• Mambo kumi muhimu ambayo ukiyafuata yatakupa mafanikio .

    1.Mafanikio ni kanuni na moja ya kanuni ni uzalishaji.*law of production*

    #Mathayo 25:14-30.
    Kwa kanuni kabla ujala kabisa pesa yoyote lazima uzalishe kwanza.

    2.Kuokoka bila kanuni za mafanikio *law of multiplying* hakuzuii kufa masikini.

    #Wafalme 4:1-7
    Unaweza kuwa unatoa pepi na unamcha sana Mungu lakini bado ukafa masikini.

    3.Mafanikio yanategemea sana uwezo wako ulio nao ,usipo kuwa na uwezo uwezi kufanikiwa

    #waamuzi 6:14

    4.ili Mungu akufanikishe akukute na kitu cha kuanzia .

    #2wafalme 4:2
    Mafanikio yake au ulipaji madeni ulianzia katika chupa ya mafuta.

    5.Utajiri ni nguvu anayo kupa Bwana ili aimaliahe agano na wewe.

    #Ndipo utamkumbuka Bwana Mungu wako akupaye nguvu ya kuupata utajiri.

    6.Akuna aliye fanikiwa arafu atoi fungu la kumi.

    Ibrahimu alikuwa mtu wa kwanza kabisa na alifanikiwa ndiye aliye anza kutoa fungu la kumi.

    Matajiri wote duniani wanajua siri ya hii na wanatoa either kwa waganga au kwa Mungu.
    #Malaki 3:10

    7.Mafanikio ya mtu yamebebwa ndani ya kitu kinacho itwa baraka ya Bwana.

    #Mithali 10:22

    8.Mafanikio yategemea sana na akiba unayo weka kipindi unacho .

    Yesu mwenyewe alijua hilo baada ya muujiza wa mikate mitano na samaki wawili bado aliwambia wakusanye vipande vilivyo baki.

    9.mafanikio mara zote yanategemea sana na aina ya watu ulio chagua kuambatana nao.

    Mwana mpotevu aliambatana na watu waovyo akatapanya mali zote na akaanza kujiona sawa na nguruwe.

    Ko kumbe kabla ujaomba mali omba Mungu akupe watu wa maana.

    #isaya 43:4

    10.Mafanikio yote yanaanzia katika mawazo ndiko chimbuko la umasikini au utajiri .

    #Kwa maana ajionavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo.

    All in all mawazo ya mungu kwako ni kukufanya ufanikiwe ila bahati mbaya wewe ndiye una kiuka taratibu.
    #yeremia 29:11

    Kama unapenda kuendelea kujifunza tuma neno Add kwa namba 0622625340

    Ili uendelee kujifunza katika group zetu .

    Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry)
    #build new eden
    #Restore men position
    Mambo kumi muhimu ambayo ukiyafuata yatakupa mafanikio . 1.Mafanikio ni kanuni na moja ya kanuni ni uzalishaji.*law of production* #Mathayo 25:14-30. Kwa kanuni kabla ujala kabisa pesa yoyote lazima uzalishe kwanza. 2.Kuokoka bila kanuni za mafanikio *law of multiplying* hakuzuii kufa masikini. #Wafalme 4:1-7 Unaweza kuwa unatoa pepi na unamcha sana Mungu lakini bado ukafa masikini. 3.Mafanikio yanategemea sana uwezo wako ulio nao ,usipo kuwa na uwezo uwezi kufanikiwa #waamuzi 6:14 4.ili Mungu akufanikishe akukute na kitu cha kuanzia . #2wafalme 4:2 Mafanikio yake au ulipaji madeni ulianzia katika chupa ya mafuta. 5.Utajiri ni nguvu anayo kupa Bwana ili aimaliahe agano na wewe. #Ndipo utamkumbuka Bwana Mungu wako akupaye nguvu ya kuupata utajiri. 6.Akuna aliye fanikiwa arafu atoi fungu la kumi. Ibrahimu alikuwa mtu wa kwanza kabisa na alifanikiwa ndiye aliye anza kutoa fungu la kumi. Matajiri wote duniani wanajua siri ya hii na wanatoa either kwa waganga au kwa Mungu. #Malaki 3:10 7.Mafanikio ya mtu yamebebwa ndani ya kitu kinacho itwa baraka ya Bwana. #Mithali 10:22 8.Mafanikio yategemea sana na akiba unayo weka kipindi unacho . Yesu mwenyewe alijua hilo baada ya muujiza wa mikate mitano na samaki wawili bado aliwambia wakusanye vipande vilivyo baki. 9.mafanikio mara zote yanategemea sana na aina ya watu ulio chagua kuambatana nao. Mwana mpotevu aliambatana na watu waovyo akatapanya mali zote na akaanza kujiona sawa na nguruwe. Ko kumbe kabla ujaomba mali omba Mungu akupe watu wa maana. #isaya 43:4 10.Mafanikio yote yanaanzia katika mawazo ndiko chimbuko la umasikini au utajiri . #Kwa maana ajionavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo. All in all mawazo ya mungu kwako ni kukufanya ufanikiwe ila bahati mbaya wewe ndiye una kiuka taratibu. #yeremia 29:11 Kama unapenda kuendelea kujifunza tuma neno Add kwa namba 0622625340 Ili uendelee kujifunza katika group zetu . Ahsante sana naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry) #build new eden #Restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·54 Views
  • UAMSHO.
    Maana ni kurudi kwenye uzima.
    Ni mminiko wa nguvu na uwepo wa Mungu ndani ya mtu uletao kibali ,neema na baraka.

    Uamsho ni uziilisho wa roho mtakatifu ndani ya mtu na kuleta matokeo chanya.

    Kwa kawaida tunaamsha kitu kilicho lala ,ko lengo la somo hili ni kurejesha uzimani nafsi ya mtu mmoja mmoja .

    Uamsho ni jambo linalo anza na mtu kisha matokeo ya uamsho ndiyo yanayo tukuta sote.

    Mfano mfalme Yosiah alilisi ufalme baada ya baba yake kufa na baba yake alikuwa mfalme Ahazia ambaye akufanya mema machoni pa Bwana.

    2 Wafalme 22:13
    [13]Enendeni, mkamwulize BWANA kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu hawa, na kwa ajili ya Yuda yote, katika habari za maneno ya kitabu hiki kilichoonekana; kwa kuwa hasira ya BWANA ni kubwa aliyotukasirikia, kwa sababu baba zetu hawakuyaangalia maneno ya kitabu hiki, kufanya kama hayo yote tuliyoandikiwa.

    Baada ya kuuliza sasa sikiliza jawabu alilo pewa .

    [16]BWANA asema hivi, Tazama, mimi nitaleta uovu juu ya mahali hapa, na juu yao wakaao hapa, naam, maneno yote ya kitabu alichokisoma mfalme wa Yuda;

    [17]kwa sababu wameniacha mimi, wameifukizia uvumba miungu mingine, ili wapate kunikasirisha kwa kazi yote ya mikono yao; kwa hiyo hasira yangu itawaka juu ya mahali hapa, isizimike

    Kumbe kuna mambo unayapatia sababu tu walio kutangulia waliyafanya ndio maana tunahitqji uamsho.

    muda wa uamsho ndani ya nyumba ya baba yake na taifa lote ulifika .

    Kilicho fanya yuda uqmsho uje ni baada ya kusikia habari za kitabu cha torati ambalo leo hii ndio neno la Mungu.

    2wafalme 22:18-20.

    Ukisoma hapo utaona alivho kifanya baada ya kusikia habari za kitabu aliamua kukusanya wafalme wa yuda wote kwa ajiri ya kuwaambia .

    Na alipo wakusanya kwa kuwa uamsho ni wa mtu akafanya agano lake na Mungu.

    Yeye aliazimia mambo kazaa moja

    1.nikumfuata Bwana
    2.kuyashika maagizo yote.
    3.kuzifuata shuhuda zake .
    4.kuzifuata na kutii amri zake .
    5.navyote hivi atavifanya kwa moyo wote na kwa roho yake yote.

    Baada ya mfalme Yosiah kufanya agano na Mungu wake matokeoa yake wengine wote wakalifuata lile agano .

    Uamsho ndivyo unavyo fanyika ni lazima wewe ulie amua kuwa mfuasi wa kristo uweke agano na Mungu ndipo matokeo yake wengine watakuja ndani ya agano lako.

    Na ndio wanavyo fanya wote waacha alama katika dunia.

    Sababu ya uchovu wa imani makanisa tunazani uamsho ni wa kila mtu na kuhimizana mara utasikia ibada ya uamsho no wafundishe watu wamjue roho mtakatifu lazima watakuwa wameamka.

    Nakukumbusha kuwa huyu mtu yeye alikuwa mwema na aliahidiwa kustarehe na kuishi maisha ya amani mpaka anakufa .

    Ukiendelea kusoma utaona jama alivunja sanamu zote ,ambazo baba zake waliweka kuziabudu alivunja,akawatoa makuhani wote waliowekwa, akawatoa makuhani wote ,mahanithi wote wanawake wafuma mapazia.

    Kama watu tunataka kuwa chanzo cha uamsho lazima lazima ukubali kuacha asili yako na kama yosiah alivyo acha na kumfuatq bwana.

