Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Κατάλογος
Χρήστες
Δημοσιεύσεις
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • Frances Frances @Frances200 ενημερώθηκε η φωτογραφία προφίλ
    2024-05-18 05:52:17 ·
    Love
    1
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·296 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Prod Delkizzy49 @Delkizzy49_tz ενημερώθηκε η φωτογραφία προφίλ
    2024-05-18 06:07:04 ·
    Love
    1
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·200 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Lazaro Daudi @Lazaro41 ενημερώθηκε η φωτογραφία προφίλ
    2024-05-18 06:13:21 ·
    Like
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·330 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Sports view @B24 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-05-18 06:15:35 ·
    Wachezaji wanaolipwa fedha nyingi zaidi duniani 2024
    .CHANZO CHA PICHA,REUTERS
    Maelezo ya picha,Christiano Ronaldo
    17 Mei 2024
    Cristiano Ronaldo ameongoza orodha ya Forbes ya wanariadha wanaolipwa fedha nyingi zaidi duniani kwa mara ya nne katika maisha yake ya soka, huku Jon Rahm mcheza gofu akipanda hadi nafasi ya pili.

    Ronaldo pia aliongoza orodha hiyo mwaka jana baada ya kuhamia klabu ya soka ya Saudi Arabia ya Al Nassr.

    Jarida la biashara la Forbes linasema, mshambuliaji huyo wa Ureno mwenye umri wa miaka 39 alipata kiasi cha $260m (£205m) - kutoka $136m (£108.7m) - katika kipindi cha miezi 12 iliyopita.

    Mpinzani mkubwa wa Ronaldo Lionel Messi ameporomoka hadi nafasi ya tatu nyuma ya Rahm.

    Mchezaji gofu wa Uhispania amepanda hadi nafasi pili nyuma kabla ya kufanyika kwa safari yake ya kwenda kucheza Gofu ya LIV inayofadhiliwa na Saudia na anaripotiwa kupata $218m (£172m).

    Mcheza gofu huyo wa Uhispania ni mmoja wa wanariadha 22 walio na umri wa chini ya miaka 30 kwenye orodha hiyo, jambo ambalo linaweza kuashiria mabadiliko.

    Wachezaji waliodumu katika hiyo orodha kama vile Serena Williams, Roger Federer na Tom Brady tayari wamestaafu , wakati Ronaldo, LeBron James, Tiger Woods na wanariadha wengine watatu wenye umri wa miaka 39 au zaidi, pia nao wakitarajiwa kuchukua hatua hiyo hivi karibuni.

    Wanasoka Neymar na Karim Benzema pia wameingia kwenye 10 bora baada ya kuhamia katika ligi ya soka ya Saudi Pro League.

    Giannis Antetokounmpo (katika nafasi ya tano) anaungana na nyota wenzake wa mpira wa vikapu LeBron James (wa nne) na Stephen Curry (wa tisa) kwenye orodha hiyo , huku beki wa pembeni wa kandanda wa Marekani Lamar Jackson akiwa katika nafasi ya 10.##Sports view
    Wachezaji wanaolipwa fedha nyingi zaidi duniani 2024 .CHANZO CHA PICHA,REUTERS Maelezo ya picha,Christiano Ronaldo 17 Mei 2024 Cristiano Ronaldo ameongoza orodha ya Forbes ya wanariadha wanaolipwa fedha nyingi zaidi duniani kwa mara ya nne katika maisha yake ya soka, huku Jon Rahm mcheza gofu akipanda hadi nafasi ya pili. Ronaldo pia aliongoza orodha hiyo mwaka jana baada ya kuhamia klabu ya soka ya Saudi Arabia ya Al Nassr. Jarida la biashara la Forbes linasema, mshambuliaji huyo wa Ureno mwenye umri wa miaka 39 alipata kiasi cha $260m (£205m) - kutoka $136m (£108.7m) - katika kipindi cha miezi 12 iliyopita. Mpinzani mkubwa wa Ronaldo Lionel Messi ameporomoka hadi nafasi ya tatu nyuma ya Rahm. Mchezaji gofu wa Uhispania amepanda hadi nafasi pili nyuma kabla ya kufanyika kwa safari yake ya kwenda kucheza Gofu ya LIV inayofadhiliwa na Saudia na anaripotiwa kupata $218m (£172m). Mcheza gofu huyo wa Uhispania ni mmoja wa wanariadha 22 walio na umri wa chini ya miaka 30 kwenye orodha hiyo, jambo ambalo linaweza kuashiria mabadiliko. Wachezaji waliodumu katika hiyo orodha kama vile Serena Williams, Roger Federer na Tom Brady tayari wamestaafu , wakati Ronaldo, LeBron James, Tiger Woods na wanariadha wengine watatu wenye umri wa miaka 39 au zaidi, pia nao wakitarajiwa kuchukua hatua hiyo hivi karibuni. Wanasoka Neymar na Karim Benzema pia wameingia kwenye 10 bora baada ya kuhamia katika ligi ya soka ya Saudi Pro League. Giannis Antetokounmpo (katika nafasi ya tano) anaungana na nyota wenzake wa mpira wa vikapu LeBron James (wa nne) na Stephen Curry (wa tisa) kwenye orodha hiyo , huku beki wa pembeni wa kandanda wa Marekani Lamar Jackson akiwa katika nafasi ya 10.##Sports view
    Love
    Like
    4
    · 2 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·519 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Poly Bite @Polybite_tz ενημερώθηκε η φωτογραφία προφίλ
    2024-05-18 06:15:52 ·
    Love
    1
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·341 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Sports view @B24 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-05-18 06:19:51 ·
    Ifuatayo ni orodha ya wachezaji 10 wanaolipwa fedha nyingi zaidi duniani
    1. Cristiano Ronaldo, football: $260m (£205m)

