• Kwa sauti zetu mtu wa Mungu tunapaswa kumuita Bwana mpaka asikie kwani BWANA kwa asili yake anataka mwanadamu amwite .

    Zaburi 3:4-6

    Zaburi 3:4
    [4]Kwa sauti yangu namwita BWANA
    Naye aniitikia toka mlima wake mtakatifu.

    Kanuni ya Mungu ni kuwa niiteni nami nitasikia na nitafuteni nanyi mtaniona .

    Kumbe ili Mungu akusikie kwa uhuru anataka upaze sauti yako kumtafuta kwa kuomba na kumpendeza yeye naye ana asili ya kuwasikia walio wake .

    Ni wanao mwita Bwana peke yake ndiyo Bwana anawategemeza na Bwana akikutegemeza unakuwa na jjasiri nakutembea kifua mbele bila kuogopa mabaya.

    Ndipo daudi anasema naaam
    Zaburi 23:4
    [4]Naam, nijapopita kati ya bonde la uvuli wa mauti,
    Sitaogopa mabaya;
    Kwa maana Wewe upo pamoja nami,
    Gongo lako na fimbo yako vyanifariji.

    Changamoto yetu katika magumu yetu hatumwiti Bwana bali tunawaita watu tunasahau hata hao tunao wategemea nao ni kazi ya mikono yake ,ni Bwana peke yake unakuwa na ujasiri na amani akikutegemeza,

    Mwanadamu usalama wake upo katika kuwa na Bwana, MTU akimkosa Mungu hana ujasiri wa kusema yuko salama kwani sauti yake inageuka kuwa kelele machoni pa watu na hata machoni pa Mungu.

    #Zaburi 4:8
    [8]Katika amani nitajilaza na kupata usingizi mara,
    Maana Wewe, BWANA, peke yako,
    Ndiwe unijaliaye kukaa salama.

    Salama ya mwanadamu kulala na kuamka ni katika kumpazia Mungu sauti yake na ni vizuri sana kumpazia Mungu sauti kwa kuomba ili uweze kuwa salama .

    #Mithali 3:23-24
    [23]Ndipo utakapokwenda katika njia yako salama,
    Wala mguu wako hautakwaa.
    .
    [24]Ulalapo hutaona hofu;
    Naam, utalala na usingizi wako utakuwa mtamu.

    Ahsante sana , nikutakie jioni njema na siku njema.

    Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden)

    Kwa mafundisho zaidi karibu katika group la watsap.

    Tuma nenl Add kwenda 0622625340

    #build new eden
    #restore men position
    Kwa sauti zetu mtu wa Mungu tunapaswa kumuita Bwana mpaka asikie kwani BWANA kwa asili yake anataka mwanadamu amwite . Zaburi 3:4-6 Zaburi 3:4 [4]Kwa sauti yangu namwita BWANA Naye aniitikia toka mlima wake mtakatifu. Kanuni ya Mungu ni kuwa niiteni nami nitasikia na nitafuteni nanyi mtaniona . Kumbe ili Mungu akusikie kwa uhuru anataka upaze sauti yako kumtafuta kwa kuomba na kumpendeza yeye naye ana asili ya kuwasikia walio wake . Ni wanao mwita Bwana peke yake ndiyo Bwana anawategemeza na Bwana akikutegemeza unakuwa na jjasiri nakutembea kifua mbele bila kuogopa mabaya. Ndipo daudi anasema naaam Zaburi 23:4 [4]Naam, nijapopita kati ya bonde la uvuli wa mauti, Sitaogopa mabaya; Kwa maana Wewe upo pamoja nami, Gongo lako na fimbo yako vyanifariji. Changamoto yetu katika magumu yetu hatumwiti Bwana bali tunawaita watu tunasahau hata hao tunao wategemea nao ni kazi ya mikono yake ,ni Bwana peke yake unakuwa na ujasiri na amani akikutegemeza, Mwanadamu usalama wake upo katika kuwa na Bwana, MTU akimkosa Mungu hana ujasiri wa kusema yuko salama kwani sauti yake inageuka kuwa kelele machoni pa watu na hata machoni pa Mungu. #Zaburi 4:8 [8]Katika amani nitajilaza na kupata usingizi mara, Maana Wewe, BWANA, peke yako, Ndiwe unijaliaye kukaa salama. Salama ya mwanadamu kulala na kuamka ni katika kumpazia Mungu sauti yake na ni vizuri sana kumpazia Mungu sauti kwa kuomba ili uweze kuwa salama . #Mithali 3:23-24 [23]Ndipo utakapokwenda katika njia yako salama, Wala mguu wako hautakwaa. . [24]Ulalapo hutaona hofu; Naam, utalala na usingizi wako utakuwa mtamu. Ahsante sana , nikutakie jioni njema na siku njema. Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden) Kwa mafundisho zaidi karibu katika group la watsap. Tuma nenl Add kwenda 0622625340 #build new eden #restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·106 Views
  • Wokovu ni matokeo ya kinywa yaani kwa kinywa ndiyo mtu hupata wokovu.

