Kwenye mahojiano na waandishi wa Habari , Fadlu alisema kuna uwezekano wa kuanza na washambuliaji wawili wa kati " UWEZEKANO " lakini akaona kama kikombe hakijpasuka kwanini ukitengeneze ? Kocha anajua muundo wake hauna shida bali ilibaki utekelezaji kwa wachezaji wake katika nyakati sahihi .
Sehemu ambayo Fadlu alibadilisha ni ndogo sana katika muundo wake timu hasa ikiwa inashumbulia :
1: Ni Position ya Kibu na Mpanzu . Mara nyingi huwa wanaombea mpira kwenye halfspace kabisa karibu na mabeki wa kati wa timu pinzani lakini leo walikuwa wanaanzia kupokea mpira katikati ya wingbacks na mabeki wa kati wa pembeni ( Outside CBs ) kwanini ?
2: Ili kutengeneza sintofahamu kubwa ya kimaamuzi baina ya hao mabeki wa kati wa pembeni na wingbacks wao , kwa maana wingbacks wa Al Masry hofu yao ni fullbacks wa Simba wanaopanda juu .
3: Fadlu alifanya hivyo ili kuwapa Kibu na Mpanzu " Shooting spaces" wawe katika nafasi bora za kupiga golini . Hii iliwezekana pia kwasababu ..
4: Ahoua alikuwa anajaribu sana kuwa karibu na Mukwala asimuache peke yake dhidi ya beki wa kati wa Al Masry .
5: Nafikiri hiki alichofanya Fadlu leo kimbinu kimeathiriwa sana na hali ya uwanja , vinginevyo ingekuwa jioni ndefu kwa Al Masry
Al Masry mpango wao ulikuwa ambao umezoeleka
1: Poteza sana muda kwa kucheza mechi ya taratibu
2. Zuia sana kulinda mtaji wake
3: Subiria , counter attack na mipira iliyokufa kupata goli la ugenini
✍🏻Kipindi cha pili , kasi ya mchezo ilipungua hasa kutoka kwa mwenyeji nafikiri pia ndio iliwapa Al Masry fursa na wao kuanza angalau kuunganisha hata pasi zao ( hapo nafikiri Simba walikuwa wanacheza moto , ni nafasi na kosa moja tu linaumua taswira nzima ya mechi )
NOTE
1: Siamini kama Al Masry waliamua kutaka penati bali hali ya mchezo iliwalazimisha , waliona kufunga kwao ngumu
2: Hamza anacheza kwenye " GIA " yake mwenyewe anayotaka na hakuna kitu unamfanya
3: Mukwala . Soma namba ya jezi ya beki basi beki yupo matatizoni
4: Mpanzu , sio kwamba hawakufanya Homework yao Al Masry bali vitu vingine unakubali yaishe
5: CAMARA. Unamuona tu golini hali ya kujiamini kubwa kwenye matuta
FT: Simba 2-0 Al Masry
(G. Ambangile )
Sehemu ambayo Fadlu alibadilisha ni ndogo sana katika muundo wake timu hasa ikiwa inashumbulia :
1: Ni Position ya Kibu na Mpanzu . Mara nyingi huwa wanaombea mpira kwenye halfspace kabisa karibu na mabeki wa kati wa timu pinzani lakini leo walikuwa wanaanzia kupokea mpira katikati ya wingbacks na mabeki wa kati wa pembeni ( Outside CBs ) kwanini ?
2: Ili kutengeneza sintofahamu kubwa ya kimaamuzi baina ya hao mabeki wa kati wa pembeni na wingbacks wao , kwa maana wingbacks wa Al Masry hofu yao ni fullbacks wa Simba wanaopanda juu .
3: Fadlu alifanya hivyo ili kuwapa Kibu na Mpanzu " Shooting spaces" wawe katika nafasi bora za kupiga golini . Hii iliwezekana pia kwasababu ..
4: Ahoua alikuwa anajaribu sana kuwa karibu na Mukwala asimuache peke yake dhidi ya beki wa kati wa Al Masry .
