Directorio
Share your ideas, Make money with Social Pop, enjoy on our lager village
-
Please log in to like, share and comment!
-
0 Commentarios 0 Acciones 445 Views
-
LEO YETU
NYAKATI NGUMU ZINATUFUNZA MAMO MENGI. TUTAJUA RANGI HALISI YA WATU WANAOTUZUNGUKA. AKUFAAYE KWA DHIKI NDIYE RAFIKI WA KWELI.LEO YETU NYAKATI NGUMU ZINATUFUNZA MAMO MENGI. TUTAJUA RANGI HALISI YA WATU WANAOTUZUNGUKA. AKUFAAYE KWA DHIKI NDIYE RAFIKI WA KWELI.0 Commentarios 0 Acciones 251 Views1
-
KOCHA FADLU DAVIDS:
“Timu imeimarika kila eneo na wachezaji tayari wameanza kuingia kwenye mfumo shida ya kutofunga ni sehemu ndogo ambayo inaweza kuisha kwa muda mfupi kwani wachezaji wamekuwa wakijitega vizuri kwenye nafasi,
#paulswai🎙️ KOCHA FADLU DAVIDS: “Timu imeimarika kila eneo na wachezaji tayari wameanza kuingia kwenye mfumo shida ya kutofunga ni sehemu ndogo ambayo inaweza kuisha kwa muda mfupi kwani wachezaji wamekuwa wakijitega vizuri kwenye nafasi, #paulswai0 Commentarios 0 Acciones 162 Views2
-
Ahmed Ally Kuna kitu cha kitaalamu sana timu yetu inakifanya,Waliofunga mechi ya kwanza sio waliofunga mechi ya pili na waliofunga mechi ya tatu sio waliofunga mechi ya kwanza wala ya pili
Ipo namna Mwalimu Fadlu anatengeneza timu ya kufanya mashambulizi kwa pamoja na yeyeote aliyopo kwenye nafasi afunge.
#paulswaiAhmed Ally 🗣️Kuna kitu cha kitaalamu sana timu yetu inakifanya,Waliofunga mechi ya kwanza sio waliofunga mechi ya pili na waliofunga mechi ya tatu sio waliofunga mechi ya kwanza wala ya pili Ipo namna Mwalimu Fadlu anatengeneza timu ya kufanya mashambulizi kwa pamoja na yeyeote aliyopo kwenye nafasi afunge. #paulswai0 Commentarios 0 Acciones 148 Views2
-
-
-
Mshambuliaji Ranga Chivaviro wa Kaizer Chiefs ambaye aliwahi kuwindwa na Yanga akachomoa dakika za mwisho, amesema Yanga iliwaweka kwenye wakati mgumu ambapo nidhamu yao wakati hawana mpira ni ilikuwa kitu kigumu kwao kuweza kuhimili.
Chivaviro ambaye ana asili ya Zimbabwe, alisema walikutana na kipimo kigumu katika mchezo wa kwanza wa kirafiki tangu waanze maandalizi.
"Ilikuwa ngumu kwetu, ni kama hawakutupa nafasi ya kujipanga wakati tukiwa tuna mpira, walikuwa wanalazimisha haraka tuupoteze uwe chini yao nadhani ndio silaha waliyoitumia kutengeneza ushindi kama ule," alisema mshambuliaji huyo wa zamani wa Marumo Gallants.
"Unajua huu ulikuwa mchezo wetu wa kwanza wa kirafiki wenzetu walionekana kuwa wepesi kuliko sisi ilitufanya kuonekana hatukuwa tayari kukutana na watu kama wao, nadhani tutabadilika kwa kuwa tupo chini ya makocha wapya ambao wanaaanza kutupa falsafa mpya."Mshambuliaji Ranga Chivaviro wa Kaizer Chiefs ambaye aliwahi kuwindwa na Yanga akachomoa dakika za mwisho, amesema Yanga iliwaweka kwenye wakati mgumu ambapo nidhamu yao wakati hawana mpira ni ilikuwa kitu kigumu kwao kuweza kuhimili. Chivaviro ambaye ana asili ya Zimbabwe, alisema walikutana na kipimo kigumu katika mchezo wa kwanza wa kirafiki tangu waanze maandalizi. "Ilikuwa ngumu kwetu, ni kama hawakutupa nafasi ya kujipanga wakati tukiwa tuna mpira, walikuwa wanalazimisha haraka tuupoteze uwe chini yao nadhani ndio silaha waliyoitumia kutengeneza ushindi kama ule," alisema mshambuliaji huyo wa zamani wa Marumo Gallants. "Unajua huu ulikuwa mchezo wetu wa kwanza wa kirafiki wenzetu walionekana kuwa wepesi kuliko sisi ilitufanya kuonekana hatukuwa tayari kukutana na watu kama wao, nadhani tutabadilika kwa kuwa tupo chini ya makocha wapya ambao wanaaanza kutupa falsafa mpya."0 Commentarios 0 Acciones 485 Views -
-
Madhara ya BangiMadhara ya Bangi2 Commentarios 0 Acciones 222 Views1