• When it comes to the baby monitor best suited for safety and performance, Bebcare leads the way. Our monitors use DSR Digital Safe Radio technology for clear, interference-free communication while eliminating harmful EMF exposure. Parents can enjoy features like long battery life, lullabies, and noise detection—all in a sleek, eco-friendly design. With a strong focus on sustainability, every Bebcare product is shipped carbon-neutral. Trusted by families worldwide, Bebcare is redefining what it means to be the best baby monitor brand for safety, innovation, and care.
    #babymonitorbest #BabyCamera #babymonitors #babymonitorcameras #babymonitor
    https://bebcare.com/collections/baby-monitors
    When it comes to the baby monitor best suited for safety and performance, Bebcare leads the way. Our monitors use DSR Digital Safe Radio technology for clear, interference-free communication while eliminating harmful EMF exposure. Parents can enjoy features like long battery life, lullabies, and noise detection—all in a sleek, eco-friendly design. With a strong focus on sustainability, every Bebcare product is shipped carbon-neutral. Trusted by families worldwide, Bebcare is redefining what it means to be the best baby monitor brand for safety, innovation, and care. #babymonitorbest #BabyCamera #babymonitors #babymonitorcameras #babymonitor https://bebcare.com/collections/baby-monitors
    Baby Monitors
    bebcare.com
    Monitor your baby with ease and stay connected no matter where you are. Our baby monitors offer crystal-clear video and audio, ensuring your little one's safety and your peace of mind. Track your baby's every move securely from anywhere. Monitor Your Baby with Ease, Anytime & Anywhere Our long range baby monitors offer HD video and smart audio, ensuring your little one’s safety and your peace of mind. Track your baby's sleep patterns, room temperature, and even vital signs securely from anywhere. Stay Connected with Your Baby Anytime, Anywhere When it comes to your baby's safety, our baby security cameras provide crystal-clear video and audio, with advanced night vision for round-the-clock monitoring. Whether in another room or out for a walk, these monitors guarantee you can hear and see your baby clearly. With technology like Wi-Fi connectivity, temperature monitoring, and sleep analytics, you'll experience unmatched quality and convenience. Up to Four Cameras for Complete Coverage Our smart baby monitors allow you to pair up to four cameras, making it easier than ever to monitor multiple rooms or children at once. Whether you’re keeping an eye on your baby, toddler, or multiple areas, you can view everything on one screen.This feature is perfect for families with multiple children, ensuring all rooms are securely monitored with ease. Convenient Control with the Parent Unit The parent unit is the heart of your baby monitoring system. It gives you full control over the baby monitor cameras and allows you to easily adjust settings. Whether it's activating true crying detection, turning on the sleep sensor pad, or checking the temperature monitoring features, the parent unit puts everything at your fingertips. Control the tilt and zoom features remotely to ensure the perfect view of your baby—leaving you to relax without worry. Soothing Night Light for a Calm Sleep Environment A built-in night light provides a soft, soothing glow that helps create a calming environment for your baby as they drift off to sleep. This feature, combined with smart sensors, allows you to monitor without disturbing their slumber. Perfect for late-night feedings or check-ins, the gentle illumination keeps your baby comfortable while you stay connected. Features of Our Baby Monitors Wide-eyed camera for expanded viewing angles Zoom function for a closer look at your baby or crib White noise to soothe your baby Audio, video, and movement monitors for complete monitoring Temperature monitoring and humidity sensors for comfort Wi-Fi connectivity for remote access Battery life optimised for longer usage without charging Smart audio for clear sound quality Vital signs tracking to monitor your baby's well-being Why Choose Our Baby Monitors? Choosing the best baby monitor is essential for ensuring your baby's safety and peace of mind. Our monitors are built with the latest technology to ensure video, sound, and security quality. With features like HD video, long range baby monitor capabilities, sleep analytics, and temperature monitoring, you can rest easy knowing that your baby is safe and sound. Frequently Asked Questions How many cameras can I connect to my baby monitor? You can connect up to four cameras with our advanced smart baby monitors, allowing you to monitor multiple rooms or areas at the same time. Does the parent unit have a night light? Yes, some of our Camera Baby Monitors come with this feature, perfect for nighttime check-ins. How long does shipping take? Standard shipping takes 5-7 business days. How does the two-way talk feature work? With two-way talk, you can communicate with your baby remotely, comforting them with your voice without needing to enter the room. Can I monitor my baby when I’m away from home? Yes, our monitors with Wi-Fi connectivity allow you to monitor your baby's room from anywhere using your phone or device. .faq-section { margin-top: 30px; padding: 20px; border-radius: 5px; text-align:left; } details { margin-bottom: 10px; } summary { font-weight: bold; cursor: pointer; list-style: none; /* Removes default triangle */ display: flex; align-items: center; justify-content: space-between; font-size: 18px; } summary .faq-icon { font-size: 20px; font-weight: bold; margin-right: 10px; transition: transform 0.2s ease-in-out; } /* Change the icon when details are open */ details[open] .faq-icon { transform: rotate(45deg); /* Turns + into x */ }
    0 Reacties ·0 aandelen ·42 Views
  • PICHA YA SIMBA HUYU NI FUNZO MAISHANI:
    ------------------------------------------------------

