0 Comentários
·0 Compartilhamentos
·2 Visualizações
-
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: AC Milan iko kwenye majadiliano na Bayer Leverkusen juu ya uwezekano wa kumpata Victor Boniface kwa mkopo na chaguo la kumnunua kabisa.
#SportsElite🚨🇳🇬💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: AC Milan iko kwenye majadiliano na Bayer Leverkusen juu ya uwezekano wa kumpata Victor Boniface kwa mkopo na chaguo la kumnunua kabisa. #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·2 Visualizações -
🚨 🚨 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: Douglas Luiz amekamilisha uhamisho kwenda Nottingham Forest kwa ada ya €30m. #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·3 Visualizações
-
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: FC Barcelona imetupia jicho kwa full beki wa Palmeiras Luis Benedetti, pia Arsenal FC na SSC Napoli zinavutiwa na huduma ya beki huyo kwa ada ya €10M.
#SportsElite🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: FC Barcelona imetupia jicho kwa full beki wa Palmeiras Luis Benedetti, pia Arsenal FC na SSC Napoli zinavutiwa na huduma ya beki huyo kwa ada ya €10M. #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·4 Visualizações -
𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: AS Roma imekamilisha uhamisho wa Leon Bailey (28) kutoka Aston Villa. Kwa mkopo wa €2m na chaguo la kuununua mkataba wa kiasi cha €22m
#SportsElite🚨🇯🇲 𝐎𝐅𝐅𝐈𝐂𝐈𝐀𝐋: AS Roma imekamilisha uhamisho wa Leon Bailey (28) kutoka Aston Villa. Kwa mkopo wa €2m na chaguo la kuununua mkataba wa kiasi cha €22m 🔴🟡 #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·5 Visualizações -
kutokana na vyanzo mbalimbali vya Kuaminika ni kwamba Man United imeongeza jina la kiungo wa Real Madrid Edward Camavinga baada ya kumkosa Kiungo wa Brighton Baleba mwnye thamani ya €140m
#SportsElite🥴🚨 kutokana na vyanzo mbalimbali vya Kuaminika ni kwamba Man United imeongeza jina la kiungo wa Real Madrid Edward Camavinga baada ya kumkosa Kiungo wa Brighton Baleba mwnye thamani ya €140m #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·4 Visualizações -
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Rico Lewis bado ataendelea kusalia Manchester City, pamoja kuwa Nottingham Forest ilionesha nia ya kumuhitaji lakini
inaelezwa kuwa huwenda kaongeza kandarasi hadi 2030.
#SportsElite🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Rico Lewis bado ataendelea kusalia Manchester City, pamoja kuwa Nottingham Forest ilionesha nia ya kumuhitaji lakini inaelezwa kuwa huwenda kaongeza kandarasi hadi 2030. #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·3 Visualizações -
𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Roma bado iko kwenye majadiliano na Manchester United ili kukamilisha dili la Jadon Sancho.
#SportsElite🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Roma bado iko kwenye majadiliano na Manchester United ili kukamilisha dili la Jadon Sancho. #SportsElite0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·3 Visualizações -
0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·4 Visualizações
-