• Mmiliki wa Sunderland, Kyril Louis-Dreyfus ana umri wa miaka 27 tuu, na alikuwa na umri wa miaka 23 kipindi aliponunua klabu hiyo ilipokuwa League one pale England...

    Yeye ni Mswisi mwenye asili ya Ufaransa na ni mmoja wa memba wa familia ya Mfaransa Louis-Dreyfus ambao walikuwa wamiliki wa zamani wa Olympic Marseille.

    Alikuwa mwenyekiti mdogo zaidi wa klabu hiyo pindi alipokuwa majority shareholder wa Sunderland na hadi sasa wakiwa wanafanya vizuri kwenye Premier League.

    Yeye ndiye sababu kuu, nahodha wa Uswisi Granit Xhaka kuamua kujiunga na Sunderland Dirisha liliopita la Usajili kutokea Bayer Leverkusen, na kuwa moja ya Usajili Bora kwenye Premier League msimu huu...
    🚨 Mmiliki wa Sunderland, Kyril Louis-Dreyfus ana umri wa miaka 27 tuu, na alikuwa na umri wa miaka 23 kipindi aliponunua klabu hiyo ilipokuwa League one pale England... Yeye ni Mswisi mwenye asili ya Ufaransa na ni mmoja wa memba wa familia ya Mfaransa Louis-Dreyfus ambao walikuwa wamiliki wa zamani wa Olympic Marseille. Alikuwa mwenyekiti mdogo zaidi wa klabu hiyo pindi alipokuwa majority shareholder wa Sunderland na hadi sasa wakiwa wanafanya vizuri kwenye Premier League. Yeye ndiye sababu kuu, nahodha wa Uswisi Granit Xhaka kuamua kujiunga na Sunderland Dirisha liliopita la Usajili kutokea Bayer Leverkusen, na kuwa moja ya Usajili Bora kwenye Premier League msimu huu...
    0 Comments 0 Shares 925 Views
  • Israel yasema itaendelea kusimamia usalama Gaza, licha ya makubaliano ya usitishaji vita.

    Katika taarifa mpya iliyoibua mijadala ya kisiasa na kidiplomasia, Serikali ya Israel imesisitiza kuwa haitakubali kuachia jukumu la usalama wa Ukanda wa Gaza mikononi mwa vikosi vya kimataifa, licha ya kusaini makubaliano ya usitishaji vita yaliyosimamiwa na Marekani.

    Kupitia kikao na Baraza lake la Mawaziri, Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, alinukuliwa akisema:

    “Israel itaamua yenyewe ni lini na wapi itaendelea kuwakabili maadui zake. Hatutakubali kabisa nchi yoyote kutuamulia kuhusu usalama wetu.”

    Kauli hiyo imekuja muda mfupi baada ya makubaliano ya muda ya usitishaji mapigano kuwasilishwa, yakiruhusu kuundwa kwa kikosi cha kimataifa kitakacholinda amani na usambazaji wa misaada ya kibinadamu ndani ya Gaza.

    Kulingana na taarifa zilizotolewa, kikosi hicho kitapangwa kutoka mataifa ya Kiarabu au Kiislamu, na kazi yake kuu itakuwa kuhakikisha usalama wa Raia na kusimamia utekelezaji wa masharti ya kusitisha vita.

    Hata hivyo, Netanyahu ameeleza wasiwasi mkubwa juu ya mpango huo:

    “Tutashirikiana pale inapobidi, lakini hatutawahi kukubali Gaza kuwa chini ya mamlaka ya nje bila ridhaa ya Israel. Usalama wa Raia wetu ndio kipaumbele cha kwanza.”

    Kwa mujibu wa Afisa wa Marekani, makubaliano haya ni sehemu ya juhudi za muda mrefu kurejesha utulivu katika eneo hilo, lakini yanategemea ushirikiano wa pande zote mbili, jambo ambalo linazidi kuonekana kuwa gumu kutokana na msimamo wa Israel.

    Hii ni ishara kwamba licha ya mapendekezo ya kimataifa, Israel bado inashikilia msimamo wake wa kulinda mamlaka kamili ya usalama ndani ya Gaza, hatua inayoweza kuchelewesha utekelezaji wa makubaliano haya mapya.

    Je, Israel inaweza kusimamia amani Gaza bila msaada wa Jumuiya ya kimataifa? Au je, dunia inapaswa kuingilia kati kwa nguvu zaidi?

    Toa maoni yako
    Israel yasema itaendelea kusimamia usalama Gaza, licha ya makubaliano ya usitishaji vita. Katika taarifa mpya iliyoibua mijadala ya kisiasa na kidiplomasia, Serikali ya Israel imesisitiza kuwa haitakubali kuachia jukumu la usalama wa Ukanda wa Gaza mikononi mwa vikosi vya kimataifa, licha ya kusaini makubaliano ya usitishaji vita yaliyosimamiwa na Marekani. Kupitia kikao na Baraza lake la Mawaziri, Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, alinukuliwa akisema: “Israel itaamua yenyewe ni lini na wapi itaendelea kuwakabili maadui zake. Hatutakubali kabisa nchi yoyote kutuamulia kuhusu usalama wetu.” Kauli hiyo imekuja muda mfupi baada ya makubaliano ya muda ya usitishaji mapigano kuwasilishwa, yakiruhusu kuundwa kwa kikosi cha kimataifa kitakacholinda amani na usambazaji wa misaada ya kibinadamu ndani ya Gaza. Kulingana na taarifa zilizotolewa, kikosi hicho kitapangwa kutoka mataifa ya Kiarabu au Kiislamu, na kazi yake kuu itakuwa kuhakikisha usalama wa Raia na kusimamia utekelezaji wa masharti ya kusitisha vita. Hata hivyo, Netanyahu ameeleza wasiwasi mkubwa juu ya mpango huo: “Tutashirikiana pale inapobidi, lakini hatutawahi kukubali Gaza kuwa chini ya mamlaka ya nje bila ridhaa ya Israel. Usalama wa Raia wetu ndio kipaumbele cha kwanza.” Kwa mujibu wa Afisa wa Marekani, makubaliano haya ni sehemu ya juhudi za muda mrefu kurejesha utulivu katika eneo hilo, lakini yanategemea ushirikiano wa pande zote mbili, jambo ambalo linazidi kuonekana kuwa gumu kutokana na msimamo wa Israel. Hii ni ishara kwamba licha ya mapendekezo ya kimataifa, Israel bado inashikilia msimamo wake wa kulinda mamlaka kamili ya usalama ndani ya Gaza, hatua inayoweza kuchelewesha utekelezaji wa makubaliano haya mapya. Je, Israel inaweza kusimamia amani Gaza bila msaada wa Jumuiya ya kimataifa? Au je, dunia inapaswa kuingilia kati kwa nguvu zaidi? Toa maoni yako
    Love
    1
    0 Comments 0 Shares 1K Views
  • What Is My Colour Palette? | Free Style Guide by Estylist

    Do you have any doubts about your colour scheme? Use Estylist's free online tool to find the shades that go well with your skin tone and style. With expert fashion advice, find the perfect colour scheme to improve your wardrobe and boost your confidence.

    Visit Now :- https://www.estylist.com.au/color-palette
    What Is My Colour Palette? | Free Style Guide by Estylist Do you have any doubts about your colour scheme? Use Estylist's free online tool to find the shades that go well with your skin tone and style. With expert fashion advice, find the perfect colour scheme to improve your wardrobe and boost your confidence. Visit Now :- https://www.estylist.com.au/color-palette
    0 Comments 0 Shares 616 Views
  • Ameandika Mtangazaji wa kabumbu Nazareth Upete

    Sikutaka kuandika update yoyote ya Fadlu kwa Jana kwa sababu Simba walikuwa na mechi ngumu, muhimu na serious zaidi ambayo isingekuwa vyema kuandika chochote chenye mapelekeo yoyote hasi kwa mtu yoyote anayehusiana na Simba SC.

    THE SAGA…!
    Tarehe 07/09 siku 3 kabla ya Simba Day kuna mtu ninayemwamini sana kutoka Morocco alinipatia taarifa ya Fadlu kuridhiana na klabu ya Raja Casablanca kwenda kuhudumu hapo…!

    Pamoja na kutoachana vyema sana na Raja akiwa Kocha msaidizi haikuwarudisha nyuma huku inaelezwa Wydad pia waliulizia upatikanaji wake lakini mkataba wa Raja ulikuwa na sababu nyingi za kuridhiwa kuliko kukataliwa.

    Tarehe 11 baada ya Simba Day, Wydad walikuwa serious kuulizia taarifa za Fadlu kwa baadhi ya watu hususani mwenendo wake kwenye maeneo yote ya msingi…! Wakataka kuingilia kati deal.

    Bado Ofa ya Raja ikasimama kiume…! Fadlu yupo tayari kuibeba Ofa ya Raja na project yao ya #BringBackCasablanca⚽️

    Wakati hali ikiwa hivyo inaelezwa mmoja wa wasaidizi wake anataka kusalia Msimbazi akiamini project yao italipa punde!