    Hivi ndivyo mfalme wa pori anavyoonekana akiwa kwenye siku za mwisho za maisha yake. Jinsi alivyokonda, kujua idadi ya mbavu zake hata huitaji msaada wa calculator.

    Hii picha ilipigwa na "Larry Pannell."

    Alifanikiwa kupata picha ya Simba aliyekuwa kwenye hitimisho la kuvuta pumzi za mwisho. Katika huu ulimwengu wenye mafungamano na dhambi.

    "Larry Pannell" anasema:

    Nilimkuta huyu simba amelala kwenye majani. Akiwa amechoka, miguu ikionekana kumnyima ushirikiano wa kutembea.

    Sikuwa na lakufanya zaidi ya kusimama mita kadhaa. Macho yakifanya ushuhuda wa kutazama, "King of savannah" akipoteza uhai chini ya kivuli cha mti.

    Nikiwa nimesimama kimya. Nilishusha chini camera yangu. Tulitazamana na simba, tukafumba macho yetu pamoja.

    Jinsi mfalme wa nyika alivyokuwa akihangaika kuhema. Pumzi zilionekana kuwa bidhaa hadimu kwenye duka la mapafu yake.

    Kifua chake kilikuwa kikipanda na kushuka. Ishara ya kuonyesha anavuta pumzi za mwisho, kabla ya kukipa ruhusa kifo kiondoke na roho yake.

    Ghafla eneo alilolala Simba ukazaliwa ukimya. Mfalme wa pori akawa haemi wala kutikisika. Mauti ikawa imehitimisha simulizi ya ubabe wake mbugani.

    Hakika maisha ya binadamu na wanyama ni simulizi fupi sana."

    Haijalishi una nguvu kiasi gani. Kuna nyakati zitafika nguvu zitafanya mgomo wa kuishi mwilini mwako. Zitaupisha udhaifu uchukue nafasi ya kukutawala. Udhaifu nao ukikutawala, utayaita maradhi. Bila hiyari utajikuta umekigeuza kitanda kuwa rafiki."

    Kuna shule ya bure hapa: Nguvu tulizonazo ni kitu cha kupita. Hata uzuri umpao kiburi mwanamke una ukomo. Licha ya kujidanganya kwa make up na wanja. Lakini hawezi kuzuia muanguko wa mashavu, uzee unapoanza kumuondoa kwenye kundi la warembo.

    "Chini ya jua kila kitu kina mwanzo na mwisho."

    Hivyo katika maisha tusisahau kuvipa kipaumbele vitu hivi. Utu, wema, ukarimu, heshima, na unyenyekevu.

    Tusaidie wenye maradhi, tuwajali wasiojiweza, na viongozi tusitumie madaraka vibaya.

    Tutende mema tukiamini. Kuna siku pumzi zitamaliza mkataba wa kuishi ndani ya matundu ya pua zetu. Baada ya hapo sisi wote tutalala mauti."

