoa yake wengine wote wakalifuata lile agano .

    Uamsho ndivyo unavyo fanyika ni lazima wewe ulie amua kuwa mfuasi wa kristo uweke agano na Mungu ndipo matokeo yake wengine watakuja ndani ya agano lako.

    Na ndio wanavyo fanya wote waacha alama katika dunia.

    Sababu ya uchovu wa imani makanisa tunazani uamsho ni wa kila mtu na kuhimizana mara utasikia ibada ya uamsho no wafundishe watu wamjue roho mtakatifu lazima watakuwa wameamka.

    Nakukumbusha kuwa huyu mtu yeye alikuwa mwema na aliahidiwa kustarehe na kuishi maisha ya amani mpaka anakufa .

    Ukiendelea kusoma utaona jama alivunja sanamu zote ,ambazo baba zake waliweka kuziabudu alivunja,akawatoa makuhani wote waliowekwa, akawatoa makuhani wote ,mahanithi wote wanawake wafuma mapazia.

    Kama watu tunataka kuwa chanzo cha uamsho lazima lazima ukubali kuacha asili yako na kama yosiah alivyo acha na kumfuatq bwana.

    Kuna mtu mwingine pia anaitwa Yoshua pia alipo taka kurudisha kanisa maala pake aliwapa chaguo lakini yeye alikuwa na azimio lake ndani ya moyo wake.

    Yoshua 24:15-16
    [15]Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng’ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA.
    .
    [16]Hao watu wakajibu wakasema, Hasha! Tusimwache BWANA, ili kuitumikia miungu mingine;

    Islaeri walipo anza kufuata miungu mingine alilazimika kuonyesha njia na njia hiyo ni kuwapa watu chaguo huku yeye akifanya agano na Mungu.

    Mchungaji kabla ujawaza kuhusu uamsho jiulize wewe je umeazimia kumfuata bwana kama shujaaa wako au na wewe una mashaka.

    Kama unapenda kujifunza zaidi neno karibu katika group la watsap.
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden)

    #build new eden
    #restore men position
    UAMSHO. Maana ni kurudi kwenye uzima. Ni mminiko wa nguvu na uwepo wa Mungu ndani ya mtu uletao kibali ,neema na baraka. Uamsho ni uziilisho wa roho mtakatifu ndani ya mtu na kuleta matokeo chanya. Kwa kawaida tunaamsha kitu kilicho lala ,ko lengo la somo hili ni kurejesha uzimani nafsi ya mtu mmoja mmoja . Uamsho ni jambo linalo anza na mtu kisha matokeo ya uamsho ndiyo yanayo tukuta sote. Mfano mfalme Yosiah alilisi ufalme baada ya baba yake kufa na baba yake alikuwa mfalme Ahazia ambaye akufanya mema machoni pa Bwana. 2 Wafalme 22:13 [13]Enendeni, mkamwulize BWANA kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu hawa, na kwa ajili ya Yuda yote, katika habari za maneno ya kitabu hiki kilichoonekana; kwa kuwa hasira ya BWANA ni kubwa aliyotukasirikia, kwa sababu baba zetu hawakuyaangalia maneno ya kitabu hiki, kufanya kama hayo yote tuliyoandikiwa. Baada ya kuuliza sasa sikiliza jawabu alilo pewa . [16]BWANA asema hivi, Tazama, mimi nitaleta uovu juu ya mahali hapa, na juu yao wakaao hapa, naam, maneno yote ya kitabu alichokisoma mfalme wa Yuda; [17]kwa sababu wameniacha mimi, wameifukizia uvumba miungu mingine, ili wapate kunikasirisha kwa kazi yote ya mikono yao; kwa hiyo hasira yangu itawaka juu ya mahali hapa, isizimike Kumbe kuna mambo unayapatia sababu tu walio kutangulia waliyafanya ndio maana tunahitqji uamsho. muda wa uamsho ndani ya nyumba ya baba yake na taifa lote ulifika . Kilicho fanya yuda uqmsho uje ni baada ya kusikia habari za kitabu cha torati ambalo leo hii ndio neno la Mungu. 2wafalme 22:18-20. Ukisoma hapo utaona alivho kifanya baada ya kusikia habari za kitabu aliamua kukusanya wafalme wa yuda wote kwa ajiri ya kuwaambia . Na alipo wakusanya kwa kuwa uamsho ni wa mtu akafanya agano lake na Mungu. Yeye aliazimia mambo kazaa moja 1.nikumfuata Bwana 2.kuyashika maagizo yote. 3.kuzifuata shuhuda zake . 4.kuzifuata na kutii amri zake . 5.navyote hivi atavifanya kwa moyo wote na kwa roho yake yote. Baada ya mfalme Yosiah kufanya agano na Mungu wake matokeoa yake wengine wote wakalifuata lile agano . Uamsho ndivyo unavyo fanyika ni lazima wewe ulie amua kuwa mfuasi wa kristo uweke agano na Mungu ndipo matokeo yake wengine watakuja ndani ya agano lako. Na ndio wanavyo fanya wote waacha alama katika dunia. Sababu ya uchovu wa imani makanisa tunazani uamsho ni wa kila mtu na kuhimizana mara utasikia ibada ya uamsho no wafundishe watu wamjue roho mtakatifu lazima watakuwa wameamka. Nakukumbusha kuwa huyu mtu yeye alikuwa mwema na aliahidiwa kustarehe na kuishi maisha ya amani mpaka anakufa . Ukiendelea kusoma utaona jama alivunja sanamu zote ,ambazo baba zake waliweka kuziabudu alivunja,akawatoa makuhani wote waliowekwa, akawatoa makuhani wote ,mahanithi wote wanawake wafuma mapazia. Kama watu tunataka kuwa chanzo cha uamsho lazima lazima ukubali kuacha asili yako na kama yosiah alivyo acha na kumfuatq bwana. Kuna mtu mwingine pia anaitwa Yoshua pia alipo taka kurudisha kanisa maala pake aliwapa chaguo lakini yeye alikuwa na azimio lake ndani ya moyo wake. Yoshua 24:15-16 [15]Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng’ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA. . [16]Hao watu wakajibu wakasema, Hasha! Tusimwache BWANA, ili kuitumikia miungu mingine; Islaeri walipo anza kufuata miungu mingine alilazimika kuonyesha njia na njia hiyo ni kuwapa watu chaguo huku yeye akifanya agano na Mungu. Mchungaji kabla ujawaza kuhusu uamsho jiulize wewe je umeazimia kumfuata bwana kama shujaaa wako au na wewe una mashaka. Kama unapenda kujifunza zaidi neno karibu katika group la watsap. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden) #build new eden #restore men position
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·257 Visualizações
  • Sauti ya Mungu na maelekezo ya Mungu imeandaliwa specific kwa wanadamu.


    Mithali 8:4
    [4]Enyi watu, nawaita ninyi;
    Na sauti yangu ni kwa wanadamu.

    Mwanadamu anaye sikia sauti ya Mungu ndiye anayekuwa mtawala wa kila kitu.

    Mwanzo 1:26
    [26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.

    Kama ukiweza kuishi katika mapenzi ya Mungu basi yeye ni kila kitu .

    Mtu baada ya kuokoka anaznza kutembea katka kusudi la Mungu,kusikia sauti ya Mungu lazima la atapata zaidi ya vile aombavyo.

    Kanuni ya kupata katokeo unaposikia sauti ya Mungu.

    Mali ni zawadi ,nyumba ni zawadi lakini ili upate izo zawadi lazima ufuate kanuni ya kumcha MUNGU.

    Mithali 8:13
    [13]Kumcha BWANA ni kuchukia uovu;
    Kiburi na majivuno, na njia mbovu,
    Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia.

    Kumbz ili ufike kusema unamcha Bwana lazima uwe mtu wa kuchukia uovu kwa moyo wote .

    Na mtu ili awe wake Mungu au afanyike kuwa mwana lazima achukie uovu seriously kabisa.

    Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    Kwa mafundisho zaidi unaweza kujiungaletu la watsap.
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #Build new eden
    #Restoremenposition
    Sauti ya Mungu na maelekezo ya Mungu imeandaliwa specific kwa wanadamu. Mithali 8:4 [4]Enyi watu, nawaita ninyi; Na sauti yangu ni kwa wanadamu. Mwanadamu anaye sikia sauti ya Mungu ndiye anayekuwa mtawala wa kila kitu. Mwanzo 1:26 [26]Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi. Kama ukiweza kuishi katika mapenzi ya Mungu basi yeye ni kila kitu . Mtu baada ya kuokoka anaznza kutembea katka kusudi la Mungu,kusikia sauti ya Mungu lazima la atapata zaidi ya vile aombavyo. Kanuni ya kupata katokeo unaposikia sauti ya Mungu. Mali ni zawadi ,nyumba ni zawadi lakini ili upate izo zawadi lazima ufuate kanuni ya kumcha MUNGU. Mithali 8:13 [13]Kumcha BWANA ni kuchukia uovu; Kiburi na majivuno, na njia mbovu, Na kinywa cha ukaidi pia nakichukia. Kumbz ili ufike kusema unamcha Bwana lazima uwe mtu wa kuchukia uovu kwa moyo wote . Na mtu ili awe wake Mungu au afanyike kuwa mwana lazima achukie uovu seriously kabisa. Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) Kwa mafundisho zaidi unaweza kujiungaletu la watsap. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #Build new eden #Restoremenposition
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·304 Visualizações
  • .Wafilipi 4:13
    [13]Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu.

    Hii ni siri kwa mtu aliye okoka katika kila jambo unapaswa kumtazama Bwana kwani katika yote unaweza.

    Si mambo nusu Mambo yote bwana anawezq kukusaidia.

    Ili maneno haya yawe kwako lazima ujue siri hizi kuwa

    -Msaada wote ni katika Bwana.
    Zaburi 121:2
    Msaada wangu u katika BWANA, Aliyezifanya mbingu na nchi.

    -lazima ujue kumngojea Bwana na kumtazamia
    Mika 7:7
    Lakini mimi, nitamtazamia BWANA; nitamngojea Mungu wa wokovu wangu; Mungu wangu atanisikia.

    -Lazima ujue kuomba Bwana katika kila jambo .
    Yakobo 5:18
    Kisha akaomba tena inyeshe, na anga ikatoa mvua, na ardhi ikatoa mazao

    Elia alikuwa mwanadamu kama sisi lakini aliijua siri hii kuwa anayaweza mambo yote katika yeye amtiae nguvu na alisimamisha mvua na matokeo yalionekana.

    Lazima uwe mtu wa kupanda kwa machozi.

    Zaburi 126:5-6
    Wapandao kwa machozi Watavuna kwa kelele za furaha. Ingawa mtu anakwenda zake akilia, Azichukuapo mbegu za kupanda. Hakika atarudi kwa kelele za furaha, Aichukuapo miganda yake

    Ili uone matokeo lazima uwe mtu wa kupanda kwa mchozi .

    Abrahamu alimwamini Mungu kiasi cha kuwa tayari ata kutoa mwana wake ni kwasababu alijia siri hii ya kuwa katika yeye yote yanawezekana.

    -Tumaini lako liwe kwa bwana tu
    Ombolezo 3:25
    Ni huruma za BWANA kwamba hatuangamii, Kwa kuwa rehema zake hazikomi. Ni mpya kila siku asubuhi; Uaminifu wako ni mkuu. BWANA ndiye fungu langu, husema nafsi yangu, *Kwa hiyo nitamtumaini yeye. BWANA ni mwema kwa hao wamngojeao, Kwa hiyo nafsi imtafutayo.*

    Ukifika level hiyo utqkuwa na ujasiri ya kuliishi neno hili nayaweza maombo yote katika yeye anitiaye nguvu.

    Mfano ayubu alijua siri hii pia
    Ayubu 14:7
    “Kwa maana lipo tumaini kwa mti; kama ukikatwa utachipuka tena, nayo machipukizi yake mapya hayatakoma.

    Ko ukiliishi neno letu la leo uwezi ona vitu vigumu badala yake utafanya kwa kufuata maelekezo ya Bwana .

    Na nakuhakikishia kama ukifuata sawa sawa na neno lake basi matokeo lazima uyapate tu .

    *wokovu ni matokeo ya kuyaweza mambo yote ni wewe tu ulikuwa ujui siri hii.*

    Amina nikutakie jion njema ya baraka na neema .

    Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden).

    Ukitaka kujifunza neno karibu katika group la watsap pia .
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4
    #Build new eden
    #Restoremenposition
    .Wafilipi 4:13 [13]Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu. Hii ni siri kwa mtu aliye okoka katika kila jambo unapaswa kumtazama Bwana kwani katika yote unaweza. Si mambo nusu Mambo yote bwana anawezq kukusaidia. Ili maneno haya yawe kwako lazima ujue siri hizi kuwa -Msaada wote ni katika Bwana. Zaburi 121:2 Msaada wangu u katika BWANA, Aliyezifanya mbingu na nchi. -lazima ujue kumngojea Bwana na kumtazamia Mika 7:7 Lakini mimi, nitamtazamia BWANA; nitamngojea Mungu wa wokovu wangu; Mungu wangu atanisikia. -Lazima ujue kuomba Bwana katika kila jambo . Yakobo 5:18 Kisha akaomba tena inyeshe, na anga ikatoa mvua, na ardhi ikatoa mazao Elia alikuwa mwanadamu kama sisi lakini aliijua siri hii kuwa anayaweza mambo yote katika yeye amtiae nguvu na alisimamisha mvua na matokeo yalionekana. Lazima uwe mtu wa kupanda kwa machozi. Zaburi 126:5-6 Wapandao kwa machozi Watavuna kwa kelele za furaha. Ingawa mtu anakwenda zake akilia, Azichukuapo mbegu za kupanda. Hakika atarudi kwa kelele za furaha, Aichukuapo miganda yake Ili uone matokeo lazima uwe mtu wa kupanda kwa mchozi . Abrahamu alimwamini Mungu kiasi cha kuwa tayari ata kutoa mwana wake ni kwasababu alijia siri hii ya kuwa katika yeye yote yanawezekana. -Tumaini lako liwe kwa bwana tu Ombolezo 3:25 Ni huruma za BWANA kwamba hatuangamii, Kwa kuwa rehema zake hazikomi. Ni mpya kila siku asubuhi; Uaminifu wako ni mkuu. BWANA ndiye fungu langu, husema nafsi yangu, *Kwa hiyo nitamtumaini yeye. BWANA ni mwema kwa hao wamngojeao, Kwa hiyo nafsi imtafutayo.* Ukifika level hiyo utqkuwa na ujasiri ya kuliishi neno hili nayaweza maombo yote katika yeye anitiaye nguvu. Mfano ayubu alijua siri hii pia Ayubu 14:7 “Kwa maana lipo tumaini kwa mti; kama ukikatwa utachipuka tena, nayo machipukizi yake mapya hayatakoma. Ko ukiliishi neno letu la leo uwezi ona vitu vigumu badala yake utafanya kwa kufuata maelekezo ya Bwana . Na nakuhakikishia kama ukifuata sawa sawa na neno lake basi matokeo lazima uyapate tu . *wokovu ni matokeo ya kuyaweza mambo yote ni wewe tu ulikuwa ujui siri hii.* Amina nikutakie jion njema ya baraka na neema . Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden). Ukitaka kujifunza neno karibu katika group la watsap pia . https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #Build new eden #Restoremenposition
    Sad
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·347 Visualizações
  • Nadhani SocialPop inahitaji Maboresho Makubwa sana na Uwekezaji wa Kutosha.

