0 Comments
ยท0 Shares
ยท168 Views
-
RASMI
Fainali ya Saudi Arabia super cup itakuwa ni kati ya Al Nasr dhidi ya Al Ahli.
Al Nasr alifanikiwa kumuondoa Al ittihad kwenye mchezo wa nusu fainali huku Al Ahli akimuondoa Al Qadsiah hii Leo.
#SportsEliteRASMI โ๏ธ Fainali ya Saudi Arabia super cup itakuwa ni kati ya Al Nasr dhidi ya Al Ahli. Al Nasr alifanikiwa kumuondoa Al ittihad kwenye mchezo wa nusu fainali huku Al Ahli akimuondoa Al Qadsiah hii Leo. #SportsElite0 Comments ยท0 Shares ยท146 Views -
Van Dijk Ampongeza Isak Wakati Liverpool Wakiendelea Kumsaka
Beki wa Liverpool, Virgil van Dijk, amemtaja Alexander Isak kuwa miongoni mwa washambuliaji wagumu zaidi aliowahi kukutana nao kwenye Ligi Kuu ya England, akimtaja sambamba na majina makubwa kama Erling Haaland, Ollie Watkins na Harry Kane.
Isak ambaye amefunga mabao manne katika mechi sita dhidi ya Liverpool, hivi karibuni alieleza kutoridhishwa kwake na hali yake ndani ya Newcastle United. Straika huyo wa Kiswidi amesema hataki tena kucheza katika Uwanja wa St. James’ Park, akidai uongozi wa klabu hiyo umemzuia kupitia upya mkataba wake.
Liverpool tayari walitoa dau la pauni milioni 110 ambalo Newcastle walilikataa, wakisisitiza hawana mpango wa kumuuza nyota wao. Hata hivyo, Isak amesisitiza nia ya kuondoka, jambo linaloweza kuwa pigo kubwa kwa Newcastle ikizingatiwa mchango wake kwenye mafanikio ya hivi karibuni, ikiwemo kutwaa Carabao Cup na kuchaguliwa katika kikosi bora cha msimu wa EPL.
Hali hiyo sasa imeweka sintofahamu kuhusu hatima ya mshambuliaji huyo, huku Liverpool wakionekana kutafuta kwa nguvu saini yake.
๐จVan Dijk Ampongeza Isak Wakati Liverpool Wakiendelea Kumsaka Beki wa Liverpool, Virgil van Dijk, amemtaja Alexander Isak kuwa miongoni mwa washambuliaji wagumu zaidi aliowahi kukutana nao kwenye Ligi Kuu ya England, akimtaja sambamba na majina makubwa kama Erling Haaland, Ollie Watkins na Harry Kane. Isak ambaye amefunga mabao manne katika mechi sita dhidi ya Liverpool, hivi karibuni alieleza kutoridhishwa kwake na hali yake ndani ya Newcastle United. Straika huyo wa Kiswidi amesema hataki tena kucheza katika Uwanja wa St. James’ Park, akidai uongozi wa klabu hiyo umemzuia kupitia upya mkataba wake. Liverpool tayari walitoa dau la pauni milioni 110 ambalo Newcastle walilikataa, wakisisitiza hawana mpango wa kumuuza nyota wao. Hata hivyo, Isak amesisitiza nia ya kuondoka, jambo linaloweza kuwa pigo kubwa kwa Newcastle ikizingatiwa mchango wake kwenye mafanikio ya hivi karibuni, ikiwemo kutwaa Carabao Cup na kuchaguliwa katika kikosi bora cha msimu wa EPL. Hali hiyo sasa imeweka sintofahamu kuhusu hatima ya mshambuliaji huyo, huku Liverpool wakionekana kutafuta kwa nguvu saini yake.0 Comments ยท0 Shares ยท330 Views -
๐๐๐๐๐๐๐๐: Kombe la UEFA Super Cup sasa linaenda kuwa la Timu nne na kipute hicho kitapigwa katika ukanda wa Mashariki ya Kati au Marekani,
inaripoti Telegraph.
#SportsElite๐จ ๐๐๐๐๐๐๐๐: Kombe la UEFA Super Cup sasa linaenda kuwa la Timu nne na kipute hicho kitapigwa katika ukanda wa Mashariki ya Kati au Marekani, inaripoti Telegraph. ๐๐ #SportsElite0 Comments ยท0 Shares ยท297 Views -
0 Comments ยท0 Shares ยท152 Views
-
Meneja wa Paris Saint Germain, Luis Enrique ameweka wazi kuwa Uongozi wa klabu hiyo unamuunga mkono kwenye uamuzi wake wa kuachana na Golikipa Gianluigi Donnarumma kutokuwa sehemu ya kikosi cha Timu hiyo hivyo ataanza kwa kuukosa mchezo wa UEFA Super Cup.
