0 Commenti
路0 condivisioni
路3 Views
-
饾悂饾悜饾悇饾悁饾悐饾悎饾悕饾悊: AC Milan iko kwenye majadiliano na Bayer Leverkusen juu ya uwezekano wa kumpata Victor Boniface kwa mkopo na chaguo la kumnunua kabisa.
#SportsElite馃毃馃嚦馃嚞馃挘 饾悂饾悜饾悇饾悁饾悐饾悎饾悕饾悊: AC Milan iko kwenye majadiliano na Bayer Leverkusen juu ya uwezekano wa kumpata Victor Boniface kwa mkopo na chaguo la kumnunua kabisa. #SportsElite0 Commenti 路0 condivisioni 路3 Views -
饾悗饾悈饾悈饾悎饾悅饾悎饾悁饾悑: Douglas Luiz amekamilisha uhamisho kwenda Nottingham Forest kwa ada ya €30m.
#SportsElite馃毃 馃毃 饾悗饾悈饾悈饾悎饾悅饾悎饾悁饾悑: Douglas Luiz amekamilisha uhamisho kwenda Nottingham Forest kwa ada ya €30m. #SportsElite0 Commenti 路0 condivisioni 路3 Views -
饾悂饾悜饾悇饾悁饾悐饾悎饾悕饾悊: FC Barcelona imetupia jicho kwa full beki wa Palmeiras Luis Benedetti, pia Arsenal FC na SSC Napoli zinavutiwa na huduma ya beki huyo kwa ada ya €10M.
#SportsElite馃毃馃挘 饾悂饾悜饾悇饾悁饾悐饾悎饾悕饾悊: FC Barcelona imetupia jicho kwa full beki wa Palmeiras Luis Benedetti, pia Arsenal FC na SSC Napoli zinavutiwa na huduma ya beki huyo kwa ada ya €10M. #SportsElite0 Commenti 路0 condivisioni 路4 Views -
饾悗饾悈饾悈饾悎饾悅饾悎饾悁饾悑: AS Roma imekamilisha uhamisho wa Leon Bailey (28) kutoka Aston Villa. Kwa mkopo wa €2m na chaguo la kuununua mkataba wa kiasi cha €22m
#SportsElite馃毃馃嚡馃嚥 饾悗饾悈饾悈饾悎饾悅饾悎饾悁饾悑: AS Roma imekamilisha uhamisho wa Leon Bailey (28) kutoka Aston Villa. Kwa mkopo wa €2m na chaguo la kuununua mkataba wa kiasi cha €22m 馃敶馃煛 #SportsElite0 Commenti 路0 condivisioni 路5 Views -
kutokana na vyanzo mbalimbali vya Kuaminika ni kwamba Man United imeongeza jina la kiungo wa Real Madrid Edward Camavinga baada ya kumkosa Kiungo wa Brighton Baleba mwnye thamani ya €140m
#SportsElite馃ゴ馃毃 kutokana na vyanzo mbalimbali vya Kuaminika ni kwamba Man United imeongeza jina la kiungo wa Real Madrid Edward Camavinga baada ya kumkosa Kiungo wa Brighton Baleba mwnye thamani ya €140m #SportsElite0 Commenti 路0 condivisioni 路4 Views -
饾悂饾悜饾悇饾悁饾悐饾悎饾悕饾悊: Rico Lewis bado ataendelea kusalia Manchester City, pamoja kuwa Nottingham Forest ilionesha nia ya kumuhitaji lakini
inaelezwa kuwa huwenda kaongeza kandarasi hadi 2030.
#SportsElite馃毃馃挘 饾悂饾悜饾悇饾悁饾悐饾悎饾悕饾悊: Rico Lewis bado ataendelea kusalia Manchester City, pamoja kuwa Nottingham Forest ilionesha nia ya kumuhitaji lakini inaelezwa kuwa huwenda kaongeza kandarasi hadi 2030. #SportsElite0 Commenti 路0 condivisioni 路3 Views -
饾悂饾悜饾悇饾悁饾悐饾悎饾悕饾悊: Roma bado iko kwenye majadiliano na Manchester United ili kukamilisha dili la Jadon Sancho.
#SportsElite馃毃馃挘 饾悂饾悜饾悇饾悁饾悐饾悎饾悕饾悊: Roma bado iko kwenye majadiliano na Manchester United ili kukamilisha dili la Jadon Sancho. #SportsElite0 Commenti 路0 condivisioni 路3 Views -
0 Commenti 路0 condivisioni 路4 Views
-