• Moja ya mafundi wa Kibrazil Walioyeyuka Ghafla

    Philippe Coutinho na Thiago Alcântara walitazamwa kama almasi za kisasa kwenye soka wenye vipaji vya kipekee, akili ya uwanjani na mguso wa hatari. Waliwahi kung'aa Ulaya kwa kiwango kikubwa, lakini ghafla moto wao ukapoa.

    Coutinho alizimika Barcelona, Thiago akaelemewa na majeraha Liverpool. Sasa, wanabaki kuwa kumbukumbu tamu za vipaji vilivyo kadiliwa makubwa lakini vikatoweka kabla ya wakati.

    Nadhani Coutinho mnalijua kosa lake

    #SportsElite
    🚨🚨Moja ya mafundi wa Kibrazil Walioyeyuka Ghafla ✊🇧🇷 🌀Philippe Coutinho na Thiago Alcântara walitazamwa kama almasi za kisasa kwenye soka wenye vipaji vya kipekee, akili ya uwanjani na mguso wa hatari. Waliwahi kung'aa Ulaya kwa kiwango kikubwa, lakini ghafla moto wao ukapoa. Coutinho alizimika Barcelona, Thiago akaelemewa na majeraha Liverpool. Sasa, wanabaki kuwa kumbukumbu tamu za vipaji vilivyo kadiliwa makubwa lakini vikatoweka kabla ya wakati. 💔✨ Nadhani Coutinho mnalijua kosa lake 😀 #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·245 Views
  • Mikel Arteta Avutiwa na Kipaji cha Ajabu cha Kinda wa Miaka 15!

    Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta, amezungumza kwa hisia kuhusu kinda wa timu yao ya vijana, Max Dowman.

    "Kuna mtoto hapa hana woga kabisa na ana uhakika mkubwa kwamba akiwa na miaka 15 anaweza kufanya mambo makubwa," Arteta aliiambia BBC Sport.

    "Sijawahi kushuhudia kitu kama hicho maishani mwangu. Kwetu, analeta furaha, hisia, na kitu cha ziada kinachofanya kazi zetu kuwa nzuri zaidi."

    Dowman, mwenye miaka 15, ameanza kuvutia macho ya wengi na maneno ya Arteta yanaonyesha jinsi klabu inavyomthamini.

    #MaxDowman #Arsenal #MikelArteta #KipajiKipya #Gunners #Football #BBCSport #VijanaWaArsenal

    #SportsElite
    Mikel Arteta Avutiwa na Kipaji cha Ajabu cha Kinda wa Miaka 15! ✨ Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta, amezungumza kwa hisia kuhusu kinda wa timu yao ya vijana, Max Dowman. 🗣️ "Kuna mtoto hapa hana woga kabisa na ana uhakika mkubwa kwamba akiwa na miaka 15 anaweza kufanya mambo makubwa," Arteta aliiambia BBC Sport. 🗣️ "Sijawahi kushuhudia kitu kama hicho maishani mwangu. Kwetu, analeta furaha, hisia, na kitu cha ziada kinachofanya kazi zetu kuwa nzuri zaidi." Dowman, mwenye miaka 15, ameanza kuvutia macho ya wengi na maneno ya Arteta yanaonyesha jinsi klabu inavyomthamini. #MaxDowman #Arsenal #MikelArteta #KipajiKipya #Gunners #Football #BBCSport #VijanaWaArsenal #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·536 Views
  • BREAKING: Mmiliki wa West Ham David Sullivan atampa Graham Potter michezo mingine miwili ya kutetea kibarua chake kwenye kilabu.

    🏟 Michezo hiyo miwili ni dhid ya Wolves (away)
    🏟 Na dhid ya Nottm Forest (away)

    (Source : Graeme Bailey)

    #SportsElite
    🚨 BREAKING: Mmiliki wa West Ham David Sullivan atampa Graham Potter michezo mingine miwili ya kutetea kibarua chake kwenye kilabu. 🏟 Michezo hiyo miwili ni dhid ya Wolves (away) 🏟 Na dhid ya Nottm Forest (away) (Source : Graeme Bailey) #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·191 Views
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Arsenal imeanza mazungumzo na kambi ya Eberechi Eze.

    Baada ya Havertz kupata majeraha ambayo yatamuweka nje ya uwanja kwa muda

    Arsenal tayari imekwisha ongea na Eze na amekubali kujiunga na Gunners.

    (Source: David Ornstein)

    #SportsElite
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Arsenal imeanza mazungumzo na kambi ya Eberechi Eze. Baada ya Havertz kupata majeraha ambayo yatamuweka nje ya uwanja kwa muda Arsenal tayari imekwisha ongea na Eze na amekubali kujiunga na Gunners. (Source: David Ornstein) #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·249 Views
  • "tunayo furaha na kuwa habarisha kuwa Cristian Romero ameongeza mkataba mpya kusalia White Heart"
    "tunayo furaha na kuwa habarisha kuwa Cristian Romero ameongeza mkataba mpya kusalia White Heart" ✍️
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·213 Views
  • Napoli wanasajili kwa akili kubwa sana...

    Baada ya taarifa za kitabibu kuthibitisha kwamba Lukaku hatokuwa sehemu ya kikosi hadi mwezi November kwa sababu ya majeraha, Napoli wamemuibukia Jamie Vardy ambaye ni mchezaji huru kwa sasa.

    Kama dili litakamilika naona hapa Napoli watakuwa wamepata mbadala sahihi kwa kipindi hiki cha mpito ukizingatia hata Vardy ana ufanisi mkubwa sana kwenye umaliziaji.

    Sasa upande KDB af McTomminay na Zambo Anguissa hapo basi akiongezeka Vardy wanaweza kuwa na timu imara ya kupambana kuwania taji la Scudetto tena msimu ujao

    #SportsElite
    🚨🚨Napoli wanasajili kwa akili kubwa sana... Baada ya taarifa za kitabibu kuthibitisha kwamba Lukaku hatokuwa sehemu ya kikosi hadi mwezi November kwa sababu ya majeraha, Napoli wamemuibukia Jamie Vardy ambaye ni mchezaji huru kwa sasa. Kama dili litakamilika naona hapa Napoli watakuwa wamepata mbadala sahihi kwa kipindi hiki cha mpito ukizingatia hata Vardy ana ufanisi mkubwa sana kwenye umaliziaji. Sasa upande KDB af McTomminay na Zambo Anguissa hapo basi akiongezeka Vardy wanaweza kuwa na timu imara ya kupambana kuwania taji la Scudetto tena msimu ujao 📌 #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·131 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆 Mshambuliaji wa Arsenal Kai Havertz
    Atakuwa njee kwa muda usiojulikana kwa jeraha la Goti. Arsenal inaingia sokoni kutafuta mbadala wake

    #SportsElite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆 Mshambuliaji wa Arsenal Kai Havertz Atakuwa njee kwa muda usiojulikana kwa jeraha la Goti. Arsenal inaingia sokoni kutafuta mbadala wake #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·218 Views
  • Kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 3, Neymar ameweza kucheza mechi 6 mfululizo.