    Video Upload Limit ya file ni 10 MB tu means ukiwa na Video file yenye zaidi ya 10 MB huwezi kuiupload SocialPop, nadhani kuna namna server hamjaiweka sawa. Tuingie Mitamboni tena!

    Tungepata pia Mtu wa UX & UI angefit sana katika kudesign Home Page na baadhi ya Maeneo ya App iwe na Muonekano Smart na Unaovutia zaidi.

    Ninawaamini Developers hamna kazi ndogo, lifanyieni hili kazi. Fungueni Fursa za Uwekezaji kwa Mikataba rafiki na yenye faida kwa wote Investors tuwekeze Mtandao ukue zaidi. Tanzania Hatuwezi kuwa Chini kila siku, ni wakati wetu wa Kupiga hatua.
    Nadhani SocialPop inahitaji Maboresho Makubwa sana na Uwekezaji wa Kutosha. Video Upload Limit ya file ni 10 MB tu means ukiwa na Video file yenye zaidi ya 10 MB huwezi kuiupload SocialPop, nadhani kuna namna server hamjaiweka sawa. Tuingie Mitamboni tena! Tungepata pia Mtu wa UX & UI angefit sana katika kudesign Home Page na baadhi ya Maeneo ya App iwe na Muonekano Smart na Unaovutia zaidi. Ninawaamini Developers hamna kazi ndogo, lifanyieni hili kazi. Fungueni Fursa za Uwekezaji kwa Mikataba rafiki na yenye faida kwa wote Investors tuwekeze Mtandao ukue zaidi. Tanzania Hatuwezi kuwa Chini kila siku, ni wakati wetu wa Kupiga hatua.
    Love
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·171 Visualizações
  • Sefania 1:15,17-18
    [15]Siku ile ni siku ya ghadhabu,
    Siku ya fadhaa na dhiki,
    Siku ya uharibifu na ukiwa,
    Siku ya giza na utusitusi,
    Siku ya mawingu na giza kuu,

    [17]Nami nitawaletea wanadamu dhiki, hata watakwenda kama vipofu, kwa sababu wamemtenda BWANA dhambi; na damu yao itamwagwa kama mavumbi, na nyama yao kama mavi.
    .
    [18]Fedha yao wala dhahabu yao havitaweza kuwaokoa katika siku ile ya ghadhabu ya BWANA; bali nchi yote pia itateketezwa kwa moto wa wivu wake; maana atawakomesha watu wote wakaao katika nchi hii, naam, ukomo wa kutisha.

    Siku ngumu sana siku ile kila mwanadamu atalipwa kadiri ya matendo yake .

    Siku ile inayozungumzwa hapo ni siku ya mwisho ambayo ipo katika nafasi tofauti siku ya kutwaliwa kwako kama ukutenda wema ni siku ya dhiki na giza kwako kwani hakuta hakuta kuwa na nafasi nyingine ya kutengeneza.

    Mungu hutoa nafasi ya kutengeneza mara moja tu ambayo ni kipindi uko hai matendo yako ndo ufunguo wa nuru yako au giza yako.

    Mwanadamu anajivunia fedha na uchumi wake au vitu vyake siku ile havita kuokoa badala yake utaviacha wakati wewe unaishi katika giza nene la kutisha na uku ukiteseka kuzimu kisha ukiusubiri moto.

    Mpokeee Yesu leo , tengeneza maisha yako kabla hii siku ya dhiki na uovu haijafika kwa maisha yako ili ukapumzike kifuani pa Ibrahimu umwakati ukisubiri ile siku kuu.

    Yoeli 2:3
    [3]Moto unakula mbele yao; na nyuma yao miali ya moto inateketeza; hiyo nchi inafanana na bustani ya Adeni mbele yao, na nyuma yao imekuwa jangwa tupu; naam, hakuna aliyeokoka asipatikane nao.

    Dhambi itasababisha nchi kuwa giza nene na kila mtu atalia kilio kikuu sababu tu ya uovu.

    Siku hiyo iko karibu mno badili maisha yako leo hii Yesu aingie kwako ili siku ile ya dhiki na giza Bwana awe msaada wako tele na upumzike kwa wema wako.

    Ufunuo wa Yohana 22:11
    [11]Mwenye kudhulumu na azidi kudhulumu; na mwenye uchafu na azidi kuwa mchafu; na mwenye haki na azidi kufanya haki; na mtakatifu na azidi kutakaswa.

    Badilisha njia zako asubui hii na Yesu akupe kushinda sawa sawa na neno lake

    Ufunuo wa Yohana 16:15
    [15](Tazama, naja kama mwivi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake.)

    Shika sana ulicho nacho ndugu yangu usije ukaikosa mbingu.

    Tunza sana karama ns huduma yako usije ukaingia katika ile siku ya dhiki badala yako iwe siku ya ushindi.

    Ufunuo wa Yohana 22:12,14
    [12]Tazama, naja upesi, na ujira wangu u pamoja nami, kumlipa kila mtu kama kazi yake ilivyo.

    [14]Heri wazifuao nguo zao, wawe na amri kuuendea huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa milango yake.

    Zidi kujitakasa kila siku ili siku ile ikikute umefua na uko na mavazi safi kwa sjiri ya kwenda na Bwana.

    Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new ede )

    #build new eden
    #restore men position
    Sefania 1:15,17-18 [15]Siku ile ni siku ya ghadhabu, Siku ya fadhaa na dhiki, Siku ya uharibifu na ukiwa, Siku ya giza na utusitusi, Siku ya mawingu na giza kuu, [17]Nami nitawaletea wanadamu dhiki, hata watakwenda kama vipofu, kwa sababu wamemtenda BWANA dhambi; na damu yao itamwagwa kama mavumbi, na nyama yao kama mavi. . [18]Fedha yao wala dhahabu yao havitaweza kuwaokoa katika siku ile ya ghadhabu ya BWANA; bali nchi yote pia itateketezwa kwa moto wa wivu wake; maana atawakomesha watu wote wakaao katika nchi hii, naam, ukomo wa kutisha. Siku ngumu sana siku ile kila mwanadamu atalipwa kadiri ya matendo yake . Siku ile inayozungumzwa hapo ni siku ya mwisho ambayo ipo katika nafasi tofauti siku ya kutwaliwa kwako kama ukutenda wema ni siku ya dhiki na giza kwako kwani hakuta hakuta kuwa na nafasi nyingine ya kutengeneza. Mungu hutoa nafasi ya kutengeneza mara moja tu ambayo ni kipindi uko hai matendo yako ndo ufunguo wa nuru yako au giza yako. Mwanadamu anajivunia fedha na uchumi wake au vitu vyake siku ile havita kuokoa badala yake utaviacha wakati wewe unaishi katika giza nene la kutisha na uku ukiteseka kuzimu kisha ukiusubiri moto. Mpokeee Yesu leo , tengeneza maisha yako kabla hii siku ya dhiki na uovu haijafika kwa maisha yako ili ukapumzike kifuani pa Ibrahimu umwakati ukisubiri ile siku kuu. Yoeli 2:3 [3]Moto unakula mbele yao; na nyuma yao miali ya moto inateketeza; hiyo nchi inafanana na bustani ya Adeni mbele yao, na nyuma yao imekuwa jangwa tupu; naam, hakuna aliyeokoka asipatikane nao. Dhambi itasababisha nchi kuwa giza nene na kila mtu atalia kilio kikuu sababu tu ya uovu. Siku hiyo iko karibu mno badili maisha yako leo hii Yesu aingie kwako ili siku ile ya dhiki na giza Bwana awe msaada wako tele na upumzike kwa wema wako. Ufunuo wa Yohana 22:11 [11]Mwenye kudhulumu na azidi kudhulumu; na mwenye uchafu na azidi kuwa mchafu; na mwenye haki na azidi kufanya haki; na mtakatifu na azidi kutakaswa. Badilisha njia zako asubui hii na Yesu akupe kushinda sawa sawa na neno lake Ufunuo wa Yohana 16:15 [15](Tazama, naja kama mwivi. Heri akeshaye, na kuyatunza mavazi yake, asiende uchi hata watu wakaione aibu yake.) Shika sana ulicho nacho ndugu yangu usije ukaikosa mbingu. Tunza sana karama ns huduma yako usije ukaingia katika ile siku ya dhiki badala yako iwe siku ya ushindi. Ufunuo wa Yohana 22:12,14 [12]Tazama, naja upesi, na ujira wangu u pamoja nami, kumlipa kila mtu kama kazi yake ilivyo. [14]Heri wazifuao nguo zao, wawe na amri kuuendea huo mti wa uzima, na kuingia mjini kwa milango yake. Zidi kujitakasa kila siku ili siku ile ikikute umefua na uko na mavazi safi kwa sjiri ya kwenda na Bwana. Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new ede ) #build new eden #restore men position
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·329 Visualizações
  • 1 Yohana 3:1-3
    [1]Tazameni, ni pendo la namna gani alilotupa Baba, kwamba tuitwe wana wa Mungu; na ndivyo tulivyo. Kwa sababu hii ulimwengu haututambui, kwa kuwa haukumtambua yeye.
    .
    [2]Wapenzi, sasa tu wana wa Mungu, wala haijadhihirika bado tutakavyokuwa; lakini twajua ya kuwa atakapodhihirishwa, tutafanana naye; kwa maana tutamwona kama alivyo.

    [3]Na kila mwenye matumaini haya katika yeye hujitakasa, kama yeye alivyo mtakatifu.

    Huu ni upendo wa Kristo kuwa mtu akimwamini anamfanya kuwa mwana na anakuwa sehemu ya urithi.

    Kwani kwa kawaida mwana ndiye anayerithi sehemu ya badaye.na Mungu anatufanya kuwa wana kwa kupitia Yesu Kristo.

    Na kama ukiwa mwana maana yake upaswi kuwa wakawaida ,wewe ni mbarikiwa na mrithi wa baraka zote alizopewa Abraham baba yetu katika imani.

    Yohana 1:12-13
    [12]Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake;

    [13]waliozaliwa, si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu.

    Naendelea kukuonyesha kuwa wewe ni mtoto wa Mungu toka siku ulipo okoka na kama ni hivyo ardhi lazima ikutii kama ilivyo mtii yakobo, biashara lazima ikutii kwani wewe ndiye kichwa siyo mkia.

    Changamoto kubwa watu wa Mungu imani zetu juu ya Mungu ndogo sana tunaamini sana katika maarifa yetu na jitihada zetu pekee.

    Yohana 20:17
    [17]Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu.

    Lakini ukijua siri hii utajua kuwa toka ulipo fanyika kuwa mwana kuna uwezo uliupata wa kubarikiwa kupita hesabu ya kawaida.

    Natamani ujue siri hii kuwa toka ulipo okoka wewe so mtumwa tena bali wewe ni mmliki kwa kuwa umepata uwezo wa kuwa mwana.

    Yohana 16:4
    [4]Lakini nimewaambia hayo, ili makusudi saa ile itakapokuja myakumbuke ya kuwa mimi naliwaambia.

    Utakapo onyeshwa kwenye kioo maisha yako uliyo paswa kuishi baada ya kufanyika kuwa mwana na ukifananisha na maisha ya mateso uliyo yaishi kwa kukosa ufunuo .

    Nikutakie jumapili njema sana na Mungu kufunue ujue majukumu(haki) ya mwana kwa baba yake.

    Ok naitwa sylvester Mwakabende Kutoka (build new eden)

    #Restoremenposition
    #Buildneweden
    1 Yohana 3:1-3 [1]Tazameni, ni pendo la namna gani alilotupa Baba, kwamba tuitwe wana wa Mungu; na ndivyo tulivyo. Kwa sababu hii ulimwengu haututambui, kwa kuwa haukumtambua yeye. . [2]Wapenzi, sasa tu wana wa Mungu, wala haijadhihirika bado tutakavyokuwa; lakini twajua ya kuwa atakapodhihirishwa, tutafanana naye; kwa maana tutamwona kama alivyo. [3]Na kila mwenye matumaini haya katika yeye hujitakasa, kama yeye alivyo mtakatifu. Huu ni upendo wa Kristo kuwa mtu akimwamini anamfanya kuwa mwana na anakuwa sehemu ya urithi. Kwani kwa kawaida mwana ndiye anayerithi sehemu ya badaye.na Mungu anatufanya kuwa wana kwa kupitia Yesu Kristo. Na kama ukiwa mwana maana yake upaswi kuwa wakawaida ,wewe ni mbarikiwa na mrithi wa baraka zote alizopewa Abraham baba yetu katika imani. Yohana 1:12-13 [12]Bali wote waliompokea aliwapa uwezo wa kufanyika watoto wa Mungu, ndio wale waliaminio jina lake; [13]waliozaliwa, si kwa damu, wala si kwa mapenzi ya mwili, wala si kwa mapenzi ya mtu, bali kwa Mungu. Naendelea kukuonyesha kuwa wewe ni mtoto wa Mungu toka siku ulipo okoka na kama ni hivyo ardhi lazima ikutii kama ilivyo mtii yakobo, biashara lazima ikutii kwani wewe ndiye kichwa siyo mkia. Changamoto kubwa watu wa Mungu imani zetu juu ya Mungu ndogo sana tunaamini sana katika maarifa yetu na jitihada zetu pekee. Yohana 20:17 [17]Yesu akamwambia. Usinishike; kwa maana sijapaa kwenda kwa Baba. Lakini enenda kwa ndugu zangu ukawaambie, Ninapaa kwenda kwa Baba yangu naye ni Baba yenu, kwa Mungu wangu naye ni Mungu wenu. Lakini ukijua siri hii utajua kuwa toka ulipo fanyika kuwa mwana kuna uwezo uliupata wa kubarikiwa kupita hesabu ya kawaida. Natamani ujue siri hii kuwa toka ulipo okoka wewe so mtumwa tena bali wewe ni mmliki kwa kuwa umepata uwezo wa kuwa mwana. Yohana 16:4 [4]Lakini nimewaambia hayo, ili makusudi saa ile itakapokuja myakumbuke ya kuwa mimi naliwaambia. Utakapo onyeshwa kwenye kioo maisha yako uliyo paswa kuishi baada ya kufanyika kuwa mwana na ukifananisha na maisha ya mateso uliyo yaishi kwa kukosa ufunuo . Nikutakie jumapili njema sana na Mungu kufunue ujue majukumu(haki) ya mwana kwa baba yake. Ok naitwa sylvester Mwakabende Kutoka (build new eden) #Restoremenposition #Buildneweden
    Yay
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·427 Visualizações
  • "Aziniye na mwanamke ana akiri kabisa "

    Sio tu ni dhambi bali ni kuwa unakosa akiri kabisa .

