• Hii kitu waachie watz
    Hii kitu waachie watz
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·38 Views
  • bila D mbili huwezi kueielewa hii post usisahau kulike na kucomment na kunifollow pia.
    😂😂😂 bila D mbili huwezi kueielewa hii post usisahau kulike na kucomment na kunifollow pia.
    Haha
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·59 Views
  • 4. Mji Mkongwe Jerusalem

    Kulingana na mapokeo ya Kiyahudi, Mlima wa Hekalu (ambao sasa uko ndani ya kiwanja cha kuta ndani ya Jiji la Kale) ndipo Mungu alipokusanya vumbi ili kumuumba mwanadamu wa kwanza, Adamu, na ambapo mwana wa Mfalme Daudi, Sulemani, alijenga hekalu la kwanza karibu 1000 K.K. (baadaye iliangushwa na Wababeli).

    Waislamu pia wanaabudu katika eneo hilo, ambalo sasa ni nyumbani kwa Dome of the Rock, madhabahu ya Kiislamu, na Msikiti wa al-Aqsa.

    Madai haya yanayoshindana yamesababisha hii kuwa moja ya maeneo yanayoshindaniwa zaidi ulimwenguni. Mji wa Kale una maeneo mengine muhimu ya kidini, ikiwa ni pamoja na Kanisa la Kaburi Takatifu, mahali pa kusulubiwa kwa Yesu na kaburi lake (tupu), na Ukuta wa Magharibi, mabaki ya Hekalu la Pili (lililojengwa na Mfalme Herode katika karne ya kwanza B.K.) ambalo ni eneo takatifu zaidi ambalo Wayahudi wanaweza kwenda kusali.
    4. Mji Mkongwe Jerusalem Kulingana na mapokeo ya Kiyahudi, Mlima wa Hekalu (ambao sasa uko ndani ya kiwanja cha kuta ndani ya Jiji la Kale) ndipo Mungu alipokusanya vumbi ili kumuumba mwanadamu wa kwanza, Adamu, na ambapo mwana wa Mfalme Daudi, Sulemani, alijenga hekalu la kwanza karibu 1000 K.K. (baadaye iliangushwa na Wababeli). Waislamu pia wanaabudu katika eneo hilo, ambalo sasa ni nyumbani kwa Dome of the Rock, madhabahu ya Kiislamu, na Msikiti wa al-Aqsa. Madai haya yanayoshindana yamesababisha hii kuwa moja ya maeneo yanayoshindaniwa zaidi ulimwenguni. Mji wa Kale una maeneo mengine muhimu ya kidini, ikiwa ni pamoja na Kanisa la Kaburi Takatifu, mahali pa kusulubiwa kwa Yesu na kaburi lake (tupu), na Ukuta wa Magharibi, mabaki ya Hekalu la Pili (lililojengwa na Mfalme Herode katika karne ya kwanza B.K.) ambalo ni eneo takatifu zaidi ambalo Wayahudi wanaweza kwenda kusali.
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·135 Views
  • 3. JOPPA

    Katika bandari hii Yona alipanda meli iendayo Tarshishi ili kumkimbia Mungu.

    Akiwa njiani, dhoruba kali ilikutana na chombo na nabii huyo akajikuta “katika moyo wa bahari” (Yona 2:3).

    Baadaye alitemwa ufukweni na samaki mkubwa aliyemmeza. Tarshishi (mahali alipoenda Yona) ilikuwa nchi ya pwani na kitovu cha biashara wakati huo.

    Mfalme Sulemani alikuwa na kundi la meli ambazo zilifika huko mara moja kila baada ya miaka mitatu na kuleta fedha, dhahabu, pembe za ndovu, nyani, tausi na hazina zingine za kigeni.
    3. JOPPA Katika bandari hii Yona alipanda meli iendayo Tarshishi ili kumkimbia Mungu. Akiwa njiani, dhoruba kali ilikutana na chombo na nabii huyo akajikuta “katika moyo wa bahari” (Yona 2:3). Baadaye alitemwa ufukweni na samaki mkubwa aliyemmeza. Tarshishi (mahali alipoenda Yona) ilikuwa nchi ya pwani na kitovu cha biashara wakati huo. Mfalme Sulemani alikuwa na kundi la meli ambazo zilifika huko mara moja kila baada ya miaka mitatu na kuleta fedha, dhahabu, pembe za ndovu, nyani, tausi na hazina zingine za kigeni.
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·118 Views
  • 2. BABELI

    Kigeographia Babeli hii leo ipo Iraq

    Babeli Nchi hii ambayo ilikuwa na mwanzo wake huko Mesopotamia inarejelewa katika Maandiko yote.

    Katika maandishi mengi ya kale inafafanuliwa kuwa kitovu cha wafanyabiashara na biashara.

    Wakati wa Yoshua mwanamume wa Israeli alisimulia jinsi alivyopata vazi la kipekee, “joho nzuri kutoka Babeli, vipande vya fedha mia mbili, na kipande cha dhahabu, uzani wake shekeli hamsini” (Yoshua 7:21).

    Babiloni pia likawa makao ya maelfu ya Waisraeli wakati wa utekwa. Nebukadneza II alikuwa amevamia Yerusalemu na jeshi lake na kuchukua sehemu kubwa ya watu hadi ufalme wake. Aliteketeza hekalu lililojengwa na Sulemani na kuharibu jumba la kifalme kando ya kila jengo kubwa la Yerusalemu.
    2. BABELI Kigeographia Babeli hii leo ipo Iraq Babeli Nchi hii ambayo ilikuwa na mwanzo wake huko Mesopotamia inarejelewa katika Maandiko yote. Katika maandishi mengi ya kale inafafanuliwa kuwa kitovu cha wafanyabiashara na biashara. Wakati wa Yoshua mwanamume wa Israeli alisimulia jinsi alivyopata vazi la kipekee, “joho nzuri kutoka Babeli, vipande vya fedha mia mbili, na kipande cha dhahabu, uzani wake shekeli hamsini” (Yoshua 7:21). Babiloni pia likawa makao ya maelfu ya Waisraeli wakati wa utekwa. Nebukadneza II alikuwa amevamia Yerusalemu na jeshi lake na kuchukua sehemu kubwa ya watu hadi ufalme wake. Aliteketeza hekalu lililojengwa na Sulemani na kuharibu jumba la kifalme kando ya kila jengo kubwa la Yerusalemu.
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·113 Views
  • BAADHI YA MAENEO MAARUFU KATIKA BIBLIA YALIVO HII LEO

    01. MLIMA SINAI

    Mlima ambao Mungu aliwapa Waisraeli sheria yake ulikuwa katika jangwa hilo la kale.

    Mara kadhaa Musa alipanda juu ili kupokea maagizo mbalimbali.