    Inaelezwa Fadlu anahisi kuna vitu havipo sawa na zigo la lawama analitupa kwa uongozi wa timu huku yeye akitafuta mlango wa kutokea!

    Kwa sasa kuna urafiki wa mashaka baina ya pande mbili na Simba wamefanya kila kitu kumbakisha ila msimamo wa Fadlu umebebwa mazima na Ofa za waManga pale Morocco

    95% mechi ya Jana ilikuwa ya mwisho kwa Fadlu kama Kocha wa Simba na sasa kilichobaki ni yeye tu awalipe Simba SC kuvunja mkataba ingali analazimisha wamruhusu aende Free!

    MTAZAMO WANGU!?
    Simba hawatakuwa na Pengo kuondoka kwa Fadlu…! Amefanya kazi nzuri ila makocha ni wengi sana barani Afrika! Kikubwa ni kutuliza Kichwa wakati wa uchaguzi wa Kocha na kuachana na % za maslahi.

    Fadlu ni Kocha mzuri ila kwa mtazamo wangu pengo linazibika…! Bahati nzuri hajacheza mechi yoyote ya Ligi…! Yoyote atakayekuja ni rahisi tu kuendeleza kitu bora kwa sababu wachezaji Quality yao sio ya kubeza!

    Salaaam!
    Ameandika Mtangazaji wa kabumbu Nazareth Upete ✍️ Sikutaka kuandika update yoyote ya Fadlu kwa Jana kwa sababu Simba walikuwa na mechi ngumu, muhimu na serious zaidi ambayo isingekuwa vyema kuandika chochote chenye mapelekeo yoyote hasi kwa mtu yoyote anayehusiana na Simba SC. THE SAGA…! Tarehe 07/09 siku 3 kabla ya Simba Day kuna mtu ninayemwamini sana kutoka Morocco alinipatia taarifa ya Fadlu kuridhiana na klabu ya Raja Casablanca kwenda kuhudumu hapo…! Pamoja na kutoachana vyema sana na Raja akiwa Kocha msaidizi haikuwarudisha nyuma huku inaelezwa Wydad pia waliulizia upatikanaji wake lakini mkataba wa Raja ulikuwa na sababu nyingi za kuridhiwa kuliko kukataliwa. Tarehe 11 baada ya Simba Day, Wydad walikuwa serious kuulizia taarifa za Fadlu kwa baadhi ya watu hususani mwenendo wake kwenye maeneo yote ya msingi…! Wakataka kuingilia kati deal. Bado Ofa ya Raja ikasimama kiume…! Fadlu yupo tayari kuibeba Ofa ya Raja na project yao ya #BringBackCasablanca⚽️ Wakati hali ikiwa hivyo inaelezwa mmoja wa wasaidizi wake anataka kusalia Msimbazi akiamini project yao italipa punde! Inaelezwa Fadlu anahisi kuna vitu havipo sawa na zigo la lawama analitupa kwa uongozi wa timu huku yeye akitafuta mlango wa kutokea! Kwa sasa kuna urafiki wa mashaka baina ya pande mbili na Simba wamefanya kila kitu kumbakisha ila msimamo wa Fadlu umebebwa mazima na Ofa za waManga pale Morocco ✍️ 95% mechi ya Jana ilikuwa ya mwisho kwa Fadlu kama Kocha wa Simba na sasa kilichobaki ni yeye tu awalipe Simba SC kuvunja mkataba ingali analazimisha wamruhusu aende Free! MTAZAMO WANGU!? Simba hawatakuwa na Pengo kuondoka kwa Fadlu…! Amefanya kazi nzuri ila makocha ni wengi sana barani Afrika! Kikubwa ni kutuliza Kichwa wakati wa uchaguzi wa Kocha na kuachana na % za maslahi. Fadlu ni Kocha mzuri ila kwa mtazamo wangu pengo linazibika…! Bahati nzuri hajacheza mechi yoyote ya Ligi…! Yoyote atakayekuja ni rahisi tu kuendeleza kitu bora kwa sababu wachezaji Quality yao sio ya kubeza! Salaaam!
    Love
    1
    0 Comments 0 Shares 1K Views
  • Saree Styles for Every Story: A Blend of Heritage and Trend
    The Saree stands at the crossroads of tradition and modern flair. Whether it’s handwoven cotton for everyday comfort or shimmering georgette for a night out, there's a Saree to match every occasion. Explore or list sarees through Sarees.club classifieds—where fabric choices, regional styles, and color palettes come alive. With endless combinations and inspirations, the Saree remains a versatile must-have in every woman’s wardrobe.For more visit here:- https://sarees.club/
    Saree Styles for Every Story: A Blend of Heritage and Trend The Saree stands at the crossroads of tradition and modern flair. Whether it’s handwoven cotton for everyday comfort or shimmering georgette for a night out, there's a Saree to match every occasion. Explore or list sarees through Sarees.club classifieds—where fabric choices, regional styles, and color palettes come alive. With endless combinations and inspirations, the Saree remains a versatile must-have in every woman’s wardrobe.For more visit here:- https://sarees.club/
    Sarees Online | Buy Trendy & Traditional Sarees Online | sarees.club
    Explore a stunning collection of sarees at Sarees.club, from elegant silks to trendy designer drapes. Shop authentic Indian sarees for every occasion, with fast delivery and unbeatable quality.
    0 Comments 0 Shares 892 Views
  • Ac Millan bila Leao wana Christian Pulisic mwamba anaweka sana tangia ajiunge na Milan msimu wa 23/24 amekuwa na takwimu bora sana kila msimu anakupa magoli 10+

    Kwenye mchezo wa jana ameanza safari yake ya kutafuta goals 10+ msimu huu akiwasadia Millan kushinda 2-0 dhidi ya Lecce : Chelsea hichi chuma kwanini mlikiondoa pale darajani ? Mbona ni mtu sana au mlishindwa kumvumilia Captain America

    Au Seria A ni ligi nyepesi sana ?

    #SportsElite
    🚨🚨Ac Millan bila Leao wana Christian Pulisic mwamba anaweka sana tangia ajiunge na Milan msimu wa 23/24 amekuwa na takwimu bora sana kila msimu anakupa magoli 10+ 🙌 Kwenye mchezo wa jana ameanza safari yake ya kutafuta goals 10+ msimu huu akiwasadia Millan kushinda 2-0 dhidi ya Lecce : Chelsea hichi chuma kwanini mlikiondoa pale darajani ? Mbona ni mtu sana 😀 au mlishindwa kumvumilia Captain America 😎 Au Seria A ni ligi nyepesi sana ? #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 930 Views
  • What Is My Colour Palette? | Free Style Guide by Estylist

    Do you have any doubts about your colour scheme? Use Estylist's free online tool to find the shades that go well with your skin tone and style. With expert fashion advice, find the perfect colour scheme to improve your wardrobe and boost your confidence.

    Visit Now :- https://www.estylist.com.au/color-palette
    What Is My Colour Palette? | Free Style Guide by Estylist Do you have any doubts about your colour scheme? Use Estylist's free online tool to find the shades that go well with your skin tone and style. With expert fashion advice, find the perfect colour scheme to improve your wardrobe and boost your confidence. Visit Now :- https://www.estylist.com.au/color-palette
    color-palette
    Discover your Colour Palette 🎨 with our Free Online Colour Analysis 🌟. Get personalized color insights from eStylist and enhance your style effortlessly.
    0 Comments 0 Shares 795 Views
  • Pichani ni Luis Javier Suarez mshambuliaji mpya wa Sporting Lisbon aliesajiliwa pale kama mbadala wa Victor Gyokeres alietimkia Arsenal.

    Suarez ameendeleza pale pale alipoishia Gyokeres akiwa na Lisbon na jana kwenye ushindi wa goli 6 walioupata ametupia kamba 2 na kufungua njia yake ya magoli rasmi.

    Kifupi tu ni kuwa Sporting Lisbon hawajapata hasara kwenye dili la Gyokeres na saizi hawapokei simu za watu wanakula mafao ya Gyokeres kwanza.

    #SportsElite
    🚨🚨Pichani ni Luis Javier Suarez mshambuliaji mpya wa Sporting Lisbon aliesajiliwa pale kama mbadala wa Victor Gyokeres alietimkia Arsenal. Suarez ameendeleza pale pale alipoishia Gyokeres akiwa na Lisbon na jana kwenye ushindi wa goli 6 walioupata ametupia kamba 2 na kufungua njia yake ya magoli rasmi. Kifupi tu ni kuwa Sporting Lisbon hawajapata hasara kwenye dili la Gyokeres na saizi hawapokei simu za watu wanakula mafao ya Gyokeres kwanza. #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 382 Views
  • Sadio Mané: "Ilipofika zamu yangu ya kukaguliwa kulikuwa na mzee mmoja ambaye alinitazama kana kwamba nilikuwa mahali pabaya. Akaniuliza: "upo hapa kwa ajili ya majaribio?" nikasema ndio.
    "Kwa viatu hivyo? Viangalie, unawezaje kufikiria kucheza navyo?", aliniambia.
    Kwa kweli vilikuwa vichakavu, vyazamani na vimeharbiika.