    Na ukikosa akiri kabisa na Mungu wetu ni Mungu wa maarifa lazima ujitenge naye .

    Ukitaka kujua muulize daudi baada ya kuzini na mke wa mtu na kumuiba kabisa nini kilitokea alibidi alie kuitafuta toba na kurudisha akiri yake.

    Ndio ni kweli wanakuita sukari wa walembo lakini unafuraha kwani uhalisia uko hivi .

    Kila mwanaume anaye zini akimaliza tu tendo anaanza kujuta kwanini kafanya hivyo.

    Nasema hivi Mungu akinipa uzima na kibali chake nitafundisha juu ya nguvu ya agano na katika hilo utakuja kuelewa maana halisi ya mwanamke kuwa na bikra .

    Ok wewe ndo sukari pasipo kujua kila mwanamke uliye lala naye kuna aina ya nguvu yako inaondoka na anakuachia mapepo kama ni mtu wa mapepo .

    Vijana sex ni tendo la agano linalo simamiwa na kiapo cha mbele ya watu na agano la kitanda ndio watu wanaita tendo la ndoa


    Sababu ya kuto kujua unawaiga wazungu ambao walio wengi wenzako wlisha iachaga imani siku nyingi .

    Sijui nataka kusema nini kila ulipo lala na huyo binti kuna ongezeko limetokea au umebaki na balaa na kuanza kusumbua watu wa Mungu.

    Na kuna tuvijana tuchurch boy mchana usiku getho tumevusha hili halikubaliki kabisa ..

    Ok ngoja nikuache my ndugu lakini sulemani na urijali wake wote anakuja kumaliza kwa kusema wote ni ubatili mtupu na kusema pia mkumbuke muumba wako siku za ujana wako "

    Najua sijakufuraisha ila usisahau jina langu pia naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    #restore men position
    Build new eden
    "Aziniye na mwanamke ana akiri kabisa " Sio tu ni dhambi bali ni kuwa unakosa akiri kabisa . Na ukikosa akiri kabisa na Mungu wetu ni Mungu wa maarifa lazima ujitenge naye . Ukitaka kujua muulize daudi baada ya kuzini na mke wa mtu na kumuiba kabisa nini kilitokea alibidi alie kuitafuta toba na kurudisha akiri yake. Ndio ni kweli wanakuita sukari wa walembo lakini unafuraha kwani uhalisia uko hivi . Kila mwanaume anaye zini akimaliza tu tendo anaanza kujuta kwanini kafanya hivyo. Nasema hivi Mungu akinipa uzima na kibali chake nitafundisha juu ya nguvu ya agano na katika hilo utakuja kuelewa maana halisi ya mwanamke kuwa na bikra . Ok wewe ndo sukari pasipo kujua kila mwanamke uliye lala naye kuna aina ya nguvu yako inaondoka na anakuachia mapepo kama ni mtu wa mapepo . Vijana sex ni tendo la agano linalo simamiwa na kiapo cha mbele ya watu na agano la kitanda ndio watu wanaita tendo la ndoa Sababu ya kuto kujua unawaiga wazungu ambao walio wengi wenzako wlisha iachaga imani siku nyingi . Sijui nataka kusema nini kila ulipo lala na huyo binti kuna ongezeko limetokea au umebaki na balaa na kuanza kusumbua watu wa Mungu. Na kuna tuvijana tuchurch boy mchana usiku getho tumevusha hili halikubaliki kabisa .. Ok ngoja nikuache my ndugu lakini sulemani na urijali wake wote anakuja kumaliza kwa kusema wote ni ubatili mtupu na kusema pia mkumbuke muumba wako siku za ujana wako " Najua sijakufuraisha ila usisahau jina langu pia naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) #restore men position Build new eden
    Wow
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·312 Visualizações
  • MAISHA NI MWALIMU MKUU...

    Kuna walimu wanaozungumza darasani, wahadhiri wanaofundisha kutoka kwenye jukwaa, na washauri wanaoongoza kwa maneno. Lakini kuna mwalimu anayewazidi wote, mwalimu ambaye hahitaji chaki, bodi, silabasi, wala uteuzi. Huyo mwalimu ni maisha. Maisha ni mwalimu mkuu kwa sababu hukufanya uishi somo. Haikupi habari tu; inakupa uzoefu. Sio nadharia za kunong'ona tu; inakukabidhi dhoruba. Na tofauti na mwalimu mtulivu ambaye anauliza ikiwa uko tayari, maisha wakati mwingine huanza mtihani bila onyo. Haisubiri urahisi wako; haiulizi maoni yako. Inaonyesha tu, mbichi, halisi, na bila kuchoka. Kwa mbali, maisha yanaonekana rahisi. Matatizo yanaonekana kutatuliwa. Maamuzi yanaonekana wazi. Unasikia hadithi ya mtu na unafikiri, "Kama ningekuwa wao, ningefanya hivi ... au vile." Kwa mbali, unatikisa kichwa kwa takwimu. Unanukuu nadharia. Unatoa mapendekezo. Wewe hata kutoa hukumu. Kwa sababu wakati huo, ni hadithi tu kwako. Ni hadithi tu kutoka kwa nchi nyingine, hadi maisha yatakapoleta ukweli kwenye mlango wako mwenyewe. Mpaka ugonjwa uwe wako. Mpaka hasara ni yako. Mpaka usaliti ni wako. Mpaka mtoto awe wako. Mpaka mapambano ni yako. Kisha kile ambacho hapo awali kilionekana kama takwimu kitatoka ndani ya nafsi yako. Kile ambacho mara moja kilisikika kama hadithi kitasikika kifuani mwako. Nini mara moja inaonekana nyeusi na nyeupe itageuka kuwa vivuli vya kijivu. Hapo ndipo maisha yanapoacha kuwa nadharia na kuwa ukweli. Hapo ndipo hukumu inapokauka, na unyenyekevu huanza kukua.

    Maisha yatakunyenyekea. Inajua kuwakunja wenye kiburi. Inajua jinsi ya kupunguza makali. Inajua jinsi ya kuwapiga magoti walio na nguvu zaidi, si kuwaangamiza, bali *kuwatengeneza upya, kuwajenga upya, kuwafundisha. tafadhali, mtangulize Mungu. Kwa sababu kuna njia pekee awezaye kukuongoza. Kuna usiku tu nuru yake inaweza kumulika. Kuna dhoruba tu mkono Wake unaweza bado. Bila Mungu, maisha yanaweza kukuvunja. Ukiwa na Mungu, maisha yanaweza kukuchubua, lakini usiwahi kuzika. Vile vile ulivyowahukumu wengine kwa uchaguzi wao, siku inaweza kuja wakati utajipata unatembea kwa viatu vyao. Na ghafla, mtazamo wako utabadilika. Ulimi wako utanyamaza. Moyo wako utakuwa laini. Na utaelewa, haikuwa rahisi kama inavyoonekana kutoka nje. Kwa hiyo uwe mwepesi wa kukosoa. Kuwa mwepesi wa kusikiliza. Kuwa mpole na wale wanaotambaa katika misimu ambayo hujawahi kujua. Kuwa mkarimu kwa watu wanaopitia dhoruba ambazo hujawahi kusafiri. Kwa sababu maisha yana njia ya kuleta mambo duara kamili. Leo wewe ni mtazamaji. Kesho unaweza kuzingatiwa. Leo wewe ni mshauri. Kesho unaweza kuwa unatafuta ushauri. Na itakapofika zamu yako, na ikafika, upate rehema uliyoizuia. Wacha maisha yakufanye uwe na busara, sio uchungu. Hebu ikufundishe neema, sio majivuno. Wacha izae ndani yako huruma, sio haki. Wacha iwe ndani ya roho yako huruma, na sio ubaya.

    Mwishowe, kumbuka kwamba maisha sio kuwa na majibu yote; ni juu ya kujifunza maswali sahihi. Na kwa kila jeraha, kila anguko, kila ushindi, na kila chozi, na uje kuona kwamba digrii kuu zaidi hazipatikani shuleni, hupatikana katika darasa la maisha. Kwa hivyo maisha yanapokuwa mwalimu, usipinga somo. Usifanye moyo wako kuwa mgumu. Acha ikunyooshe, ikutengeneze, ikuvunje, na ikujenge. Na zaidi ya yote, iruhusu ikurudishe kwa Mungu.
    MAISHA NI MWALIMU MKUU... Kuna walimu wanaozungumza darasani, wahadhiri wanaofundisha kutoka kwenye jukwaa, na washauri wanaoongoza kwa maneno. Lakini kuna mwalimu anayewazidi wote, mwalimu ambaye hahitaji chaki, bodi, silabasi, wala uteuzi. Huyo mwalimu ni maisha. Maisha ni mwalimu mkuu kwa sababu hukufanya uishi somo. Haikupi habari tu; inakupa uzoefu. Sio nadharia za kunong'ona tu; inakukabidhi dhoruba. Na tofauti na mwalimu mtulivu ambaye anauliza ikiwa uko tayari, maisha wakati mwingine huanza mtihani bila onyo. Haisubiri urahisi wako; haiulizi maoni yako. Inaonyesha tu, mbichi, halisi, na bila kuchoka. Kwa mbali, maisha yanaonekana rahisi. Matatizo yanaonekana kutatuliwa. Maamuzi yanaonekana wazi. Unasikia hadithi ya mtu na unafikiri, "Kama ningekuwa wao, ningefanya hivi ... au vile." Kwa mbali, unatikisa kichwa kwa takwimu. Unanukuu nadharia. Unatoa mapendekezo. Wewe hata kutoa hukumu. Kwa sababu wakati huo, ni hadithi tu kwako. Ni hadithi tu kutoka kwa nchi nyingine, hadi maisha yatakapoleta ukweli kwenye mlango wako mwenyewe. Mpaka ugonjwa uwe wako. Mpaka hasara ni yako. Mpaka usaliti ni wako. Mpaka mtoto awe wako. Mpaka mapambano ni yako. Kisha kile ambacho hapo awali kilionekana kama takwimu kitatoka ndani ya nafsi yako. Kile ambacho mara moja kilisikika kama hadithi kitasikika kifuani mwako. Nini mara moja inaonekana nyeusi na nyeupe itageuka kuwa vivuli vya kijivu. Hapo ndipo maisha yanapoacha kuwa nadharia na kuwa ukweli. Hapo ndipo hukumu inapokauka, na unyenyekevu huanza kukua. Maisha yatakunyenyekea. Inajua kuwakunja wenye kiburi. Inajua jinsi ya kupunguza makali. Inajua jinsi ya kuwapiga magoti walio na nguvu zaidi, si kuwaangamiza, bali *kuwatengeneza upya, kuwajenga upya, kuwafundisha. tafadhali, mtangulize Mungu. Kwa sababu kuna njia pekee awezaye kukuongoza. Kuna usiku tu nuru yake inaweza kumulika. Kuna dhoruba tu mkono Wake unaweza bado. Bila Mungu, maisha yanaweza kukuvunja. Ukiwa na Mungu, maisha yanaweza kukuchubua, lakini usiwahi kuzika. Vile vile ulivyowahukumu wengine kwa uchaguzi wao, siku inaweza kuja wakati utajipata unatembea kwa viatu vyao. Na ghafla, mtazamo wako utabadilika. Ulimi wako utanyamaza. Moyo wako utakuwa laini. Na utaelewa, haikuwa rahisi kama inavyoonekana kutoka nje. Kwa hiyo uwe mwepesi wa kukosoa. Kuwa mwepesi wa kusikiliza. Kuwa mpole na wale wanaotambaa katika misimu ambayo hujawahi kujua. Kuwa mkarimu kwa watu wanaopitia dhoruba ambazo hujawahi kusafiri. Kwa sababu maisha yana njia ya kuleta mambo duara kamili. Leo wewe ni mtazamaji. Kesho unaweza kuzingatiwa. Leo wewe ni mshauri. Kesho unaweza kuwa unatafuta ushauri. Na itakapofika zamu yako, na ikafika, upate rehema uliyoizuia. Wacha maisha yakufanye uwe na busara, sio uchungu. Hebu ikufundishe neema, sio majivuno. Wacha izae ndani yako huruma, sio haki. Wacha iwe ndani ya roho yako huruma, na sio ubaya. Mwishowe, kumbuka kwamba maisha sio kuwa na majibu yote; ni juu ya kujifunza maswali sahihi. Na kwa kila jeraha, kila anguko, kila ushindi, na kila chozi, na uje kuona kwamba digrii kuu zaidi hazipatikani shuleni, hupatikana katika darasa la maisha. Kwa hivyo maisha yanapokuwa mwalimu, usipinga somo. Usifanye moyo wako kuwa mgumu. Acha ikunyooshe, ikutengeneze, ikuvunje, na ikujenge. Na zaidi ya yote, iruhusu ikurudishe kwa Mungu.
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·297 Visualizações
  • Dunia imechanganya sana baina ya neno ndoa na uchumba.

    Kuna tofauti kubwa sana kati ya uchumba na ndoa, japo watu wengi wanaishi kama wanandoa ili hali bado wajaona na hili ndilo hupelekea anguko la kanisa.

    Vijana wajafundishwa kwa uhalisia mipaka iliyopo kati ya uchumba na ndoa .

    Na kutokana na kuwa walagai wamekuwa wengi mjini wamelihwribu kanisa na wachungaji wamebaki tu kufukuza watu wazinifu kanisani na si kulitibu kanisa.

    Laiti kama vijana wangekuwa walau kila mwezi mwaka wanasemina maalumu ya kujifunza kuhusu mtazamo sahii wa biblia kuhusu ndoa pengine tungepunguza hali ya anguko la kanisa


    Bahati mbaya sana unakuta dada anaimba kwaya lakini anawanaume watatu sio labda tu be bali wote anawahudumia kama mke hii ni hatari sana kwa kanisa .

    Mchumba ajawai kuwa mke na hili tusifichane ndilo limepelekea anguko la kanisa chanzo kikubwa ni malezi mabovu ya wazazi kwa watoto wao .

    Mama wa binti anafahamu vijana watano wa mwanae na anahisi mwanae anapendwa akili au matope ?

    Yaaani mwanao anathamani sawa na nyumba ya wageni au gest na mama unaona ni sifa hili baya sana.

    Maneno magumu lakini ndo ukweli sasa kama unawanaume zaidi ya mmoja wewe si ni pumziko la wengine au kipozeo cha wengine wewe na gest tofauti yenu nini hasa?

    Dear my sister kuna mapepo mnasumbua wachungaji wawaombee lakini chanzo chake ni zinaa na siyo tu zinaa peke yake wewe ni mama huruma ?