    Mshambuliaji huyo wa klabu ya Santos ameweza kucheza mechi 6 mfululizo kwani alikuwa akisumbuliwa majeraha ya mara kwa mara na kumfanya ashindwe kucheza mfululizo.

    Katika klabu hiyo amecheza mechi dhidi ya Cruzeiro, Juventude, Sport Recife, Intanacional, Mirassol na Flamengo.


    #SportsElite
    🚨⚪⚫Kwa mara ya kwanza ndani ya miaka 3, Neymar ameweza kucheza mechi 6 mfululizo. Mshambuliaji huyo wa klabu ya Santos ameweza kucheza mechi 6 mfululizo kwani alikuwa akisumbuliwa majeraha ya mara kwa mara na kumfanya ashindwe kucheza mfululizo. Katika klabu hiyo amecheza mechi dhidi ya Cruzeiro, Juventude, Sport Recife, Intanacional, Mirassol na Flamengo. #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·350 Views
  • MORICE ABRAHAM NI MNYAMA KWENYE MBUGA YA BUNJU

    Ni yule Kiungo mdambwi dambwi mBongo aliyekuwa nje huko

    Alianza mazoezi na Simba kabla ligi haijaisha…!

    Anajua boli

    #SportsElite
    🚨MORICE ABRAHAM NI MNYAMA KWENYE MBUGA YA BUNJU Ni yule Kiungo mdambwi dambwi mBongo aliyekuwa nje huko✅ Alianza mazoezi na Simba kabla ligi haijaisha…! Anajua boli ✅ #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·305 Views
  • Nyota wa Newcastle united Alexander Isak anafanya mazoezi katika vituo vya klabu yake ya zamani ya Real Sociedad huku akiuguza jeraha dogo la paja.

    Hadi kufikia sasa mustakabali wake na Newcastle bado haujulikani baada ya Isak kuweka wazi kuwa anataka kuondoka klabuni hapo.

    (Chanzo: Daily Mail Sport)

    #SportsElite
    🚨🚨Nyota wa Newcastle united Alexander Isak anafanya mazoezi katika vituo vya klabu yake ya zamani ya Real Sociedad huku akiuguza jeraha dogo la paja. Hadi kufikia sasa mustakabali wake na Newcastle bado haujulikani baada ya Isak kuweka wazi kuwa anataka kuondoka klabuni hapo. (Chanzo: Daily Mail Sport) #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·252 Views
  • Barcelona kunufaika kwa €2 milioni kutokana na jeraha la Ter Stegen

    Ripoti ya habari imeeleza uwezekano wa klabu ya FC Barcelona kupokea kiasi cha €2 milioni kufuatia jeraha la mlinda mlango wao wa Kijerumani, Marc-André ter Stegen .

    Kwa mujibu wa Mundo Deportivo, Barcelona waligundua kwanza jeraha la Ter Stegen baada ya mechi za UEFA Nations League dhidi ya Ureno na Ufaransa zilizochezwa Juni 4 na 8.

    Ripoti hiyo imeongeza:

    > "Barcelona waliiarifu FIFA mapema kuhusu matatizo ya mgongo aliyopata Ter Stegen, ambayo yalitokana na mechi zake za hivi karibuni na timu ya taifa ya Ujerumani ."

    Kwa hivyo, FIFA huenda ikalazimika kulipa fidia kifedha kwa Barcelona ikiwa Ter Stegen atakuwa nje ya uwanja kwa zaidi ya siku 28 mfululizo kutokana na jeraha alilopata akiwa kwenye majukumu ya kimataifa .

    Ripoti hiyo imeeleza kuwa klabu ya Catalonia inaweza kupata zaidi ya €2 milioni kutokana na hali hiyo.

    Barcelona tayari waliwahi kunufaika na mpango wa fidia wa FIFA ujulikanao kama Club Protection Program wakati Gavi alipoumia vibaya akiwa na timu ya taifa ya Hispania mwaka 2023, na pia walipopata fidia baada ya Ronald Araújo kuumia akiwa na Uruguay wakati wa Copa América 2024.

    Kwa upande wa Ter Stegen, ikiwa atakosa mashindano kwa miezi 4, Barcelona wangeweza kupokea hadi €2.46 milioni.

    #SportsElite
    🚨 Barcelona kunufaika kwa €2 milioni kutokana na jeraha la Ter Stegen 💰 Ripoti ya habari imeeleza uwezekano wa klabu ya FC Barcelona kupokea kiasi cha €2 milioni kufuatia jeraha la mlinda mlango wao wa Kijerumani, Marc-André ter Stegen 🤕. Kwa mujibu wa Mundo Deportivo, Barcelona waligundua kwanza jeraha la Ter Stegen baada ya mechi za UEFA Nations League dhidi ya Ureno 🇵🇹 na Ufaransa 🇫🇷 zilizochezwa Juni 4 na 8. Ripoti hiyo imeongeza: > "Barcelona waliiarifu FIFA mapema kuhusu matatizo ya mgongo aliyopata Ter Stegen, ambayo yalitokana na mechi zake za hivi karibuni na timu ya taifa ya Ujerumani 🇩🇪." Kwa hivyo, FIFA huenda ikalazimika kulipa fidia kifedha kwa Barcelona ikiwa Ter Stegen atakuwa nje ya uwanja kwa zaidi ya siku 28 mfululizo kutokana na jeraha alilopata akiwa kwenye majukumu ya kimataifa 🏥. Ripoti hiyo imeeleza kuwa klabu ya Catalonia inaweza kupata zaidi ya €2 milioni kutokana na hali hiyo. Barcelona tayari waliwahi kunufaika na mpango wa fidia wa FIFA ujulikanao kama Club Protection Program wakati Gavi alipoumia vibaya akiwa na timu ya taifa ya Hispania 🇪🇸 mwaka 2023, na pia walipopata fidia baada ya Ronald Araújo kuumia akiwa na Uruguay 🇺🇾 wakati wa Copa América 2024. Kwa upande wa Ter Stegen, ikiwa atakosa mashindano kwa miezi 4, Barcelona wangeweza kupokea hadi €2.46 milioni. #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·690 Views
  • Best PHP Editors: Top Picks for Developers

    “Give me six hours to chop down a tree, and I will spend the first four sharpening the axe.” — Abraham Lincoln.