    Kisha akaongeza, "Na hiyo kaptula? Je, huna kaptula yoyote ya soka?"
    Nilimwambia kwamba nilikuwa pale na vifaa bora zaidi nilivyokuwa navyo na kwamba nilitaka tu kucheza na kuonyesha uwezo wangu.

    Na nilipoenda uwanjani nikaona mshangao usoni mwake. Alikuja kwangu na kusema: "Nitakusaini mara moja, utacheza kwenye timu yangu."

    Niliishi maisha ya njaa, nilinusurika katika nyakati ngumu, nilicheza bila viatu na sikuenda shule.

    Sijui ni kitu gani cha kufurahisha, sijawahi kwenda kwenye sherehe kwa sababu najua siwezi kufanya vizuri uwanjani na sitafikia malengo yangu.

    Leo, kwa kile ninachopata, ninaweza kusaidia wengine.

    Nilijenga shule, uwanja wa michezo, tulitoa nguo, viatu na chakula kwa watu walio katika umaskini uliokithiri. Na kisha mimi huchangia euro 70 kwa mwezi kwa wakazi wote wa eneo maskini sana la Senegal, ili kukuza uchumi wa familia zao.

    Kwa nini nitake Ferrari kumi, saa ishirini za almasi na ndege mbili? Je, mambo haya yana faida gani kwa ulimwengu?

    Siwezi hata kucheza Playstation, ambayo ni hobi kubwa ya wachezaji wenzangu. Sijawahi kuitumia, nadhani ni njia tu ya kupoteza muda na sitaki kupoteza muda wangu bila sababu."

    Sadio Mané

    #SportsElite
    🗣️🎙️😢🇸🇳Sadio Mané: "Ilipofika zamu yangu ya kukaguliwa kulikuwa na mzee mmoja ambaye alinitazama kana kwamba nilikuwa mahali pabaya. Akaniuliza: "upo hapa kwa ajili ya majaribio?" nikasema ndio. "Kwa viatu hivyo? Viangalie, unawezaje kufikiria kucheza navyo?", aliniambia. Kwa kweli vilikuwa vichakavu, vyazamani na vimeharbiika. Kisha akaongeza, "Na hiyo kaptula? Je, huna kaptula yoyote ya soka?" Nilimwambia kwamba nilikuwa pale na vifaa bora zaidi nilivyokuwa navyo na kwamba nilitaka tu kucheza na kuonyesha uwezo wangu. Na nilipoenda uwanjani nikaona mshangao usoni mwake. Alikuja kwangu na kusema: "Nitakusaini mara moja, utacheza kwenye timu yangu." Niliishi maisha ya njaa, nilinusurika katika nyakati ngumu, nilicheza bila viatu na sikuenda shule. Sijui ni kitu gani cha kufurahisha, sijawahi kwenda kwenye sherehe kwa sababu najua siwezi kufanya vizuri uwanjani na sitafikia malengo yangu. Leo, kwa kile ninachopata, ninaweza kusaidia wengine. Nilijenga shule, uwanja wa michezo, tulitoa nguo, viatu na chakula kwa watu walio katika umaskini uliokithiri. Na kisha mimi huchangia euro 70 kwa mwezi kwa wakazi wote wa eneo maskini sana la Senegal, ili kukuza uchumi wa familia zao. Kwa nini nitake Ferrari kumi, saa ishirini za almasi na ndege mbili? Je, mambo haya yana faida gani kwa ulimwengu? Siwezi hata kucheza Playstation, ambayo ni hobi kubwa ya wachezaji wenzangu. Sijawahi kuitumia, nadhani ni njia tu ya kupoteza muda na sitaki kupoteza muda wangu bila sababu." Sadio Mané🇸🇳 #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 915 Views
  • Achana na Andre onana kule nyuma aliyepiga goti, achana na Bernado silva, ebu mtazame huyo namba 47 Phill Foden...

    Kwa nini dunia , kwa nini mpira, kwa nini iwe kwa Phill Foden ?

    Labda ni wapi alipoikosea dunia Foden ? Wapi alipoteleza kijana wa Malkia ?

    Binafsi naamini katika wachezaji watatu bora wa pembeni wa kiingereza Foden ni mmoja wao..

    Achana na yule Foden wa mashindano ya Euro kule Germany, ebu mtazame Foden wa Pep Guardiola akiwa pale City the dream...

    Mimi ukiniuliza unaona nini kwa Phill Foden, jibu langu litakuwa Foden atakuwa Ballond'ior winner siku moja...

    Utakataa labda kwa sababu hayupo Kwenye timu yako pendwa, hayupo Kwenye timu inayopigiwa promo Kwenye vyombo vya habari...

    Ila Phill Foden ni kipaji haswa cha mpira wa miguu, amekuja kuzibariki nyasi za mpira pale Uingereza...

    #SportsElite
    Achana na Andre onana kule nyuma aliyepiga goti, achana na Bernado silva, ebu mtazame huyo namba 47 Phill Foden... Kwa nini dunia , kwa nini mpira, kwa nini iwe kwa Phill Foden ? Labda ni wapi alipoikosea dunia Foden ? Wapi alipoteleza kijana wa Malkia ? Binafsi naamini katika wachezaji watatu bora wa pembeni wa kiingereza Foden ni mmoja wao.. Achana na yule Foden wa mashindano ya Euro kule Germany, ebu mtazame Foden wa Pep Guardiola akiwa pale City the dream... Mimi ukiniuliza unaona nini kwa Phill Foden, jibu langu litakuwa Foden atakuwa Ballond'ior winner siku moja... Utakataa labda kwa sababu hayupo Kwenye timu yako pendwa, hayupo Kwenye timu inayopigiwa promo Kwenye vyombo vya habari... Ila Phill Foden ni kipaji haswa cha mpira wa miguu, amekuja kuzibariki nyasi za mpira pale Uingereza... #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 919 Views
  • Free Online Colour Analysis | Find Your Best Colours

    Get your free online colour analysis with Estylist. Instantly discover the shades that suit your skin tone, style, and personality. Boost your confidence and refresh your wardrobe with personalized, AI-powered colour insights.

    visit now:-https://www.estylist.com.au/color-palette
    Free Online Colour Analysis | Find Your Best Colours Get your free online colour analysis with Estylist. Instantly discover the shades that suit your skin tone, style, and personality. Boost your confidence and refresh your wardrobe with personalized, AI-powered colour insights. visit now:-https://www.estylist.com.au/color-palette
    0 Comments 0 Shares 523 Views
  • | CONFIRMED

    Wolves imekamilisha usajili wa nyota wa Fluminense, John Arias kwa dau la £17M .

    John Arias ni moja ya nyota wachache waliofanya vizuri kwenye michuano ya klabu bingwa dunia pale Marekani akiisaidia timu yake Fluminense kufika hatua nzuri ya nusu fainali.

    #SportsElite

    🚨 | CONFIRMED ✅ Wolves imekamilisha usajili wa nyota wa Fluminense, John Arias kwa dau la £17M . John Arias ni moja ya nyota wachache waliofanya vizuri kwenye michuano ya klabu bingwa dunia pale Marekani akiisaidia timu yake Fluminense kufika hatua nzuri ya nusu fainali. #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 626 Views
  • Best PHP Editors: Top Picks for Developers

    “Give me six hours to chop down a tree, and I will spend the first four sharpening the axe.” — Abraham Lincoln.

    It’s not a motivational quote, but a reality. The coding industry is booming, growing at a CAGR of 7.87%. But only for prep geeks decode the success in this competitive sector. They have the correct set of tools and resources to implement logical ideas. PHP, along with reliable PHP hosting, is one of the most prominent server-side programming languages for developing types of web applications.

    Using the best PHP frameworks is one part of the story. However, to test, debug, or write code, developers need the best PHP editors that help them sharpen their tools before tackling the tasks that truly define their project.

    What is PHP Editor?
    A PHP editor is a specialized tool designed for writing, editing, and managing PHP code with ease. Remember, PHP is a programming language that enables the creation of dynamic websites and web applications. PHP editors offer a user-friendly interface that enables developers to write code, along with valuable features such as syntax highlighting, code suggestions, and error checking. These tools enable faster coding, reduce errors, and assist both beginners and experts in writing more effective code.

    Most PHP editors are user-friendly and efficient, offering support for multiple programming languages in addition to PHP. Features such as auto-complete, bracket matching, and debugging tools help identify issues in the code quickly. Several editors support version control systems, such as Git. It makes it easier for developers to manage and collaborate with other community developers. Some popular PHP editors include Visual Studio Code, Sublime Text, PHPStorm, and Notepad++.