    Wokovu huo unaongozwa na imani ,kumbuka mtu anaruhusiwa kukiri kile tu anacho kiamini.

    #warumi 10:8-10.

    Kumbe pamoja na wokovu kuwa wa thamani lakini ili uingie kwa mtu kwa njia ya imani na ukiri.

    Kumbe hata kama ungeamini lakini ujakili bado unakuwa uko katika njia panda.

    Kinywa ndicho kinacho kupa mamlaka ya kumshinda shetani na kukupa ujasiri wa kushinda .

    # 2 Corinth 4:4

    Kumbe kama moyo wako ujaamini injiri huwezi kupokea kwa ukubwa unao takiwa.

    Lazima uiamini injiri au neno la Mungu ligeuke kuwa maisha na ndipo utakuwa na ujasiri wa kukiri vyema na kuushinda ulimi wako kujinenea vibay.

    #mathayo 28:18

    Yesu ndiye mamlaka na alisema tumfuate na ukimfuata yeye lazima unakiwa na mamlaka.

    Nikutakie jion njema
    Kama unapenda kujifunza tuma neno add kwa namba 0622625340.

    Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry)

    #restore men position
    #build new eden
    Wokovu ni matokeo ya kinywa yaani kwa kinywa ndiyo mtu hupata wokovu. Wokovu huo unaongozwa na imani ,kumbuka mtu anaruhusiwa kukiri kile tu anacho kiamini. #warumi 10:8-10. Kumbe pamoja na wokovu kuwa wa thamani lakini ili uingie kwa mtu kwa njia ya imani na ukiri. Kumbe hata kama ungeamini lakini ujakili bado unakuwa uko katika njia panda. Kinywa ndicho kinacho kupa mamlaka ya kumshinda shetani na kukupa ujasiri wa kushinda . # 2 Corinth 4:4 Kumbe kama moyo wako ujaamini injiri huwezi kupokea kwa ukubwa unao takiwa. Lazima uiamini injiri au neno la Mungu ligeuke kuwa maisha na ndipo utakuwa na ujasiri wa kukiri vyema na kuushinda ulimi wako kujinenea vibay. #mathayo 28:18 Yesu ndiye mamlaka na alisema tumfuate na ukimfuata yeye lazima unakiwa na mamlaka. Nikutakie jion njema Kama unapenda kujifunza tuma neno add kwa namba 0622625340. Naitwa sylvester Mwakabende kutoka (build new eden ministry) #restore men position #build new eden
    0 Comments ·0 Shares ·276 Views
  • ProZenith USA Review: The Truth About Its Weight Loss Benefits

    https://yourhealthrights.com/prozenith-usa-review/

    #BodyTransformation #HealthAndFitness #StayFit
    ProZenith USA Review: The Truth About Its Weight Loss Benefits https://yourhealthrights.com/prozenith-usa-review/ #BodyTransformation #HealthAndFitness #StayFit
    0 Comments ·0 Shares ·232 Views
  • Advanced Varicose Veins Laser Treatment in Pune for Quick Relief