    Vibao viwili vya mawe vilichongwa na maandishi ya amri kumi za Mungu mlimani. kwamba uwepo wa Mungu ulifunika kilele na wingu zito na umeme mkali wakati wa uchongaji amri kumi za Mungu
    BAADHI YA MAENEO MAARUFU KATIKA BIBLIA YALIVO HII LEO 01. MLIMA SINAI Mlima ambao Mungu aliwapa Waisraeli sheria yake ulikuwa katika jangwa hilo la kale. Mara kadhaa Musa alipanda juu ili kupokea maagizo mbalimbali. Vibao viwili vya mawe vilichongwa na maandishi ya amri kumi za Mungu mlimani. kwamba uwepo wa Mungu ulifunika kilele na wingu zito na umeme mkali wakati wa uchongaji amri kumi za Mungu
    0 Comments ·0 Shares ·110 Views
  • KWENU MNAOJIITA WACHAMBUZI KWA KOFIA ZA USHABIKI NA CHUKI BINAFSI

    kuna kipindi Azam Fc iliwapa wachezaji 5 Simba sports club ili Simba ichukue Ubingwa

    Kuna kipindi kwenye mchezo mmoja Saido ntibanzokiza aliachiwa magoli matano kwenye mechi moja ili Amfikie Fiston kalala Mayele

    Kuna kipindi mchezaji wa Coastal Union alikwepa mpira uliopigwa na saido ili uwe goli

    Mzunguko wa kwanza michezo 2 ya kwanza ya Simba sc dhidi ya Tabora United na Fountain Gate fc wachezaji walifungiwa na kuonekana hawana vibali baada ya wote kucheza na Simba vibali vyao vilikuwepo na walicheza vema na kushinda

    Mzunguko huu wa pili vivyo hivyo Tabora United wachezaji wake Muhimu walikuwa majeruhi na wengine hawakuwa na vibali ila mara tu baada ya kucheza na Simba wachezaji wote walipata vibali na waliokuwa wanaumwa walipona

    Yanga sc ambayo jana imetufunga goli 2 kwa moja ni kikosi hiki hiki kama sikosei ndicho kilichowalamba Tano ni Yanga hii hii ambayo mtoto amezaliwa na amekuwa hajawahi kuona japo Simba ikipata walau Draw dhidi ya yanga kila siku ni vichapo tu

    Nilichogundua mashabiki wengi wa Simba wana wivu sana huwa wanataka wafungwe wao peke yao na Yanga

    Mkiona hapawafai mnaruhusiwa kuhama ligi ila kwa Taarifa za ndaaaaaaani Yanga wamesema popote mtakapohamia na wenyewe watakuja

    Asubuhi mbaya kwenu wabaya wetu
    KWENU MNAOJIITA WACHAMBUZI KWA KOFIA ZA USHABIKI NA CHUKI BINAFSI kuna kipindi Azam Fc iliwapa wachezaji 5 Simba sports club ili Simba ichukue Ubingwa Kuna kipindi kwenye mchezo mmoja Saido ntibanzokiza aliachiwa magoli matano kwenye mechi moja ili Amfikie Fiston kalala Mayele Kuna kipindi mchezaji wa Coastal Union alikwepa mpira uliopigwa na saido ili uwe goli Mzunguko wa kwanza michezo 2 ya kwanza ya Simba sc dhidi ya Tabora United na Fountain Gate fc wachezaji walifungiwa na kuonekana hawana vibali baada ya wote kucheza na Simba vibali vyao vilikuwepo na walicheza vema na kushinda Mzunguko huu wa pili vivyo hivyo Tabora United wachezaji wake Muhimu walikuwa majeruhi na wengine hawakuwa na vibali ila mara tu baada ya kucheza na Simba wachezaji wote walipata vibali na waliokuwa wanaumwa walipona Yanga sc ambayo jana imetufunga goli 2 kwa moja ni kikosi hiki hiki kama sikosei ndicho kilichowalamba Tano ni Yanga hii hii ambayo mtoto amezaliwa na amekuwa hajawahi kuona japo Simba ikipata walau Draw dhidi ya yanga kila siku ni vichapo tu Nilichogundua mashabiki wengi wa Simba wana wivu sana huwa wanataka wafungwe wao peke yao na Yanga Mkiona hapawafai mnaruhusiwa kuhama ligi ila kwa Taarifa za ndaaaaaaani Yanga wamesema popote mtakapohamia na wenyewe watakuja Asubuhi mbaya kwenu wabaya wetu
    0 Comments ·0 Shares ·147 Views
  • Privaldinho

    CEO wa Getafe si anachambua. Sasa na mimi nianze kuchambua.

    Nimetazama vikosi vya Singida mechi 4 za nyuma

    Makipa
    Vs Kagera - Metacha
    Vs JKT - Amas
    Vs KMC - Masalanga
    Vs Yanga - Masalanga
    Ndani ya mechi nne makipa watatu

    Beki ya kushoto Imoro amecheza mechi 2 kati ya 5, vs Makolo, Mechi za Kagera na KMC akacheza Malonga. Vs JKT akacheza Imoro, vs Yanga akacheza Gadiel. Mechi 5 mabeki wa kushoto 3.

    Mechi ya JKT mabeki wa kati alikuwa Assink na Kennedy (Tra bi ta hakuwepo), jana ameanzia benchi. Mechi ya KMC alianza Tra bita na Kennedy. Tra bi ta alitolewa dkk 46 akaingia Assink beki mpya ambaye ameanza jana.

    Mechi ya Kagera Kennedy hakucheza wakaanza Tra bita na Manyama, vs makolo Kennedy na tra bi na vs Ken Gold, Kennedy na Manyama. Maana yake, kuna Manyama, Tra, Kennedy na ongezeko la beki mpya Assink kutoka Ghana aliyecheza jana. Kiufupi hakuna mwenye uhakika wa namba eneo hilo.

    Viungo wa kati
    Vs Yanga (Damaro, Nashon, Gego) Chukwu akabadilishiwa majukumu)
    Vs JKT (Chukwu, Nashon, Arthur)
    Vs KMC (Damaro, Athur, Tchakei)
    Vs Kagera (Damaro, Chukwu, Athur)
    vs Kolo (Damaro, Gego, Keyekeh)
    Vs Ken Gold (Damaro, Gego, Keyekeh)

    Yanga vs Singida wameanza na viungo wakabaji kiasilia 3. Damaro aliyecheza mechi 5/6, Gego aliyeanza mechi 3/3 na kutokea sub mechi 2.

    NB: Eneo la ushambuliaji, Tchakae hajacheza vs JKT na Yanga. Jana wamelalamika hajacheza ila hawajajiuliza kwanini hakucheza vs JKt

    Vs Yanga - Pokou Rupia Adebayor (Sowah Sub)
    Vs JKT - Lyanga, Sowah, Pokou (Rupia top scorer out)
    Vs KMC - Sowah, Rupia, Pokou (timu ikakosa balance, nyuma yao yupo Tchake (luxury player) wakapoteza mechi.) Hii ni kwa wale mnafirikia Sowah na Rupia kuanza pamoja away. KMC waliongoza umiliki wa mchezo. Kidogo kipindi cha pili Singida walibadilika baada ya sub ya Rupia, Pokou na Tchakei, akaingia Gego na Tchukwu

    Vs Kagera -Sowah, Rupia, Tchakei (matokeo 2-2, kwa mara nyingine wanakuwa vulnerable kudefend. Mbaya zaidi wakiwa nyumbani.