    Choosing the right PHP editor depends on the requirements. If you are just beginning, lightweight editor tools like Notepad++ or Visual Studio Code are ideal options because they are easy to use and available at no cost. Whereas PHPStorm is helpful for advanced users who seek features such as smart code analysis, integrated testing tools, and advanced debugging capabilities.

    Top PHP Editors for Developers
    Let’s begin with the best PHP editor software tools that give a paradigm shift in the web development industry.

    Top PHP Editors for Developers
    1. Visual Studio Code
    Supported operating systems: Windows, Linux, macOS

    License: MIT License
    Source code
    Supported languages: PHP, HTML, CSS, SCSS, Less, JavaScript, JSON, TypeScript, Markdown, PowerShell, C++, Java, Python, Go, T-SQL, C#, .NET Core, and more.
    VS Code or Visual Studio Code is an open-source code editor by Microsoft. It gained massive popularity in recent years. By default, it supports the PHP syntax, and you can download further PHP extensions from the VS Code Marketplace, making it an advanced PHP editor suited to the specific coding requirements. You can customize every aspect of VS Code, from themes to key bindings to integrations and functionality.

    Best Features:

    Code navigation and syntax highlighting.
    IntelliSense feature for smart code completion.
    Color theme picker.
    Built-in Git and GitHub integration.
    Built-in Emmet support.
    2. Brackets
    Supported operating systems: Windows, Linux, macOS
    License: MIT License
    Source code
    Supported languages: HTML, CSS, LESS, SCSS, Sass, JavaScript, PHP, Java, Python, Perl, Ruby, C, C++, VBScript, and more
    Adobe’s free and open-source PHP editor focuses on frontend development. However, it also supports several backend languages, including PHP. Its popularity increases due to its inline editing feature for CSS, which allows you to see all selectors belonging to a specific CSS rule.

    Brackets is an ideal PHP editor for frontend and backend development users. It also works with CSS processors like Sass and LESS.

    Glossary:

    Sass: Syntactically Awesome Stylesheet
    LESS: Leaner Style Sheet
    However, it is not an advanced PHP editor on our list. It is an in-built extension registry, but with a restricted number.

    Best Features:

    Vertical and horizontal split view.
    Live preview using a real-time connection with your web browser.
    Lightweight (written in JavaScript).
    Inline editing (for CSS).
    Custom themes are available via the Brackets Extension Registry.
    Support for CSS preprocessors, including quick edit and live highlight functionalities.
    3. Bluefish
    Supported operating systems: Linux, Windows, macOS, FreeBSD, OpenBSD, Solaris
    License: GNU GPL vs 3
    Source code
    Supported languages: HTML, CSS, XML, JavaScript, PHP, SQL, Perl, Python, Ruby, Java, C, C++, and more
    Bluefish is an advanced source code editor supporting several programming languages. It comes with a Gnome integration. It becomes a great option if you’re looking for the best free PHP editor for your Linux distribution. Its GUI is consistent with the Gnome Human Interface Guidelines.

    In addition to Emmet (formerly Zen Coding) support, Bluefish features dialogs and wizards for HTML tags, a Unicode character browser, and more, all designed with web developers in mind. Additionally, it features an intuitive user interface and is easy to use, making it a good choice for beginners or those who prefer not to spend a lot of time learning how to use a PHP editor.

    Best Features:

    Fast loading due to its lightweight.
    Multiple document interface.
    Full-screen editing and split view.
    Editing functionality, such as auto-completion.
    Remote file access via FTP, SFTP, HTTP, HTTPS, and other protocols.
    Supports multiple encodings (default is UTF8).
    4. Notepad++
    Supported operating systems: Windows
    License: GNU GPL vs 2
    Source code
    Supported languages: HTML, CSS, XML, YAML, JavaScript, CoffeeScript, PHP, SQL, Perl, Python, C, C++, and more.
    Windows operating system leverages Notepad++ as a default text editor. It comes pre-installed with the operating system. Notepad++ has multiple advanced features in comparison to Notepad editor. Thus, it easily became popular among developers working on Windows machines.

    Nearly 80 programming languages are supported by syntax highlighting. Installs quickly, works out of the box, and provides important editing features like split view, multi-document interface, undo/redo functionality, etc.So if you need a free PHP editor for Windows that’s easy to use and loads fast, Notepad++ is worth a look.

    Best Features:

    Pre-designed themes.
    Multiple editing features like autocompletion.
    Supports different character sets.
    Extensible through plugins.
    Open source plugins are available for both 32-bit and 64-bit systems.
    5. TextMate
    Supported operating systems: macOS
    License: GNU GPL vs 3
    Source code
    Supported languages: HTML, Markdown, CSS, XML, JavaScript, PHP, SQL, Perl, Python, Java, and more
    TextMate is an advanced source code editor for the macOS operating system. As it has been designed specifically for Mac, it integrates with the underlying Unix shell. Therefore, you can code custom actions in any programming language compatible with the Unix Standard Streams (stdin and stdout).

    The original version of TextMate was a licensed software. However, the latest release, TextMate 2.0, has been open-sourced under the GPLv3+ license, making it free to download and use. It’s worth noting that the TextMate license policy indicates they may charge for updates beyond version 2.0 in the future.

    Best Features:

    Custom themes.
    Live HTML/Markdown preview.
    Powerful search tool.
    Clipboard history.
    Easy-to-manage code snippets.
    Foldable code blocks, indented soft wrap, and more.
    Premium PHP Editors
    Premium PHP Editors
    1. PhpStorm
    Supported operating systems: Windows, macOS, Linux.
    License: Proprietary (commercial software with a trial period).
    Source code: Closed source.
    Pricing: $249/ year
    Supported languages: PHP (versions 5.3 through 8.4+), HTML5, CSS, JavaScript, XML, SQL, and databases. Additional language support can be added via plugins.

    PhpStorm is a premium and popular PHP platform to work with WordPress, Drupal, Laravel, Magento, and other frameworks. Thousands of users deploy PhpStorm to develop their websites. It is designed to enhance productivity by providing tools for writing, editing, analyzing, refactoring, testing, and debugging PHP code. It seamlessly integrates with web technologies and offers smart coding assistance.

    Best Features:

    PHP, JavaScript, HTML, CSS, and etc languages are supported.
    Smart PHP code editor.
    Auto-completion of code.
    Code quality analysis.
    Efficient code navigation and searching feature.
    2. UltraEdit
    Supported operating systems: Windows, Linux, macOS
    Price: $99.95/year
    License: Subscription and perpetual
    Supported languages: HTML, CSS, Markdown, XML, JavaScript, JSON, PHP, MySQL, Python, Perl, Ruby, C, C++, and more
    UltraEdit is a premium PHP editor that has been in the market since 1994. It is a stable and well-tested application for the 4 million customers. It offers a user-friendly onboarding experience. Additionally, it has robust development features enabling developers to work on remote servers. Also, managing projects, encrypting/decrypting files, and others are easier in this tool.

    Working on larger files is easier with UltraEdit. The tool handles large files effectively. Hence, programmers prefer this PHP editor. It includes two versions, one is basic UltraEdit and the other ones is UltraCompare Pro.

    Best Features:

    Custom themes and layouts.
    Powerful search functionality (in and across files).
    Live preview for HTML and Markdown.
    Powerful command palette.
    3. Rapid PHP Editor
    Supported operating systems: Windows
    Price: $59.95 one-time fee
    License: Check its official website
    Supported languages: HTML, CSS, LESS, Sass, JavaScript, PHP, SQL, XML, Smarty, .htaccess.
    Rapid PHP Editor is a premium PHP editor for Windows operating systems. It can be quickly setup as it is a lightweight editor. The Rapid PHP Editor is part of a modular product line designed to remain lightweight and efficient. Each version builds upon the same core editor, offering additional features based on your specific needs.