Kipa huyo raia wa Italia aliachwa nje ya kikosi kilichosafiri hadi Udine kwa mechi ya kirafiki leo dhidi ya Tottenham, huku Magolikipa Lucas Chevalier na Renato Marin wakichaguliwa badala yake.
Katika chapisho lake kwenye mtandao wake wa Instagram, Donnarumma alisema "amesikitishwa na kuvunjika moyo" kwa kukosekana kwake.
Nyota huyo alikuwa mmoja wa wachezaji wa PSG walioshinda taji la Ligi ya Mabingwa msimu uliopita na uamuzi huo umekuja kwa mshtuko kutokana na hadhi yake na wasifu wake.
Enrique alisema uamuzi wake ulikuwa na lengo la kutafuta Golikipa mwenye "wasifu tofauti" na Gigi.
"Uongozi unaniunga mkono na tunajaribu kutafuta suluhu bora," aliongea kwenye mkutano wa wanahabari Jumanne.
"Ni uamuzi mgumu, namkubali Donnarumma kwani ni mmoja wa makipa bora na mtu bora zaidi. Lakini tulikuwa tunatafuta wasifu tofauti, na ni vigumu sana kuchukua maamuzi ya aina hii." - alimaliza kwa kusema hivyo.
#SportsElite๐จ๐จMeneja wa Paris Saint Germain, Luis Enrique ameweka wazi kuwa Uongozi wa klabu hiyo unamuunga mkono kwenye uamuzi wake wa kuachana na Golikipa Gianluigi Donnarumma kutokuwa sehemu ya kikosi cha Timu hiyo hivyo ataanza kwa kuukosa mchezo wa UEFA Super Cup. Kipa huyo raia wa Italia aliachwa nje ya kikosi kilichosafiri hadi Udine kwa mechi ya kirafiki leo dhidi ya Tottenham, huku Magolikipa Lucas Chevalier na Renato Marin wakichaguliwa badala yake. Katika chapisho lake kwenye mtandao wake wa Instagram, Donnarumma alisema "amesikitishwa na kuvunjika moyo" kwa kukosekana kwake. Nyota huyo alikuwa mmoja wa wachezaji wa PSG walioshinda taji la Ligi ya Mabingwa msimu uliopita na uamuzi huo umekuja kwa mshtuko kutokana na hadhi yake na wasifu wake. Enrique alisema uamuzi wake ulikuwa na lengo la kutafuta Golikipa mwenye "wasifu tofauti" na Gigi. "Uongozi unaniunga mkono na tunajaribu kutafuta suluhu bora," aliongea kwenye mkutano wa wanahabari Jumanne. "Ni uamuzi mgumu, namkubali Donnarumma kwani ni mmoja wa makipa bora na mtu bora zaidi. Lakini tulikuwa tunatafuta wasifu tofauti, na ni vigumu sana kuchukua maamuzi ya aina hii." - alimaliza kwa kusema hivyo. #SportsElite0 Comments ยท0 Shares ยท464 Views -
RASMI:CAF YATANGAZA TANZANIA KUWA MWENYEJI WA DROO YA CAF 2025/26! โฝ๏ธ
Droo ya CAF Champions League na Confederation Cup itafanyika katikati ya Agosti hapa hapa Tanzania!
Je, Simba SC, Yanga SC, Azam FC kupangwa na nani hatua za awali?
Hii ni nafasi ya kutangaza Tanzania kwenye ramani ya soka Afrika! โฝ๏ธ
Source:- Micky Jnr African Football Journalist
#SportsElite๐จ๐จ RASMI:CAF YATANGAZA TANZANIA KUWA MWENYEJI WA DROO YA CAF 2025/26! ๐น๐ฟ๐ฅโฝ๏ธ ๐ธ Droo ya CAF Champions League na Confederation Cup itafanyika katikati ya Agosti hapa hapa Tanzania! ๐ค Je, Simba SC, Yanga SC, Azam FC kupangwa na nani hatua za awali? ๐ฆ๐ข๐ต Hii ni nafasi ya kutangaza Tanzania kwenye ramani ya soka Afrika! ๐โฝ๏ธ Source:- Micky Jnr African Football Journalist #SportsElite0 Comments ยท0 Shares ยท602 Views -
Klabu ya Chelsea itapata heshima ya kuvaa nembo ya Fifa Club World Cup kwa muda wa miaka minne kwenye jezi zao na hii imekuja baada ya Michuano hiyo kuanza kufanyika kila baada ya miaka minne baada ya mabadiliko yaliyofanyika ikiwa ni pamoja na kuongeza idadi ya timu shiriki.