    Vs Kolo - Tchakei, Rupia Athur
    Vs Ken Gold - Tchakei, Rupia, Adebayor
    Vs Prisons - Lyanga, Rupia Tchakei

    Ni wachache sana wenye uhakika wa namba. Agenda ya kikosi kubadilika sio habari mpya kwao labda kama wewe ni mgeni wa JIJI

    Privaldinho ✍️ CEO wa Getafe si anachambua. Sasa na mimi nianze kuchambua. Nimetazama vikosi vya Singida mechi 4 za nyuma Makipa Vs Kagera - Metacha Vs JKT - Amas Vs KMC - Masalanga Vs Yanga - Masalanga Ndani ya mechi nne makipa watatu Beki ya kushoto Imoro amecheza mechi 2 kati ya 5, vs Makolo, Mechi za Kagera na KMC akacheza Malonga. Vs JKT akacheza Imoro, vs Yanga akacheza Gadiel. Mechi 5 mabeki wa kushoto 3. Mechi ya JKT mabeki wa kati alikuwa Assink na Kennedy (Tra bi ta hakuwepo), jana ameanzia benchi. Mechi ya KMC alianza Tra bita na Kennedy. Tra bi ta alitolewa dkk 46 akaingia Assink beki mpya ambaye ameanza jana. Mechi ya Kagera Kennedy hakucheza wakaanza Tra bita na Manyama, vs makolo Kennedy na tra bi na vs Ken Gold, Kennedy na Manyama. Maana yake, kuna Manyama, Tra, Kennedy na ongezeko la beki mpya Assink kutoka Ghana aliyecheza jana. Kiufupi hakuna mwenye uhakika wa namba eneo hilo. Viungo wa kati Vs Yanga (Damaro, Nashon, Gego) Chukwu akabadilishiwa majukumu) Vs JKT (Chukwu, Nashon, Arthur) Vs KMC (Damaro, Athur, Tchakei) Vs Kagera (Damaro, Chukwu, Athur) vs Kolo (Damaro, Gego, Keyekeh) Vs Ken Gold (Damaro, Gego, Keyekeh) Yanga vs Singida wameanza na viungo wakabaji kiasilia 3. Damaro aliyecheza mechi 5/6, Gego aliyeanza mechi 3/3 na kutokea sub mechi 2. NB: Eneo la ushambuliaji, Tchakae hajacheza vs JKT na Yanga. Jana wamelalamika hajacheza ila hawajajiuliza kwanini hakucheza vs JKt Vs Yanga - Pokou Rupia Adebayor (Sowah Sub) Vs JKT - Lyanga, Sowah, Pokou (Rupia top scorer out) Vs KMC - Sowah, Rupia, Pokou (timu ikakosa balance, nyuma yao yupo Tchake (luxury player) wakapoteza mechi.) Hii ni kwa wale mnafirikia Sowah na Rupia kuanza pamoja away. KMC waliongoza umiliki wa mchezo. Kidogo kipindi cha pili Singida walibadilika baada ya sub ya Rupia, Pokou na Tchakei, akaingia Gego na Tchukwu Vs Kagera -Sowah, Rupia, Tchakei (matokeo 2-2, kwa mara nyingine wanakuwa vulnerable kudefend. Mbaya zaidi wakiwa nyumbani. Vs Kolo - Tchakei, Rupia Athur Vs Ken Gold - Tchakei, Rupia, Adebayor Vs Prisons - Lyanga, Rupia Tchakei Ni wachache sana wenye uhakika wa namba. Agenda ya kikosi kubadilika sio habari mpya kwao labda kama wewe ni mgeni wa JIJI
    0 Comments ·0 Shares ·161 Views
  • Zakazakazi amjibu Amri Kiemba.

    TUONGEE KWA FACT

    Ni kweli kwamba Amri Kiemba alicheza Azam FC kwa mkopo wa miezi 6 akitokea Simba, 2014/15.

    Alisajiliwa dirisha dogo lililofunguliwa Disemba 15, 2014, na walikuja wawili, yeye na Saad Kawemba kama mtendaji mku (CEO).

    Akiwa Azam FC, Kiemba alikutana na mechi mbili dhidi ya Simba,

    24/01/2015
    Azam FC 1-1 Simba

    Hii mechi ndiyo ile ambayo Aggrey Morris alimfanyia madhambi Okwi hadi akapoteza fahamu...akaenda kuzindukia hospitali.

    02/05/2015
    Simba 2-1 Azam FC

    Hii mechi kwa asilimia kubwa iliamuliwa na kadi nyekundu ya Salum Abubakar dakika 38, na kuumia kwa Frank Domayo dakika chache baadaye.

    Lakini hadi wakati huo, Azam FC ilikuwa imeushika mchezo hasa. Kipindi cha pili Simba wakapata goli, Azam FC ikiwa pungufu ikasawazisha...dakika za jioni Simba wakapata bao la pili.

    Hii ilikuwa mechi ya kwanza ya Simba kuifunga Azam FC tangu Oktoba 27, 2012 kwenye ile mechi ambayo Azam FC ilisimamisha wachezaji wanne ikiwatuhumu kuihujumu timu.

    Wachezaji hawa ni Agrey Morris, Erasto Nyoni, Dida na Said Morad...na walisimamishwa hadi Aprili 2013. Yaani timu ifanye maandalizi finyu halafu isimamishe wachezaji wanne kwa takribani miezi 6?

    Simba baada ya kushinda mchezo huo, hawakushinda tena ndiyo hadi 2015...na 2016...tena hadi 2018.

    Kuanzia 2013 hadi 2017 Simba walishinda mechi mbili tu dhidi ya Azam...halafu Kiemba anasema alikuwa haoni maandalizi...maandalizi gani?

    Kama adui yako anakufa kwa asali, kwanini umpige bunduki?

    Kiemba alikuwa Simba ambayo ilifungwa mfululizo na Azam FC kwa miaka mitatu...walikuwa wanajiandaaje huko?

    Kiemba anaheshimika sana, lakini huu ushuhuda wake wa kupika unamvunjia heshima.

    Eti maandalizi dhidi ya Yanga yalikuwa tofauti. Ok...akiwa Azam FC, Kiemba alikutana na mechi mbili dhidi ya Yanga.

    28/12/2014
    Yanga 2-2 Azam FC

    06/05/2015
    Azam FC 2-1 Yanga

    Hii mechi ndiyo ile ya siku ya mvua nyingi, Yanga wameshakuwa mabingwa.

