Αναζήτηση αποτελεσμάτων
Δες όλα τα αποτελέσματα
Socialpop Socialpop Socialpop
Κεντρική Σελίδα
Ομάδες
Σελίδες
Marketplace
δες περισσότερα..
Ομάδες Σελίδες Marketplace Events Blogs Χρηματοδότηση Προσφορές Εργασίες Courses Forum Ταινίες
Γίνε Μέλος
Σύνδεση Εγγραφή
Theme Switcher
Night Mode
Κατάλογος
Χρήστες
Δημοσιεύσεις
Σελίδες
Ομάδες
Events
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-04 18:54:33 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·135 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-04 18:55:03 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·112 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-04 18:55:27 ·
    Yanga waliutaka sana huu ushindi na wameupata kwa namna timu kubwa wanapaswa kufanya ( Namaanisha ukiwa nyuma goli moja , msimamo upo vibaya kwako ni rahisi sana kupoteza umakini lakini wachezaji wa Yanga walikuwa kama vile hakuna kilichotokea . TULIA NA CHEZA MPIRA )

    ✍🏻Uwepo wa Diarra maana yake Yanga hawakuhitaji kiungo mwingine wa ziada kwenye build up : Diarra , Job , Bacca na Aucho wanatosha hii ilikuwa inasaidia kuuliza swali gumu sana kwa kiungo cha Mazembe ... lipi hilo ?

    1: Aziz na Mudathir wanakuwa nyuma ya kiungo cha Mazembe na Aucho nyuma ya straika wa Mazembe maana yake ?

    2: Viungo wawili wa kati wa Mazembe wanashindwa kukabia juu kwa kuhofia kuwaachia Space Muda na Aziz na Straika wa Mazembe akisema aende kwa Job na Bacca basi nyuma yake Aucho yupo free .

    3: Hapa ndio Yanga wakaanza kumihitaji mchezaji ambaye anaweza kupokea mpira eneo lolote hata kama kuna presha na kuisogeza Yanga juu ( PACOME ) anatoka pembeni na kupokea mpira ndani ili kutengeneza wingi wa wachezaji ndani ( central overloads ) : Yanga walitengeneza nafasi nzuri za kufunga mara kadhaa walikwamishwa na uduni wa umaliziaji

    ✍🏻Nafikiri TP Mazembe , moja ya sababu kuu iliyokwamisha ni kushambulia na idadi ndogo sana ya wachezaji . Mshambuliaji wao Fofana alikuwa ametengwa sana . Maana yake rahisi hata kwa Yanga kushinda mipira mingi ya pili .

    NOTE

    1: Keita( beki wa kulia ) kacheza mechi nzuri

    2: Zemanga kama kiungo ( alipaswa kurahisisha mchezo , touches nyingi )

    3: Kibwana .. anatuma ujumbe ( ile jezi hataki kuiacha .. ni maboresho crosses )

    4: Aucho physically mwili unakataa lakini ufundi bado upo na ubongo

    5: Bacca + Job

    6: Pacome anafanya anachotaka muda anaotaka

    7: Hatari ya Turn Overs ( magoli mawili ya Yanga )

    8: CLEMENTINHO .! Anazidi kuvunja ule mjadala wa " PUNGUZA WACHEZAJI WA KIGENI WAZAWA WACHEZE " anaacha miguu yake iongee .! 💪🏿 kiwango kinacheza sio Passport yako ( He is dangerous boy )