    Naamaanisha nini dada kila kijana anaye kuja wewe kigezo ni pesa anaweza kuchungulia ndani ya nguo zako kuna nini basi jua umepoteza thamani yako.

    Yaani vijana wanalugha yao utasikia beki hazikabi kabisa yule na unajua kabisa wale ni marafiki na wewe kisa ana gari unatembea naye pia yaani marafiki wawili wanakuvua nguo kama ujionei huruma wewe muonee huruma mama yako.


    Lazima tuikatae zinaa hasa kipindi hiki cha uhamsho kwani tunajaribu kujifichia kwenye uchumba ili hali sisi ni wazinzi wanao ishi .

    Ok najua nimekukela lakini siyo mbaya naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)
    Dunia imechanganya sana baina ya neno ndoa na uchumba. Kuna tofauti kubwa sana kati ya uchumba na ndoa, japo watu wengi wanaishi kama wanandoa ili hali bado wajaona na hili ndilo hupelekea anguko la kanisa. Vijana wajafundishwa kwa uhalisia mipaka iliyopo kati ya uchumba na ndoa . Na kutokana na kuwa walagai wamekuwa wengi mjini wamelihwribu kanisa na wachungaji wamebaki tu kufukuza watu wazinifu kanisani na si kulitibu kanisa. Laiti kama vijana wangekuwa walau kila mwezi mwaka wanasemina maalumu ya kujifunza kuhusu mtazamo sahii wa biblia kuhusu ndoa pengine tungepunguza hali ya anguko la kanisa Bahati mbaya sana unakuta dada anaimba kwaya lakini anawanaume watatu sio labda tu be bali wote anawahudumia kama mke hii ni hatari sana kwa kanisa . Mchumba ajawai kuwa mke na hili tusifichane ndilo limepelekea anguko la kanisa chanzo kikubwa ni malezi mabovu ya wazazi kwa watoto wao . Mama wa binti anafahamu vijana watano wa mwanae na anahisi mwanae anapendwa akili au matope ? Yaaani mwanao anathamani sawa na nyumba ya wageni au gest na mama unaona ni sifa hili baya sana. Maneno magumu lakini ndo ukweli sasa kama unawanaume zaidi ya mmoja wewe si ni pumziko la wengine au kipozeo cha wengine wewe na gest tofauti yenu nini hasa? Dear my sister kuna mapepo mnasumbua wachungaji wawaombee lakini chanzo chake ni zinaa na siyo tu zinaa peke yake wewe ni mama huruma ? Naamaanisha nini dada kila kijana anaye kuja wewe kigezo ni pesa anaweza kuchungulia ndani ya nguo zako kuna nini basi jua umepoteza thamani yako. Yaani vijana wanalugha yao utasikia beki hazikabi kabisa yule na unajua kabisa wale ni marafiki na wewe kisa ana gari unatembea naye pia yaani marafiki wawili wanakuvua nguo kama ujionei huruma wewe muonee huruma mama yako. Lazima tuikatae zinaa hasa kipindi hiki cha uhamsho kwani tunajaribu kujifichia kwenye uchumba ili hali sisi ni wazinzi wanao ishi . Ok najua nimekukela lakini siyo mbaya naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·305 Visualizações
  • Power of choice part 5.

    Neno msingi. "Angalia na wawekea mbele yako yaani baraka na laana" torati 11:26

    Tunaendelea na madhara ya kujiongoza vibaya katika kutumia nguvu ya kuchagua.

    Na kwakuanza jana tulimuona Sauli na matokeo aliyo yapata kutokana na kushindwa kuchagua kwani maamuzi yote yapo ndani ya Nguvu inayo twa chaguo.
    Leo tutaingia ndani kidogo tumtazame mnadhiri wa Bwana kwa kudhariwa .

    2.SAMSON

    Samsoni alikuwa mwamuzi wa islaeri kwa miaka 20 .

    Alifanya makubwa sana juu ya kulilinda na kulipambania islaeri juu ya wafiristi.

    Samsoni pamoja na uimara wote huo bado alishindwa kuielewa nguvu anayo itoa roho mtakatifu inayo itwa nguvu ya kuchagua.

    Samsoni akaangukia kwenye penzi la mfiristi la kwanza lakini haikuwa nadhani fungu lake .

    Waamuzi 14:16
    [16]Basi mkewe Samsoni akalia mbele yake, akasema, Wewe wanichukia tu, wala hunipendi; wewe umewategea kitendawili hao wana wa watu wangu, nawe hukuniambia mimi. Naye akamwambia, Angalia, sikumwambia baba yangu wala mama yangu, nami nikuambie wewe?

    Samsoni ni lover boy ambaye alitoa kitendawili lakini watu walimtumia mkewe akategua kitendawili .

    Lakini pia kisa pendwa cha samsoni na kahaba Delila sanson alipo chagua kuingia penzi na kahaba ndipo uharibifu ukamuotea tena .

    Samsoni ameulizwa juu ya siri ya nguvu mara tatu zaidi bado hakushtuka kwa kuwa nguvu ya ndani ya kuchagua maamuzi sahii ilikuwa imetoweka sababu ya dhambi.

    Matokeo ya kujiongoza kuchagua mtu hodari sana katika islaeri anadhihakiwa na watu wasio tahiriwa (wasio wabarikiwa)

    Samsoni alikuwa mnadhiri au mtu aliye zaliwa na kupewa nguvu lakini sababu ya kukosa nguvu ya kuchagua samsoni alipoteza focus yake.Waamuzi 16:17,28
    [17]Ndipo alipomwambia yote yaliyokuwa moyoni mwake, akamwambia, Wembe haukupita juu ya kichwa changu kamwe; maana mimi nimekuwa Mnadhiri wa Mungu, tangu tumboni mwa mama yangu; nikinyolewa, ndipo nguvu zangu zitanitoka, nami nitakuwa dhaifu, nitakuwa kama wanadamu wenzangu.

    Ndivyo ilivyo hata leo kuna watumishi wengi sababu tu ya kukosa nguvu ya kuchagua au kwa kufanya maamuzi yasiyo paswa kuyachagua wanapoteza vipawa vyao .

    Wengine wanashindwa kuchagua utakatifu wanaangukia kwenye zinaa na majivuno na wao pia wanapoteza uhusiano na Mungu.

    [28]Samsoni akamwita BWANA, akasema, Ee Bwana MUNGU, unikumbuke, nakuomba, ukanitie nguvu, nakuomba, mara hii tu, Ee Mungu, ili nipate kujilipiza kisasi juu ya Wafilisti kwa ajili ya macho yangu mawili
    Bila neema ya kristo katika roho huwezi kufanya maamuzi mema .

    Ok naitwa sylvester Mwakabende (build new eden )

    #build new eden
    Power of choice part 5. Neno msingi. "Angalia na wawekea mbele yako yaani baraka na laana" torati 11:26 Tunaendelea na madhara ya kujiongoza vibaya katika kutumia nguvu ya kuchagua. Na kwakuanza jana tulimuona Sauli na matokeo aliyo yapata kutokana na kushindwa kuchagua kwani maamuzi yote yapo ndani ya Nguvu inayo twa chaguo. Leo tutaingia ndani kidogo tumtazame mnadhiri wa Bwana kwa kudhariwa . 2.SAMSON Samsoni alikuwa mwamuzi wa islaeri kwa miaka 20 . Alifanya makubwa sana juu ya kulilinda na kulipambania islaeri juu ya wafiristi. Samsoni pamoja na uimara wote huo bado alishindwa kuielewa nguvu anayo itoa roho mtakatifu inayo itwa nguvu ya kuchagua. Samsoni akaangukia kwenye penzi la mfiristi la kwanza lakini haikuwa nadhani fungu lake . Waamuzi 14:16 [16]Basi mkewe Samsoni akalia mbele yake, akasema, Wewe wanichukia tu, wala hunipendi; wewe umewategea kitendawili hao wana wa watu wangu, nawe hukuniambia mimi. Naye akamwambia, Angalia, sikumwambia baba yangu wala mama yangu, nami nikuambie wewe? Samsoni ni lover boy ambaye alitoa kitendawili lakini watu walimtumia mkewe akategua kitendawili . Lakini pia kisa pendwa cha samsoni na kahaba Delila sanson alipo chagua kuingia penzi na kahaba ndipo uharibifu ukamuotea tena . Samsoni ameulizwa juu ya siri ya nguvu mara tatu zaidi bado hakushtuka kwa kuwa nguvu ya ndani ya kuchagua maamuzi sahii ilikuwa imetoweka sababu ya dhambi. Matokeo ya kujiongoza kuchagua mtu hodari sana katika islaeri anadhihakiwa na watu wasio tahiriwa (wasio wabarikiwa) Samsoni alikuwa mnadhiri au mtu aliye zaliwa na kupewa nguvu lakini sababu ya kukosa nguvu ya kuchagua samsoni alipoteza focus yake.Waamuzi 16:17,28 [17]Ndipo alipomwambia yote yaliyokuwa moyoni mwake, akamwambia, Wembe haukupita juu ya kichwa changu kamwe; maana mimi nimekuwa Mnadhiri wa Mungu, tangu tumboni mwa mama yangu; nikinyolewa, ndipo nguvu zangu zitanitoka, nami nitakuwa dhaifu, nitakuwa kama wanadamu wenzangu. Ndivyo ilivyo hata leo kuna watumishi wengi sababu tu ya kukosa nguvu ya kuchagua au kwa kufanya maamuzi yasiyo paswa kuyachagua wanapoteza vipawa vyao . Wengine wanashindwa kuchagua utakatifu wanaangukia kwenye zinaa na majivuno na wao pia wanapoteza uhusiano na Mungu. [28]Samsoni akamwita BWANA, akasema, Ee Bwana MUNGU, unikumbuke, nakuomba, ukanitie nguvu, nakuomba, mara hii tu, Ee Mungu, ili nipate kujilipiza kisasi juu ya Wafilisti kwa ajili ya macho yangu mawili Bila neema ya kristo katika roho huwezi kufanya maamuzi mema . Ok naitwa sylvester Mwakabende (build new eden ) #build new eden
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·335 Visualizações
  • KWANINI NCHI MASIKINI HUWA NA WANASIASA MATAJIRI SANA?

    Hii ni moja ya mafumbo makubwa ya kisiasa Afrika:
    Nchi ni masikini...
    Raia hawana huduma...
    Lakini wanasiasa wana nyumba za kifahari, magari ya kifahari, na watoto wao wanasoma nje ya nchi.

    Unawezaje kuongoza nchi yenye njaa, lakini wewe unanenepa?

    Sababu ya kwanza: Siasa ni Biashara.
    Watu wengi wanaingia kwenye siasa si kwa sababu ya maono, bali kwa sababu wanajua kuna "return on investment".
    Unatumia milioni 100 kugombea, lakini ukishinda, unaweza rudisha mara 10 zaidi kupitia dili.

    Sababu ya pili: Rushwa Iliyohalalishwa.
    Nchi nyingi masikini zina mifumo dhaifu ya ukaguzi.
    Mwanasiasa anaweza toa tenda kwa kampuni yake mwenyewe kupitia proxies.
    Hakuna accountability.
    "Public office" inageuka kuwa ATM ya binafsi.

    Sababu ya tatu: Ukosefu wa elimu ya uraia.
    Raia wengi hawajui haki zao.
    Wanapewa kilo ya unga au t-shirt wakati wa uchaguzi, wanapitisha mwizi mwingine.
    Siasa zinageuka kuwa mashindano ya maigizo, si sera.

    Sababu ya nne: Tabaka la kimasikini linaogopa mabadiliko.
    Wengi wetu tunaishi kwa matumaini ya kusaidiwa binafsi na si kwa kutengeneza mfumo unaosaidia wote.
    Tunapenda “mheshimiwa” badala ya mfumo bora.
    Hili linafanya mafisadi waendelee kutawala.

    Sababu ya tano: Woga wa taasisi.
    Asasi za kiraia, vyombo vya habari na mahakama huwa dhaifu au vimetiwa mfukoni.
    Hii inawapa wanasiasa uhuru wa kuiba bila hofu ya kushtakiwa.

    Na mwisho kabisa:
    Wanasiasa hawawajibiki kwa wananchi bali kwa wafadhili wao.
    Wale waliowasaidia kugombea (wakubwa wa biashara, makampuni ya kigeni, n.k.) ndio wanaoamua sera.
    Mwananchi? Yuko pembeni kabisa.

    Hii ndiyo sababu utaona mtu anakuwa mbunge kwa miaka 15 lakini eneo lake halina maji wala barabara.
    Lakini yeye ana ghorofa 3, magari 4, na clinic binafsi Nairobi.

    Umasikini wa raia si bahati mbaya ni mpango wa kisiasa.

    Suluhisho?

    Elimu ya uraia

    Uwajibikaji

    Sheria kali za kupiga vita ufisadi

    Vyombo huru vya habari

    Raia wasioogopa kuuliza maswali

    Je, wewe unaona nini kifanyike ili tuwajibishe viongozi wetu?
    Tumezoea maisha magumu kiasi kwamba tumeyakubali kama kawaida.
    Ni muda wa kubadilika.

    #Kireportel #Ufisadi #Siasa #Africa #Kujitambua

    Follow me pia X (Twitter): x.com/DullahWrites
    KWANINI NCHI MASIKINI HUWA NA WANASIASA MATAJIRI SANA? Hii ni moja ya mafumbo makubwa ya kisiasa Afrika: Nchi ni masikini... Raia hawana huduma... Lakini wanasiasa wana nyumba za kifahari, magari ya kifahari, na watoto wao wanasoma nje ya nchi. Unawezaje kuongoza nchi yenye njaa, lakini wewe unanenepa? Sababu ya kwanza: Siasa ni Biashara. Watu wengi wanaingia kwenye siasa si kwa sababu ya maono, bali kwa sababu wanajua kuna "return on investment". Unatumia milioni 100 kugombea, lakini ukishinda, unaweza rudisha mara 10 zaidi kupitia dili. Sababu ya pili: Rushwa Iliyohalalishwa. Nchi nyingi masikini zina mifumo dhaifu ya ukaguzi. Mwanasiasa anaweza toa tenda kwa kampuni yake mwenyewe kupitia proxies. Hakuna accountability. "Public office" inageuka kuwa ATM ya binafsi. Sababu ya tatu: Ukosefu wa elimu ya uraia. Raia wengi hawajui haki zao. Wanapewa kilo ya unga au t-shirt wakati wa uchaguzi, wanapitisha mwizi mwingine. Siasa zinageuka kuwa mashindano ya maigizo, si sera. Sababu ya nne: Tabaka la kimasikini linaogopa mabadiliko. Wengi wetu tunaishi kwa matumaini ya kusaidiwa binafsi na si kwa kutengeneza mfumo unaosaidia wote. Tunapenda “mheshimiwa” badala ya mfumo bora. Hili linafanya mafisadi waendelee kutawala. Sababu ya tano: Woga wa taasisi. Asasi za kiraia, vyombo vya habari na mahakama huwa dhaifu au vimetiwa mfukoni. Hii inawapa wanasiasa uhuru wa kuiba bila hofu ya kushtakiwa. Na mwisho kabisa: Wanasiasa hawawajibiki kwa wananchi bali kwa wafadhili wao. Wale waliowasaidia kugombea (wakubwa wa biashara, makampuni ya kigeni, n.k.) ndio wanaoamua sera. Mwananchi? Yuko pembeni kabisa. Hii ndiyo sababu utaona mtu anakuwa mbunge kwa miaka 15 lakini eneo lake halina maji wala barabara. Lakini yeye ana ghorofa 3, magari 4, na clinic binafsi Nairobi. Umasikini wa raia si bahati mbaya ni mpango wa kisiasa. Suluhisho? Elimu ya uraia Uwajibikaji Sheria kali za kupiga vita ufisadi Vyombo huru vya habari Raia wasioogopa kuuliza maswali Je, wewe unaona nini kifanyike ili tuwajibishe viongozi wetu? Tumezoea maisha magumu kiasi kwamba tumeyakubali kama kawaida. Ni muda wa kubadilika. #Kireportel #Ufisadi #Siasa #Africa #Kujitambua Follow me pia X (Twitter): x.com/DullahWrites
    Like
    2
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·601 Visualizações
  • Nguvu ya kuchagua sehemu ya pili.