    Coutinho anataka kupiga faulo, Ngassa anamnyang'anya mpira.

    Kwa wanaokumbuka, wataikumbuka mechi hii.

    Huu ulikuwa mchezo wa kwanza Azam FC kuifunga Yanga tangu 2013, lakini katika kipindi hicho, Simba akichomoka kwa Azam, ni sare!

    Zakazakazi amjibu Amri Kiemba. TUONGEE KWA FACT Ni kweli kwamba Amri Kiemba alicheza Azam FC kwa mkopo wa miezi 6 akitokea Simba, 2014/15. Alisajiliwa dirisha dogo lililofunguliwa Disemba 15, 2014, na walikuja wawili, yeye na Saad Kawemba kama mtendaji mku (CEO). Akiwa Azam FC, Kiemba alikutana na mechi mbili dhidi ya Simba, 24/01/2015 Azam FC 1-1 Simba Hii mechi ndiyo ile ambayo Aggrey Morris alimfanyia madhambi Okwi hadi akapoteza fahamu...akaenda kuzindukia hospitali. 02/05/2015 Simba 2-1 Azam FC Hii mechi kwa asilimia kubwa iliamuliwa na kadi nyekundu ya Salum Abubakar dakika 38, na kuumia kwa Frank Domayo dakika chache baadaye. Lakini hadi wakati huo, Azam FC ilikuwa imeushika mchezo hasa. Kipindi cha pili Simba wakapata goli, Azam FC ikiwa pungufu ikasawazisha...dakika za jioni Simba wakapata bao la pili. Hii ilikuwa mechi ya kwanza ya Simba kuifunga Azam FC tangu Oktoba 27, 2012 kwenye ile mechi ambayo Azam FC ilisimamisha wachezaji wanne ikiwatuhumu kuihujumu timu. Wachezaji hawa ni Agrey Morris, Erasto Nyoni, Dida na Said Morad...na walisimamishwa hadi Aprili 2013. Yaani timu ifanye maandalizi finyu halafu isimamishe wachezaji wanne kwa takribani miezi 6? Simba baada ya kushinda mchezo huo, hawakushinda tena ndiyo hadi 2015...na 2016...tena hadi 2018. Kuanzia 2013 hadi 2017 Simba walishinda mechi mbili tu dhidi ya Azam...halafu Kiemba anasema alikuwa haoni maandalizi...maandalizi gani? Kama adui yako anakufa kwa asali, kwanini umpige bunduki? Kiemba alikuwa Simba ambayo ilifungwa mfululizo na Azam FC kwa miaka mitatu...walikuwa wanajiandaaje huko? Kiemba anaheshimika sana, lakini huu ushuhuda wake wa kupika unamvunjia heshima. Eti maandalizi dhidi ya Yanga yalikuwa tofauti. Ok...akiwa Azam FC, Kiemba alikutana na mechi mbili dhidi ya Yanga. 28/12/2014 Yanga 2-2 Azam FC 06/05/2015 Azam FC 2-1 Yanga Hii mechi ndiyo ile ya siku ya mvua nyingi, Yanga wameshakuwa mabingwa. Coutinho anataka kupiga faulo, Ngassa anamnyang'anya mpira. Kwa wanaokumbuka, wataikumbuka mechi hii. Huu ulikuwa mchezo wa kwanza Azam FC kuifunga Yanga tangu 2013, lakini katika kipindi hicho, Simba akichomoka kwa Azam, ni sare!
    0 Comments ·0 Shares ·108 Views
  • "Kwa mijadala ambayo nimeitazama inaendelea baada ya mchezo wa Yanga na Singida Black Stars inaonyesha kuwa asilimia kubwa ya watu walikuwa na matokeo ya Singida kushinda kwenye mechi hiyo.

    Kikawaida mwalimu anaweza kupanga kikosi kulingana na mahitaji ya mchezo husika na namna ambavyo amewasoma wapinzani na sio mchezaji bora anaweza kuanza kwenye mechi.

    Kinachoendelea kwasasa ni kuzinyima uhuru hizi timu za madaraja ya chini kuamua wachezaji zitakazowatumia kwenye michezo yake dhidi ya Simba na Yanga.

    Hii pia ni aina moja wapo ya kudumaza soka letu. Yanga kwenye ubora wao kila timu imepata ilichokitegemea, kila timu imevuna ilichokipanda.Ili timu isiwe imepanga matokeo lazima iifunge Yanga? Na ikifungwa tu basi imepanga matokeo?

    Tuwape uhuru makocha wa kuamua nyota watakaocheza kwenye michezo husika kulingana na mbinu za wapinzani wao." - Lameck Shabahanga Mwandishi wa habari.

    "Kwa mijadala ambayo nimeitazama inaendelea baada ya mchezo wa Yanga na Singida Black Stars inaonyesha kuwa asilimia kubwa ya watu walikuwa na matokeo ya Singida kushinda kwenye mechi hiyo. Kikawaida mwalimu anaweza kupanga kikosi kulingana na mahitaji ya mchezo husika na namna ambavyo amewasoma wapinzani na sio mchezaji bora anaweza kuanza kwenye mechi. Kinachoendelea kwasasa ni kuzinyima uhuru hizi timu za madaraja ya chini kuamua wachezaji zitakazowatumia kwenye michezo yake dhidi ya Simba na Yanga. Hii pia ni aina moja wapo ya kudumaza soka letu. Yanga kwenye ubora wao kila timu imepata ilichokitegemea, kila timu imevuna ilichokipanda.Ili timu isiwe imepanga matokeo lazima iifunge Yanga? Na ikifungwa tu basi imepanga matokeo? Tuwape uhuru makocha wa kuamua nyota watakaocheza kwenye michezo husika kulingana na mbinu za wapinzani wao." - Lameck Shabahanga Mwandishi wa habari.
    0 Comments ·0 Shares ·128 Views

  • KUTOKA SINGIDA BLACK STARS

    HII NI KWENU WACHAMBUZI WOTE WENYE USHABIKI KULIKO UCHAMBUZI

    Singida Black stars Sc ni Timu yenye utaratibu wake na mipango yake juu ya kuiongoza Timu yake kwa misingi yake

    Timu yetu haipangiwi na wala hatupelekeshwi na maneno ya mitandaoni katika kuiendesha Timu Yetu, Tunaomba Mfahamu kuwa kila mchezaji Tuliyemsajili anatufaa na anafaa kuipambania Nembo ya Timu yetu

    Katika kikosi chetu chenye jumla ya wachezaji 33 wote wakiwa wazima wa Afya na Fitness nzuri kocha wetu na Benchi letu la Ufundi lina uhuru wa Kumchagua Mchezaji yeyote akaanza katika kikosi cha kwanza katika mchezo wowote

    Rejea michezo Yetu Mitatu ya nyuma kabla ya mchezo wa jana dhidi ya Yanga sc Tulicheza michezo 3 dhidi ya Kagera Sugar, KMC Fc, na JKT Tanzania