Pia Chelsea wamepewa heshima hiyo baada ya kutwaa ubingwa wa kombe la dunia kwa ngazi ya klabu kwa kuwachapa Psg mabao 3-0 usiku wa kuamkia leo katika uwanja wa Metlife Nchini Marekani.
#SportsElite๐จKlabu ya Chelsea itapata heshima ya kuvaa nembo ya Fifa Club World Cup kwa muda wa miaka minne kwenye jezi zao na hii imekuja baada ya Michuano hiyo kuanza kufanyika kila baada ya miaka minne baada ya mabadiliko yaliyofanyika ikiwa ni pamoja na kuongeza idadi ya timu shiriki. Pia Chelsea wamepewa heshima hiyo baada ya kutwaa ubingwa wa kombe la dunia kwa ngazi ya klabu kwa kuwachapa Psg mabao 3-0 usiku wa kuamkia leo katika uwanja wa Metlife Nchini Marekani. #SportsElite0 Comments ยท0 Shares ยท512 Views -
โช๏ธ RASMI: Lucas Vázquez Aondoka Real Madrid!
Baada ya miaka mingi ya kujitoa kwa moyo wote, Lucas Vázquez hatakuwa mchezaji wa Real Madrid tena. Mkataba wake umeisha na sasa yupo huru (free agent) kujiunga na timu yoyote.
Akiwa amehudumu kwa zaidi ya mechi 400, Lucas ametwaa mataji 23 yakiwemo: Champions League – 5
La Liga – 4
Supercopa, UEFA Super Cup na Club World Cup...
Inaripotiwa kuwa Fenerbahçe ya Uturuki, klabu za MLS na Saudi Arabia tayari zimeanza mawasiliano naye.
#SportsElite๐ช๐ธโช๏ธ RASMI: Lucas Vázquez Aondoka Real Madrid! Baada ya miaka mingi ya kujitoa kwa moyo wote, Lucas Vázquez hatakuwa mchezaji wa Real Madrid tena. Mkataba wake umeisha na sasa yupo huru (free agent) kujiunga na timu yoyote. ๐๏ธ Akiwa amehudumu kwa zaidi ya mechi 400, Lucas ametwaa mataji 23 yakiwemo: ๐ Champions League – 5 ๐ช๐ธ La Liga – 4 ๐๏ธ Supercopa, UEFA Super Cup na Club World Cup... ๐ Inaripotiwa kuwa Fenerbahçe ya Uturuki, klabu za MLS na Saudi Arabia tayari zimeanza mawasiliano naye. #SportsElite0 Comments ยท0 Shares ยท344 Views -
Raisi wa Marekani Donald Trump atakuwepo kwenye fainali ya Club World Cup hapo Jumapili..
(Source: ESPN)
#SportsElite๐จ Raisi wa Marekani Donald Trump atakuwepo kwenye fainali ya Club World Cup hapo Jumapili.. ๐บ๐ธ (Source: ESPN) #SportsElite0 Comments ยท0 Shares ยท220 Views -
-
0 Comments ยท0 Shares ยท181 Views
-
-
๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐: Luka Modriฤ atasaini AC Milan kama mchezaji huru na rasmi atajiunga na miamba hiyo ya Seria A baada ya FIFA Club World Cup! kutamatika.....
