• 6 Hakuna aliye kama wewe, Ee Bwana;
    wewe ni mkuu,
    jina lako ni lenye nguvu katika uweza.

    7 Ni nani ambaye haimpasi kukuheshimu wewe,
    Ee Mfalme wa mataifa?
    Hii ni stahili yako.
    Miongoni mwa watu wote wenye hekima
    katika mataifa na katika falme zao zote,
    hakuna aliye kama wewe.

    Yeremia 10:6-7
    6 Hakuna aliye kama wewe, Ee Bwana; wewe ni mkuu, jina lako ni lenye nguvu katika uweza. 7 Ni nani ambaye haimpasi kukuheshimu wewe, Ee Mfalme wa mataifa? Hii ni stahili yako. Miongoni mwa watu wote wenye hekima katika mataifa na katika falme zao zote, hakuna aliye kama wewe. Yeremia 10:6-7
    Like
    3
    0 Commentaires 0 Parts 164 Vue
  • Hekima
    Hekima
    0 Commentaires 0 Parts 114 Vue
  • Baba nibaliki nitoboe hiii life..
    Hal yangu siyo mzuri ame left hadi wife..
    Sina njia nyingi.. nakuomba uni bless..
    Harakati ziwe nyingi.. nipe na njia nyepesi..
    Nipe liziki ya kushiba niijaze pochi..
    Mishe zisizo isha life yangu iwe soft..
    Baba wambinguni nibaliki kira atua..
    Kira mishe isifeli ili niweze kutusua..
    Baba wachome wanga.. Wachawi wakimbize nipe nguvu ya ushindi..
    Baba usiniache.. Wanga wakafulai..
    Nizunguke kira kona.. hadi waseme najidai..
    Nipe macho ya hekima naya kuona vema..
    Dunia ina mengi ili nipate mke mwema..
    Baba kaa nami ni usiku tena..
    Dunia inagiza nisije nikazama tenaa..
    Hee mungu wa mbinguni... Usiluhusu uzuni.. Nataka ni fulahi unikumbuke na mbinguni..
    Nipe kichwa chepesi nilijue neno lako..
    Hee baba nibaliki nitokapo niingiapo pasipo bila uwepo wako..
    Ameeen
    Baba nibaliki nitoboe hiii life.. Hal yangu siyo mzuri ame left hadi wife.. Sina njia nyingi.. nakuomba uni bless.. Harakati ziwe nyingi.. nipe na njia nyepesi.. Nipe liziki ya kushiba niijaze pochi.. Mishe zisizo isha life yangu iwe soft.. Baba wambinguni nibaliki kira atua.. Kira mishe isifeli ili niweze kutusua.. Baba wachome wanga.. Wachawi wakimbize nipe nguvu ya ushindi.. Baba usiniache.. Wanga wakafulai.. Nizunguke kira kona.. hadi waseme najidai.. Nipe macho ya hekima naya kuona vema.. Dunia ina mengi ili nipate mke mwema.. Baba kaa nami ni usiku tena.. Dunia inagiza nisije nikazama tenaa.. Hee mungu wa mbinguni... Usiluhusu uzuni.. Nataka ni fulahi unikumbuke na mbinguni.. Nipe kichwa chepesi nilijue neno lako.. Hee baba nibaliki nitokapo niingiapo pasipo bila uwepo wako.. Ameeen🤔
    Like
    1
    0 Commentaires 0 Parts 278 Vue
  • Mwanaume tajiri ni yule aliye na akiba ya mke msikivu,muelevu,mvumilivu,mgunduzi,mwenye hekima....mwisho mwishoni AWE MCHA MUNGU.
    #tatizo yesu akuoa kwenye ule mkanda wa maigizo
    Mwanaume tajiri ni yule aliye na akiba ya mke msikivu,muelevu,mvumilivu,mgunduzi,mwenye hekima....mwisho mwishoni AWE MCHA MUNGU. #tatizo yesu akuoa kwenye ule mkanda wa maigizo
    0 Commentaires 0 Parts 137 Vue
  • Tunatumia.. sio kwamba ni muhimu kutumia.. Hapna! kwasababu tunaona tu nasisi tunaiitaji kuitumia..
    Thamani ya maandishi,, utegemea na ufahamu wa anayeyasoma... Ila thamani ya Fumbo.. itabaki kuwa funguo ya Ufahamu wa jambo..
    Acha tujifunze na kulinda Aibu ya Ujinga.. japo jamii uelewa ukiwa Tajiri, ni Nguo tosha yakuvaa Akili na Hekima.
    Ukatili kwao ndio ujasili na Uluma juu Yao Bado watakuita muoga, acha kuchagua njia ipi ikufanye kuwa Bora kwao.. Wewe fanya kinachostaili ila Usiyawinde Sana Mafao..
    Tunatumia.. sio kwamba ni muhimu kutumia.. Hapna! kwasababu tunaona tu nasisi tunaiitaji kuitumia.. Thamani ya maandishi,, utegemea na ufahamu wa anayeyasoma... Ila thamani ya Fumbo.. itabaki kuwa funguo ya Ufahamu wa jambo.. Acha tujifunze na kulinda Aibu ya Ujinga.. japo jamii uelewa ukiwa Tajiri, ni Nguo tosha yakuvaa Akili na Hekima. Ukatili kwao ndio ujasili na Uluma juu Yao Bado watakuita muoga, acha kuchagua njia ipi ikufanye kuwa Bora kwao.. Wewe fanya kinachostaili ila Usiyawinde Sana Mafao..
    0 Commentaires 0 Parts 150 Vue
  • " Hekima na Busara " hivi vitu omba sana Vikutawale
    " Hekima na Busara " hivi vitu omba sana Vikutawale
    Like
    1
    0 Commentaires 0 Parts 181 Vue
  • Hata usome vipi umalize vyuo uwe na madigree lakini kumbuka bila hekima ni sawa na bahari bila samaki, heshimu kila mtu kijana
    Hata usome vipi umalize vyuo uwe na madigree lakini kumbuka bila hekima ni sawa na bahari bila samaki, heshimu kila mtu kijana
    Love
    1
    0 Commentaires 0 Parts 152 Vue
  • ^If you keep your eyes and ears open the world will show you what you need to know ^ #deepthought #manenoyahekima
    ^If you keep your eyes and ears open the world will show you what you need to know 🌻^ #deepthought #manenoyahekima
    Like
    Love
    6
    2 Commentaires 0 Parts 298 Vue
  • Watu wengi kwenye hali ngumu tunamtukana Mungu sikia hii, like share na comment ni kweli au si kweli???
    #socialpop #hekima #manenomazuri #upendo #prosperkessy @everyone @followers @members
    Watu wengi kwenye hali ngumu tunamtukana Mungu sikia hii, like share na comment ni kweli au si kweli??? #socialpop #hekima #manenomazuri #upendo #prosperkessy @everyone @followers @members
    Love
    Like
    7
    0 Commentaires 0 Parts 453 Vue 89
  • ^You don't know what you have until it's gone, the truth is you knew exactly what you had you just never thought you would lose it. ^
    #deepthought #manenoyahekima
    @TwinnerMallengoh
    ^You don't know what you have until it's gone, the truth is you knew exactly what you had you just never thought you would lose it. 🌻^ #deepthought #manenoyahekima @TwinnerMallengoh
    Like
    Love
    6
    1 Commentaires 0 Parts 299 Vue
Plus de résultats