    Kuna mtu mwingine pia anaitwa Yoshua pia alipo taka kurudisha kanisa maala pake aliwapa chaguo lakini yeye alikuwa na azimio lake ndani ya moyo wake.

    Yoshua 24:15-16
    [15]Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng’ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA.
    .
    [16]Hao watu wakajibu wakasema, Hasha! Tusimwache BWANA, ili kuitumikia miungu mingine;

    Islaeri walipo anza kufuata miungu mingine alilazimika kuonyesha njia na njia hiyo ni kuwapa watu chaguo huku yeye akifanya agano na Mungu.

    Mchungaji kabla ujawaza kuhusu uamsho jiulize wewe je umeazimia kumfuata bwana kama shujaaa wako au na wewe una mashaka.

    Kama unapenda kujifunza zaidi neno karibu katika group la watsap.
    https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden)

    #build new eden
    #restore men position
    UAMSHO. Maana ni kurudi kwenye uzima. Ni mminiko wa nguvu na uwepo wa Mungu ndani ya mtu uletao kibali ,neema na baraka. Uamsho ni uziilisho wa roho mtakatifu ndani ya mtu na kuleta matokeo chanya. Kwa kawaida tunaamsha kitu kilicho lala ,ko lengo la somo hili ni kurejesha uzimani nafsi ya mtu mmoja mmoja . Uamsho ni jambo linalo anza na mtu kisha matokeo ya uamsho ndiyo yanayo tukuta sote. Mfano mfalme Yosiah alilisi ufalme baada ya baba yake kufa na baba yake alikuwa mfalme Ahazia ambaye akufanya mema machoni pa Bwana. 2 Wafalme 22:13 [13]Enendeni, mkamwulize BWANA kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu hawa, na kwa ajili ya Yuda yote, katika habari za maneno ya kitabu hiki kilichoonekana; kwa kuwa hasira ya BWANA ni kubwa aliyotukasirikia, kwa sababu baba zetu hawakuyaangalia maneno ya kitabu hiki, kufanya kama hayo yote tuliyoandikiwa. Baada ya kuuliza sasa sikiliza jawabu alilo pewa . [16]BWANA asema hivi, Tazama, mimi nitaleta uovu juu ya mahali hapa, na juu yao wakaao hapa, naam, maneno yote ya kitabu alichokisoma mfalme wa Yuda; [17]kwa sababu wameniacha mimi, wameifukizia uvumba miungu mingine, ili wapate kunikasirisha kwa kazi yote ya mikono yao; kwa hiyo hasira yangu itawaka juu ya mahali hapa, isizimike Kumbe kuna mambo unayapatia sababu tu walio kutangulia waliyafanya ndio maana tunahitqji uamsho. muda wa uamsho ndani ya nyumba ya baba yake na taifa lote ulifika . Kilicho fanya yuda uqmsho uje ni baada ya kusikia habari za kitabu cha torati ambalo leo hii ndio neno la Mungu. 2wafalme 22:18-20. Ukisoma hapo utaona alivho kifanya baada ya kusikia habari za kitabu aliamua kukusanya wafalme wa yuda wote kwa ajiri ya kuwaambia . Na alipo wakusanya kwa kuwa uamsho ni wa mtu akafanya agano lake na Mungu. Yeye aliazimia mambo kazaa moja 1.nikumfuata Bwana 2.kuyashika maagizo yote. 3.kuzifuata shuhuda zake . 4.kuzifuata na kutii amri zake . 5.navyote hivi atavifanya kwa moyo wote na kwa roho yake yote. Baada ya mfalme Yosiah kufanya agano na Mungu wake matokeoa yake wengine wote wakalifuata lile agano . Uamsho ndivyo unavyo fanyika ni lazima wewe ulie amua kuwa mfuasi wa kristo uweke agano na Mungu ndipo matokeo yake wengine watakuja ndani ya agano lako. Na ndio wanavyo fanya wote waacha alama katika dunia. Sababu ya uchovu wa imani makanisa tunazani uamsho ni wa kila mtu na kuhimizana mara utasikia ibada ya uamsho no wafundishe watu wamjue roho mtakatifu lazima watakuwa wameamka. Nakukumbusha kuwa huyu mtu yeye alikuwa mwema na aliahidiwa kustarehe na kuishi maisha ya amani mpaka anakufa . Ukiendelea kusoma utaona jama alivunja sanamu zote ,ambazo baba zake waliweka kuziabudu alivunja,akawatoa makuhani wote waliowekwa, akawatoa makuhani wote ,mahanithi wote wanawake wafuma mapazia. Kama watu tunataka kuwa chanzo cha uamsho lazima lazima ukubali kuacha asili yako na kama yosiah alivyo acha na kumfuatq bwana. Kuna mtu mwingine pia anaitwa Yoshua pia alipo taka kurudisha kanisa maala pake aliwapa chaguo lakini yeye alikuwa na azimio lake ndani ya moyo wake. Yoshua 24:15-16 [15]Nanyi kama mkiona ni vibaya kumtumikia BWANA, chagueni hivi leo mtakayemtumikia; kwamba ni miungu ile ambayo baba zenu waliitumikia ng’ambo ya Mto, au kwamba ni miungu ya wale Waamori ambao mnakaa katika nchi yao; lakini mimi na nyumba yangu tutamtumikia BWANA. . [16]Hao watu wakajibu wakasema, Hasha! Tusimwache BWANA, ili kuitumikia miungu mingine; Islaeri walipo anza kufuata miungu mingine alilazimika kuonyesha njia na njia hiyo ni kuwapa watu chaguo huku yeye akifanya agano na Mungu. Mchungaji kabla ujawaza kuhusu uamsho jiulize wewe je umeazimia kumfuata bwana kama shujaaa wako au na wewe una mashaka. Kama unapenda kujifunza zaidi neno karibu katika group la watsap. https://chat.whatsapp.com/IxkPEsnxi02ExNGrlmbWR4 Ok naitwa Sylvester Mwakabende kutoka (Build new eden) #build new eden #restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·712 Views
  • Habari ya usiku ndugu zangu ni siku ya nne leo japo kwa kuchelewe tunaendelea na mwendelezo wa fasiri za ndoto kiblia .

    *Ungana nami Sylvester Mwakabende kwa ufafanuzi zaidi kadiri roho wa Bwana Atakavyo niongoza*

    *Je umewai kuota unafukuzwa na mbwa ? nini maana yake*? .


    Zaburi 22:16
    *[16]Kwa maana mbwa wamenizunguka Kusanyiko la waovu wamenisonga;
    Wamenizua mikono na miguu*
    For dogs have compassed me: the assembly of the wicked have inclosed me: they pierced my hands and my feet.

    1.Kufuatiliwa na roho chafu kama zinaa na uasherati

    Mithali26:11 SUV

    *Kama vile mbwa arudiavyo matapiko yake; Kadhalika mpumbavu afanya upumbavu tena.*

    Kutoka 22:31 BHN
    *Nyinyi mtakuwa watu waliowekwa wakfu kwangu. Kwa hiyo hamtakula nyama ya mnyama aliyeuawa na mnyama wa porini. Nyama hiyo mtawatupia mbwa.*

    Chochote kile kilicho kichafu upaswi kukila .

    Torati 23:18 BHN
    *Usilete ujira wa kahaba, wala mshahara wa mbwa, katika nyumba ya BWANA, Mungu wako, kwa ajili ya nadhiri yoyote; kwani haya ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako, yote mawili.*
    2wafalme 9;10

    Zaburi 22;20 BHN
    *Iokoe nafsi yangu mbali na upanga, yaokoe maisha yangu makuchani mwa mbwa hao!*

    *Mbwa ana nguvu maana yake mbwa anawakilisha roho chafu za zinaa, uasherati na machafu yote ya shetani .*
    .
    2.kuiacha njia ya bwana kama kuhani.

    Isaya 56:11 BHN
    *Hao ni kama mbwa wenye uchu sana, wala hawawezi kamwe kutoshelezwa. Wachungaji hao hawana akili yoyote; kila mmoja hutafuta faida yake mwenyewe.*

    Naombaje ?NAMNA YA KUOMBA

    1.Toba ya kweli kwa sababu ya kufungua mlango .

    2.kuhalibu kila njia ya uovu inayo kufuatilia

    3.Muone kuhani kwa ajiri ya ukombozi .

    4.kataa kabisa roho za uharibifu kwa kusimamisha madhabau ya Mungu kwa sadaka.

    Zingatia :Ndoto ni mlango Mungu anao utumia kupitisha ujumbe wake na shetani naye anatumia hivyo hivyo jifunze kuomba uongozi wa roho mtakatifu katika fasiri sahiii japo zingine uja kwa uchovu na shughuli nyingi.