    For example, if you’re working only with HTML and CSS, the Rapid CSS Editor will suffice. However, if your workflow also involves PHP, you can opt for the Rapid PHP Editor — the same intuitive interface, enhanced with PHP support and related tools. This approach ensures you get exactly what you need without unnecessary bloat.
    Best PHP Editors: Top Picks for Developers “Give me six hours to chop down a tree, and I will spend the first four sharpening the axe.” — Abraham Lincoln. It’s not a motivational quote, but a reality. The coding industry is booming, growing at a CAGR of 7.87%. But only for prep geeks decode the success in this competitive sector. They have the correct set of tools and resources to implement logical ideas. PHP, along with reliable PHP hosting, is one of the most prominent server-side programming languages for developing types of web applications. Using the best PHP frameworks is one part of the story. However, to test, debug, or write code, developers need the best PHP editors that help them sharpen their tools before tackling the tasks that truly define their project. What is PHP Editor? A PHP editor is a specialized tool designed for writing, editing, and managing PHP code with ease. Remember, PHP is a programming language that enables the creation of dynamic websites and web applications. PHP editors offer a user-friendly interface that enables developers to write code, along with valuable features such as syntax highlighting, code suggestions, and error checking. These tools enable faster coding, reduce errors, and assist both beginners and experts in writing more effective code. Most PHP editors are user-friendly and efficient, offering support for multiple programming languages in addition to PHP. Features such as auto-complete, bracket matching, and debugging tools help identify issues in the code quickly. Several editors support version control systems, such as Git. It makes it easier for developers to manage and collaborate with other community developers. Some popular PHP editors include Visual Studio Code, Sublime Text, PHPStorm, and Notepad++. Choosing the right PHP editor depends on the requirements. If you are just beginning, lightweight editor tools like Notepad++ or Visual Studio Code are ideal options because they are easy to use and available at no cost. Whereas PHPStorm is helpful for advanced users who seek features such as smart code analysis, integrated testing tools, and advanced debugging capabilities. Top PHP Editors for Developers Let’s begin with the best PHP editor software tools that give a paradigm shift in the web development industry. Top PHP Editors for Developers 1. Visual Studio Code Supported operating systems: Windows, Linux, macOS License: MIT License Source code Supported languages: PHP, HTML, CSS, SCSS, Less, JavaScript, JSON, TypeScript, Markdown, PowerShell, C++, Java, Python, Go, T-SQL, C#, .NET Core, and more. VS Code or Visual Studio Code is an open-source code editor by Microsoft. It gained massive popularity in recent years. By default, it supports the PHP syntax, and you can download further PHP extensions from the VS Code Marketplace, making it an advanced PHP editor suited to the specific coding requirements. You can customize every aspect of VS Code, from themes to key bindings to integrations and functionality. Best Features: Code navigation and syntax highlighting. IntelliSense feature for smart code completion. Color theme picker. Built-in Git and GitHub integration. Built-in Emmet support. 2. Brackets Supported operating systems: Windows, Linux, macOS License: MIT License Source code Supported languages: HTML, CSS, LESS, SCSS, Sass, JavaScript, PHP, Java, Python, Perl, Ruby, C, C++, VBScript, and more Adobe’s free and open-source PHP editor focuses on frontend development. However, it also supports several backend languages, including PHP. Its popularity increases due to its inline editing feature for CSS, which allows you to see all selectors belonging to a specific CSS rule. Brackets is an ideal PHP editor for frontend and backend development users. It also works with CSS processors like Sass and LESS. Glossary: Sass: Syntactically Awesome Stylesheet LESS: Leaner Style Sheet However, it is not an advanced PHP editor on our list. It is an in-built extension registry, but with a restricted number. Best Features: Vertical and horizontal split view. Live preview using a real-time connection with your web browser. Lightweight (written in JavaScript). Inline editing (for CSS). Custom themes are available via the Brackets Extension Registry. Support for CSS preprocessors, including quick edit and live highlight functionalities. 3. Bluefish Supported operating systems: Linux, Windows, macOS, FreeBSD, OpenBSD, Solaris License: GNU GPL vs 3 Source code Supported languages: HTML, CSS, XML, JavaScript, PHP, SQL, Perl, Python, Ruby, Java, C, C++, and more Bluefish is an advanced source code editor supporting several programming languages. It comes with a Gnome integration. It becomes a great option if you’re looking for the best free PHP editor for your Linux distribution. Its GUI is consistent with the Gnome Human Interface Guidelines. In addition to Emmet (formerly Zen Coding) support, Bluefish features dialogs and wizards for HTML tags, a Unicode character browser, and more, all designed with web developers in mind. Additionally, it features an intuitive user interface and is easy to use, making it a good choice for beginners or those who prefer not to spend a lot of time learning how to use a PHP editor. Best Features: Fast loading due to its lightweight. Multiple document interface. Full-screen editing and split view. Editing functionality, such as auto-completion. Remote file access via FTP, SFTP, HTTP, HTTPS, and other protocols. Supports multiple encodings (default is UTF8). 4. Notepad++ Supported operating systems: Windows License: GNU GPL vs 2 Source code Supported languages: HTML, CSS, XML, YAML, JavaScript, CoffeeScript, PHP, SQL, Perl, Python, C, C++, and more. Windows operating system leverages Notepad++ as a default text editor. It comes pre-installed with the operating system. Notepad++ has multiple advanced features in comparison to Notepad editor. Thus, it easily became popular among developers working on Windows machines. Nearly 80 programming languages are supported by syntax highlighting. Installs quickly, works out of the box, and provides important editing features like split view, multi-document interface, undo/redo functionality, etc.So if you need a free PHP editor for Windows that’s easy to use and loads fast, Notepad++ is worth a look. Best Features: Pre-designed themes. Multiple editing features like autocompletion. Supports different character sets. Extensible through plugins. Open source plugins are available for both 32-bit and 64-bit systems. 5. TextMate Supported operating systems: macOS License: GNU GPL vs 3 Source code Supported languages: HTML, Markdown, CSS, XML, JavaScript, PHP, SQL, Perl, Python, Java, and more TextMate is an advanced source code editor for the macOS operating system. As it has been designed specifically for Mac, it integrates with the underlying Unix shell. Therefore, you can code custom actions in any programming language compatible with the Unix Standard Streams (stdin and stdout). The original version of TextMate was a licensed software. However, the latest release, TextMate 2.0, has been open-sourced under the GPLv3+ license, making it free to download and use. It’s worth noting that the TextMate license policy indicates they may charge for updates beyond version 2.0 in the future. Best Features: Custom themes. Live HTML/Markdown preview. Powerful search tool. Clipboard history. Easy-to-manage code snippets. Foldable code blocks, indented soft wrap, and more. Premium PHP Editors Premium PHP Editors 1. PhpStorm Supported operating systems: Windows, macOS, Linux. License: Proprietary (commercial software with a trial period). Source code: Closed source. Pricing: $249/ year Supported languages: PHP (versions 5.3 through 8.4+), HTML5, CSS, JavaScript, XML, SQL, and databases. Additional language support can be added via plugins. PhpStorm is a premium and popular PHP platform to work with WordPress, Drupal, Laravel, Magento, and other frameworks. Thousands of users deploy PhpStorm to develop their websites. It is designed to enhance productivity by providing tools for writing, editing, analyzing, refactoring, testing, and debugging PHP code. It seamlessly integrates with web technologies and offers smart coding assistance. Best Features: PHP, JavaScript, HTML, CSS, and etc languages are supported. Smart PHP code editor. Auto-completion of code. Code quality analysis. Efficient code navigation and searching feature. 2. UltraEdit Supported operating systems: Windows, Linux, macOS Price: $99.95/year License: Subscription and perpetual Supported languages: HTML, CSS, Markdown, XML, JavaScript, JSON, PHP, MySQL, Python, Perl, Ruby, C, C++, and more UltraEdit is a premium PHP editor that has been in the market since 1994. It is a stable and well-tested application for the 4 million customers. It offers a user-friendly onboarding experience. Additionally, it has robust development features enabling developers to work on remote servers. Also, managing projects, encrypting/decrypting files, and others are easier in this tool. Working on larger files is easier with UltraEdit. The tool handles large files effectively. Hence, programmers prefer this PHP editor. It includes two versions, one is basic UltraEdit and the other ones is UltraCompare Pro. Best Features: Custom themes and layouts. Powerful search functionality (in and across files). Live preview for HTML and Markdown. Powerful command palette. 3. Rapid PHP Editor Supported operating systems: Windows Price: $59.95 one-time fee License: Check its official website Supported languages: HTML, CSS, LESS, Sass, JavaScript, PHP, SQL, XML, Smarty, .htaccess. Rapid PHP Editor is a premium PHP editor for Windows operating systems. It can be quickly setup as it is a lightweight editor. The Rapid PHP Editor is part of a modular product line designed to remain lightweight and efficient. Each version builds upon the same core editor, offering additional features based on your specific needs. For example, if you’re working only with HTML and CSS, the Rapid CSS Editor will suffice. However, if your workflow also involves PHP, you can opt for the Rapid PHP Editor — the same intuitive interface, enhanced with PHP support and related tools. This approach ensures you get exactly what you need without unnecessary bloat.
    0 Comments 0 Shares 3K Views
  • What Is My Colour Palette? | Free Style Guide by Estylist

    Do you have any doubts about your colour scheme? Use Estylist's free online tool to find the shades that go well with your skin tone and style. With expert fashion advice, find the perfect colour scheme to improve your wardrobe and boost your confidence.

    visit now:-https://www.estylist.com.au/color-palette

    What Is My Colour Palette? | Free Style Guide by Estylist Do you have any doubts about your colour scheme? Use Estylist's free online tool to find the shades that go well with your skin tone and style. With expert fashion advice, find the perfect colour scheme to improve your wardrobe and boost your confidence. visit now:-https://www.estylist.com.au/color-palette
    color-palette
    Discover your Colour Palette 🎨 with our Free Online Colour Analysis 🌟. Get personalized color insights from eStylist and enhance your style effortlessly.
    0 Comments 0 Shares 881 Views
  • Paul Pogba:

    “Wakati niliposimamishwa kucheza mpira na kupoteza umaarufu wangu, watu wengi walitoweka. Lakini mke wangu alibaki kando yangu. Hakuwa pale kwa ajili ya pesa au umaarufu — alikuwa pale kwa ajili yangu.”