    Katika mchezo wetu dhidi ya Kagera sugar tulianzisha wachezaji wengi wa kimataifa na Tulipata sare ya goli 2-2 mchezo uliofuata tukacheza dhidi ya KMC FC na wachezaji wengi wa kimataifa walianza pia tukafungwa goli 2 bila Benchi la ufundi kikafanya mabadiliko kadhaa kwenye mchezo uliofuata dhidi ya JKT Tanzania Na tukapata ushindi kwenye moja ya Viwanja ambavyo Timu zote za ligi kuu hakuna iliyopata ushindi

    Baada ya Benchi la Ufundi kuridhika na vipaji vya wachezaji wetu wa ndani waliotupa Ushindi wa mchezo wa JKT Tanzania wakaridhishwa kwamba wachezaji wale wanafaa baadhi yao kuanza kwenye mchezo dhidi ya Yanga, kwa upande wa Timu yetu Tumefurahi Timu ilicheza vizuri kwa nidhamu ya hali ya juu na mchezo ukaisha kwa goal 2-1

    Sasa baada ya mchezo ule wameibuka watu wanaojiita wachambuzi kwa vivuli vya ushabiki wao na roho zao mbaya na umaskini uliowajaa wanataka kutupangia Kikosi chetu kitu Ambacho kwetu hakikubaliki hata kidogo

    Ni mfano uone mwanaume Ameoa wake 4 alafu wewe jirani yake unataka kumpangia kwamba Leo kalale kwa mwanamke huyu na utapikiwa na huyu hilo haliwezekani Abadani SISI HATUPANGIWI MAISHA NA VITAKATAKA KAMA NYINYI
    KUTOKA SINGIDA BLACK STARS ✍️ HII NI KWENU WACHAMBUZI WOTE WENYE USHABIKI KULIKO UCHAMBUZI Singida Black stars Sc ni Timu yenye utaratibu wake na mipango yake juu ya kuiongoza Timu yake kwa misingi yake Timu yetu haipangiwi na wala hatupelekeshwi na maneno ya mitandaoni katika kuiendesha Timu Yetu, Tunaomba Mfahamu kuwa kila mchezaji Tuliyemsajili anatufaa na anafaa kuipambania Nembo ya Timu yetu Katika kikosi chetu chenye jumla ya wachezaji 33 wote wakiwa wazima wa Afya na Fitness nzuri kocha wetu na Benchi letu la Ufundi lina uhuru wa Kumchagua Mchezaji yeyote akaanza katika kikosi cha kwanza katika mchezo wowote Rejea michezo Yetu Mitatu ya nyuma kabla ya mchezo wa jana dhidi ya Yanga sc Tulicheza michezo 3 dhidi ya Kagera Sugar, KMC Fc, na JKT Tanzania Katika mchezo wetu dhidi ya Kagera sugar tulianzisha wachezaji wengi wa kimataifa na Tulipata sare ya goli 2-2 mchezo uliofuata tukacheza dhidi ya KMC FC na wachezaji wengi wa kimataifa walianza pia tukafungwa goli 2 bila Benchi la ufundi kikafanya mabadiliko kadhaa kwenye mchezo uliofuata dhidi ya JKT Tanzania Na tukapata ushindi kwenye moja ya Viwanja ambavyo Timu zote za ligi kuu hakuna iliyopata ushindi Baada ya Benchi la Ufundi kuridhika na vipaji vya wachezaji wetu wa ndani waliotupa Ushindi wa mchezo wa JKT Tanzania wakaridhishwa kwamba wachezaji wale wanafaa baadhi yao kuanza kwenye mchezo dhidi ya Yanga, kwa upande wa Timu yetu Tumefurahi Timu ilicheza vizuri kwa nidhamu ya hali ya juu na mchezo ukaisha kwa goal 2-1 Sasa baada ya mchezo ule wameibuka watu wanaojiita wachambuzi kwa vivuli vya ushabiki wao na roho zao mbaya na umaskini uliowajaa wanataka kutupangia Kikosi chetu kitu Ambacho kwetu hakikubaliki hata kidogo Ni mfano uone mwanaume Ameoa wake 4 alafu wewe jirani yake unataka kumpangia kwamba Leo kalale kwa mwanamke huyu na utapikiwa na huyu hilo haliwezekani Abadani SISI HATUPANGIWI MAISHA NA VITAKATAKA KAMA NYINYI
    0 Comments ·0 Shares ·168 Views
  • Hii ilikua lini Tena
    Hii ilikua lini Tena😂
    Like
    1
    · 1 Comments ·0 Shares ·8 Views
  • MAISHA NI SAFARI YA MAJIRA...

    Maisha sio njia iliyonyooka. Ni safari ya majira, ya kupanda na kuvuna, ya kuvunja na kujenga upya, ya kupoteza na kutafuta. Kila nafsi inayotembea katika dunia hii lazima ipite katika majira haya, kwa kuwa ni mikono ya wakati inayotutengeneza kuwa vile tunakusudiwa kuwa. Maisha yanapokuvunja usikate tamaa. Usikose kuvunja kwako kama mwisho. Mbegu lazima ipasuke kabla ya kukua na kuwa mti mkubwa. Dhahabu lazima ipite kwenye moto kabla ya kuangaza. Na moyo wa mwanadamu lazima uvumilie majira yake ya baridi kabla ya kuchanua kikamilifu katika majira ya furaha. Kila kipande chako kinachohisi kuvunjika ni kipande kitakachopata mahali papya, kusudi jipya, maana mpya. Maumivu hayaji kukuangamiza; inakuja kukusafisha. Wakati mwingine, ni katika kuvunjika kwetu tu ndipo tunapata utimilifu wetu. Ni katika kupoteza kile tulichofikiri tunakihitaji ndipo tunagundua kile tulichotakiwa kuwa nacho. Amini kwamba nyufa ndipo mwanga unapoingia. Vidonda vinavyokufanya ujisikie dhaifu ndivyo vitaleta hekima. Kukatishwa tamaa kunakokufanya uhisi kama unasambaratika kwa kweli kunaondoa mambo ambayo hayatumiki tena hatima yako. Maisha si kuchukua kitu kutoka kwako; ni kutengeneza nafasi kwa kitu kikubwa zaidi.