5: Nafikiri hiki alichofanya Fadlu leo kimbinu kimeathiriwa sana na hali ya uwanja , vinginevyo ingekuwa jioni ndefu kwa Al Masry
Al Masry mpango wao ulikuwa ambao umezoeleka
1: Poteza sana muda kwa kucheza mechi ya taratibu
2. Zuia sana kulinda mtaji wake
3: Subiria , counter attack na mipira iliyokufa kupata goli la ugenini
✍🏻Kipindi cha pili , kasi ya mchezo ilipungua hasa kutoka kwa mwenyeji nafikiri pia ndio iliwapa Al Masry fursa na wao kuanza angalau kuunganisha hata pasi zao ( hapo nafikiri Simba walikuwa wanacheza moto , ni nafasi na kosa moja tu linaumua taswira nzima ya mechi )
NOTE
1: Siamini kama Al Masry waliamua kutaka penati bali hali ya mchezo iliwalazimisha , waliona kufunga kwao ngumu
2: Hamza anacheza kwenye " GIA " yake mwenyewe anayotaka na hakuna kitu unamfanya
3: Mukwala . Soma namba ya jezi ya beki basi beki yupo matatizoni
4: Mpanzu , sio kwamba hawakufanya Homework yao Al Masry bali vitu vingine unakubali yaishe
5: CAMARA. Unamuona tu golini hali ya kujiamini kubwa kwenye matuta
FT: Simba 2-0 Al Masry
(G. Ambangile )
Kwenye mahojiano na waandishi wa Habari , Fadlu alisema kuna uwezekano wa kuanza na washambuliaji wawili wa kati " UWEZEKANO " lakini akaona kama kikombe hakijpasuka kwanini ukitengeneze ? Kocha anajua muundo wake hauna shida bali ilibaki utekelezaji kwa wachezaji wake katika nyakati sahihi .
Sehemu ambayo Fadlu alibadilisha ni ndogo sana katika muundo wake timu hasa ikiwa inashumbulia :
1: Ni Position ya Kibu na Mpanzu . Mara nyingi huwa wanaombea mpira kwenye halfspace kabisa karibu na mabeki wa kati wa timu pinzani lakini leo walikuwa wanaanzia kupokea mpira katikati ya wingbacks na mabeki wa kati wa pembeni ( Outside CBs ) kwanini ?
2: Ili kutengeneza sintofahamu kubwa ya kimaamuzi baina ya hao mabeki wa kati wa pembeni na wingbacks wao , kwa maana wingbacks wa Al Masry hofu yao ni fullbacks wa Simba wanaopanda juu .
3: Fadlu alifanya hivyo ili kuwapa Kibu na Mpanzu " Shooting spaces" wawe katika nafasi bora za kupiga golini . Hii iliwezekana pia kwasababu ..
4: Ahoua alikuwa anajaribu sana kuwa karibu na Mukwala asimuache peke yake dhidi ya beki wa kati wa Al Masry .
5: Nafikiri hiki alichofanya Fadlu leo kimbinu kimeathiriwa sana na hali ya uwanja , vinginevyo ingekuwa jioni ndefu kwa Al Masry
Al Masry mpango wao ulikuwa ambao umezoeleka
1: Poteza sana muda kwa kucheza mechi ya taratibu
2. Zuia sana kulinda mtaji wake
3: Subiria , counter attack na mipira iliyokufa kupata goli la ugenini
✍🏻Kipindi cha pili , kasi ya mchezo ilipungua hasa kutoka kwa mwenyeji nafikiri pia ndio iliwapa Al Masry fursa na wao kuanza angalau kuunganisha hata pasi zao ( hapo nafikiri Simba walikuwa wanacheza moto , ni nafasi na kosa moja tu linaumua taswira nzima ya mechi )
NOTE
1: Siamini kama Al Masry waliamua kutaka penati bali hali ya mchezo iliwalazimisha , waliona kufunga kwao ngumu
2: Hamza anacheza kwenye " GIA " yake mwenyewe anayotaka na hakuna kitu unamfanya
3: Mukwala . Soma namba ya jezi ya beki basi beki yupo matatizoni 🔥
4: Mpanzu , sio kwamba hawakufanya Homework yao Al Masry bali vitu vingine unakubali yaishe
5: CAMARA. Unamuona tu golini hali ya kujiamini kubwa kwenye matuta
FT: Simba 2-0 Al Masry
(G. Ambangile ✍️)
0 Commenti
·0 condivisioni
·2 Views