    Imeandikwa na Green Osward
    PICHA YA SIMBA HUYU NI FUNZO MAISHANI: ------------------------------------------------------ Hivi ndivyo mfalme wa pori anavyoonekana akiwa kwenye siku za mwisho za maisha yake. Jinsi alivyokonda, kujua idadi ya mbavu zake hata huitaji msaada wa calculator. Hii picha ilipigwa na "Larry Pannell." Alifanikiwa kupata picha ya Simba aliyekuwa kwenye hitimisho la kuvuta pumzi za mwisho. Katika huu ulimwengu wenye mafungamano na dhambi. "Larry Pannell" anasema: Nilimkuta huyu simba amelala kwenye majani. Akiwa amechoka, miguu ikionekana kumnyima ushirikiano wa kutembea. Sikuwa na lakufanya zaidi ya kusimama mita kadhaa. Macho yakifanya ushuhuda wa kutazama, "King of savannah" akipoteza uhai chini ya kivuli cha mti. Nikiwa nimesimama kimya. Nilishusha chini camera yangu. Tulitazamana na simba, tukafumba macho yetu pamoja. Jinsi mfalme wa nyika alivyokuwa akihangaika kuhema. Pumzi zilionekana kuwa bidhaa hadimu kwenye duka la mapafu yake. Kifua chake kilikuwa kikipanda na kushuka. Ishara ya kuonyesha anavuta pumzi za mwisho, kabla ya kukipa ruhusa kifo kiondoke na roho yake. Ghafla eneo alilolala Simba ukazaliwa ukimya. Mfalme wa pori akawa haemi wala kutikisika. Mauti ikawa imehitimisha simulizi ya ubabe wake mbugani. Hakika maisha ya binadamu na wanyama ni simulizi fupi sana." Haijalishi una nguvu kiasi gani. Kuna nyakati zitafika nguvu zitafanya mgomo wa kuishi mwilini mwako. Zitaupisha udhaifu uchukue nafasi ya kukutawala. Udhaifu nao ukikutawala, utayaita maradhi. Bila hiyari utajikuta umekigeuza kitanda kuwa rafiki." Kuna shule ya bure hapa: Nguvu tulizonazo ni kitu cha kupita. Hata uzuri umpao kiburi mwanamke una ukomo. Licha ya kujidanganya kwa make up na wanja. Lakini hawezi kuzuia muanguko wa mashavu, uzee unapoanza kumuondoa kwenye kundi la warembo. "Chini ya jua kila kitu kina mwanzo na mwisho." Hivyo katika maisha tusisahau kuvipa kipaumbele vitu hivi. Utu, wema, ukarimu, heshima, na unyenyekevu. Tusaidie wenye maradhi, tuwajali wasiojiweza, na viongozi tusitumie madaraka vibaya. Tutende mema tukiamini. Kuna siku pumzi zitamaliza mkataba wa kuishi ndani ya matundu ya pua zetu. Baada ya hapo sisi wote tutalala mauti." Imeandikwa na Green Osward
    Love
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·2K Views
  • muda mwingi yeye yeye utamkuta anaiongoza camera drone (ndege isiyo na rubani) au anakuwa na peni na karatasi yako muda mwingi anaandika baadhi ya vitu

    huyu ndo mfungua code wa kocha fadlu davies , huyu ndo anampa mifumo na uwezo wa timu inayotarajiwa kucheza na SIMBA , huyu ndo humpa udhaifu na ubora wa timu pinzani inayotarajiwa kucheza na SIMBA huyu ndo anajifungia ndani na kocha fadlu kumpa mrejesho wa perfomance ya mchezaji mmoja mmoja wa SIMBA baada ya kumalizika mazoezi