    It’s not a motivational quote, but a reality. The coding industry is booming, growing at a CAGR of 7.87%. But only for prep geeks decode the success in this competitive sector. They have the correct set of tools and resources to implement logical ideas. PHP, along with reliable PHP hosting, is one of the most prominent server-side programming languages for developing types of web applications.

    Using the best PHP frameworks is one part of the story. However, to test, debug, or write code, developers need the best PHP editors that help them sharpen their tools before tackling the tasks that truly define their project.

    What is PHP Editor?
    A PHP editor is a specialized tool designed for writing, editing, and managing PHP code with ease. Remember, PHP is a programming language that enables the creation of dynamic websites and web applications. PHP editors offer a user-friendly interface that enables developers to write code, along with valuable features such as syntax highlighting, code suggestions, and error checking. These tools enable faster coding, reduce errors, and assist both beginners and experts in writing more effective code.

    Most PHP editors are user-friendly and efficient, offering support for multiple programming languages in addition to PHP. Features such as auto-complete, bracket matching, and debugging tools help identify issues in the code quickly. Several editors support version control systems, such as Git. It makes it easier for developers to manage and collaborate with other community developers. Some popular PHP editors include Visual Studio Code, Sublime Text, PHPStorm, and Notepad++.

    Choosing the right PHP editor depends on the requirements. If you are just beginning, lightweight editor tools like Notepad++ or Visual Studio Code are ideal options because they are easy to use and available at no cost. Whereas PHPStorm is helpful for advanced users who seek features such as smart code analysis, integrated testing tools, and advanced debugging capabilities.

    Top PHP Editors for Developers
    Let’s begin with the best PHP editor software tools that give a paradigm shift in the web development industry.

    Top PHP Editors for Developers
    1. Visual Studio Code
    Supported operating systems: Windows, Linux, macOS

    License: MIT License
    Source code
    Supported languages: PHP, HTML, CSS, SCSS, Less, JavaScript, JSON, TypeScript, Markdown, PowerShell, C++, Java, Python, Go, T-SQL, C#, .NET Core, and more.
    VS Code or Visual Studio Code is an open-source code editor by Microsoft. It gained massive popularity in recent years. By default, it supports the PHP syntax, and you can download further PHP extensions from the VS Code Marketplace, making it an advanced PHP editor suited to the specific coding requirements. You can customize every aspect of VS Code, from themes to key bindings to integrations and functionality.

    Best Features:

    Code navigation and syntax highlighting.
    IntelliSense feature for smart code completion.
    Color theme picker.
    Built-in Git and GitHub integration.
    Built-in Emmet support.
    2. Brackets
    Supported operating systems: Windows, Linux, macOS
    License: MIT License
    Source code
    Supported languages: HTML, CSS, LESS, SCSS, Sass, JavaScript, PHP, Java, Python, Perl, Ruby, C, C++, VBScript, and more
    Adobe’s free and open-source PHP editor focuses on frontend development. However, it also supports several backend languages, including PHP. Its popularity increases due to its inline editing feature for CSS, which allows you to see all selectors belonging to a specific CSS rule.

    Brackets is an ideal PHP editor for frontend and backend development users. It also works with CSS processors like Sass and LESS.

    Glossary:

    Sass: Syntactically Awesome Stylesheet
    LESS: Leaner Style Sheet
    However, it is not an advanced PHP editor on our list. It is an in-built extension registry, but with a restricted number.

    Best Features:

    Vertical and horizontal split view.
    Live preview using a real-time connection with your web browser.
    Lightweight (written in JavaScript).
    Inline editing (for CSS).
    Custom themes are available via the Brackets Extension Registry.
    Support for CSS preprocessors, including quick edit and live highlight functionalities.
    3. Bluefish
    Supported operating systems: Linux, Windows, macOS, FreeBSD, OpenBSD, Solaris
    License: GNU GPL vs 3
    Source code
    Supported languages: HTML, CSS, XML, JavaScript, PHP, SQL, Perl, Python, Ruby, Java, C, C++, and more
    Bluefish is an advanced source code editor supporting several programming languages. It comes with a Gnome integration. It becomes a great option if you’re looking for the best free PHP editor for your Linux distribution. Its GUI is consistent with the Gnome Human Interface Guidelines.

    In addition to Emmet (formerly Zen Coding) support, Bluefish features dialogs and wizards for HTML tags, a Unicode character browser, and more, all designed with web developers in mind. Additionally, it features an intuitive user interface and is easy to use, making it a good choice for beginners or those who prefer not to spend a lot of time learning how to use a PHP editor.

    Best Features:

    Fast loading due to its lightweight.
    Multiple document interface.
    Full-screen editing and split view.
    Editing functionality, such as auto-completion.
    Remote file access via FTP, SFTP, HTTP, HTTPS, and other protocols.
    Supports multiple encodings (default is UTF8).
    4. Notepad++
    Supported operating systems: Windows
    License: GNU GPL vs 2
    Source code
    Supported languages: HTML, CSS, XML, YAML, JavaScript, CoffeeScript, PHP, SQL, Perl, Python, C, C++, and more.
    Windows operating system leverages Notepad++ as a default text editor. It comes pre-installed with the operating system. Notepad++ has multiple advanced features in comparison to Notepad editor. Thus, it easily became popular among developers working on Windows machines.

    Nearly 80 programming languages are supported by syntax highlighting. Installs quickly, works out of the box, and provides important editing features like split view, multi-document interface, undo/redo functionality, etc.So if you need a free PHP editor for Windows that’s easy to use and loads fast, Notepad++ is worth a look.

    Best Features:

    Pre-designed themes.
    Multiple editing features like autocompletion.
    Supports different character sets.
    Extensible through plugins.
    Open source plugins are available for both 32-bit and 64-bit systems.
    5. TextMate
    Supported operating systems: macOS
    License: GNU GPL vs 3
    Source code
    Supported languages: HTML, Markdown, CSS, XML, JavaScript, PHP, SQL, Perl, Python, Java, and more
    TextMate is an advanced source code editor for the macOS operating system. As it has been designed specifically for Mac, it integrates with the underlying Unix shell. Therefore, you can code custom actions in any programming language compatible with the Unix Standard Streams (stdin and stdout).

