• Baada ya Inter Miami kuibuka na ushindi wa magoli 5️⃣ kwa 1️⃣ dhidi ya New York Red alfajiri ya leo

    Lionel Messi akaibuka Mchezaji Bora wa mchezo huo baada ya kuisaidia timu yake kwa kufunga magoli mawili na kutoa assist moja — akiwa amechangia jumla ya magoli matatu!

    Katika michezo saba mfululizo ya Inter Miami, Lionel Messi amefunga kwenye michezo sita (6️⃣) — akiwa ana funga magoli mawili mawili katika mchezo mmoja, isipokuwa mchezo mmoja tu ndio hakuweza kufunga wala kutoa pasi ya goli,

    Takwimu za Messi katika michezo saba ya ligi kuu ya MLS:

    ⚽ Magoli: 12
    Assist: 5
    Jumla ya magoli aliyochangia: 17


    #SportsElite
    🚨 Baada ya Inter Miami kuibuka na ushindi wa magoli 5️⃣ kwa 1️⃣ dhidi ya New York Red alfajiri ya leo 🌅⚽️ 👑 Lionel Messi akaibuka Mchezaji Bora wa mchezo huo baada ya kuisaidia timu yake kwa kufunga magoli mawili ⚽⚽ na kutoa assist moja 🎯 — akiwa amechangia jumla ya magoli matatu! 🔥🙌 📊 Katika michezo saba mfululizo ya Inter Miami, Lionel Messi amefunga kwenye michezo sita (6️⃣) — akiwa ana funga magoli mawili mawili katika mchezo mmoja, isipokuwa mchezo mmoja tu ndio hakuweza kufunga wala kutoa pasi ya goli, 📈 Takwimu za Messi katika michezo saba ya ligi kuu ya MLS: ⚽ Magoli: 12 🎯 Assist: 5 🔢 Jumla ya magoli aliyochangia: 17 #SportsElite
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·521 Visualizações
  • Yoga Sculpt in New York blends strength, flexibility, and breathwork to help athletes recover faster, reduce injury risk, and improve mental focus for peak performance.
    https://www.bipnyc.com/why-more-athletes-are-turning-to-yoga-sculpt-for-recovery-and-power
    Yoga Sculpt in New York blends strength, flexibility, and breathwork to help athletes recover faster, reduce injury risk, and improve mental focus for peak performance. https://www.bipnyc.com/why-more-athletes-are-turning-to-yoga-sculpt-for-recovery-and-power
    Why More Athletes Are Turning to Yoga Sculpt for Recovery and Power
    www.bipnyc.com
    Yoga Sculpt in New York blends strength, flexibility, and breathwork to help athletes recover faster, reduce injury risk, and improve mental focus for peak performance.
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·227 Visualizações
  • Consistency in yoga classes New York fosters improved focus, emotional resilience, and physical strength, creating a foundation of balance, clarity, and self-awareness in daily life.
    https://nprlive.com/health/how-consistency-in-yoga-classes-can-change-your-daily-life
    Consistency in yoga classes New York fosters improved focus, emotional resilience, and physical strength, creating a foundation of balance, clarity, and self-awareness in daily life. https://nprlive.com/health/how-consistency-in-yoga-classes-can-change-your-daily-life
    How consistency in yoga classes can change your daily life | NPR Live
    nprlive.com
    Consistency in yoga classes New York fosters improved focus, emotional resilience, and physical strength, creating a foundation of balance, clarity, a...
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·422 Visualizações
  • Yoga Sculpt in New York blends strength, flexibility, and breathwork to help athletes recover faster, reduce injury risk, and improve mental focus for peak performance.
    https://sharkbow.com/blogs/53965/Why-More-Athletes-Are-Turning-to-Yoga-Sculpt-for-Recovery

    Yoga Sculpt in New York blends strength, flexibility, and breathwork to help athletes recover faster, reduce injury risk, and improve mental focus for peak performance. https://sharkbow.com/blogs/53965/Why-More-Athletes-Are-Turning-to-Yoga-Sculpt-for-Recovery
    Why More Athletes Are Turning to Yoga Sculpt for Recovery and Power...
    sharkbow.com
    Athletes of all abilities are always looking for ways to improve their performance, recovery, and resilience. In recent times, no practice has reigned superseding over the trio of strength, flexibility, and meditation more than our own Yoga Sculpt in New York. The hybrid fitness workout form...
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·266 Visualizações
  • Yoga Sculpt in New York blends strength, flexibility, and breathwork to help athletes recover faster, reduce injury risk, and improve mental focus for peak performance.
    https://www.bipmemphis.com/why-more-athletes-are-turning-to-yoga-sculpt-for-recovery-and-power
    Yoga Sculpt in New York blends strength, flexibility, and breathwork to help athletes recover faster, reduce injury risk, and improve mental focus for peak performance. https://www.bipmemphis.com/why-more-athletes-are-turning-to-yoga-sculpt-for-recovery-and-power
    Why More Athletes Are Turning to Yoga Sculpt for Recovery and Power
    www.bipmemphis.com
    Yoga Sculpt in New York blends strength, flexibility, and breathwork to help athletes recover faster, reduce injury risk, and improve mental focus for peak performance.
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·216 Visualizações
  • "Najisikia vibaya namna watu wanavyoniona na kuanza kuniita Yesu, wanafikia hata kutundika picha zangu katika nyumba zao, mimi ni mwigizaji tu, mimi ni mtu" - Jonathan Roumie(50), mwigizaji wa Marekani

    Aidha, Jonathan Roumie katika mahojiano amesema maisha yake binafsi alikuwa na hali mbaya kiuchumi hakuwa na uhakika siku inayofuata atakula nini, alikuwa mwigizaji ila kiuchumi alikuwa bado hajafanikiwa. Baada ya mambo kuzidi kuwa magumu siku moja ni kama alikuwa anamuomba Mungu kuhusu hali anayopitia ili mambo yake yakae sawa