    Ok naitwa Sylvester Mwakabende wa (Build new eden)
    Unaweza share somo hili kwa rafiki wengine.
    Simu no :0622625340
    Habari ya usiku ndugu zangu ni siku ya nne leo japo kwa kuchelewe tunaendelea na mwendelezo wa fasiri za ndoto kiblia . *Ungana nami Sylvester Mwakabende kwa ufafanuzi zaidi kadiri roho wa Bwana Atakavyo niongoza* *Je umewai kuota unafukuzwa na mbwa ? nini maana yake*? . Zaburi 22:16 *[16]Kwa maana mbwa wamenizunguka Kusanyiko la waovu wamenisonga; Wamenizua mikono na miguu* For dogs have compassed me: the assembly of the wicked have inclosed me: they pierced my hands and my feet. 1.Kufuatiliwa na roho chafu kama zinaa na uasherati Mithali26:11 SUV *Kama vile mbwa arudiavyo matapiko yake; Kadhalika mpumbavu afanya upumbavu tena.* Kutoka 22:31 BHN *Nyinyi mtakuwa watu waliowekwa wakfu kwangu. Kwa hiyo hamtakula nyama ya mnyama aliyeuawa na mnyama wa porini. Nyama hiyo mtawatupia mbwa.* Chochote kile kilicho kichafu upaswi kukila . Torati 23:18 BHN *Usilete ujira wa kahaba, wala mshahara wa mbwa, katika nyumba ya BWANA, Mungu wako, kwa ajili ya nadhiri yoyote; kwani haya ni machukizo kwa BWANA, Mungu wako, yote mawili.* 2wafalme 9;10 Zaburi 22;20 BHN *Iokoe nafsi yangu mbali na upanga, yaokoe maisha yangu makuchani mwa mbwa hao!* *Mbwa ana nguvu maana yake mbwa anawakilisha roho chafu za zinaa, uasherati na machafu yote ya shetani .* . 2.kuiacha njia ya bwana kama kuhani. Isaya 56:11 BHN *Hao ni kama mbwa wenye uchu sana, wala hawawezi kamwe kutoshelezwa. Wachungaji hao hawana akili yoyote; kila mmoja hutafuta faida yake mwenyewe.* Naombaje ?NAMNA YA KUOMBA 1.Toba ya kweli kwa sababu ya kufungua mlango . 2.kuhalibu kila njia ya uovu inayo kufuatilia 3.Muone kuhani kwa ajiri ya ukombozi . 4.kataa kabisa roho za uharibifu kwa kusimamisha madhabau ya Mungu kwa sadaka. Zingatia :Ndoto ni mlango Mungu anao utumia kupitisha ujumbe wake na shetani naye anatumia hivyo hivyo jifunze kuomba uongozi wa roho mtakatifu katika fasiri sahiii japo zingine uja kwa uchovu na shughuli nyingi. Ok naitwa Sylvester Mwakabende wa (Build new eden) Unaweza share somo hili kwa rafiki wengine. Simu no :0622625340
    Love
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·936 Views
  • 9. MTO YORDANI

    Mto Yordani ulikuwa sehemu ya matukio kadhaa muhimu yaliyorekodiwa katika Biblia. Katika nyakati za awali za kuwepo kwa Israeli ilikuwa ni "daraja" au ishara ya mpito katika nchi ya ahadi ya Mungu.

    Sehemu kubwa za Nchi ya Ahadi zilikuwa ng’ambo ya mto. Ilikuwa ni Mto Yordani ambao nabii Eliya aliupiga kwa vazi lake la kukunjwa na kuyagawanya maji (2 Wafalme 2:8).
    9. MTO YORDANI Mto Yordani ulikuwa sehemu ya matukio kadhaa muhimu yaliyorekodiwa katika Biblia. Katika nyakati za awali za kuwepo kwa Israeli ilikuwa ni "daraja" au ishara ya mpito katika nchi ya ahadi ya Mungu. Sehemu kubwa za Nchi ya Ahadi zilikuwa ng’ambo ya mto. Ilikuwa ni Mto Yordani ambao nabii Eliya aliupiga kwa vazi lake la kukunjwa na kuyagawanya maji (2 Wafalme 2:8).
    Like
    Love
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·416 Views
  • MACHACHE KUHUSU MFALME MKWASI ZAIDI DUNIANI

    KUNA HISTORIA ambazo ukitaka kuandika unaweza kuchukua siku mbili za kutafakari uanze wapi na au uishie wapi.....Mfalme Sulemani ni mmoja wapo.............

    Mama wa Sulemani (BATH-SHEBA) alikuwa tayari ni mke wa mtu (URIA MHITI) huyu URIA alikuwa askari wa mfalme DAUDI. so mfalme DAUDI aliponogewa na penzi la BATH SHEBA akafanya mbinu za kifo cha URIA vitani.

    ......umewahi kuwaza kwamba unahangaika na familia moja tu dhidi ya mtu anayetajwa kuwa na wenza 700 na masuria 300...hujahesabu watoto, wajakazi, shangazi, mjomba, wajukuu, nk wanaovinjari kila siku katika hemaya zake........tunaambiwa kwamba chakula kilicholiwa kwa siku moja kilikuwa magunia 240 ya unga, magunia 480 ya chakula, ng'ombe kumi kwa nyama choma, ng'ombe ishirini wa mchuzi, kondoo mia moja, ndege na wanyama wengine wa aina mbalimbali ..........

    unahangaika kutafuta mufu wa dhahabu ilihali mwenzako anapokea tani 30 za dhahabu kila mwaka .........Kwa mwaka mmoja pekee alikuwa anapokea tani si chini ya 30 ya vipande bora vya dhahabu ukiachilia mbali Vito na Madini mengine....kila nakshi na chombo ndani ya nyumba ya Sulemani ilikua ni DHAHABU tupu maana nyakati hizo madini ya fedha yalithaminishwa kwa kiwango cha vumbi dhidi ya dhahabu.... Jumba la Hukumu la Sulemani lilikuwa kubwa na lilijengwa na mwerezi na kuzungushwa na pembe zilizofunikwa na dhahabu na kusimamiwa na simba ........... Katika ukuta kulikuwa kumewekwa ngao 500 za dhahabu .................hata vyombo vya kunywea na sahani zilizokuwa kwenye nyumba hii kuu zilikuwa za “dhahabu”. Shaba “ haikuwa kitu cha kuhesabiwa katika siku za Sulemani”.................Pia alianzisha shamba la kifalme na mbuga yenye maziwa bandia, shamba la maua na matunda

    Wana-ikiolojia wamepata ushahidi dhabiti wa majengo ya Sulemani kote nchini hasa Hazori, Megido na Gezeri, mabaki ambayo yanatoa ushahidi wa ukweli wa 1 Wafalme 9:15. Megido ni muhimu kwa vibanda vyake vya magari ya farasi 450. Jeshi kubwa la Sulemani lilihitaji jengo lenye vibanda 4,000 vya farasi na vilijengwa karibu na mipaka ya Israeli na kulindwa na waendeshaji magari ya farasi..

    Sulemani alipata faida kwani Israeli ilikuwa sehemu nzuri katikati mwa bara la Asia na Afrika. Alitawala njia za kaskazini na kusini na kwa usaidizi wa Wafoeniki, alijenga meli nyingi pale Esion-geberi ili zitumike kubeba shaba iliosafishwa na bidhaa zingine. Meli hizi zilifanya safari ya kusini hadi Ethiopia, Yemen na India Arabian mara moja kila miaka mitatu, na kuleta dhahabu, fedha, na pembe, nyani na tausi

    Sulemani pia aliendeleza viwanda vya kusafisha chuma, pamoja na kuchimba madini katika Araba, kusini mwa Bahari ya Chumvi, na kiwanda kikubwa cha kuyeyusha vyuma cha Esion-geberi, mahali ambapo palikuwa bandari karibu na Bahari ya Shamu.

    Kwa Mujibu wa wanahistoria.. Mansa Musa mfalme wa Mali empire... Ndio Binadamu alie wahi kuwa tajir Dunia nzima mpaka leo hamna mtu alie wahi fikia Utajir wake.. (wakati anaenda hiji macca alipitia misri .. Na kusabisha uchumi wao kuyumba kutokana na dhahabu alizo tumia Pale misri)... UKWELI NI KWAMBA MANSA MUSA aliyetawala kati ya mwaka 1312-1337 na utajiri wake ulikadiriwa kufikia USD billion 400 ILIHALI Mfalme Sulemani alikuwa na utajiri unaokadiriwa kufikia dollar za kimarekani trillion 2.1.......Mansa Kankan Mussa ni tajiri wa kwanza katika kipindi cha baada ya Yesu. Wenyewe wanaita Anno Domino (AD)

    Hata Nathaniel Rothchild Family ( zikiwepo rockerfeller, morgan na du pont family yaani FAMILI NZIMA) Utajiri wao haufikii hata theluthi ya Mfalme Sulemani (dola bilioni 600 tu)

    Wingi wa wake za Sulemani unahalasiha kutapanyika kwa kiazazi chake karibu kote duniani, yasemekana hata hawa wahabeshi wa Somalia, Watusi wa Rwanda na wa Iraq wa Tanzania ni mbegu yake huyo jamaa baada ya kumgaragaza malkia wa Ethiopia ( QUEEN OF SHEBA) alivyompelekea kiasi kikubwa cha dhahabu kutoka Afrika kwa ajili ya kupamba hekalu alilokamilisha.