    Tsh100
    Patients struggling with painful varicose veins can now benefit from modern techniques like Varicose Veins Laser Treatment in Pune, which offers safe, minimally invasive solutions. Laser therapy seals damaged veins, redirecting blood flow to healthier ones, providing immediate relief from pain and swelling. The procedure is performed under local anesthesia, ensuring faster recovery and minimal scarring. Pune hospitals and clinics specialize in endovenous laser treatments, combining expertise with advanced technology. This option is highly effective, reduces downtime, and prevents recurrence. For patients seeking safe, reliable, and lasting results, laser treatment has become the preferred choice in Pune.

    Explore more:- https://expertir.in/varicose-vein-treatment-pune/
    Patients struggling with painful varicose veins can now benefit from modern techniques like Varicose Veins Laser Treatment in Pune, which offers safe, minimally invasive solutions. Laser therapy seals damaged veins, redirecting blood flow to healthier ones, providing immediate relief from pain and swelling. The procedure is performed under local anesthesia, ensuring faster recovery and minimal scarring. Pune hospitals and clinics specialize in endovenous laser treatments, combining expertise with advanced technology. This option is highly effective, reduces downtime, and prevents recurrence. For patients seeking safe, reliable, and lasting results, laser treatment has become the preferred choice in Pune. Explore more:- https://expertir.in/varicose-vein-treatment-pune/
    In stock ·New
    India
    0 Comments ·0 Shares ·353 Views
  • Top Benefits of Quietum Plus for Natural Hearing & Tinnitus Relief

    https://yourhealthrights.com/quietum-plus-for-heari ng-tinnitus-relief/


    Top Benefits of Quietum Plus for Natural Hearing & Tinnitus Relief https://yourhealthrights.com/quietum-plus-for-heari ng-tinnitus-relief/
    0 Comments ·0 Shares ·140 Views
  • Mitolyn Weight Loss Formula: Science Behind Its Fat-Burning Benefits


    Website: https://ushealthyy.blogspot.com/2025/09/mitolyn-weight-loss-formula.html

    #FatBurning #Mitolyn #HealthTips #WeightLossJourney #FitnessGoals #HealthyLiving #FatBurningFormula #LoseWeight #WeightLossSupport #Wellness #DietTips
    Mitolyn Weight Loss Formula: Science Behind Its Fat-Burning Benefits Website: https://ushealthyy.blogspot.com/2025/09/mitolyn-weight-loss-formula.html #FatBurning #Mitolyn #HealthTips #WeightLossJourney #FitnessGoals #HealthyLiving #FatBurningFormula #LoseWeight #WeightLossSupport #Wellness #DietTips
    Mitolyn Weight Loss Formula: Science Behind Its Fat-Burning Benefits
    ushealthyy.blogspot.com
    Introduction: The Growing Demand for Natural Weight Loss Solutions In today???s fast-paced world, maintaining a healthy weight is one of the b...
    0 Comments ·0 Shares ·337 Views
  • Fit Burn Review: Benefits, Ingredients, and Why It’s Trending in 2025

    Website: https://yourhealthrights.com/fit-burn-review/

    #WeightLoss #FatBurner #Fitness2025 #HealthSupplements #NaturalIngredients #BurnFatFast #FitLife

    Fit Burn Review: Benefits, Ingredients, and Why It’s Trending in 2025 Website: https://yourhealthrights.com/fit-burn-review/ #WeightLoss #FatBurner #Fitness2025 #HealthSupplements #NaturalIngredients #BurnFatFast #FitLife
    0 Comments ·0 Shares ·431 Views
  • 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Leverkusen imekamilisha usajili wa Eliesse Ben (20).