    Ni bwanamdogo sana ila uwezo wake unatisha sana ukizungumzia mafanikio ya RAJA CASABLANCA msimu uliopita basi moja kati ya waliochangia ni huyu jamaa na raja ikamaliza msimu uliopita ligi ya moroco wakiwa mabingwa na walimaliza msimu bila kufungwa (unbeaten)

    anaitwa MUEEZKAJEE ni mchambuzi wa video wa SIMBA SPORTS CLUB ( video &perfomance analysis) ni kijana mzaliwa wa africa kusini ila uwezo mkubwa sana , hata ile siku anaenda kuuambia uongozi wa RAJA kuwa anaondoka na anamfata kocha fadlu viongozi wa RAJA waliumia sana

    wote kwa pamoja walikuwa raja na msimu uliopita na wakaipa ubingwa namsimu huu wapo SIMBA wanaendelea kuwapa furaha wanasimba.


    #paulswai
    muda mwingi yeye yeye utamkuta anaiongoza camera drone (ndege isiyo na rubani) au anakuwa na peni na karatasi yako muda mwingi anaandika baadhi ya vitu huyu ndo mfungua code wa kocha fadlu davies , huyu ndo anampa mifumo na uwezo wa timu inayotarajiwa kucheza na SIMBA , huyu ndo humpa udhaifu na ubora wa timu pinzani inayotarajiwa kucheza na SIMBA huyu ndo anajifungia ndani na kocha fadlu kumpa mrejesho wa perfomance ya mchezaji mmoja mmoja wa SIMBA baada ya kumalizika mazoezi Ni bwanamdogo sana ila uwezo wake unatisha sana ukizungumzia mafanikio ya RAJA CASABLANCA msimu uliopita basi moja kati ya waliochangia ni huyu jamaa na raja ikamaliza msimu uliopita ligi ya moroco wakiwa mabingwa na walimaliza msimu bila kufungwa (unbeaten) anaitwa MUEEZKAJEE ni mchambuzi wa video wa SIMBA SPORTS CLUB ( video &perfomance analysis) ni kijana mzaliwa wa africa kusini ila uwezo mkubwa sana , hata ile siku anaenda kuuambia uongozi wa RAJA kuwa anaondoka na anamfata kocha fadlu viongozi wa RAJA waliumia sana wote kwa pamoja walikuwa raja na msimu uliopita na wakaipa ubingwa namsimu huu wapo SIMBA wanaendelea kuwapa furaha wanasimba. 👍👍👍👍🦁🦁🦁🦁 #paulswai
    Like
    2
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·1K Views
  • Kwenye Squid Game Season 2 Episode ya mwisho tuseme sijui Director alijisahau au sijui ilikuwaje
    Kwenye Ile scene ambapo baadhi ya wachezaji wa squid Game na Askari wakiwa wanarushiana risasi,,Cameraman naye akaonekana bhana akiwa anashoot uyo hapo chini niliyemzungushia duara.
    Ndo tuseme walijisahau au na wao walinogewa na hayo mapambano.
    Kumbe sio bongo 2 bhana hata Kwa wenzetu wanakosea unaweza ukaona ni kosa dogo sana lkn Critics wa movie wakiliona ni kubwa sana,ata director anaweza kukosa tuzo hapo

    Kwenye Squid Game Season 2 Episode ya mwisho tuseme sijui Director alijisahau au sijui ilikuwaje😃 Kwenye Ile scene ambapo baadhi ya wachezaji wa squid Game na Askari wakiwa wanarushiana risasi,,Cameraman naye akaonekana bhana akiwa anashoot 😂😂 uyo hapo chini niliyemzungushia duara🤌😅. Ndo tuseme walijisahau au na wao walinogewa na hayo mapambano. Kumbe sio bongo 2 bhana hata Kwa wenzetu wanakosea unaweza ukaona ni kosa dogo sana lkn Critics wa movie wakiliona ni kubwa sana,ata director anaweza kukosa tuzo hapo😂😂
    0 Reacties ·0 aandelen ·1K Views
  • HIVI UMESHAWAHI KUKUTANA NA ACCOUNT YA MTU FACEBOOK KUNA POST YENYE PICHA ZA PORN CONTENT! NA BILA YEYE KUJUA ?