    FT: Yanga 3-1 TP Mazembe

    Yanga waliutaka sana huu ushindi na wameupata kwa namna timu kubwa wanapaswa kufanya ( Namaanisha ukiwa nyuma goli moja , msimamo upo vibaya kwako ni rahisi sana kupoteza umakini lakini wachezaji wa Yanga walikuwa kama vile hakuna kilichotokea . TULIA NA CHEZA MPIRA ) ✍🏻Uwepo wa Diarra maana yake Yanga hawakuhitaji kiungo mwingine wa ziada kwenye build up : Diarra , Job , Bacca na Aucho wanatosha hii ilikuwa inasaidia kuuliza swali gumu sana kwa kiungo cha Mazembe ... lipi hilo ? 1: Aziz na Mudathir wanakuwa nyuma ya kiungo cha Mazembe na Aucho nyuma ya straika wa Mazembe maana yake ? 2: Viungo wawili wa kati wa Mazembe wanashindwa kukabia juu kwa kuhofia kuwaachia Space Muda na Aziz na Straika wa Mazembe akisema aende kwa Job na Bacca basi nyuma yake Aucho yupo free . 3: Hapa ndio Yanga wakaanza kumihitaji mchezaji ambaye anaweza kupokea mpira eneo lolote hata kama kuna presha na kuisogeza Yanga juu ( PACOME ) anatoka pembeni na kupokea mpira ndani ili kutengeneza wingi wa wachezaji ndani ( central overloads ) : Yanga walitengeneza nafasi nzuri za kufunga mara kadhaa walikwamishwa na uduni wa umaliziaji ✍🏻Nafikiri TP Mazembe , moja ya sababu kuu iliyokwamisha ni kushambulia na idadi ndogo sana ya wachezaji . Mshambuliaji wao Fofana alikuwa ametengwa sana . Maana yake rahisi hata kwa Yanga kushinda mipira mingi ya pili . NOTE 1: Keita( beki wa kulia ) kacheza mechi nzuri 2: Zemanga kama kiungo ( alipaswa kurahisisha mchezo , touches nyingi ) 3: Kibwana .. anatuma ujumbe ( ile jezi hataki kuiacha .. ni maboresho crosses ) 4: Aucho physically mwili unakataa lakini ufundi bado upo na ubongo 5: Bacca + Job 🔥🔥 6: Pacome anafanya anachotaka muda anaotaka🔥 7: Hatari ya Turn Overs ( magoli mawili ya Yanga ) 8: CLEMENTINHO .! Anazidi kuvunja ule mjadala wa " PUNGUZA WACHEZAJI WA KIGENI WAZAWA WACHEZE " anaacha miguu yake iongee .! 🔥💪🏿 kiwango kinacheza sio Passport yako ( He is dangerous boy ) FT: Yanga 3-1 TP Mazembe
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·950 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-04 18:55:46 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·105 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • ECHO NOVEMBER @Bonge1
    2025-01-05 04:07:00 ·
    HIVI NDIVYO UNAVYOMSAMEHE ALIYEKUUGUA MOYO.

    Unawasamehe kwa kujipa muda wa kupona. Hii haifanyiki mara moja. Hii haifanyiki mara moja. Ni mwendelezo wa polepole. Unapiga hatua mbili mbele na hatua nne nyuma. Wakati mwingine haitakuwa na maana. Lakini unakua na nguvu kidogo, na ustahimilivu zaidi, kila siku. Hata kama hauoni kila wakati.

    Unawasamehe kwa kuzingatia wewe mwenyewe. Acha kumwaga nishati yako kwenye sumu. Unachomoa. Unaacha kufuata. Fanya mazoezi ya kujitunza. Soma tena vitabu unavyovipenda na utoke pamoja na marafiki zako bora, mkicheka na kukumbuka jinsi mambo yanavyoweza kuwa mazuri wakati unajizunguka kwa chanya. Uambie moyo wako uliovunjika ni sawa kuchukua pumziko ili kukumbuka jinsi ya kutabasamu tena.
    Unawasamehe kwa kujiondoa kwenye hali hiyo. Kadiri unavyokaa ndani yake, katika maumivu ya moyo, ndivyo inavyozidi. Ni ngumu, lakini lazima uiache peke yako. Heshimu hisia zako. Heshimu hisia zako. Lakini usiendelee kuzunguka nyuma. Usiendelee kuhangaikia kilichotokea. Wazia kama puto. Wacha ielee. Mwambie kwaheri. Haiwezi kukuumiza sasa.
    Unawasamehe kwa kukubali walichofanya. Hiyo haimaanishi kuwa maumivu yamefutwa. Hiyo haimaanishi kuwa ghafla unafikiri ni sawa au umewaacha waachane na ndoano. Haimaanishi kwamba hawawajibiki kwa matendo yao au kwamba umesahau kilichotokea. Inamaanisha tu kukubali kile kilichofanywa kimefanywa. Inamaanisha kukubali kuwa hakuna kitufe cha kurejesha nyuma. Unaweza tu kusonga mbele.
    Unawasamehe kwa kurejesha maisha yako. Kwa sababu kuna mengi zaidi ya mtu mmoja tu ambaye alivunja moyo wako.