    The original version of TextMate was a licensed software. However, the latest release, TextMate 2.0, has been open-sourced under the GPLv3+ license, making it free to download and use. It’s worth noting that the TextMate license policy indicates they may charge for updates beyond version 2.0 in the future.

    Best Features:

    Custom themes.
    Live HTML/Markdown preview.
    Powerful search tool.
    Clipboard history.
    Easy-to-manage code snippets.
    Foldable code blocks, indented soft wrap, and more.
    Premium PHP Editors
    Premium PHP Editors
    1. PhpStorm
    Supported operating systems: Windows, macOS, Linux.
    License: Proprietary (commercial software with a trial period).
    Source code: Closed source.
    Pricing: $249/ year
    Supported languages: PHP (versions 5.3 through 8.4+), HTML5, CSS, JavaScript, XML, SQL, and databases. Additional language support can be added via plugins.

    PhpStorm is a premium and popular PHP platform to work with WordPress, Drupal, Laravel, Magento, and other frameworks. Thousands of users deploy PhpStorm to develop their websites. It is designed to enhance productivity by providing tools for writing, editing, analyzing, refactoring, testing, and debugging PHP code. It seamlessly integrates with web technologies and offers smart coding assistance.

    Best Features:

    PHP, JavaScript, HTML, CSS, and etc languages are supported.
    Smart PHP code editor.
    Auto-completion of code.
    Code quality analysis.
    Efficient code navigation and searching feature.
    2. UltraEdit
    Supported operating systems: Windows, Linux, macOS
    Price: $99.95/year
    License: Subscription and perpetual
    Supported languages: HTML, CSS, Markdown, XML, JavaScript, JSON, PHP, MySQL, Python, Perl, Ruby, C, C++, and more
    UltraEdit is a premium PHP editor that has been in the market since 1994. It is a stable and well-tested application for the 4 million customers. It offers a user-friendly onboarding experience. Additionally, it has robust development features enabling developers to work on remote servers. Also, managing projects, encrypting/decrypting files, and others are easier in this tool.

    Working on larger files is easier with UltraEdit. The tool handles large files effectively. Hence, programmers prefer this PHP editor. It includes two versions, one is basic UltraEdit and the other ones is UltraCompare Pro.

    Best Features:

    Custom themes and layouts.
    Powerful search functionality (in and across files).
    Live preview for HTML and Markdown.
    Powerful command palette.
    3. Rapid PHP Editor
    Supported operating systems: Windows
    Price: $59.95 one-time fee
    License: Check its official website
    Supported languages: HTML, CSS, LESS, Sass, JavaScript, PHP, SQL, XML, Smarty, .htaccess.
    Rapid PHP Editor is a premium PHP editor for Windows operating systems. It can be quickly setup as it is a lightweight editor. The Rapid PHP Editor is part of a modular product line designed to remain lightweight and efficient. Each version builds upon the same core editor, offering additional features based on your specific needs.