    Baada ya miezi kama mitatu ndio akapata nafasi ya kuigiza kama Yesu katika series ya "The Chosen" iliyoanza kuoneshwa 2017 ambayo imejipatia umaarufu mkubwa sana hadi sasa imetazamwa na watu zaidi ya milioni 250 na misimu mipya inafuata huku ikipongezwa kwa kinachoonekana kuigizwa

    Umaarufu wa uhusika wake kama Yesu umempa umaarufu mkubwa na fursa nyingi ikiwemo katika mikutano na makongamano makubwa ya kidini na app za dini ya kikiristo

    Jonathan ambaye ni mkatoliki, alipoulizwa na New York Times, je ni tukio gani gumu analokumbuka ambalo alishakutana nalo baada ya kuigiza kama Yesu, amejibu kwa kusema kuna kipindi alikuwa katika mkutano kwenye uwanja wenye watu takribani 40,000 baadaye alishuka stejini akaenda kwenye chumba fulani uwanjani hapo, mmoja wa walinzi alikuja akamwambia nje kuna mwanamke ana mtoto kwenye kiti cha magurudumu anaomba kusalimiana na wewe

    Jonathan alitoka akaonana na mwanamke husika na mwanae ambaye kwa ufupi alieleza jinsi Yesu alivyoponya mtu katika hiyo series ya "The Chosen" na kusema angependa mwanae pia apone yaani akimtaka Jonathan amponye mtoto wake. Ilibidi Jonathan amueleze ukweli kwamba yeye sio mponyaji wala mhubiri bali ni mwigizaji tu.

    Jonathan akamueleza wafanye maombi wote ilichukua kama dakika moja, walipomaliza maombi wakafurahi na kushukuru kisha Jonathan akarudi alipokuwa huku akitokwa na machozi akihisi amewaangusha matarajio waliyokuwa nayo kwake ila amesema ni bora waujue ukweli kuwa yeye sio Yesu wala mponyaji bali ni mwigizaji tu

    Ukiacha hayo ya uhusika wake wa Yesu na dini, Jonathan Roumie amegusia pia kwamba alishafika Tanzania na Rwanda sababu kuna watoto kadhaa wanaoishi katika mazingira magumu huwa anawasaidia na familia zao

    Jonathan Roumie pia ameweka wazi kwamba anatamani watu pia wawe wanamuona katika nyuma ya pazia(behind the scene) anayopitia katika kujiandaa na uigizaji wake kama Yesu ili watu wengine waelewe wajue kumtofautisha katika maisha halisi na kisanaa

    KUMBUKA, zipo filamu nyingine miaka ya nyuma kuhusu Yesu zilizohusisha waigizaji wengine kabla ya sasa Jonathan Roumie kupata umaarufu na uhusika wa Yesu katika series maarufu ya "The Chosen"
    (Swahili Word)

    "Najisikia vibaya namna watu wanavyoniona na kuanza kuniita Yesu, wanafikia hata kutundika picha zangu katika nyumba zao, mimi ni mwigizaji tu, mimi ni mtu" - Jonathan Roumie(50), mwigizaji wa Marekani Aidha, Jonathan Roumie katika mahojiano amesema maisha yake binafsi alikuwa na hali mbaya kiuchumi hakuwa na uhakika siku inayofuata atakula nini, alikuwa mwigizaji ila kiuchumi alikuwa bado hajafanikiwa. Baada ya mambo kuzidi kuwa magumu siku moja ni kama alikuwa anamuomba Mungu kuhusu hali anayopitia ili mambo yake yakae sawa Baada ya miezi kama mitatu ndio akapata nafasi ya kuigiza kama Yesu katika series ya "The Chosen" iliyoanza kuoneshwa 2017 ambayo imejipatia umaarufu mkubwa sana hadi sasa imetazamwa na watu zaidi ya milioni 250 na misimu mipya inafuata huku ikipongezwa kwa kinachoonekana kuigizwa Umaarufu wa uhusika wake kama Yesu umempa umaarufu mkubwa na fursa nyingi ikiwemo katika mikutano na makongamano makubwa ya kidini na app za dini ya kikiristo Jonathan ambaye ni mkatoliki, alipoulizwa na New York Times, je ni tukio gani gumu analokumbuka ambalo alishakutana nalo baada ya kuigiza kama Yesu, amejibu kwa kusema kuna kipindi alikuwa katika mkutano kwenye uwanja wenye watu takribani 40,000 baadaye alishuka stejini akaenda kwenye chumba fulani uwanjani hapo, mmoja wa walinzi alikuja akamwambia nje kuna mwanamke ana mtoto kwenye kiti cha magurudumu anaomba kusalimiana na wewe Jonathan alitoka akaonana na mwanamke husika na mwanae ambaye kwa ufupi alieleza jinsi Yesu alivyoponya mtu katika hiyo series ya "The Chosen" na kusema angependa mwanae pia apone yaani akimtaka Jonathan amponye mtoto wake. Ilibidi Jonathan amueleze ukweli kwamba yeye sio mponyaji wala mhubiri bali ni mwigizaji tu. Jonathan akamueleza wafanye maombi wote ilichukua kama dakika moja, walipomaliza maombi wakafurahi na kushukuru kisha Jonathan akarudi alipokuwa huku akitokwa na machozi akihisi amewaangusha matarajio waliyokuwa nayo kwake ila amesema ni bora waujue ukweli kuwa yeye sio Yesu wala mponyaji bali ni mwigizaji tu Ukiacha hayo ya uhusika wake wa Yesu na dini, Jonathan Roumie amegusia pia kwamba alishafika Tanzania na Rwanda sababu kuna watoto kadhaa wanaoishi katika mazingira magumu huwa anawasaidia na familia zao Jonathan Roumie pia ameweka wazi kwamba anatamani watu pia wawe wanamuona katika nyuma ya pazia(behind the scene) anayopitia katika kujiandaa na uigizaji wake kama Yesu ili watu wengine waelewe wajue kumtofautisha katika maisha halisi na kisanaa KUMBUKA, zipo filamu nyingine miaka ya nyuma kuhusu Yesu zilizohusisha waigizaji wengine kabla ya sasa Jonathan Roumie kupata umaarufu na uhusika wa Yesu katika series maarufu ya "The Chosen" (Swahili Word)
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações
  • PART 8