    Hizo ni Phishing Links ambazo zinakuwa Designed na ni Special kupora/Grab Personal Details za Account iliyokusudiwa only kwa kutumia Link tu Mara Mlengwa atakapo Gusa Link yenye Phishing ndani Yake.

    Siku zote Phishing Links huwaga ni zile links za Kuvutia na Kumtamanisha Mlengwa aiguse ili Aweze kukipata alicho Waza angekiona Baada kugusa Link...Especially wanatumia Picha za Wanawake Wazuri Walio Naked ili Kuwavutia Vijana Wa Hovyo Waweze Kunasa Kwenye Mtego alio Upanga.

    Sasa Hutegemea target ya Link yake alitaka Kupata Taarifa gani kutoka Kwako...ila Baadhi zao Huwaga Baada ya Mlengwa Kuzigusa Hizo Links tu! Basi itamuomba Permission moja Kati ya Hizi :- Location,Gallery,Contacts,Username & Password,Camera,Notification access,run in Background...na Nyinginezo nyingi

    Mara tu Mlengwa (Targeted user) atakapo Grant Permission Moja kati ya Hizo,Automatically bila yeye kujua Hio Post yenye Maudhui ya Porn Content inaweza Kujipost Kwenye Account yake ikionekana kama Amepost yeye Kumbe wala Hana Taarifa...

    Kuwa Makini nazo Links hizo..ukiwa kama Team WOLF hutakiwi kuwa na Mawenge na hizo Phishing Links kwani una Aibisha Brand.
    HIVI UMESHAWAHI KUKUTANA NA ACCOUNT YA MTU FACEBOOK KUNA POST YENYE PICHA ZA PORN CONTENT! NA BILA YEYE KUJUA ? Hizo ni Phishing Links ambazo zinakuwa Designed na ni Special kupora/Grab Personal Details za Account iliyokusudiwa only kwa kutumia Link tu Mara Mlengwa atakapo Gusa Link yenye Phishing ndani Yake. Siku zote Phishing Links huwaga ni zile links za Kuvutia na Kumtamanisha Mlengwa aiguse ili Aweze kukipata alicho Waza angekiona Baada kugusa Link...Especially wanatumia Picha za Wanawake Wazuri Walio Naked ili Kuwavutia Vijana Wa Hovyo Waweze Kunasa Kwenye Mtego alio Upanga. Sasa Hutegemea target ya Link yake alitaka Kupata Taarifa gani kutoka Kwako...ila Baadhi zao Huwaga Baada ya Mlengwa Kuzigusa Hizo Links tu! Basi itamuomba Permission moja Kati ya Hizi :- Location,Gallery,Contacts,Username & Password,Camera,Notification access,run in Background...na Nyinginezo nyingi Mara tu Mlengwa (Targeted user) atakapo Grant Permission Moja kati ya Hizo,Automatically bila yeye kujua Hio Post yenye Maudhui ya Porn Content inaweza Kujipost Kwenye Account yake ikionekana kama Amepost yeye Kumbe wala Hana Taarifa... Kuwa Makini nazo Links hizo..ukiwa kama Team WOLF hutakiwi kuwa na Mawenge na hizo Phishing Links kwani una Aibisha Brand. 😏
    Like
    2
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·1K Views
  • HIVI UMESHAWAHI KUKUTANA NA ACCOUNT YA MTU FACEBOOK KUNA POST YENYE PICHA ZA PORN CONTENT! NA BILA YEYE KUJUA ?

    Hizo ni Phishing Links ambazo zinakuwa Designed na ni Special kupora/Grab Personal Details za Account iliyokusudiwa only kwa kutumia Link tu Mara Mlengwa atakapo Gusa Link yenye Phishing ndani Yake.

    Siku zote Phishing Links huwaga ni zile links za Kuvutia na Kumtamanisha Mlengwa aiguse ili Aweze kukipata alicho Waza angekiona Baada kugusa Link...Especially wanatumia Picha za Wanawake Wazuri Walio Naked ili Kuwavutia Vijana Wa Hovyo Waweze Kunasa Kwenye Mtego alio Upanga.