    For example, if you’re working only with HTML and CSS, the Rapid CSS Editor will suffice. However, if your workflow also involves PHP, you can opt for the Rapid PHP Editor — the same intuitive interface, enhanced with PHP support and related tools. This approach ensures you get exactly what you need without unnecessary bloat.
    Best PHP Editors: Top Picks for Developers “Give me six hours to chop down a tree, and I will spend the first four sharpening the axe.” — Abraham Lincoln. It’s not a motivational quote, but a reality. The coding industry is booming, growing at a CAGR of 7.87%. But only for prep geeks decode the success in this competitive sector. They have the correct set of tools and resources to implement logical ideas. PHP, along with reliable PHP hosting, is one of the most prominent server-side programming languages for developing types of web applications. Using the best PHP frameworks is one part of the story. However, to test, debug, or write code, developers need the best PHP editors that help them sharpen their tools before tackling the tasks that truly define their project. What is PHP Editor? A PHP editor is a specialized tool designed for writing, editing, and managing PHP code with ease. Remember, PHP is a programming language that enables the creation of dynamic websites and web applications. PHP editors offer a user-friendly interface that enables developers to write code, along with valuable features such as syntax highlighting, code suggestions, and error checking. These tools enable faster coding, reduce errors, and assist both beginners and experts in writing more effective code. Most PHP editors are user-friendly and efficient, offering support for multiple programming languages in addition to PHP. Features such as auto-complete, bracket matching, and debugging tools help identify issues in the code quickly. Several editors support version control systems, such as Git. It makes it easier for developers to manage and collaborate with other community developers. Some popular PHP editors include Visual Studio Code, Sublime Text, PHPStorm, and Notepad++. Choosing the right PHP editor depends on the requirements. If you are just beginning, lightweight editor tools like Notepad++ or Visual Studio Code are ideal options because they are easy to use and available at no cost. Whereas PHPStorm is helpful for advanced users who seek features such as smart code analysis, integrated testing tools, and advanced debugging capabilities. Top PHP Editors for Developers Let’s begin with the best PHP editor software tools that give a paradigm shift in the web development industry. Top PHP Editors for Developers 1. Visual Studio Code Supported operating systems: Windows, Linux, macOS License: MIT License Source code Supported languages: PHP, HTML, CSS, SCSS, Less, JavaScript, JSON, TypeScript, Markdown, PowerShell, C++, Java, Python, Go, T-SQL, C#, .NET Core, and more. VS Code or Visual Studio Code is an open-source code editor by Microsoft. It gained massive popularity in recent years. By default, it supports the PHP syntax, and you can download further PHP extensions from the VS Code Marketplace, making it an advanced PHP editor suited to the specific coding requirements. You can customize every aspect of VS Code, from themes to key bindings to integrations and functionality. Best Features: Code navigation and syntax highlighting. IntelliSense feature for smart code completion. Color theme picker. Built-in Git and GitHub integration. Built-in Emmet support. 2. Brackets Supported operating systems: Windows, Linux, macOS License: MIT License Source code Supported languages: HTML, CSS, LESS, SCSS, Sass, JavaScript, PHP, Java, Python, Perl, Ruby, C, C++, VBScript, and more Adobe’s free and open-source PHP editor focuses on frontend development. However, it also supports several backend languages, including PHP. Its popularity increases due to its inline editing feature for CSS, which allows you to see all selectors belonging to a specific CSS rule. Brackets is an ideal PHP editor for frontend and backend development users. It also works with CSS processors like Sass and LESS. Glossary: Sass: Syntactically Awesome Stylesheet LESS: Leaner Style Sheet However, it is not an advanced PHP editor on our list. It is an in-built extension registry, but with a restricted number. Best Features: Vertical and horizontal split view. Live preview using a real-time connection with your web browser. Lightweight (written in JavaScript). Inline editing (for CSS). Custom themes are available via the Brackets Extension Registry. Support for CSS preprocessors, including quick edit and live highlight functionalities. 3. Bluefish Supported operating systems: Linux, Windows, macOS, FreeBSD, OpenBSD, Solaris License: GNU GPL vs 3 Source code Supported languages: HTML, CSS, XML, JavaScript, PHP, SQL, Perl, Python, Ruby, Java, C, C++, and more Bluefish is an advanced source code editor supporting several programming languages. It comes with a Gnome integration. It becomes a great option if you’re looking for the best free PHP editor for your Linux distribution. Its GUI is consistent with the Gnome Human Interface Guidelines. In addition to Emmet (formerly Zen Coding) support, Bluefish features dialogs and wizards for HTML tags, a Unicode character browser, and more, all designed with web developers in mind. Additionally, it features an intuitive user interface and is easy to use, making it a good choice for beginners or those who prefer not to spend a lot of time learning how to use a PHP editor. Best Features: Fast loading due to its lightweight. Multiple document interface. Full-screen editing and split view. Editing functionality, such as auto-completion. Remote file access via FTP, SFTP, HTTP, HTTPS, and other protocols. Supports multiple encodings (default is UTF8). 4. Notepad++ Supported operating systems: Windows License: GNU GPL vs 2 Source code Supported languages: HTML, CSS, XML, YAML, JavaScript, CoffeeScript, PHP, SQL, Perl, Python, C, C++, and more. Windows operating system leverages Notepad++ as a default text editor. It comes pre-installed with the operating system. Notepad++ has multiple advanced features in comparison to Notepad editor. Thus, it easily became popular among developers working on Windows machines. Nearly 80 programming languages are supported by syntax highlighting. Installs quickly, works out of the box, and provides important editing features like split view, multi-document interface, undo/redo functionality, etc.So if you need a free PHP editor for Windows that’s easy to use and loads fast, Notepad++ is worth a look. Best Features: Pre-designed themes. Multiple editing features like autocompletion. Supports different character sets. Extensible through plugins. Open source plugins are available for both 32-bit and 64-bit systems. 5. TextMate Supported operating systems: macOS License: GNU GPL vs 3 Source code Supported languages: HTML, Markdown, CSS, XML, JavaScript, PHP, SQL, Perl, Python, Java, and more TextMate is an advanced source code editor for the macOS operating system. As it has been designed specifically for Mac, it integrates with the underlying Unix shell. Therefore, you can code custom actions in any programming language compatible with the Unix Standard Streams (stdin and stdout). The original version of TextMate was a licensed software. However, the latest release, TextMate 2.0, has been open-sourced under the GPLv3+ license, making it free to download and use. It’s worth noting that the TextMate license policy indicates they may charge for updates beyond version 2.0 in the future. Best Features: Custom themes. Live HTML/Markdown preview. Powerful search tool. Clipboard history. Easy-to-manage code snippets. Foldable code blocks, indented soft wrap, and more. Premium PHP Editors Premium PHP Editors 1. PhpStorm Supported operating systems: Windows, macOS, Linux. License: Proprietary (commercial software with a trial period). Source code: Closed source. Pricing: $249/ year Supported languages: PHP (versions 5.3 through 8.4+), HTML5, CSS, JavaScript, XML, SQL, and databases. Additional language support can be added via plugins. PhpStorm is a premium and popular PHP platform to work with WordPress, Drupal, Laravel, Magento, and other frameworks. Thousands of users deploy PhpStorm to develop their websites. It is designed to enhance productivity by providing tools for writing, editing, analyzing, refactoring, testing, and debugging PHP code. It seamlessly integrates with web technologies and offers smart coding assistance. Best Features: PHP, JavaScript, HTML, CSS, and etc languages are supported. Smart PHP code editor. Auto-completion of code. Code quality analysis. Efficient code navigation and searching feature. 2. UltraEdit Supported operating systems: Windows, Linux, macOS Price: $99.95/year License: Subscription and perpetual Supported languages: HTML, CSS, Markdown, XML, JavaScript, JSON, PHP, MySQL, Python, Perl, Ruby, C, C++, and more UltraEdit is a premium PHP editor that has been in the market since 1994. It is a stable and well-tested application for the 4 million customers. It offers a user-friendly onboarding experience. Additionally, it has robust development features enabling developers to work on remote servers. Also, managing projects, encrypting/decrypting files, and others are easier in this tool. Working on larger files is easier with UltraEdit. The tool handles large files effectively. Hence, programmers prefer this PHP editor. It includes two versions, one is basic UltraEdit and the other ones is UltraCompare Pro. Best Features: Custom themes and layouts. Powerful search functionality (in and across files). Live preview for HTML and Markdown. Powerful command palette. 3. Rapid PHP Editor Supported operating systems: Windows Price: $59.95 one-time fee License: Check its official website Supported languages: HTML, CSS, LESS, Sass, JavaScript, PHP, SQL, XML, Smarty, .htaccess. Rapid PHP Editor is a premium PHP editor for Windows operating systems. It can be quickly setup as it is a lightweight editor. The Rapid PHP Editor is part of a modular product line designed to remain lightweight and efficient. Each version builds upon the same core editor, offering additional features based on your specific needs. For example, if you’re working only with HTML and CSS, the Rapid CSS Editor will suffice. However, if your workflow also involves PHP, you can opt for the Rapid PHP Editor — the same intuitive interface, enhanced with PHP support and related tools. This approach ensures you get exactly what you need without unnecessary bloat.
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·1K Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Trent Alexander-Arnold huwenda ataukosa mchezo wao Kati ya PSG baada ya kupata majeraha hapo Jana mazoezini @miguelitocope

    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Trent Alexander-Arnold huwenda ataukosa mchezo wao Kati ya PSG baada ya kupata majeraha hapo Jana mazoezini @miguelitocope #SportsElite
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·274 Views
  • VITU VINAVYO VUTA UTAJIRI SEHEMU YA PILI.