    Nguvu ya kuchagua ndiyo nguvu inayo sitawisha mtu .

    Isacka alibarikiwa sana baada ya kuchagua kutii maagizo aliyo ambiwa na Mungu .

    Wakati njaa inatokea wengine wote walichagua kwenda misri yeye akapewa jumbe tofauti na alipo sikia akachukua nguvu ya kuanza na akasitawishwa sana.
    Mwanzo 26:1-2

    Nguvu ya kuchagua lazima iambatane na Nguvu ya kuanza baada ya kuchagua.
    Mwanzo 6:12
    Isaka akapanda mbegu katika nchi ile, akapata mwaka ule vipimo mia kwa kimoja, BWANA akambariki.

    Watu wengi tunamsoma Yusuph kama mtu aliye ishinda zinaa na kufanyika kutengeneza taifa la wenzake tunasahau kitu kimoja tu Nguvu ya kuchagua ndiyo kitu kilicho mfanya aishinde zambi ya zinaa na kuwa mkubwa alipo chagua kutafsiri ndoto ndipo alipo chagua kuonekana na kukumbukwa .

    Lugha nyepesi kama angekataa kuchagua vyema angezini na potifa basi ukubwa wake ungeshindwa kutimia .

    Nje ya ndoto alizoota akiwakwao lakini nguvu ya kuchagua ndiyo ilimpa baraka za kifalme.

    Danieli aliitwa apendwaye sana tu sababu ya kutokuwa tayari kuchagua kula vyakula vya kifalme na kuabudu sanamu .

    Na hiyo kutokuwa tayari ni nguvu ya uchaguzi wakati wengine wanachagua kufuata miungu ya mfalme yeye alichagua kufuata vyema.

    Ruthu sababu ya kuchagua kumfuata naomi na Mungu wake alijikuta amebarikiwa na kupitia yeye baraka za Yudah zikatimia kupitia yeye daudi anazaliwa na masihi anazaliwa na hii ndiyo inaitwa nguvu ya kuchagua.

    Loti alitazama macho ya mwili alichagua kwenda sehemu nzuri kumbe ni sodoma na Gomora baadaye .

    Katika kila kuchagua kuna nguvu ya kufanikiwa ndiyo maana msingi wetu unaitwa baraka na laana umepewa mkononi mwako jinsi unavyo chagua ndivyo unavyo elekea mafanikio .

    Maisha ni machaguo kichagua vibaya ni kuamua kutoishi .


    Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    #build new eden
    ##restore men position.
    Nguvu ya kuchagua sehemu ya pili. Nguvu ya kuchagua ndiyo nguvu inayo sitawisha mtu . Isacka alibarikiwa sana baada ya kuchagua kutii maagizo aliyo ambiwa na Mungu . Wakati njaa inatokea wengine wote walichagua kwenda misri yeye akapewa jumbe tofauti na alipo sikia akachukua nguvu ya kuanza na akasitawishwa sana. Mwanzo 26:1-2 Nguvu ya kuchagua lazima iambatane na Nguvu ya kuanza baada ya kuchagua. Mwanzo 6:12 Isaka akapanda mbegu katika nchi ile, akapata mwaka ule vipimo mia kwa kimoja, BWANA akambariki. Watu wengi tunamsoma Yusuph kama mtu aliye ishinda zinaa na kufanyika kutengeneza taifa la wenzake tunasahau kitu kimoja tu Nguvu ya kuchagua ndiyo kitu kilicho mfanya aishinde zambi ya zinaa na kuwa mkubwa alipo chagua kutafsiri ndoto ndipo alipo chagua kuonekana na kukumbukwa . Lugha nyepesi kama angekataa kuchagua vyema angezini na potifa basi ukubwa wake ungeshindwa kutimia . Nje ya ndoto alizoota akiwakwao lakini nguvu ya kuchagua ndiyo ilimpa baraka za kifalme. Danieli aliitwa apendwaye sana tu sababu ya kutokuwa tayari kuchagua kula vyakula vya kifalme na kuabudu sanamu . Na hiyo kutokuwa tayari ni nguvu ya uchaguzi wakati wengine wanachagua kufuata miungu ya mfalme yeye alichagua kufuata vyema. Ruthu sababu ya kuchagua kumfuata naomi na Mungu wake alijikuta amebarikiwa na kupitia yeye baraka za Yudah zikatimia kupitia yeye daudi anazaliwa na masihi anazaliwa na hii ndiyo inaitwa nguvu ya kuchagua. Loti alitazama macho ya mwili alichagua kwenda sehemu nzuri kumbe ni sodoma na Gomora baadaye . Katika kila kuchagua kuna nguvu ya kufanikiwa ndiyo maana msingi wetu unaitwa baraka na laana umepewa mkononi mwako jinsi unavyo chagua ndivyo unavyo elekea mafanikio . Maisha ni machaguo kichagua vibaya ni kuamua kutoishi . Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) #build new eden ##restore men position.
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·411 Visualizações
  • Mtu wa MUNGU baba @AskofuDickson kabigumila alisema katika nabii zake halisema kanisa litashambuliwa sana na kila mtu anaona tunduma katekista alishambuliwa leo nasikia kuwa mtu wa Mungu mch Steve Jacob naye ameshambuliwa na kutupwa katika sehemu moja wapo huko kilimanjaro .

    Na alisema kama tutampima kwa nabii hizi kama ni mtu wa Mungu sasa kila jicho linaona kuwa hakuna namna tunaweza kataa kwamba yeye si mtu wa Mungu.

    Ufunuo 6:10. Basi, wakalia kwa sauti kubwa: “Ee Bwana, uliye mtakatifu na mwaminifu, mpaka lini utakawia kulipiza kisasi kwa wakazi wote wa dunia kwa ajili ya kuuawa kwetu???

    Tutasikia wengi inawezekana ila moja kubwa muhimu kujua hasira ya mungu inakwenda kushuka Tanzania na hakuna mtu ambaye ahataweza kuizuia hasira hii .

    Ole kwa nchi !!siyo sifa njema kama taifa lakini bwana bado anasema anaendelea kukusanya hasira yake na kisha kila mmoja ataona neno hili MENE MENE TEKELI NA PERESI .
    Kwani rohoni lishaandikwa na kutiwa muhuri since april kuwa hakuna namna ambayo haya hayawezi kutimia.

    Ufunuo 6:11
    Wakapewa kila mmoja vazi refu jeupe, wakaambiwa wazidi kusubiri kwa muda mfupi, mpaka itakapotimia idadi ya watumishi wenzao na ndugu ambao watauawa kama wao wenyewe walivyouawa.

    Ndicho kinacho subiliwa mbinguni hilo tu si lingine lolote ni kutimia kwa idadi ya watu hao tu.

    Unaweza leo ukaona kama kawaida na wewe halikugusi lakini kama wewe ni wakili wa Kristo kipindi hiki ni kipindi cha maombi sana sana .

    Kipekee namshukuru Mungu kwa nabii wake juu ya kuizaa Tanzania mpya baba Askofu Kabigumila yeye ameamua kusimama mstali wa mbele kutuongoza siku zingine 50 Kwa ajiri yakuendelea kuivusha nchi hii .

    #build new eden
    #restore men position
    Mtu wa MUNGU baba @AskofuDickson kabigumila alisema katika nabii zake halisema kanisa litashambuliwa sana na kila mtu anaona tunduma katekista alishambuliwa leo nasikia kuwa mtu wa Mungu mch Steve Jacob naye ameshambuliwa na kutupwa katika sehemu moja wapo huko kilimanjaro . Na alisema kama tutampima kwa nabii hizi kama ni mtu wa Mungu sasa kila jicho linaona kuwa hakuna namna tunaweza kataa kwamba yeye si mtu wa Mungu. Ufunuo 6:10. Basi, wakalia kwa sauti kubwa: “Ee Bwana, uliye mtakatifu na mwaminifu, mpaka lini utakawia kulipiza kisasi kwa wakazi wote wa dunia kwa ajili ya kuuawa kwetu??? Tutasikia wengi inawezekana ila moja kubwa muhimu kujua hasira ya mungu inakwenda kushuka Tanzania na hakuna mtu ambaye ahataweza kuizuia hasira hii . Ole kwa nchi !!siyo sifa njema kama taifa lakini bwana bado anasema anaendelea kukusanya hasira yake na kisha kila mmoja ataona neno hili MENE MENE TEKELI NA PERESI . Kwani rohoni lishaandikwa na kutiwa muhuri since april kuwa hakuna namna ambayo haya hayawezi kutimia. Ufunuo 6:11 Wakapewa kila mmoja vazi refu jeupe, wakaambiwa wazidi kusubiri kwa muda mfupi, mpaka itakapotimia idadi ya watumishi wenzao na ndugu ambao watauawa kama wao wenyewe walivyouawa. Ndicho kinacho subiliwa mbinguni hilo tu si lingine lolote ni kutimia kwa idadi ya watu hao tu. Unaweza leo ukaona kama kawaida na wewe halikugusi lakini kama wewe ni wakili wa Kristo kipindi hiki ni kipindi cha maombi sana sana . Kipekee namshukuru Mungu kwa nabii wake juu ya kuizaa Tanzania mpya baba Askofu Kabigumila yeye ameamua kusimama mstali wa mbele kutuongoza siku zingine 50 Kwa ajiri yakuendelea kuivusha nchi hii . #build new eden #restore men position
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·538 Visualizações
  • Matendo ya Mitume 20:29-32
    [29]Najua mimi ya kuwa baada ya kuondoka kuangusha mbwa-mwitu wakali wataingia kwenu, wasilihurumie kundi;

    [30]tena katika ninyi wenyewe watainuka watu wakisema mapotovu, wawavute hao wanafunzi wawaandamie wao.
    .
    [31]Kwa hiyo kesheni, mkikumbuka ya kwamba miaka mitatu, usiku na mchana, sikuacha kumwonya kila mtu kwa machozi.

    [32]Basi, sasa nawaweka katika mikono ya Mungu, na kwa neno la neema yake, ambalo laweza kuwajenga na kuwapa urithi pamoja nao wote waliotakaswa.

    Ukitizama vizuri utagundua Paulo alipo taka kurudi Yerusalemu kwa ajiri ya pentecost alilipitia kanisa na kuliaga .

    Alipo kuwa akiwaaga alisikia hakika ya kuwa hatorudi ikabidi aliachie kanisa mausia au maagizo .

    Na moja ya maagizo ni kuwa ili kanisa lizidi kukua katika roho na kuishi maisha ya Kristo lazima wakeshe wakiomba .

    Si tu kukesha katika kuomba bali wakeshe pia wakikumbuka kuwa ndani ya MAOMBI lazima pia wawe watu sakuonyana na kuchukuliana kwa ajiri ya mwili wa Kristo.

    Na pia kanisa lisiyakubali mfundisho ya wanikolai maana uamsho ukipoa watakuja watu na mafundisho ya kila aina ambayo kwa sehemu kubwa ni kulipotezq kanisa.

    .Matendo ya Mitume 20:28
    [28]Jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo, ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa waangalizi ndani yake, mpate kulilisha kanisa lake Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe.

    Kumbe maombi ni kitu muhimu sana kwa huduma kwani hata muasisu wa huduma akitoka bado huduma haitateteleka.


    Kanisa la kwanza lilikuwa imara kwa sababu Yesu alipo ondoka kanisa aliliachia maagizo wakae wakisubiri roho ,na si kuwa walikuwa wakila na kunywa hapana bali walikuwa wakiomba mchana na usiku na ndio mana walifanya ishara na maajabu mengi na uamsho mkubwa sana.

    Ili Mungu alionekanie kanisa lazima liwe hai katika maombi na wala si kitu kingine chochote.

    Kanisa la maombi mengi ndilo kanisa la wapindua meza .

    Mungu alisaidie kanisa la uamsho la Tanzania kwani ni muda wa kanisa kukesha kuomba umefika .

    Yesu mwenyewe pia alisema kesheni mkiomba maana hamjui saa ya mwana wa adamu kurejea.
    .

    Ok naitwa sylvester mwakabende Kutoka (build new eden)

    #build new eden
    #restore men position
    Matendo ya Mitume 20:29-32 [29]Najua mimi ya kuwa baada ya kuondoka kuangusha mbwa-mwitu wakali wataingia kwenu, wasilihurumie kundi; [30]tena katika ninyi wenyewe watainuka watu wakisema mapotovu, wawavute hao wanafunzi wawaandamie wao. . [31]Kwa hiyo kesheni, mkikumbuka ya kwamba miaka mitatu, usiku na mchana, sikuacha kumwonya kila mtu kwa machozi. [32]Basi, sasa nawaweka katika mikono ya Mungu, na kwa neno la neema yake, ambalo laweza kuwajenga na kuwapa urithi pamoja nao wote waliotakaswa. Ukitizama vizuri utagundua Paulo alipo taka kurudi Yerusalemu kwa ajiri ya pentecost alilipitia kanisa na kuliaga . Alipo kuwa akiwaaga alisikia hakika ya kuwa hatorudi ikabidi aliachie kanisa mausia au maagizo . Na moja ya maagizo ni kuwa ili kanisa lizidi kukua katika roho na kuishi maisha ya Kristo lazima wakeshe wakiomba . Si tu kukesha katika kuomba bali wakeshe pia wakikumbuka kuwa ndani ya MAOMBI lazima pia wawe watu sakuonyana na kuchukuliana kwa ajiri ya mwili wa Kristo. Na pia kanisa lisiyakubali mfundisho ya wanikolai maana uamsho ukipoa watakuja watu na mafundisho ya kila aina ambayo kwa sehemu kubwa ni kulipotezq kanisa. .Matendo ya Mitume 20:28 [28]Jitunzeni nafsi zenu, na lile kundi lote nalo, ambalo Roho Mtakatifu amewaweka ninyi kuwa waangalizi ndani yake, mpate kulilisha kanisa lake Mungu, alilolinunua kwa damu yake mwenyewe. Kumbe maombi ni kitu muhimu sana kwa huduma kwani hata muasisu wa huduma akitoka bado huduma haitateteleka. Kanisa la kwanza lilikuwa imara kwa sababu Yesu alipo ondoka kanisa aliliachia maagizo wakae wakisubiri roho ,na si kuwa walikuwa wakila na kunywa hapana bali walikuwa wakiomba mchana na usiku na ndio mana walifanya ishara na maajabu mengi na uamsho mkubwa sana. Ili Mungu alionekanie kanisa lazima liwe hai katika maombi na wala si kitu kingine chochote. Kanisa la maombi mengi ndilo kanisa la wapindua meza . Mungu alisaidie kanisa la uamsho la Tanzania kwani ni muda wa kanisa kukesha kuomba umefika . Yesu mwenyewe pia alisema kesheni mkiomba maana hamjui saa ya mwana wa adamu kurejea. . Ok naitwa sylvester mwakabende Kutoka (build new eden) #build new eden #restore men position
    Yay
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·479 Visualizações
  • 1.Kama ukijengwa katika dhana hii ya kujua kuwa sex ni ibada kamili yenye Madhabau kamili na maji maji mnayo yatoa ni sadaka kamili uwezi kubali kulala na kila binti unaye muona .

