Socialpop Socialpop
Rezultatele cautarii
Vedeti tot
  • Conecteaza-te
    Conecteaza-te
    Inscrie-te
    Căutare
    Night Mode

Director

Share your ideas, Make money with Social Pop, enjoy on our lager village

  • Utilizatori
  • Postari
  • Pagini
  • Grupuri
  • Events
  • Blogs
  • Marketplace
  • Funding
  • Offers
  • Jobs
  • Courses
  • Forums
  • Movies
  • David Atto
    a adăugat o fotografie
    2024-07-30 18:38:47 -
    Like
    1
    0 Commentarii 0 Distribuiri 247 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Vincent Kayombo updated the profile picture
    2024-07-30 20:15:05 -
    0 Commentarii 0 Distribuiri 445 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • David Atto
    2024-07-31 03:47:19 -
    LEO YETU

    NYAKATI NGUMU ZINATUFUNZA MAMO MENGI. TUTAJUA RANGI HALISI YA WATU WANAOTUZUNGUKA. AKUFAAYE KWA DHIKI NDIYE RAFIKI WA KWELI.
    LEO YETU NYAKATI NGUMU ZINATUFUNZA MAMO MENGI. TUTAJUA RANGI HALISI YA WATU WANAOTUZUNGUKA. AKUFAAYE KWA DHIKI NDIYE RAFIKI WA KWELI.
    Like
    1
    0 Commentarii 0 Distribuiri 251 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Paul Swai
    added 2 fotografii
    2024-07-31 05:48:15 -
    KOCHA FADLU DAVIDS:
    “Timu imeimarika kila eneo na wachezaji tayari wameanza kuingia kwenye mfumo shida ya kutofunga ni sehemu ndogo ambayo inaweza kuisha kwa muda mfupi kwani wachezaji wamekuwa wakijitega vizuri kwenye nafasi,
    #paulswai
    🎙️ KOCHA FADLU DAVIDS: “Timu imeimarika kila eneo na wachezaji tayari wameanza kuingia kwenye mfumo shida ya kutofunga ni sehemu ndogo ambayo inaweza kuisha kwa muda mfupi kwani wachezaji wamekuwa wakijitega vizuri kwenye nafasi, #paulswai
    Like
    2
    0 Commentarii 0 Distribuiri 162 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Paul Swai
    added 2 fotografii
    2024-07-31 05:50:51 -
    Ahmed Ally Kuna kitu cha kitaalamu sana timu yetu inakifanya,Waliofunga mechi ya kwanza sio waliofunga mechi ya pili na waliofunga mechi ya tatu sio waliofunga mechi ya kwanza wala ya pili

    Ipo namna Mwalimu Fadlu anatengeneza timu ya kufanya mashambulizi kwa pamoja na yeyeote aliyopo kwenye nafasi afunge.
    #paulswai
    Ahmed Ally 🗣️Kuna kitu cha kitaalamu sana timu yetu inakifanya,Waliofunga mechi ya kwanza sio waliofunga mechi ya pili na waliofunga mechi ya tatu sio waliofunga mechi ya kwanza wala ya pili Ipo namna Mwalimu Fadlu anatengeneza timu ya kufanya mashambulizi kwa pamoja na yeyeote aliyopo kwenye nafasi afunge. #paulswai
    Like
    2
    0 Commentarii 0 Distribuiri 148 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • David Atto
    a adăugat o fotografie
    2024-07-31 09:30:58 -
    Love
    1
    0 Commentarii 0 Distribuiri 243 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • David Atto
    a adăugat o fotografie
    2024-07-31 09:31:24 -
    0 Commentarii 0 Distribuiri 233 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • David Atto
    a adăugat o fotografie
    2024-07-31 09:38:18 -
    Mshambuliaji Ranga Chivaviro wa Kaizer Chiefs ambaye aliwahi kuwindwa na Yanga akachomoa dakika za mwisho, amesema Yanga iliwaweka kwenye wakati mgumu ambapo nidhamu yao wakati hawana mpira ni ilikuwa kitu kigumu kwao kuweza kuhimili.

    Chivaviro ambaye ana asili ya Zimbabwe, alisema walikutana na kipimo kigumu katika mchezo wa kwanza wa kirafiki tangu waanze maandalizi.

    "Ilikuwa ngumu kwetu, ni kama hawakutupa nafasi ya kujipanga wakati tukiwa tuna mpira, walikuwa wanalazimisha haraka tuupoteze uwe chini yao nadhani ndio silaha waliyoitumia kutengeneza ushindi kama ule," alisema mshambuliaji huyo wa zamani wa Marumo Gallants.

    "Unajua huu ulikuwa mchezo wetu wa kwanza wa kirafiki wenzetu walionekana kuwa wepesi kuliko sisi ilitufanya kuonekana hatukuwa tayari kukutana na watu kama wao, nadhani tutabadilika kwa kuwa tupo chini ya makocha wapya ambao wanaaanza kutupa falsafa mpya."
    Mshambuliaji Ranga Chivaviro wa Kaizer Chiefs ambaye aliwahi kuwindwa na Yanga akachomoa dakika za mwisho, amesema Yanga iliwaweka kwenye wakati mgumu ambapo nidhamu yao wakati hawana mpira ni ilikuwa kitu kigumu kwao kuweza kuhimili. Chivaviro ambaye ana asili ya Zimbabwe, alisema walikutana na kipimo kigumu katika mchezo wa kwanza wa kirafiki tangu waanze maandalizi. "Ilikuwa ngumu kwetu, ni kama hawakutupa nafasi ya kujipanga wakati tukiwa tuna mpira, walikuwa wanalazimisha haraka tuupoteze uwe chini yao nadhani ndio silaha waliyoitumia kutengeneza ushindi kama ule," alisema mshambuliaji huyo wa zamani wa Marumo Gallants. "Unajua huu ulikuwa mchezo wetu wa kwanza wa kirafiki wenzetu walionekana kuwa wepesi kuliko sisi ilitufanya kuonekana hatukuwa tayari kukutana na watu kama wao, nadhani tutabadilika kwa kuwa tupo chini ya makocha wapya ambao wanaaanza kutupa falsafa mpya."
    0 Commentarii 0 Distribuiri 485 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • David Atto
    a adăugat un videoclip General
    2024-07-31 12:41:02 -
    0 Commentarii 0 Distribuiri 251 Views 73
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • David Atto
    a adăugat o fotografie
    2024-07-31 12:46:18 -
    Madhara ya Bangi
    Madhara ya Bangi
    Haha
    1
    2 Commentarii 0 Distribuiri 222 Views
    Vă rugăm să vă autentificați pentru a vă dori, partaja și comenta!
  • Afiseaza (2011-2020 de 35421)
  • «
  • Anterior
  • 200
  • 201
  • 202
  • 203
  • 204
  • Următor
  • »
© 2026 Socialpop Romaian
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
About Termeni Confidențialitate Contacteaza-ne Director