    Watu karibu 3,000 waangamia katika mashambulizi

    Mashambulizi haya manne, yaliyotekelezwa chini ya saa mbili, yaligharimu maisha ya watu 2,977, ikiwa ni pamoja na waokoaji 441 kutoka mji wa New York. Zaidi ya watu 6,000 walijeruhiwa na wengine waliumwa magonjwa yanayohusiana na mashambulio hayo, haswa kwa sababu walivuta chembe zenye sumu ambazo ziliendelea kwa wiki kadhaa baada ya mashambulio.
    PART 8 Watu karibu 3,000 waangamia katika mashambulizi Mashambulizi haya manne, yaliyotekelezwa chini ya saa mbili, yaligharimu maisha ya watu 2,977, ikiwa ni pamoja na waokoaji 441 kutoka mji wa New York. Zaidi ya watu 6,000 walijeruhiwa na wengine waliumwa magonjwa yanayohusiana na mashambulio hayo, haswa kwa sababu walivuta chembe zenye sumu ambazo ziliendelea kwa wiki kadhaa baada ya mashambulio.
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·726 Visualizações
  • PART 4

    2:46 asubuhi, ulimwengu wapigwa na bumbuwazi

    Ilikuwa saa 2:46 asubuhi, saa zahuko New York, wakati Boeing 767 kutoka shirika la ndege la American Airlines Flight 11 ilipoanguka kwenye Mnara wa Kaskazini wa kituo cha Biashara cha World Trade Center , ikiwa na watu 92 , wakiwemo magaidi watano.
    Dakika kumi na saba baadaye, saa 3:03 asubuhi, vituo kadhaa vya televisheni vilikuwa vikitangaza tukio hilo, watu waliona ndege ya shirika la ndege la United Airlines Flight 175 ikigonga Mnara wa Kusini wa jengo hilo la kibiashara. Watu 65 walikuemo, ikiwa ni pamoja na watekaji nyara watano. Wakati moto ukiharibu sakafu za juu za minara hiyo miwili, Andrew Card, mkurugenzi katika ofisi ya rais, alimfahamisha rais George W. Bush: “Ndege ya pili imegonga mnara mwingine na Marekani sasa inashambuliwa. "
    PART 4 2:46 asubuhi, ulimwengu wapigwa na bumbuwazi Ilikuwa saa 2:46 asubuhi, saa zahuko New York, wakati Boeing 767 kutoka shirika la ndege la American Airlines Flight 11 ilipoanguka kwenye Mnara wa Kaskazini wa kituo cha Biashara cha World Trade Center , ikiwa na watu 92 , wakiwemo magaidi watano. Dakika kumi na saba baadaye, saa 3:03 asubuhi, vituo kadhaa vya televisheni vilikuwa vikitangaza tukio hilo, watu waliona ndege ya shirika la ndege la United Airlines Flight 175 ikigonga Mnara wa Kusini wa jengo hilo la kibiashara. Watu 65 walikuemo, ikiwa ni pamoja na watekaji nyara watano. Wakati moto ukiharibu sakafu za juu za minara hiyo miwili, Andrew Card, mkurugenzi katika ofisi ya rais, alimfahamisha rais George W. Bush: “Ndege ya pili imegonga mnara mwingine na Marekani sasa inashambuliwa. "
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações
  • Polisi huko Mjini New York, Marekani wametoa mkanda wa video unaoonesha kundi la watu wakiiba treni iliyokuwa imeegeshwa na kuiendesha.

    Polisi inasema watu hao walijirekodi wakifanya kitendo hicho kisha wakaposti video hiyo kwenye mtandao wa kijamii.
    (DW)

    Polisi huko Mjini New York, Marekani 🇺🇸 wametoa mkanda wa video unaoonesha kundi la watu wakiiba treni iliyokuwa imeegeshwa na kuiendesha. Polisi inasema watu hao walijirekodi wakifanya kitendo hicho kisha wakaposti video hiyo kwenye mtandao wa kijamii. (DW)
    Love
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·312 Visualizações
  • Shirika la habari la New York Post imeripoti kuwa Rais wa Marekani , Donald Trump amesitisha ufadhili wa kifedha kwenye mifuko inayopambana na virusi vya ukimwi Duniani kwa muda wa miezi mitatu. Zuio hilo litasababisha wasiwasi mkubwa wa upatikanaji wa dawa za kupambana na ugonjwa huo hatari kwa Wagonjwa takribani milioni (25) waliokuwa wanufaika na dawa hizo.

    Baadhi ya mifuko mikubwa iliyokuwa ikipokea fedha ikiwemo PEPFAR na Shirika la USAID yataathirika na zuio hilo. Zuio hilo ni moja ya mazuio ya Donald Trump ya utoaji fedha nje kwa ajili ya misaada ambao unafanyiwa mapitio na Serikali yake kuona tija yake ili kuona kama kuna haja ya kuendelea na ufadhili.

    Waathirika wakubwa katika zuio hilo ni bara la Afrika ambako idadi ya maambukizi na Wagonjwa bado ni kubwa huku hali ya umasikini kuweza kumudu gharama za dawa ikiwa sio nzuri. Trump anaendelea na sera ambazo zinatajwa kugusa makundi mbalimbali ulimwenguni kwa kila namna.

    Ikumbukwe kwamba Marekani ndio Nchi linaloongoza kwa kutoa misaada Duniani ikiwemo ya kugharamia udhibiti wa magonjwa mbalimbali ikiwemo ugonjwa hatari wa UKIMWI, malaria na kifua kikuu.

    Shirika la habari la New York Post imeripoti kuwa Rais wa Marekani 🇺🇸, Donald Trump amesitisha ufadhili wa kifedha kwenye mifuko inayopambana na virusi vya ukimwi Duniani kwa muda wa miezi mitatu. Zuio hilo litasababisha wasiwasi mkubwa wa upatikanaji wa dawa za kupambana na ugonjwa huo hatari kwa Wagonjwa takribani milioni (25) waliokuwa wanufaika na dawa hizo. Baadhi ya mifuko mikubwa iliyokuwa ikipokea fedha ikiwemo PEPFAR na Shirika la USAID yataathirika na zuio hilo. Zuio hilo ni moja ya mazuio ya Donald Trump ya utoaji fedha nje kwa ajili ya misaada ambao unafanyiwa mapitio na Serikali yake kuona tija yake ili kuona kama kuna haja ya kuendelea na ufadhili. Waathirika wakubwa katika zuio hilo ni bara la Afrika ambako idadi ya maambukizi na Wagonjwa bado ni kubwa huku hali ya umasikini kuweza kumudu gharama za dawa ikiwa sio nzuri. Trump anaendelea na sera ambazo zinatajwa kugusa makundi mbalimbali ulimwenguni kwa kila namna. Ikumbukwe kwamba Marekani ndio Nchi linaloongoza kwa kutoa misaada Duniani ikiwemo ya kugharamia udhibiti wa magonjwa mbalimbali ikiwemo ugonjwa hatari wa UKIMWI, malaria na kifua kikuu.
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações
  • police New York
    police New York
    Love
    1
    · 1 Comentários ·0 Compartilhamentos ·177 Visualizações
  • GHOROFA LA BAYTUL AJAAIB(House of Wonders) ZANZIBAR

    Katika mwaka 1884 Sultan wa zanzibar Sayyid Said walitiliana saini mkataba wa kibiashara na Marekani.

    Wamarekani walijenga kinu cha lifti ya kwanza ya umeme katika Afrika mashariki.

    Pia Marekani iliiwezesha Zanzibar kufaidi kuwa na Taa za Barabarani mapema mno kuliko hata London ambayo London wakati huo bado inatumia Taa za Gesi

    Zanzibar ndio ilikuwa ya kwanza kufunga mitambo ya simu ya Wireless iliyokuwa ikisafirisha mawasiliano kutoka Unguja kwenda Bagamoyo, Rwanda, Barundi, Uganda mpaka Koñgo. Kadhalika kutoka Unguja kwenda Aden mpaka Uingereza.

    Ndio maana kuna sehemu panaitwa WELESI hapo ndipo kilipokuwa kituo cha wireless

    Ni vijana wangapi leo hii wanaojua kwamba Mji wa Zanzibar ulikuwa wa mwanzo kuwasha Taa za umeme Barabarani na Mitaani zikiitwa 'Taa za Stimu' kabla ya London na New york?

    Je wewe kijana wajua meli za Marekani zilikuwa zikitia Nanga katika Bandari ya Zanzibar kuja kununua Mafuta ya Nyangumi kwa ajili ya kwenda kuwashia Taa zao za Barabarani wakati Zanzibar inatumia Umeme"

    Imeandaliwa na Victor Richard.
    GHOROFA LA BAYTUL AJAAIB(House of Wonders) ZANZIBAR Katika mwaka 1884 Sultan wa zanzibar Sayyid Said walitiliana saini mkataba wa kibiashara na Marekani. Wamarekani walijenga kinu cha lifti ya kwanza ya umeme katika Afrika mashariki. Pia Marekani iliiwezesha Zanzibar kufaidi kuwa na Taa za Barabarani mapema mno kuliko hata London ambayo London wakati huo bado inatumia Taa za Gesi Zanzibar ndio ilikuwa ya kwanza kufunga mitambo ya simu ya Wireless iliyokuwa ikisafirisha mawasiliano kutoka Unguja kwenda Bagamoyo, Rwanda, Barundi, Uganda mpaka Koñgo. Kadhalika kutoka Unguja kwenda Aden mpaka Uingereza. Ndio maana kuna sehemu panaitwa WELESI hapo ndipo kilipokuwa kituo cha wireless Ni vijana wangapi leo hii wanaojua kwamba Mji wa Zanzibar ulikuwa wa mwanzo kuwasha Taa za umeme Barabarani na Mitaani zikiitwa 'Taa za Stimu' kabla ya London na New york? Je wewe kijana wajua meli za Marekani zilikuwa zikitia Nanga katika Bandari ya Zanzibar kuja kununua Mafuta ya Nyangumi kwa ajili ya kwenda kuwashia Taa zao za Barabarani wakati Zanzibar inatumia Umeme" Imeandaliwa na Victor Richard.
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações
  • NDOTO YA MWANA MFALME WA SAUD ARABIA YA KUJENGA MJI UNAOJITEGEMEA KWA KILA KITU INAELEKEA KUTIMIA
    .
    .
    Mwana wa mfalme wa saud Arabia MOHAMMED BIN SALMAN alifikia uamuzi huo baada ya kutembelea ukanda wa kusinimagharibi mwa SAUDI ARABIA na kujionea eneo kubwa likiwa kame na lisilo na mvuto.Mradi huo utagharimu zaidi ya dola za kimarekani billioni miatano (500$) hii ni zaidi ya mara mia mbili ya bajeti ya Tanzania watu wanapesa bhana......
    .
    .
    Mradi huo utachukua maili za mraba elfu kumi (10,000 square miles) na katika huo mji vitu vingi vitakuwa ni BANDIA yaani vitu vingi vitakuwa ni vyakuundwa na binadamu kuanzia mchanga, mwezi nk.
    .
    .
    Amesema amekusudia kufanya hivyo kuonyesha na kuushangaza ulimwengu kwa kutoa wazo zuri na litakalo tukuzwa na kila mtu
    .
    .
    VITU VITAKAVYO KUWEPO HUMO
    .
    .
    MWEZI BANDIA (GIANT ARTIFICIAL MOON)
    Mwezi huo ndio utakuwa chanzo cha mwanga nyakati za usiku utakua ukiangaza na kutoa mwanga mkubwa kiasi kwamba usiku utakua ukionekana kama mchana.
    .
    MAGARI YANAYO PAA (FLYING CARS)
    katika mji huo kutakuwepo na magari yanayo paa ,yaani huduma nyingi za usafiri wa magari kama daladala na taxi zitakuwa zinatolewa na magari yanayopaa
    .
    MCHANGA BANDIA (ARTIFICIAL SHINNING SAND)
    Mwana mfalme huyo amekusudia kutengeneza mchanga ambao utakuwa unang'aa nyakati za mchana na usiku taswila ambayo itaongeza mvuto na uzuri wa mji huo
    .
    MVUA BANDIA (ARTIFICIAL RAIN)
    Pia amekusudia kutengeneza mvua mbadala yaani mvua ambayo itakuwa ikinyesha muda wowote anaotaka haijalishi ni kiangazi wala masika.Kumbuka mji huo utajengwa kwenye jangwa lililopo pembezoni mwa SAUDI ARABIA .
    .
    WAHUDUMU MAROBOTI (ROBOT WORKERS)
    Kumbuka mji huo utakuwa kama sehemu ya kiutalii hivyo amekusudia kuajiri wafanya maroboti.Maroboti hao watakuwa wakitoa huduma mbalimbali kama kuhudumia vinywaji kwenye bar chakuka kwenye hotel na hata kuendesha baadhi ya taxi.
    .
    .
    NB
    Teknolojia ya gari zinazopaa ilisha wekwa wazi na baadhi ya wasafiri wa kinadharia (TIME TRAVELERS) wengi wa time travelers wanasema mpaka kufikia mwaka 2030 teknolojia ya magari yanayopaa itakuwa ishaanza kushamiri katika miji mingi mikubwa duniani kama TEXAS,NEW YORK CITY,PARIS,BEIJING nk
    NDOTO YA MWANA MFALME WA SAUD ARABIA YA KUJENGA MJI UNAOJITEGEMEA KWA KILA KITU INAELEKEA KUTIMIA . . Mwana wa mfalme wa saud Arabia MOHAMMED BIN SALMAN alifikia uamuzi huo baada ya kutembelea ukanda wa kusinimagharibi mwa SAUDI ARABIA na kujionea eneo kubwa likiwa kame na lisilo na mvuto.Mradi huo utagharimu zaidi ya dola za kimarekani billioni miatano (500$) hii ni zaidi ya mara mia mbili ya bajeti ya Tanzania watu wanapesa bhana...... . . Mradi huo utachukua maili za mraba elfu kumi (10,000 square miles) na katika huo mji vitu vingi vitakuwa ni BANDIA yaani vitu vingi vitakuwa ni vyakuundwa na binadamu kuanzia mchanga, mwezi nk. . . Amesema amekusudia kufanya hivyo kuonyesha na kuushangaza ulimwengu kwa kutoa wazo zuri na litakalo tukuzwa na kila mtu . . VITU VITAKAVYO KUWEPO HUMO . . 🔴 MWEZI BANDIA (GIANT ARTIFICIAL MOON) Mwezi huo ndio utakuwa chanzo cha mwanga nyakati za usiku utakua ukiangaza na kutoa mwanga mkubwa kiasi kwamba usiku utakua ukionekana kama mchana. . 🔴MAGARI YANAYO PAA (FLYING CARS) katika mji huo kutakuwepo na magari yanayo paa ,yaani huduma nyingi za usafiri wa magari kama daladala na taxi zitakuwa zinatolewa na magari yanayopaa . 🔴MCHANGA BANDIA (ARTIFICIAL SHINNING SAND) Mwana mfalme huyo amekusudia kutengeneza mchanga ambao utakuwa unang'aa nyakati za mchana na usiku taswila ambayo itaongeza mvuto na uzuri wa mji huo . 🔴MVUA BANDIA (ARTIFICIAL RAIN) Pia amekusudia kutengeneza mvua mbadala yaani mvua ambayo itakuwa ikinyesha muda wowote anaotaka haijalishi ni kiangazi wala masika.Kumbuka mji huo utajengwa kwenye jangwa lililopo pembezoni mwa SAUDI ARABIA . . 🔴WAHUDUMU MAROBOTI (ROBOT WORKERS) Kumbuka mji huo utakuwa kama sehemu ya kiutalii hivyo amekusudia kuajiri wafanya maroboti.Maroboti hao watakuwa wakitoa huduma mbalimbali kama kuhudumia vinywaji kwenye bar chakuka kwenye hotel na hata kuendesha baadhi ya taxi. . . NB Teknolojia ya gari zinazopaa ilisha wekwa wazi na baadhi ya wasafiri wa kinadharia (TIME TRAVELERS) wengi wa time travelers wanasema mpaka kufikia mwaka 2030 teknolojia ya magari yanayopaa itakuwa ishaanza kushamiri katika miji mingi mikubwa duniani kama TEXAS,NEW YORK CITY,PARIS,BEIJING nk
    Like
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·2K Visualizações
  • JE UNAKIJUA CHUMBA MAARUFU NAMBA 39?...

    ROOM 39.....

    NIlipokuwa nikisoma kuhusu dada yake kiongozi wa Korea Kaskazini aitwae Kim Yo-jong nikapata kidogo ufahamu wa chumba kiitwacho Room 39 ambacho inasadikiwa kuwa mume wake dada huyo aitwae Chong Ryong-hae anafanya kazi ndani ya chumba hicho.

    Chumba hiki kina majina mengi kadhaa kama vile Bureau au Kitengo, Division au sehemu au pia Office 39.

    Chumba hiki kipo ndani ya jengo la chama cha wafanyakazi wa Korea kaskazini jengo ambalo halipo mbali na makazi rasmi ya kiongozi wa Korea Kaskazini bwana Kim Jong-un.

    Lakini kiukweli hiki ni kitengo maalum cha kijasusi ambacho kinafanya kazi zake ndani ya chama cha wafanyakazi wa Korea Kaskazni ambacho kina jukumu moja tu, kuhakikisha viongozi wa Korea Kaskazini wana fedha za kigeni za matumizi wakiwa nje ya nchi hiyo.

    Room 39 kipo chini ya usimamizi wa kamati kuu ya chama hicho lakini upande wa kamati ya kijeshi ambayo ina majukumu ya kupitisha matumizi ya fedha kwa jeshi kwenye ununuzi wa silaha na usimamzi wa maliasili za nchi hiyo madini yakiwemo.

    Inakisiwa kuwa kitengo hicho kinaingiza kati ya dola milioni 500 hadi bilioni 1 au zaidi kwa mwaka, na fedha hizo ni kutokana na biashara za aina zote tunazozifahamu duniani zikiwemo halali na haramu.

    Ukiangalia kazi za kitengo hiki waweza kukifananisha kwa mbali na jeshi maalum la Iran la IRGC ambalo pia linajitegemea na linahisiwa kuingiza kiasi cha dola hadi bilioni 12 kwa mwaka zinatotokana na shughuli mbalimbali za kiuchumi.

    Tofauti iliyopo kidogo ni kwamba Chumba 39 au Room 39 kimejikita zaidi kwenye ujasusi wa nje ya Korea Kaskazini na kinaratibu ofisi na makampuni mbalimbali ndani na nje ya Korea Kaskazini huku wakibadilisha majina mara kwa mara.

    Mfano wa makampuni mbalimbali yanayoendesha shughuli zake nje ya Korea Kaskazini ni migahawa iitwayo Pyongyang ambayo ipo sehemu mbalimbali duniani.

    Kampuni ingine ni ile ya KNIC ambayo inashughulika na masuala ya bima na ina ofisi katika miji ya Hamburg nchini Ujerumani na London nchini Uingereza. Mwaka 2015 umoja wa Ulaya uliwahi kuifungia kampuni hii kutokana na kujishughulisha na biashara haramu na bima bandia na kujipatia fedha kutokana na kudai bima hewa.

    Chumba 39 kilianzishwa kwenye miaka ya 70 na Kim II Sung ambae ni babu yake Kim Jong-un na kukabidhiwa majukumu ya kuhakikisha utawala wa Korea kaskazini huishiwi fedha za kujiendesha pamoja na usimamizi wa uchumi wa nchi hiyo.

    Mahali kilipoanzia shughuli zake ni chumba kilichoitwa Office 39 na baadae kubatiza chumba hichi jina la Room 39 kikiwa nyuma ya chumba kingine kiitwacho room 36 ambacho kazi yake kubwa ni kusimamia fedha za utawala wa Korea Kakazini.

    Chumba hiki kina shughuli nyingi na kimesheheni majasusi wenye taaluma zote muhimu wakiwemo wakemia ambao hudaiwa kutengeneza madawa mbalimbali na kuyauza nchini China, Japan na sehemu zingine barani Asia.

    Pia majasusi wakemia wa chumba 39 wanasadikiwa kutengeneza dawa za kuongeza nguvu za kiume maarufu kama Viagra zenye vimelea mbalimbali kwenye viwanda vyake vilivyoko sehemu iitwayo Chonglin na kuuza kwenye nchi za Hong Kong, China na Mashariki ya kati.

    Kitengo hiki pia kina wataalam wa masuala ya fedha na watengenezaji noti bandia ziitwazo "Supernotes" ambazo huonekana kama fedha halali kwa matumizi na huwa na thamani ya hadi dola milioni 100.

    Kitengo hiki cha kipekee pia hutengeneza bidhaa ambazo baadae huwekwa nembo ya bidhaa za China na kupitishwa na kufanikiwa kufika kwenye masoko ya kimataifa kwenye nchi kama za Ufaransa, Italia na Korea Kusini.

    Bidhaa hizo ni pamoja na Eyelashes (kalamu ya urembo wa kope za macho), vifaa vya muziki na sigara ambavyo kwa pamoja vinasadikiwa kuiingizia nchi hiyo dola milioni 120 kwa mwaka.

    Kwa upande wa mauzo ya silaha nchi hiyo iliwekewa vikwazo kwenye uuzajiw a silaha zake lakini chumba namba 39 kikafanikwia na mwaka 2014 silaha za Korea kaskazini ziliuzwa kwa kutumia makampuni yake yenye majna halali kwa nchi za Syria, Myanmar, Eritrea, Tanzania, Ethiopia, Somalia na Iran.

    Kitengo hiki pia mwaka 2016 kwa kutumia majasusi wake wataalam wa teknolojia walifanikiwa kudukua hazina ya New York iitwayo Federal Reserve na kuchukua kiasi cha dola bilioni 1.

    Majasusi wa Marekani walipokuwa wakifuatilia wizi huo walikuja kugundua kasoro ya maandishi kwenye makaratasi ya kuombea kufanya mialama na ndipo walipogundua kasoro kwenye neno Foundation lililoandikwa "fandation" ndipo walipobaini kuwa wakorea kaskazini ndio walofanya uharibifu.

    Itakumbukwa kuwa mwaka huohuo wa 2016 ndio mwaka ambao kulitokea kirusi cha kompyuta cha "Wannacry" ambacho kilivamia mifumo mbalimbali ya kompyuta duniani.

    Pia majasusi hao wa Room 39 waliweza kuingiza kwenye mifumo ya ulinzi wa anga ya Korea Kusini na kufanikiwa kuiba ndege za kivita na kisha kuzirusha na kuzitua salama nchini Korea Kaskazini na zisipatikane hadi leo.

    Nchi nyingi zilizoendelea kwa sasa zimeamua kuwekeza kwenye utaalam wa masuala ya mitandao uitwao Cyber Security kwani inasadikiwa kuwa chumba namba 39 kina majasusi wengi walopikwa tayari kushambulia nchi yoyote ile duniani.

    Ama hakika chumba hiki kiitwacho Room 39 ni chumba hatari kuwahi kutokea duniani na hivi karibuni na kuendelea tuzidi kusikiliza kauli zinazotoka kwa utawala wa PyongYang khasa dada yake Kim Jong-un aitwae Kim Yo-jong ambae kiufundi anaonekana ndie kamanda wa Room 39.

    Hii inaweza kumfanya aonekane kuwa ni mwanamke hatari zaidi kuwahi kutokea duniani.

    NB: Ombi kwa MOds msiuunganishe uzi huu.

    Karibu.
    JE UNAKIJUA CHUMBA MAARUFU NAMBA 39?... ROOM 39..... NIlipokuwa nikisoma kuhusu dada yake kiongozi wa Korea Kaskazini aitwae Kim Yo-jong nikapata kidogo ufahamu wa chumba kiitwacho Room 39 ambacho inasadikiwa kuwa mume wake dada huyo aitwae Chong Ryong-hae anafanya kazi ndani ya chumba hicho. Chumba hiki kina majina mengi kadhaa kama vile Bureau au Kitengo, Division au sehemu au pia Office 39. Chumba hiki kipo ndani ya jengo la chama cha wafanyakazi wa Korea kaskazini jengo ambalo halipo mbali na makazi rasmi ya kiongozi wa Korea Kaskazini bwana Kim Jong-un. Lakini kiukweli hiki ni kitengo maalum cha kijasusi ambacho kinafanya kazi zake ndani ya chama cha wafanyakazi wa Korea Kaskazni ambacho kina jukumu moja tu, kuhakikisha viongozi wa Korea Kaskazini wana fedha za kigeni za matumizi wakiwa nje ya nchi hiyo. Room 39 kipo chini ya usimamizi wa kamati kuu ya chama hicho lakini upande wa kamati ya kijeshi ambayo ina majukumu ya kupitisha matumizi ya fedha kwa jeshi kwenye ununuzi wa silaha na usimamzi wa maliasili za nchi hiyo madini yakiwemo. Inakisiwa kuwa kitengo hicho kinaingiza kati ya dola milioni 500 hadi bilioni 1 au zaidi kwa mwaka, na fedha hizo ni kutokana na biashara za aina zote tunazozifahamu duniani zikiwemo halali na haramu. Ukiangalia kazi za kitengo hiki waweza kukifananisha kwa mbali na jeshi maalum la Iran la IRGC ambalo pia linajitegemea na linahisiwa kuingiza kiasi cha dola hadi bilioni 12 kwa mwaka zinatotokana na shughuli mbalimbali za kiuchumi. Tofauti iliyopo kidogo ni kwamba Chumba 39 au Room 39 kimejikita zaidi kwenye ujasusi wa nje ya Korea Kaskazini na kinaratibu ofisi na makampuni mbalimbali ndani na nje ya Korea Kaskazini huku wakibadilisha majina mara kwa mara. Mfano wa makampuni mbalimbali yanayoendesha shughuli zake nje ya Korea Kaskazini ni migahawa iitwayo Pyongyang ambayo ipo sehemu mbalimbali duniani. Kampuni ingine ni ile ya KNIC ambayo inashughulika na masuala ya bima na ina ofisi katika miji ya Hamburg nchini Ujerumani na London nchini Uingereza. Mwaka 2015 umoja wa Ulaya uliwahi kuifungia kampuni hii kutokana na kujishughulisha na biashara haramu na bima bandia na kujipatia fedha kutokana na kudai bima hewa. Chumba 39 kilianzishwa kwenye miaka ya 70 na Kim II Sung ambae ni babu yake Kim Jong-un na kukabidhiwa majukumu ya kuhakikisha utawala wa Korea kaskazini huishiwi fedha za kujiendesha pamoja na usimamizi wa uchumi wa nchi hiyo. Mahali kilipoanzia shughuli zake ni chumba kilichoitwa Office 39 na baadae kubatiza chumba hichi jina la Room 39 kikiwa nyuma ya chumba kingine kiitwacho room 36 ambacho kazi yake kubwa ni kusimamia fedha za utawala wa Korea Kakazini. Chumba hiki kina shughuli nyingi na kimesheheni majasusi wenye taaluma zote muhimu wakiwemo wakemia ambao hudaiwa kutengeneza madawa mbalimbali na kuyauza nchini China, Japan na sehemu zingine barani Asia. Pia majasusi wakemia wa chumba 39 wanasadikiwa kutengeneza dawa za kuongeza nguvu za kiume maarufu kama Viagra zenye vimelea mbalimbali kwenye viwanda vyake vilivyoko sehemu iitwayo Chonglin na kuuza kwenye nchi za Hong Kong, China na Mashariki ya kati. Kitengo hiki pia kina wataalam wa masuala ya fedha na watengenezaji noti bandia ziitwazo "Supernotes" ambazo huonekana kama fedha halali kwa matumizi na huwa na thamani ya hadi dola milioni 100. Kitengo hiki cha kipekee pia hutengeneza bidhaa ambazo baadae huwekwa nembo ya bidhaa za China na kupitishwa na kufanikiwa kufika kwenye masoko ya kimataifa kwenye nchi kama za Ufaransa, Italia na Korea Kusini. Bidhaa hizo ni pamoja na Eyelashes (kalamu ya urembo wa kope za macho), vifaa vya muziki na sigara ambavyo kwa pamoja vinasadikiwa kuiingizia nchi hiyo dola milioni 120 kwa mwaka. Kwa upande wa mauzo ya silaha nchi hiyo iliwekewa vikwazo kwenye uuzajiw a silaha zake lakini chumba namba 39 kikafanikwia na mwaka 2014 silaha za Korea kaskazini ziliuzwa kwa kutumia makampuni yake yenye majna halali kwa nchi za Syria, Myanmar, Eritrea, Tanzania, Ethiopia, Somalia na Iran. Kitengo hiki pia mwaka 2016 kwa kutumia majasusi wake wataalam wa teknolojia walifanikiwa kudukua hazina ya New York iitwayo Federal Reserve na kuchukua kiasi cha dola bilioni 1. Majasusi wa Marekani walipokuwa wakifuatilia wizi huo walikuja kugundua kasoro ya maandishi kwenye makaratasi ya kuombea kufanya mialama na ndipo walipogundua kasoro kwenye neno Foundation lililoandikwa "fandation" ndipo walipobaini kuwa wakorea kaskazini ndio walofanya uharibifu. Itakumbukwa kuwa mwaka huohuo wa 2016 ndio mwaka ambao kulitokea kirusi cha kompyuta cha "Wannacry" ambacho kilivamia mifumo mbalimbali ya kompyuta duniani. Pia majasusi hao wa Room 39 waliweza kuingiza kwenye mifumo ya ulinzi wa anga ya Korea Kusini na kufanikiwa kuiba ndege za kivita na kisha kuzirusha na kuzitua salama nchini Korea Kaskazini na zisipatikane hadi leo. Nchi nyingi zilizoendelea kwa sasa zimeamua kuwekeza kwenye utaalam wa masuala ya mitandao uitwao Cyber Security kwani inasadikiwa kuwa chumba namba 39 kina majasusi wengi walopikwa tayari kushambulia nchi yoyote ile duniani. Ama hakika chumba hiki kiitwacho Room 39 ni chumba hatari kuwahi kutokea duniani na hivi karibuni na kuendelea tuzidi kusikiliza kauli zinazotoka kwa utawala wa PyongYang khasa dada yake Kim Jong-un aitwae Kim Yo-jong ambae kiufundi anaonekana ndie kamanda wa Room 39. Hii inaweza kumfanya aonekane kuwa ni mwanamke hatari zaidi kuwahi kutokea duniani. NB: Ombi kwa MOds msiuunganishe uzi huu. Karibu.
    0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·2K Visualizações
  • Msanii Mkongwe Wakazi ameshutumu Baba Levo wizi.