#sportselite๐จ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐: Luka Modriฤ atasaini AC Milan kama mchezaji huru na rasmi atajiunga na miamba hiyo ya Seria A baada ya FIFA Club World Cup! kutamatika..... ๐งโ๏ธ๐ญ๐ท #sportselite0 Comments ยท0 Shares ยท343 Views -
0 Comments ยท0 Shares ยท167 Views
-
๐๐ฅ๐๐๐๐๐ก๐: Shirikisho la mpira wa miguu duniani FIFA limemsimamisha kushiriki kwenye michezo 4 ya FIFA Club World Cup kiungo wa klabu ya Boca Juniors Ander Herera kwa kosa la kutaka kuingilia maamuzi ya mwamuzi wakati mwamuzi anafuatilia marejeo ya tukio la penalty kwenye mchezo baina ya Boca Juniors dhidi ya Sporting Lisboa e Benfica,
#sportselite๐จ ๐๐ฅ๐๐๐๐๐ก๐: Shirikisho la mpira wa miguu duniani FIFA limemsimamisha kushiriki kwenye michezo 4 ya FIFA Club World Cup kiungo wa klabu ya Boca Juniors Ander Herera kwa kosa la kutaka kuingilia maamuzi ya mwamuzi wakati mwamuzi anafuatilia marejeo ya tukio la penalty kwenye mchezo baina ya Boca Juniors dhidi ya Sporting Lisboa e Benfica, #sportselite -
* Today's Matches | Live *
* FIFA Club World Cup*
* Round 1*
* AthletiCo Madrid PSG*
* 9:00 PM *
* 11:00 PM *
* 12:30 AM *
*๏ธ 10:00 PM *
*Live Link*
https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match
https://duduumendez.xyz/
* Bayern Aukland*
* 9:30 PM *
*โ 8:00 PM *
*โ๏ธ 6:00 PM *
*โ๏ธ 7:00 PM *
* Live Link*
https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match
* Palmeiras Porto*
*โ๏ธ 3:30 AM *
* Live Links*
https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match
https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match
More Matches
https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match
*๐จ Today's Matches | Live โผ๏ธ* *๐ FIFA Club World Cup* *๐ฐ Round 1* *โณ AthletiCo Madrid ๐ PSG* *โ 9:00 PM ๐ฟ๐ผ* *โ 11:00 PM ๐ฆ๐ช* *โ 12:30 AM ๐ฎ๐ณ* *โ๏ธ 10:00 PM ๐น๐ฟ* *๐ฑLive Link* ๐https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match ๐https://duduumendez.xyz/ *โณ Bayern ๐ Aukland* *โ 9:30 PM ๐ฎ๐ณ* *โ 8:00 PM ๐ฆ๐ช* *โ๏ธ 6:00 PM ๐ฟ๐ผ* *โ๏ธ 7:00 PM ๐น๐ฟ* *๐ฑ Live Link* ๐ https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match *โณ Palmeiras ๐ Porto* *โ๏ธ 3:30 AM ๐ฎ๐ณ* *๐ฑ Live Links* ๐https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match ๐https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match ๐ฑMore Matches๐ https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match0 Comments ยท0 Shares ยท649 Views -
-
Match Day | SEMI FINAL
โช๏ธ UEFA Nations League
โ Spain France
Midnight
EAT | 22:00 PM
EAT | 22:00 PM
IND | 12:30 AM
UAE | 11:00 PM
ZIM | 09:00 PM
GMT | 19:00
Live Link
https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match
๐ ๐ผ๐ฟ๐ฒ ๐ ๐ฎ๐๐ฐ๐ต๐ฒ๐:
โช๏ธ World Cup Qualification CONMEBOL
Ecuador Vs Brazil 02:00 EAT
Paraguay Vs Uruguay 02:00 EAT
Chile Vs Argentina 04:00 EAT
https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match
#Share
๐๐๐๐๐_๐๐๐๐๐๐ V5
โถ๏ธ โโโโโโโโโโโ 0:41โก Match Day | SEMI FINAL โจ โช๏ธ๐ข UEFA Nations League โ Spain ๐ช๐ธ ๐ France ๐ซ๐ท ๐ Midnight ๐น๐ฟ EAT | 22:00 PM ๐ฐ๐ช EAT | 22:00 PM ๐ฎ๐ณ IND | 12:30 AM ๐ฆ๐ช UAE | 11:00 PM ๐ฟ๐ผ ZIM | 09:00 PM ๐ GMT | 19:00 ๐บ Live Link ๐ https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match ๐ด๐ด ๐ ๐ผ๐ฟ๐ฒ ๐ ๐ฎ๐๐ฐ๐ต๐ฒ๐: โช๏ธ๐ข World Cup Qualification CONMEBOL Ecuador ๐ช๐จ Vs Brazil ๐ง๐ท 02:00 EAT Paraguay ๐ต๐พ Vs Uruguay ๐บ๐พ 02:00 EAT Chile ๐จ๐ฑ Vs Argentina ๐ฆ๐ท 04:00 EAT ๐ https://duduumendez.xyz/service/football-streaming-match #Share โฝ๐ ๐๐๐๐๐_๐๐๐๐๐๐ V5 โถ๏ธ โโโโโโโโโโโ 0:410 Comments ยท0 Shares ยท809 Views -
OFFICIAL Chelsea ni timu ya kwanza katika historia kushinda michuano minne tofauti ya UEFA.
UEFA Europa Conference
UEFA Champions League
UEFA Europa League
UEFA Cup Winner's Cup
#SportsElite๐๐ฃ OFFICIAL Chelsea ni timu ya kwanza katika historia kushinda michuano minne tofauti ya UEFA. ๐ UEFA Europa Conference ๐๐ UEFA Champions League ๐๐ UEFA Europa League ๐๐ UEFA Cup Winner's Cup #SportsElite
More Results