    Bayer Leverkusen ilifikia makubaliano dhidi ya Monaco kumpata winga huyo mwenye thamani ya €30M hadi 2030.


    #SportsElite
    🚨💣 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: Leverkusen imekamilisha usajili wa Eliesse Ben (20). Bayer Leverkusen ilifikia makubaliano dhidi ya Monaco kumpata winga huyo mwenye thamani ya €30M hadi 2030. #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·218 Views
  • Ofa ya klabu ya £25m ya Real Betis ilikubaliwa na Man United Kuhusu kumsajili Antony na tayari Man United ilimpa ruhusa Antony kusafiri kuelekea Spain

    Lakini saa chache baadae Real Betis imebadilishaa msimamo wake na kujiondoa kwenye mazungumzo wakidai kuwa mshahara wa Antony ni mkubwa hivyo hawataweza vinginevyo Man United wapungize Bei ya Antony au Antony apunguze Mshahara wake. .

    Source Ben Jacobs

    #SportsElite
    🚨 Ofa ya klabu ya £25m ya Real Betis ilikubaliwa na Man United Kuhusu kumsajili Antony na tayari Man United ilimpa ruhusa Antony kusafiri kuelekea Spain Lakini saa chache baadae Real Betis imebadilishaa msimamo wake na kujiondoa kwenye mazungumzo wakidai kuwa mshahara wa Antony ni mkubwa hivyo hawataweza vinginevyo Man United wapungize Bei ya Antony au Antony apunguze Mshahara wake. 🥴🇧🇷. Source Ben Jacobs #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·231 Views
  • Kocha Ruben Amorim amethibitisha Hakuna nafasi ya Kumuachia Kobbie Mainoo kuondoka klabuni.❎️

    Ruben Amorim amesema anataka kumuona Mainoo akipambania nafasi yake na anataka abakie klabuni.

    Source Fabrizio Romano

    #SportsElite
    🚨Kocha Ruben Amorim amethibitisha Hakuna nafasi ya Kumuachia Kobbie Mainoo kuondoka klabuni.❎️🔒 Ruben Amorim amesema anataka kumuona Mainoo akipambania nafasi yake na anataka abakie klabuni. Source Fabrizio Romano #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·180 Views
  • Fahamu RB Leipzig wanafanya mazungumzo ya Moja kwa moja na Liverpool ili kumsajili Harvey Elliott kama mbadala wa Xavi Simons aliyejiunga na Spurs.

    Liverpool bado wanasitasita kumuuza Harvey Elliott lakini itategemea baadae kama Leipzig itatoa £50m.

    Ikiwa Alexander Isak atajiunga na Liverpool kwa saa 24 zijazo basi Liverpool itamuachia Harvey Elliott.

    Source Ben Jacobs

    #SportsElite
    🚨 Fahamu RB Leipzig wanafanya mazungumzo ya Moja kwa moja na Liverpool ili kumsajili Harvey Elliott kama mbadala wa Xavi Simons aliyejiunga na Spurs. Liverpool bado wanasitasita kumuuza Harvey Elliott lakini itategemea baadae kama Leipzig itatoa £50m. Ikiwa Alexander Isak atajiunga na Liverpool kwa saa 24 zijazo basi Liverpool itamuachia Harvey Elliott. 💰 Source Ben Jacobs #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·146 Views
  • BREAKING Chelsea imeongeza Jina la Kiungo wa Crystal Palace Adam Wharton kwenye orodha yao ya wachezaji itakaowasajili kabla ya Dirisha Kufungwa.