    #isaya 1:19
    Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi

    Kutokea kwenye andiko hili tunapata kanuni ya pili ambayo ikifuatwa inavuta utajiri .


    Kanuni hiyo ni UTII

    Maandiko yanasema ili mema ya nchi ya kufuate ni lazima *ukubali na kutiii*

    Utii ni kanuni katika ulimwengu wa roho ambayo mtu akiifuata lazima itampa matokeo tu.

    Kama unamcha Mungu na utaki kumtii Mungu bsi pia kanuni inakukataa .

    Uzuri wa kanuni hizi ni kuwa hata kama mtu asali lakini amezifuata zitampa matokeo tu ,serikari inapenda watu watii matajiri wanafanya biashara na kuwaaamini na kubebana na watu watii.

    Kuna kundi kubwa sana umaskini kwao siyo pepo bali ni kwa sababu wamekataa kutii tu na dunia ya mafanikio imewatapika kabisa.

    #Mungu alipo wavusha wana islaeri aliwapa kanuni ambazo kama wakifuata na kuzitii ndipo baraka zitatufuata na kama wakitoka nje laana zitawafuata.

    Kanuni ni lazima izingatiwe ikifuatwa inakupa baraka usipo ifuata inakupa laana .

    #Torati 28:1-14

    Kumbukumbu la Torati 28:1-2
    [1]Itakuwa utakaposikia sauti ya BWANA, Mungu wako, kwa bidii, kutunza kuyafanya maagizo yake yote nikuagizayo leo, ndipo BWANA, Mungu wako, atakapokutukuza juu ya mataifa yote ya duniani;

    [2]na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti ya BWANA, Mungu wako.

    Baraka zinawafuata watu watii peke yake nje ya hapo baraka haziwezi kukufuata na matokeo yake utapata laana .

    Abrahamu sababu ya kutiii alistawi sana ,aliambiwa atoke kwenye nchi aliyo zaliwa aende nje ya kwao na sababu alitii mpaka leo anaitwa baba wa mataifa na baba wa imani.

    #Mwanzo 12:1-2
    [1]BWANA akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha;

    [2]nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka;

    Napenda kuiutia moyo kuwa utiii ni kanuni na inapaswa kuwa tabia yako .

    Katika maisha ya kawaida mwanamke mwenye matokeo katika nyumba yake ni yule anaye kubali kuongozwana mume wake yaani anaye mtii mume wake .

    Ukishindwa kumtii mume wako umeshindwa kumtii Mungu uwezi pia kuvuta utajiri .

    Niwatakie jion njema na baraka tele .

    Kwa majina naitwa mwl sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry).

    Karibu katika group letu la watsap .
    Tuma neno Add kwa namba .0622625340

    #restore men position
    #build new eden
    VITU VINAVYO VUTA UTAJIRI SEHEMU YA PILI. #isaya 1:19 Kama mkikubali na kutii mtakula mema ya nchi Kutokea kwenye andiko hili tunapata kanuni ya pili ambayo ikifuatwa inavuta utajiri . ▪️Kanuni hiyo ni UTII Maandiko yanasema ili mema ya nchi ya kufuate ni lazima *ukubali na kutiii* Utii ni kanuni katika ulimwengu wa roho ambayo mtu akiifuata lazima itampa matokeo tu. Kama unamcha Mungu na utaki kumtii Mungu bsi pia kanuni inakukataa . Uzuri wa kanuni hizi ni kuwa hata kama mtu asali lakini amezifuata zitampa matokeo tu ,serikari inapenda watu watii matajiri wanafanya biashara na kuwaaamini na kubebana na watu watii. Kuna kundi kubwa sana umaskini kwao siyo pepo bali ni kwa sababu wamekataa kutii tu na dunia ya mafanikio imewatapika kabisa. #Mungu alipo wavusha wana islaeri aliwapa kanuni ambazo kama wakifuata na kuzitii ndipo baraka zitatufuata na kama wakitoka nje laana zitawafuata. Kanuni ni lazima izingatiwe ikifuatwa inakupa baraka usipo ifuata inakupa laana . #Torati 28:1-14 Kumbukumbu la Torati 28:1-2 [1]Itakuwa utakaposikia sauti ya BWANA, Mungu wako, kwa bidii, kutunza kuyafanya maagizo yake yote nikuagizayo leo, ndipo BWANA, Mungu wako, atakapokutukuza juu ya mataifa yote ya duniani; [2]na baraka hizi zote zitakujilia na kukupata usikiapo sauti ya BWANA, Mungu wako. Baraka zinawafuata watu watii peke yake nje ya hapo baraka haziwezi kukufuata na matokeo yake utapata laana . Abrahamu sababu ya kutiii alistawi sana ,aliambiwa atoke kwenye nchi aliyo zaliwa aende nje ya kwao na sababu alitii mpaka leo anaitwa baba wa mataifa na baba wa imani. #Mwanzo 12:1-2 [1]BWANA akamwambia Abramu, Toka wewe katika nchi yako, na jamaa zako, na nyumba ya baba yako, uende mpaka nchi nitakayokuonyesha; [2]nami nitakufanya wewe kuwa taifa kubwa, na kukubariki, na kulikuza jina lako; nawe uwe baraka; Napenda kuiutia moyo kuwa utiii ni kanuni na inapaswa kuwa tabia yako . Katika maisha ya kawaida mwanamke mwenye matokeo katika nyumba yake ni yule anaye kubali kuongozwana mume wake yaani anaye mtii mume wake . Ukishindwa kumtii mume wako umeshindwa kumtii Mungu uwezi pia kuvuta utajiri . Niwatakie jion njema na baraka tele . Kwa majina naitwa mwl sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry). Karibu katika group letu la watsap . Tuma neno Add kwa namba .0622625340 #restore men position #build new eden
    0 Commentarii ·0 Distribuiri ·951 Views
  • 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Beşiktaş imefikia makubaliano na AS Roma kumuhitaji Tammy Abraham.....

    Ada ya uhamisho €20m.

