• Hello socialpop
    Goodnight.
    #jaiva
    Hello socialpop Goodnight. 👋❤️ #jaiva
    Like
    Love
    Angry
    6
    0 Комментарии 0 Поделились 1Кб Просмотры
  • Right now, I will deactivate my account on the Social Pop platform directly. Not Secure
    Right now, I will deactivate my account on the Social Pop platform directly. 🤖 Not Secure
    Like
    Love
    Haha
    13
    4 Комментарии 0 Поделились 1Кб Просмотры
  • Hello Ooh munguu nyieee

    Tumebakisha siku 7 tuu kwenda kula na yatima daaah tumepata MBUZI TU
    MUNGU WEWEEE

    Ndugu zangu anauhitaj wa mchele kg 30
    Mafuta lt 5

    Naomba ndugu zangu tuchangie mchele

    0655987549
    TIGOPESA
    MOZA MOHAMED

    Jamani jamani naomba mtushike mkono hii IDD na hawa watoto wetu waifurahieee
    Hello Ooh munguu 😰😰 nyieee Tumebakisha siku 7 tuu kwenda kula na yatima🤔 daaah tumepata MBUZI TU MUNGU WEWEEE 😢😢 Ndugu zangu anauhitaj wa mchele kg 30 Mafuta lt 5 Naomba ndugu zangu tuchangie mchele 0655987549 TIGOPESA MOZA MOHAMED Jamani jamani naomba mtushike mkono hii IDD na hawa watoto wetu waifurahieee
    Like
    Love
    3
    0 Комментарии 0 Поделились 627 Просмотры
  • Nashkur kumekucha, nami pia nmeamka
    Socialpop narejea, ndugu kuwasalimia
    Sijui salamu inafaa, kwenu nyikuwapatia
    Nihao ikiwa hii itafaa, basi ndio nitatumia
    Hello socialpop asubuhinjema nawatakia

    #jaiva
    Nashkur kumekucha, nami pia nmeamka Socialpop narejea, ndugu kuwasalimia Sijui salamu inafaa, kwenu nyikuwapatia Nihao ikiwa hii itafaa, basi ndio nitatumia Hello socialpop asubuhinjema nawatakia #jaiva
    Like
    3
    6 Комментарии 0 Поделились 1Кб Просмотры
  • Kocha wa magolikipa Simba Daniel Cadena anasema Kwa sasa Simba Kwa upande wake anaona wanapaswa kuondosha watu wote ndani ya klabu na kuanza upya
    .
    Kocha huyo anasema kuwa Simba Kwa sasa inahitaji "PROFESSIONAL PEOPLE" watu wenye Ueledi , wasipewe nafasi sababu wanajuana na watu au Sababu wanaijua Sana Simba bali wanahitaji watu wenye Ueledi na taaluma
    .
    Daniel Cadena ambaye alikuwa kocha wa magolikipa Simba ameamua kuondoka Simba baada ya mkataba wake kuisha mwishoni mwa Msimu huu
    Kocha wa magolikipa Simba Daniel Cadena anasema Kwa sasa Simba Kwa upande wake anaona wanapaswa kuondosha watu wote ndani ya klabu na kuanza upya . Kocha huyo anasema kuwa Simba Kwa sasa inahitaji "PROFESSIONAL PEOPLE" watu wenye Ueledi , wasipewe nafasi sababu wanajuana na watu au Sababu wanaijua Sana Simba bali wanahitaji watu wenye Ueledi na taaluma . Daniel Cadena ambaye alikuwa kocha wa magolikipa Simba ameamua kuondoka Simba baada ya mkataba wake kuisha mwishoni mwa Msimu huu
    Like
    Love
    2
    1 Комментарии 1 Поделились 382 Просмотры 25
  • Aliyekuwa kocha wa Magolikipa Simba Daniel Cadena ambaye amemaliza mkataba wake Simba mwishoni mwa Msimu huu na kuamua kuondoka Simba, amefunguka kuwa aliwahi kugombana hadi kukunjana na Mchambuzi wa Video wa Simba kwani alikuwa hampi ushirikiano
    .
    Cadena amesema hata kwenye mchezo wa FA dhidi ya Mashujaa Mchezo ambao Simba alitolewa kwa mikwaju ya penati baada ya dakika tisini kuisha Kwa Sare alimfuata Mwalimu mkuu Benchikha na kumwambia kuwa Mwalimu siwezi kukupa taarifa yeyote kuhusu mchezo huu sababu Mchambuzi wa Video hajanitumia taarifa yoyote
    Aliyekuwa kocha wa Magolikipa Simba Daniel Cadena ambaye amemaliza mkataba wake Simba mwishoni mwa Msimu huu na kuamua kuondoka Simba, amefunguka kuwa aliwahi kugombana hadi kukunjana na Mchambuzi wa Video wa Simba kwani alikuwa hampi ushirikiano . Cadena amesema hata kwenye mchezo wa FA dhidi ya Mashujaa Mchezo ambao Simba alitolewa kwa mikwaju ya penati baada ya dakika tisini kuisha Kwa Sare alimfuata Mwalimu mkuu Benchikha na kumwambia kuwa Mwalimu siwezi kukupa taarifa yeyote kuhusu mchezo huu sababu Mchambuzi wa Video hajanitumia taarifa yoyote
    Like
    Love
    2
    1 Комментарии 0 Поделились 362 Просмотры
  • Kuhusu kile kichapo cha 5-1 kutoka kwa Yanga Kocha wa Magolikipa Daniel Cadena anasema kuwa alikataa Manula asidake lakini ilitolewa amri kuwa kwenye mchezo ule lazima manula adake na akaambiwa kuwa Manula yupo tayari Kwa mchezo ule , lakini yeye kama kocha akamfata Manula faragha na kumuambia asidake lakini manula akadaka kilichotokea wakapoteza 5-1
    Kuhusu kile kichapo cha 5-1 kutoka kwa Yanga Kocha wa Magolikipa Daniel Cadena anasema kuwa alikataa Manula asidake lakini ilitolewa amri kuwa kwenye mchezo ule lazima manula adake na akaambiwa kuwa Manula yupo tayari Kwa mchezo ule , lakini yeye kama kocha akamfata Manula faragha na kumuambia asidake lakini manula akadaka kilichotokea wakapoteza 5-1
    Like
    Love
    2
    1 Комментарии 0 Поделились 633 Просмотры
  • Usipo sikia ya wazazi wako, Mungu anakuletea msichana mweupe akufundishe Nini maana ya Dunia.
    Usipo sikia ya wazazi wako, Mungu anakuletea msichana mweupe akufundishe Nini maana ya Dunia.
    Like
    Love
    5
    2 Комментарии 0 Поделились 176 Просмотры
  • Mlango wa Matumaini ni Imani."
    Mlango wa Matumaini ni Imani."
    Like
    Love
    6
    2 Комментарии 0 Поделились 106 Просмотры
  • Hii nchi ukimkopesha mtu hela, Siku ya kwenda kumdai ni lazima utafute sababu na matumizi na maelezo sahihi ya kwanini unaitaka pesa yako.
    Hii nchi ukimkopesha mtu hela, Siku ya kwenda kumdai ni lazima utafute sababu na matumizi na maelezo sahihi ya kwanini unaitaka pesa yako.
    Like
    Love
    Haha
    8
    5 Комментарии 0 Поделились 124 Просмотры