    Source Ben Jacobs

    #SportsElite
    🚨💰BREAKING Chelsea imeongeza Jina la Kiungo wa Crystal Palace Adam Wharton kwenye orodha yao ya wachezaji itakaowasajili kabla ya Dirisha Kufungwa. Source Ben Jacobs #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·234 Views
  • Amazing Benefits of Mitolyn: Natural Fat-Burning Support in 2025

    Website: https://yourhealthrights.com/amazing-benefits-of-mitolyn/

    #FatBurning #NaturalSupplements #WeightLoss2025 #HealthyLiving
    Amazing Benefits of Mitolyn: Natural Fat-Burning Support in 2025 Website: https://yourhealthrights.com/amazing-benefits-of-mitolyn/ #FatBurning #NaturalSupplements #WeightLoss2025 #HealthyLiving
    0 Comments ·0 Shares ·427 Views
  • Mitolyn Weight Loss Support: Ingredients, Benefits & Side Effects

    https://yourhealthrights.com/mitolyn-for-weight-loss-support/
    Mitolyn Weight Loss Support: Ingredients, Benefits & Side Effects https://yourhealthrights.com/mitolyn-for-weight-loss-support/
    0 Comments ·0 Shares ·227 Views
  • Top Benefits of LivCare: Boost Your Liver Health Naturally in 2025

    Website: https://yourhealthrights.com/top-benefits-of-livcare-2025/
    Top Benefits of LivCare: Boost Your Liver Health Naturally in 2025 Website: https://yourhealthrights.com/top-benefits-of-livcare-2025/
    0 Comments ·0 Shares ·232 Views
  • Top Benefits of LivCare: Boost Your Liver Health Naturally in 2025

    Website:- https://yourhealthrights.com/top-benefits-of-livcare-2025/

    #LivCare #LiverHealth #NaturalSupplements #HerbalSupport #DetoxNaturally #HealthyLiver #WellnessJourney #NaturalWellness #Supplements2025 #LiverDetox #HealthyLivingUSA #WellnessTips #NaturalHealth #BoostEnergy #HealthSupplements
    Top Benefits of LivCare: Boost Your Liver Health Naturally in 2025 Website:- https://yourhealthrights.com/top-benefits-of-livcare-2025/ #LivCare #LiverHealth #NaturalSupplements #HerbalSupport #DetoxNaturally #HealthyLiver #WellnessJourney #NaturalWellness #Supplements2025 #LiverDetox #HealthyLivingUSA #WellnessTips #NaturalHealth #BoostEnergy #HealthSupplements
    0 Comments ·0 Shares ·643 Views
  • How to Take Cialis for Maximum Benefits?

    How to Take Cialis for Maximum Benefits?
    Like
    1
    · 0 Comments ·0 Shares ·136 Views
  • Ruben Dias amesaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia Klabu ya Manchester City mkataba ambao utaenda mpaka 2029 kukiwa na kipengele cha kuongeza mkataba mwingine.

    #CaroScore #SportsUp

    #SportsElite
    🚨🚨Ruben Dias amesaini mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia Klabu ya Manchester City mkataba ambao utaenda mpaka 2029 kukiwa na kipengele cha kuongeza mkataba mwingine. 📝✅ #CaroScore #SportsUp #SportsElite
    0 Comments ·0 Shares ·230 Views
  • Takwimu za Benjamin Šeško vs Fulham:

    • 38 minutes played
    • 0 shots
    • 0 golas
    • 0 assists
    • 0 dribbles
    • 0 key passes
    • 0 long balls
    • 0 ground duels won
    • 9 passes
    😬🚨 Takwimu za Benjamin Šeško vs Fulham: • 38 minutes played • 0 shots • 0 golas • 0 assists • 0 dribbles • 0 key passes • 0 long balls • 0 ground duels won • 9 passes
    0 Comments ·0 Shares ·141 Views
  • Zaburi 34:8-9
    [8]Onjeni mwone ya kuwa BWANA yu mwema;
    Heri mtu yule anayemtumaini.
    .
    [9]Mcheni BWANA, enyi watakatifu wake,
    Yaani, wamchao hawahitaji kitu.
    .
    Bwana ni mwema kwetu kila wakati kwa hakika kila mtu amwaminiye na amtumainiye Mungu humtukuza.