    Usiulizd iwapo alikua anatozwa kodi kwani yeye ndie alikuwa mtawala wa himaya yake kwahiyo asingeweza kutozwa kodi...na utawala wake ulidumu kwa miaka 40

    Uchaguzi wa Busara wa Sulemani kwa kumwomba Bwana “Moyo adili wa kuwahukumu watu wako” ulisababisha idhini ya Bwana na utoaji wa "moyo wa hekima na ufahamu" na kuongezewa "utajiri na heshima "

    Mhhhhhh...............yumkini kama nilivyosema si rahisi sana kumsimulia Sulemani na kuna vyanzo vingi ambavyo kila mtu anaweza kuibuka na chake walau nimeokoteza kwa vyanzo vya uhakika na kwa kuwa ni simulizi tutaendelea kuimani tu maana HATUKUWEPO................

    Mada hii itaendelea kuboreshwa kwa kadri ya vyanzo vingine....
    ..
    MACHACHE KUHUSU MFALME MKWASI ZAIDI DUNIANI KUNA HISTORIA ambazo ukitaka kuandika unaweza kuchukua siku mbili za kutafakari uanze wapi na au uishie wapi.....Mfalme Sulemani ni mmoja wapo............. Mama wa Sulemani (BATH-SHEBA) alikuwa tayari ni mke wa mtu (URIA MHITI) huyu URIA alikuwa askari wa mfalme DAUDI. so mfalme DAUDI aliponogewa na penzi la BATH SHEBA akafanya mbinu za kifo cha URIA vitani. ......umewahi kuwaza kwamba unahangaika na familia moja tu dhidi ya mtu anayetajwa kuwa na wenza 700 na masuria 300...hujahesabu watoto, wajakazi, shangazi, mjomba, wajukuu, nk wanaovinjari kila siku katika hemaya zake........tunaambiwa kwamba chakula kilicholiwa kwa siku moja kilikuwa magunia 240 ya unga, magunia 480 ya chakula, ng'ombe kumi kwa nyama choma, ng'ombe ishirini wa mchuzi, kondoo mia moja, ndege na wanyama wengine wa aina mbalimbali .......... unahangaika kutafuta mufu wa dhahabu ilihali mwenzako anapokea tani 30 za dhahabu kila mwaka .........Kwa mwaka mmoja pekee alikuwa anapokea tani si chini ya 30 ya vipande bora vya dhahabu ukiachilia mbali Vito na Madini mengine....kila nakshi na chombo ndani ya nyumba ya Sulemani ilikua ni DHAHABU tupu maana nyakati hizo madini ya fedha yalithaminishwa kwa kiwango cha vumbi dhidi ya dhahabu.... Jumba la Hukumu la Sulemani lilikuwa kubwa na lilijengwa na mwerezi na kuzungushwa na pembe zilizofunikwa na dhahabu na kusimamiwa na simba ........... Katika ukuta kulikuwa kumewekwa ngao 500 za dhahabu .................hata vyombo vya kunywea na sahani zilizokuwa kwenye nyumba hii kuu zilikuwa za “dhahabu”. Shaba “ haikuwa kitu cha kuhesabiwa katika siku za Sulemani”.................Pia alianzisha shamba la kifalme na mbuga yenye maziwa bandia, shamba la maua na matunda Wana-ikiolojia wamepata ushahidi dhabiti wa majengo ya Sulemani kote nchini hasa Hazori, Megido na Gezeri, mabaki ambayo yanatoa ushahidi wa ukweli wa 1 Wafalme 9:15. Megido ni muhimu kwa vibanda vyake vya magari ya farasi 450. Jeshi kubwa la Sulemani lilihitaji jengo lenye vibanda 4,000 vya farasi na vilijengwa karibu na mipaka ya Israeli na kulindwa na waendeshaji magari ya farasi.. Sulemani alipata faida kwani Israeli ilikuwa sehemu nzuri katikati mwa bara la Asia na Afrika. Alitawala njia za kaskazini na kusini na kwa usaidizi wa Wafoeniki, alijenga meli nyingi pale Esion-geberi ili zitumike kubeba shaba iliosafishwa na bidhaa zingine. Meli hizi zilifanya safari ya kusini hadi Ethiopia, Yemen na India Arabian mara moja kila miaka mitatu, na kuleta dhahabu, fedha, na pembe, nyani na tausi Sulemani pia aliendeleza viwanda vya kusafisha chuma, pamoja na kuchimba madini katika Araba, kusini mwa Bahari ya Chumvi, na kiwanda kikubwa cha kuyeyusha vyuma cha Esion-geberi, mahali ambapo palikuwa bandari karibu na Bahari ya Shamu. Kwa Mujibu wa wanahistoria.. Mansa Musa mfalme wa Mali empire... Ndio Binadamu alie wahi kuwa tajir Dunia nzima mpaka leo hamna mtu alie wahi fikia Utajir wake.. (wakati anaenda hiji macca alipitia misri .. Na kusabisha uchumi wao kuyumba kutokana na dhahabu alizo tumia Pale misri)... UKWELI NI KWAMBA MANSA MUSA aliyetawala kati ya mwaka 1312-1337 na utajiri wake ulikadiriwa kufikia USD billion 400 ILIHALI Mfalme Sulemani alikuwa na utajiri unaokadiriwa kufikia dollar za kimarekani trillion 2.1.......Mansa Kankan Mussa ni tajiri wa kwanza katika kipindi cha baada ya Yesu. Wenyewe wanaita Anno Domino (AD) Hata Nathaniel Rothchild Family ( zikiwepo rockerfeller, morgan na du pont family yaani FAMILI NZIMA) Utajiri wao haufikii hata theluthi ya Mfalme Sulemani (dola bilioni 600 tu) Wingi wa wake za Sulemani unahalasiha kutapanyika kwa kiazazi chake karibu kote duniani, yasemekana hata hawa wahabeshi wa Somalia, Watusi wa Rwanda na wa Iraq wa Tanzania ni mbegu yake huyo jamaa baada ya kumgaragaza malkia wa Ethiopia ( QUEEN OF SHEBA) alivyompelekea kiasi kikubwa cha dhahabu kutoka Afrika kwa ajili ya kupamba hekalu alilokamilisha. Usiulizd iwapo alikua anatozwa kodi kwani yeye ndie alikuwa mtawala wa himaya yake kwahiyo asingeweza kutozwa kodi...na utawala wake ulidumu kwa miaka 40 Uchaguzi wa Busara wa Sulemani kwa kumwomba Bwana “Moyo adili wa kuwahukumu watu wako” ulisababisha idhini ya Bwana na utoaji wa "moyo wa hekima na ufahamu" na kuongezewa "utajiri na heshima " Mhhhhhh...............yumkini kama nilivyosema si rahisi sana kumsimulia Sulemani na kuna vyanzo vingi ambavyo kila mtu anaweza kuibuka na chake walau nimeokoteza kwa vyanzo vya uhakika na kwa kuwa ni simulizi tutaendelea kuimani tu maana HATUKUWEPO................ Mada hii itaendelea kuboreshwa kwa kadri ya vyanzo vingine.... ..
    Love
    Like
    3
    · 0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • *VATICAN CITY......
    Nchi? Mji? Serikali au Kampuni?*

    Nadhani moja kati ya maeneo ambayo yamekuwa tata zaidi kuyaelewa basi ni mji wa Vatican… tukiachilia mbali kuhusu utata/ugumu wa kuelewa mfumo wake wa uendeshaji na historia yake lakini swali jepesi zaidi ambalo kila mtu huwa anahisi analifahamu jawabu lake ni kuhusu utambulisho wa Vatican.!! Ni swali jepesi ambalo karibia kila mtu anadhani ana jawabu sahihi lakini uhalisia ni kwamba asilimia kubwa ya watu wana jawabu lisilo sahihi… kila mtu atakueleza kwamba Vatican ni nchi inayojitegemea lakini hii ni robo tu au thelethi ya jawabu…

    Leo nami niandike kidogo kuhusu eneo hili… na kwenye andishi hili fupi nitaeleza utambulisho wa Vatican ukoje kwa usahihi wake kabisa!

    *Muhimu:* andishi hili halilengi kukosoa au kupinga imani ya mtu yeyote. Tahadhali zote zinazingatiwa ili kulinda heshima ya imani ya kila mtu.

    Tuendelee…

    Vatican City, ndio makao makuu ya Kanisa Katoliki na nyumba ya maisha ya Papa, kiongozi mkuu wa kanisa Katoliki.
    Vatican ndio nchi ndogo zaidi duniani kiasi kwamba unaweza kuizunguka yote kwa mzingo (circumference) kwa muda wa dakika arobaini tu kwa kutembea kwa miguu.

    Ni ajabu sana kwa namna gani nchi ndogo kiasi hiki imetokea na je ni nchi kama nchi nyingine???

    Jibu la swali hili ni refu sana kiaisi kwamba unaweza hata kusoma darasani kwa mwaka mzima lakini nitajaribu kuweka katika maneno machache sana ya kueleweka kwa wepesi…

    Miaka ya kale sana Papa wa Kanisa Katoliki alikuwa ni mtawala wa nchi ambayo ilikuwa inajiita *Himaya ya Papa (Papal State)* ambayo inarandana kabisa na eneo la sasa la nchi nzima ya Italia. Hii ilikuwa takribani miaka ya 754 mpaka miaka ya 1870.
    Ni katika kipindi hiki ambacho Papa aliteua eneo ndani ya nchi yake Papal State ambalo likajengwa *St. Peters Basilica*, kanisa kubwa zaidi duniani na lenye nakshi adhimu zaidi. Eneo hili ambalo St. Peters Basilica ilijengwa ni eneo fulani hivi la muinuko ambako hapo hapo pia yalijengwa makazi ya Papa kuishi.