    Sasa Hutegemea target ya Link yake alitaka Kupata Taarifa gani kutoka Kwako...ila Baadhi zao Huwaga Baada ya Mlengwa Kuzigusa Hizo Links tu! Basi itamuomba Permission moja Kati ya Hizi :- Location,Gallery,Contacts,Username & Password,Camera,Notification access,run in Background...na Nyinginezo nyingi

    Mara tu Mlengwa (Targeted user) atakapo Grant Permission Moja kati ya Hizo,Automatically bila yeye kujua Hio Post yenye Maudhui ya Porn Content inaweza Kujipost Kwenye Account yake ikionekana kama Amepost yeye Kumbe wala Hana Taarifa...

    Kuwa Makini nazo Links hizo..ukiwa kama Team WOLF hutakiwi kuwa na Mawenge na hizo Phishing Links kwani una Aibisha Brand.
    HIVI UMESHAWAHI KUKUTANA NA ACCOUNT YA MTU FACEBOOK KUNA POST YENYE PICHA ZA PORN CONTENT! NA BILA YEYE KUJUA ? Hizo ni Phishing Links ambazo zinakuwa Designed na ni Special kupora/Grab Personal Details za Account iliyokusudiwa only kwa kutumia Link tu Mara Mlengwa atakapo Gusa Link yenye Phishing ndani Yake. Siku zote Phishing Links huwaga ni zile links za Kuvutia na Kumtamanisha Mlengwa aiguse ili Aweze kukipata alicho Waza angekiona Baada kugusa Link...Especially wanatumia Picha za Wanawake Wazuri Walio Naked ili Kuwavutia Vijana Wa Hovyo Waweze Kunasa Kwenye Mtego alio Upanga. Sasa Hutegemea target ya Link yake alitaka Kupata Taarifa gani kutoka Kwako...ila Baadhi zao Huwaga Baada ya Mlengwa Kuzigusa Hizo Links tu! Basi itamuomba Permission moja Kati ya Hizi :- Location,Gallery,Contacts,Username & Password,Camera,Notification access,run in Background...na Nyinginezo nyingi Mara tu Mlengwa (Targeted user) atakapo Grant Permission Moja kati ya Hizo,Automatically bila yeye kujua Hio Post yenye Maudhui ya Porn Content inaweza Kujipost Kwenye Account yake ikionekana kama Amepost yeye Kumbe wala Hana Taarifa... Kuwa Makini nazo Links hizo..ukiwa kama Team WOLF hutakiwi kuwa na Mawenge na hizo Phishing Links kwani una Aibisha Brand. 😏
    Like
    3
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·1K Views
  • mfunika camera mmemuona mambo yamekuwa mambo na si ndo yule alikuwa anamwaga dawa???????

    Kumbe hii michezo ya kufunika camera ilianza kitambo siri zinafichuka huku

    #paulswai
    mfunika camera mmemuona mambo yamekuwa mambo na si ndo yule alikuwa anamwaga dawa??????? Kumbe hii michezo ya kufunika camera ilianza kitambo siri zinafichuka huku #paulswai
    Love
    Wow
    2
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·738 Views ·15
  • UWANJA WA KMC COMPLEX UNAFUNGWA CAMERA SASA ITAKUWAJE KWA WALE NYUMA MWIKO?

    #paulswai
    UWANJA WA KMC COMPLEX UNAFUNGWA CAMERA SASA ITAKUWAJE KWA WALE NYUMA MWIKO?🤪🤪🤪 #paulswai
    Like
    Love
    2
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·772 Views ·14
  • -NJE YA BOX
    Yanga wamehama uwanja wa Azam Complex, hii ni baada ya kipigo mara mbili mfululizo kutoka kwa Azam Fc na Tabora United.

    Yanga hawajaweka wazi kwanini wamekimbia Chamazi ila kuna maswali tunaweza kujiuliza:-

    A) Sababu za kiufundi ?
    B) Sababu za nje ya Uwanja au
    C) Sababu za kiuchumi?

