• Marafiki zako ndio wanakuwa wakwanza kuchukizwa na mafanikio Yako kuliko maadui zako
    😅Marafiki zako ndio wanakuwa wakwanza kuchukizwa na mafanikio Yako kuliko maadui zako
    0 Reacties 0 aandelen 88 Views
  • Mechi ambayo nilitoka uwanjani nikasema chochote watakachoongea mashabiki ni sawa ni mechi ya Yanga tuliyofungwa 5 na nilisema hakuna cha kujitetea , ilikuwa mbaya na inaendelea kukaa kichwani kwangu , nililia maana napenda sana ushindani na nachukia kufungwa.” - Shomari Kapombe
    Mechi ambayo nilitoka uwanjani nikasema chochote watakachoongea mashabiki ni sawa ni mechi ya Yanga tuliyofungwa 5 na nilisema hakuna cha kujitetea , ilikuwa mbaya na inaendelea kukaa kichwani kwangu , nililia maana napenda sana ushindani na nachukia kufungwa.” - Shomari Kapombe
    Like
    2
    0 Reacties 0 aandelen 129 Views
  • Kile Unachokiona kinafaa kwako
    Basi fanya juu chini mwenzako au ndugu yako nae aweze kufaidika na ulichonacho.
    #chuki zikipunguwa maendeleo huja kama mafuriko.
    Kile Unachokiona kinafaa kwako Basi fanya juu chini mwenzako au ndugu yako nae aweze kufaidika na ulichonacho. #chuki zikipunguwa maendeleo huja kama mafuriko.🤗
    Like
    1
    0 Reacties 0 aandelen 244 Views
  • 𝗔 𝗧 𝗘 𝗕 𝗔

    Mashabiki wengi wa 𝐔𝐒𝐌𝐀 wanaonekana kuchukizwa juu ya klabu yao kuhusu kumuuza mshambuliaji wao hatari 𝖫𝖾𝗈𝗇𝖾𝗅 𝖠𝗍𝖾𝖻𝖺(25)

    𝖫𝖾𝗈𝗇𝖾𝗅 𝖠𝗍𝖾𝖻𝖺(25) ana uwezo wa kucheza nafasi ya mshambuliaji na kiungo mshambuliaji kwa ubora ule ule

    𝐀𝐭𝐞𝐛𝐚 𝐋𝐞𝐨𝐧𝐞𝐥 pia ni mchezaji ambae yupo kwenye timu ya taifa ya 𝐂𝐚𝐦𝐞𝐫𝐨𝐨𝐧 na alikuwepo kwenye fainali za Afcon zilizofanyika nchini 𝐈𝐯𝐨𝐫𝐲 𝐂𝐨𝐚𝐬𝐭 mwaka huu januari

    𝗤𝘂𝗮𝗹𝗶𝘁𝘆 𝗣𝗹𝗮𝘆𝗲𝗿
    𝗔 𝗧 𝗘 𝗕 𝗔🇨🇲🔜🦁 Mashabiki wengi wa 𝐔𝐒𝐌𝐀🇩🇿 wanaonekana kuchukizwa juu ya klabu yao kuhusu kumuuza mshambuliaji wao hatari 𝖫𝖾𝗈𝗇𝖾𝗅 𝖠𝗍𝖾𝖻𝖺(25) 𝖫𝖾𝗈𝗇𝖾𝗅 𝖠𝗍𝖾𝖻𝖺(25)🇨🇲 ana uwezo wa kucheza nafasi ya mshambuliaji na kiungo mshambuliaji kwa ubora ule ule 𝐀𝐭𝐞𝐛𝐚 𝐋𝐞𝐨𝐧𝐞𝐥 pia ni mchezaji ambae yupo kwenye timu ya taifa ya 𝐂𝐚𝐦𝐞𝐫𝐨𝐨𝐧🇨🇲 na alikuwepo kwenye fainali za Afcon zilizofanyika nchini 𝐈𝐯𝐨𝐫𝐲 𝐂𝐨𝐚𝐬𝐭 mwaka huu januari 🔝𝗤𝘂𝗮𝗹𝗶𝘁𝘆 𝗣𝗹𝗮𝘆𝗲𝗿
    Like
    1
    0 Reacties 0 aandelen 260 Views
  • Je, Ni Sahihi Kuombea Marehemu/Mtu Aliyekufa?