    Ikumbukwe kwamba katika kipindi hiki hiki cha uwepo wa himaya ya Papal State pia ilikuwa inapakana na Ufalme wa Italy (Kingdom of Italy) japo kila moja ilikuwa inajitegemea.

    Japokuwa himaya hizi mbili zilikuwa jirani lakini kulikuwa na uhasama fulani kati yao. Hii ilifanya Papa kujenga ukuta mkubwa kuzunguka makazi yake ya kuishi na kanisa la St. Peters Basilica.

    Kadiri miaka ilivyozidi kwenda uhasama kati ya Italy Kingdom na Papal State ulipanuka zaidi na ilifikia hatua Kingdom of Italy wakafanya uamuzi wa kuiteka Papal State na kuifanya makao makuu ya nchi yake (Rome ya sasa).

    Wakati na baada ya uvamizi huu wa Kingdom of Italy kuteka Papal State, Papa mwenyewe alikuwa amejificha ndani ya makazi yake yaliyozungushiwa ukuta ambao nimeeleza awali.
    Ikumbukwe kwamba hata kipindi hiki Kanisa Katoliki tayari lilikuwa na ushawishi mkubwa duniani kwa hiyo Kingdom of Italy walihofia kuingiza majeshi kwa nguvu ndani ya makazi ya Papa na kumkamata kuogopa umaarufu wao kimataifa kudondoka.

    Kwa hiyo majeshi ya Kingdom of Italy yalibakia nje mwa kuta za Vatican kwa miaka mingi sana wakiamini kwamba iko siku Papa atakata tamaa na kujisalimisha.
    Lakini hii haikufua dafu kwani miongo ilipita na Papa hakujisalimisha kwa kutoka nje ya kuta za Vatican. Takribani Mapapa watano kwa muda wa karibia miaka sitini waliishi ndani ya kuta za Vatican katika hali hii. Mapapa hao kwa majina yao walikuwa ni Papa Pius IX, Papa Leo XIII, Papa Pius X, Papa Benedict XV na Papa Pius XI.

    Hali hii ilisababisha Mapapa kutotambua Kingdom of Italy na pia kulalamika mara kwa mara kwa jamii ya kimataifa kwamba wanaishi kama wafungwa ndani ya kuta za Vatican kutokana na ukandamizaji wa Kingdom of Italy na hofu waliyonayo kutoka nje ya kuta za Vatican.

    Hii inatufikisha mpaka miaka ya 1920s wakati wa utawala wa Benito Mussolini akiwa Waziri Mkuu wa Italy.
    Mussolini alichoshwa na malalamiko haya ya Papa na majibizano ya kila mara huku Papa bado akishikilia msimamo wa kutoitambua Italy

    Mussolini mwanasiasa mahiri kama ajulikanavyo akaona fursa hapa ya kuandika jina lake kwenye vitabu vya historia.
    Akapendekeza makubaliano maalumu kwa Papa. Kwamba atafanya yafuatayo;

    1. Italy itatoa ardhi ya Vatican kwa Papa na iwe himaya/nchi iliyo chini ya utawala wa Papa.

    2. Italy itatoa fedha kama fidia kwa Papa kutokana na manyanyaso ya miaka yote.

    Mussolini alihitaji Papa kufanya yafuatayo;

    1. Papa atambue Italy kuwa ni nchi.

    2. Papa asijihusishe wala kutoa maoni yoyote kuhusu masuala ya kisiasa na vita.

    Papa na Mussolini wakafikia makubaliano na mikataba ikasainiwa na hapa ndipo taifa dogo zaidi duniani likazaliwa, Vatican.

    Vatican ikaanza kujiendesha kama taifa linalojitegemea kwa kuwa na sarafu yake, serikali yake, Polisi wake, jela yake (ndio kuna jela Vatican), Posta yake, Plate number zake, Passport zake na kadhalika na kadhalika.

    Vatican si kama nchi nyingine duniani kwa hiyo usidhani kwamba tayari umeielewa Vatican, hicho nilichoeleza ni theluthi tu mkanganyiko wa kuielewa Vatican kama nchi… kunywa tena glass ya maji and relax!! Nitaeleza tena kidogo…

    Ili kuielewa Vatican walau kiduchu kuna watu wawili tunapaswa kuwafahamu;

    1. Papa

    2. Mfalme wa Vatican

    Na pia kuna vitu viwili vya kuvielewa;

    1. The Holy See

    2. Vatican City

    Tuanze kimoja kimoja…

    *1. Papa*
    Hii sihitaji kueleza sana karibia wote tunafahamu. Lakini kwa msingi wa awali kabisa, Papa ni askofu wa Wakatoliki wote waliopo Rome/Vatican lakini kwa kuwa yeye pia ndiye kiongozi wa Wakatoliki wote duniani ndio sababu ya Uaskofu wake kuwa Papa.

    *2. The Holy See*
    Kabla sijaeleza chochote kuhusu Mfalme wa Vatican kwanza nieleze kuhusu The Holy See. Hili ni moja ya mambo magumu zaidi kuyaelewa kuhusu Vatican. Nitaeleza kwa lugha nyepesi na uchache ili tusipasue vichwa kwa mikanganyiko.

    Kwa tafsiri nyepesi Holy See ni 'Throne' ya Papa (nakosa neno zuri la kiswahili, sipendezwi sana na tafsiri ya 'Kiti cha Enzi').

    Ni kwamba, maaskofu wote ndani ya kanisa Katoliki wanakuwa na 'throne' lakini kwa kuwa 'throne' ya Papa ni maalumu (kiongozi wa Wakatoliki wote duniani) kwa hiyo throne yake inakuwa muhimu zaidi na inaitwa 'The Holy See'.
    Mapapa wanabadilika lakini The Holy See iko na itaendelea kuwepo siku zote.

    Yaani kwa mfano Papa anapofariki au kustaafu kama tulivyoona mwaka juzi, Makadinali wanapokusanyika Vatican kwa uhalisia wanaenda kumchagua Kadinali mwenzao ambaye atakalia 'throne' ya 'Holy See'.

    Kwa 'angle' nyingine tunaweza kusema kwamba 'The Holy See' ndiyo sheria na mamlaka yote inayofanya kanisa Katoliki kuwa namna lilivyo. Pia sheria zote za kanisa Katoliki na mfumo wake unatengenezwa na The Holy See (sio Papa).

    Pia tunaweza kusema kwamba Benito Mussolini alipofanya makubaliano na Vatican aliingia mkataba ule na 'The Holy See'.

    Pia unaweza usiamini lakini katika nyanja za sheria za kimataifa 'The Holy See' inatambulika kama mtu/kampuni halisi ambaye amesajiliwa kisheria.

    Labda nitumie lugha nyepesi zaidi ya mfano… ukitaka kuelewa The Holy See, chukulia mfano huu kwamba Holy See ni "Catholic Church Inc." alafu Papa ndiye CEO.

    Nimejitahidi kueleza kwa kifupi na kwa wepesi niwezavyo, kuielewa kwa undani zaidi The Holy See labda tunapaswa kuandaa andishi maalumu mahususi kwa ajili yake tu.

    *3. Mfalme wa Vatican*
    Mfalme wa Vatican ni mtawala mwenye mamlaka yote juu ya nchi ya Vatican na hii inaifanya Vatican kuwa moja kati ya nchi sita pekee duniani zenye wafalme wenye mamlaka kamili (absolute monarchy). Nchi nyingine tano ni Saudi Arabia, Brunei, Oman, Qatar, Oman na Swaziland.

    Hii ndio sababu kwanini Vatican hawawezi kujiunga na Umoja wa Ulaya kwa sababu EU wanakubali nchi zenye mfumo wa kidemokrasia pekee.
    Japokuwa Vatican ina tawi la 'bunge' ambalo linaundwa na makadinali wa Vatican ambayo wanatunga sheria za 'nchi' lakini bado mfalme wa Vatican anauwezo wa kuveto maamuzi yoyote ambayo wamefikia.

    *Swali: Kwanini hatusikii chochote kuhusu Mfalme wa Vatican??*

    Ni kwa sababu Mfalme wa Vatican na Papa ni wajibu na mamlaka mbili tofauti lakini zinakaliwa na mtu mmoja, Papa wa Kanisa Katoliki.

    Hii inatupa kitu kingine cha kipekee kuhusu Vatican.

    Papa anachaguliwa na makadinali wenzake - Demokrasia.
    Lakini Mfalme hachaguliwi.

    Hii inafanya Vatican kuwa nchi pekee kwenye historia ya dunia kuwa na Mfalme mwenye mamlaka kamili ambaye si wa kurithi na anapatikana kidemokrasia (Elected non-heridetary absolute Monarchy).

    Kwa hiyo Papa kulingana na muktadha na mazingira ya suala husika kuna muda anatumia mamlaka yake kama Papa na muda mwingine inampasa kutumia mamlaka yake kama Mfalme wa Vatican.