    Kama Sababu ni za kiufundi ndio maana wamefungwa mbona wamewahi kushinda hapo hapo...walimfunga Kmc,JKT bao tano hapo hapo Chamaz?

    Kama uwanja ni mdogo pengine, huko walikoenda uwanja una ukubwa gani? Kwamba vipimo vya uwanja vilifanya goli likawa dogo Aziz Ki akashindwa kufunga penati?

    Kama sababu ni za nje ya uwanja ni zipi hizo? Au ile video iliyosambaa ikihusisha uchomaji wa Sindano? Sidhani!

    Au ni sababu za kiuchumi? Timu imeshindwa kulipia uwanja? Hii nayo sio kweli.

    NADHANI...

    Tumewekeza zaidi nje ya uwanja kuliko ndani ya uwanja. Mashabiki wanasema Azam Fc wanawahujumu...nadhani tatizo ni fikra za kichawi tu kwasababu mchezo wa mpira wa miguu ni mchezo wa wazi kila mtu anaona!

    Simba nao walihama Chamazi kwa sababu hizo hizo za kufikirika za nje ya uwanja...

    Hii inaleta tafsiri kwamba ubingwa wetu unapatikana nje ya uwanja zaidi kuliko ndani ya uwanja ndio maana pale Azam Complex wakubwa wanakimbia...

    Azam Complex wamefunga camera ili kuwaona watu wanaomwaga dawa kitu ambacho wakubwa hawataki

    Azam Complex mpaka watu wa usafi ni watu makini ndio maana hawako tayari kuona camera zimezibwa na mabomba ya sindano kwenye changing rooms...wakubwa wanaona wanabanwa!

    Hiki ndio kitu nachokiona zaidi kwenye hili sakata...

    Ndio maana unaona hawa wanahama wengine wanachukia kwasababu tayari huyu aliehama muda mrefu aliko kuna uhuru hivyo alitaka mwenzie aendelee kubanwa ili apoteze ubingwa!

    Ni uchawi tu...

    Sospeter Ilagila (Shabiki wa klabu ya Simba SC)
    -NJE YA BOX Yanga wamehama uwanja wa Azam Complex, hii ni baada ya kipigo mara mbili mfululizo kutoka kwa Azam Fc na Tabora United. Yanga hawajaweka wazi kwanini wamekimbia Chamazi ila kuna maswali tunaweza kujiuliza:- A) Sababu za kiufundi ? B) Sababu za nje ya Uwanja au C) Sababu za kiuchumi? Kama Sababu ni za kiufundi ndio maana wamefungwa mbona wamewahi kushinda hapo hapo...walimfunga Kmc,JKT bao tano hapo hapo Chamaz? Kama uwanja ni mdogo pengine, huko walikoenda uwanja una ukubwa gani? Kwamba vipimo vya uwanja vilifanya goli likawa dogo Aziz Ki akashindwa kufunga penati? Kama sababu ni za nje ya uwanja ni zipi hizo? Au ile video iliyosambaa ikihusisha uchomaji wa Sindano? Sidhani! Au ni sababu za kiuchumi? Timu imeshindwa kulipia uwanja? Hii nayo sio kweli. NADHANI... Tumewekeza zaidi nje ya uwanja kuliko ndani ya uwanja. Mashabiki wanasema Azam Fc wanawahujumu...nadhani tatizo ni fikra za kichawi tu kwasababu mchezo wa mpira wa miguu ni mchezo wa wazi kila mtu anaona! Simba nao walihama Chamazi kwa sababu hizo hizo za kufikirika za nje ya uwanja... Hii inaleta tafsiri kwamba ubingwa wetu unapatikana nje ya uwanja zaidi kuliko ndani ya uwanja ndio maana pale Azam Complex wakubwa wanakimbia... Azam Complex wamefunga camera ili kuwaona watu wanaomwaga dawa kitu ambacho wakubwa hawataki Azam Complex mpaka watu wa usafi ni watu makini ndio maana hawako tayari kuona camera zimezibwa na mabomba ya sindano kwenye changing rooms...wakubwa wanaona wanabanwa! Hiki ndio kitu nachokiona zaidi kwenye hili sakata... Ndio maana unaona hawa wanahama wengine wanachukia kwasababu tayari huyu aliehama muda mrefu aliko kuna uhuru hivyo alitaka mwenzie aendelee kubanwa ili apoteze ubingwa! Ni uchawi tu... Sospeter Ilagila ✍️ (Shabiki wa klabu ya Simba SC)
    Like
    Love
    2
    · 3 Reacties ·0 aandelen ·845 Views
  • Leo kwenye pitapita zangu humu ndani nimekutana na iyo account ina post wadada sio poa sijui yule msela huwa anatoa wapi zile picha, Au yy ndo cameraman.
    Tupeane connection wadau!
    Leo kwenye pitapita zangu humu ndani nimekutana na iyo account ina post wadada sio poa sijui yule msela huwa anatoa wapi zile picha, Au yy ndo cameraman. Tupeane connection wadau!
    Like
    2
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·1K Views
  • Kamera Mpya
    Inayoweza Kuona Kupitia Karatasi ya 1cm