    ✍Sifa kwa Mwandishi halali
    👩🏻‍🎨Pinterest
    HIVI NDIVYO UNAVYOMSAMEHE ALIYEKUUGUA MOYO. Unawasamehe kwa kujipa muda wa kupona. Hii haifanyiki mara moja. Hii haifanyiki mara moja. Ni mwendelezo wa polepole. Unapiga hatua mbili mbele na hatua nne nyuma. Wakati mwingine haitakuwa na maana. Lakini unakua na nguvu kidogo, na ustahimilivu zaidi, kila siku. Hata kama hauoni kila wakati. Unawasamehe kwa kuzingatia wewe mwenyewe. Acha kumwaga nishati yako kwenye sumu. Unachomoa. Unaacha kufuata. Fanya mazoezi ya kujitunza. Soma tena vitabu unavyovipenda na utoke pamoja na marafiki zako bora, mkicheka na kukumbuka jinsi mambo yanavyoweza kuwa mazuri wakati unajizunguka kwa chanya. Uambie moyo wako uliovunjika ni sawa kuchukua pumziko ili kukumbuka jinsi ya kutabasamu tena. Unawasamehe kwa kujiondoa kwenye hali hiyo. Kadiri unavyokaa ndani yake, katika maumivu ya moyo, ndivyo inavyozidi. Ni ngumu, lakini lazima uiache peke yako. Heshimu hisia zako. Heshimu hisia zako. Lakini usiendelee kuzunguka nyuma. Usiendelee kuhangaikia kilichotokea. Wazia kama puto. Wacha ielee. Mwambie kwaheri. Haiwezi kukuumiza sasa. Unawasamehe kwa kukubali walichofanya. Hiyo haimaanishi kuwa maumivu yamefutwa. Hiyo haimaanishi kuwa ghafla unafikiri ni sawa au umewaacha waachane na ndoano. Haimaanishi kwamba hawawajibiki kwa matendo yao au kwamba umesahau kilichotokea. Inamaanisha tu kukubali kile kilichofanywa kimefanywa. Inamaanisha kukubali kuwa hakuna kitufe cha kurejesha nyuma. Unaweza tu kusonga mbele. Unawasamehe kwa kurejesha maisha yako. Kwa sababu kuna mengi zaidi ya mtu mmoja tu ambaye alivunja moyo wako. ✍Sifa kwa Mwandishi halali 👩🏻‍🎨Pinterest
    Like
    Love
    2
    · 0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·840 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • MUSSIE MARTINEZ @MUSSIE.MARTINEZ ενημερώθηκε η φωτογραφία προφίλ
    2025-01-05 05:04:55 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·243 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-05 06:43:45 ·
    Hapo ni wakati Joe Biden ambaye ni Rais wa Marekani akimsubiri Lionel Messi ili ampe metali uhuru lakini Mwargentina huyo akifika eneo la tukio wala hakutuma Mtu yeyote kumwakilisha.

    Hapo ni wakati Joe Biden ambaye ni Rais wa Marekani 🇺🇸 akimsubiri Lionel Messi ili ampe metali uhuru lakini Mwargentina huyo akifika eneo la tukio wala hakutuma Mtu yeyote kumwakilisha.
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·467 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-05 06:44:01 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·107 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Papillon Tz @PapillonTz9 πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-05 06:44:13 ·
    0 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·109 Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Paul Swai @paulswai πρόσθεσε μια φωτογραφία
    2025-01-05 06:50:11 ·
    CAF CONFEDERATION CUP

    CS SFAXIEN SIMBA SC
    19:00
    Hammadi Agrebi

    Simba inakutana na Sfaxien, timu ambayo haijashinda mechi yoyote katika kundi hilo baada ya kupoteza michezo mitatu ikishika mkia bila pointi yoyote. Kucheza mechi ya leo bila ya mashabiki inaweza kuwa nafuu kwa Simba katika kuifukuzia rekodi yao ya kucheza robo fainali kwa mara ya sita katika kipindi cha misimu saba kuanzia 2018/19.

    Kila la kheri Wenyenchi @simbasctanzania

    #paulswai
    CAF CONFEDERATION CUP 🇹🇳 CS SFAXIEN 🆚 SIMBA SC 🇹🇿 ⏰ 19:00 🏟️ Hammadi Agrebi Simba inakutana na Sfaxien, timu ambayo haijashinda mechi yoyote katika kundi hilo baada ya kupoteza michezo mitatu ikishika mkia bila pointi yoyote. Kucheza mechi ya leo bila ya mashabiki inaweza kuwa nafuu kwa Simba katika kuifukuzia rekodi yao ya kucheza robo fainali kwa mara ya sita katika kipindi cha misimu saba kuanzia 2018/19. Kila la kheri Wenyenchi @simbasctanzania 🇹🇿🇹🇿 #paulswai
    Like
    4
    · 2 Σχόλια ·0 Μοιράστηκε ·1χλμ. Views
    Παρακαλούμε συνδέσου στην Κοινότητά μας για να δηλώσεις τι σου αρέσει, να σχολιάσεις και να μοιραστείς με τους φίλους σου!
  • Δείχνουμε (20361-20370 από 26491)
  • «
  • Προηγούμενο
  • 2035
  • 2036
  • 2037
  • 2038
  • 2039
  • Επόμενο
  • »
Upgrade to Pro
διάλεξε το πλάνο που σου ταιριάζει
Αναβάθμισε
© 2025 Socialpop
Greek
English Arabic French Spanish Portuguese Deutsch Turkish Dutch Italiano Russian Romaian Portuguese (Brazil) Greek
Σχετικά Όρους Ιδιωτικότητα Επικοινώνησε μαζί μας Κατάλογος Developers