    “Niligundua jinsi maisha yanavyoweza kuwa matupu pale kila kitu kinapoporomoka. Mara tu nilipoacha kuwa Pogba, yule mchezaji tajiri na maarufu, baadhi ya watu walianza kuniepuka.
    Lakini mke wangu alinionyesha kweli kuwa ananipenda. Alinisimamia wakati kila mtu alipoanza kunigeuzia mgongo. Kwa sababu yake, niliweza kustahimili.”

    “Leo, niko imara zaidi, ninaona mambo kwa uwazi zaidi. Simu yangu haipigi tena kwa mialiko ya juu juu isiyo na maana. Sasa najua ni nani kweli yupo kwa ajili yangu — na yeye ni mmoja wao.”

    #SportsElite
    🚨 Paul Pogba: “Wakati niliposimamishwa kucheza mpira na kupoteza umaarufu wangu, watu wengi walitoweka. Lakini mke wangu alibaki kando yangu. Hakuwa pale kwa ajili ya pesa au umaarufu — alikuwa pale kwa ajili yangu.” “Niligundua jinsi maisha yanavyoweza kuwa matupu pale kila kitu kinapoporomoka. Mara tu nilipoacha kuwa Pogba, yule mchezaji tajiri na maarufu, baadhi ya watu walianza kuniepuka. Lakini mke wangu alinionyesha kweli kuwa ananipenda. Alinisimamia wakati kila mtu alipoanza kunigeuzia mgongo. Kwa sababu yake, niliweza kustahimili.” “Leo, niko imara zaidi, ninaona mambo kwa uwazi zaidi. Simu yangu haipigi tena kwa mialiko ya juu juu isiyo na maana. Sasa najua ni nani kweli yupo kwa ajili yangu — na yeye ni mmoja wao.” ❤️ #SportsElite
    0 Comments 0 Shares 650 Views
  • UPDATE

    Mchezo wa ufunguzi wa mashindano ya CHAN 2024 utakuwa ni kati ya timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' dhidi ya Burkina Faso , mchezo utachezwa Agosti 2 pale Benjamin Mkapa.

    #sportselite
    UPDATE 🚨 🚨 Mchezo wa ufunguzi wa mashindano ya CHAN 2024 utakuwa ni kati ya timu ya taifa ya Tanzania 🇹🇿 'Taifa Stars' dhidi ya Burkina Faso 🇧🇫, mchezo utachezwa Agosti 2 pale Benjamin Mkapa. #sportselite
    0 Comments 0 Shares 659 Views
  • Mwanzo 49:3-4
    [3]Reubeni, u mzaliwa wangu wa kwanza,
    Nguvu zangu, na malimbuko ya uwezo wangu.
    Umewapita wengine kwa ukuu na kwa nguvu.

    [4]Umeruka mpaka kama maji, basi usiwe na ukuu,
    Kwa sababu ulikipanda kitanda cha baba yako,
    Ukakitia unajisi; alikipandia kitanda changu

    Tazama athari ya uzinzi ulivyo mpotezea baraka za ukuu na nguvu Ruben

    Kwa kawaida baraka za ufalme urithi mzaliwa wa kwanza lakini sababu ya uzinzi alinyang'anywa baraka za agano za ukuu.

    Starehehe ya sekunde chache ilisababisha Ruben awa cost (awagharimu ) kizazi chake chote kwa sababu ya tamaa ya zinaa.

    Kumbukumbu la Torati 27:20
    [20]Na alaaniwe alalaye na mke wa baba yake, kwa kuwa amefunua mavazi ya babaye. Na watu wote waseme, Amina.

    Yakobo alishindwa kumpa baraka mwanae na tuona miaka ya mbele Mungu pia anapitisha kuwa sheria pia kwamba amelaaniwa alalaye kwenye kitanda cha baba yake hapa wameenda mbali kuwa amefunua mavazi ya mama yake.

    Point yangu kubwa ni namna uzinzi unavyo weza kukubebesha laana za makusudi na laana hizo zina cost kizazi na kizazi.

    Mtu ukisha okoka unapaswakuhakikisha uasherati na uzinzi havitajwi kwako kabisa kwani vikitajwa kwako unalitukanisha jina la kristo na matokeo yake unapokea laana za makusudi .

    Unajua ukikosa hofu ya Mungu, unaweza kufanya madudu ya ajabu!!! yasiyotegemewa kufanyika kwako. Wewe mwenyewe ni shahidi tu,jiangalie pale ulipokuwa huna hofu ya Mungu, kisha angalia yale uliyokuwa ukiyafanya… Ni hatariiii.!!!

    Lakini pia,bila shaka kulikuwa na ukaribu sana kati ya Bilha Sulia na Reubeni hata wakajikuta wakiangukia zinaa. Kwa sababu Rubeni hakumbaka bali walikubaliana kwa hiyo kulikuwa na ukaribu kati yao.

    Ebu fikiria pia hili,kisha jichukue wewe mwenyewe jiweke karibu sana kimazoea na mtu fulani awe mdada au mkaka ambaye ni ndugu wa damu kabisa. Kisha mkawa mnakaa nyumba moja,kisha chukulia mmezoeana sana kiasi kwamba unamfurahia na kuzungumza naye mara kwa mara muda ambao mnabakiaga wawili tu kwenye jumba kubwa namna hiyo.

    Unafikiri mwisho wake ni nini? Bila shaka ndo unasikia binadamu siyo ndugu na unaangukia kwenye zinaa na ukifanya hivyo siyo tu kuharibu kesho yako kama wanao pia wajamjua Mungu kuvunja hiyo laana inatembea mpka kizazi chako chote.

    *Sina lugha nzuri ya kuioma zinaa kama kitu chema katika maisha haya tunayo ishi .usipo kubali kulinda mwili wako shetani atautumia kama sehemu ya kupitisha ajenda zake matokeo yake utaangukia zambini.*

    Yatazame matokeo yq uzinzi wrqfu tazama faida yake kisha amua kipi ulicho amua kukiishi .

    Ruben wakati Yusuph watoto zake wanaingizwa kuwa kabira kutokana na ushujaa wa baba yao yeye Rubeni kutokana na uzinzi aliwaachia sehemu ya laana zake.

    Matokeo ya uzinzi hayakuathiri wewe tu yanaathiri mpaka kizazi chako kama usipo omba.

    Natamani uombe Mungu leo akutoe kabisa katika mateso ya uzinzi na uasherati kwani hayawezi kukusaidia zaidi ya kukuangamiza.

    Nashukuru sana kwa kusoma jumbe hii na Mungu akageuza moyo wako nitafarijika sana.

    Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    Karibu katika group letu la Whatsapp
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Simu :0622625340
    #Restore men position
    #Build new eden
    Mwanzo 49:3-4 [3]Reubeni, u mzaliwa wangu wa kwanza, Nguvu zangu, na malimbuko ya uwezo wangu. Umewapita wengine kwa ukuu na kwa nguvu. [4]Umeruka mpaka kama maji, basi usiwe na ukuu, Kwa sababu ulikipanda kitanda cha baba yako, Ukakitia unajisi; alikipandia kitanda changu Tazama athari ya uzinzi ulivyo mpotezea baraka za ukuu na nguvu Ruben Kwa kawaida baraka za ufalme urithi mzaliwa wa kwanza lakini sababu ya uzinzi alinyang'anywa baraka za agano za ukuu. Starehehe ya sekunde chache ilisababisha Ruben awa cost (awagharimu ) kizazi chake chote kwa sababu ya tamaa ya zinaa. Kumbukumbu la Torati 27:20 [20]Na alaaniwe alalaye na mke wa baba yake, kwa kuwa amefunua mavazi ya babaye. Na watu wote waseme, Amina. Yakobo alishindwa kumpa baraka mwanae na tuona miaka ya mbele Mungu pia anapitisha kuwa sheria pia kwamba amelaaniwa alalaye kwenye kitanda cha baba yake hapa wameenda mbali kuwa amefunua mavazi ya mama yake. Point yangu kubwa ni namna uzinzi unavyo weza kukubebesha laana za makusudi na laana hizo zina cost kizazi na kizazi. Mtu ukisha okoka unapaswakuhakikisha uasherati na uzinzi havitajwi kwako kabisa kwani vikitajwa kwako unalitukanisha jina la kristo na matokeo yake unapokea laana za makusudi . Unajua ukikosa hofu ya Mungu, unaweza kufanya madudu ya ajabu!!! yasiyotegemewa kufanyika kwako. Wewe mwenyewe ni shahidi tu,jiangalie pale ulipokuwa huna hofu ya Mungu, kisha angalia yale uliyokuwa ukiyafanya… Ni hatariiii.!!! Lakini pia,bila shaka kulikuwa na ukaribu sana kati ya Bilha Sulia na Reubeni hata wakajikuta wakiangukia zinaa. Kwa sababu Rubeni hakumbaka bali walikubaliana kwa hiyo kulikuwa na ukaribu kati yao. Ebu fikiria pia hili,kisha jichukue wewe mwenyewe jiweke karibu sana kimazoea na mtu fulani awe mdada au mkaka ambaye ni ndugu wa damu kabisa. Kisha mkawa mnakaa nyumba moja,kisha chukulia mmezoeana sana kiasi kwamba unamfurahia na kuzungumza naye mara kwa mara muda ambao mnabakiaga wawili tu kwenye jumba kubwa namna hiyo. Unafikiri mwisho wake ni nini? Bila shaka ndo unasikia binadamu siyo ndugu na unaangukia kwenye zinaa na ukifanya hivyo siyo tu kuharibu kesho yako kama wanao pia wajamjua Mungu kuvunja hiyo laana inatembea mpka kizazi chako chote. *Sina lugha nzuri ya kuioma zinaa kama kitu chema katika maisha haya tunayo ishi .usipo kubali kulinda mwili wako shetani atautumia kama sehemu ya kupitisha ajenda zake matokeo yake utaangukia zambini.* Yatazame matokeo yq uzinzi wrqfu tazama faida yake kisha amua kipi ulicho amua kukiishi . Ruben wakati Yusuph watoto zake wanaingizwa kuwa kabira kutokana na ushujaa wa baba yao yeye Rubeni kutokana na uzinzi aliwaachia sehemu ya laana zake. Matokeo ya uzinzi hayakuathiri wewe tu yanaathiri mpaka kizazi chako kama usipo omba. Natamani uombe Mungu leo akutoe kabisa katika mateso ya uzinzi na uasherati kwani hayawezi kukusaidia zaidi ya kukuangamiza. Nashukuru sana kwa kusoma jumbe hii na Mungu akageuza moyo wako nitafarijika sana. Naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) Karibu katika group letu la Whatsapp https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Simu :0622625340 #Restore men position #Build new eden
    0 Comments 0 Shares 2K Views
  • SME AIRTEL FREE
    ACTIVATION