    (Source: @FabrizioRomano)

    #SportsElite
    🚨 𝗕𝗥𝗘𝗔𝗞𝗜𝗡𝗚: Beşiktaş imefikia makubaliano na AS Roma kumuhitaji Tammy Abraham..... Ada ya uhamisho €20m. (Source: @FabrizioRomano) #SportsElite
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·303 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Leeds United iko mbioni kuinasa saini ya golikipa Sebastiaan Bornauw (26) kutoka Wolfsburg! Kwa Ada €6m
    reports @GrahamSmyth. ⚪️

    #SportsElite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: 🇧🇪 Leeds United iko mbioni kuinasa saini ya golikipa Sebastiaan Bornauw (26) kutoka Wolfsburg! Kwa Ada €6m reports @GrahamSmyth. ⚪️✨ #SportsElite
    Haha
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·298 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Golikipa wa Real Madrid Thibaut Courtois’ anatarajiwa kuongeza kandarasi ndani ya kiokosi hicho na Thibaut Courtois pia ameongeza kwa kusema "nahitaji kubaki Real Madrid ikiwezekana itakuwa furaha yangu kustaafu nikiwa humo

    #sportselite
    🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Golikipa wa Real Madrid Thibaut Courtois’ anatarajiwa kuongeza kandarasi ndani ya kiokosi hicho na Thibaut Courtois pia ameongeza kwa kusema "nahitaji kubaki Real Madrid ikiwezekana itakuwa furaha yangu kustaafu nikiwa humo🤍✨ #sportselite
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·337 Views
  • Nguvu inayo badilisha mtu .

    Warumi 12:2
    [2]*Wala msiifuatishe namna ya dunia hii;
    *bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu*

    Kama ukiwachukua watu wasili wanao waza sawa tunategemea matokeo yatakuwa sawa.

    Iko nguvu inaitwa neno la Mungu inayo weza badilisha mtu kama tu mtu akijua jinsi Mungu anavyo taka aenende .

    Kiwango chako cha kumjua Mungu katika neno lazima kiendane na matokeo kwani chochote apandacho mtu ndicho atakacho vuna.

    Wagalatia 6:7
    [7]Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna.


    faida za kulijua neno kama nguvu inayo badilisha mtu .

    1.INATUHAKIKISHIA KUFNIKIWA.

    Mungu amehakikisha kila anaye mjua sawa sawa na neno anampa nguvu ya kufanikiwa.

    Zaburi 1:1-2
    [1]Heri mtu yule asiyekwenda
    Katika shauri la wasio haki;
    Wala hakusimama katika njia ya wakosaji;
    Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.

    [2]Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo,
    Na sheria yake huitafakari mchana na usiku.

    Lazma uamue kuishi maisha yasiyo na mizaa kabisa na dhambi kwa kulifuata neno kama mwongozo wako hapo ndipo utampendeza Mungu na Mungu atajihakikishia kukuwazia mema na mafanikio.

    Isaya 55:8-9
    [8] *Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema BWANA.*
    .
    [9]Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu.

    Mawazo ya mungu ni kuona ndoa yako inafanikiwa toka ujana wako mpaka uzee.

    Mawazo ya Mungu nikuona biashara yako inashine kuliko jana .

    Mawazo ya Mungu ni kukuona ukiishi maisha ya mafanikio na furaha siku zote za maisha yako .

    Yeremia 29:11
    [11] *Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.*

    Tatizo lako ni moja umeichukulia mzaa dhambi na kufanya mawazo ya Mungu kwako yasitimie .

    Acha dhambi acha mzaa na zinaa kutoka kusema hii ndo zambi yetu vijana anza kuichukia totally maisha yako yatabadilika totally na Mungu atakuhakikishia mafanikio siku zote.

    Mafanikio ni hakika na kweli kabisa kwa mtu anaye kaa na neno, mtu ambaye katika kila jambo anajibu na kulitazama neno linasema nini lazima apokee mafanikio makubwa zaidi.

    2.inatusaidia kutoka katika mawazo na fikra hasi

    Mtu hawezi kufanikiwa zaidi ya vile anavyo amini .

    Mtu awezi kupokea uponyaji zaidi ya vile anavyo hitaji.

    Kiwango cha mafanikio yako kinaamuliwa na kiwango cha imani yako .

    Marko 9:23
    [23]Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye.

    Ukiweza kuwekeza katika neno neno litakupa matokeo ya mwilini kwani neno litakusaidia kujua jinsi gani watu walio tembea na mungu walifanikiwa .

    Utaacha kuona haiwezekani kila jambo utaanza kuona inawezekana kila jambo kwani utajua yeye anasemaji.

    Wafilolipi 4:13
    *Naweza kuyafanya mambo yote katika yeye anitiaye nguvu*

    Ko ni neno litabadilisha msimamo wako juu ya mawazo hasi juu ya mafanikio .

    Kwa maana mtu hawezi kuwa zaidi ya anavyo jiona.

    Mithali 23:7
    [7] *Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo*.
    Akuambia, Haya, kula, kunywa;
    Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe.

    Neno pekee ndilo linaweza badilisha namna unavyo jiona na jinsi unavyo amini ili upokee mambo makubwa .

    Usidanganyikee mtu hawezi kupokea zaidi ya ufunuo alio upata katika neno husika .

    Nimatumaini yangu utaanza kuongeza imani katika neno ili upate nguvu ibadilishayo mtu .

    Take care, naitwa sylvester natokea kutoka (build new eden)