    Bado kuna mkanganyiko???

    Zingatia mfano huu rahisi; tuseme kwamba kuna kampuni fulani kubwa ya kimataifa inaitwa Aman Enterprises (The Holy See kwa mada yetu). Aman Enterprises wakafanikiwa kuishwishi Tanzania kuwapatia kisiwa cha Mbudya na Bold Enterprises wanakibadilisha kisiwa cha Mbudya kuwa nchi inayojitegemea, labda iitwe Aman Land (Vatican City kwa mfano wetu).
    Sasa CEO wa kampuni Bwana Aman (Papa kwa mada yetu) anahamishiamanya makao makuu ya kampuni mpaka Aman Land. Kwa kuwa Aman Land sasa ni nchi, CEO wa kampuni anakuwa pia mtawala wa nchi hii, Mfalme.

    .
    Kwa hiyo kwa manufaa ya kampuni kutumia 'connection' zake za kimataifa kunufaisha taifa lake la Aman Land ni vyema kutumia mamlaka kama CEO wa Bold Enterprises na kuna muda akihitaji nchi yake ya Aman Land kutunga sheria na taratibu ambazo zitanufaisha kampuni izidi kushamiri ni vyema kutumia mamlaka yake kama Mfalme wa Aman Land.

    Haya ndio mamlaka mawili yaliyo chini ya mtu mmoja ndani ya vatican, Papa na Mfalme wa Vatican.

    Bado kuna mkanganyiko???

    Kama haujaelewa sawia usihofu kwa maana bado kuna hata nchi nyingine duniani bado hawaelewi sawa sawa mfumo mzima wa Vatican.

    Mfano, Umoja wa Mataifa wamekubali The Holy See (corporation) kama mwanachama wake lakini sio Vatican City nchi yenyewe.

    Passports za raia wa Vatican zinatolewa na The Holy See na sio Vatican na zinakubalika kwenye nchi nyingine japokuwa The Holy See kimataifa inatambulika kisheria kama Kampuni inayojitegemea.

    Na hapa tuongee kiduchu pia kuhusu raia wa Vatican. Katika nchi nyingine raia wa wanaongezeka kutokana na kuzaliana lakini hapa Vatican hakuna hilo kutokana na idadi ndogo ya wanaweka kiasi kwamba karibia ni asilimia sufuri. Namna pekee ya kuwa raia wa Vatican ni kwa kupewa uraia na Mfalme wa Vatican ili uishi Vatican kama moja wa wasaidizi wa Papa (ambaye ndiye mfalme). Kwa hiyo siku ukiacha kazi, yaani usaidizi wako kwa Papa ukifikia kikomo, Mfalme wa Vatican (ambayr ndiye Papa) anaondoa uraia wako na unarudi kwenu.

    Katika muda wowote ule raia wa nchi ya Vatican wanakadiriwa kuwa jumla karibia ya 500 ambao ndio idadi ndogo zaidi ya raia kwa nchi na ndogo kushinda hata idadi ya watu wanaoishi kwenye ghorofa moja kwenye nchi nyingi.
    Na raia wote hawa ni wafanyakazi wa Papa/The Holy See ambao wanapewa uraia na Mfalme (ambaye ndiye Papa) ambapo wanafanya kazi kama Makadinali, Wanadiplomasia, walinzi au kazi nyingine za kikanisa.

    Kwa ufupi sana hii ndio picha halisi ya nchi ya Vatican… na hapa ndipo ambapo maisha ya kiroho ya wafuasi zaidi ya Billioni 2 yanapoendeshwa…