    LIPA AIRTEL FREE
    ACTIVATION
    KIGEZO
    NAMBA YA SIMU TU

    LIPA YAS FREE ACTIVATION
    PIA NATOA USER POPOTE PALE ULIPO USER INAINGIA KIDOLE CHOCHOTE

    LIPA MPESA FREE ACTIVATION

    NAPOKEA ODER KUANZIA
    SAHIVI USIACHE PESA MTAANI
    AGENT
    Piga simu
    0786711057
    📌SME AIRTEL FREE ACTIVATION 📌LIPA AIRTEL FREE ACTIVATION KIGEZO ↔️NAMBA YA SIMU TU 📌LIPA YAS FREE ACTIVATION PIA NATOA USER POPOTE PALE ULIPO USER INAINGIA KIDOLE CHOCHOTE 📌LIPA MPESA FREE ACTIVATION NAPOKEA ODER KUANZIA SAHIVI USIACHE PESA MTAANI AGENT Piga simu 0786711057 👏👏👏👏👏
    Love
    1
    0 Comments 0 Shares 845 Views
  • Luka 22:31-32
    [31]
    Akasema, Simoni, Simoni, tazama, Shetani amewataka ninyi apate kuwapepeta kama vile ngano;
    :
    [32]lakini nimekuombea wewe ili imani yako isitindike; nawe utakapoongoka waimarishe ndugu zako.

    Hii ina maana kubwa sana kumbe kuba wakati imani zetu huwa zinashindwa na kuishiwa nguvu kutokana na changamoto ambazo shetani anaweza kuwapitisha watoto wa Mungu.
    .
    Kama Yesu alimuombea petro kuhusu imani yake na sisi tunapaswa kuombea imani zetu ziwe na nguvu nyingi ili zisiyumbe kipindi cha majaribio .

    Kwa mantiki hiyo kama ukuwa mtu wa kuomba na kuiombea imani siku ikiguswa kidogo tu inakutoa kwenye njia.

    Kwanini tunapaswa kuombea imani zetu ziiwe na nguvu kubwa

    1.Imani ndiyo inayo tuokoa roho zetu..

    Roho ya mtu itapoke muujiza wa sawa sawa na imani yetu.

    Mara nyingi sehemu ambazo Yesu alifanya miujiza wengi walipokea sawa sawa na imani zao.

    Imarisha imani yako juu ya Mungu uanze kuishi na kupokea yale Mungu amekuhaidi kuyafanya.

    Kimani zetu ndizo zinaamua aina ya majibu juu maombi yetu.

    Wenye nguvu za Mungu ndio wenye imani juu ya matendo ua Mungu.

    Watu wa Mungu lengo la Kristo ni kanisa liwe na imani kubwa na ndio mna hata baada ya shetani kupata kibali ya kuwajaribu wanafunzi wake aliona ipo sababu ya kumuombea Petro awe na imani kubwa.

    Waebrania 11:8
    [8]Kwa imani Ibrahimu alipoitwa aliitika, atoke aende mahali pale atakapopapata kuwa urithi; akatoka asijue aendako

    Na alienda asiko kujua lakini sababu imani yale ilijengwa kiasi cha kuto tikisika sababu yake Ubaba wa imani duniani alipewa yeye na familia yake ikafanywa kuwa taifa na Mungu akaitazama mpaka leo.

    Sijui kama utaona iko haja ya kuimalisha imani zetu kiasi cha shetani kusema kuwa bila wewe Mungu kiuniruhusu mimi siwezi mana umezingira kila kitu chake.

    Maombi ni moja silaha watu wa rohoni wanaitumia kuimalisha imani zao .

    Kama imani yako ilifika kipindi sababu ya kuomba bilz kupokea au majaribu ukaona Mungu amekuacha nataka nikwambie kuw wewe unapendwa na Mungu kuliko unavyo jidhania.

    Kili leo maneno hayakuwa HAKUNA KITAKACHO NITENGA NA UPENDO WA KRISTO YAWE MAISHA MAGUMU ,UMASKINI ,TAABU ,NJAA ,ADHA,UCHI,NA KILA JAMBO LILILOKUWA LINANIRUDISHA NYUMA KIASI CHA KUIASI IMANI NAOMBA BWANA UNIREHEMU NA KUNINYANYUA IMANI YANGU IWE IMARA ZAIDI YA YULE MAMA ALIYE ADHIMIA KUGUSA PINDO LAKO TU NA KUWA MZIMA.

    BWANA YESU NISAIDIE IMANI YANGU ISIYUMBE MIMI NIWE PETRO KWENYE HUDUMA NA WITO WANGU MJARIBU AJAPO KUJA KUNIPEPETA KAMA NGANO IMANI YANGU ISIYUMBE BADALA YAKE IWE IMARA KULIKO JANA NA JUZI.

    BWANA ATAKUPIGANIA NA WEWE UTANYAMAZA KIMYA .
    AMINA ....

    Naitwa mwl sylvester Mwakabende kutoka build
    new eden .

    Karibu kwa mafundisho zaidi unaweza jiunga na sisi katika group letu la watsap.