    Wakati dhoruba inakuja, wakati usiku unaonekana kutokuwa na mwisho, wakati nafsi yako inaumia kwa uzito wa mapambano, kumbuka hili: Hujavunjika; unavunja. Unamwaga ya zamani ili kutengeneza njia mpya. Unabadilika na kuwa toleo lenye nguvu zaidi, la busara na ng'avu zaidi. Hatudhibiti misimu ya maisha, lakini tunaweza kuchagua jinsi tunavyopitia. Tembeeni kwa imani, mkijua kwamba baada ya kila majira ya baridi, kuna chemchemi. Baada ya kila dhoruba, kuna jua. Na baada ya kila kuvunja, kuna kujenga upya. Kwa hiyo, shikilia. Amini mchakato. Kubali msimu uliomo. Kwa siku moja, utaangalia nyuma na kuona kwamba kila uvunjaji ulikuwa baraka kwa kujificha, kila maumivu yalikuwa njia ya kusudi, na kila kurudi nyuma ilikuwa tu usanidi wa kurudi kwako. Wewe si kuanguka mbali; unaanguka mahali.
    MAISHA NI SAFARI YA MAJIRA... Maisha sio njia iliyonyooka. Ni safari ya majira, ya kupanda na kuvuna, ya kuvunja na kujenga upya, ya kupoteza na kutafuta. Kila nafsi inayotembea katika dunia hii lazima ipite katika majira haya, kwa kuwa ni mikono ya wakati inayotutengeneza kuwa vile tunakusudiwa kuwa. Maisha yanapokuvunja usikate tamaa. Usikose kuvunja kwako kama mwisho. Mbegu lazima ipasuke kabla ya kukua na kuwa mti mkubwa. Dhahabu lazima ipite kwenye moto kabla ya kuangaza. Na moyo wa mwanadamu lazima uvumilie majira yake ya baridi kabla ya kuchanua kikamilifu katika majira ya furaha. Kila kipande chako kinachohisi kuvunjika ni kipande kitakachopata mahali papya, kusudi jipya, maana mpya. Maumivu hayaji kukuangamiza; inakuja kukusafisha. Wakati mwingine, ni katika kuvunjika kwetu tu ndipo tunapata utimilifu wetu. Ni katika kupoteza kile tulichofikiri tunakihitaji ndipo tunagundua kile tulichotakiwa kuwa nacho. Amini kwamba nyufa ndipo mwanga unapoingia. Vidonda vinavyokufanya ujisikie dhaifu ndivyo vitaleta hekima. Kukatishwa tamaa kunakokufanya uhisi kama unasambaratika kwa kweli kunaondoa mambo ambayo hayatumiki tena hatima yako. Maisha si kuchukua kitu kutoka kwako; ni kutengeneza nafasi kwa kitu kikubwa zaidi. Wakati dhoruba inakuja, wakati usiku unaonekana kutokuwa na mwisho, wakati nafsi yako inaumia kwa uzito wa mapambano, kumbuka hili: Hujavunjika; unavunja. Unamwaga ya zamani ili kutengeneza njia mpya. Unabadilika na kuwa toleo lenye nguvu zaidi, la busara na ng'avu zaidi. Hatudhibiti misimu ya maisha, lakini tunaweza kuchagua jinsi tunavyopitia. Tembeeni kwa imani, mkijua kwamba baada ya kila majira ya baridi, kuna chemchemi. Baada ya kila dhoruba, kuna jua. Na baada ya kila kuvunja, kuna kujenga upya. Kwa hiyo, shikilia. Amini mchakato. Kubali msimu uliomo. Kwa siku moja, utaangalia nyuma na kuona kwamba kila uvunjaji ulikuwa baraka kwa kujificha, kila maumivu yalikuwa njia ya kusudi, na kila kurudi nyuma ilikuwa tu usanidi wa kurudi kwako. Wewe si kuanguka mbali; unaanguka mahali.
    Like
    Love
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·91 Views
  • Hapana kuwa stressed bhana hii Dunia yetu hii
    😂😂😂 Hapana kuwa stressed bhana hii Dunia yetu hii
    Wow
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·64 Views
  • "Wakati anachukua madaraka mwamba Ibrahim Traore Rais wa Burkina Faso alichagua kuwa upande wa Urusi na kumtosa mfaransa, wakati huo waasi walikuwa wamechukua sehemu fulani ya ya nchi, faida ya Traore kuchagua upande wa mashariki ambao ni Urusi tunaiona hadi leo, nchi yake imetulia kwa kiasi kikubwa, waasi wanakiona cha moto, Urusi kupitia Wagner wameamua kuilinda mazima Burkina faso, mwisho wa siku Traore anaonekana kama shujaa wa nchi yake na Afrika kwa ujumla

    Somo kwa Rais Tshisekedi chagua upande acha kuwa vuguvugu hii haitosaidia Congo, hata vikao vya AU, SADC, NA EAC, havijasaidia chochote Congo, chagua upande papa Tshisekedi ili Congo ilindwe na waasi wapate upinzani , coz jeshi la Congo ni dhaifu mnoo halina hata uwezo nusu wa kukabiliana na waasi,chagua upande uikomboe Congo yako

    Changamoto kubwa Rais Tshisekedi na ufaransa ni pete na kidole na hakuna ubaya kwenye hilo lakini swali kubwa urafiki wa Congo na nchi za magharibi kama Ufaransa umeisadia vipi Congo tena dhidi ya waasi kama M23 ?

    Chagua upande Tshisekedi hakuna namna!! Vinginevyo wanakuchezea too bad" - Zungu, Mtangazaji na Mchambuzi wa Siasa.

    "Wakati anachukua madaraka mwamba Ibrahim Traore Rais wa Burkina Faso🇧🇫 alichagua kuwa upande wa Urusi na kumtosa mfaransa, wakati huo waasi walikuwa wamechukua sehemu fulani ya ya nchi, faida ya Traore kuchagua upande wa mashariki ambao ni Urusi tunaiona hadi leo, nchi yake imetulia kwa kiasi kikubwa, waasi wanakiona cha moto, Urusi kupitia Wagner wameamua kuilinda mazima Burkina faso🇧🇫, mwisho wa siku Traore anaonekana kama shujaa wa nchi yake na Afrika kwa ujumla Somo kwa Rais Tshisekedi chagua upande acha kuwa vuguvugu hii haitosaidia Congo, hata vikao vya AU, SADC, NA EAC, havijasaidia chochote Congo, chagua upande papa Tshisekedi ili Congo ilindwe na waasi wapate upinzani , coz jeshi la Congo ni dhaifu mnoo halina hata uwezo nusu wa kukabiliana na waasi,chagua upande uikomboe Congo yako Changamoto kubwa Rais Tshisekedi na ufaransa ni pete na kidole na hakuna ubaya kwenye hilo lakini swali kubwa urafiki wa Congo na nchi za magharibi kama Ufaransa umeisadia vipi Congo tena dhidi ya waasi kama M23 ? Chagua upande Tshisekedi hakuna namna!! Vinginevyo wanakuchezea too bad" - Zungu, Mtangazaji na Mchambuzi wa Siasa.
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·152 Views
  • Tarehe 24 Novemba 2009, ikiwa ni siku chache kabla ya Sikukuu ya Thanksgiving, John Jones aliamua kwenda kuchunguza mapango na ndugu zake.

    Alikuwa baba wa mtoto mmoja na mke wake alikuwa mjamzito wa mtoto wao wa pili.