    *VATICAN CITY...... Nchi? Mji? Serikali au Kampuni?* Nadhani moja kati ya maeneo ambayo yamekuwa tata zaidi kuyaelewa basi ni mji wa Vatican… tukiachilia mbali kuhusu utata/ugumu wa kuelewa mfumo wake wa uendeshaji na historia yake lakini swali jepesi zaidi ambalo kila mtu huwa anahisi analifahamu jawabu lake ni kuhusu utambulisho wa Vatican.!! Ni swali jepesi ambalo karibia kila mtu anadhani ana jawabu sahihi lakini uhalisia ni kwamba asilimia kubwa ya watu wana jawabu lisilo sahihi… kila mtu atakueleza kwamba Vatican ni nchi inayojitegemea lakini hii ni robo tu au thelethi ya jawabu… Leo nami niandike kidogo kuhusu eneo hili… na kwenye andishi hili fupi nitaeleza utambulisho wa Vatican ukoje kwa usahihi wake kabisa! *Muhimu:* andishi hili halilengi kukosoa au kupinga imani ya mtu yeyote. Tahadhali zote zinazingatiwa ili kulinda heshima ya imani ya kila mtu. Tuendelee… Vatican City, ndio makao makuu ya Kanisa Katoliki na nyumba ya maisha ya Papa, kiongozi mkuu wa kanisa Katoliki. Vatican ndio nchi ndogo zaidi duniani kiasi kwamba unaweza kuizunguka yote kwa mzingo (circumference) kwa muda wa dakika arobaini tu kwa kutembea kwa miguu. Ni ajabu sana kwa namna gani nchi ndogo kiasi hiki imetokea na je ni nchi kama nchi nyingine??? Jibu la swali hili ni refu sana kiaisi kwamba unaweza hata kusoma darasani kwa mwaka mzima lakini nitajaribu kuweka katika maneno machache sana ya kueleweka kwa wepesi… Miaka ya kale sana Papa wa Kanisa Katoliki alikuwa ni mtawala wa nchi ambayo ilikuwa inajiita *Himaya ya Papa (Papal State)* ambayo inarandana kabisa na eneo la sasa la nchi nzima ya Italia. Hii ilikuwa takribani miaka ya 754 mpaka miaka ya 1870. Ni katika kipindi hiki ambacho Papa aliteua eneo ndani ya nchi yake Papal State ambalo likajengwa *St. Peters Basilica*, kanisa kubwa zaidi duniani na lenye nakshi adhimu zaidi. Eneo hili ambalo St. Peters Basilica ilijengwa ni eneo fulani hivi la muinuko ambako hapo hapo pia yalijengwa makazi ya Papa kuishi. Ikumbukwe kwamba katika kipindi hiki hiki cha uwepo wa himaya ya Papal State pia ilikuwa inapakana na Ufalme wa Italy (Kingdom of Italy) japo kila moja ilikuwa inajitegemea. Japokuwa himaya hizi mbili zilikuwa jirani lakini kulikuwa na uhasama fulani kati yao. Hii ilifanya Papa kujenga ukuta mkubwa kuzunguka makazi yake ya kuishi na kanisa la St. Peters Basilica. Kadiri miaka ilivyozidi kwenda uhasama kati ya Italy Kingdom na Papal State ulipanuka zaidi na ilifikia hatua Kingdom of Italy wakafanya uamuzi wa kuiteka Papal State na kuifanya makao makuu ya nchi yake (Rome ya sasa). Wakati na baada ya uvamizi huu wa Kingdom of Italy kuteka Papal State, Papa mwenyewe alikuwa amejificha ndani ya makazi yake yaliyozungushiwa ukuta ambao nimeeleza awali. Ikumbukwe kwamba hata kipindi hiki Kanisa Katoliki tayari lilikuwa na ushawishi mkubwa duniani kwa hiyo Kingdom of Italy walihofia kuingiza majeshi kwa nguvu ndani ya makazi ya Papa na kumkamata kuogopa umaarufu wao kimataifa kudondoka. Kwa hiyo majeshi ya Kingdom of Italy yalibakia nje mwa kuta za Vatican kwa miaka mingi sana wakiamini kwamba iko siku Papa atakata tamaa na kujisalimisha. Lakini hii haikufua dafu kwani miongo ilipita na Papa hakujisalimisha kwa kutoka nje ya kuta za Vatican. Takribani Mapapa watano kwa muda wa karibia miaka sitini waliishi ndani ya kuta za Vatican katika hali hii. Mapapa hao kwa majina yao walikuwa ni Papa Pius IX, Papa Leo XIII, Papa Pius X, Papa Benedict XV na Papa Pius XI. Hali hii ilisababisha Mapapa kutotambua Kingdom of Italy na pia kulalamika mara kwa mara kwa jamii ya kimataifa kwamba wanaishi kama wafungwa ndani ya kuta za Vatican kutokana na ukandamizaji wa Kingdom of Italy na hofu waliyonayo kutoka nje ya kuta za Vatican. Hii inatufikisha mpaka miaka ya 1920s wakati wa utawala wa Benito Mussolini akiwa Waziri Mkuu wa Italy. Mussolini alichoshwa na malalamiko haya ya Papa na majibizano ya kila mara huku Papa bado akishikilia msimamo wa kutoitambua Italy Mussolini mwanasiasa mahiri kama ajulikanavyo akaona fursa hapa ya kuandika jina lake kwenye vitabu vya historia. Akapendekeza makubaliano maalumu kwa Papa. Kwamba atafanya yafuatayo; 1. Italy itatoa ardhi ya Vatican kwa Papa na iwe himaya/nchi iliyo chini ya utawala wa Papa. 2. Italy itatoa fedha kama fidia kwa Papa kutokana na manyanyaso ya miaka yote. Mussolini alihitaji Papa kufanya yafuatayo; 1. Papa atambue Italy kuwa ni nchi. 2. Papa asijihusishe wala kutoa maoni yoyote kuhusu masuala ya kisiasa na vita. Papa na Mussolini wakafikia makubaliano na mikataba ikasainiwa na hapa ndipo taifa dogo zaidi duniani likazaliwa, Vatican. Vatican ikaanza kujiendesha kama taifa linalojitegemea kwa kuwa na sarafu yake, serikali yake, Polisi wake, jela yake (ndio kuna jela Vatican), Posta yake, Plate number zake, Passport zake na kadhalika na kadhalika. Vatican si kama nchi nyingine duniani kwa hiyo usidhani kwamba tayari umeielewa Vatican, hicho nilichoeleza ni theluthi tu mkanganyiko wa kuielewa Vatican kama nchi… kunywa tena glass ya maji and relax!! Nitaeleza tena kidogo… Ili kuielewa Vatican walau kiduchu kuna watu wawili tunapaswa kuwafahamu; 1. Papa 2. Mfalme wa Vatican Na pia kuna vitu viwili vya kuvielewa; 1. The Holy See 2. Vatican City Tuanze kimoja kimoja… *1. Papa* Hii sihitaji kueleza sana karibia wote tunafahamu. Lakini kwa msingi wa awali kabisa, Papa ni askofu wa Wakatoliki wote waliopo Rome/Vatican lakini kwa kuwa yeye pia ndiye kiongozi wa Wakatoliki wote duniani ndio sababu ya Uaskofu wake kuwa Papa. *2. The Holy See* Kabla sijaeleza chochote kuhusu Mfalme wa Vatican kwanza nieleze kuhusu The Holy See. Hili ni moja ya mambo magumu zaidi kuyaelewa kuhusu Vatican. Nitaeleza kwa lugha nyepesi na uchache ili tusipasue vichwa kwa mikanganyiko. Kwa tafsiri nyepesi Holy See ni 'Throne' ya Papa (nakosa neno zuri la kiswahili, sipendezwi sana na tafsiri ya 'Kiti cha Enzi'). Ni kwamba, maaskofu wote ndani ya kanisa Katoliki wanakuwa na 'throne' lakini kwa kuwa 'throne' ya Papa ni maalumu (kiongozi wa Wakatoliki wote duniani) kwa hiyo throne yake inakuwa muhimu zaidi na inaitwa 'The Holy See'. Mapapa wanabadilika lakini The Holy See iko na itaendelea kuwepo siku zote. Yaani kwa mfano Papa anapofariki au kustaafu kama tulivyoona mwaka juzi, Makadinali wanapokusanyika Vatican kwa uhalisia wanaenda kumchagua Kadinali mwenzao ambaye atakalia 'throne' ya 'Holy See'. Kwa 'angle' nyingine tunaweza kusema kwamba 'The Holy See' ndiyo sheria na mamlaka yote inayofanya kanisa Katoliki kuwa namna lilivyo. Pia sheria zote za kanisa Katoliki na mfumo wake unatengenezwa na The Holy See (sio Papa). Pia tunaweza kusema kwamba Benito Mussolini alipofanya makubaliano na Vatican aliingia mkataba ule na 'The Holy See'. Pia unaweza usiamini lakini katika nyanja za sheria za kimataifa 'The Holy See' inatambulika kama mtu/kampuni halisi ambaye amesajiliwa kisheria. Labda nitumie lugha nyepesi zaidi ya mfano… ukitaka kuelewa The Holy See, chukulia mfano huu kwamba Holy See ni "Catholic Church Inc." alafu Papa ndiye CEO. Nimejitahidi kueleza kwa kifupi na kwa wepesi niwezavyo, kuielewa kwa undani zaidi The Holy See labda tunapaswa kuandaa andishi maalumu mahususi kwa ajili yake tu. *3. Mfalme wa Vatican* Mfalme wa Vatican ni mtawala mwenye mamlaka yote juu ya nchi ya Vatican na hii inaifanya Vatican kuwa moja kati ya nchi sita pekee duniani zenye wafalme wenye mamlaka kamili (absolute monarchy). Nchi nyingine tano ni Saudi Arabia, Brunei, Oman, Qatar, Oman na Swaziland. Hii ndio sababu kwanini Vatican hawawezi kujiunga na Umoja wa Ulaya kwa sababu EU wanakubali nchi zenye mfumo wa kidemokrasia pekee. Japokuwa Vatican ina tawi la 'bunge' ambalo linaundwa na makadinali wa Vatican ambayo wanatunga sheria za 'nchi' lakini bado mfalme wa Vatican anauwezo wa kuveto maamuzi yoyote ambayo wamefikia. *Swali: Kwanini hatusikii chochote kuhusu Mfalme wa Vatican??* Ni kwa sababu Mfalme wa Vatican na Papa ni wajibu na mamlaka mbili tofauti lakini zinakaliwa na mtu mmoja, Papa wa Kanisa Katoliki. Hii inatupa kitu kingine cha kipekee kuhusu Vatican. Papa anachaguliwa na makadinali wenzake - Demokrasia. Lakini Mfalme hachaguliwi. Hii inafanya Vatican kuwa nchi pekee kwenye historia ya dunia kuwa na Mfalme mwenye mamlaka kamili ambaye si wa kurithi na anapatikana kidemokrasia (Elected non-heridetary absolute Monarchy). Kwa hiyo Papa kulingana na muktadha na mazingira ya suala husika kuna muda anatumia mamlaka yake kama Papa na muda mwingine inampasa kutumia mamlaka yake kama Mfalme wa Vatican. Bado kuna mkanganyiko??? Zingatia mfano huu rahisi; tuseme kwamba kuna kampuni fulani kubwa ya kimataifa inaitwa Aman Enterprises (The Holy See kwa mada yetu). Aman Enterprises wakafanikiwa kuishwishi Tanzania kuwapatia kisiwa cha Mbudya na Bold Enterprises wanakibadilisha kisiwa cha Mbudya kuwa nchi inayojitegemea, labda iitwe Aman Land (Vatican City kwa mfano wetu). Sasa CEO wa kampuni Bwana Aman (Papa kwa mada yetu) anahamishiamanya makao makuu ya kampuni mpaka Aman Land. Kwa kuwa Aman Land sasa ni nchi, CEO wa kampuni anakuwa pia mtawala wa nchi hii, Mfalme. . Kwa hiyo kwa manufaa ya kampuni kutumia 'connection' zake za kimataifa kunufaisha taifa lake la Aman Land ni vyema kutumia mamlaka kama CEO wa Bold Enterprises na kuna muda akihitaji nchi yake ya Aman Land kutunga sheria na taratibu ambazo zitanufaisha kampuni izidi kushamiri ni vyema kutumia mamlaka yake kama Mfalme wa Aman Land. Haya ndio mamlaka mawili yaliyo chini ya mtu mmoja ndani ya vatican, Papa na Mfalme wa Vatican. Bado kuna mkanganyiko??? Kama haujaelewa sawia usihofu kwa maana bado kuna hata nchi nyingine duniani bado hawaelewi sawa sawa mfumo mzima wa Vatican. Mfano, Umoja wa Mataifa wamekubali The Holy See (corporation) kama mwanachama wake lakini sio Vatican City nchi yenyewe. Passports za raia wa Vatican zinatolewa na The Holy See na sio Vatican na zinakubalika kwenye nchi nyingine japokuwa The Holy See kimataifa inatambulika kisheria kama Kampuni inayojitegemea. Na hapa tuongee kiduchu pia kuhusu raia wa Vatican. Katika nchi nyingine raia wa wanaongezeka kutokana na kuzaliana lakini hapa Vatican hakuna hilo kutokana na idadi ndogo ya wanaweka kiasi kwamba karibia ni asilimia sufuri. Namna pekee ya kuwa raia wa Vatican ni kwa kupewa uraia na Mfalme wa Vatican ili uishi Vatican kama moja wa wasaidizi wa Papa (ambaye ndiye mfalme). Kwa hiyo siku ukiacha kazi, yaani usaidizi wako kwa Papa ukifikia kikomo, Mfalme wa Vatican (ambayr ndiye Papa) anaondoa uraia wako na unarudi kwenu. Katika muda wowote ule raia wa nchi ya Vatican wanakadiriwa kuwa jumla karibia ya 500 ambao ndio idadi ndogo zaidi ya raia kwa nchi na ndogo kushinda hata idadi ya watu wanaoishi kwenye ghorofa moja kwenye nchi nyingi. Na raia wote hawa ni wafanyakazi wa Papa/The Holy See ambao wanapewa uraia na Mfalme (ambaye ndiye Papa) ambapo wanafanya kazi kama Makadinali, Wanadiplomasia, walinzi au kazi nyingine za kikanisa. Kwa ufupi sana hii ndio picha halisi ya nchi ya Vatican… na hapa ndipo ambapo maisha ya kiroho ya wafuasi zaidi ya Billioni 2 yanapoendeshwa…
    Like
    2
    · 0 Comments ·0 Shares ·1K Views
  • Wengi walishawahi sikia neno LULU au kwa kizungu PEARL, haya sio madini yanayochimbwa ardhini kma madini mengine yanavyochimbwa bali hizi ni goroli za thamani kubwa zinazopatikana ndani ya samaki wa baharini anaeitwa OYERSTA, samaki huyu anapokufa lulu hizi hubakia chini ya kina cha bahari hivyo wazamiaji huziokota, goroli hizi huwa zinathani kubwa na mara nyingi watu wenye kipato kikubwa kma wafalme na malikia huwa ndio wanavaa mikufu ya lulu og, kutokana na thamani kubwa na uadimu wa goroli hizi basi goroli hizi huchukuliwa kma ni madini ya vito ila kiuhalisia sio madini kwani huwa hayachimbwi ardhini kma madini mengine ya vito.