    My dear ukijua kuwa sex ni mlango unao weza ruhusu laana kuingia kwako uwezi kubali kulala na kila mwanaume anaye kuja mbele yako .

    Ukijua kuwa zinaa "KUZINI" Ni amri kama ilivyo USIUE huwezi kubali kusex na kila mwanamke anaye jichekesha mbele yako.

    Namaanisha hivi wewe uliye zini na anaye aliye ua wote kwa Mungu mko sawa acha kuichukilia zinaa kawaida.

    3.Ukijua kuwa zinaa inaangamiza nafsi yako uwezi kuwa unaruhusu kila kijana anaye kuja anakuvua nguo.

    4.Moja ya sifa ambayo inaweza kukutqmbulisha kama mpumbavu ni pamoja na kuwa mtu wa zinaa muda wote .

    Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake mithali 6:32

    5.Aina ya maisha yako yanaamua kiwango cha maisha yako uwezi kuwa na ndoto kubwa arafu ukawa unalala na kila mtu anaye kuja mbele yako .

    Yusuph kwa kuheshimu ndoto yake aliamua kumkimbia potifa.
    Hakuna mkuu katika nyumba hii kuliko mimi, wala hakunizuilia kitu chochote ila wewe, kwa kuwa wewe u mkewe.
    *Nifanyeje ubaya huu mkubwa nimkosee Mungu?* Akawa akizidi kusema na Yusufu siku baada ya siku, lakini hakumsikia alale naye, wala kuwa naye.Mwanzo 39:9-10.
    Ukubwa wa ndoto ya yusuph akubabaishwa na uzuri na ukuu wa malkia wa misri .
    Hiyo ndiyo maana sahihi ya ndoto.

    6.Zinaa inakuondolea kabisa uwepo wa Mungu kabisa .

    Zinaa inaharibu kusudi la Mungu kwako na unaweza kufa kabla ya wakati muulize sulemani anajua uhalisia kuwa sababu ya zinaa alipoteza nguvu zake .

    Sex ni tendo la agano kama agano lingine ndo mana intial day lazima wakike afunguliwe kwa damu kumwagika na anaye mwaga damu anatoa maji maji huitwa (shahawa) kama kamilisho la agano .

    Acha kuchukulia zinaa kama kitu cha kawaida ni tendo la agano kuna watu wengi mumefungwa na watu wenu wa ujanani mpaka leo mumeolewa au kuoa kimwili uko na mke wako lakini kiroho wewe una agano na mtu mwingine.

    Asante Kristo ni Bwana wa agano jipy anataka vijana waache zinaa kabisa na yeye anasamehe kila jambo baya kama tu ukimwamini na kumpa nafasi leo.


    Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    #build new eden
    #restore men position
    1.Kama ukijengwa katika dhana hii ya kujua kuwa sex ni ibada kamili yenye Madhabau kamili na maji maji mnayo yatoa ni sadaka kamili uwezi kubali kulala na kila binti unaye muona . My dear ukijua kuwa sex ni mlango unao weza ruhusu laana kuingia kwako uwezi kubali kulala na kila mwanaume anaye kuja mbele yako . Ukijua kuwa zinaa "KUZINI" Ni amri kama ilivyo USIUE huwezi kubali kusex na kila mwanamke anaye jichekesha mbele yako. Namaanisha hivi wewe uliye zini na anaye aliye ua wote kwa Mungu mko sawa acha kuichukilia zinaa kawaida. 3.Ukijua kuwa zinaa inaangamiza nafsi yako uwezi kuwa unaruhusu kila kijana anaye kuja anakuvua nguo. 4.Moja ya sifa ambayo inaweza kukutqmbulisha kama mpumbavu ni pamoja na kuwa mtu wa zinaa muda wote . Mtu aziniye na mwanamke hana akili kabisa; Afanya jambo litakalomwangamiza nafsi yake mithali 6:32 5.Aina ya maisha yako yanaamua kiwango cha maisha yako uwezi kuwa na ndoto kubwa arafu ukawa unalala na kila mtu anaye kuja mbele yako . Yusuph kwa kuheshimu ndoto yake aliamua kumkimbia potifa. Hakuna mkuu katika nyumba hii kuliko mimi, wala hakunizuilia kitu chochote ila wewe, kwa kuwa wewe u mkewe. *Nifanyeje ubaya huu mkubwa nimkosee Mungu?* Akawa akizidi kusema na Yusufu siku baada ya siku, lakini hakumsikia alale naye, wala kuwa naye.Mwanzo 39:9-10. Ukubwa wa ndoto ya yusuph akubabaishwa na uzuri na ukuu wa malkia wa misri . Hiyo ndiyo maana sahihi ya ndoto. 6.Zinaa inakuondolea kabisa uwepo wa Mungu kabisa . Zinaa inaharibu kusudi la Mungu kwako na unaweza kufa kabla ya wakati muulize sulemani anajua uhalisia kuwa sababu ya zinaa alipoteza nguvu zake . Sex ni tendo la agano kama agano lingine ndo mana intial day lazima wakike afunguliwe kwa damu kumwagika na anaye mwaga damu anatoa maji maji huitwa (shahawa) kama kamilisho la agano . Acha kuchukulia zinaa kama kitu cha kawaida ni tendo la agano kuna watu wengi mumefungwa na watu wenu wa ujanani mpaka leo mumeolewa au kuoa kimwili uko na mke wako lakini kiroho wewe una agano na mtu mwingine. Asante Kristo ni Bwana wa agano jipy anataka vijana waache zinaa kabisa na yeye anasamehe kila jambo baya kama tu ukimwamini na kumpa nafasi leo. Ok naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) #build new eden #restore men position
    Wow
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·509 Visualizações
  • 16/21
    BWANA ANATUTAKA TUONGEZE WENGINE
    Ni rahisi sana watu tulio okoka kumwomba Mungu atuongeze ikiwa sisi hatuja fanya chochote juu ya ufalme wake.

    Yohana15:1-5 BHN
    1.“Mimi ni mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.

    2.Kila tawi ndani yangu lisilozaa matunda yeye huliondoa, na kila tawi lizaalo hulisafisha lipate kuzaa zaidi.

    3.Nyinyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya ule ujumbe niliowaambieni. Kaeni ndani yangu, nami nikae ndani yenu
    4.Kama vile tawi haliwezi peke yake kuzaa matunda lisipobaki katika mzabibu, hali kadhalika nanyi hamwezi kuzaa matunda msipokaa ndani yangu.

    5.“Mimi ni mzabibu, nanyi ni matawi. Akaaye ndani yangu, nami nikiwa ndani yake, huyo huzaa matunda mengi, maana bila mimi hamwezi kufanya chochote.

    Ni maneno yaa Yesu aliyo kuwa akiwaambia wanafunzi wake kuwa yeye ni mzabibu na baba ni mkulima .

    Katika maneno haya tukiangalia kwa upana zaidi kuna jambo kubwa tunakwenda kujifunza ambalo ni

    1.Kama mtoto wa Mungu kujua nafasi yako katika ufalme wa Mungu.

    2.kuzaa na kuongezeka ni kanuni ya kiungu kabisa .
    2."Kila tawi ndani yangu lisilozaa matunda yeye huliondoa, na kila tawi lizaalo hulisafisha lipate kuzaa zaidi."

    Ukisha okoka lazima ujenge tabia ya kuongeza wengine ili nawe uongezeke na kusitawi .

    Kumbe kazi ya kushuhudia si ya mchungaji peke yake bali ya wote katika kuujenga mwili wa kristo.

    3.Kuwa na moyo safi ni ishara ya kuwa ndani ya kristo.

    Kumbe kama mapenzi ya Mungu ni sisi kukaa ndani yake ili tuweze kumpendeza yeye kisha yeye awe ndani yetu.

    Na kama tunavyo jua ili Mungu akae ndani yetu lazima tuwe safi katika moyo wetu kwani yeye ni msafi kila wakati.

    Hayo ndiyo mapenzi ya Mungu ni sisi tuzae matunda iliatuongeze sana lakini bahati mbaya sasa tumewaachia wachungaji ndio wazae matunda (wawalete watu kwa Yesu).

    Ni vyema kama mwamini ukipata nafasi ya kuvuna nafsi ivune ili baba asije akakukata kwa kuwa ni mzabibu usio zaaa.

    Natamani kama kila mtu ndani ya kanisa akaelewa yeye ni tawi ndani ya mzabibu ko lazima ategemee kuzaa wengine .

    Bwana lengo lake ni kutupanda kuwa mzabibu mwema lakini sisi tumegeuka kuwa mzabibu mwitu..

    Wakati mwingine kuna baraka tumezikosa kwa sababu tu ya kuto kuongeza watu wengine katika ufalme wa Mungu.

    Lete mamilioni ya watu kwa Yesu na Yesu atajivunia wewe . Mbingu ilijivunia mitume sababu ya nguvu ya kutafuta wengine kwa ajiri ya ufalme vipi wewe na mimi tumefanya nini kwa ajiri ya ufalme?

    Au tunasubiri kukatwa tawi letu ndipo tuelewe vizr , la hasha tunapaswa kusafishiwa ili tusitawi sana na kufanikiwa sana.

    Kama ni prays unawezaje kuzaa wengine katika prays yako , kama ni mwimbaj unawezaj kuzaa wengine sababu ya uimbaji wako , na wengine katika hicho ulicho pewa unawezaje kuzaa wengine?

    Bwana akusaidie sana na mimi anisaidie tugeuke tuzae matunda kabla tujakatwa au kudumaa kihuduma, kwani huduma ni zawadi tu ,,

    Ahsante sana naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (BUILD NEW EDEN)

    #build new eden
    #restore men position
    16/21 BWANA ANATUTAKA TUONGEZE WENGINE Ni rahisi sana watu tulio okoka kumwomba Mungu atuongeze ikiwa sisi hatuja fanya chochote juu ya ufalme wake. Yohana15:1-5 BHN 1.“Mimi ni mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima. 2.Kila tawi ndani yangu lisilozaa matunda yeye huliondoa, na kila tawi lizaalo hulisafisha lipate kuzaa zaidi. 3.Nyinyi mmekwisha kuwa safi kwa sababu ya ule ujumbe niliowaambieni. Kaeni ndani yangu, nami nikae ndani yenu 4.Kama vile tawi haliwezi peke yake kuzaa matunda lisipobaki katika mzabibu, hali kadhalika nanyi hamwezi kuzaa matunda msipokaa ndani yangu. 5.“Mimi ni mzabibu, nanyi ni matawi. Akaaye ndani yangu, nami nikiwa ndani yake, huyo huzaa matunda mengi, maana bila mimi hamwezi kufanya chochote. Ni maneno yaa Yesu aliyo kuwa akiwaambia wanafunzi wake kuwa yeye ni mzabibu na baba ni mkulima . Katika maneno haya tukiangalia kwa upana zaidi kuna jambo kubwa tunakwenda kujifunza ambalo ni 1.Kama mtoto wa Mungu kujua nafasi yako katika ufalme wa Mungu. 2.kuzaa na kuongezeka ni kanuni ya kiungu kabisa . 2."Kila tawi ndani yangu lisilozaa matunda yeye huliondoa, na kila tawi lizaalo hulisafisha lipate kuzaa zaidi." Ukisha okoka lazima ujenge tabia ya kuongeza wengine ili nawe uongezeke na kusitawi . Kumbe kazi ya kushuhudia si ya mchungaji peke yake bali ya wote katika kuujenga mwili wa kristo. 3.Kuwa na moyo safi ni ishara ya kuwa ndani ya kristo. Kumbe kama mapenzi ya Mungu ni sisi kukaa ndani yake ili tuweze kumpendeza yeye kisha yeye awe ndani yetu. Na kama tunavyo jua ili Mungu akae ndani yetu lazima tuwe safi katika moyo wetu kwani yeye ni msafi kila wakati. Hayo ndiyo mapenzi ya Mungu ni sisi tuzae matunda iliatuongeze sana lakini bahati mbaya sasa tumewaachia wachungaji ndio wazae matunda (wawalete watu kwa Yesu). Ni vyema kama mwamini ukipata nafasi ya kuvuna nafsi ivune ili baba asije akakukata kwa kuwa ni mzabibu usio zaaa. Natamani kama kila mtu ndani ya kanisa akaelewa yeye ni tawi ndani ya mzabibu ko lazima ategemee kuzaa wengine . Bwana lengo lake ni kutupanda kuwa mzabibu mwema lakini sisi tumegeuka kuwa mzabibu mwitu.. Wakati mwingine kuna baraka tumezikosa kwa sababu tu ya kuto kuongeza watu wengine katika ufalme wa Mungu. Lete mamilioni ya watu kwa Yesu na Yesu atajivunia wewe . Mbingu ilijivunia mitume sababu ya nguvu ya kutafuta wengine kwa ajiri ya ufalme vipi wewe na mimi tumefanya nini kwa ajiri ya ufalme? Au tunasubiri kukatwa tawi letu ndipo tuelewe vizr , la hasha tunapaswa kusafishiwa ili tusitawi sana na kufanikiwa sana. Kama ni prays unawezaje kuzaa wengine katika prays yako , kama ni mwimbaj unawezaj kuzaa wengine sababu ya uimbaji wako , na wengine katika hicho ulicho pewa unawezaje kuzaa wengine? Bwana akusaidie sana na mimi anisaidie tugeuke tuzae matunda kabla tujakatwa au kudumaa kihuduma, kwani huduma ni zawadi tu ,, Ahsante sana naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (BUILD NEW EDEN) #build new eden #restore men position
    Wow
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·596 Visualizações
  • 15/21Hakuna neno gumu kwa Bwana.