    https://chat.whatsapp.com/HhjVJc0bcdY5i5LCZnjHZ6

    #build new eden
    #restore men position
    Luka 22:31-32 [31] Akasema, Simoni, Simoni, tazama, Shetani amewataka ninyi apate kuwapepeta kama vile ngano; : [32]lakini nimekuombea wewe ili imani yako isitindike; nawe utakapoongoka waimarishe ndugu zako. Hii ina maana kubwa sana kumbe kuba wakati imani zetu huwa zinashindwa na kuishiwa nguvu kutokana na changamoto ambazo shetani anaweza kuwapitisha watoto wa Mungu. . Kama Yesu alimuombea petro kuhusu imani yake na sisi tunapaswa kuombea imani zetu ziwe na nguvu nyingi ili zisiyumbe kipindi cha majaribio . Kwa mantiki hiyo kama ukuwa mtu wa kuomba na kuiombea imani siku ikiguswa kidogo tu inakutoa kwenye njia. Kwanini tunapaswa kuombea imani zetu ziiwe na nguvu kubwa 1.Imani ndiyo inayo tuokoa roho zetu.. Roho ya mtu itapoke muujiza wa sawa sawa na imani yetu. Mara nyingi sehemu ambazo Yesu alifanya miujiza wengi walipokea sawa sawa na imani zao. Imarisha imani yako juu ya Mungu uanze kuishi na kupokea yale Mungu amekuhaidi kuyafanya. Kimani zetu ndizo zinaamua aina ya majibu juu maombi yetu. Wenye nguvu za Mungu ndio wenye imani juu ya matendo ua Mungu. Watu wa Mungu lengo la Kristo ni kanisa liwe na imani kubwa na ndio mna hata baada ya shetani kupata kibali ya kuwajaribu wanafunzi wake aliona ipo sababu ya kumuombea Petro awe na imani kubwa. Waebrania 11:8 [8]Kwa imani Ibrahimu alipoitwa aliitika, atoke aende mahali pale atakapopapata kuwa urithi; akatoka asijue aendako Na alienda asiko kujua lakini sababu imani yale ilijengwa kiasi cha kuto tikisika sababu yake Ubaba wa imani duniani alipewa yeye na familia yake ikafanywa kuwa taifa na Mungu akaitazama mpaka leo. Sijui kama utaona iko haja ya kuimalisha imani zetu kiasi cha shetani kusema kuwa bila wewe Mungu kiuniruhusu mimi siwezi mana umezingira kila kitu chake. Maombi ni moja silaha watu wa rohoni wanaitumia kuimalisha imani zao . Kama imani yako ilifika kipindi sababu ya kuomba bilz kupokea au majaribu ukaona Mungu amekuacha nataka nikwambie kuw wewe unapendwa na Mungu kuliko unavyo jidhania. Kili leo maneno hayakuwa HAKUNA KITAKACHO NITENGA NA UPENDO WA KRISTO YAWE MAISHA MAGUMU ,UMASKINI ,TAABU ,NJAA ,ADHA,UCHI,NA KILA JAMBO LILILOKUWA LINANIRUDISHA NYUMA KIASI CHA KUIASI IMANI NAOMBA BWANA UNIREHEMU NA KUNINYANYUA IMANI YANGU IWE IMARA ZAIDI YA YULE MAMA ALIYE ADHIMIA KUGUSA PINDO LAKO TU NA KUWA MZIMA. BWANA YESU NISAIDIE IMANI YANGU ISIYUMBE MIMI NIWE PETRO KWENYE HUDUMA NA WITO WANGU MJARIBU AJAPO KUJA KUNIPEPETA KAMA NGANO IMANI YANGU ISIYUMBE BADALA YAKE IWE IMARA KULIKO JANA NA JUZI. BWANA ATAKUPIGANIA NA WEWE UTANYAMAZA KIMYA . AMINA .... Naitwa mwl sylvester Mwakabende kutoka build new eden . Karibu kwa mafundisho zaidi unaweza jiunga na sisi katika group letu la watsap. https://chat.whatsapp.com/HhjVJc0bcdY5i5LCZnjHZ6 #build new eden #restore men position
    0 Comments 0 Shares 2K Views
  • Mathayo 18:10- 12
    [10]Angalieni msidharau mmojawapo wadogo hawa; kwa maana nawaambia ya kwamba malaika wao mbinguni siku zote huutazama uso wa Baba yangu aliye mbinguni.

    *[11][Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.*

    Hili ndilo kusudi kubwa la Yesu lilikuwa ni kuja kukomboa kile kilicho ibiwa au kupotea na si kuja kukihukumu kile kilicho potea.

    Yesu alikuja ili amrejeze mwanadamu katika nafasi yake ambayo aliipoteza pale bustanini eden baada ya dhambi kuingia.

    Maandiko yanasema *"wote walio mpokea aliwapa uwezo wa kuwa wana"* na ukisha pata nafasi ya kuwa mwana unaanza kuwa na kazi sawa kabisa na Kristo Yesu ya kuwarudisha wanadamu wengine kwenye nafasi zao na ndio maana ya wokovu halisi.

    Badala ya kumtenga mpendwa aliye tenda dhambi kama mpendwa ambae umefanyika kuwa mwana unapaswa umuombee na kumrudisha kwenye nafasi yake ya kawaida.

    Yesu anatolea mfano huu
    Mathayo 18:12
    [12]Mwaonaje? Mtu akiwa na kondoo mia, mmoja akampotea, je! Hawaachi wale tisa na tisini, akaenda milimani, na kumtafuta yule aliyepotea?

    Sasa lazima tujue kama mfugaji anaweza kufanya hivyo ndivyo ata sisi watu tulio okoka tunapaswa kuishi na kutafuta kondoo wote kuwarudisha zizini kwani iko thawabu kubwa katika kufanya hivyo.

    Mfanye masihi wa Bwana ajivunie wewe katika huduma kama tu ukiweza kutokuwa na moyo wa choyo ubinsfsi na usengenyaji tunweza lete wengi Sana kwa Yesu na jina la yesu likatukuzwa sana.
    .Mathayo 7:1-2
    [1]Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi.
    Judge not, that ye be not judged.
    [2]Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa. .

    Kumbe ukiona ndugu yako anaanguka dhambini na wewe unamuona mwite mkanye ili kuutunza na kuhuheshimsha mwili wa Kristo Yesu.

    Ukisimamisha wengine na wewe itasimamishwa pia siku utakapo zimia moyo ,ukiwaacha wengine nawe utachwa siku utakapo zimia moyo .

    Tujifunze kuonyana kwa kila saa tunapo ona hatuendi tunavyo paswa kwenda wokovu ni kuonyana na kuchukuliana.

    Nikisema kuchukuliana simaanishi uingie dhambini hapana ila yakupasa kuchukuliana na wenzako ili uwarudishe watu kwenye nafasi ambayo Kristo anahiitaji .

    Kama ukifanya hivyo lazima taji upate sawa sawa na neno lake.

    Ufunuo wa Yohana 2:7
    [7]Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu.

    Kukaa kwenye bustani ya Mungu siyo tu kwenda mbinguni unaanza ustawi wa maisha hapa duniani kisha uzima wa milele .

    Natumai tumejifunza kitu Mungu akubaliki sana tuwe na siku njema na asubui njema .

    Kwa mafundisho zaidi ya neno la Mungu karibu katika group
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #build new eden
    #restore men position
    Mathayo 18:10- 12 [10]Angalieni msidharau mmojawapo wadogo hawa; kwa maana nawaambia ya kwamba malaika wao mbinguni siku zote huutazama uso wa Baba yangu aliye mbinguni. *[11][Kwa maana Mwana wa Adamu alikuja kukiokoa kilichopotea.* Hili ndilo kusudi kubwa la Yesu lilikuwa ni kuja kukomboa kile kilicho ibiwa au kupotea na si kuja kukihukumu kile kilicho potea. Yesu alikuja ili amrejeze mwanadamu katika nafasi yake ambayo aliipoteza pale bustanini eden baada ya dhambi kuingia. Maandiko yanasema *"wote walio mpokea aliwapa uwezo wa kuwa wana"* na ukisha pata nafasi ya kuwa mwana unaanza kuwa na kazi sawa kabisa na Kristo Yesu ya kuwarudisha wanadamu wengine kwenye nafasi zao na ndio maana ya wokovu halisi. Badala ya kumtenga mpendwa aliye tenda dhambi kama mpendwa ambae umefanyika kuwa mwana unapaswa umuombee na kumrudisha kwenye nafasi yake ya kawaida. Yesu anatolea mfano huu Mathayo 18:12 [12]Mwaonaje? Mtu akiwa na kondoo mia, mmoja akampotea, je! Hawaachi wale tisa na tisini, akaenda milimani, na kumtafuta yule aliyepotea? Sasa lazima tujue kama mfugaji anaweza kufanya hivyo ndivyo ata sisi watu tulio okoka tunapaswa kuishi na kutafuta kondoo wote kuwarudisha zizini kwani iko thawabu kubwa katika kufanya hivyo. Mfanye masihi wa Bwana ajivunie wewe katika huduma kama tu ukiweza kutokuwa na moyo wa choyo ubinsfsi na usengenyaji tunweza lete wengi Sana kwa Yesu na jina la yesu likatukuzwa sana. .Mathayo 7:1-2 [1]Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi. Judge not, that ye be not judged. [2]Kwa kuwa hukumu ile mhukumuyo, ndiyo mtakayohukumiwa; na kipimo kile mpimiacho, ndicho mtakachopimiwa. . Kumbe ukiona ndugu yako anaanguka dhambini na wewe unamuona mwite mkanye ili kuutunza na kuhuheshimsha mwili wa Kristo Yesu. Ukisimamisha wengine na wewe itasimamishwa pia siku utakapo zimia moyo ,ukiwaacha wengine nawe utachwa siku utakapo zimia moyo . Tujifunze kuonyana kwa kila saa tunapo ona hatuendi tunavyo paswa kwenda wokovu ni kuonyana na kuchukuliana. Nikisema kuchukuliana simaanishi uingie dhambini hapana ila yakupasa kuchukuliana na wenzako ili uwarudishe watu kwenye nafasi ambayo Kristo anahiitaji . Kama ukifanya hivyo lazima taji upate sawa sawa na neno lake. Ufunuo wa Yohana 2:7 [7]Yeye aliye na sikio, na alisikie neno hili ambalo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye, nitampa kula matunda ya mti wa uzima, ulio katika bustani ya Mungu. Kukaa kwenye bustani ya Mungu siyo tu kwenda mbinguni unaanza ustawi wa maisha hapa duniani kisha uzima wa milele . Natumai tumejifunza kitu Mungu akubaliki sana tuwe na siku njema na asubui njema . Kwa mafundisho zaidi ya neno la Mungu karibu katika group https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #build new eden #restore men position
    0 Comments 0 Shares 1K Views
More Results