    Karubu tujifunze pamoja neno la Mungu .kupitia group la watsap

    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    #restore men position
    #build new position
    Nguvu inayo badilisha mtu . Warumi 12:2 [2]*Wala msiifuatishe namna ya dunia hii; *bali mgeuzwe kwa kufanywa upya nia zenu, mpate kujua hakika mapenzi ya Mungu yaliyo mema, ya kumpendeza, na ukamilifu* Kama ukiwachukua watu wasili wanao waza sawa tunategemea matokeo yatakuwa sawa. Iko nguvu inaitwa neno la Mungu inayo weza badilisha mtu kama tu mtu akijua jinsi Mungu anavyo taka aenende . Kiwango chako cha kumjua Mungu katika neno lazima kiendane na matokeo kwani chochote apandacho mtu ndicho atakacho vuna. Wagalatia 6:7 [7]Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna. faida za kulijua neno kama nguvu inayo badilisha mtu . 1.INATUHAKIKISHIA KUFNIKIWA. Mungu amehakikisha kila anaye mjua sawa sawa na neno anampa nguvu ya kufanikiwa. Zaburi 1:1-2 [1]Heri mtu yule asiyekwenda Katika shauri la wasio haki; Wala hakusimama katika njia ya wakosaji; Wala hakuketi barazani pa wenye mizaha. [2]Bali sheria ya BWANA ndiyo impendezayo, Na sheria yake huitafakari mchana na usiku. Lazma uamue kuishi maisha yasiyo na mizaa kabisa na dhambi kwa kulifuata neno kama mwongozo wako hapo ndipo utampendeza Mungu na Mungu atajihakikishia kukuwazia mema na mafanikio. Isaya 55:8-9 [8] *Maana mawazo yangu si mawazo yenu, wala njia zenu si njia zangu; asema BWANA.* . [9]Kwa maana kama vile mbingu zilivyo juu sana kuliko nchi, kadhalika njia zangu zi juu sana kuliko njia zenu, na mawazo yangu kuliko mawazo yenu. Mawazo ya mungu ni kuona ndoa yako inafanikiwa toka ujana wako mpaka uzee. Mawazo ya Mungu nikuona biashara yako inashine kuliko jana . Mawazo ya Mungu ni kukuona ukiishi maisha ya mafanikio na furaha siku zote za maisha yako . Yeremia 29:11 [11] *Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.* Tatizo lako ni moja umeichukulia mzaa dhambi na kufanya mawazo ya Mungu kwako yasitimie . Acha dhambi acha mzaa na zinaa kutoka kusema hii ndo zambi yetu vijana anza kuichukia totally maisha yako yatabadilika totally na Mungu atakuhakikishia mafanikio siku zote. Mafanikio ni hakika na kweli kabisa kwa mtu anaye kaa na neno, mtu ambaye katika kila jambo anajibu na kulitazama neno linasema nini lazima apokee mafanikio makubwa zaidi. 2.inatusaidia kutoka katika mawazo na fikra hasi Mtu hawezi kufanikiwa zaidi ya vile anavyo amini . Mtu awezi kupokea uponyaji zaidi ya vile anavyo hitaji. Kiwango cha mafanikio yako kinaamuliwa na kiwango cha imani yako . Marko 9:23 [23]Yesu akamwambia, Ukiweza! Yote yawezekana kwake aaminiye. Ukiweza kuwekeza katika neno neno litakupa matokeo ya mwilini kwani neno litakusaidia kujua jinsi gani watu walio tembea na mungu walifanikiwa . Utaacha kuona haiwezekani kila jambo utaanza kuona inawezekana kila jambo kwani utajua yeye anasemaji. Wafilolipi 4:13 *Naweza kuyafanya mambo yote katika yeye anitiaye nguvu* Ko ni neno litabadilisha msimamo wako juu ya mawazo hasi juu ya mafanikio . Kwa maana mtu hawezi kuwa zaidi ya anavyo jiona. Mithali 23:7 [7] *Maana aonavyo nafsini mwake, ndivyo alivyo*. Akuambia, Haya, kula, kunywa; Lakini moyo wake hauwi pamoja nawe. Neno pekee ndilo linaweza badilisha namna unavyo jiona na jinsi unavyo amini ili upokee mambo makubwa . Usidanganyikee mtu hawezi kupokea zaidi ya ufunuo alio upata katika neno husika . Nimatumaini yangu utaanza kuongeza imani katika neno ili upate nguvu ibadilishayo mtu . Take care, naitwa sylvester natokea kutoka (build new eden) Karubu tujifunze pamoja neno la Mungu .kupitia group la watsap https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 #restore men position #build new position
    Like
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·1K Views
  • Transfer Updates

    AS Monaco wamekubaliana na Barcelona kumsajili Ansu Fati mwenye miaka 22.

    Mhispania huyo atajiunga na Monaco kwa mkopo hadi mwisho wa msimu, kisha Monaco watakuwa na chaguo la kumnunua kwa €14M au kumrudisha.

    Ansu anafuraha kwamba Barcelona wamejumuisha kipengele cha kurudisha ikiwa Monaco watamudu, kwani ndoto yake ni kurudi Barcelona. Sasa atasafiri kwa uchunguzi wa kimatibabu⚡️



    #sportselite
    🔥🔥Transfer Updates AS Monaco wamekubaliana na Barcelona kumsajili Ansu Fati mwenye miaka 22. Mhispania huyo atajiunga na Monaco kwa mkopo hadi mwisho wa msimu, kisha Monaco watakuwa na chaguo la kumnunua kwa €14M au kumrudisha. Ansu anafuraha kwamba Barcelona wamejumuisha kipengele cha kurudisha ikiwa Monaco watamudu, kwani ndoto yake ni kurudi Barcelona. Sasa atasafiri kwa uchunguzi wa kimatibabu⚡️📝 #sportselite
    Wow
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·562 Views
  • Kurudi huku ni tofauti...

    Sifanyi hivyo ili kuthibitisha chochote. Sio kutafuta uthibitishaji. Sio kuangalia kuonekana.

    Hii ni kwa ajili yangu...

    Kwa kila wakati nilikaa kimya wakati nilipaswa kuzungumza. Kwa ajili ya amani niliyoiacha ili tu kuwaweka wengine vizuri. Kwa nyakati nilizobeba uzito ambao haukuwa wangu kushika.

    sina hasira. Nimemaliza...

    Nimemaliza kuomba msamaha kwa kuhitaji nafasi. Imefanya kuhatarisha ukweli wangu. Nimemaliza kutoa nguvu kwa chochote kinachonichosha.

    Kuanzia hapa na kuendelea… ikiwa inaleta furaha, usawaziko, au amani... nasema ndiyo. Kila kitu kingine… hapana asante.
    Msimu huu ni wa kibinafsi. Ni takatifu. Ni yangu.

    Kurudi huku ni tofauti... Sifanyi hivyo ili kuthibitisha chochote. Sio kutafuta uthibitishaji. Sio kuangalia kuonekana. Hii ni kwa ajili yangu... Kwa kila wakati nilikaa kimya wakati nilipaswa kuzungumza. Kwa ajili ya amani niliyoiacha ili tu kuwaweka wengine vizuri. Kwa nyakati nilizobeba uzito ambao haukuwa wangu kushika. sina hasira. Nimemaliza... Nimemaliza kuomba msamaha kwa kuhitaji nafasi. Imefanya kuhatarisha ukweli wangu. Nimemaliza kutoa nguvu kwa chochote kinachonichosha. Kuanzia hapa na kuendelea… ikiwa inaleta furaha, usawaziko, au amani... nasema ndiyo. Kila kitu kingine… hapana asante. Msimu huu ni wa kibinafsi. Ni takatifu. Ni yangu.
    Love
    1
    · 0 Commentarii ·0 Distribuiri ·665 Views
Sponsorizeaza Paginile