    Ayubu 42:2
    "Najua ya kuwa waweza kufaya mambo yote na ya kuwa makusudi yako hayawezi zuilika."

    Ndio Bwana anaweza kufanya mambo yote kwako ikiwa tu kama ukikubali na kumfuata.

    Ayubu pamoja na mapito yote haya bado alibaki na tumaini hili la kujua kuwa bwana ndiyo anayeweza kufanya mambo yote.

    Na Bwana akianza kufanya akuna awezaye kuzuia kwani Bwana hufanya kwa ajiri ya kulitimiza kusudi lake na mapenzi yake.

    Kusudi la Mungu ni kuwainua wanao mtumikia ko usipate shida Bwana atakufanyia makubwa sana kama tu hautazimia moyo.

    "Aa! Bwana MUNGU ,tazama wewe umeziumba mbingu na nchi kwa uweza wako mkuu na kwa mkono wako ulionyoshwa ,hapana neno gumu usilo liweza".(Yeremia 32:17)

    Kwa Bwana hakuna jambo gumu hata moja haijalishi umekata tamaa kiasi gani Bwana anataka umlingane kwa kumtafuta tu yeye atakujibu .

    Tazama mimi ni BWANA , Mungu wa wote wenye mwili je! Kuna neno gumu lolote nisilo liweza? (Yeremia 32:27)

    Hili ni neno la Bwana lilo mjia Yeremia Bwana akiuliza je kuna neno gumu lolote yeye asilo liweza.

    Kumbe tatizo lako la uchumi si jambo gumu kwa bwana kiasi wewe kukata tamaa.

    Kama mwamini unacho paswa kukiri ni kuwa "Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu"

    Ni wewe tu umemuacha Bwana kwa kuifuatisha dunia inavyo enda kiasi cha kuzani kuna mambo ni magumu yeye awezi.

    Nipo hapa asubui ya leo kukutia moyo kuwa bwana anaweza yote ko acha kujidharau .

    Songa mbele kwa kujua kuwa umaskini ulio nao ,adha unayopitia , magumu unayo pitia ni kitambo tu Bwana anakwenda kukuvusha leo.

    Mwamini Mungu kwani neno lake linasema "Nchi na vyote vijazavyo ni mali yake dunia na wote wakaao ndani yake" (zaburi 24:1)

    Kama vyote ni mali ya Bwana kumbe ili uvipate ni kuyatenda mapenzi yake ili yeye alitimize kusudi lake kwako .

    Jifunze kujikubali kabla ujakubaliwa ,kwani ili uweze yote lazima uwe jitu la kujikubali katika kutimiza mapenzi ya Mungu.

    Wanadamu wanaweza kukataaa huwezi lakini vipi Mungu anasemaje?
    Nayey kakukataa kwani ? Jibu utagundua ni hapana sasa kama ni hapana mtazame Mungu anasema nini sio wao wanasema nini na hapo ndipo utaanza kujua nguvu ya Mungu kuwa anaweza yote na hakuna asilo liweza.

    Wanadamu wamesema huwezi kuajiriwa , vipi Mungu aesema nini pia? Ukitizama hivyo utagundua Mungu kasela akuna jambo gumu asilo liweza! Ko ni wewe tu ujamlingana Mungu.

    Madaktari wamesema huwezi kupona huo ugonjwa Mungu amesemaj? Mungu anasema Njoni kwangu enyi nyote mnao lemewa na mizigo nami nitawapunzisha.

    Mwamini Mungu yeye anaweza kukuvusha ktika kila hatua bila ugumu wowote.

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende (build new eden) at 06;52am

    #build new eden
    #restore men position
    15/21Hakuna neno gumu kwa Bwana. Ayubu 42:2 "Najua ya kuwa waweza kufaya mambo yote na ya kuwa makusudi yako hayawezi zuilika." Ndio Bwana anaweza kufanya mambo yote kwako ikiwa tu kama ukikubali na kumfuata. Ayubu pamoja na mapito yote haya bado alibaki na tumaini hili la kujua kuwa bwana ndiyo anayeweza kufanya mambo yote. Na Bwana akianza kufanya akuna awezaye kuzuia kwani Bwana hufanya kwa ajiri ya kulitimiza kusudi lake na mapenzi yake. Kusudi la Mungu ni kuwainua wanao mtumikia ko usipate shida Bwana atakufanyia makubwa sana kama tu hautazimia moyo. "Aa! Bwana MUNGU ,tazama wewe umeziumba mbingu na nchi kwa uweza wako mkuu na kwa mkono wako ulionyoshwa ,hapana neno gumu usilo liweza".(Yeremia 32:17) Kwa Bwana hakuna jambo gumu hata moja haijalishi umekata tamaa kiasi gani Bwana anataka umlingane kwa kumtafuta tu yeye atakujibu . Tazama mimi ni BWANA , Mungu wa wote wenye mwili je! Kuna neno gumu lolote nisilo liweza? (Yeremia 32:27) Hili ni neno la Bwana lilo mjia Yeremia Bwana akiuliza je kuna neno gumu lolote yeye asilo liweza. Kumbe tatizo lako la uchumi si jambo gumu kwa bwana kiasi wewe kukata tamaa. Kama mwamini unacho paswa kukiri ni kuwa "Nayaweza mambo yote katika yeye anitiaye nguvu" Ni wewe tu umemuacha Bwana kwa kuifuatisha dunia inavyo enda kiasi cha kuzani kuna mambo ni magumu yeye awezi. Nipo hapa asubui ya leo kukutia moyo kuwa bwana anaweza yote ko acha kujidharau . Songa mbele kwa kujua kuwa umaskini ulio nao ,adha unayopitia , magumu unayo pitia ni kitambo tu Bwana anakwenda kukuvusha leo. Mwamini Mungu kwani neno lake linasema "Nchi na vyote vijazavyo ni mali yake dunia na wote wakaao ndani yake" (zaburi 24:1) Kama vyote ni mali ya Bwana kumbe ili uvipate ni kuyatenda mapenzi yake ili yeye alitimize kusudi lake kwako . Jifunze kujikubali kabla ujakubaliwa ,kwani ili uweze yote lazima uwe jitu la kujikubali katika kutimiza mapenzi ya Mungu. Wanadamu wanaweza kukataaa huwezi lakini vipi Mungu anasemaje? Nayey kakukataa kwani ? Jibu utagundua ni hapana sasa kama ni hapana mtazame Mungu anasema nini sio wao wanasema nini na hapo ndipo utaanza kujua nguvu ya Mungu kuwa anaweza yote na hakuna asilo liweza. Wanadamu wamesema huwezi kuajiriwa , vipi Mungu aesema nini pia? Ukitizama hivyo utagundua Mungu kasela akuna jambo gumu asilo liweza! Ko ni wewe tu ujamlingana Mungu. Madaktari wamesema huwezi kupona huo ugonjwa Mungu amesemaj? Mungu anasema Njoni kwangu enyi nyote mnao lemewa na mizigo nami nitawapunzisha. Mwamini Mungu yeye anaweza kukuvusha ktika kila hatua bila ugumu wowote. Ok naitwa Sylvester Mwakabende (build new eden) at 06;52am #build new eden #restore men position
    Yay
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·659 Visualizações
  • Ufunuo wa Yohana 6:9-11
    [9]Na alipoifungua muhuri ya tano, nikaona chini ya madhabahu roho zao waliochinjwa kwa ajili ya neno la :
    [10]Wakalia kwa sauti kuu, wakisema, Ee Mola, Mtakatifu, Mwenye kweli, hata lini kutokuhukumu, wala kuipatia haki damu yetu kwa hao wakaao juu ya nchi?

    [11]Nao wakapewa kila mmoja nguo ndefu, nyeupe, wakaambiwa wastarehe bado muda mchache, hata itakapotimia hesabu ya wajoli wao na ndugu zao, watakaouawa vile vile kama wao.

    *Unaweza zani unaua Mungu amekuacha kube ni bado kitambo kidogo sana juu yako.*

    Na ukitaka kujua bado kitmbo kidogo ukiona imefika wakati kanisa linaanza kushambuliwa jua kumeshakucha tayari mwenye kusikia na asikie maneno ambayo roho ayaambia makanisa.

    Ogopa sana wewe kuwa sababu y kukatisha uhai wa mtu katika hii dunia asila ya mungu ikishuka amna namna unaweza kuwa salama.

    *Nazungumza na mtu ambaye wewe kuua nafsi za watu kwako ni kawaida ,Mungu anasema amesubiri kidogo tu kilio kama cha watu wale kiongezeke kidogo tu* .

    Kama kanisa likasema kuwa haki inaminywa matokeo yake ni kuumia kwa maisha yao basi jua kuwa anguko la pili ni kubwa kuliko la kwanza.

    Galatia 6:9-10
    *Tena tusichoke katika kutenda mema; maana tutavuna kwa wakati wake, tusipozimia roho. Kwa hiyo kadiri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema; na hasa jamaa ya waaminio.*

    Sasa kwa namna yeyote ile kutenda mema kwa kanisa ni pamoja na kusema ukweli panapo hitajika kusema.

    *Haki huinua taifa; Bali dhambi ni aibu ya watu wo wote.* Mithali 14:34

    Sasa kama kuna damu inamwagika kwa ajiri ya haki jua kinacho fuatia ni aibu mauti (dhambi).

    Ole kwako dunia ambaye wewe unashiriki kuua masihi wa Bwana na wasema kweli wote kwani anguko lako ni baya sana kuliko hata asiye amini.

    51 *tangu damu ya Abeli mpaka damu ya Zakaria aliyeuawa kati ya madhabahu na mahali patakatifu. Nawaambia kweli, watu wa kizazi hiki wataadhibiwa kwa ajili yao wote* (luka 11:51)

    Kama kwa matoleo damu ya Abiri ililia vipi kuhusu haki damu ya watumishi itakayo lia .

    Misikilize mathayo alivyo andika maneno aliyo yasema masihi wa Bwana.
    Mathayo 23:35
    *Hivyo ile damu ya wenye haki wote iliyomwagwa hapa duniani, tangu damu ya Habili, aliyekuwa mwenye haki, hadi damu ya Zakaria mwana wa Barakia, mliyemuua kati ya patakatifu na madhabahu, itawajia juu yenu*

    Kanisa la Mungu damu ya wenye haki na watumishi wa mungu si damu za kuzishiriki kwani zinahatari sana .

    Cheki laana aliyo ipata kaini baada ya kumuua ndugu yake.
    Mwanzo 4:10-12
    *Umefanya nini? Damu ya ndugu yako yanililia kutoka udongoni. Sasa wewe umelaaniwa! Hutailima tena ardhi yenye rutuba ambayo kama kinywa imeipokea damu ya nduguyo uliyemuua. Ukiilima ardhi haitakupatia tena mazao yake. Utakuwa mtu wa kutangatanga, asiye na makao maalumu duniani.”*

    *Sasa kama taifa ni moja ya madhara yanaweza kukupata wewe ambaye damu ya wataua wa Mungu na wapenda haki unaichezea* .

    Unaweza ukamuua huyo mtumishi msema kweli lakini mara zote damu yake utumika kama wino wa kumkumbusha Mungu na matokeo yake unalaaniwa wewe na kizazi chako chote .

    *Kama askari wa mbinguni huu ni muda mwafaka wa kumlingana Mungu kuhusu maovu yetu kuliko kuendelea kumwaga damu ya wataua.*

    Lakini pia ole kwa kanisa ambalo linaona palipo haribika lakini halitaki kuongea kazi yake kusifiwa na nyinyi pia ole kwenu imefika .
    Yeremia 23:1
    *Ole wao wachungaji, wanaoharibu kondoo za malisho yangu na kuwatawanya! Asema BWANA*

    *Watumishi msidhani kuzini tu ndo ole iyo hata kukaa kimya wakati damu inamwagika pia ni kutawanya kondoo kwani amuwaekezi ukweli kondoo wenu .*

    Wako katika Kristo jasusi wa mbinguni SG Mwakabende kutoka build new eden
    Ufunuo wa Yohana 6:9-11 [9]Na alipoifungua muhuri ya tano, nikaona chini ya madhabahu roho zao waliochinjwa kwa ajili ya neno la : [10]Wakalia kwa sauti kuu, wakisema, Ee Mola, Mtakatifu, Mwenye kweli, hata lini kutokuhukumu, wala kuipatia haki damu yetu kwa hao wakaao juu ya nchi? [11]Nao wakapewa kila mmoja nguo ndefu, nyeupe, wakaambiwa wastarehe bado muda mchache, hata itakapotimia hesabu ya wajoli wao na ndugu zao, watakaouawa vile vile kama wao. *Unaweza zani unaua Mungu amekuacha kube ni bado kitambo kidogo sana juu yako.* Na ukitaka kujua bado kitmbo kidogo ukiona imefika wakati kanisa linaanza kushambuliwa jua kumeshakucha tayari mwenye kusikia na asikie maneno ambayo roho ayaambia makanisa. Ogopa sana wewe kuwa sababu y kukatisha uhai wa mtu katika hii dunia asila ya mungu ikishuka amna namna unaweza kuwa salama. *Nazungumza na mtu ambaye wewe kuua nafsi za watu kwako ni kawaida ,Mungu anasema amesubiri kidogo tu kilio kama cha watu wale kiongezeke kidogo tu* . Kama kanisa likasema kuwa haki inaminywa matokeo yake ni kuumia kwa maisha yao basi jua kuwa anguko la pili ni kubwa kuliko la kwanza. Galatia 6:9-10 *Tena tusichoke katika kutenda mema; maana tutavuna kwa wakati wake, tusipozimia roho. Kwa hiyo kadiri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema; na hasa jamaa ya waaminio.* Sasa kwa namna yeyote ile kutenda mema kwa kanisa ni pamoja na kusema ukweli panapo hitajika kusema. *Haki huinua taifa; Bali dhambi ni aibu ya watu wo wote.* Mithali 14:34 Sasa kama kuna damu inamwagika kwa ajiri ya haki jua kinacho fuatia ni aibu mauti (dhambi). Ole kwako dunia ambaye wewe unashiriki kuua masihi wa Bwana na wasema kweli wote kwani anguko lako ni baya sana kuliko hata asiye amini. 51 *tangu damu ya Abeli mpaka damu ya Zakaria aliyeuawa kati ya madhabahu na mahali patakatifu. Nawaambia kweli, watu wa kizazi hiki wataadhibiwa kwa ajili yao wote* (luka 11:51) Kama kwa matoleo damu ya Abiri ililia vipi kuhusu haki damu ya watumishi itakayo lia . Misikilize mathayo alivyo andika maneno aliyo yasema masihi wa Bwana. Mathayo 23:35 *Hivyo ile damu ya wenye haki wote iliyomwagwa hapa duniani, tangu damu ya Habili, aliyekuwa mwenye haki, hadi damu ya Zakaria mwana wa Barakia, mliyemuua kati ya patakatifu na madhabahu, itawajia juu yenu* Kanisa la Mungu damu ya wenye haki na watumishi wa mungu si damu za kuzishiriki kwani zinahatari sana . Cheki laana aliyo ipata kaini baada ya kumuua ndugu yake. Mwanzo 4:10-12 *Umefanya nini? Damu ya ndugu yako yanililia kutoka udongoni. Sasa wewe umelaaniwa! Hutailima tena ardhi yenye rutuba ambayo kama kinywa imeipokea damu ya nduguyo uliyemuua. Ukiilima ardhi haitakupatia tena mazao yake. Utakuwa mtu wa kutangatanga, asiye na makao maalumu duniani.”* *Sasa kama taifa ni moja ya madhara yanaweza kukupata wewe ambaye damu ya wataua wa Mungu na wapenda haki unaichezea* . Unaweza ukamuua huyo mtumishi msema kweli lakini mara zote damu yake utumika kama wino wa kumkumbusha Mungu na matokeo yake unalaaniwa wewe na kizazi chako chote . *Kama askari wa mbinguni huu ni muda mwafaka wa kumlingana Mungu kuhusu maovu yetu kuliko kuendelea kumwaga damu ya wataua.* Lakini pia ole kwa kanisa ambalo linaona palipo haribika lakini halitaki kuongea kazi yake kusifiwa na nyinyi pia ole kwenu imefika . Yeremia 23:1 *Ole wao wachungaji, wanaoharibu kondoo za malisho yangu na kuwatawanya! Asema BWANA* *Watumishi msidhani kuzini tu ndo ole iyo hata kukaa kimya wakati damu inamwagika pia ni kutawanya kondoo kwani amuwaekezi ukweli kondoo wenu .* Wako katika Kristo jasusi wa mbinguni SG Mwakabende kutoka build new eden
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·799 Visualizações
  • 13/21. ROHO YA UDANGANYIFU KANISANI.