    2. Jon Rahm, Gofu: $218m (£172m)

    3. Lionel Messi, Soka: $135m (£107m)

    4. LeBron James, Mpira wa vikapu: $128.2m (£101m)

    5. Giannis Antetokounmpo, Mpira wa vikapu: $111m (£88m)

    6. Kylian Mbappe, Soka $110m (£87m)

    7. Neymar, Soka: $108m (£85m)

    8. Karim Benzema, Soka: $106m (£84m)

    9. Stephen Curry, Mpira wa vikapu $102m (£80m)

    10. Lamar Jackson, Soka ya Marekani: $100.5m (£79m). # #Sports view
    Ifuatayo ni orodha ya wachezaji 10 wanaolipwa fedha nyingi zaidi duniani 1. Cristiano Ronaldo, football: $260m (£205m) 2. Jon Rahm, Gofu: $218m (£172m) 3. Lionel Messi, Soka: $135m (£107m) 4. LeBron James, Mpira wa vikapu: $128.2m (£101m) 5. Giannis Antetokounmpo, Mpira wa vikapu: $111m (£88m) 6. Kylian Mbappe, Soka $110m (£87m) 7. Neymar, Soka: $108m (£85m) 8. Karim Benzema, Soka: $106m (£84m) 9. Stephen Curry, Mpira wa vikapu $102m (£80m) 10. Lamar Jackson, Soka ya Marekani: $100.5m (£79m). # #Sports view
    Love
    Like
    3
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·583 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Sports view @B24 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-05-18 06:24:55 ·
    Mashabiki wa Al Hilal wanaimba 'Messi, Messi' mbele ya Ronaldo.

    Sports view # #
    Mashabiki wa Al Hilal wanaimba 'Messi, Messi' mbele ya Ronaldo. Sports view # #
    Like
    Love
    2
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·242 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Crack James @23k
    2024-05-18 06:31:56 ·
    U may not know what is going to happen when you try but when you don't try nothing is going to happen
    U may not know what is going to happen when you try but when you don't try nothing is going to happen
    Love
    2
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·425 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Sports view @B24 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2024-05-18 06:33:18 ·
    Klabu ya Kaizer Chiefs inayoshiriki ligi kuu nchini Afrika Kusini wametuma ofa kwa klabu ya Yanga wakihitaji huduma ya kipa namba moja raia wa Mali Djingui Diarra.

    Yanga ipo tayari kumuuza kipa huyo na endapo Kaizer watafikia kiasi ambacho Yanga wanakihitaji basi mabingwa hao mara tatu mfululizo wataenda kumchukua Ley Matampi wa Coastal Union kama mbadala Diarra ambaye wanalingana katika clean sheet za ligi kuu bara.

    #Sports view
    Klabu ya Kaizer Chiefs inayoshiriki ligi kuu nchini Afrika Kusini wametuma ofa kwa klabu ya Yanga wakihitaji huduma ya kipa namba moja raia wa Mali Djingui Diarra. Yanga ipo tayari kumuuza kipa huyo na endapo Kaizer watafikia kiasi ambacho Yanga wanakihitaji basi mabingwa hao mara tatu mfululizo wataenda kumchukua Ley Matampi wa Coastal Union kama mbadala Diarra ambaye wanalingana katika clean sheet za ligi kuu bara. #Sports view
    Like
    Love
    4
    · 1 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·106 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Crack James @23k πρόσθεσε ένα video in Γενικά
    2024-05-18 06:34:10 ·
    Love
    Like
    3
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·425 Views ·35
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Δείχνουμε (1231-1240 από 25156)
  • «
  • Προηγούμενο
  • 122
  • 123
  • 124
  • 125
  • 126
  • Επόμενο
  • »
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers