• "Kwa mijadala ambayo nimeitazama inaendelea baada ya mchezo wa Yanga na Singida Black Stars inaonyesha kuwa asilimia kubwa ya watu walikuwa na matokeo ya Singida kushinda kwenye mechi hiyo.

    Kikawaida mwalimu anaweza kupanga kikosi kulingana na mahitaji ya mchezo husika na namna ambavyo amewasoma wapinzani na sio mchezaji bora anaweza kuanza kwenye mechi.

    Kinachoendelea kwasasa ni kuzinyima uhuru hizi timu za madaraja ya chini kuamua wachezaji zitakazowatumia kwenye michezo yake dhidi ya Simba na Yanga.

    Hii pia ni aina moja wapo ya kudumaza soka letu. Yanga kwenye ubora wao kila timu imepata ilichokitegemea, kila timu imevuna ilichokipanda.Ili timu isiwe imepanga matokeo lazima iifunge Yanga? Na ikifungwa tu basi imepanga matokeo?

    Tuwape uhuru makocha wa kuamua nyota watakaocheza kwenye michezo husika kulingana na mbinu za wapinzani wao." - Lameck Shabahanga Mwandishi wa habari.

    "Kwa mijadala ambayo nimeitazama inaendelea baada ya mchezo wa Yanga na Singida Black Stars inaonyesha kuwa asilimia kubwa ya watu walikuwa na matokeo ya Singida kushinda kwenye mechi hiyo. Kikawaida mwalimu anaweza kupanga kikosi kulingana na mahitaji ya mchezo husika na namna ambavyo amewasoma wapinzani na sio mchezaji bora anaweza kuanza kwenye mechi. Kinachoendelea kwasasa ni kuzinyima uhuru hizi timu za madaraja ya chini kuamua wachezaji zitakazowatumia kwenye michezo yake dhidi ya Simba na Yanga. Hii pia ni aina moja wapo ya kudumaza soka letu. Yanga kwenye ubora wao kila timu imepata ilichokitegemea, kila timu imevuna ilichokipanda.Ili timu isiwe imepanga matokeo lazima iifunge Yanga? Na ikifungwa tu basi imepanga matokeo? Tuwape uhuru makocha wa kuamua nyota watakaocheza kwenye michezo husika kulingana na mbinu za wapinzani wao." - Lameck Shabahanga Mwandishi wa habari.
    0 Comments ·0 Shares ·127 Views
  • "Wakati tunazilaumu Simba Sports na Azam Football Club Kuukosa Ubingwa,tukumbuke pia Mazingira Yao Magumu ya Kushindana

    Parameters za Simba Sports na Azam Fc Kuchukua Ubingwa zimebadilika Kabisa na ni tofauti Washindani wenzao Kwenye Ligi

    Kuna hoja Lazy sana eti Mbona Simba Sports alicheza na Tabora United Dhaifu?

    Kwenye Mechi zote 2 Tabora wana uwezo wa Ku justifie Kwanini walichezesha Vikosi vile na ukawaelewa vizuri tu.

    Mechi ya Kwanza n issue ya Vibali,na mechi ya Pili Heritier Makambo alikuwa na Kadi 3 za njano. Yacouba Sogne alikuwa ni Majeruhi..

    Kuna hoja Lazy nyingine Kwamba mbona Kikosi bora cha Singida Black Stars Kilifungwa 2-0 na KMC ambayo ilifungwa 6-1 na Yanga?

    Kwanza Kwenye hiyo hoja hapo wote tumekubaliana Kwamba Singida Black Stars wamepanga Kikosi Dhaifu

    Pili, Sisi hatusemi Singida Black Stars angepanga Kikosi bora lazima angeshinda dhidi ya Yanga au asingepoteza mechi

    Mbona ile Mechi ya Kwanza Kule Amani Complex Zanzibar Singida Black Stars waliweka Full Mkoko na bado Yanga alishinda 1-0 bao la Paccome ?

    Swali ni Sababu ipi ya Singida Black Stars Kubadilisha wachezaji 6 Kutoka Kwenye Kikosi Kilichomfunga Jkt Tanzania 1-0?

    Mbaya zaidi Kuna wachezaji walichezeshwa Kabisa nje ya Maeneo ya ya asili na wachezaji wenye nafasi zao wakiwa bench

    Singida black stars Dhaifu ilipigwa 2-0 Kipindi Cha Kwanza na Stars bora ilishinda 1-0 Kipindi cha Pili.

    Ligi yetu tukufu inachezewa na watu ambao hawana nia njema na Mpira wetu na Kama tusipotwanga sasa hivi tutakuja Kuula Mbichi" - Wilson Orumo, Mchambuzi.

    "Wakati tunazilaumu Simba Sports na Azam Football Club Kuukosa Ubingwa,tukumbuke pia Mazingira Yao Magumu ya Kushindana Parameters za Simba Sports na Azam Fc Kuchukua Ubingwa zimebadilika Kabisa na ni tofauti Washindani wenzao Kwenye Ligi Kuna hoja Lazy sana eti Mbona Simba Sports alicheza na Tabora United Dhaifu? Kwenye Mechi zote 2 Tabora wana uwezo wa Ku justifie Kwanini walichezesha Vikosi vile na ukawaelewa vizuri tu. Mechi ya Kwanza n issue ya Vibali,na mechi ya Pili Heritier Makambo alikuwa na Kadi 3 za njano. Yacouba Sogne alikuwa ni Majeruhi.. Kuna hoja Lazy nyingine Kwamba mbona Kikosi bora cha Singida Black Stars Kilifungwa 2-0 na KMC ambayo ilifungwa 6-1 na Yanga? Kwanza Kwenye hiyo hoja hapo wote tumekubaliana Kwamba Singida Black Stars wamepanga Kikosi Dhaifu Pili, Sisi hatusemi Singida Black Stars angepanga Kikosi bora lazima angeshinda dhidi ya Yanga au asingepoteza mechi Mbona ile Mechi ya Kwanza Kule Amani Complex Zanzibar Singida Black Stars waliweka Full Mkoko na bado Yanga alishinda 1-0 bao la Paccome ? Swali ni Sababu ipi ya Singida Black Stars Kubadilisha wachezaji 6 Kutoka Kwenye Kikosi Kilichomfunga Jkt Tanzania 1-0? Mbaya zaidi Kuna wachezaji walichezeshwa Kabisa nje ya Maeneo ya ya asili na wachezaji wenye nafasi zao wakiwa bench Singida black stars Dhaifu ilipigwa 2-0 Kipindi Cha Kwanza na Stars bora ilishinda 1-0 Kipindi cha Pili. Ligi yetu tukufu inachezewa na watu ambao hawana nia njema na Mpira wetu na Kama tusipotwanga sasa hivi tutakuja Kuula Mbichi" - Wilson Orumo, Mchambuzi.
    0 Comments ·0 Shares ·165 Views

  • KUTOKA SINGIDA BLACK STARS

    HII NI KWENU WACHAMBUZI WOTE WENYE USHABIKI KULIKO UCHAMBUZI

    Singida Black stars Sc ni Timu yenye utaratibu wake na mipango yake juu ya kuiongoza Timu yake kwa misingi yake

    Timu yetu haipangiwi na wala hatupelekeshwi na maneno ya mitandaoni katika kuiendesha Timu Yetu, Tunaomba Mfahamu kuwa kila mchezaji Tuliyemsajili anatufaa na anafaa kuipambania Nembo ya Timu yetu

    Katika kikosi chetu chenye jumla ya wachezaji 33 wote wakiwa wazima wa Afya na Fitness nzuri kocha wetu na Benchi letu la Ufundi lina uhuru wa Kumchagua Mchezaji yeyote akaanza katika kikosi cha kwanza katika mchezo wowote

    Rejea michezo Yetu Mitatu ya nyuma kabla ya mchezo wa jana dhidi ya Yanga sc Tulicheza michezo 3 dhidi ya Kagera Sugar, KMC Fc, na JKT Tanzania

    Katika mchezo wetu dhidi ya Kagera sugar tulianzisha wachezaji wengi wa kimataifa na Tulipata sare ya goli 2-2 mchezo uliofuata tukacheza dhidi ya KMC FC na wachezaji wengi wa kimataifa walianza pia tukafungwa goli 2 bila Benchi la ufundi kikafanya mabadiliko kadhaa kwenye mchezo uliofuata dhidi ya JKT Tanzania Na tukapata ushindi kwenye moja ya Viwanja ambavyo Timu zote za ligi kuu hakuna iliyopata ushindi

    Baada ya Benchi la Ufundi kuridhika na vipaji vya wachezaji wetu wa ndani waliotupa Ushindi wa mchezo wa JKT Tanzania wakaridhishwa kwamba wachezaji wale wanafaa baadhi yao kuanza kwenye mchezo dhidi ya Yanga, kwa upande wa Timu yetu Tumefurahi Timu ilicheza vizuri kwa nidhamu ya hali ya juu na mchezo ukaisha kwa goal 2-1

    Sasa baada ya mchezo ule wameibuka watu wanaojiita wachambuzi kwa vivuli vya ushabiki wao na roho zao mbaya na umaskini uliowajaa wanataka kutupangia Kikosi chetu kitu Ambacho kwetu hakikubaliki hata kidogo

    Ni mfano uone mwanaume Ameoa wake 4 alafu wewe jirani yake unataka kumpangia kwamba Leo kalale kwa mwanamke huyu na utapikiwa na huyu hilo haliwezekani Abadani SISI HATUPANGIWI MAISHA NA VITAKATAKA KAMA NYINYI
    KUTOKA SINGIDA BLACK STARS ✍️ HII NI KWENU WACHAMBUZI WOTE WENYE USHABIKI KULIKO UCHAMBUZI Singida Black stars Sc ni Timu yenye utaratibu wake na mipango yake juu ya kuiongoza Timu yake kwa misingi yake Timu yetu haipangiwi na wala hatupelekeshwi na maneno ya mitandaoni katika kuiendesha Timu Yetu, Tunaomba Mfahamu kuwa kila mchezaji Tuliyemsajili anatufaa na anafaa kuipambania Nembo ya Timu yetu Katika kikosi chetu chenye jumla ya wachezaji 33 wote wakiwa wazima wa Afya na Fitness nzuri kocha wetu na Benchi letu la Ufundi lina uhuru wa Kumchagua Mchezaji yeyote akaanza katika kikosi cha kwanza katika mchezo wowote Rejea michezo Yetu Mitatu ya nyuma kabla ya mchezo wa jana dhidi ya Yanga sc Tulicheza michezo 3 dhidi ya Kagera Sugar, KMC Fc, na JKT Tanzania Katika mchezo wetu dhidi ya Kagera sugar tulianzisha wachezaji wengi wa kimataifa na Tulipata sare ya goli 2-2 mchezo uliofuata tukacheza dhidi ya KMC FC na wachezaji wengi wa kimataifa walianza pia tukafungwa goli 2 bila Benchi la ufundi kikafanya mabadiliko kadhaa kwenye mchezo uliofuata dhidi ya JKT Tanzania Na tukapata ushindi kwenye moja ya Viwanja ambavyo Timu zote za ligi kuu hakuna iliyopata ushindi Baada ya Benchi la Ufundi kuridhika na vipaji vya wachezaji wetu wa ndani waliotupa Ushindi wa mchezo wa JKT Tanzania wakaridhishwa kwamba wachezaji wale wanafaa baadhi yao kuanza kwenye mchezo dhidi ya Yanga, kwa upande wa Timu yetu Tumefurahi Timu ilicheza vizuri kwa nidhamu ya hali ya juu na mchezo ukaisha kwa goal 2-1 Sasa baada ya mchezo ule wameibuka watu wanaojiita wachambuzi kwa vivuli vya ushabiki wao na roho zao mbaya na umaskini uliowajaa wanataka kutupangia Kikosi chetu kitu Ambacho kwetu hakikubaliki hata kidogo Ni mfano uone mwanaume Ameoa wake 4 alafu wewe jirani yake unataka kumpangia kwamba Leo kalale kwa mwanamke huyu na utapikiwa na huyu hilo haliwezekani Abadani SISI HATUPANGIWI MAISHA NA VITAKATAKA KAMA NYINYI
    0 Comments ·0 Shares ·167 Views
  • Zambro Traore wakala wa wachezaji wa kigeni waliopo Yanga, Simba na Singida Black Stars
    Zambro Traore wakala wa wachezaji wa kigeni waliopo Yanga, Simba na Singida Black Stars 🔥
    Like
    1
    · 1 Comments ·0 Shares ·39 Views
  • Movie Name: Flight Risk (2025)
    Rating: 83
    Quality: 480p | 720p | 1080p HD
    Duration: 91 min.
    Language: English, Deutsch
    Subtitles: English, Deutsch
    Credit Cast: Michelle Dockery Davis Entertainment
    Stars: Michelle Dockery, Mark Wahlberg, Topher Grace, Leah Remini, Paul Ben-Victor, Maaz Ali
    Genres: Action, Thriller, Crime

    Download link https://leakedcinema.com/en/movie/1126166/FlightRisk
    Movie Name: Flight Risk (2025) Rating: 83 Quality: 480p | 720p | 1080p HD Duration: 91 min. Language: English, Deutsch Subtitles: English, Deutsch Credit Cast: Michelle Dockery Davis Entertainment Stars: Michelle Dockery, Mark Wahlberg, Topher Grace, Leah Remini, Paul Ben-Victor, Maaz Ali Genres: Action, Thriller, Crime Download link 👉 https://leakedcinema.com/en/movie/1126166/FlightRisk
    0 Comments ·0 Shares ·199 Views
  • Movie Name: Flight Risk (2025)
    Rating: 83
    Quality: 480p | 720p | 1080p HD
    Duration: 91 min.
    Language: English, Deutsch
    Subtitles: English, Deutsch
    Credit Cast: Michelle Dockery Davis Entertainment
    Stars: Michelle Dockery, Mark Wahlberg, Topher Grace, Leah Remini, Paul Ben-Victor, Maaz Ali
    Genres: Action, Thriller, Crime

    Download link https://leakedcinema.com/en/movie/1126166/FlightRisk
    Movie Name: Flight Risk (2025) Rating: 83 Quality: 480p | 720p | 1080p HD Duration: 91 min. Language: English, Deutsch Subtitles: English, Deutsch Credit Cast: Michelle Dockery Davis Entertainment Stars: Michelle Dockery, Mark Wahlberg, Topher Grace, Leah Remini, Paul Ben-Victor, Maaz Ali Genres: Action, Thriller, Crime Download link 👉 https://leakedcinema.com/en/movie/1126166/FlightRisk
    0 Comments ·0 Shares ·193 Views
  • Movie Name: Den of Thieves 2: Pantera (2025)
    Rating: 219
    Quality: 480p | 720p | 1080p HD
    Duration: 144 min.
    Language: English
    Subtitles: English
    Credit Cast: Gerard Butler Diamond Film Productions
    Stars: Gerard Butler, O'Shea Jackson, Jr., Evin Ahmad, Salvatore Esposito, Orli Shuka, Stéphane Coulon
    Genres: Action, Crime, Thriller

    Download link https://leakedcinema.com/en/movie/604685/DenofThieves2Pantera
    Movie Name: Den of Thieves 2: Pantera (2025) Rating: 219 Quality: 480p | 720p | 1080p HD Duration: 144 min. Language: English Subtitles: English Credit Cast: Gerard Butler Diamond Film Productions Stars: Gerard Butler, O'Shea Jackson, Jr., Evin Ahmad, Salvatore Esposito, Orli Shuka, Stéphane Coulon Genres: Action, Crime, Thriller Download link 👉 https://leakedcinema.com/en/movie/604685/DenofThieves2Pantera
    0 Comments ·0 Shares ·183 Views
  • Movie Name: Bridget Jones: Mad About the Boy (2025)
    Rating: 31
    Quality: 480p | 720p | 1080p HD
    Duration: 124 min.
    Language: English
    Subtitles: English
    Credit Cast: Renée Zellweger Universal Pictures
    Stars: Renée Zellweger, Chiwetel Ejiofor, Leo Woodall, Hugh Grant, Jim Broadbent, Gemma Jones
    Genres: Comedy, Drama, Romance

    Download link https://leakedcinema.com/en/movie/1272149/BridgetJonesMadAbouttheBoy
    Movie Name: Bridget Jones: Mad About the Boy (2025) Rating: 31 Quality: 480p | 720p | 1080p HD Duration: 124 min. Language: English Subtitles: English Credit Cast: Renée Zellweger Universal Pictures Stars: Renée Zellweger, Chiwetel Ejiofor, Leo Woodall, Hugh Grant, Jim Broadbent, Gemma Jones Genres: Comedy, Drama, Romance Download link 👉 https://leakedcinema.com/en/movie/1272149/BridgetJonesMadAbouttheBoy
    0 Comments ·0 Shares ·205 Views
  • Movie Name: Wolf Man (2025)
    Rating: 316
    Quality: 480p | 720p | 1080p HD
    Duration: 103 min.
    Language: English
    Subtitles: English
    Credit Cast: Christopher Abbott Universal Pictures
    Stars: Christopher Abbott, Julia Garner, Matilda Firth, Sam Jaeger, Ben Prendergast, Benedict Hardie
    Genres: Horror, Thriller

    Download link https://leakedcinema.com/en/movie/710295/WolfMan
    Movie Name: Wolf Man (2025) Rating: 316 Quality: 480p | 720p | 1080p HD Duration: 103 min. Language: English Subtitles: English Credit Cast: Christopher Abbott Universal Pictures Stars: Christopher Abbott, Julia Garner, Matilda Firth, Sam Jaeger, Ben Prendergast, Benedict Hardie Genres: Horror, Thriller Download link 👉 https://leakedcinema.com/en/movie/710295/WolfMan
    0 Comments ·0 Shares ·186 Views
  • Movie Name: Captain America: Brave New World (2025)
    Rating: 169
    Quality: 480p | 720p | 1080p HD
    Duration: 119 min.
    Language: English, 日本語, Español
    Subtitles: English, 日本語, Español
    Credit Cast: Anthony Mackie Marvel Studios
    Stars: Anthony Mackie, Harrison Ford, Danny Ramirez, Shira Haas, Tim Blake Nelson, Giancarlo Esposito
    Genres: Thriller, Action, Science Fiction

    Download link https://leakedcinema.com/en/movie/822119/CaptainAmericaBraveNewWorld
    Movie Name: Captain America: Brave New World (2025) Rating: 169 Quality: 480p | 720p | 1080p HD Duration: 119 min. Language: English, 日本語, Español Subtitles: English, 日本語, Español Credit Cast: Anthony Mackie Marvel Studios Stars: Anthony Mackie, Harrison Ford, Danny Ramirez, Shira Haas, Tim Blake Nelson, Giancarlo Esposito Genres: Thriller, Action, Science Fiction Download link 👉 https://leakedcinema.com/en/movie/822119/CaptainAmericaBraveNewWorld
    0 Comments ·0 Shares ·192 Views
  • Taifa Stars
    Taifa Stars😂
    Like
    1
    · 1 Comments ·0 Shares ·129 Views
  • Klabu ya Singida Black Stars imetoa Wachezaji wake (16) kwa mkopo kwenda kwenye klabu zingine kulinda vipaji vyao.

    Ni klabu tano (5) pekee ambazo hazijapata Mchezaji kutoka katika klabu ya Singida Black Stars, klabu zilizobakia zote zimewahi kupokea mchezaji wa Singida kwa mkopo ikiwemo klabu za Simba SC, Azam FC, KMC,...

    Klabu ya Singida Black Stars imetoa Wachezaji wake (16) kwa mkopo kwenda kwenye klabu zingine kulinda vipaji vyao. Ni klabu tano (5) pekee ambazo hazijapata Mchezaji kutoka katika klabu ya Singida Black Stars, klabu zilizobakia zote zimewahi kupokea mchezaji wa Singida kwa mkopo ikiwemo klabu za Simba SC, Azam FC, KMC,...
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·212 Views
  • Klabu ya Singida Black Stars imetoa Wachezaji wake (16) kwa mkopo kwenda kwenye klabu zingine kulinda vipaji vyao.

    Ni klabu tano (5) pekee ambazo hazijapata Mchezaji kutoka katika klabu ya Singida Black Stars, klabu zilizobakia zote zimewahi kupokea mchezaji wa Singida kwa mkopo ikiwemo klabu za Simba SC, Azam FC, KMC,...

    Klabu ya Singida Black Stars imetoa Wachezaji wake (16) kwa mkopo kwenda kwenye klabu zingine kulinda vipaji vyao. Ni klabu tano (5) pekee ambazo hazijapata Mchezaji kutoka katika klabu ya Singida Black Stars, klabu zilizobakia zote zimewahi kupokea mchezaji wa Singida kwa mkopo ikiwemo klabu za Simba SC, Azam FC, KMC,...
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·202 Views
  • SHERIA YA URAIA NA UHALALI WA WACHEZAJI WA SINGIDA BIG STARS & SIMBA KUPEWA URAIA WA TANZANIA


    Ijumaa, Januari 24, 2025


    1. Usuli

    Jana, Januari 23, 2025, Idara ya Uhamiaji ilieleza kuwa wachezaji watatu (3) wa Singida Big Stars (EK Keyeke, JA Bada & MD Camara) wamepewa uraia tajnisi wa Tanzania kwa mujibu wa vifungu vya 9 & 23 vya Sheria ya Uraia Sura ya 357.

    Kabla jogoo halijawika, klabu ya Simba nayo jana hiyohiyo ikaomba wachezaji wake 9 wa kigeni nao wapewe uraia wa Tanzania.

    2. Wageni Kupewa Uraia kwasababu ya Mbungi Si Jambo Geni

    Si jambo geni kwa wageni kupewa uraia kwasababu ya mbungi. Mfano mzuri ni nchi ya Tunisia.

    Tunisia ilimpa uraia Mbrazil Jose Clayton mwaka 1998 na akaichezea Tunisia michuano ya FIFA (kombe la dunia nchini Ufaransa).

    Tunisia pia ilimpa uraia raia wa Brazil, Franchine Silva dos Santos, mwaka 2000 na akaichezea Tunisia michuano ya FIFA.

    Toka mwaka jana 2024, wananchi wa Tunisia wanashinikiza Mbrazil mwingine, Rodrigo Rodriguez, apewe uraia wa Tunisia. Mshambuliaji huyo wa Esperance de Tunis ni moto wa kuotea mbali.

    Kwa mujibu wa sheria za Tunia, ili mgeni aweze kupewa uraia ni lazma awe amekaa Tunisia si chini ya miaka 5. Hata hivyo, Waziri ameruhusiwa kumpa mgeni uraia iwapo huyo mwombaji _"has provided great services to the country"_.


    3. Wachezaji 3 wa Singida Black Stars

    3.1 Emmanuel Kwame Keyeke

    Huyu raia wa Ghana ni fundi. Ni fundi kwelikweli. Ndiye Mchezaji Bora wa Ligi ya ndani ya Ghana 2023/24.

    Toka asajiliwe Julai 2024 na Singida Black Stars _amekiwasha_ kwelikweli. Ametwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi mara Nne !

    3.2 Josephat Athur Bada

    Singida Black Stars ilimsajili Julai 2024 kiungo huyu raia wa Ivory Coast baada ya kuizidi ujanja Ismailia ya Masri.

    3.3 Mohammed Damaro Camara

    Kiungo huyu alisajiliwa Julai 2024.


    4. Kifungu cha 9 & 23

    4.1 Kifungu cha 9 cha Sheria ya Uraia kinaeleza:

    4.1.1 Kifungu cha 9(1) kinaeleza kuwa mgeni yeyote mwenye miaka 18 au zaidi aweza kuomba uraia kwa Waziri wa Mambo ya Ndani na ataweza kupewa uraia tajnisi iwapo ametimiza masharti ya Jedwali la Pili.

    4.2 Kifungu cha 23 kinaeleza kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani hatalazimika kutoa sababu yoyote baada ya kukubali au kukataa maombi ya uraia na uamuzi huo wa Waziri utakuwa wa mwisho na hautaweza kukatiwa rufaa wala kupingwa mahakamani.

    4.3 Jedwali la Pili

    Jedwali la Pili limeweka masharti kadhaa. Sharti moja linaeleza : _"The applicant must have an adequate knowledge of Kiswahili or the English language"_.


    5. Maswali chechefu:

    5.1 Je, wachezaji Josephat Athur Bada na Mohammed Damaro Camara ambao wanazungumza kifaransa tu wamewezaje kukidhi kigezo cha kuwa na _*"ADEQUATE* knowledge"_ ya Kiswahili au Kiingereza ndani ya miezi 6 tu ?

    5.2 Je, Waziri wa Mambo ya Ndani anafahamu kuwa Kisheria ingawa Sheria inaeleza kuwa _"Uamuzi wa Waziri ni wa Mwisho"_, haimaanishi kuwa Waziri akisigina Sheria, uamuzi hauwezi kupingwa? Yapo maamuzi mengi ya Mahakama Kuu yaelezeayo msimamo huu kuntu wa sheria mf :

    5.2.1 Tanzania Air Services Ltd Vs Minister for Labour (1996) TLR 217

    _*"The decision that the Minister's decision is final and conclusive does not mean that the decision cannot be reviewed by the High court. Indeed no appeal against such decision but an aggrieved party may come to the High court and ask for prerogative orders"*_.

    5.2.2 Ben Kahale Vs AG*, Misc. Civil cause 23/2019:

    _*"Our understanding is that when the decision of the Minister is final, it doesn't oust jurisdiction of the court as final authority in dispensation of justice. We say so because the decision may still be subject to Judicial review"*_.

    5.2 Je, kwanini Uomgozi wa Simba ndio uliowaombea wachezaji wake 9 uraia badala ya kila Mchezaji kuomba kama walivyofanya wale wachezaji 3 wa Singida Black Stars? Iweje timu kongwe kama Simba izidiwe uelewa na Singida Black Stars kuhusu mchakato huu ? Simba imekiri kwenye barua yao _"Tunaomba ofisi yako iridhie maombi yetu na kutupa utaratibu husika..."_

    5.3 Je, iwapo tutakuwa tunamwaga tu uraia kwa kila Mchezaji mgeni, haitatuathiri mbeleni ? Ikumbukwe kuwa lengo kubwa la kusajili wageni ni kwavile hakuna wachezaji wa ndani wenye ubora wa kutosha. Je, kila Mchezaji mgeni ana ubora wa kutosha?
    SHERIA YA URAIA NA UHALALI WA WACHEZAJI WA SINGIDA BIG STARS & SIMBA KUPEWA URAIA WA TANZANIA Ijumaa, Januari 24, 2025 1. Usuli Jana, Januari 23, 2025, Idara ya Uhamiaji ilieleza kuwa wachezaji watatu (3) wa Singida Big Stars (EK Keyeke, JA Bada & MD Camara) wamepewa uraia tajnisi wa Tanzania kwa mujibu wa vifungu vya 9 & 23 vya Sheria ya Uraia Sura ya 357. Kabla jogoo halijawika, klabu ya Simba nayo jana hiyohiyo ikaomba wachezaji wake 9 wa kigeni nao wapewe uraia wa Tanzania. 2. Wageni Kupewa Uraia kwasababu ya Mbungi Si Jambo Geni Si jambo geni kwa wageni kupewa uraia kwasababu ya mbungi. Mfano mzuri ni nchi ya Tunisia. Tunisia ilimpa uraia Mbrazil Jose Clayton mwaka 1998 na akaichezea Tunisia michuano ya FIFA (kombe la dunia nchini Ufaransa). Tunisia pia ilimpa uraia raia wa Brazil, Franchine Silva dos Santos, mwaka 2000 na akaichezea Tunisia michuano ya FIFA. Toka mwaka jana 2024, wananchi wa Tunisia wanashinikiza Mbrazil mwingine, Rodrigo Rodriguez, apewe uraia wa Tunisia. Mshambuliaji huyo wa Esperance de Tunis ni moto wa kuotea mbali. Kwa mujibu wa sheria za Tunia, ili mgeni aweze kupewa uraia ni lazma awe amekaa Tunisia si chini ya miaka 5. Hata hivyo, Waziri ameruhusiwa kumpa mgeni uraia iwapo huyo mwombaji _"has provided great services to the country"_. 3. Wachezaji 3 wa Singida Black Stars 3.1 Emmanuel Kwame Keyeke Huyu raia wa Ghana ni fundi. Ni fundi kwelikweli. Ndiye Mchezaji Bora wa Ligi ya ndani ya Ghana 2023/24. Toka asajiliwe Julai 2024 na Singida Black Stars _amekiwasha_ kwelikweli. Ametwaa Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mwezi mara Nne ! 3.2 Josephat Athur Bada Singida Black Stars ilimsajili Julai 2024 kiungo huyu raia wa Ivory Coast baada ya kuizidi ujanja Ismailia ya Masri. 3.3 Mohammed Damaro Camara Kiungo huyu alisajiliwa Julai 2024. 4. Kifungu cha 9 & 23 4.1 Kifungu cha 9 cha Sheria ya Uraia kinaeleza: 4.1.1 Kifungu cha 9(1) kinaeleza kuwa mgeni yeyote mwenye miaka 18 au zaidi aweza kuomba uraia kwa Waziri wa Mambo ya Ndani na ataweza kupewa uraia tajnisi iwapo ametimiza masharti ya Jedwali la Pili. 4.2 Kifungu cha 23 kinaeleza kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani hatalazimika kutoa sababu yoyote baada ya kukubali au kukataa maombi ya uraia na uamuzi huo wa Waziri utakuwa wa mwisho na hautaweza kukatiwa rufaa wala kupingwa mahakamani. 4.3 Jedwali la Pili Jedwali la Pili limeweka masharti kadhaa. Sharti moja linaeleza : _"The applicant must have an adequate knowledge of Kiswahili or the English language"_. 5. Maswali chechefu: 5.1 Je, wachezaji Josephat Athur Bada na Mohammed Damaro Camara ambao wanazungumza kifaransa tu wamewezaje kukidhi kigezo cha kuwa na _*"ADEQUATE* knowledge"_ ya Kiswahili au Kiingereza ndani ya miezi 6 tu ? 5.2 Je, Waziri wa Mambo ya Ndani anafahamu kuwa Kisheria ingawa Sheria inaeleza kuwa _"Uamuzi wa Waziri ni wa Mwisho"_, haimaanishi kuwa Waziri akisigina Sheria, uamuzi hauwezi kupingwa? Yapo maamuzi mengi ya Mahakama Kuu yaelezeayo msimamo huu kuntu wa sheria mf : 5.2.1 Tanzania Air Services Ltd Vs Minister for Labour (1996) TLR 217 _*"The decision that the Minister's decision is final and conclusive does not mean that the decision cannot be reviewed by the High court. Indeed no appeal against such decision but an aggrieved party may come to the High court and ask for prerogative orders"*_. 5.2.2 Ben Kahale Vs AG*, Misc. Civil cause 23/2019: _*"Our understanding is that when the decision of the Minister is final, it doesn't oust jurisdiction of the court as final authority in dispensation of justice. We say so because the decision may still be subject to Judicial review"*_. 5.2 Je, kwanini Uomgozi wa Simba ndio uliowaombea wachezaji wake 9 uraia badala ya kila Mchezaji kuomba kama walivyofanya wale wachezaji 3 wa Singida Black Stars? Iweje timu kongwe kama Simba izidiwe uelewa na Singida Black Stars kuhusu mchakato huu ? Simba imekiri kwenye barua yao _"Tunaomba ofisi yako iridhie maombi yetu na kutupa utaratibu husika..."_ 5.3 Je, iwapo tutakuwa tunamwaga tu uraia kwa kila Mchezaji mgeni, haitatuathiri mbeleni ? Ikumbukwe kuwa lengo kubwa la kusajili wageni ni kwavile hakuna wachezaji wa ndani wenye ubora wa kutosha. Je, kila Mchezaji mgeni ana ubora wa kutosha?
    Love
    Like
    Haha
    4
    · 2 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • Mataifa mengi makubwa ambayo yanajiweza kifedha, miundombinu Nk lakini bado waliamini kwenye kuwapatia wachezaji wenye ubora mkubwa uraia

    ‎Mataifa kama Ufaransa, England Ubelgiji ni miongoni mwa mataifa ambayo yameweka nguvu juu ya wachezaji wenye ubora kuwashawishi hili waweze kuwa raia wao

    ‎Nazani jambo la msingi kwa sasa sio mchezaji aombe uraia wenda tukakosa top players kunahaja sasa ya sisi kama taifa kuwaomba wale top level ambao mataifa yao hayana mpango nao

    ‎Huu utakuwa utaratibu mzuri ambao mataifa mengi ambayo yanafaida hufanya hivyo maana ni rahisi kupata wenye ubora kuliko wachache ambao wanaomba

    ‎Kama mtu mkongo anachezea Ufaransa sembuse Mgana kuchezea Tanzania.

