Socialpop Socialpop
نتائج البحث
عرض كل النتائج
  • انضم إلينا
    تسجيل الدخول
    تسجيل
    البحث
    الوضع المظلم

الدليل

Share your ideas, Make money with Social Pop, enjoy on our lager village

  • المستخدمون
  • المنشورات
  • الصفحات
  • المجموعات
  • المناسبات
  • المدونات
  • سوق المنتجات
  • التمويل
  • مفاوضاتي
  • وظائف
  • Courses
  • المنتديات
  • الافلام
  • David Atto
    أضاف صورة
    2024-07-30 18:38:47 -
    Like
    1
    0 التعليقات 0 المشاركات 247 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Vincent Kayombo تحديث صورة الملف الشخصي
    2024-07-30 20:15:05 -
    0 التعليقات 0 المشاركات 445 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • David Atto
    2024-07-31 03:47:19 -
    LEO YETU

    NYAKATI NGUMU ZINATUFUNZA MAMO MENGI. TUTAJUA RANGI HALISI YA WATU WANAOTUZUNGUKA. AKUFAAYE KWA DHIKI NDIYE RAFIKI WA KWELI.
    LEO YETU NYAKATI NGUMU ZINATUFUNZA MAMO MENGI. TUTAJUA RANGI HALISI YA WATU WANAOTUZUNGUKA. AKUFAAYE KWA DHIKI NDIYE RAFIKI WA KWELI.
    Like
    1
    0 التعليقات 0 المشاركات 251 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Paul Swai
    أضاف 2 الصور
    2024-07-31 05:48:15 -
    KOCHA FADLU DAVIDS:
    “Timu imeimarika kila eneo na wachezaji tayari wameanza kuingia kwenye mfumo shida ya kutofunga ni sehemu ndogo ambayo inaweza kuisha kwa muda mfupi kwani wachezaji wamekuwa wakijitega vizuri kwenye nafasi,
    #paulswai
    🎙️ KOCHA FADLU DAVIDS: “Timu imeimarika kila eneo na wachezaji tayari wameanza kuingia kwenye mfumo shida ya kutofunga ni sehemu ndogo ambayo inaweza kuisha kwa muda mfupi kwani wachezaji wamekuwa wakijitega vizuri kwenye nafasi, #paulswai
    Like
    2
    0 التعليقات 0 المشاركات 162 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • Paul Swai
    أضاف 2 الصور
    2024-07-31 05:50:51 -
    Ahmed Ally Kuna kitu cha kitaalamu sana timu yetu inakifanya,Waliofunga mechi ya kwanza sio waliofunga mechi ya pili na waliofunga mechi ya tatu sio waliofunga mechi ya kwanza wala ya pili

    Ipo namna Mwalimu Fadlu anatengeneza timu ya kufanya mashambulizi kwa pamoja na yeyeote aliyopo kwenye nafasi afunge.
    #paulswai
    Ahmed Ally 🗣️Kuna kitu cha kitaalamu sana timu yetu inakifanya,Waliofunga mechi ya kwanza sio waliofunga mechi ya pili na waliofunga mechi ya tatu sio waliofunga mechi ya kwanza wala ya pili Ipo namna Mwalimu Fadlu anatengeneza timu ya kufanya mashambulizi kwa pamoja na yeyeote aliyopo kwenye nafasi afunge. #paulswai
    Like
    2
    0 التعليقات 0 المشاركات 148 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • David Atto
    أضاف صورة
    2024-07-31 09:30:58 -
    Love
    1
    0 التعليقات 0 المشاركات 243 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • David Atto
    أضاف صورة
    2024-07-31 09:31:24 -
    0 التعليقات 0 المشاركات 233 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • David Atto
    أضاف صورة
    2024-07-31 09:38:18 -
    Mshambuliaji Ranga Chivaviro wa Kaizer Chiefs ambaye aliwahi kuwindwa na Yanga akachomoa dakika za mwisho, amesema Yanga iliwaweka kwenye wakati mgumu ambapo nidhamu yao wakati hawana mpira ni ilikuwa kitu kigumu kwao kuweza kuhimili.

    Chivaviro ambaye ana asili ya Zimbabwe, alisema walikutana na kipimo kigumu katika mchezo wa kwanza wa kirafiki tangu waanze maandalizi.

    "Ilikuwa ngumu kwetu, ni kama hawakutupa nafasi ya kujipanga wakati tukiwa tuna mpira, walikuwa wanalazimisha haraka tuupoteze uwe chini yao nadhani ndio silaha waliyoitumia kutengeneza ushindi kama ule," alisema mshambuliaji huyo wa zamani wa Marumo Gallants.

    "Unajua huu ulikuwa mchezo wetu wa kwanza wa kirafiki wenzetu walionekana kuwa wepesi kuliko sisi ilitufanya kuonekana hatukuwa tayari kukutana na watu kama wao, nadhani tutabadilika kwa kuwa tupo chini ya makocha wapya ambao wanaaanza kutupa falsafa mpya."
    Mshambuliaji Ranga Chivaviro wa Kaizer Chiefs ambaye aliwahi kuwindwa na Yanga akachomoa dakika za mwisho, amesema Yanga iliwaweka kwenye wakati mgumu ambapo nidhamu yao wakati hawana mpira ni ilikuwa kitu kigumu kwao kuweza kuhimili. Chivaviro ambaye ana asili ya Zimbabwe, alisema walikutana na kipimo kigumu katika mchezo wa kwanza wa kirafiki tangu waanze maandalizi. "Ilikuwa ngumu kwetu, ni kama hawakutupa nafasi ya kujipanga wakati tukiwa tuna mpira, walikuwa wanalazimisha haraka tuupoteze uwe chini yao nadhani ndio silaha waliyoitumia kutengeneza ushindi kama ule," alisema mshambuliaji huyo wa zamani wa Marumo Gallants. "Unajua huu ulikuwa mchezo wetu wa kwanza wa kirafiki wenzetu walionekana kuwa wepesi kuliko sisi ilitufanya kuonekana hatukuwa tayari kukutana na watu kama wao, nadhani tutabadilika kwa kuwa tupo chini ya makocha wapya ambao wanaaanza kutupa falsafa mpya."
    0 التعليقات 0 المشاركات 485 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • David Atto
    أضاف فيديو عام
    2024-07-31 12:41:02 -
    0 التعليقات 0 المشاركات 251 مشاهدة 73
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • David Atto
    أضاف صورة
    2024-07-31 12:46:18 -
    Madhara ya Bangi
    Madhara ya Bangi
    Haha
    1
    2 التعليقات 0 المشاركات 222 مشاهدة
    الرجاء تسجيل الدخول , للأعجاب والمشاركة والتعليق على هذا!
  • عرض (2011-2020 من 35420)
  • «
  • السابق
  • 200
  • 201
  • 202
  • 203
  • 204
  • التالي
  • »
© 2026 Socialpop Arabic
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
الشروط الخصوصية اتصل بنا الدليل