    = Mtu akishakufa huwezi tena kumwombea chochote, haifai hata kumwombea apumzike kwa amani au awekwe mahala pema peponi. Hiyo nafasi haipo kabisa maana mara baada ya kufa ni hukumu.

    = Mara mtu akifa, hukumu hufanyika halafu wafu huwekwa eneo la mangojeo yaani kuzimu Kwa wenye dhambi na peponi kwa watakatifu wakingojea ujio wa Yesu Kristo. Baada ya hapo kutakuwa na mauti ya pili kwa wenye dhambi, yaani kutupwa kwenye ziwa la moto.

    >> Waebrania 9:27
    Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu;

    = Kwa hiyo, mtu asipotengeneza maisha yake akiwa hai asitarajie kuombewa aende peponi akiisha kufa. Pia waliokufa hata kama waliishi maisha matakatifu hatuwezi kuwaomba watuombee maana tutakuwa tunaomba wafu. Ibada ya wafu ni chukizo kwa Mungu.

    >> Kumbukumbu la Torati 18:10-11
    10 Asionekane kwako mtu ampitishaye mwanawe au binti yake kati ya moto, wala asionekane mtu atazamaye bao, wala mtu atazamaye nyakati mbaya, wala mwenye kubashiri, wala msihiri,

    11 wala mtu alogaye kwa kupiga mafundo, wala mtu apandishaye pepo, wala mchawi, wala mtu awaombaye wafu.

    = Tunao waombezi wawili wakuu kule mbinguni; Yesu Kristo na Roho Mtakatifu.

    = Mtu akishakufa mawasiliano hukatwa kati ya walio hai na waliokufa. Hakuna namna unaweza kumwombea chochote ili kubadilisha chochote wala huwezi kumwomba akuombee.

    >> Mhubiri 9:5
    5 kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa.

    = Mfano sahihi angalia kwa tajiri na masikini Lazaro;
    >>Luka 16: 20-30
    19 Akasema, Palikuwa na mtu mmoja, tajiri, aliyevaa nguo za rangi ya zambarau na kitani safi, na kula sikuzote kwa anasa.

    20 Na maskini mmoja, jina lake Lazaro, huwekwa mlangoni pake, ana vidonda vingi,

    21 naye alikuwa akitamani kushibishwa kwa makombo yaliyoanguka katika meza ya yule tajiri; hata mbwa wakaja wakamramba vidonda vyake.

    22 Ikawa yule maskini alikufa, akachukuliwa na malaika mpaka kifuani kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa, akazikwa.

    23 Basi, kule kuzimu aliyainua macho yake, alipokuwa katika mateso, akamwona Ibrahimu kwa mbali, na Lazaro kifuani mwake.

    24 Akalia, akasema, Ee baba Ibrahimu, nihurumie, umtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake majini, auburudishe ulimi wangu; kwa sababu ninateswa katika moto huu.

    25 Ibrahimu akasema, Mwanangu, kumbuka ya kwamba wewe uliyapokea mambo mema yako katika maisha yako, na Lazaro vivyo alipata mabaya; na sasa yeye yupo hapa anafarijiwa, na wewe unaumizwa.

    26 Na zaidi ya hayo, kati yetu sisi na ninyi kumewekwa shimo kubwa, ili wale watakao kutoka huku kwenda kwenu wasiweze; wala watu wa kwenu wasivuke kuja kwetu.

    27 Akasema, Basi, baba, nakuomba, umtume nyumbani kwa baba yangu,

    28 kwa kuwa ninao ndugu watano, ili awashuhudie, wasije wao pia wakafika mahali hapa pa mateso.