    Wanasayansi wameunda kamera mpya inayoweza kuona kupitia vipande vya karatasi hadi unene wa 1 cm. Hii inamaanisha unaweza kuona kilicho upande wa pili wa karatasi bila kuiondoa karatasi, kama vile kuchunguza vitu vilivyofichwa nyuma ya karatasi au sanduku. Teknolojia hii inaruhusu uchunguzi kupitia vifaa vya kawaida vya kila siku, bila kutumia mionzi hatari kama X-ray.

    #Hora_Tech
    #camera #ugunduzi #Karatasi #XRay
    📷 Kamera Mpya Inayoweza Kuona Kupitia Karatasi ya 1cm 🚨 Wanasayansi wameunda kamera mpya inayoweza kuona kupitia vipande vya karatasi hadi unene wa 1 cm. Hii inamaanisha unaweza kuona kilicho upande wa pili wa karatasi bila kuiondoa karatasi, kama vile kuchunguza vitu vilivyofichwa nyuma ya karatasi au sanduku. Teknolojia hii inaruhusu uchunguzi kupitia vifaa vya kawaida vya kila siku, bila kutumia mionzi hatari kama X-ray. ➤ #Hora_Tech #camera #ugunduzi #Karatasi #XRay
    Like
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·2K Views
  • Camera man
    Camera man💥🤲
    Love
    1
    · 0 Reacties ·0 aandelen ·947 Views
  • Wanauliza kwanin si post picha!!
    Coz ubongo camera na macho ayaleti fyucha!!
    Ninacho wapa ni kwa hii elimu nilo jifunza!!
    Na ukizarau cha kale kipya uwezi kitunza!!
    Huku visa vya asha ngedere nukta!!
    Wanafrahi kupewa upele alafu ninyimwe kucha!!
    Wanauliza kwanin si post picha!! Coz ubongo camera na macho ayaleti fyucha!! Ninacho wapa ni kwa hii elimu nilo jifunza!! Na ukizarau cha kale kipya uwezi kitunza!! Huku visa vya asha ngedere nukta!! Wanafrahi kupewa upele alafu ninyimwe kucha!!
    0 Reacties ·0 aandelen ·726 Views
  • VIVO INAUZWA
    GB 128
    RAM6
    BEI 160,000
    CAMERA
    CALL0676972568
    VIVO INAUZWA GB 128 RAM6 BEI 160,000 CAMERA🔥 CALL0676972568
    Like
    3
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·950 Views
  • OPPO A 37 INAUZWA
    Gb 64
    RAM 4
    CAMERA
    CALL 0676972568
    OPPO A 37 INAUZWA Gb 64 RAM 4 CAMERA 🔥 CALL 0676972568
    Like
    3
    · 1 Reacties ·0 aandelen ·958 Views
  • From My Camera roll to yours .
    From My Camera roll to yours 💸.
    0 Reacties ·0 aandelen ·741 Views
  • From My Camera roll to yours .
    From My Camera roll to yours 💸.
    0 Reacties ·0 aandelen ·739 Views