    Alikuwa mchungaji wa kanisa, mwenye tabia nzuri, aliyependwa na familia yake.

    Alikuwa na uzoefu mdogo wa kuingia mapangoni, lakini aliamini hana cha kuhofia.

    Akiwa na kaka yake, Josh Jones, na marafiki wachache, waliamua kuchunguza sehemu mpya ya Nutty Putty Cave—pango maarufu lililokuwa na njia nyembamba na hatari.

    Walikuwa na matumaini ya kujifurahisha tu, lakini hakuna aliyejua kuwa hii ingekuwa safari ya kifo cha kutisha.
    Tarehe 24 Novemba 2009, ikiwa ni siku chache kabla ya Sikukuu ya Thanksgiving, John Jones aliamua kwenda kuchunguza mapango na ndugu zake. Alikuwa baba wa mtoto mmoja na mke wake alikuwa mjamzito wa mtoto wao wa pili. Alikuwa mchungaji wa kanisa, mwenye tabia nzuri, aliyependwa na familia yake. Alikuwa na uzoefu mdogo wa kuingia mapangoni, lakini aliamini hana cha kuhofia. Akiwa na kaka yake, Josh Jones, na marafiki wachache, waliamua kuchunguza sehemu mpya ya Nutty Putty Cave—pango maarufu lililokuwa na njia nyembamba na hatari. Walikuwa na matumaini ya kujifurahisha tu, lakini hakuna aliyejua kuwa hii ingekuwa safari ya kifo cha kutisha.
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·157 Views
  • Jay Z si mwanamuziki wa kawaida. Alianza maisha kwa shida mitaani, lakini leo ni bilionea, mjasiriamali na mmiliki wa makampuni makubwa duniani.

    Amemuoa Beyoncé, mmoja wa wasanii wenye nguvu na ushawishi mkubwa zaidi duniani.

    Anamiliki Tidal, kampuni ya muziki, ana mkataba na kampuni kubwa za mavazi, anamiliki klabu ya michezo, na ana mikataba ya uwekezaji kwenye teknolojia na mali zisizohamishika.

    Kwa mtu wa hadhi yake, Rockstar ni ishara ya mafanikio yake.

    Kwa Jay Z, hii ni ishara ya kuwa juu ya mfumo wa kawaida wa maisha.
    Ni alama ya kuwa kwenye mzunguko wa watu wenye nguvu duniani.

    Kwa kawaida, saa ni kifaa cha kuonesha muda, lakini kwa Jay Z, hii ni hadithi ya maisha. Ni hadithi ya kupanda kutoka chini kabisa hadi kileleni.

    Ni hadithi ya nguvu za akili na juhudi za kipekee. Lakini pia ni hadithi ya siri na mafumbo ya ulimwengu wa nguvu na ushawishi.

    Kwa wengi, ni saa tu.
    Lakini kwa wachache wenye macho ya ndani, ni ishara ya siri kubwa zaidi duniani.

    Hakuna anayejua kwa hakika, lakini kinachojulikana ni kwamba saa hii imeacha maswali mengi zaidi kuliko majibu.
    Jay Z si mwanamuziki wa kawaida. Alianza maisha kwa shida mitaani, lakini leo ni bilionea, mjasiriamali na mmiliki wa makampuni makubwa duniani. Amemuoa Beyoncé, mmoja wa wasanii wenye nguvu na ushawishi mkubwa zaidi duniani. Anamiliki Tidal, kampuni ya muziki, ana mkataba na kampuni kubwa za mavazi, anamiliki klabu ya michezo, na ana mikataba ya uwekezaji kwenye teknolojia na mali zisizohamishika. Kwa mtu wa hadhi yake, Rockstar ni ishara ya mafanikio yake. Kwa Jay Z, hii ni ishara ya kuwa juu ya mfumo wa kawaida wa maisha. Ni alama ya kuwa kwenye mzunguko wa watu wenye nguvu duniani. Kwa kawaida, saa ni kifaa cha kuonesha muda, lakini kwa Jay Z, hii ni hadithi ya maisha. Ni hadithi ya kupanda kutoka chini kabisa hadi kileleni. Ni hadithi ya nguvu za akili na juhudi za kipekee. Lakini pia ni hadithi ya siri na mafumbo ya ulimwengu wa nguvu na ushawishi. Kwa wengi, ni saa tu. Lakini kwa wachache wenye macho ya ndani, ni ishara ya siri kubwa zaidi duniani. Hakuna anayejua kwa hakika, lakini kinachojulikana ni kwamba saa hii imeacha maswali mengi zaidi kuliko majibu.
    0 Comments ·0 Shares ·223 Views
  • Saa hii ni ghali zaidi ya magari mengi ya kifahari duniani, ghali zaidi ya nyumba za watu mashuhuri, ghali zaidi ya maisha ya watu wengi kwa miaka mingi.

    Lakini kwa nini ni ghali hivyo?

    Kwa sababu Rockstar haikutengenezwa kwa dhahabu tu, wala kwa almasi za kawaida. Iliundwa kwa madini adimu sana, madini yanayopatikana kwenye sehemu chache sana duniani.

    Pia, ilichukua miaka mitano kwa Richard Mille kuitengeneza, na alihusisha wahandisi bora zaidi duniani.

    Saa hii ina teknolojia ya juu sana kiasi kwamba inaweza kuhimili mitikisiko mikali bila kuathiri utendaji wake.

    Watu walipoona alama za vidole vilivyowekwa kwa umakini kwenye uso wa saa hiyo, maswali yalizidi kuibuka. Walijiuliza, "Hii ni alama ya nini? Je, Jay Z ana uhusiano na Freemason?"

    Wengine walikumbuka jinsi Jay Z alivyowahi kuhusishwa na tetesi za Illuminati na Freemason kutokana na ishara alizokuwa akifanya kwenye video zake za muziki.

    Lakini Jay Z amekuwa kimya juu ya tetesi hizi. Hajawahi kuthibitisha wala kukanusha.