    29 Ibrahimu akasema, Wanao Musa na manabii; na wawasikilize wao.

    30 Akasema, La, baba Ibrahimu, lakini kama akiwaendea mtu atokaye kwa wafu, watatubu.

    31 Akamwambia, Wasipowasikia Musa na manabii, hawatashawishwa hata mtu akifufuka katika wafu.
    Je, Ni Sahihi Kuombea Marehemu/Mtu Aliyekufa? = Mtu akishakufa huwezi tena kumwombea chochote, haifai hata kumwombea apumzike kwa amani au awekwe mahala pema peponi. Hiyo nafasi haipo kabisa maana mara baada ya kufa ni hukumu. = Mara mtu akifa, hukumu hufanyika halafu wafu huwekwa eneo la mangojeo yaani kuzimu Kwa wenye dhambi na peponi kwa watakatifu wakingojea ujio wa Yesu Kristo. Baada ya hapo kutakuwa na mauti ya pili kwa wenye dhambi, yaani kutupwa kwenye ziwa la moto. >> Waebrania 9:27 Na kama vile watu wanavyowekewa kufa mara moja, na baada ya kufa hukumu; = Kwa hiyo, mtu asipotengeneza maisha yake akiwa hai asitarajie kuombewa aende peponi akiisha kufa. Pia waliokufa hata kama waliishi maisha matakatifu hatuwezi kuwaomba watuombee maana tutakuwa tunaomba wafu. Ibada ya wafu ni chukizo kwa Mungu. >> Kumbukumbu la Torati 18:10-11 10 Asionekane kwako mtu ampitishaye mwanawe au binti yake kati ya moto, wala asionekane mtu atazamaye bao, wala mtu atazamaye nyakati mbaya, wala mwenye kubashiri, wala msihiri, 11 wala mtu alogaye kwa kupiga mafundo, wala mtu apandishaye pepo, wala mchawi, wala mtu awaombaye wafu. = Tunao waombezi wawili wakuu kule mbinguni; Yesu Kristo na Roho Mtakatifu. = Mtu akishakufa mawasiliano hukatwa kati ya walio hai na waliokufa. Hakuna namna unaweza kumwombea chochote ili kubadilisha chochote wala huwezi kumwomba akuombee. >> Mhubiri 9:5 5 kwa sababu walio hai wanajua ya kwamba watakufa; lakini wafu hawajui neno lo lote, wala hawana ijara tena; maana kumbukumbu lao limesahauliwa. = Mfano sahihi angalia kwa tajiri na masikini Lazaro; >>Luka 16: 20-30 19 Akasema, Palikuwa na mtu mmoja, tajiri, aliyevaa nguo za rangi ya zambarau na kitani safi, na kula sikuzote kwa anasa. 20 Na maskini mmoja, jina lake Lazaro, huwekwa mlangoni pake, ana vidonda vingi, 21 naye alikuwa akitamani kushibishwa kwa makombo yaliyoanguka katika meza ya yule tajiri; hata mbwa wakaja wakamramba vidonda vyake. 22 Ikawa yule maskini alikufa, akachukuliwa na malaika mpaka kifuani kwa Ibrahimu. Yule tajiri naye akafa, akazikwa. 23 Basi, kule kuzimu aliyainua macho yake, alipokuwa katika mateso, akamwona Ibrahimu kwa mbali, na Lazaro kifuani mwake. 24 Akalia, akasema, Ee baba Ibrahimu, nihurumie, umtume Lazaro achovye ncha ya kidole chake majini, auburudishe ulimi wangu; kwa sababu ninateswa katika moto huu. 25 Ibrahimu akasema, Mwanangu, kumbuka ya kwamba wewe uliyapokea mambo mema yako katika maisha yako, na Lazaro vivyo alipata mabaya; na sasa yeye yupo hapa anafarijiwa, na wewe unaumizwa. 26 Na zaidi ya hayo, kati yetu sisi na ninyi kumewekwa shimo kubwa, ili wale watakao kutoka huku kwenda kwenu wasiweze; wala watu wa kwenu wasivuke kuja kwetu. 27 Akasema, Basi, baba, nakuomba, umtume nyumbani kwa baba yangu, 28 kwa kuwa ninao ndugu watano, ili awashuhudie, wasije wao pia wakafika mahali hapa pa mateso. 29 Ibrahimu akasema, Wanao Musa na manabii; na wawasikilize wao. 30 Akasema, La, baba Ibrahimu, lakini kama akiwaendea mtu atokaye kwa wafu, watatubu. 31 Akamwambia, Wasipowasikia Musa na manabii, hawatashawishwa hata mtu akifufuka katika wafu.
    Love
    1
    0 Reacties 0 aandelen 379 Views
  • cheki rhyme zangu, kila kona zinavyovuma/
    Mamceez wanadata, wanaelekeza kwangu shutuma/
    Lyrics zangu matata,ingekuwa uchoraji mi ni John Kaduma/
    nimebaki mwenyewe mtu kati/
    mistari ipo makini inastahili ya-juu Hati/
    na pia freestyle zangu sizitungi kwa bahati/
    sijui ingekuwa vipi kama mngeilipia Vat/
    Wasanii wenye chuki bado wananiwekea gundu/
    wanalonga mtaani 'eti wananitoa manundu/
    kuna siku mpaka walitaka kunichanja na Mundu/
    wanashindwa kutambua 'ben' ni msanii mtundu!/

