• Hivi ni lazima mtu aote Ndoto usiku? Maana kuna mtu kila anaposema "USIKU MWEMA" anaongeza na neno NDOTO NJEMA."
    Hivi ni lazima mtu aote Ndoto usiku? Maana kuna mtu kila anaposema "USIKU MWEMA" anaongeza na neno NDOTO NJEMA."
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 219 Views
  • #socialpop #afyayetu #Elimukwanza
    #socialpop #afyayetu #Elimukwanza
    Like
    Love
    7
    3 Comments 0 Shares 1K Views
  • #socialpop #afyayetu #Elimukwanza
    #socialpop #afyayetu #Elimukwanza
    Like
    Love
    9
    0 Comments 0 Shares 1K Views
  • OFFICIAL : Klabu ya Simba imekamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji, Omari Omari kutoka Mashujaa FC kwa mkataba wa miaka miwili. Omari ni mchezaji kijana mwenye umri wa miaka 19 ambae ana uwezo wa kucheza nafasi tofauti Uwanjani.
    .
    Omari anaweza kucheza kwa ufasaha namba 8, 10, 11 na 7 na hicho ni moja ya kitu ambacho Simba wamevutiwa kwake na kuamua kumsajili.
    ๐Ÿšจ OFFICIAL : Klabu ya Simba imekamilisha usajili wa kiungo mshambuliaji, Omari Omari kutoka Mashujaa FC kwa mkataba wa miaka miwili. Omari ni mchezaji kijana mwenye umri wa miaka 19 ambae ana uwezo wa kucheza nafasi tofauti Uwanjani. . Omari anaweza kucheza kwa ufasaha namba 8, 10, 11 na 7 na hicho ni moja ya kitu ambacho Simba wamevutiwa kwake na kuamua kumsajili.
    Like
    3
    0 Comments 1 Shares 555 Views
  • HADI SASA SAJILI ZILIZOFANYWA NA SIMBASC KWENYE DIRISHA HILI NI HAWA

    .Lameck Lawi
    .Joshua Mutale
    .Steven Mukwala
    .Ahoua Jean Charles
    . Abdulrazack Hamza
    . Valentino Mashaka
    . Augustine Okajepha
    . Deborah Fernandes
    . Omar Omar
    HADI SASA SAJILI ZILIZOFANYWA NA SIMBASC KWENYE DIRISHA HILI NI HAWA ๐Ÿšจ.Lameck Lawi โณ ๐Ÿšจ.Joshua Mutaleโœ… ๐Ÿšจ.Steven Mukwalaโœ… ๐Ÿšจ.Ahoua Jean Charlesโœ… ๐Ÿšจ. Abdulrazack Hamzaโœ… ๐Ÿšจ. Valentino Mashaka โœ… ๐Ÿšจ. Augustine Okajephaโœ… ๐Ÿšจ. Deborah Fernandesโœ… ๐Ÿšจ. Omar Omarโœ…
    Like
    2
    0 Comments 0 Shares 112 Views
  • Chupa ya maji ya golikipa wa England Jordan Pickford ilikuwa na orodha ya wapiga penalti wa timu ya taifa ya Uswisi ikiwa ni mikakati ya kuivusha Wajukuu hao wa Malkia kwenda hatua ya nusu fainali.

    England imefuzu hatua ya nusu fainali baada ya ushindi wa penalti 5-3 huku Pickford akiokota moja ya penalti za Uswisi na kuisaidia timu yake kukata tiketi ya nusu fainali ya EURO 2024.

    Mwamba aliingia na NONDO zake kwenye chumba cha mtihani
    Chupa ya maji ya golikipa wa England Jordan Pickford ilikuwa na orodha ya wapiga penalti wa timu ya taifa ya Uswisi ikiwa ni mikakati ya kuivusha Wajukuu hao wa Malkia kwenda hatua ya nusu fainali. England imefuzu hatua ya nusu fainali baada ya ushindi wa penalti 5-3 huku Pickford akiokota moja ya penalti za Uswisi na kuisaidia timu yake kukata tiketi ya nusu fainali ya EURO 2024. โœ๏ธ Mwamba aliingia na NONDO zake kwenye chumba cha mtihani
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 539 Views
  • Like
    1
    0 Comments 0 Shares 113 Views
  • ๐Ÿ‘Š๐Ÿผ ๐Ÿ‘Š๐Ÿผ
    ๐Ÿ‘Š๐Ÿผ ๐Ÿ‘Š๐Ÿผ
    Like
    2
    0 Comments 0 Shares 115 Views

  • "Penye nia pana njia." - (Where there's a will, there's a way.)
    "Penye nia pana njia." - (Where there's a will, there's a way.)
    Like
    4
    0 Comments 0 Shares 115 Views
  • Ni ndani ya lisaa tu, vijana kama hawa ndio kama Taifa tunasema tunawategemea??

    Ni ndani ya lisaa tu, vijana kama hawa ndio kama Taifa tunasema tunawategemea?? ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ™Œ
    Like
    1
    0 Comments 0 Shares 114 Views