    Hii inawafanya watu wengi wazidi kuamini kwamba kuna ukweli nyuma ya hadithi hizi za siri.
    Saa hii ni ghali zaidi ya magari mengi ya kifahari duniani, ghali zaidi ya nyumba za watu mashuhuri, ghali zaidi ya maisha ya watu wengi kwa miaka mingi. Lakini kwa nini ni ghali hivyo? Kwa sababu Rockstar haikutengenezwa kwa dhahabu tu, wala kwa almasi za kawaida. Iliundwa kwa madini adimu sana, madini yanayopatikana kwenye sehemu chache sana duniani. Pia, ilichukua miaka mitano kwa Richard Mille kuitengeneza, na alihusisha wahandisi bora zaidi duniani. Saa hii ina teknolojia ya juu sana kiasi kwamba inaweza kuhimili mitikisiko mikali bila kuathiri utendaji wake. Watu walipoona alama za vidole vilivyowekwa kwa umakini kwenye uso wa saa hiyo, maswali yalizidi kuibuka. Walijiuliza, "Hii ni alama ya nini? Je, Jay Z ana uhusiano na Freemason?" Wengine walikumbuka jinsi Jay Z alivyowahi kuhusishwa na tetesi za Illuminati na Freemason kutokana na ishara alizokuwa akifanya kwenye video zake za muziki. Lakini Jay Z amekuwa kimya juu ya tetesi hizi. Hajawahi kuthibitisha wala kukanusha. Hii inawafanya watu wengi wazidi kuamini kwamba kuna ukweli nyuma ya hadithi hizi za siri.
    0 Comments ·0 Shares ·172 Views
  • Kwa wapenzi wa saa, jina hili lina maana kubwa zaidi ya pesa. Richard Mille anajulikana kwa kutengeneza saa zenye muundo wa kipekee, teknolojia ya hali ya juu, na bei zinazoacha wengi wakishangaa.

    Richard Mille Rockstar, ndivyo saa hii inavyoitwa. Na jina hilo si la bahati mbaya.

    Ni saa iliyotengenezwa kwa ajili ya watu wenye hadhi ya kipekee, watu walio juu ya mfumo wa kawaida wa maisha, watu ambao majina yao ni alama ya mafanikio.

    Ili kuelewa thamani ya saa hii, inabidi uelewe falsafa ya Richard Mille mwenyewe.

    Anasema anapotengeneza saa, hatoi tu kifaa cha kuonesha muda, anatengeneza sanaa inayozungumza na nafsi ya aliyenayo.

    Ndiyo maana saa zake ni za kipekee, na zinavaliwa na watu wa kipekee kama Jay Z.

    Rockstar ni saa ya nadra sana. Duniani zipo mbili tu. Moja ipo kwa Jay Z, na nyingine iko kwa bilionea mmoja wa Asia ambaye jina lake linahifadhiwa kwa usiri mkubwa.

    Hili ndilo linawafanya watu wengi waamini kwamba Jay Z si mtu wa kawaida. Wengi wanasema, “Hii ni ishara ya hadhi ya juu, ishara ya kuwa kwenye mzunguko wa watu wenye nguvu duniani.”

    Shilingi bilioni 8.5. Hii si bei ya nyumba, wala si bei ya jumba la kifahari. Ni bei ya saa moja tu.
    Kwa wapenzi wa saa, jina hili lina maana kubwa zaidi ya pesa. Richard Mille anajulikana kwa kutengeneza saa zenye muundo wa kipekee, teknolojia ya hali ya juu, na bei zinazoacha wengi wakishangaa. Richard Mille Rockstar, ndivyo saa hii inavyoitwa. Na jina hilo si la bahati mbaya. Ni saa iliyotengenezwa kwa ajili ya watu wenye hadhi ya kipekee, watu walio juu ya mfumo wa kawaida wa maisha, watu ambao majina yao ni alama ya mafanikio. Ili kuelewa thamani ya saa hii, inabidi uelewe falsafa ya Richard Mille mwenyewe. Anasema anapotengeneza saa, hatoi tu kifaa cha kuonesha muda, anatengeneza sanaa inayozungumza na nafsi ya aliyenayo. Ndiyo maana saa zake ni za kipekee, na zinavaliwa na watu wa kipekee kama Jay Z. Rockstar ni saa ya nadra sana. Duniani zipo mbili tu. Moja ipo kwa Jay Z, na nyingine iko kwa bilionea mmoja wa Asia ambaye jina lake linahifadhiwa kwa usiri mkubwa. Hili ndilo linawafanya watu wengi waamini kwamba Jay Z si mtu wa kawaida. Wengi wanasema, “Hii ni ishara ya hadhi ya juu, ishara ya kuwa kwenye mzunguko wa watu wenye nguvu duniani.” Shilingi bilioni 8.5. Hii si bei ya nyumba, wala si bei ya jumba la kifahari. Ni bei ya saa moja tu.
    0 Comments ·0 Shares ·194 Views
  • Kulikuwa na kelele nyingi, kelele zilizotikisa uwanja mzima wakati wa fainali ya Super Bowl.

    Hii si tukio la kawaida ni tukio linalotazamwa na mamilioni ya watu duniani kote.

    Kila kitu kilikuwa kwenye kiwango cha juu muziki, burudani, mashabiki, na hata mavazi ya mastaa waliohudhuria.

    Lakini katikati ya yote hayo, Jay Z alivuta macho ya wengi kwa kitu kimoja tu saa aliyovaa mkononi.

    Hii haikuwa saa ya kawaida. Ilikuwa ni saa ya kipekee, saa iliyobeba stori ya siri, utajiri, na hadhi isiyoelezeka. Saa hii ilikuwa na thamani ya shilingi bilioni 8.5, na duniani kote zipo saa mbili tu za aina hii.

    Watazamaji wengi waliangalia kwa macho ya kawaida, lakini watazamaji wenye jicho la uchambuzi waliona kitu cha ajabu zaidi.

    Waliona alama ya vidole vya mikono vilivyowekwa kwa umakini, alama inayofanana na ishara za Freemason.

    Kundi linaloaminika kuwa na ushawishi mkubwa duniani katika mambo ya siri na nguvu za kiuchumi na kisiasa.

    Saa hii haikutengenezwa na kampuni ya kawaida. Ilitoka kwa mtengenezaji maarufu wa saa za kifahari duniani, Richard Mille.
    Kulikuwa na kelele nyingi, kelele zilizotikisa uwanja mzima wakati wa fainali ya Super Bowl. Hii si tukio la kawaida ni tukio linalotazamwa na mamilioni ya watu duniani kote. Kila kitu kilikuwa kwenye kiwango cha juu muziki, burudani, mashabiki, na hata mavazi ya mastaa waliohudhuria. Lakini katikati ya yote hayo, Jay Z alivuta macho ya wengi kwa kitu kimoja tu saa aliyovaa mkononi. Hii haikuwa saa ya kawaida. Ilikuwa ni saa ya kipekee, saa iliyobeba stori ya siri, utajiri, na hadhi isiyoelezeka. Saa hii ilikuwa na thamani ya shilingi bilioni 8.5, na duniani kote zipo saa mbili tu za aina hii. Watazamaji wengi waliangalia kwa macho ya kawaida, lakini watazamaji wenye jicho la uchambuzi waliona kitu cha ajabu zaidi. Waliona alama ya vidole vya mikono vilivyowekwa kwa umakini, alama inayofanana na ishara za Freemason. Kundi linaloaminika kuwa na ushawishi mkubwa duniani katika mambo ya siri na nguvu za kiuchumi na kisiasa. Saa hii haikutengenezwa na kampuni ya kawaida. Ilitoka kwa mtengenezaji maarufu wa saa za kifahari duniani, Richard Mille.
    0 Comments ·0 Shares ·132 Views
More Results