    ...........................2B Continued
    cheki rhyme zangu, kila kona zinavyovuma/ Mamceez wanadata, wanaelekeza kwangu shutuma/ Lyrics zangu matata,ingekuwa uchoraji mi ni John Kaduma/ nimebaki mwenyewe mtu kati/ mistari ipo makini inastahili ya-juu Hati/ na pia freestyle zangu sizitungi kwa bahati/ sijui ingekuwa vipi kama mngeilipia Vat/ Wasanii wenye chuki bado wananiwekea gundu/ wanalonga mtaani 'eti wananitoa manundu/ kuna siku mpaka walitaka kunichanja na Mundu/ wanashindwa kutambua 'ben' ni msanii mtundu!/ ...........................2B Continued
    Like
    1
    0 Reacties 0 aandelen 254 Views
  • Sikati tamaa kijinga..
    Hata nikiwa fresh sina itikadi za kuringa..
    Niko cool siyo player kama dirunga..
    Time will tell sijutii hapa nilipo..
    Ndomana yaliumbwa Maputo..
    Hip hop kwangu ni wito..
    Naifanya bila mchecheto..
    Nasambaza ujuzi mpaka nchi za mbali..
    Sijaanza ku be paid bado napambana na safari..
    Info za kukata tamaa longtime nime mute..
    I wanna do more than commando mpaka haters watapo salute..
    Harakati kama nyerere.. nitakumbukwa Milele..
    Tofauti sana na mcz wako wanaojigamba..
    Mi ni mpole sana ila ukinchokoza nakuwa na sumu zaidi nyongo ya mamba..
    Yeah siyo shabiki wa siasa Mimi..
    Sihusiki na chuki za kidini mimi..
    Niko huru dhidi ya uhasama..
    Sina pande niliyo egemea kati kati nimesimama..
    Then na look forward..
    Nawish kufanya yangu..
    I gotta heavy duty..
    Kiasi sitaki u feel my pain hommie..
    Usione nacheza kibindankoi..
    Ukadhani life liko powa na enjoy..
    Kumbe napunguza stress nime breeze kush..
    Mana kuna time nahaso afu sioni cash..
    Ndomana waweza niona usoni nacheka nakumbe tumboni desh..
    Sikati tamaa kijinga.. Hata nikiwa fresh sina itikadi za kuringa.. Niko cool siyo player kama dirunga.. Time will tell sijutii hapa nilipo.. Ndomana yaliumbwa Maputo.. Hip hop kwangu ni wito.. Naifanya bila mchecheto.. Nasambaza ujuzi mpaka nchi za mbali.. Sijaanza ku be paid bado napambana na safari.. Info za kukata tamaa longtime nime mute.. I wanna do more than commando mpaka haters watapo salute.. Harakati kama nyerere.. nitakumbukwa Milele.. Tofauti sana na mcz wako wanaojigamba.. Mi ni mpole sana ila ukinchokoza nakuwa na sumu zaidi nyongo ya mamba.. Yeah siyo shabiki wa siasa Mimi.. Sihusiki na chuki za kidini mimi.. Niko huru dhidi ya uhasama.. Sina pande niliyo egemea kati kati nimesimama.. Then na look forward.. Nawish kufanya yangu.. I gotta heavy duty.. Kiasi sitaki u feel my pain hommie.. Usione nacheza kibindankoi.. Ukadhani life liko powa na enjoy.. Kumbe napunguza stress nime breeze kush.. Mana kuna time nahaso afu sioni cash.. Ndomana waweza niona usoni nacheka nakumbe tumboni desh..