    ‎Note: Ukweli kama taifa kwa sasa kuna level ya wachezaji ambao tunawataka kwenye kikosi chetu cha taifa stars haipatikani kwa wingi yaani kuna idadi ndogo ambayo inaubora ambao unaoweza kusaidia taifa kwenye level kubwa ya kimashindano
    Mataifa mengi makubwa ambayo yanajiweza kifedha, miundombinu Nk lakini bado waliamini kwenye kuwapatia wachezaji wenye ubora mkubwa uraia ‎ ‎Mataifa kama Ufaransa, England Ubelgiji ni miongoni mwa mataifa ambayo yameweka nguvu juu ya wachezaji wenye ubora kuwashawishi hili waweze kuwa raia wao ‎ ‎Nazani jambo la msingi kwa sasa sio mchezaji aombe uraia wenda tukakosa top players kunahaja sasa ya sisi kama taifa kuwaomba wale top level ambao mataifa yao hayana mpango nao ‎ ‎Huu utakuwa utaratibu mzuri ambao mataifa mengi ambayo yanafaida hufanya hivyo maana ni rahisi kupata wenye ubora kuliko wachache ambao wanaomba ‎ ‎Kama mtu mkongo anachezea Ufaransa sembuse Mgana kuchezea Tanzania. ‎ ‎Note: Ukweli kama taifa kwa sasa kuna level ya wachezaji ambao tunawataka kwenye kikosi chetu cha taifa stars haipatikani kwa wingi yaani kuna idadi ndogo ambayo inaubora ambao unaoweza kusaidia taifa kwenye level kubwa ya kimashindano
    Like
    1
    · 1 Comments ·0 Shares ·302 Views
  • Idara ya Uhamiaji Tanzania yathibitisha kuwapa Uraia wa Tanzania Wachezaji watatu (3) wa klabu ya Singida Black Stars kutoka Nchi za Ghana, Côté d'Ivoire na Guinea.

    Idara ya Uhamiaji Tanzania yathibitisha kuwapa Uraia wa Tanzania Wachezaji watatu (3) wa klabu ya Singida Black Stars kutoka Nchi za Ghana, Côté d'Ivoire na Guinea.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·160 Views
  • Klabu ya Simba SC imewaombea uraia wa Tanzania wachezaji wake tisa (9) ambao sio raia wa Tanzania. Simba SC imemuandikia Kamishina Jenerali wa Uhamiaji barua leo tarehe 23 Januari 2025, barua ambayo imesainiwa na Mwenyekiti wa kkabu Murtaza Ally Mangungu.

    Maombi haya ya klabu ya Simba SC yamekuja siku moja baada ya taarifa kuzagaa kwenye mitandao ya kijamii ikiihusisha Wachezaji wanne (4) wa klabu ya Singida Black Stars kupata uraia wa Tanzania hali iliyozua mijadala mikubwa mitandaoni kuanzia jana jioni mpaka leo.

    Simba imesajili Wachezaji (12) wa kigeni kama kanuni za Ligi Kuu bara inavyotaka lakini wanaomba kati ya hao (12) inawaombea tisa (9) uraia wa Tanzania.

    Klabu ya Simba SC imewaombea uraia wa Tanzania wachezaji wake tisa (9) ambao sio raia wa Tanzania. Simba SC imemuandikia Kamishina Jenerali wa Uhamiaji barua leo tarehe 23 Januari 2025, barua ambayo imesainiwa na Mwenyekiti wa kkabu Murtaza Ally Mangungu. Maombi haya ya klabu ya Simba SC yamekuja siku moja baada ya taarifa kuzagaa kwenye mitandao ya kijamii ikiihusisha Wachezaji wanne (4) wa klabu ya Singida Black Stars kupata uraia wa Tanzania hali iliyozua mijadala mikubwa mitandaoni kuanzia jana jioni mpaka leo. Simba imesajili Wachezaji (12) wa kigeni kama kanuni za Ligi Kuu bara inavyotaka lakini wanaomba kati ya hao (12) inawaombea tisa (9) uraia wa Tanzania.
    Like
    Love
    2
    · 1 Comments ·0 Shares ·181 Views
  • Dada wa Mo Dewj, ni mjumbe wa Kamati Tendaji ya Singida Black Stars
    Dada wa Mo Dewj, ni mjumbe wa Kamati Tendaji ya Singida Black Stars
    Like
    Love
    Haha
    10
    · 3 Comments ·1 Shares ·490 Views
  • MAPUMZIKO
    NBCPREMIERLEAGUE

    SINGIDA BLACK STARS 0️⃣🆚️1️⃣ SIMBA SC

    #paulswai
    MAPUMZIKO NBCPREMIERLEAGUE SINGIDA BLACK STARS 0️⃣🆚️1️⃣ SIMBA SC #paulswai
    Like
    Love
    4
    · 1 Comments ·1 Shares ·991 Views
  • GOOOOOOOOOOOOOAL
    DK42
    Ngoma ⚽️

    SINGIDA BLACK STARS 0️⃣🆚️1️⃣ SIMBA SC

    #paulswai
    GOOOOOOOOOOOOOAL DK42 Ngoma ⚽️ SINGIDA BLACK STARS 0️⃣🆚️1️⃣ SIMBA SC #paulswai
    Like
    Love
    4
    · 1 Comments ·0 Shares ·368 Views
More Results