Socialpop Socialpop
Результаты поиска
Все результаты
  • Вступить
    Войти
    Регистрация
    Поиск
    Ночной режим

Каталог

Share your ideas, Make money with Social Pop, enjoy on our lager village

  • Пользователи
  • Записей
  • Страницы
  • Группы
  • Мероприятия
  • Статьи пользователей
  • Marketplace
  • Funding
  • Offers
  • Jobs
  • Courses
  • Форумы
  • Кинозал
  • David Atto
    добавлены фото
    2024-07-30 18:38:47 -
    Like
    1
    0 Комментарии 0 Поделились 247 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Vincent Kayombo обновить изображение профиля
    2024-07-30 20:15:05 -
    0 Комментарии 0 Поделились 445 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • David Atto
    2024-07-31 03:47:19 -
    LEO YETU

    NYAKATI NGUMU ZINATUFUNZA MAMO MENGI. TUTAJUA RANGI HALISI YA WATU WANAOTUZUNGUKA. AKUFAAYE KWA DHIKI NDIYE RAFIKI WA KWELI.
    LEO YETU NYAKATI NGUMU ZINATUFUNZA MAMO MENGI. TUTAJUA RANGI HALISI YA WATU WANAOTUZUNGUKA. AKUFAAYE KWA DHIKI NDIYE RAFIKI WA KWELI.
    Like
    1
    0 Комментарии 0 Поделились 251 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Paul Swai
    added 2 фото
    2024-07-31 05:48:15 -
    KOCHA FADLU DAVIDS:
    “Timu imeimarika kila eneo na wachezaji tayari wameanza kuingia kwenye mfumo shida ya kutofunga ni sehemu ndogo ambayo inaweza kuisha kwa muda mfupi kwani wachezaji wamekuwa wakijitega vizuri kwenye nafasi,
    #paulswai
    🎙️ KOCHA FADLU DAVIDS: “Timu imeimarika kila eneo na wachezaji tayari wameanza kuingia kwenye mfumo shida ya kutofunga ni sehemu ndogo ambayo inaweza kuisha kwa muda mfupi kwani wachezaji wamekuwa wakijitega vizuri kwenye nafasi, #paulswai
    Like
    2
    0 Комментарии 0 Поделились 162 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Paul Swai
    added 2 фото
    2024-07-31 05:50:51 -
    Ahmed Ally Kuna kitu cha kitaalamu sana timu yetu inakifanya,Waliofunga mechi ya kwanza sio waliofunga mechi ya pili na waliofunga mechi ya tatu sio waliofunga mechi ya kwanza wala ya pili

    Ipo namna Mwalimu Fadlu anatengeneza timu ya kufanya mashambulizi kwa pamoja na yeyeote aliyopo kwenye nafasi afunge.
    #paulswai
    Ahmed Ally 🗣️Kuna kitu cha kitaalamu sana timu yetu inakifanya,Waliofunga mechi ya kwanza sio waliofunga mechi ya pili na waliofunga mechi ya tatu sio waliofunga mechi ya kwanza wala ya pili Ipo namna Mwalimu Fadlu anatengeneza timu ya kufanya mashambulizi kwa pamoja na yeyeote aliyopo kwenye nafasi afunge. #paulswai
    Like
    2
    0 Комментарии 0 Поделились 148 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • David Atto
    добавлены фото
    2024-07-31 09:30:58 -
    Love
    1
    0 Комментарии 0 Поделились 243 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • David Atto
    добавлены фото
    2024-07-31 09:31:24 -
    0 Комментарии 0 Поделились 233 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • David Atto
    добавлены фото
    2024-07-31 09:38:18 -
    Mshambuliaji Ranga Chivaviro wa Kaizer Chiefs ambaye aliwahi kuwindwa na Yanga akachomoa dakika za mwisho, amesema Yanga iliwaweka kwenye wakati mgumu ambapo nidhamu yao wakati hawana mpira ni ilikuwa kitu kigumu kwao kuweza kuhimili.

    Chivaviro ambaye ana asili ya Zimbabwe, alisema walikutana na kipimo kigumu katika mchezo wa kwanza wa kirafiki tangu waanze maandalizi.

    "Ilikuwa ngumu kwetu, ni kama hawakutupa nafasi ya kujipanga wakati tukiwa tuna mpira, walikuwa wanalazimisha haraka tuupoteze uwe chini yao nadhani ndio silaha waliyoitumia kutengeneza ushindi kama ule," alisema mshambuliaji huyo wa zamani wa Marumo Gallants.

    "Unajua huu ulikuwa mchezo wetu wa kwanza wa kirafiki wenzetu walionekana kuwa wepesi kuliko sisi ilitufanya kuonekana hatukuwa tayari kukutana na watu kama wao, nadhani tutabadilika kwa kuwa tupo chini ya makocha wapya ambao wanaaanza kutupa falsafa mpya."
    Mshambuliaji Ranga Chivaviro wa Kaizer Chiefs ambaye aliwahi kuwindwa na Yanga akachomoa dakika za mwisho, amesema Yanga iliwaweka kwenye wakati mgumu ambapo nidhamu yao wakati hawana mpira ni ilikuwa kitu kigumu kwao kuweza kuhimili. Chivaviro ambaye ana asili ya Zimbabwe, alisema walikutana na kipimo kigumu katika mchezo wa kwanza wa kirafiki tangu waanze maandalizi. "Ilikuwa ngumu kwetu, ni kama hawakutupa nafasi ya kujipanga wakati tukiwa tuna mpira, walikuwa wanalazimisha haraka tuupoteze uwe chini yao nadhani ndio silaha waliyoitumia kutengeneza ushindi kama ule," alisema mshambuliaji huyo wa zamani wa Marumo Gallants. "Unajua huu ulikuwa mchezo wetu wa kwanza wa kirafiki wenzetu walionekana kuwa wepesi kuliko sisi ilitufanya kuonekana hatukuwa tayari kukutana na watu kama wao, nadhani tutabadilika kwa kuwa tupo chini ya makocha wapya ambao wanaaanza kutupa falsafa mpya."
    0 Комментарии 0 Поделились 485 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • David Atto
    добавлено видео Общий
    2024-07-31 12:41:02 -
    0 Комментарии 0 Поделились 251 Просмотры 73
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • David Atto
    добавлены фото
    2024-07-31 12:46:18 -
    Madhara ya Bangi
    Madhara ya Bangi
    Haha
    1
    2 Комментарии 0 Поделились 222 Просмотры
    Войдите, чтобы отмечать, делиться и комментировать!
  • Отображение (2011-2020 из 35435)
  • «
  • Назад
  • 200
  • 201
  • 202
  • 203
  • 204
  • Далее
  • »
© 2026 Socialpop Russian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
О нас Условия использования Конфиденциальность Свяжитесь с нами Каталог