    Like
    3
    1 Reacties 0 aandelen 408 Views
  • Rekebisha tabia ishi nawatu bila chuki..
    Leo nakupa somo LA kitaa hatakama hutaki..
    Eshimu baba na mama upate baraka tele..
    Punguza nyoko nyoko mda umekwisha usirud nyuma songa mbele..
    kuhusu hik napanda ndege chiz kapande tembele..
    Nime toka mbal AFu hapa julikan..
    Acha nijilinde dunia ya sasa INA taka umakin..
    Minatus anae nitus ila nuksi kwangu no..
    Mistar kama muwa nakula bila kunawa mikono..
    Rekebisha tabia ishi nawatu bila chuki.. Leo nakupa somo LA kitaa hatakama hutaki.. Eshimu baba na mama upate baraka tele.. Punguza nyoko nyoko mda umekwisha usirud nyuma songa mbele.. kuhusu hik napanda ndege chiz kapande tembele.. Nime toka mbal AFu hapa julikan.. Acha nijilinde dunia ya sasa INA taka umakin.. Minatus anae nitus ila nuksi kwangu no.. Mistar kama muwa nakula bila kunawa mikono..
    Like
    1
    0 Reacties 0 aandelen 167 Views
  • Rekebisha tabia ishi nawatu bila chuki..
    Leo nakupa somo LA kitaa hatakama hutaki..
    Eshimu baba na mama upate baraka tele..
    Punguza nyoko nyoko mda umekwisha usirud nyuma songa mbele..
    kuhusu hik napanda ndege chiz kapande tembele..
    Nime toka mbal AFu hapa julikan..
    Acha nijilinde dunia ya sasa INA taka umakin..
    Minatus anae nitus ila nuksi kwangu no..
    Mistar kama muwa nakula bila kunawa mikono..
    Rekebisha tabia ishi nawatu bila chuki.. Leo nakupa somo LA kitaa hatakama hutaki.. Eshimu baba na mama upate baraka tele.. Punguza nyoko nyoko mda umekwisha usirud nyuma songa mbele.. kuhusu hik napanda ndege chiz kapande tembele.. Nime toka mbal AFu hapa julikan.. Acha nijilinde dunia ya sasa INA taka umakin.. Minatus anae nitus ila nuksi kwangu no.. Mistar kama muwa nakula bila kunawa mikono..
    Like
    1
    0 Reacties 0 aandelen 162 Views
  • Rekebisha tabia ishi nawatu bila chuki..
    Leo nakupa somo LA kitaa hatakama hutaki..
    Eshimu baba na mama upate baraka tele..
    Punguza nyoko nyoko mda umekwisha usirud nyuma songa mbele..
    kuhusu hik napanda ndege chiz kapande tembele..
    Nime toka mbal AFu hapa julikan..
    Acha nijilinde dunia ya sasa INA taka umakin..
    Minatus anae nitus ila nuksi kwangu no..
    Mistar kama muwa nakula bila kunawa mikono..
    Rekebisha tabia ishi nawatu bila chuki.. Leo nakupa somo LA kitaa hatakama hutaki.. Eshimu baba na mama upate baraka tele.. Punguza nyoko nyoko mda umekwisha usirud nyuma songa mbele.. kuhusu hik napanda ndege chiz kapande tembele.. Nime toka mbal AFu hapa julikan.. Acha nijilinde dunia ya sasa INA taka umakin.. Minatus anae nitus ila nuksi kwangu no.. Mistar kama muwa nakula bila kunawa mikono..
    Like
    1
    0 Reacties 0 aandelen 166 Views
Zoekresultaten