    Torati 13:1-2
    *1 Kukizuka katikati yako nabii, au mwotaji wa ndoto, akikutolea ishara au ajabu, 2 ikatukia hiyo ishara au hiyo ajabu aliyokuambia akisema, Na tuifuate miungu mingine usiyoijua, tuitumikie hiyo*

    Hayo ndiyo maagizo ambyo Mungu alimpatia Musa ili ayaweke kama kumbukumbu kwa taifa lake (kanisa ) lake hapa duniani .

    *Kumbe inshu siyo anaweza kukuambia kuwa anaona au anaota mambo yako ukajua ni mtu wa Mungu peke yake ,hapana kama tu anaweza yeye kuabudu miungu mingine ujue kabisa uyo si mtu wa Mungu.*

    Unasema nimejuaje andiko linasema *wataponya ,watatoa pepo kwa jina langu lakini mimi sikuwatuma*.

    *Kumbe kutoa pepo kusikufanye uamini sana kama mtu wa Mungu kutabiriwa pia lakini utamtambua jinsi anayo weza kuichukia zambi kwa roho yote.*

    Kukujulisha maisha yako ya nyuma siyo ishara ya kuwa ni mtumishi wa Mungu. Vipi kuhusu yule msichana aliye kuwa na pepo la uaguzi .

    (Ukisoma matendo 16:16-18 utaona )

    *“Hawa watu ni watumishi wa Mungu Mkuu.*

    Ko ukiangalia alikuwa anapenda kufanya hivyo siku hadi siku anajichanganya na watumishi wa kweli akina Paulo ili zsijulikane lakini alikuwa anapepo la uaguzi kwa lugha nyepesi ni *mganga wa kienyeji anaye tabiria watu kanisani*

    Ko muhimu sana kujua ulipo wanakuandaa kwenda mbinguni au wanakuandaa tu kuishi .

    Muombe sana Mungu akusaidie usiende kanisani kwa sababu ya kupata tu unabii au kuwekewa mkono wakti mwingine unajikuta umeenda kuongeza matatizo kwa kigezo cha kutoa tatizo.

    Kama wokovu kwako umejengwa katika dhana ya kutabiriwa peke yake basi kwako wokovu ni kitu kigumu sana .

    Ukisoma Yeremia 28:
    Utaona habari za mtu mmoja anaitwa hanania aliingia hekaruni na kuanza kutabiri neema mbele ya makuhani na yeremia mwenyewe ,lakini kw kuwa nabii Yeremia alikuwa ni mtu wa Mungu aligundua kuwa huyu ananinia ni nabii wa uongo .

    , *“Sikiliza, Hanania, Mwenyezi-Mungu hakukutuma, nawe unawafanya watu hawa waamini uongo*(Yeremia 28:15)

    Lakini ninacho tamani ujue huyu mtu aliingia kama mtu wa Mungu inamaana bila uimara wa Yeremia nabii kanisa lote lingekuwa limelishwa uongo na imani yake katika uongo.

    Lazima kama watumishi wa Mungu tuombe Mungu sana kipindi cha hiki uamsho mkubwa unapokwenda kutokea Tanzania kuna watu wengi watanyanyuka kusema lakini ukweli watakuwa si watu wa Mungu bali wana nguvu iliyo nyuma yao.

    Na bahati mbaya sana watu tunapenda saba ishara basi tunaona hapa ndo penyewe kumbe ni yule binti mwenye pepo la uaguzi.

    Ni kwambie ukweli kanisa la kweli haliwezi kuongozwa na roho ya yezebeli( Zinaa na uasherati) vikawa vitu vya kawaida kanisani.

    Oh mimi napokea kila mtu hapana si kanisa hilo ni lango la shetani *" si maanishi kanisani kwenda lazima mtu awe ameokoka lakini tunategemea baada ya kwenda aanze kubadilika so anatokz church ni worshipa anaenda ghetho kwa msela kuzini hii haikubaliki"*

    Ko kama dunia yatupasa kujiazali sana unabii na mafunuo juu ya ndoto zako si kigezo cha kuwa mtu wa Mungu bali mtawatambua kwa matendo yao.

    Hizi ni nyakati za mwisho ko wapo masihi (watumishi) wa Bwana ambao kazi yao kueneza injiri lakini pia wapo washetani ambao kazi yao ni kulipeleka matopeni kanisa la Mungu pasipo hao watu kujua.

    Unasema nimejuaje kamuulize Ahabu na Yeoshafath walipo taka kwenda vitani manabii wengine wote *waliingiziwa roho ya uongo (shetani) ili wampotoshe ahabu* lakini alikuwepo mmoja anaitwa *Mikaya yeye alikuwa jitu la mbinguni na akukubalika kirahisi mbele ya ahabu sababu ya matendo yake ahabu.*

    Ndivyo ilivyo hata leo manabii wa uongo wanawajaza viongozi wa serikari matumaini pasipo kujua kuwa Mungu anamtaka mtu mnyenyekevu .

    Nazungumza na mgombea mmoja ambaye yeye anatumia kafara arafu anaenda kuuliza kwa manabii uongo na wanampa tumaini na simama kama mikaya nataka nikwambie ukigombea huwezi kushinda kabisa kabisa.

    Manabii wa uongo wamejaa wao kila wakikutana na viongozi wanawatabiria maswala ya amani tu wakati wanaona kabisa mambo hayaeleweki

    Yeremia 28:9
    *Nabii atabiriye habari za amani, neno la nabii yule litakapotokea, ndipo nabii yule atakapojulikana, kweli kuwa BWANA amemtuma.*

    Lakini lisipo tokea mana yake ni wauongo na mwaka huu Mungu anakwenda kulionyeaha taifa kwamba roho za Hanania ni nyingi kanisani zinatabiri uongo kuwapa watu matumaini tu lakini si kweli .

    *Hakuna haki hakuna amani unashindwaje kuliambia taifa ukweli kabisa*


    Tuwaepuke sana manabii wa uongo wanakula sana jitihada za imani zetu kama vijana watoto wa Mungu.

    Dada acha kumue mue kila mtumishi lazima uende wewe na kuzungukia makanisa kama umeambiwa wanakupa ela vile kila siku unaenda kuuliza mambo yako bila kufanya kazi acha uo ujinga.

    Mwamini Mungu kuwa hizi ni siku za mwisho bado kidogo sana masihi aje awachukue walio wake.

    Ahsante sana naitwa Sylvester Mwakabende kutoja (build new eden)

    Karibu sana ujifunze nasi kupitia status pia 0622625340

    #build new eden
    #Restoremenposition
    13/21. ROHO YA UDANGANYIFU KANISANI. Torati 13:1-2 *1 Kukizuka katikati yako nabii, au mwotaji wa ndoto, akikutolea ishara au ajabu, 2 ikatukia hiyo ishara au hiyo ajabu aliyokuambia akisema, Na tuifuate miungu mingine usiyoijua, tuitumikie hiyo* Hayo ndiyo maagizo ambyo Mungu alimpatia Musa ili ayaweke kama kumbukumbu kwa taifa lake (kanisa ) lake hapa duniani . *Kumbe inshu siyo anaweza kukuambia kuwa anaona au anaota mambo yako ukajua ni mtu wa Mungu peke yake ,hapana kama tu anaweza yeye kuabudu miungu mingine ujue kabisa uyo si mtu wa Mungu.* Unasema nimejuaje andiko linasema *wataponya ,watatoa pepo kwa jina langu lakini mimi sikuwatuma*. *Kumbe kutoa pepo kusikufanye uamini sana kama mtu wa Mungu kutabiriwa pia lakini utamtambua jinsi anayo weza kuichukia zambi kwa roho yote.* Kukujulisha maisha yako ya nyuma siyo ishara ya kuwa ni mtumishi wa Mungu. Vipi kuhusu yule msichana aliye kuwa na pepo la uaguzi . (Ukisoma matendo 16:16-18 utaona ) *“Hawa watu ni watumishi wa Mungu Mkuu.* Ko ukiangalia alikuwa anapenda kufanya hivyo siku hadi siku anajichanganya na watumishi wa kweli akina Paulo ili zsijulikane lakini alikuwa anapepo la uaguzi kwa lugha nyepesi ni *mganga wa kienyeji anaye tabiria watu kanisani* Ko muhimu sana kujua ulipo wanakuandaa kwenda mbinguni au wanakuandaa tu kuishi . Muombe sana Mungu akusaidie usiende kanisani kwa sababu ya kupata tu unabii au kuwekewa mkono wakti mwingine unajikuta umeenda kuongeza matatizo kwa kigezo cha kutoa tatizo. Kama wokovu kwako umejengwa katika dhana ya kutabiriwa peke yake basi kwako wokovu ni kitu kigumu sana . Ukisoma Yeremia 28: Utaona habari za mtu mmoja anaitwa hanania aliingia hekaruni na kuanza kutabiri neema mbele ya makuhani na yeremia mwenyewe ,lakini kw kuwa nabii Yeremia alikuwa ni mtu wa Mungu aligundua kuwa huyu ananinia ni nabii wa uongo . , *“Sikiliza, Hanania, Mwenyezi-Mungu hakukutuma, nawe unawafanya watu hawa waamini uongo*(Yeremia 28:15) Lakini ninacho tamani ujue huyu mtu aliingia kama mtu wa Mungu inamaana bila uimara wa Yeremia nabii kanisa lote lingekuwa limelishwa uongo na imani yake katika uongo. Lazima kama watumishi wa Mungu tuombe Mungu sana kipindi cha hiki uamsho mkubwa unapokwenda kutokea Tanzania kuna watu wengi watanyanyuka kusema lakini ukweli watakuwa si watu wa Mungu bali wana nguvu iliyo nyuma yao. Na bahati mbaya sana watu tunapenda saba ishara basi tunaona hapa ndo penyewe kumbe ni yule binti mwenye pepo la uaguzi. Ni kwambie ukweli kanisa la kweli haliwezi kuongozwa na roho ya yezebeli( Zinaa na uasherati) vikawa vitu vya kawaida kanisani. Oh mimi napokea kila mtu hapana si kanisa hilo ni lango la shetani *" si maanishi kanisani kwenda lazima mtu awe ameokoka lakini tunategemea baada ya kwenda aanze kubadilika so anatokz church ni worshipa anaenda ghetho kwa msela kuzini hii haikubaliki"* Ko kama dunia yatupasa kujiazali sana unabii na mafunuo juu ya ndoto zako si kigezo cha kuwa mtu wa Mungu bali mtawatambua kwa matendo yao. Hizi ni nyakati za mwisho ko wapo masihi (watumishi) wa Bwana ambao kazi yao kueneza injiri lakini pia wapo washetani ambao kazi yao ni kulipeleka matopeni kanisa la Mungu pasipo hao watu kujua. Unasema nimejuaje kamuulize Ahabu na Yeoshafath walipo taka kwenda vitani manabii wengine wote *waliingiziwa roho ya uongo (shetani) ili wampotoshe ahabu* lakini alikuwepo mmoja anaitwa *Mikaya yeye alikuwa jitu la mbinguni na akukubalika kirahisi mbele ya ahabu sababu ya matendo yake ahabu.* Ndivyo ilivyo hata leo manabii wa uongo wanawajaza viongozi wa serikari matumaini pasipo kujua kuwa Mungu anamtaka mtu mnyenyekevu . Nazungumza na mgombea mmoja ambaye yeye anatumia kafara arafu anaenda kuuliza kwa manabii uongo na wanampa tumaini na simama kama mikaya nataka nikwambie ukigombea huwezi kushinda kabisa kabisa. Manabii wa uongo wamejaa wao kila wakikutana na viongozi wanawatabiria maswala ya amani tu wakati wanaona kabisa mambo hayaeleweki Yeremia 28:9 *Nabii atabiriye habari za amani, neno la nabii yule litakapotokea, ndipo nabii yule atakapojulikana, kweli kuwa BWANA amemtuma.* Lakini lisipo tokea mana yake ni wauongo na mwaka huu Mungu anakwenda kulionyeaha taifa kwamba roho za Hanania ni nyingi kanisani zinatabiri uongo kuwapa watu matumaini tu lakini si kweli . *Hakuna haki hakuna amani unashindwaje kuliambia taifa ukweli kabisa* Tuwaepuke sana manabii wa uongo wanakula sana jitihada za imani zetu kama vijana watoto wa Mungu. Dada acha kumue mue kila mtumishi lazima uende wewe na kuzungukia makanisa kama umeambiwa wanakupa ela vile kila siku unaenda kuuliza mambo yako bila kufanya kazi acha uo ujinga. Mwamini Mungu kuwa hizi ni siku za mwisho bado kidogo sana masihi aje awachukue walio wake. Ahsante sana naitwa Sylvester Mwakabende kutoja (build new eden) Karibu sana ujifunze nasi kupitia status pia 0622625340 #build new eden #Restoremenposition
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·865 Visualizações
Páginas impulsionada