    Bwana ni mwema kwetu na sisi ni watu wake tunapaswa Mungu atupe nafasi ya kupendwa naye kila wakati.

    Bwana ni mwema kwetu sisi na wote wamchao na wote wamtumainio bwana hawata ogopa kitu.

    Zaburi 23:6
    [6]Hakika wema na fadhili zitanifuata
    Siku zote za maisha yangu;
    Nami nitakaa nyumbani mwa BWANA milele.

    Wema wa Bwana na fadhiri zake ni kwa watu wamchao na watu wamtafutao kwani wako watu wamepewa privilege na Bwana ya wao kumtumaini siku zote.

    Ukimpenda Bwana Bwana pia anakupenda na akikupenda lazima fadhiri zake zitakuwa na wewe.

    #Mit 3:5-6 SUV
    Na hili fadhiri zije kwetu ni lazima tumuamini Mungu kweli kweli.
    Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote, Wala usizitegemee akili zako mwenyewe; Katika njia zako zote mkiri yeye, Naye atayanyosha mapito yako

    Hivyo ndivyo tunaweza kuonja wema wa Bwana katika maisha yetu siku zote.

    Ni matumaini yangu hata kwako leo inawezekana ulikata tamaa lakini kwa jina la Yesu noamba nikwambie lipo tumaini katika mti ulio katwa ,ukachipuka tena.

    Natamani uchipuke tena uone wema wa Mungu katika maisha yako .

    Mungu anakupenda atafungua maisha yako na kukumbuka kwa sababu yeye awapenda wampendao na wamtafutao kwa bidii.

    Nikutakie jion njema na siku njem .

    Naitwa mwl Sylvester Mwakabende kutoka build new eden.

    Mawasiliano 0622625340.

    #build new eden
    #restore men position
    Zaburi 34:8-9 [8]Onjeni mwone ya kuwa BWANA yu mwema; Heri mtu yule anayemtumaini. . [9]Mcheni BWANA, enyi watakatifu wake, Yaani, wamchao hawahitaji kitu. . Bwana ni mwema kwetu kila wakati kwa hakika kila mtu amwaminiye na amtumainiye Mungu humtukuza. Bwana ni mwema kwetu na sisi ni watu wake tunapaswa Mungu atupe nafasi ya kupendwa naye kila wakati. Bwana ni mwema kwetu sisi na wote wamchao na wote wamtumainio bwana hawata ogopa kitu. Zaburi 23:6 [6]Hakika wema na fadhili zitanifuata Siku zote za maisha yangu; Nami nitakaa nyumbani mwa BWANA milele. Wema wa Bwana na fadhiri zake ni kwa watu wamchao na watu wamtafutao kwani wako watu wamepewa privilege na Bwana ya wao kumtumaini siku zote. Ukimpenda Bwana Bwana pia anakupenda na akikupenda lazima fadhiri zake zitakuwa na wewe. #Mit 3:5-6 SUV Na hili fadhiri zije kwetu ni lazima tumuamini Mungu kweli kweli. Mtumaini BWANA kwa moyo wako wote, Wala usizitegemee akili zako mwenyewe; Katika njia zako zote mkiri yeye, Naye atayanyosha mapito yako Hivyo ndivyo tunaweza kuonja wema wa Bwana katika maisha yetu siku zote. Ni matumaini yangu hata kwako leo inawezekana ulikata tamaa lakini kwa jina la Yesu noamba nikwambie lipo tumaini katika mti ulio katwa ,ukachipuka tena. Natamani uchipuke tena uone wema wa Mungu katika maisha yako . Mungu anakupenda atafungua maisha yako na kukumbuka kwa sababu yeye awapenda wampendao na wamtafutao kwa bidii. Nikutakie jion njema na siku njem . Naitwa mwl Sylvester Mwakabende kutoka build new eden. Mawasiliano 0622625340. #build new eden #restore men position
    0 Comments ·0 Shares ·496 Views
More Results