    Ili upate lulu hizi unatakiwa utafute chini ya kina cha bahari au umkamate samaki huyu na kumpasua, na kma utamkamata samaki huyu na kumpasua basi utazikuta goroli hizi zimejipanga kwa mstari ndani ya samaki huyu, kweli mungu mkubwa.

    Goroli hizi huwa zinapendeza sana na huwa zinang'ara sana na kung'ara kwake ndio kumefanya goroli hizi kuwa na thamani kubwa.
    Wengi walishawahi sikia neno LULU au kwa kizungu PEARL, haya sio madini yanayochimbwa ardhini kma madini mengine yanavyochimbwa bali hizi ni goroli za thamani kubwa zinazopatikana ndani ya samaki wa baharini anaeitwa OYERSTA, samaki huyu anapokufa lulu hizi hubakia chini ya kina cha bahari hivyo wazamiaji huziokota, goroli hizi huwa zinathani kubwa na mara nyingi watu wenye kipato kikubwa kma wafalme na malikia huwa ndio wanavaa mikufu ya lulu og, kutokana na thamani kubwa na uadimu wa goroli hizi basi goroli hizi huchukuliwa kma ni madini ya vito ila kiuhalisia sio madini kwani huwa hayachimbwi ardhini kma madini mengine ya vito. Ili upate lulu hizi unatakiwa utafute chini ya kina cha bahari au umkamate samaki huyu na kumpasua, na kma utamkamata samaki huyu na kumpasua basi utazikuta goroli hizi zimejipanga kwa mstari ndani ya samaki huyu, kweli mungu mkubwa. Goroli hizi huwa zinapendeza sana na huwa zinang'ara sana na kung'ara kwake ndio kumefanya goroli hizi kuwa na thamani kubwa.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·682 Views
  • WAMISRI WANA WA CHUKULIA MAFARAO KAMA WANAISHI SIO MIZIMU WALA MAREHEMU
    Kesho macho ya ulimwengu yanaelekezwa Afrika hasa Misri
    Kwamara ya kwanza tunaenda kushuhudia tukio kubwa katika maisha yetu.
    Ulimwengu wote unangojea hafla hii ya maandamano makubwa yaliyo ongozana na mummy /wafalme mafarao wakuu na mamalkia wakubwa Duniani kwa pamoja wanahama kutoka Jumba la kumbukumbu la zamani la Misri kwenda Makumbusho mapya ya Ustaarabu huko Cairo Tukio hilo litatangaza njia 400 za raia wa kigeni kutoka nchi zote ulimwenguni.

    Tukio hili kubwa zaidi litafanyika tarehe 3 Aprili.
    Kati ya wafalme na malkia.

    mfalme Ramses wa Pili, Ramses wa Tatu, Mfalme Seqnen Ra, Mfalme Ahmose, Mfalme Tuthmosis III, Malkia Hatshepsut, Malkia Nefertari, Mfalme Amenhotep wa IV na Mfalme Siti wa Kwanza

    Mummies watahamishwa kwa gari zilizojengwa maalum kwa maandamano, yenye nembo na jina la mummy wa kifalme aliyepo kwenye gari kwa Kiarabu, Kiingereza, na hieroglyphs.

    Magari ya vita, pia yaliyoundwa kwa hafla hiyo, na watakuwepo pande zote za barabara wakati wa gwaride, pamoja na farasi.

    Kabla ya kuanza kwa gwaride, zitapigwa saluti 21 za bunduki itafanyika kwa heshima ya watawala wa zamani, na kuanza kutoka kwa gari, moja baada ya nyingine, kutoka lango kuu la makumbusho.
    Hizi gari zitatembea kwa umbo la mviringo katika Mraba wa Tahrir yenyewe, na huzunguka kwenye obelisk ambayo sasa iko katikati ya mraba.

    Wakati huo huo, obelisk na majengo yaliyo karibu nayo yatawashwa kwa hafla hiyo, kabla ya kuona maandamano yakiendeshwa kando ya Mto Nile.
    Njia ya maandamano ni pamoja na alama nane, ambazo muhimu zaidi ni Tahrir Square na Ziwa la Ain Sira.
    Sherehe na gwaride litatangazwa, na kurushwa live kwenye skrini zitakazo wekwa barabarani.

    Maandamano hayo yatashirikisha muziki wa kijeshi, na onyesho la kisanii la kupendeza litaonyeshwa kusherehekea kutoka kifalme katika jumba la kumbukumbu.
    Waigizaji kadhaa watashiriki katika sherehe hiyo, watakua wakiongea kutoka maeneo tofauti ya utalii, pamoja na Sawsan Badr, Hussein Fahmy, Mona Zaki, na wengine.
    WAMISRI WANA WA CHUKULIA MAFARAO KAMA WANAISHI SIO MIZIMU WALA MAREHEMU Kesho macho ya ulimwengu yanaelekezwa Afrika hasa Misri🇪🇬 Kwamara ya kwanza tunaenda kushuhudia tukio kubwa katika maisha yetu. Ulimwengu wote unangojea hafla hii ya maandamano makubwa yaliyo ongozana na mummy /wafalme mafarao wakuu na mamalkia wakubwa Duniani kwa pamoja wanahama kutoka Jumba la kumbukumbu la zamani la Misri kwenda Makumbusho mapya ya Ustaarabu huko Cairo Tukio hilo litatangaza njia 400 za raia wa kigeni kutoka nchi zote ulimwenguni. Tukio hili kubwa zaidi litafanyika tarehe 3 Aprili. Kati ya wafalme na malkia. mfalme Ramses wa Pili, Ramses wa Tatu, Mfalme Seqnen Ra, Mfalme Ahmose, Mfalme Tuthmosis III, Malkia Hatshepsut, Malkia Nefertari, Mfalme Amenhotep wa IV na Mfalme Siti wa Kwanza Mummies watahamishwa kwa gari zilizojengwa maalum kwa maandamano, yenye nembo na jina la mummy wa kifalme aliyepo kwenye gari kwa Kiarabu, Kiingereza, na hieroglyphs. Magari ya vita, pia yaliyoundwa kwa hafla hiyo, na watakuwepo pande zote za barabara wakati wa gwaride, pamoja na farasi. Kabla ya kuanza kwa gwaride, zitapigwa saluti 21 za bunduki itafanyika kwa heshima ya watawala wa zamani, na kuanza kutoka kwa gari, moja baada ya nyingine, kutoka lango kuu la makumbusho. Hizi gari zitatembea kwa umbo la mviringo katika Mraba wa Tahrir yenyewe, na huzunguka kwenye obelisk ambayo sasa iko katikati ya mraba. Wakati huo huo, obelisk na majengo yaliyo karibu nayo yatawashwa kwa hafla hiyo, kabla ya kuona maandamano yakiendeshwa kando ya Mto Nile. Njia ya maandamano ni pamoja na alama nane, ambazo muhimu zaidi ni Tahrir Square na Ziwa la Ain Sira. Sherehe na gwaride litatangazwa, na kurushwa live kwenye skrini zitakazo wekwa barabarani. Maandamano hayo yatashirikisha muziki wa kijeshi, na onyesho la kisanii la kupendeza litaonyeshwa kusherehekea kutoka kifalme katika jumba la kumbukumbu. Waigizaji kadhaa watashiriki katika sherehe hiyo, watakua wakiongea kutoka maeneo tofauti ya utalii, pamoja na Sawsan Badr, Hussein Fahmy, Mona Zaki, na wengine.
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·771 Views
  • Nainua mikono juu.. Kuomba nguvu za baba..
    Nastawisha jina kuu.. La mungu ndan ya ibada..
    Nasal sala za toba.. Niondolee huyu shetan anauleta kwangu msalaba..
    Unibariki na hii dunia kwa utukufu wa siku ya saba..
    Sabato hakuna pumziko vip wana hip hop na hukumu za kipirato..
    Haitosh wananivisha taj la miba kama kristo..
    We ndo mfalme wa wafalme umeumba dunia mapito..
    #Amen.
    Nainua mikono juu.. Kuomba nguvu za baba.. Nastawisha jina kuu.. La mungu ndan ya ibada.. Nasal sala za toba.. Niondolee huyu shetan anauleta kwangu msalaba.. Unibariki na hii dunia kwa utukufu wa siku ya saba.. Sabato hakuna pumziko vip wana hip hop na hukumu za kipirato.. Haitosh wananivisha taj la miba kama kristo.. We ndo mfalme wa wafalme umeumba dunia mapito.. #Amen.
    0 Comments ·0 Shares ·375 Views