    "BABA LEVO NI MWIZI

    Wanasema unaweza mtoa mtu uswahilini, ila huwezi utoa uswahili ulio ndani yake!! Ndio haya

    Baba Levo kaenda Marekani, watu wamemkaribisha na kumuonyesha hospitality, wamemzungusha na kuhakikisha anapata a great experience, wakampa vitu vyao awaletee ndugu na jamaa zao Tanzania, jamaa akaviiba akidai vimeibiwa. Shameful

    iPhones na iPad za Mussa wa New York… Baba Levo rudisha!! Alafu alivyo mjinga anasema vimeibiwa Uturuki. Kweli Shule Muhimu… IMEI Number za vitu zinasoma ziko Bongo alafu yeye anadai vimeibiwa Uturuki. Smh

    Ina maana Wasafi hawakulipi vizuri hadi unaamua kuwa na tamaa na wizi wa kijinga hivyo, tena kwa watu waliokusaidia?! Ujue ulivyomdhihaki @officialshilole na mambo ya kupika, Shishi alinipigia simu na ku-mind sana, ila nikasita maana sikutaka kuingilia sana issue zako ila sasa umefanya jambo la aibu sana lazima tuseme! Sio tu huna fadhila (kwa kina Shishi) bali ni mshenzi wa tabia na mwizi.

    @silent_ocean_ltd (Simba Wa Bahari) na makampuni mengine mnayo wapa ubalozi hawa watu, muwe mnaangalia na integrity zao pia sio umaarufu tu; kuna baadhi ya wateja mtawafukuza for having people with suspect image in certain communities. Au wabaki mabalozi huko africa sio huku… (Wako kina Roma, Mr Beneficial, Young Dee, Mabeste na Izzo Bidness… they can do the job)

    Eri “nimeacha begi airport, wameiba simu”. Ulaya uache begi unattended alafu mtu aje kulipekua na kuimba vitu vya watu tu? Airport gani, hii hi Ataturk ya Istanbul au kuna mpya? Uongo wa Kitoto… bora hata ungesema uli check in!! smh Jizi jizi jizi !!! Na vitakutokea hiyo pua yako kama ngumu ya Twaha Kiduku. #IHateThieves #RudishaVituVyaWatu " ameandika Wakazi.
    Msanii Mkongwe Wakazi ameshutumu Baba Levo wizi. "BABA LEVO NI MWIZI Wanasema unaweza mtoa mtu uswahilini, ila huwezi utoa uswahili ulio ndani yake!! Ndio haya Baba Levo kaenda Marekani, watu wamemkaribisha na kumuonyesha hospitality, wamemzungusha na kuhakikisha anapata a great experience, wakampa vitu vyao awaletee ndugu na jamaa zao Tanzania, jamaa akaviiba akidai vimeibiwa. Shameful iPhones na iPad za Mussa wa New York… Baba Levo rudisha!! Alafu alivyo mjinga anasema vimeibiwa Uturuki. Kweli Shule Muhimu… IMEI Number za vitu zinasoma ziko Bongo alafu yeye anadai vimeibiwa Uturuki. Smh Ina maana Wasafi hawakulipi vizuri hadi unaamua kuwa na tamaa na wizi wa kijinga hivyo, tena kwa watu waliokusaidia?! Ujue ulivyomdhihaki @officialshilole na mambo ya kupika, Shishi alinipigia simu na ku-mind sana, ila nikasita maana sikutaka kuingilia sana issue zako ila sasa umefanya jambo la aibu sana lazima tuseme! Sio tu huna fadhila (kwa kina Shishi) bali ni mshenzi wa tabia na mwizi. @silent_ocean_ltd (Simba Wa Bahari) na makampuni mengine mnayo wapa ubalozi hawa watu, muwe mnaangalia na integrity zao pia sio umaarufu tu; kuna baadhi ya wateja mtawafukuza for having people with suspect image in certain communities. Au wabaki mabalozi huko africa sio huku… (Wako kina Roma, Mr Beneficial, Young Dee, Mabeste na Izzo Bidness… they can do the job) Eri “nimeacha begi airport, wameiba simu”. Ulaya uache begi unattended alafu mtu aje kulipekua na kuimba vitu vya watu tu? Airport gani, hii hi Ataturk ya Istanbul au kuna mpya? Uongo wa Kitoto… bora hata ungesema uli check in!! smh Jizi jizi jizi !!! Na vitakutokea hiyo pua yako kama ngumu ya Twaha Kiduku. #IHateThieves #RudishaVituVyaWatu " ameandika Wakazi.
    Haha
    1
    · 0 Comentários ·0 Compartilhamentos ·2K Visualizações
  • Office at New york City
    Office at New york City
    Like
    Love
    Wow
    12
    · 2 Comentários ·0 Compartilhamentos ·1K Visualizações